Friday, December 7, 2018

YESU NI MUNGU MWENYE KUHIDIMIWA MILELE

Image may contain: text
Warumi Mlango 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina. 

Neno la Mungu linatuambia yafuatayo:
1. Yesu yupo Juu ya mambo yote.
2. Yesu ni Mungu.
3. Yesu ni mwenye kuhidimiwa milele.

Tunapo sema Yesu ni Mungu huwa hatubahatishi.

Shalom,

Max Shimba Mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

Divine Uncertainty in Qur’an 47:28: A Theological Inquiry into Allah’s “Installation”

  Divine Uncertainty in Qur’an 47:28: A Theological Inquiry into Allah’s “Installation” By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute...

TRENDING NOW