Friday, December 7, 2018

YESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI



Image may contain: one or more people and textYESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI
YESU alijita-mbulisha kwao kuwa ni MUNGU lakini hawakuelewa
Yohana 10:30-33 “Yesu akawajibu, kazi njema nyingi niwewaonyesha zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwasababu wewe uliye.mwanadamu wajifanya kuwa Mungu.
Wayahudi walisema anakufuru kwa kusema kuwa yeye ni Mungu.
Kimsingi Yesu ni Mungu ndio maana anasema huwezi kumtenganisha na Mungu Baba; ukimwona yeye umemuona Mungu Baba.
Yohana 14:7-9 Katika mstari 8 na 9 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote,wewe usinijue, Filipo?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIKUFURU NA KUSEMA ALLAH ATAMWOZA MARYAM MAMA YAKE YESU NA MKE WA FIRAUNI AKIWA AKHERA

Image may contain: one or more people and text


Ndugu zanguni,
Kila siku huwa nasema Muhammad ni nabii wa uongo na mpenda ngono.
Kufuatana na vitabu vya dini ya Uislam Muhammad anasema ifuatavyo:
Nabii wa Allah akasema: Mwenyezi Mungu atanioza kwa Maryan Mwana wa Imran pamoja na Mke wa Firauni na dada ya Nabii Musa. (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64;)
Kufuatana na Quran, Maryam ni mtoto wa Imran
Surat Al Imran
35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana aliye mzaa - Na mwanamume si sawa na mwanamke. Na mimi nimemwita Maryamu. Nami namkinga kwako, yeye na uzao wake, uwalinde na Shet'ani aliye laaniwa.
Kama Quran inavyo sema hapo juu, Maryam ni mtoto wa Imran.
MASWALI KWA WAISLAM:
Kwanini Muhammad anapenda sana Wanawake?
Kwanini Muhammad anapenda sana kuchukua wake za watu wengine?
Vipi kuhusu wale wake 72 ambao ni bikira? Au Muhammad yeye atapewa wake kede kede kama ilivyo utamaduni wake?
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO NA YUPO JEHANNAM ANACHOMEKA KWA MADHAMBI MAKUBWA MAKUBWA ALIYO FANYA.
Soma hii habari kwa Kiingereza hapa:
http://www.answering-islam.org/Shamoun/mary.htm
"The Messenger of God ... said, ‘God MARRIED ME IN PARADISE TO MARY THE DAUGHTER OF 'IMRAN and to the wife of Pharaoh and the sister of Moses.’ (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64)
According to the Quran, Mary's father is called Imran:
"Behold! a wife of Ìmrán said: ‘O my Lord! I do dedicate into Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things.’ When she was delivered, she said: ‘O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!’ - and Allah knew best what she brought forth - ‘And no wise is the male like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from Satan, the Rejected.’" S. 3:35-36
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA SABA)

Image may contain: one or more people, text and closeup
Usizini. Kutoka 20:14
QURAN 24:2, SURAT, AN-NOOR
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume, mtandikeni kila mmoja wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwaajili yao katika huruma ya Mwenyezi Mungu. Ikiwa ninyi mnamwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la wauminh. ( mwisho wa kunukuu)
MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI YA SABA KWA KUZINI
Sasa hebu endelea kusoma tabia ya Muhammad mtume wa allah hapa chini utagundua kuwa, kumbe Nabii wa Allah alikuwa mzinifu:
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Muhammad mtume wa Allah kafumaniwa ugoni, lakini hatusomi kuwa alipigwa bakora mia yeye na kimada wake. Je, Muhammad yeye yupo juu ya sheria ya uzinifu?
Hakika wamekwisha pigwa muhuri wa Jehannam wale wote wanao zini kama Muhammad.
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
KAA! JAMANI YAANI KILA WAKATI ALIKUWA ANAWAZA NGONO TU!
Kasema Mtume (s.a.w) "Akimwita Mwanamme mkewe kwa haja ya kumuingilia, basi amjie hata ikiwa huyo mke yuko katika tanuri Jikoni anapika" aache kazi yake huko Jikoni amtimizie haja yake mumewe, hii ni haki ya mume. (Mkweli Mwaminifu, J. 1-2, Hadithi Na. 462, Uk. 204).
HATA ALIPOKUWA AKIUMWA!
''Mtume kuamka tu asubuhi aliamka na kichwa kikali na homa ndogo.Kila siku ikipambazuka na homa ilikuwa ikizidi.Lakini vivyo hivyo alikuwa akijikaza kwenda msikitini kusali na kwenda kumtimiizia ngono za kila mke katika wakeze tisa''
(Kitabu cha maisha ya mtume,Sheikh A.S.Farsy,uk.79)
MSIMAMO WA KURAN KUHUSU USHOGA/UZINZI
Kuran inaruhusu ushoga; NDIYO! Taja…..
(QURAN 52:24) Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
(QURAN 56:17) Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
(QURAN 76:19) Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
…kuran inaelezea kuwa kule mbinguni wavulana wazuri kama lulu watawatumikia mujahidina waliopigana vita vya jihadi duniani…
Quran 4:24, allah anaruhusu waislamu kufanya ngono na wajakazi au wanawake waliotekwa vitani.
(Abu Dawud 38:4450) Waislamu wanaruhusiwa kufanya ngono na wanyama
(Abu Dawud 1:22) Mohammad alikuwa shoga
(Bukhari 2442) Mohammad alikuwa anavaa nguo za mke wake-Aisha, aliamini kuwa kufanya hivyo kulimfanya apate ufunuo.
(Musnad Ahmad 16245) Mohammad alipenda kunyonya ndimi za vijana wadogo wa kiume.
Bukhari 1:4:152 Mohammad aliwaonyesha vijana wadogo wa kiume sehemu zake za siri wakati akioga.
Al Tirmidhi 4412 Mohammad alijionyesha mbele ya wanaume akiwa uchi wa mnyama.
Bukhari 8:73:27 Mohammad na wafuasi wake walipenda kuwabusu vijana wadogo wa kiume
Bukhari, p. 96, 1375 Kulingana na maimam na mashekhe ni halal waislamu kuwa mashoga.
Abu Dawood 5224 Mohammad aliinua kanzu yake na mwanamume akambusu na kupapasapapasa mwili wake mzima.
Hivyo mashoga wote na wanaofungisha ndoa ya jinsia moja wao hawaendani na maandiko matakatifu ya Biblia, hawawakilishi Kristo Yesu na sio Wakristo, ni wenye dhambi na adhabu yao ni moto wa milele.
MATHAYO 7:15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Sitashangaa kufahamu kuwa ni Waislamu waliojificha kwenye Ukristo wakiwa na lengo la kuichafua nyumba ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Nawezaje kujua ya kwamba kweli Mungu ni dhahiri?

Image may contain: nature

Je, Mungu anathibitika?
Nawezaje kujua ya kwamba kweli Mungu ni dhahiri?
Tunajua ya kwamba Mungu anathibitika kwa kuwa amejidhihirisha kwetu kwa njia tatu: katika uumbaji, katika neno lake na katika mwanawe, Yesu kristo.
Kithibitisho cha msingi ya kuweko kwa Mungu ni katika vile alivyoviumba. “ Kwa yale yasiyoonekana na macho juu yake katika uumbaji yanadhihirika waziwazi, akieleweka kwa yale aliyoyaumba, hata uwezo wake wa milele na mungu Baba ili (wasioamini) wawe hawana kisingizio” (Warumi 1:20). “Mbingu zinashuhudia utukufu wa Mungu, na anga yadhihirisha kazi za mikono yake” (Zaburi 19:1).
Kama ningeona saa ya mkono katikati ya uwanja, singechukulia tu imejitoa tu yenyewe kutoka mahali Fulani wala kuwa ilikuweko hapo toka jadi. Kutokana na muundo wake ningejua ya kuwa iliundwa na mtu Fulani stadi. Hata hivyo ninaona miundo mingi ya vitu tofauti tofauti katika mazingira yetu. Kutazama nyakati kwetu hakutokani na saa za mikono balikazi za mkono wa Mungu --- kuzunguka kwa dunia (na hali za kitonoradi za atomi ya cesium-133). Ulimwengu unadhihirisha kazi za ustadi zinazothibitisha kuweko kwa mwenye kuviumba kwa ustadi.
Ningepokea ujumbe kupitia mtandao Fulani ambao hausomeki ningemtafuta mwenye utaalamu wa kusambaza habari kupitia mitandao ilianifahamishe kuhusiana na jinsi ningeweza kuutafsiri na kuusoma. Ningekuwa na uhakika kuna mtaalam aliyenitumia ujumbe na mwenye ufahamu juu ya kuutafsiri. Je, tafsiri ya ujumbe unaobebwa ndani ya chembe chembe za mwili wa mwanadamu za “DNA” si ngumu zaidi? Je, hii haitoshi kukujulisha juu ya mtaalam wa hali ya juu zaidi?
Mungu hakuumba tu ulimwengu mgumu kufafanua bali pia ameweka ndani ya moyo wa kila mwanadamu umilele (Mhubiri 3:11). Mwanadamu ana hisi ndani ya moyo wake kwamba kuna mengine zaidi ndani ya maisha yake kuliko yale ayaonayo na macho yake. Haya huthibitika katika mambo mawili: katika utunzi wa sheria na ibada.
Kila aina ya kizazi duniani kimezingatia aina Fulani ya mfumo wa kisheria unaofanana.Kwa mfano swala la mapenzi limeheshimiwa ulimwenguni kote na uongo umekataliwa duniani kote. Utamaduni huu wa kujua mema na mabaya unadhihirisha kuwepo kwa mtakatifu mmoja aliyetupatia mwongozo huu.
Kwa njia hiyo hiyo,duniani kote watu wameendelea kufanya ibada kwa Mungu bila kujali mila na desturi zao. Lengo la ibada laweza kutofautiana lakini kuwepo kwa Mungu hakupingiki. Kuendelea kwetu kufanya ibada ni kwa sababu Mungu alituumba, “Kwa mfano wake” (Mwanzo 1:27).
Mungu pia amejidhihirisha kwetu katika neno lake Biblia. Ndani mwote ya maandiko, swala la kuwapo kwa Mungu lashughulikiwa kama la waziwazi (Mwanzo 1:1; Kutoka 3:14). Benjamin Franklin alipoandika habari zake mwenyewe hakupoteza muda kuthibitisha kama yeye mwenyewe alikuwapo. Vivyo hivyo Mungu hapotezi muda kuthibitisha kama yeye mwenyewe yupo ndani ya maandiko yake. Hali yake ya kubadilisha maisha ya mwanadamu, heshima na miujiza iliyoandamana na kuandikwa kwake kunatosha kuvutia mtu ayaangalie maandiko kwa makini.
Njia ya tatu ambayo Mungu alijidhihirisha nayo ni kupitia mwanawe Yesu kristo (Yohana 14:6-11). “Hapo mwanzo kulikuwako neno; na neno alikuwako kwa Mungu na Huyo neno alikuwa Mungu… na neno akafanyika mwili, akakaa pamoja nasi” (Yohana 1;1, 14). Ndani ya Yesu kristo, “mnadumu utimilifu wote wa Mungu Baba katika mwili” (Wakolosai 2:9).
Ndani ya kuishi kwake Yesu kristo, alizingatia Agano la kale lote kwa ukamilifu na kutimiza unabii woye unaohusiana na masihi (Mathayo 5:17). Alitenda miujiza mingi na kuwahurumia wengi kuuthibitisha ujumbe wake kuwa alikuwa Mungu (Yohana 21:24-25). Tena siku tatu baada ya kusulubiwa kwake akafufuka kutoka kwa wafu jambo lililothibitishwa na wengi (Wakorintho wa kwanza 15:6). Historia yote imejaa ithibati ya Yesu alikuwa nani. Kama mtume Paulo alvyosema, “mambo haya hayakufanyika pembeni” (Matendo 26:26).
Tunajua kuwa wengine watasoma ushahidi huu na mawazo yao wenyewe na baada ya kuufahamu vyema wakubali. Wengine hata baada ya ushahidi huu bado watarudia hali zao za kutoshashawishika (Zaburi 14:1) Yote yanahitaji Imani (Waebrania 11:6).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

UNALIJUA JINA LA MUNGU?

Image may contain: sky and text
Je, Mungu ana jina?
Yesu alisema: “Baba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe.” (Mathayo 6:9) Ingawa Mungu ana majina mengi ya cheo, ana jina moja tu.
Linatamkwa kwa njia tofauti katika kila lugha. Katika Kiswahili kwa kawaida jina hilo linatamkwa “Yehova.” Lakini watu fulani wanalitamka “Yahweh.”—Soma Zaburi 83:18.
Katika Biblia takatifu, jina la Mungu lilipatikana mara 7,000 hivi.
Yesu alifanya jina la Mungu lijulikane alipokuwa akiwafundisha watu kuhusu Mungu.—Soma Yohana 17:26.
Shalom,
Max Shimba mtuwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

JE, MUHAMMAD NI MTUME NA NABII WA UONGO AU WA KWELI?

Image may contain: 1 person, text


Ndugu msomaji,
Mara nyingi Waislam wamekuwa wakisema kuwa, eti, Yesu alitabiri kuja kwa Muhammad, pale alipo sema kuhusu Roho wa Kweli, la hasha.
Nabii ni mtu gani?
Nabii ni mtu aliyeteuliwa rasmi kwa vigezo vya Kiungu ili kuleta ujumbe wa Mungu kwa wanadamu, kwa maneno mengine nabii ni msemaji wa siri za Mungu.
Nabii: Ni mtu ambaye ni msemaji wa Mungu (a mouthpiece of God) .Husimama kati ya Mungu na binadamu, mwenye jukumu la kupeleka ujumbe wa Mungu kwa watu. Nabii anapokuwa msemaji wa Mungu, huvuviwa na Roho wa Mungu, bila ujumbe wake kuwa na makosa. Nabii hujizuia kabisa utashi wake, nafsi yake, na mawazo yake, anapokuwa anatoa ujumbe wa Kinabii toka kwa Mungu. Wakati mwingine Mungu mwenyewe hutia maneno yake vinywani mwao (Kum 18:18, Yer 1:9). Nabii ni mtumishi wa Mungu (Zekaria 1:6) na mjumbe wa Mungu 2 Nyak 36:15).
Ni kweli kuwa Yesu alitabiri kuja kwa manabii, lakini kamwe hakusema lolote kuhusu utume wa Muhammad zaidi ya kukiri kuwa watu wenye sifa kama za Muhammad ni Mitume na Manabii wa Uongo.
Miongoni mwa wanadamu wanaoitwa nabii na mtume, ni mtu aitwaye Muhammad s.a.w ibn Abdullah, ibn Abdu Mutallib, ambaye ni mtume na nabii katika dini ya Kiislamu.
Pengine wewe msomaji wa somo hili unaweza kushangaa ni kwa vipi sisi ambao si Waislamu bali Wakristo tuanze kuhoji habari za Muhammad s.a.w mtume wa Waislamu? Jibu lake ni kwamba kitabu cha Qur’an kinachotumiwa na Waislamu kimetutaja sisi Wakristo mara 62 kikitutaka kuupokea, kuuamini na hatimaye kuufuata ujumbe wa Muhammad s.a.w kwa madai ya kuwa yeye ni nabii na mtume wa mwisho hata kwetu Wakristo, aliyetumwa na Mungu.
YESU ATABIRI KUHUSU MTUME WA UONGO AMBAYE NI MUHAMMAD
Tahadhari ya Bwana Yesu: Bwana Yesu alipokuwa hapa duniani alituonya kuhusu kuwatambua manabii na mitume wa uongo kabla Muhammad hajazaliwa (amezaliwa 570 B.K), wala kabla Uislamu haujaanzishwa na Muhammad mwaka 610 B.K, wala kabla ya kuwepo kitabu kinachoitwa Qur’an. Tunayasoma maonyo hayo ya Bwana Yesu katika
Mathayo 7:15-16 “Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao”.
Mathayo 24:11-13 “Na manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi na kwasababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa. Lakini mwenye kuvumilia mpaka mwisho, ndiye atakayeokoka”.
Yesu katika Ufunuo alisema kuwa watakuja Manabii na Mitume wa Uongo.
Ufunuo 2:2 Nayajua matendo yako na taabu yako, subira yako, na kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume nao sio, ukawaona kuwa waongo.
Je, Muhammad ni nabii wa Mungu?
Je, Muhammad anasifa za nabii wa Mungu?
Hebu endelea na somo hapa chini:
JINSI YA KUMFAHAMU NABII WA UONGO:
Kwa hivyo Muhammad ni miongoni mwa hao Mitume ambao ni waongo, ambao sisi kama Wakristo yatupasa kuutambua uwepo wao hapa Duniani, kwani tumeshapewa angalizo la kuwatambua hawa wanaojiita Mitume na Manabii, hali ya kuwa ni waongo
1 Yohana 4:1-3
1 Wapenzi msiamni kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu: kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea duniani. 2 Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; KILA ROHO IKIRIYO KWAMBA YESU KRISTO AMEKUJA KATIKA MWILI, YATOKANA NA MUNGU, 3 Na Kila roho isiyomkiri Yesu, haitokani na Mungu. Na HII NDIO ROHO YA MPINGA KRISTO ambayo mliskia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
Vigezo hivi tulivyopewa na Biblia Takatifu kuwajua manabii na mitume wa uongo ni muhimu sana tukavichunguza katika maisha ya wale wanaoitwa nabii au mtume
Kila nabii na mtume ambaye yeye hakubali kuwa Kristo alikuja katika mwili, kwa maana kuwa Mungu alidhihirishwa katika mwili, hiyo roho yaani huyo nabii si ambaye anatokana na Mungu, huyo ni Nabii anaetokana na shetani, kwa mujibu ya maandiko Matakatifu, Kristo alidhirishwa katika mwili.
1 Timotheo 3:16 Na Bila shaka siri ya utauwa ni kuu, Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho,
Akaonekana na Malaika, akahubiriwa katika mataifa. akaaminiwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu,
SASA KAMA MNATAKA KUAMINI KUWA KWELI Muhammad ni nabii na mtume wa uongo, waulizeni wafuasi wake,
SWALI LA KUPIMA UNABII WA MUHAMMAD:
Je! Kwa mujibu wa uislamu, Wanakubali kuwa Mungu alikuja kwa njia ya mwili wa kibinadamu na kuonekana?
Wakikubali, basi tambueni kuwa Muhammad ni mtume wa kweli, na wakikataa basi mjue kuwa Muhammad ni nabii na mtume wa Uongo.
SIFA ZA NABII WA KWELI:
Nabii wa kweli hupata ufunuo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu:- 2Petro 1:20-21.” Mkijua neno hili kwanza,ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu;bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu,wakiongozwa na Roho Mtakatifu”.
LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPATA UNABII KWA NJIA HII, SOMA
Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya
“Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo. Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona umekwishakuwa mtume”.
Je, wapi katika Injili au Taurat au Zaburi tunasoma kuwa Manabii na Mitume katika Biblia walipata kwa njia ya homa na kukiri kuchezewa na mashetani kama Muhammad wa kwenye Quran?
1 Petro1:10-11 “Katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta tafuta na kuchunguza chunguza ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi. Wakatafuta ni wakati upi na wakati wa namna gani ulioonywa NA ROHO WA KRISTO ALIYEKUWA NDANI YAO ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaokuwako baada ya hayo…..” (maneno ya msisitizo kwa herufi kubwa ni ya mwandishi)
Ufunuo 19:10 “Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mjoli wako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndiyo roho ya unabii”
Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza mitume na manabii. Katika kitabu cha Ufunuo 2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”
Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo.
Mungu awabarikisana, na tuendelee kujifunza kweli, na kweli itatuweka huru.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13
For Max Shimba Ministries Org.

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA SITA)

Image may contain: 4 people
Katika somo letu la leo, tutaingalia amri ya Sita inayo sema "USIUE". Kitabu cha Kutoka 20:13. Usiue.
Hebu kwanza tumsome Bwana wetu Yesu Kristo anasema nini kuhusu amri kuu:
Luka 4:16 Yesu alipoulizwa, Nifanye nini ili niurithi uzima wa Milele, Yesu alizitaja Amri kumi kama kanuni kuu za Ufalme wa Mungu. Biblia yasema hivi: “Na tazama, mtu mmoja akamwendea akamwambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele? Akamwambia Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri. Akamwambia, Zipi? Yesu akasema, Ni hizi, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI YA SITA KWA KUFANYA MAUWAJI MABAYA SANA.
Hivi kwanini Allah aliruhusu kuuwawa kwa Vikongwe? Hivi kwanini Muhammad alifanya hiyo kazi ya Allah na kuwauwa Vikongwe na ajuza?
Mohammad na kikosi chake kiliuwa wazee wa makamo; Umm Qirfa Fatima, Abu Afak na mzee aliyekataa kusujudia Al-Kaaba.
Baada ya kuuteka mji wa Kaaba Mohammad alimtuma mfuasi wake, Zayd Ibn Haritha kuenda kuuteka kabila ambalo liliukana Uislamu. Zayd bin Haritha alifanikiwa kuuteka huo mji pamoja na kuuwa wazee wakongwe na kuwateka wanawake na watoto walitojaribu kutoroka.
“…na tuliwashambulia kutoka pande zote hadi tukafika karibu na visima vyao ambapo tulipigana vita vikali. Tuliwauwa Aadui zetu wengine huku wengine wakichukuliwa kama mateka wa vita. Niliona kwa mbali kundi la watu lililojumuisha wanawake na watoto wakitoroka. Niliogopa, wasije wakafike mlimani kabla yangu, hivyo nikalenga mshale kati yao na ukaangukia kwa mbele kati yao na mlima. Nikawarudisha nikiwakimbiza kama mifugo walikotoka. (Sahin Muslim 4345)
Umm Qirfa ni miongoni mwa wanawake walitekwa vitani
Alikuwa ajuza (bi kizee), mke wa Malik. Binti yake (na wenzake) walitekwa pia. Zayd Ibn Haritha akaamuru Qays kuuwa Umm Qirfa na akamuuwa kinyama kwa kumfunga kwa kamba kila mguu kwa ngamia mbili na kuwaamuru hao ngamia kuenda pande tofauti. Umm Qirfa alichanika katikati, akatokwa na damu akapasuka mishipa, mifupa na kufa ghafla! (Ibn Ishaq/Hisham 980)
Binti yake ajuza, Umm Qirfa Fatima, aliletwa Makka pamoja na mateka wengine ambapo alipewa kama jizya (zawadi). (Hii ilikuwa kabla ya Mohammad kumtambua)
Niliwatembeza hadi nikawaleta kwa Abu Bakr ambaye alinitunukiza huyu binti kama zawadi. Hivyo tukafika Medina. Sikuwa nimemvua buibui wakati mtume wa Allah (s.a.w) alipokutana nami njiani na kusema; “nipe huyu binti awe mke wangu.” (Sahih Muslim 4345)
Mohammad aliamuru kuuliwa kwa mkongwe aitwaye Abu Afak. Hii ilitendeka miaka miwili baada ya Mohammad kuingia Medina. Abu Afak akikuwa na umri wa miaka 120. ‘kosa’ lake likiwa kuandika mashairi ya kukashifu vitendo vya mtume wa Uislamu-Mohammad vya kuchinja na kuteka wanawake vitani.
Mohammad akasema, “Ni nani ataniadhibia huyu mtwana?” Hivyo mfuasi wake Mohammad akainuka na kumuua Abu Afak. (Ibn Ishaq/Hisham 995).
Alipokuwa anamuua Abu Afak, inasemekana muuaji alimkejeli na kuingiza kisu tumboni mwake na kusema, “chukua hicho Abu Afak, licha ya umri wako.” (Ibn Ishaq/Hisham 995)
Baadaye, Mohammad aliuwa mwanamke aliyekuwa na watoto watano kwa kupinga mauaji ya Abu Afak. Mtume bandia wa Allah aliuwa kila ambaye alipinga mambo yake, badala ya kukumbana na wapinzani wake kwa mjadala wa maantiki.
Vilevile, mkongwe mwingine aliuliwa kutokana na amri ya Mohammad ya kuuwa mtu yeyote kule Mekka ambaye sio mwislamu kufuatia utekaji wa mji huo mwaka 630. (Sehemu ya kuran ya sura ya 9 inaamuru kuchinja). Kifo cha huyu mtu kimenukuliwa kwenye kitabu cha Bukhari:
Mtume alisoma Suratan-Najm (103) akiwa Makka huku akiwa amelala chali na waliokuwa pamoja naye walifanya vivo hivyo isipokuwa mkongwe mmoja aliyechukua funda la mchanga na kuiweka kichwani kisha kusema; “hii yanitosha.” Baadaye, nikaona anauliwa kama kafir. (Bukhari 19:173)
**ni kawaida ya waislamu kulalamika kuwa dini yao inakashifiwa na allah wao kutukanwa. Nataka kuwataarifu kuwa hizo NUKUU sio zangu bali zimenukuliwa kutoka kwa vitabu vya Kiislamu. Mimi ni mjumbe tu.**
Ndugu msomaji, leo umejifunza kwa kutumia vitabu vyao kuwa Allah alimruhusu Muhammad kuuwa vikongwe na ajuza. Hakika hakuna dhambi mbaya kama ya kuuwa vikongwe na ajuza pamoja na watoto kama alivyo fanya Muhammad nabii wa Allah.
MUHAMAMD ALIVUNJA AMRI KUU YA SITA KWA KUFANYA HAYO MAUWAJI.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu. Toto 2:13
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

UNAYAFAHAMU MAJINA YA MUNGU AMBAYO HAYAPO KWENYE UISLAM?






Majina gani tofauti ya Mungu na yanamaanisha nini?
Kila majina mengi ya Mungu huelezea kipengele tofauti cha tabia Yake nyingi. Hapa ni baadhi ya majina ya Mungu inayojulikana zaidi katika Biblia:
EL, ELOAH: Mungu "mwenye ezi, mwenye nguvu, maarufu" (Mwanzo 7: 1; Isaya 9: 6) — kietimolojia, El inaonekana kumaanisha "nguvu," kama "nina uwezo wa kukudhuru" (Mwanzo 31:29). El inahusishwa na sifa zingine, kama uaminifu (Hesabu 23:19), wivu (Kumbukumbu la Torati 5: 9), na huruma (Nehemia 9:31), lakini wazo la mizizi la nguvu linabaki.
ELOHIM: Mungu "Muumba, Mwenye ezi na Nguvu" (Mwanzo 17: 7; Yeremia 31:33) — aina ya wingi ya Eloah, ambayo inashughulikia mafundisho ya Utatu. Kutoka kwa sentensi ya kwanza ya Biblia, asili ya juu ya nguvu za Mungu inaonekana kama Mungu (Elohim) inaongea ulimwengu kuwapo (Mwanzo 1: 1).
EL SHADDAI: "Mungu Mwenye Nguvu," "Mwenye Nguvu wa ya Yakobo" (Mwanzo 49:24; Zaburi 132: 2,5) — huzungumzia nguvu ya Mwenyezi Mungu juu ya yote.
ADONAI: "Bwana" (Mwanzo 15: 2; Waamuzi 6:15) — kutumika katika nafasi ya YHWH, ambayo ilikuwa inachukuliwa na Wayahudi kuwa takatifu sana ili kutamukwa na wanadamu wenye dhambi. Katika Agano la Kale, YHWH hutumiwa mara nyingi katika matendo ya Mungu na watu wake, wakati Adonai inatumiwa zaidi wakati anavyofanya na Mataifa.
YHWH / YAHWEH / YEHOVA: "BWANA" (Kumbukumbu la Torati 6: 4; Danieli 9:14) — kwa kusema, jina pekee la Mungu. Ilitafsiriwa katika maandiko ya Kiingereza "BWANA" (miji yote) ili kuitenganisha kutoka Adonai, "Bwana." Ufunuo wa jina hulitolewa kwanza kwa Musa "MIMI NIKO AMBAYE NIKO" (Kutoka 3:14). Jina hili linafafanua haraka, uwepo. Yahweh yupo, anaweza kupatikana, karibu na wale wanaomwita kwa ajili ya ukombozi (Zaburi 107: 13), msamaha (Zaburi 25:11) na mwongozo (Zaburi 31: 3).
YAHWEH-JIREH: "Bwana Atatoa" (Mwanzo 22:14) — jina lililokumbukwa na Ibrahimu wakati Mungu alipomtoa kondoo awe dhabihu badala ya Isaka.
YAHWEH-RAPHA: "Bwana anayeponya" (Kutoka 15:26) — "Mimi ni Yehova anayekuponya" kwote katika mwili na nafsi. Katika mwili, kwa kuhifadhi na kuponya magonjwa, na katika roho, kwa kusamehe uovu.
YAHWEH-NISSI: "Bwana Bendera yetu" (Kutoka 17:15), ambapo bendera inaeleweka kuwa mahali pa kupatanisha. Jina hili linakumbuka ushindi wa jangwa juu ya Waamaleki katika Kutoka 17.
AHWEH-M'KADDESHY: "Bwana atakayetakasa, hufanya Mtakatifu" (Mambo ya Walawi 20: 8; Ezekieli 37:28) — Mungu anaweka dhahiri kwamba Yeye pekee, sio sheria, anaweza kuwasafisha watu wake na kuwafanya watakatifu.
YAHWEH-SHALOM: "Bwana Wa Amani Yetu" (Waamuzi 6:24) — jina ambalo Gidioni alipewa kwenye madhabahu aliyoijenga baada ya malaika wa Bwana kumhakikishia kwamba hatakufa kwa kumwona.
YAHWEH-ELOHIM: "BWANA Mungu" (Mwanzo 2: 4; Zaburi 59: 5) — Mchanganyiko wa jina la Mungu la kipekee YHWH na "Bwana" wa kawaida, akiashiria kwamba Yeye ni Bwana wa Mabwana.
YAHWEH-TSIDKENU: "Bwana Wa Haki Yetu" (Yeremia 33:16) — Kama ilivyo na YHWH-M'Kaddesh, ni Mungu peke yake ambaye hutoa haki kwa mwanadamu, hatimaye katika mwanadamu wa Mwanawe, Yesu Kristo, aliyekuwa mwenye dhambi kwa ajili yetu "ili tuweze kuwa waadilifu wa Mungu ndani yake" (2 Wakorintho 5:21).
YAHWEH-ROHI: "Bwana Mchungaji Wetu" (Zaburi 23: 1) — Baada ya Daudi kutafakari uhusiano wake kama mchungaji kwa kondoo wake, aligundua kwamba ilikuwa ni uhusiano wa kweli na Mungu, na hivyo anasema, "Yahweh-Rohi Ni Mchungaji wangu. Sitataka "(Zaburi 23: 1).
YAHWEH-SHAMMAH: "Bwana yupo" (Ezekieli 48:35) — jina ambalo limeandikwa kwa Yerusalemu na Hekalu pale, kuonyesha kwamba utukufu wa Bwana uliopita mara moja (Ezekieli 8-11) ulirudi (Ezekieli 44: 1) -4).
YAHWEH-SABAOTH: "Bwana wa Wenyeji" (Isaya 1:24; Zaburi 46: 7) — Mwenyiji inamaanisha "vikundi," vyote vya malaika na wanadamu. Yeye ndiye Mwenyeji wa mbinguni na wanaoishi duniani, Wayahudi na mataifa, yenye matajiri na maskini, bwana na mtumwa. Jina hilo linaelezea ukuu, nguvu, na mamlaka ya Mungu na inaonyesha kwamba anaweza kukamilisha kile anachoamua kufanya.
EL ELYON: "Wa Juu Zaidi" (Kumbukumbu la Torati 26:19) — linatokana na mizizi ya Kiebrania kwa "kwenda juu" au "kupaa," hivyo maana ni ya kile kilicho juu zaidi.El Elyon inaashiria kuinua na kusema juu ya haki kabisa Kwa utawala.
EL ROI: "Mungu wa Kuona" (Mwanzo 16:13) — jina la Mungu lililowekwa na Hagari, pekee na kukata tamaa jangwani baada ya kufukuzwa na Sara (Mwanzo 16: 1-14). Wakati Hagari alipokutana na Malaika wa Bwana, aligundua kuwa amemwona Mungu Mwenyewe katika theophany. Pia alitambua kwamba El Roi alimwona katika dhiki yake na akashuhudia kwamba Yeye ni Mungu anayeishi na kuona yote.
EL-OLAM: "Mungu wa Milele" (Zaburi 90: 1-3) — Hali ya Mungu haina mwanzo au mwisho, bila vikwazo vyote vya wakati, na Yeye ana ndani yake mwenyewe sababu ya wakati yenyewe. "Kutoka milele hata milele, Wewe ni Mungu."
EL-GIBHOR: "Mungu Mwenye Nguvu" (Isaya 9: 6) — jina linaloelea Masiha, Yesu Kristo, katika sehemu hii ya unabii wa Isaya. Kama mwenye ngumu na mpiganaji mkuu, Masiha, Mungu mwenye nguvu, anaweza kutimiza uharibivu wa madui wa Mungu na kuongoza na chuma ya shaba. (Ufunuo 19:15)
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

UNAMJUA KAFIRI WA KWANZA DUNIANI?

Image may contain: one or more people and text
Je, Makafiri ni akina nani?
Je, unawafahamu makafiri wa kwanza ni akina nani?
Neno kafiri ni neno ambalo lipondani ya Biblia Takatifu, kabla hata ya Muhammad mtume wa waislamu kuzaliwa na wala uislamu haujakuwepo nawala Muhammad wala Quran haijaandikwa nawale Waarabu wa 4. Neno hilo kafiri lipo kwenye biblia kwa maana nyepesi neno hilo waislamu wamekuta likitumiwa na waliokuwa wanatumia Biblia Takatifu.
Katika Quran sijaona Wakristo wakiitwa MAKAFIRI, bali Quran nzima inawaita WAKRISTO wamchao Mungu tena wasomi, SURATUL AL-MAIDAH 5:82.
Kwa kuthibitisha kuwa neno KAFIRI limo ndani ya BIBLIA hebu tuziangalie aya chache ndani ya Biblia.
EZEKIEL 34: 28-31
Mistari hiyo ni Mungu mwenyewe anawahakikishia wana wa Israel kuwa hawatakuwa mateka wa MAKAFIRI, hivyo neno hilo hapo limetumika kabla hata uislamu haujakuwepo.
NEHEMIA 5: 8-9
NEHEMIA 5:17
NEHEMIA 6:16
MAOMBOLEZO 1:3
MAOMBOLEZO 1:10
MAOMBOLEZO 5:2
1TIMOTHEO 1:8-11
YUDA 1:4
1YOHANA 4:1-6
Maneno hayo yalisemwa kabla ya Muhammad hajazaliwa wa Quran haijaandikwa nawale waarabu wa 4 yaani Saydina Abubakar, Omar, Athumani na Ali na uislamu ulikuwa haupo.
TUANGALIE NENO KAFIRI LINAVYOTUMIKA
_________________________
Neno KAFIRI ni neno la Kiarabu lenye maana ya Mpingaji kwa kiswahili.
Yaani anaepinga maneno ya Mwenyezi Mungu neno hili lilikuwepo kwenye Biblia kama tulivyoona kwenye baadhi ya mistari ya Biblia hapo juu.
Ilikuwepo neno mpingaji KAFIRI nilazma kuwepo na kauli tangulizi iliyotangulia kusema kwahiyo kauli itakayofuata ya kupinga inaitwa kauli ya mpingaji kwa kiarabu KAFIRI.
Waislamu mara zote hukosi kuwasikia wakisema hawa MAKAFIRI wanatupa tabu au tuwakomeshe au wapigwe hawa MAKAFIRI kauli zao hizo zikitulenga sisi WAKRISTO.
SWALI LA UFAHAMU
Kati ya WAKRISTO au WAISLAMU nani MAKAFIRI?
2) Kati ya Imani ya KIKRISTO na dini ya KIISLAMU ni nani ilitangulia kuwepo duniani?
3) Kati ya YESU na Muhammad ni nani aliyepinga kauli ya mwenzake iliyotangulia?
HISTORIA FUPI KATI YA YESU NA MUHAMMAD.
Bwana Yesu ndiye mwanzilishi wa Imani ya Kikristo.
Waebrania 12:2
Huu ni mwaka 2015 tangu bwana Yesu alipopaa kurudi mbinguni na ni mwaka wa 1436 kwa mwaka wa kiislamu niandiko somo hili la KAFIRI kwani Muhammad alizaliwa mwaka wa 570 nandiye mwanzilishi wa dini ya kiislamu baada ya Yesu.
Hii inathibitisha kuwa Yesu alitangulia kuwepo duniani kabla ya Muhammad hakuna anaepinga hilo.
Kwamaana hiyo kauli za Yesu zitakuwa tangulizi na kauli za IMANI ya Kikristo zitakuwa kauli tangulizi.
Na kauli za Muhammad na Waislamu zitakuwa kauli za kupinga tangulizi.
Yohana 9:35-38
Kauli ya kusema yeye ni Mwana wa Mungu alijisema yeye mwenyewe Yesu aliitumia mwenyewe katika mistari ya sura ya hapo juu.
Hiyo ni kauli tangulizi ikipatikana kauli inasema Yesu sio Mwana wa Mungu hiyo ni kauli inayopinga maanayake ni KAFIRI?
JE NI NANI ALIEANZA KUSEMA YESU NI MWANA WA MUNGU?
LUKA 1:26-35
Hivyo kwa kauli ya mistari ya hapojuu hakuna mwanadamu alieanza kutamka kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu bali ni Mungu mwenyewe kupitia malaika gabriel alietumwa ndie aliyesema Yesu ni Mwana wa Mungu.
MATHAYO 3:13-17
MATHAYO 17:1-15
Hii ni kauli tangulizi iliyotoka kwa Mungu mwenyewe inasema YESU ni mwanae kabla ya Muhammad kuzaliwa wala Quran haijaandikwa nawala uislamu haujaanzishwa kwani uislamu umeanza mwaka 610.
Hii ni kauli tangulizi inatoka kwa Mungu na ikapatikana kauli toka kwa nduguzetu waislamu Yesu sio Mwana wa Mungu huyo atakuwa ni mpingaji kwa kiarabu ni KAFIRI.
JE KAFIRI WA KWANZA NI NANI?
Mungu alipoumba vitu vyoote kisha akamuumba mwanadamu na kumpa maagizo.
MWANZO 2:16-17
Hii kauli tangulizi ya Mwenyezi Mungu kauli itakatopinga kauli hii ni ya mpingaji ambae ni KAFIRI.
Tuangalie kauli iliyopinga kauli ya Mwenyezi Mungu tangulizi ni ya nani?
MWANZO 3:1-4
MUNGU amesema ukila matunda utakufa hakika, anakuja nyoka Shetan Ibilisi anasema HAKIKA HAMTAKUFA. hii ni kauli ya kupinga huyu ni KAFIRI.
Hivyo ukimsikia mtu anasema Yesu sio Mwana wa Mungu huyo ni KAFIRI.
QURAN INASEMAJE?
Surat an- Anaam 6:101 Yeye ndie muumba wa mbingu na ardhi inamkinikaje awe na mwana hali ana mke?
Kauli hii ya Quran ni ya ajabu inamaana Quran nikuwa Mungu awe na mke ndio awe na mtoto? Mawazo yao yakimwili ya kibinaadamu basi Quran inapinga kauli ya kwanza inayosema sisi ni wana wa Mungu si kimwili wala kidamu bali wote waliompokea walifanywa kuwa wana wa Mungu.
Lakini NENO la Mungu linasema.
YOHANA 3:10 KATIKA HILI WATOTO WA MUNGU NI DHAHIRI, NA WATOTO WA IBILISI NAO.
Mstari ukowazi kwamba wewe ukikataa kuwa si Mwana wa Mungu. Basi unae baba yako kwani ibilisi nae ana watoto.
Katika kitabu cha hadithi sahihi Muslim Vol 4. Wake wa Muhammad khadija, zainabu na salama wote hao wanaitwa "Ummul muuminun" yaani MAMA WA WAISLAMU. Inamaana waislamu wote wanawajibu wa kuwaita wa za Muhammad mama zao?
SWALI LA UFAHAMU?
Je Waislamu kwa kuwaita wake za Muhammad mama zao inamaana ndio waliowazaa Waislamu wote?
___________________________
Ukristo ulitangulia kuwepo duniani kabla ya uislamu kwa maana hiyo kauli za uislamu ni kupinga kauli tangulizi za Ukristo yaani wapingaji kwa kiarabu ni KAFIRI.
KUMBE BASI WAISLAM, ALLAH, MUHAMMAD NA JIBRIL NI MAKAFIRI.
Tafakari chukua hatua.
Barikiwa sana
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

YESU NI MUNGU MWENYE KUHIDIMIWA MILELE

Image may contain: text
Warumi Mlango 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina. 

Neno la Mungu linatuambia yafuatayo:
1. Yesu yupo Juu ya mambo yote.
2. Yesu ni Mungu.
3. Yesu ni mwenye kuhidimiwa milele.

Tunapo sema Yesu ni Mungu huwa hatubahatishi.

Shalom,

Max Shimba Mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW