Friday, December 7, 2018

NDOA YA WAKE WENGI NI HALALI?

Image may contain: text
NDOA YA WAKE WENGI NI HALALI?
Kwa muda fulani, Mungu aliruhusu mwanamume awe na wake wengi. (Mwanzo 4:19; 16:1-4; 29:18–29) Lakini Mungu hakuanzisha mpango wa mwanamume kuwa na wake wengi. Alimpa Adamu mke mmoja tu.
Yesu Kristo alikazia mpango aliokuwa ameanzisha awali wa mwanamume kuwa na mke mmoja. (Yohana 8:28) Yesu alipoulizwa kuhusu ndoa, alisema hivi: “Yeye aliyewaumba hao kutoka mwanzo aliwafanya mwanamume na mwanamke na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”—Mathayo 19:4, 5.
Kwenye 1 Wafalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri ya Mungu ya kwenye Kumbukumbu la Torati 17:17?
Kumbukumbu 17:17 inasema mfalme asiwe na wake wengi, na kwa kitendo hicho, Suleiman alifanya dhambi. Kuoa wake ilikuwa ni njia ya kuimarisha ushirikiano na falme nyingine, lakini pia ilikuwa ni makosa kutokumtii Mungu. 1 Wafalme 11:1-4 inasema kuwa Suleiman alifanya dhambi kwa kuoa hawa wake wageni, na kuugeuzia moyo wake kuwa mbali na Mungu.
Hard Sayings of the Bible uk.229 inalitumia jambo hili kwa njia ya kupendeza sana. Ingawa Suleiman angeweza kuweka viwango vya juu kama mfano, alianza kujiona kama hana haja ya kuzuiliwa na Mungu kwa njia hii. Leo hii kama kiongozi wa kikristo anajiona kuwa hayumo kwenye mipaka ambayo Mungu ameiweka kwa Wakristo wa kawaida, kiongozi huyu atakuwa kwenye shida kubwa sana ya kiroho. Kwenye Kurani, hakuna mwanaume anayeruhusiwa kuwa na zaidi ya wake wanne, isipokuwa Muhammad tu, ambaye alitokea kuwa na wake karibu 15 baada ya Khadija, na Masuria wawili.
Zaidi ya hayo, Muhammad na Waislam wengine walikuwa na wasichana mateka na watumwa, na Kurani inawaruhusu Waislam kufanya tendo la ndoa na wanawake ambao wanawamiliki kwa nguvu ya mikono yao. (Sura 4:24; 23:5-6; 70:29-30; 33:50,52 Abu Dawud juzuu ya 2 na.2150 uk.577)
Tabia hii ya Muhammad na Waislam kuoa wake wengi inavunja Amri ya kwenye Kumbukumbu la Torati 17 aya 17.
Katika Agano Jipya, 1 Timotheo 3:2, 12 na Tito 1:6 zinasungumzia "mume wa mke mmoja" katika orodha ya sifa za uongozi wa kiroho.
" Wakati sifa hizi ni mahsusi kwa ajili ya nafasi za uongozi wa kiroho, wanapaswa tumika sawia kwa Wakristo wote. Je, si Wakristo wote hawaswi kuwa "zaidi ya aibu ... kiasi, nidhamu, heshima, ukarimu, na uwezo wa kufundisha, si mlevi, wala mgomvi bali awe mpole, apendaye, si mpenda fedha" (1 Timotheo 3:2 -4)? Kama tumeitwa kuwa watakatifu (1 Petro 1:16), na kama viwango hivi ni vitakatifu kwa wazee na mashemasi, basi ni takatifu kwa wote.
Baadaye, mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu aliongozwa na Roho ya Mungu kuandika hivi: “Kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.” (1 Wakorintho 7:2) Pia, Biblia inasema kwamba katika kutaniko la Kikristo ni lazima mwanamume aliyefunga ndoa na ambaye ana majukumu ya pekee awe “mume wa mke mmoja.”—1 Timotheo 3:2, 12.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

JE, MLIMA SINAI UPO MAKKA KAMA WANAVYO DAI WAISLAM?

Image may contain: one or more people and textSwali la Waislam kwa Wakristo: Kwenye Kutoka 19:11, Mlima Sinai ulikuwa Makka, kwa sababu Wagalatia 4:25 inasema ilikuwa Arabuni?

Jibu: Mlima Sinai upo kwenye rasi ya Sinai; isipokuwa Musa angekuwa na magari makubwa au matreni, Makka pangekuwa mbali mno. Mambo manne ya kuzingatia katika jibu hili.

1. Haidhuru: Kama Mlima Sinai ungekuwa Makka, pasingekuwa na tofauti yoyote kwa Wakristo, isipokuwa hatua za safari za Waisraeli zisingeeleweka. Hata hivyo, inaonekana kuwa ingekuwa muhimu kwa baadhi ya Waislam kwani kungelifanya wazo la kuwa Maka ilishiriki kwenye kazi ya Mungu kabla ya Muhammad la kuaminika. Hata hivyo, Waislam wengine, kama rejeo chini ya ukurasa 2504 kwenye Kurani Takatifu: Toleo la Kiingereza la Maana na Ufafanuzi (Holy Quran: English Translation of the Meanings and Commentary) linalinganisha Mlima Sinai na Jabal Musa, sawa na wengi wa Wakristo.

2. Arabuni tofauti: Katika Wagalatia 4:25 "Arabuni" si nchi ya leo ya Kiislam ya Saudi Arabia, bali jimbo la Kirumi la Arabuni. Jimbo la Kirumi la Arabuni lilikuwa ni rasi ya Sinai, sehemu ya kaskazini magharibi ya Jordan ya leo, na sehemu ndogo ya Syria. Tazama ama The Roman World uk.107 au Encyclopedia Britannica sehemu ya Historia ya Rumi ili kuiona ramani inayoonyesha hili. Kama rejeo la pembeni, Warumi hawakuwahi kutwaa sehemu ya karibu na Maka , kwa hiyo jimbo la Kirumi la Arabuni halingeweza kuhusisha Maka.

3. Siyo Makka: Watu wenye kondoo na ng'ombe wangeweza kutembea maili 6 tu kwa siku; hata kama wangekuwa na ngamia tu kwa kawaida wangeweza kwenda maili 12 kwa siku. Safari ya siku 11 umbali wa karibu maili 800 kutoka Maka kwenda Kadesh Barnea kwa miguu, pamoja na ng'ombe na kondoo, na watoto wadogo, ingekuwa ya kasi kubwa sana, isipokuwa kama wangekuwa na magari wakati huo. Tazama ama The Roman World uk.107 au Encyclopedia Britannica sehemu ya Historia ya Rumi ili kuona ramani.

4. Kwenye Rasi ya Sinai: Rasi ya Sinai ni pembetatu inayotazama kusini yenye milima upande wa kusini ambayo Kutoka 19:2 na Hesabu 3:14; 9:1,5; 10:12 vinaiita Nyika ("Jangwa") la Sinai. Jangwa la Sin linaitenganisha Elim na Sinai. Hesabu 33:3-50 inataja kila sehemu walipopiga kambi Waisraeli. Kwa bahati mbaya hatujui maeneo ya sehemu hizi za kambi, lakini kwa kuziangalia, tunaweza kuona ipi ipo kati ya wapi.

Ndani ya nyika ya Sinai, kuna milima miwili iliyo karibu karibu, yenye kulingana na mlima Sinai.

Gebel Musa/Mousa (futi 7,363) Haya ni maoni yaliyotokea zamani, angalau kuanzia karibu mwaka 500 B.K. Ina miteremko mirefu sana. Nyumba kubwa ya utawa ya Mt. Catherine ipo sehemu ya chini ya mlima huu. Wengi wa Waislam, lakini siyo wote, wanaona kama huu ndio mlima Sinai pia. New International Dictionary of the Bible uk.674 ina picha ya Jebel Musa.

Ras es-safsafeh (futi 6,540 mita 1993) ipo maili mbili (km 3.2) kaskazini mwa Gebel Musa kwenye mgongo huo huo. Ina uwanda mpana chini.

Gebel Serbal (haielekei kuwa hivyo): Eusebius (mwaka 325 B.K.) alidhani hivi. Lakini New Bible Dictionary (1978) uk.1193-1194 inaeleza kuwa hakuna nyika karibu na sehemu yake ya chini.

Kwa muhtasari, wakati ambapo Wakristo na hata baadhi ya Waislam wanaafiki kuwa mlima Sinai upo Sinai, tunaweza kuwa karibu na Mungu sehemu yoyote ile, na hatuhitaji mahali maalumu, sanamu za vyuma, au hata mawe meusi ili kuweza kuwa karibu naye.

Source Muslim Hope

Shalom,

"The STONE in Mecca USED to SALUTE him Before he became a Prophet"

Image may contain: 1 person, closeup and text



In the past, we witnessed how Aisha and the Companions of Muhammad said "BEASTS AND TREES Prostrate before Muhammad... See Al-Tirmidhi Hadith 3270

Surprisingly today 🙃

Muhammad said

"The STONE in Mecca USED to SALUTE him Before he became a Prophet"

Muslim Book 030, Number 5654:
Jabir b. Samura reported Allah's Messenger as saying: 👉I recognise the stone in Mecca WHICH USED TO PAY ME salutations BEFORE my advent as a Prophet and I recognise that EVEN NOW👈

Muhammad said

1. I recognise the stone in Mecca WHICH USED TO PAY ME salutations BEFORE my advent as a Prophet

2. I recognise that EVEN NOW .. 

😮😮😮 Wow

Lol, this man is More than a Prophet... Eiiiiiiiiiiiiiiii 😜😝😛 — feeling funny.

Aisha EXPOSED her husband in this Hadith she related to the Muslims ??? 😯

Muhammad is Worshiped by Animals and trees ? 😨
Also, the Companions of Muhammad in that same Hadith stated that
"BEASTS and TREES prostrate themselves before their Master"😱
__
Al-Tirmidhi HadithHadith 3270 Narrated by Aisha
ONCE when Allah's Messenger (peace be upon him) was with a number of the Emigrants and Helpers, a CAMEL CAME AND PROSTRATED ITSELF BEFORE HIM. 👉Thereupon his COMPANIONS said, "Messenger of Allah (peace be upon him) beasts and trees prostrate themselves before you,👈but we have the GREATEST RIGHT TO DO SO." He replied, 👉"WORSHIP your Lord and honor your brother.👈
IF I were to order anyone to prostrate himself before another, I should order a woman to prostrate herself before her husband.
If he were to order her to convey stones from a yellow mountain to a black one, or from a black mountain to a white one, it would be incumbent on her to do so."
Ahmad transmitted it.
__
Listen up good people
According to Surah 21: 98-99
These BEASTS and TREES Committed SHIRK 😶
Therefore, 
The Beasts and the Trees altogether with Muhammad, will ENJOY HELL-FIRE - 
The beasts and the Trees are idolaters and Muhammad is their Lord 😜😝😛
___
But, on serious note
I am amazed!!!
... Because, I thought Muhammad was a MERE prophet!!! 😌
HA!!!
My Question is
Why did Allah permit the BEASTS and TREES to prostrate themselves before his Final prophet?🤔
Before you answer the question,
Please, bear in Mind that, It was Aisha who Narrated this Hadith..
My Next Question will be
Was Aisha and the companions Lying against their prophet?
Please answer

KANISA SIO JENGO








KANISA SIO JENGO
Watu wengi siku hizi wanaelewa Kanisa kumaanisha jengo. Huku si kuelewa kibibilia maana ya Kanisa. Neno “Kanisa” maana ya asili yatoka kwa neno la Kiyunani ekklesia lililo na maana ya “kusanyiko” au “walioitwa.” Maana ya asili ya “Kanisa” sio ile ya jengo, bali ni watu. Unapowauliza watu ni kanisa gani wanashiriki, mara nyingi huwa wanajihushisha na jengo. Warumi 6:5, yasema, “…salimia kanisa linalokutana kwa nyumba.” Paulo anaashiria kanisa lilo katika nyumba yao- si jengo la Kanisa bali mwili wa washiriki.
KANISA NI MWILI WA KRISTO
Kanisa ni Mwili wa Kristo, ambapo Yesu ndie kichwa. Waefeso 1:22-23 yasema, “Akivitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.” Mwili wa Kristo umejengwa na wanaoamini katika Yesu Kristo toka siku ya Pentekosti (Matendo Ya Mitume 2) hadi Kristo arudi. Mwili wa Kristo uko na sehemu mbili:
1) Kanisa lote kwa ujumula ambalo ni wale wote wako na uhusiano na Kristo. “Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni Upendo” (1 Wakorintho 12:13). Aya hii inasema yeyote atakaye amini in sehemu ya mwili wa Kristo na ameupokea Roho wa Kristo ni ushaidi. Kanisa la jumla la Mungu ni wale wote ambao wamepokea wokovu kwa imani katika Yesu
2) Lile Kanisa ya nyumbani vile imeelezwa katika Wagalatia 1:1-2: “Paulo, mtume, (si mtume wa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu), na ndugu wote walio pamoja name, kwa makanisa ya Galatia.” Hapa tunaona kwamba katika mkoa (mji) wa Galatia kulikuwa na makanisa mengi chenye tunaita makanisa ya nyumbani. Kanisa la Kibaptisiti, Kilutheri, Katholiki na mengine, si kanisa, vile iilvyo katika kanisa la ujumla, bali haya ni makanisa ya nyumbani (Mshambani/Mjini), ule mwili wa nyumbania wa waumini. Kanisa la jumla linajumlisha wale wote ni wa Kristo na wamemwamini kwa wokovu. Washirika wa kanisa la jumla lazima watafute kuwa na ushirika na kujengana wakiwa katika lile kanisa la nyumbani.
Kwa ufupi, Kanisa si jengo ama dini. Kulingana na Bibilia, kanisa ni mwili wa Krsito-wale wote wameweka imani yao kwa Yesu Kristo kwa wokovu (Yohana 3:16; 1 Wakorintho 12:13). Kanisa la nyumbani ni kusanyiko la Wakristo wa kanisa la jumla. Kanisa la nyumbani ni mahali ambapo washirika wa kanisa la jumla wanaweza kutumia nguzo ya “mwili” ya 1 Wakorintho 12: himizana, funzaneni, na kujengana ninyi kwa ninyi katika hekima na neema ya Bwana Yesu Kristo.
Barikiwa sana na Yesu, Mungu Mkuu

YESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI



Image may contain: one or more people and textYESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI
YESU alijita-mbulisha kwao kuwa ni MUNGU lakini hawakuelewa
Yohana 10:30-33 “Yesu akawajibu, kazi njema nyingi niwewaonyesha zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwasababu wewe uliye.mwanadamu wajifanya kuwa Mungu.
Wayahudi walisema anakufuru kwa kusema kuwa yeye ni Mungu.
Kimsingi Yesu ni Mungu ndio maana anasema huwezi kumtenganisha na Mungu Baba; ukimwona yeye umemuona Mungu Baba.
Yohana 14:7-9 Katika mstari 8 na 9 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote,wewe usinijue, Filipo?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIKUFURU NA KUSEMA ALLAH ATAMWOZA MARYAM MAMA YAKE YESU NA MKE WA FIRAUNI AKIWA AKHERA

Image may contain: one or more people and text


Ndugu zanguni,
Kila siku huwa nasema Muhammad ni nabii wa uongo na mpenda ngono.
Kufuatana na vitabu vya dini ya Uislam Muhammad anasema ifuatavyo:
Nabii wa Allah akasema: Mwenyezi Mungu atanioza kwa Maryan Mwana wa Imran pamoja na Mke wa Firauni na dada ya Nabii Musa. (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64;)
Kufuatana na Quran, Maryam ni mtoto wa Imran
Surat Al Imran
35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana aliye mzaa - Na mwanamume si sawa na mwanamke. Na mimi nimemwita Maryamu. Nami namkinga kwako, yeye na uzao wake, uwalinde na Shet'ani aliye laaniwa.
Kama Quran inavyo sema hapo juu, Maryam ni mtoto wa Imran.
MASWALI KWA WAISLAM:
Kwanini Muhammad anapenda sana Wanawake?
Kwanini Muhammad anapenda sana kuchukua wake za watu wengine?
Vipi kuhusu wale wake 72 ambao ni bikira? Au Muhammad yeye atapewa wake kede kede kama ilivyo utamaduni wake?
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO NA YUPO JEHANNAM ANACHOMEKA KWA MADHAMBI MAKUBWA MAKUBWA ALIYO FANYA.
Soma hii habari kwa Kiingereza hapa:
http://www.answering-islam.org/Shamoun/mary.htm
"The Messenger of God ... said, ‘God MARRIED ME IN PARADISE TO MARY THE DAUGHTER OF 'IMRAN and to the wife of Pharaoh and the sister of Moses.’ (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64)
According to the Quran, Mary's father is called Imran:
"Behold! a wife of Ìmrán said: ‘O my Lord! I do dedicate into Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things.’ When she was delivered, she said: ‘O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!’ - and Allah knew best what she brought forth - ‘And no wise is the male like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from Satan, the Rejected.’" S. 3:35-36
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA SABA)

Image may contain: one or more people, text and closeup
Usizini. Kutoka 20:14
QURAN 24:2, SURAT, AN-NOOR
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume, mtandikeni kila mmoja wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwaajili yao katika huruma ya Mwenyezi Mungu. Ikiwa ninyi mnamwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la wauminh. ( mwisho wa kunukuu)
MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI YA SABA KWA KUZINI
Sasa hebu endelea kusoma tabia ya Muhammad mtume wa allah hapa chini utagundua kuwa, kumbe Nabii wa Allah alikuwa mzinifu:
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Muhammad mtume wa Allah kafumaniwa ugoni, lakini hatusomi kuwa alipigwa bakora mia yeye na kimada wake. Je, Muhammad yeye yupo juu ya sheria ya uzinifu?
Hakika wamekwisha pigwa muhuri wa Jehannam wale wote wanao zini kama Muhammad.
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
KAA! JAMANI YAANI KILA WAKATI ALIKUWA ANAWAZA NGONO TU!
Kasema Mtume (s.a.w) "Akimwita Mwanamme mkewe kwa haja ya kumuingilia, basi amjie hata ikiwa huyo mke yuko katika tanuri Jikoni anapika" aache kazi yake huko Jikoni amtimizie haja yake mumewe, hii ni haki ya mume. (Mkweli Mwaminifu, J. 1-2, Hadithi Na. 462, Uk. 204).
HATA ALIPOKUWA AKIUMWA!
''Mtume kuamka tu asubuhi aliamka na kichwa kikali na homa ndogo.Kila siku ikipambazuka na homa ilikuwa ikizidi.Lakini vivyo hivyo alikuwa akijikaza kwenda msikitini kusali na kwenda kumtimiizia ngono za kila mke katika wakeze tisa''
(Kitabu cha maisha ya mtume,Sheikh A.S.Farsy,uk.79)
MSIMAMO WA KURAN KUHUSU USHOGA/UZINZI
Kuran inaruhusu ushoga; NDIYO! Taja…..
(QURAN 52:24) Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
(QURAN 56:17) Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
(QURAN 76:19) Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
…kuran inaelezea kuwa kule mbinguni wavulana wazuri kama lulu watawatumikia mujahidina waliopigana vita vya jihadi duniani…
Quran 4:24, allah anaruhusu waislamu kufanya ngono na wajakazi au wanawake waliotekwa vitani.
(Abu Dawud 38:4450) Waislamu wanaruhusiwa kufanya ngono na wanyama
(Abu Dawud 1:22) Mohammad alikuwa shoga
(Bukhari 2442) Mohammad alikuwa anavaa nguo za mke wake-Aisha, aliamini kuwa kufanya hivyo kulimfanya apate ufunuo.
(Musnad Ahmad 16245) Mohammad alipenda kunyonya ndimi za vijana wadogo wa kiume.
Bukhari 1:4:152 Mohammad aliwaonyesha vijana wadogo wa kiume sehemu zake za siri wakati akioga.
Al Tirmidhi 4412 Mohammad alijionyesha mbele ya wanaume akiwa uchi wa mnyama.
Bukhari 8:73:27 Mohammad na wafuasi wake walipenda kuwabusu vijana wadogo wa kiume
Bukhari, p. 96, 1375 Kulingana na maimam na mashekhe ni halal waislamu kuwa mashoga.
Abu Dawood 5224 Mohammad aliinua kanzu yake na mwanamume akambusu na kupapasapapasa mwili wake mzima.
Hivyo mashoga wote na wanaofungisha ndoa ya jinsia moja wao hawaendani na maandiko matakatifu ya Biblia, hawawakilishi Kristo Yesu na sio Wakristo, ni wenye dhambi na adhabu yao ni moto wa milele.
MATHAYO 7:15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Sitashangaa kufahamu kuwa ni Waislamu waliojificha kwenye Ukristo wakiwa na lengo la kuichafua nyumba ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Nawezaje kujua ya kwamba kweli Mungu ni dhahiri?

Image may contain: nature

Je, Mungu anathibitika?
Nawezaje kujua ya kwamba kweli Mungu ni dhahiri?
Tunajua ya kwamba Mungu anathibitika kwa kuwa amejidhihirisha kwetu kwa njia tatu: katika uumbaji, katika neno lake na katika mwanawe, Yesu kristo.
Kithibitisho cha msingi ya kuweko kwa Mungu ni katika vile alivyoviumba. “ Kwa yale yasiyoonekana na macho juu yake katika uumbaji yanadhihirika waziwazi, akieleweka kwa yale aliyoyaumba, hata uwezo wake wa milele na mungu Baba ili (wasioamini) wawe hawana kisingizio” (Warumi 1:20). “Mbingu zinashuhudia utukufu wa Mungu, na anga yadhihirisha kazi za mikono yake” (Zaburi 19:1).
Kama ningeona saa ya mkono katikati ya uwanja, singechukulia tu imejitoa tu yenyewe kutoka mahali Fulani wala kuwa ilikuweko hapo toka jadi. Kutokana na muundo wake ningejua ya kuwa iliundwa na mtu Fulani stadi. Hata hivyo ninaona miundo mingi ya vitu tofauti tofauti katika mazingira yetu. Kutazama nyakati kwetu hakutokani na saa za mikono balikazi za mkono wa Mungu --- kuzunguka kwa dunia (na hali za kitonoradi za atomi ya cesium-133). Ulimwengu unadhihirisha kazi za ustadi zinazothibitisha kuweko kwa mwenye kuviumba kwa ustadi.
Ningepokea ujumbe kupitia mtandao Fulani ambao hausomeki ningemtafuta mwenye utaalamu wa kusambaza habari kupitia mitandao ilianifahamishe kuhusiana na jinsi ningeweza kuutafsiri na kuusoma. Ningekuwa na uhakika kuna mtaalam aliyenitumia ujumbe na mwenye ufahamu juu ya kuutafsiri. Je, tafsiri ya ujumbe unaobebwa ndani ya chembe chembe za mwili wa mwanadamu za “DNA” si ngumu zaidi? Je, hii haitoshi kukujulisha juu ya mtaalam wa hali ya juu zaidi?
Mungu hakuumba tu ulimwengu mgumu kufafanua bali pia ameweka ndani ya moyo wa kila mwanadamu umilele (Mhubiri 3:11). Mwanadamu ana hisi ndani ya moyo wake kwamba kuna mengine zaidi ndani ya maisha yake kuliko yale ayaonayo na macho yake. Haya huthibitika katika mambo mawili: katika utunzi wa sheria na ibada.
Kila aina ya kizazi duniani kimezingatia aina Fulani ya mfumo wa kisheria unaofanana.Kwa mfano swala la mapenzi limeheshimiwa ulimwenguni kote na uongo umekataliwa duniani kote. Utamaduni huu wa kujua mema na mabaya unadhihirisha kuwepo kwa mtakatifu mmoja aliyetupatia mwongozo huu.
Kwa njia hiyo hiyo,duniani kote watu wameendelea kufanya ibada kwa Mungu bila kujali mila na desturi zao. Lengo la ibada laweza kutofautiana lakini kuwepo kwa Mungu hakupingiki. Kuendelea kwetu kufanya ibada ni kwa sababu Mungu alituumba, “Kwa mfano wake” (Mwanzo 1:27).
Mungu pia amejidhihirisha kwetu katika neno lake Biblia. Ndani mwote ya maandiko, swala la kuwapo kwa Mungu lashughulikiwa kama la waziwazi (Mwanzo 1:1; Kutoka 3:14). Benjamin Franklin alipoandika habari zake mwenyewe hakupoteza muda kuthibitisha kama yeye mwenyewe alikuwapo. Vivyo hivyo Mungu hapotezi muda kuthibitisha kama yeye mwenyewe yupo ndani ya maandiko yake. Hali yake ya kubadilisha maisha ya mwanadamu, heshima na miujiza iliyoandamana na kuandikwa kwake kunatosha kuvutia mtu ayaangalie maandiko kwa makini.
Njia ya tatu ambayo Mungu alijidhihirisha nayo ni kupitia mwanawe Yesu kristo (Yohana 14:6-11). “Hapo mwanzo kulikuwako neno; na neno alikuwako kwa Mungu na Huyo neno alikuwa Mungu… na neno akafanyika mwili, akakaa pamoja nasi” (Yohana 1;1, 14). Ndani ya Yesu kristo, “mnadumu utimilifu wote wa Mungu Baba katika mwili” (Wakolosai 2:9).
Ndani ya kuishi kwake Yesu kristo, alizingatia Agano la kale lote kwa ukamilifu na kutimiza unabii woye unaohusiana na masihi (Mathayo 5:17). Alitenda miujiza mingi na kuwahurumia wengi kuuthibitisha ujumbe wake kuwa alikuwa Mungu (Yohana 21:24-25). Tena siku tatu baada ya kusulubiwa kwake akafufuka kutoka kwa wafu jambo lililothibitishwa na wengi (Wakorintho wa kwanza 15:6). Historia yote imejaa ithibati ya Yesu alikuwa nani. Kama mtume Paulo alvyosema, “mambo haya hayakufanyika pembeni” (Matendo 26:26).
Tunajua kuwa wengine watasoma ushahidi huu na mawazo yao wenyewe na baada ya kuufahamu vyema wakubali. Wengine hata baada ya ushahidi huu bado watarudia hali zao za kutoshashawishika (Zaburi 14:1) Yote yanahitaji Imani (Waebrania 11:6).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

UNALIJUA JINA LA MUNGU?

Image may contain: sky and text
Je, Mungu ana jina?
Yesu alisema: “Baba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe.” (Mathayo 6:9) Ingawa Mungu ana majina mengi ya cheo, ana jina moja tu.
Linatamkwa kwa njia tofauti katika kila lugha. Katika Kiswahili kwa kawaida jina hilo linatamkwa “Yehova.” Lakini watu fulani wanalitamka “Yahweh.”—Soma Zaburi 83:18.
Katika Biblia takatifu, jina la Mungu lilipatikana mara 7,000 hivi.
Yesu alifanya jina la Mungu lijulikane alipokuwa akiwafundisha watu kuhusu Mungu.—Soma Yohana 17:26.
Shalom,
Max Shimba mtuwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW