Leo nimeamua kukata ngebe za Wafilisti kuhusu Mtume Paulo ambaye anawanyima usingizi kila siku Waislam na Allah wao. Paulo alikuwa Mtume wa Mungu, hebu tusome Biblia:
Wagalatia 1:1 Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu
Biblia ipo wazi kabisaa, kuwa Paulo alitumwa na Mungu, wakati Muham-mad alitumwa na Jibril ambaye si Mungu. Koran inakiri kuwa Muham-mad alikutana na Jibril na hakuwai kukutana na au ongea na Mungu. Lakini tunasoma katika Biblia kuwa, Paulo alipewa utume na Mungu mwenyewee.
Warumi 1:1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, ALIYEITWA KUWA MTUME na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu
Ningependa kuanzia leo, ieleweke kuwa Waislam wanafuata kanyaboya. Muham-mad hakuwai ongea na Mungu. Muham-mad hakutumwa na Mungu. Muham-mad ni Mtume Bandia asie na hili wale lile.
Mitume wote ambao tunawasoma katika Biblia, waliongea na Mungu moja kwa moja na bila ya kutumia msaada wa Malaika. Lakini Muham-mad anatumia msaada wa Jibril, kiumbe kinacho daiwa kuwa ni Malaika aliye tumwa na Allah. Kwanini Muham-mad ndie mtume pekee anayetumia c/o katika mawasiliano yake na mungu wa Islam? Je, Allah ni Mungu? Kama ni Mungu, mbona anatumia usaidizi katika kuongea na Muham-mad wa Islam? Mbona Mungu wa Biblia hakutumia usaidizi kuongea na Mitume wake?
Mkishindwa kutuletea aya kutoka Koran au Biblia inayo sema Paulo si Mtume wa Mungu, basi kushindwa kwenu ndio ushaidi tosha kuwa Muham-mad alikuwa Mtume Bandia na Paulo ni Mtume wa Mungu.
Waislam, tuleteeni aya ambayo inasema kuwa Paulo hakuwa Mtume.
Swali limeenda shule hilo
Max Shimba Ministries
Sunday, December 1, 2013
MTUME PAULO AENDA UARABUNI BAADA YA KUOKOKA
Kufuatana na kitabu cha Wagalatia, Mtume Paulo baada ya kuokoka alikwenda Uarabuni. Hebu tuisome Biblia kwa ushaidi yakinifu:
Wagalatia1: 17wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla
yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
Kwanini Mtume Paulo alikwenda Urabauni baada ya kuokoka?
Mtume Paulo alikwenda kufanya nini Uarabuni?
Ndugu Wasomaji, Ukumbi ni wenu kujadili.
Max Shimba Ministries
Saturday, November 30, 2013
Televangelist Paul Crouch, founder of TBN, dies at 79
Source: LA Times

By Elaine Woo
Paul Crouch, a pioneering televangelist who founded Trinity Broadcasting Network, the world’s largest Christian TV network, died today, according to the network's website. He was 79.
The church reported in October that Crouch had fallen ill and was taken to a Dallas-area hospital while on a visit to a TBN facility in Colleyville, Texas. He had "heart and related health issues," the church said, and he was later returned to California for continued treatment.
The son of a Missouri missionary, Crouch moved to California in the early 1960s to manage the movie and television unit of the Assemblies of God. A decade later, after receiving what he believed was a message from God, he began to buy television stations, cable channels and satellites and developed enough Christian programming to sustain a 24-hour network.
By the mid-1980s, Orange County-based TBN was “the country’s most-watched religious network,” according to J. Gordon Melton and Jon R. Stone in their book “Prime-Time Religion: An Encyclopedia of Religious Broadcasting.”
Read more: http://www.latimes.com/obituaries/la-televangelist-paul-crouch-who-founded-the-world-famous-trinity-broadcasting-network-dies-at-79-20131130,0,5660860.story
By Elaine Woo
Paul Crouch, a pioneering televangelist who founded Trinity Broadcasting Network, the world’s largest Christian TV network, died today, according to the network's website. He was 79.
The church reported in October that Crouch had fallen ill and was taken to a Dallas-area hospital while on a visit to a TBN facility in Colleyville, Texas. He had "heart and related health issues," the church said, and he was later returned to California for continued treatment.
The son of a Missouri missionary, Crouch moved to California in the early 1960s to manage the movie and television unit of the Assemblies of God. A decade later, after receiving what he believed was a message from God, he began to buy television stations, cable channels and satellites and developed enough Christian programming to sustain a 24-hour network.
By the mid-1980s, Orange County-based TBN was “the country’s most-watched religious network,” according to J. Gordon Melton and Jon R. Stone in their book “Prime-Time Religion: An Encyclopedia of Religious Broadcasting.”
Read more: http://www.latimes.com/obituaries/la-televangelist-paul-crouch-who-founded-the-world-famous-trinity-broadcasting-network-dies-at-79-20131130,0,5660860.story
Friday, November 29, 2013
ALLAH NI MUONGO KUTOKANA NA BIBLIA NA KORAN
Je, Allah na Shetani ni yule yule mmoja?
Katika ujumbe wa leo, nitaweka ushaidi wa Kibiblia na Koran ambao unatuambia kuwa, Allah ambaye ndie mungu wa dini ya Kiislamu ni muongo.
Biblia inasema kuwa MUONGO ni yeyote yule anaye sema Yesu si Kristo na anaye mkana Baba(Jehovah) na Mwana (Yesu).
Hebu tusome kwanza Biblia:
1 Yohana 2:22-26; Je, mwongo ni nani? Mwongo ni yule anayekana kwamba Yesu si Kristo. Mtu huyo ndiye mpinga-Kristo, anayemkana Baba na Mwana. 23 Mtu anayemkana Mwana hawezi kumjua Baba; mtu anayemkiri Mwana anamjua na Baba pia. 24 Hakikisheni kwamba ujumbe mliosikia tangu mwanzo unadumu mioyoni mwenu. Ujumbe huo ukikaa mioyoni mwenu, ninyi pia mtadumu ndani ya Mwana na ndani ya Baba. 25 Na yeye ametuahidi uzima wa milele. 26 Ninawaandikia mambo haya kuhusu wale wanaojaribu kuwapo tosha.
Biblia inatufundisha kuwa, mwongo ni mtu yeyote yule anaye pinga kuwa Yesu si Kristo, zaidi ya hapo, Biblia inaendelea kutufundisha kuwa mtu anaye mkana Yesu hawezi kumjua Baba yake. Kumbe ndio maana Waislam wanasema kuwa Mungu hawezi kuwa Baba na wala hana Mwana!
Allah wa Koran anamkata Yesu kama Mwana na anakana kuwa Jehovah si Baba wa Yesu. Soma Quran hapa chini.
Quran 19:35. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
Katika Surah Maryam hapo juu, Allah anasema kuwa Mwenyezi Mungu hana Mwana, jambo ambalo ni kinyume na aya tuliyo isoma kutoka Biblia kuwa, Muongo ni mtu na au kiumbe chechote kile kinacho pinga kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu na anaye mkana Baba yake (1Yohana 2: 22-26). Allah amesha mkana Baba, hivyo basi Allah teyari amenyakuwa sifa ya uongo.
Je, Allah ni Mungo? Hebu tuendelee kusoma Koran. Quran 1539. Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenipotosha na kunitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Katika aya hapo juu, Shetani anasema kuwa, Allah ndiye aliye mpotosha na kumfanya awe mbaya. Kumbe Allah ndie mwanzislishi wa upotoshaji/uongo? Ushaidi zaidi utaupata katia Surah na aya zifuatazo 3:54, 3:54, 7:123, 13:42, 14:46, 16:26, 16:45, 27:50, 40:45, 71:22 impf. act. 6:123, 6:123, 6:124, 8:30, 8:30, 8:30, 10:21, 12:102, 16:127, 27:70, 35:10 n.vb. 7:99, 7:99, 7:123, 10:21, 10:21, 12:31, 13:33, 13:42, 14:46, 14:46, 14:46, 27:50, 27:50, 27:51, 34:33, 35:10, 35:43, 35:43, 71:22 pcple. act. 3:54, 8:30
katika Surat-Nisai 171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu.
Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka.
Allah anasema kwamba watu wa Kitab ambao ni Wakristo wasisema mabaya kuhusu Allah ila, wakiri kuwa Yesu ni Mtume tu na wasiseme kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, wala wasiseme kuwa Kuna Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Allah anaendelea kuonyesha tabia yake ya uongo katika aya hapo juu.
Sasa endelea kusoma Biblia na ufahamu sifa zaidi za muongo.
Yohana 8:44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanga nya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
Katika aya hapo juu tunafundishwa kuwa, watoto wa Shetani wanapenda kufanya maovu kama baba yao. Ndio maana tunasoma kwenye Koran kuwa, Allah ametoa amri kwa wafuasi wake kuuwa mtu yeyote yule anayekataa kuwa Muislam. Kuuwa ni kufanya maovu, lakini kwa Allah kuuwa ni kufanya jambo jema Quran 2:244, 3:151, 4:74, 4:89, 4:95, 4:104, 5:33, 8:12.
Allah akatika Surat An Nisaai anatimiza yale yote yaliyo semwa katika Yohana 8:44, ambayo ni adhama zote za Shetani:
Quran 4 Surat An Nisaai Allah anasema 74. Basi nawapigane katika Njia ya Allah wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa Akhera. Na anaye pigana katika Njia ya Allah kisha akauliwa au akashinda basi tutakuja mpa ujira mkubwa.
Hii surah ambayo iliteremka Makkah inaonyesha dhahir tabia ya Allah ambayo haina tofauti na Shetani aliye semwa katika Biblia. Yesu anasema jinsi gani Shetani anafanya kazi, na nini hasa hufanya kwa binadamu. Soma Yohana 10:10 Mwivi huja ili aibe, kuua na kuangamiza. Mimi nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele.
Hiyo ndiyo kazi ya Shetani ambayo tunaiona katika Allah wa Koran. Shetani ni Baba wa Uongo, vivyo hivyo, Allah naye ni Baba wa Uongo katika Uislam. Shetani ni muuaji, vivyo hivyo, Allah nayeye anatoa amri ya kuuwa Makafir wote katika Koran 9:14, 9:20, 9:38-39. Suran 9:14. Piganeni nao, Allah awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini.
Ndugu wasomaji, Allah ameonyesha adhama zote za Shetani kuwa ni zake. Mungu huwa hasemi uongo wala achonganishi watu ili wapigane kwa ajili yake. Allah si Mungu.
Nimategemeo yangu kuwa, utafanya utafiti zaidi ili uweze kuona tofauti zilizopo kati ya Mungu wa Biblia na Allah wa Koran.
Katika huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Wednesday, November 27, 2013
YESU HAKUWA MUISLAM
USHAIDI WA KIBIBLIA
NA KORAN
Waumini wa dini ya
Kiislam wamekuwa na tabia ya kuseka kuwa, eti, Yesu alikuwa ni Muislam. Madai
haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa
na ushaidi yakinifu kusaidia madai yao.
Leo nitajibu madai
haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:
YESU
HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana
na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanya shahada.
Yesu hakusema SHAHADA (La ilaha illallah) na hakuna ushaidi
wa Kibiblia au Koran unao sema kuwa Yesu alisema SHAHADA. Hivyo basi, Yesu
hakuwa Muislam.
YESU
HAKUWAI KUMWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba
na au kumwabudu “Allah”, lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake,
Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho
yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao,
ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba
na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.
YESU
HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia
Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu “ALLAH”. Quran
2:149. Na popote wendako elekeza uso
wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi.
Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako
kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili
watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi
msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na
ili mpate kuongoka.
Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi
aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni
soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama
mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie;
na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa
ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.
YESU
HAKUFUNDISHA KUHUSU KAABA
Yesu
hakuwai sema na au fundisha wanafunzi wake kuhusu “KAABA”. Jambo ambalo tunaona
linafanywa na Waislam na lilifundishwa na Muhammad mtume wa Allah.
YESU
HAKUFUNGA SWAUMU KILA MWAKA
Yesu
hakuwa anafunga Ramadhani/Saumu kila mwaka, jambo ambalo ni sehemu ya Uislam
kufunga ramadhani kila Mwaka. Quran 2:183, Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu,
kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.
Hakuna hata sehemu moja katika Biblia ambayo tunasoma kuwa Yesu alitoa
amri kwa wafuasi wake kuwa ni lazima wafunge swaumu kila mwaka, lakini tunasoma
kuwa Mathayo 6:16-18: Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana;
maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin,
nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe
uso;
18 ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
18 ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
YESU
HAKUFANYA JIHAD
Yesu
hakufanya Jihad kama ilivyo amri ya kila Muislam kufanya Jihad. Quran 2:216. Mmeandikiwa
kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni
kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu
anajua na nyinyi hamjui. Lakini Yesu alisema yafuatayo kuhusu kupigana: Yohana
18: 36 Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu.
Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania,
nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.
Katika aya hapo juu, Yesu anatufundisha kuwa Ufalme wake si
wa hapa Duniani bali Mbinguni, hivyo basi hawezi kufanya Jihad kama Allah
alivyo waamrisha Waislam. Yesu hakuwa Muislam na hakufanya Jihad.
YESU ALISEMA PENDENI ADUI ZENU, WAKATI ALLAH ANASEMA
WACHUKIENI WAKRISTO NA WAYAHUDI
Yesu hakuwachukia watu ambao walikuwa wanampinga, lakini
aliwapenda na kuwaombea, kinyume na maamrisho ya Allah kwa Waislam wote. Soma
Mathayo 5:44. lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu,
waombeeni wanaowaudhi.
Sasa Msome Allah anavyo panda chuki kwa
wafuasi wake. Quran 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye
Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni
mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
YESU HAKUFUNDISHA KUPIGA WAZINZI
MAWE
Yesu hakupiga watu Mawe na wala hakufundisha kuwa Wazinzi wapigwe Mawe
kama ambayo inafundishwa kwenye dini ya Uislam. Msome Yesu hapa: Yohana 8: 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate
sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na
dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
Lakini katika Uislam tunamsoma Muhammad
akitoa amri ya kupigwa mawe mdhinifu: Volume 2, Kitabu 23, Namba 413:
Alisimulia 'Abdullah bin' Umar:
Myahudi kuleta kwa Mtume Muhammad watu wawili Mwanaume na
mwanamke ambao walikamatwa wakifanya uzinzi kinyume cha sheria za ngono. Mtume
Muhammad aliamrisha wote wawili wapigwe mawe mpaka kifo, karibu na mahali pa
sadaka ya sala ya mazishi iliyopo kando ya msikiti.
Hivyo basi Yesu hakuwa Muislam na hakupiga wazinzi mawe
lakini tunamsoma Muhammad akipiga watu mawe na akifundisha kupigwa mawe kwa
Wazinzi katika Uislam.
YESU HAKUFUNDISHA WATU WATAWADHE KABLA YA KUOMBA
Yesu hakufanya na au fuata sharia za kuosha na au kutawadha kama
ambavyo Waislam wanafanya kila siku. Msome Yesu katika Mathayo 15:2-11. Lakini Allah
anafanya mila za kuosha na au kutawadha mwili kabla ya kumwabudu. Quran 5:6.
Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na
mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka
vifundoni. Na mkiwa na janaba basi ogeni. Na mkiwa wagonjwa au mmo safarini, au
mmoja wenu ametoka chooni au mmewagusa wanawake, na hamkupata maji, basi
tayamamuni vumbi lilio safi, na mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hapendi
Mwenyezi Mungu kukutieni katika taabu; bali anataka kukutakaseni na kutimiza
neema yake juu yenu ili mpate kushukuru.
Yesu hakuwa anatawadha kabla ya
kumwomba Baba yake kama ilivyo katika Uislam. Yesu hakuwa Muislam.
YESU HAKUWAI TUMIA MANENO “SAW”
AU “PBUH”
Yesu hakuwai waambia watu waandike vifupisho “SAW” na “PBUH” baada ya
kutaja majina yao, kinyume chake Allah na Mtume wake wanafundisha kusema hivyo
katika Uislam baada ya kutaja majina ya Mitume na Manabii.
Ndugu wasomaji, leo tumemsoma Yesu na
tumesoma tabia yake na mafundisho yake
machahe ambayo yote yanapinga sheria na mila za kiislam.
Ni mategemeo yangu kuwa, kijarida hiki kitakusaidia kuelewa
kuwa Yesu hakufuata mila za Kiislam na wala hakumwabudu Allah.
Mungu awabairiki sana
Katika Huduma Yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Monday, November 25, 2013
Mkutano wa Mchungaji Josephat Gwajima umevunja rekodi ya mahudhurio katika mkoa wa Tanga
Mkutano ulioanza jana chini ya kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na mchungaji Josephat Gwajima umevunja rekodi ya mahudhurio katika mkoa wa Tanga baada ya maelfu ya watu kukusanyika katika uwanja wa Tangamano kunakofanyika mkutano huo na kusababisha uwanja huo kuonekana mdogo. Kati ya vitu vilivyovutia macho ya wengi ni mahudhurio ya watu kutoka dini tofauti waliofika katika mkutano huo.
Angalia baadhi ya picha mambo yalivyokuwa hapo jana.
Angalia baadhi ya picha mambo yalivyokuwa hapo jana.
![]() |
| Mchungaji Gwajima akiongea na dada aliyewahi kuwekwa msukule zamani akishuhudia maelfu ya watu wa Tanga. |
Sunday, November 24, 2013
UTATA KATIKA UUMBAJI, ALLAH KAUMBA KILA KITU KATIKA JOZI (PAIR):
Allah wa dini ya Kiislamu amekuwa na tabia ya kuchanganya mambo, jambo ambalo linafanya wataalam wa mambo ya dini kujiuliza maswali ambayo yanakosa majibu kutoka kwa Allah.
Katika somo letu la leo, Allah anasema kuwa, aliumba kila kitu katika “JOZI” (Pair).
Quran 51:49. Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
Allah anadai kuwa kila kitu amekiumba kwa jinsia mbili, jinsia ya kiume na jinsia ya kike kama alivyo sema kwenye aya hapo juu.
Hebu tumwangalie binadamu, je, kuna jinsia mbili za kiini cha damu yako (blood cell). Kufuatana na madai ya aya hapo juu, Allah anasema kuwa hata kiini cha damu yako kipo kwa jinsia mbili. Hivi, kweli Allah aliumba? Mbona anaonyesha upungufu wa hekima na uelewo wa sayansi? Unaweza kusema kuwa, labda Max Shimba anamsingizia Allah au labda Max Shimba ameshindwa kuielewa hiyo aya, kwasababu ya kushindwa kuisoma katika lugha yake ya asili, nikimaanisha Kiarabu. Endelea kusoma Koran na tuone kama kweli ni makosa ya kusoma na kuelewa au ni Allah mwenye kukosa ufahamu katika uumbaji.
Allah kaumba Matunda Dume na Matunda Jike:
Quran 13: 3. Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humo milima na mito. Na katika kila matunda akafanya dume na jike. Huufunika usiku juu ya mchana. Hakika katika haya zimo Ishara kwa watu wanao fikiri.
Allah anasema kuwa Nukuu “Na katika kila matunda akafanya dume na jike”. Ameumba Matunda Dume na Jike!!! Haya kweli ni maajabu ya uumbaji wa Allah. Labda ndugu msomaji wewe umesha wai ona Ndizi Dume na Ndizi Jike? Labda umesha wai kubahatika kula Embe Jike na Embe Dume, lakini katika dunia tunayo ishi hii leo, hayo madai ya Allah yanashindwa kujitekeleza na kukosa ushaidi wa aina yeyote ile. Huu ni Msiba katika dini ya Allah.
Hebu tuangalie baadhi ya viumbe ambavyo haviitaji jinsia mbili ili vizaliane.
Bakteria, Kuna kundi zima la fungi (Deuteromycete / Fungi Imperfecti ) ambao hawana mizunguko ya ngono. Kuna kundi zima la viumbe wich ambalo haliitaji ngono ili kuzaliana. Mimea yote ni ya jinsia moja.
Basi, kuna minyoo ambayo huzaliana kwa kujamiiana lakini wote ni wa jinsia na au aina moja, wanaitwa “huntha". Konokono karibia wote ni wa aina ya huntha (hermaphrodite).
Kufuatana na ukweli niliouweka hapo juu, basi lazima tujiulize maswali yafuatayo:
1. Je, inawezekana kuwa labda Allah alikosea kuteremsha aya hizi za Koran?
2. Au inaweza kuwa kwamba mtu ambaye alikuwa anamakosa hakuwa Allah bali ni Jibril aliye shusha hizi aya kimakosa?
3. Labda ukosaji wa Elimu wa Muhammad ulisababisha makosa haya ya kisayansi?
Ndugu wasomaji:
Mungu huwa hafanyi makosa wala hatendi dhambi. Hiyo ni sifa na adhama pekee ya MUNGU. Lakini, Allah ameonyesha MAKOSA NA UTATA MWINGI SANA katika Koran.
Je, Allah aliumba? Hebu soma hii aya:
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Katika aya hapo juu, ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE
Je Nani kaumba Kiume na Kike?
Ni mategemeo yangu kuwa, kijarida hiki kitakusaidia kuelewa kuwa. Mungu muumbaji ni Jehova wa Biblia na Allah wa Koran anaapa kwake.
Mungu awabairiki sana
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Katika somo letu la leo, Allah anasema kuwa, aliumba kila kitu katika “JOZI” (Pair).
Quran 51:49. Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
Allah anadai kuwa kila kitu amekiumba kwa jinsia mbili, jinsia ya kiume na jinsia ya kike kama alivyo sema kwenye aya hapo juu.
Hebu tumwangalie binadamu, je, kuna jinsia mbili za kiini cha damu yako (blood cell). Kufuatana na madai ya aya hapo juu, Allah anasema kuwa hata kiini cha damu yako kipo kwa jinsia mbili. Hivi, kweli Allah aliumba? Mbona anaonyesha upungufu wa hekima na uelewo wa sayansi? Unaweza kusema kuwa, labda Max Shimba anamsingizia Allah au labda Max Shimba ameshindwa kuielewa hiyo aya, kwasababu ya kushindwa kuisoma katika lugha yake ya asili, nikimaanisha Kiarabu. Endelea kusoma Koran na tuone kama kweli ni makosa ya kusoma na kuelewa au ni Allah mwenye kukosa ufahamu katika uumbaji.
Allah kaumba Matunda Dume na Matunda Jike:
Quran 13: 3. Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humo milima na mito. Na katika kila matunda akafanya dume na jike. Huufunika usiku juu ya mchana. Hakika katika haya zimo Ishara kwa watu wanao fikiri.
Allah anasema kuwa Nukuu “Na katika kila matunda akafanya dume na jike”. Ameumba Matunda Dume na Jike!!! Haya kweli ni maajabu ya uumbaji wa Allah. Labda ndugu msomaji wewe umesha wai ona Ndizi Dume na Ndizi Jike? Labda umesha wai kubahatika kula Embe Jike na Embe Dume, lakini katika dunia tunayo ishi hii leo, hayo madai ya Allah yanashindwa kujitekeleza na kukosa ushaidi wa aina yeyote ile. Huu ni Msiba katika dini ya Allah.
Hebu tuangalie baadhi ya viumbe ambavyo haviitaji jinsia mbili ili vizaliane.
Bakteria, Kuna kundi zima la fungi (Deuteromycete / Fungi Imperfecti ) ambao hawana mizunguko ya ngono. Kuna kundi zima la viumbe wich ambalo haliitaji ngono ili kuzaliana. Mimea yote ni ya jinsia moja.
Basi, kuna minyoo ambayo huzaliana kwa kujamiiana lakini wote ni wa jinsia na au aina moja, wanaitwa “huntha". Konokono karibia wote ni wa aina ya huntha (hermaphrodite).
Kufuatana na ukweli niliouweka hapo juu, basi lazima tujiulize maswali yafuatayo:
1. Je, inawezekana kuwa labda Allah alikosea kuteremsha aya hizi za Koran?
2. Au inaweza kuwa kwamba mtu ambaye alikuwa anamakosa hakuwa Allah bali ni Jibril aliye shusha hizi aya kimakosa?
3. Labda ukosaji wa Elimu wa Muhammad ulisababisha makosa haya ya kisayansi?
Ndugu wasomaji:
Mungu huwa hafanyi makosa wala hatendi dhambi. Hiyo ni sifa na adhama pekee ya MUNGU. Lakini, Allah ameonyesha MAKOSA NA UTATA MWINGI SANA katika Koran.
Je, Allah aliumba? Hebu soma hii aya:
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Katika aya hapo juu, ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE
Je Nani kaumba Kiume na Kike?
Ni mategemeo yangu kuwa, kijarida hiki kitakusaidia kuelewa kuwa. Mungu muumbaji ni Jehova wa Biblia na Allah wa Koran anaapa kwake.
Mungu awabairiki sana
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Jesus Christ is the Answer
Jesus Christ is the Answer
By Micah Yoder; 11/11/2004
This world is full of problems of which people are desperate to find solutions. What few realize, however, is that the answer is right under our noses! The God who created the universe has a Name by which anything is possible! Look at how Paul describes Christ's position:
For by him [Jesus] all things were created, in the heavens and on the earth, things visible and things invisible, whether thrones or dominions or principalities or powers; all things have been created through him, and for him. He is before all things, and in him all things are held together. He is the head of the body, the assembly, who is the beginning, the firstborn from the dead; that in all things he might have the preeminence. For all the fullness was pleased to dwell in him; and through him to reconcile all things to himself, by him, whether things on the earth, or things in the heavens, having made peace through the blood of his cross. (Colossians 1:16-20)
Yes, He is above all. Above all of your needs and above all of your problems. Let's take a look at some specific ways in which He can lead us to victory!Tuesday, November 19, 2013
NINI MAANA YA KUUMBWA KWA MFANO WA MUNGU?
Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika somo hili la uumbaji wa binadamu, nitajibu hoja na maswali mbali mbali ambayo yanaulizwa zaidi na waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini, kupitia wahadhiri wao wa Dini, Waislamu wamekuwa wakipinga kuwa Mungu hana Mfano kama ilivyo andikwa katika kitabu cha Mwanzo Sura ya Kwanza na aya ya 26.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu kuumbwa kwa Binadamu kwa Mfano wa Mungu na nini maana yake:
Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu alisema, "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu" (Mwanzo 1:26). Mungu alimuumba Mtu kutoka vumbi na akampa uhai kwa kumpulizia pumzi yake mwenyewe (Mwanzo 2:07). Binadamu ni kiumbe cha kipekee ambacho Mungu alikiumba na baada ya kukiumba, akatumia pumzi yake kukipa uhai, zaidi ya hapo, binadamu ni kiumbe pekee chenye Mwili, Roho na Nafsi.
Kuwa "mfano" wa Mungu maana yake, katika suala rahisi ni kwamba sisi hatufanani na Mungu katika maana ya mwili na sura na/au mwonekano wetu, bali sisi tunafanana na Mungu katika Roho. Maandiko yanasema kwamba "Mungu ni roho" (Yohana 4:24). Binadamu tuna Mwili, Roho, na Nafsi. Unaweza kuniuliza, ni kivipi ninaweza kuthibitisha hayo? Ngoja nikupe mfano mdogo. Mtu anapo kufa, huwa tunasema hivi: Huu ni Mwili wa Marehemu “Fulani”. Kwanini tunauita “MWILI WA MAREHEMU”…Fulani? Kwa kifupi ni kwamba, Yule ambaye alikuwa anaishi katika huo MWILI amesha ondoka na/au toka katika huo MWILI na kwenda sehemu nyingine. Kumbe basi Binadamu si Mwili, bali kuna zaidi ya MWILI.
Biblia inasema kuwa, Mungu alipo pulizia pumzi ya uhai ule udongo ambao aliuumba, huo udongo ukafanyika na ukawa kiumbe chenye uhai. Kumbe basi, kilicho fanya huo udongo kuwa kiumbe chenye uhai ni ile pumzi ambayo Mungu alipulizia ule udongo alio ufanya katika umbo la mtu. Hiyo pumzi ndio Roho ya Binadamu. Hiyo Roho ndio mfano halisi wa Mungu.
Sasa tuagalie zaidi maana ya Sura ya Mungu na inahusiana kivipi na sisi Wanadamu. Mtu ni tofauti na hafanani na Wanyama amboa hawana mamlaka juu ya vilivyo umbwa, nikimaanisha kuwa Binadamu alipewa Mamlaka katika kila kitu ambacho kipo hapa duniani (Mwanzo 1:28), na zaidi ya hapo, binadamu alikuwa na uwezo wa kuzungumza na Muumba wake, kitu ambacho Wanyama wote hawana.
Hebu, tumtazame Binadamu kiakili, kimaadili, na kijamii.
Kiakili, mtu ameumbwa kama wakala wa busara. Kwa maneno mengine, mtu anaweza kuchagua nini anataka kufanya kwa kutumia fikra yakinifu na/au pevu. Kwa kufanya hivyo, mtu ameonyesha uhuru wa akili ambayo Mungu anao. Mfano, mtu anapo tengeneza mashine, anapoandika kitabu, fanya mambo mbalimbali, huko ndiko kuna ashiria neno la kufanana na Mungu, maana Mungu aliumba vitu vyote na sasa binadamu anaonyesha ustadi wa akili pevu kwa kufanya mambo ya uvumbuzi katika sura ya Mungu.
Kimaadili, mtu aliumbwa kwa uadilifu na kutokuwa na hatia ya dhambi, huo ni mwaonekano wa utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila alichokifanya ( pamoja na uumbaji wa Mwanadamu) alikiita kuwa ni "kazi nzuri sana" (Mwanzo 1:31). Dhamiri zetu au "dira ya maadili yetu" ni alama ya awali ya hali tuliyo kuwa nayo. Binadamu tumetunga na kuandika sheria za kutuongoza na uovu, sifa na tabia nzuri , nk, hayo yote ni kuthibitisha ukweli kwamba sisi tulifanywa na/au umbwa katika mfano wa Mungu mwenyewe.
Kijamii, mtu aliumbwa kwa ajili ya ushirika na/au kushirikiana. Huu ni uthibitisho kuwa Mungu ni Utatu ambao ni asili ya upendo wake. Katika Bustani ya Edeni, Mtu alikuwa na uhusiano na Mungu (Mwanzo 3:08 ina maana ushirika na Mungu ), na Mungu alifanya mwanamke wa kwanza kwa sababu "si vema huyo mtu awe peke yake " (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapo oa, hufanya urafiki na huyo aliye muoa, huzaa watoto na kuwa na familia hayo yote ni kutuonyesha ukweli kwamba sisi ni tulifanywa katika mfano wa Mungu.
Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adam alikuwa na uwezo wa kufanya uchaguzi kwa huru. Adam alipewa haki ya kuchangua mema au mabaya, uhuru huo ni sehemu ya mfano wa Mungu.
Ndugu msomaji, nategemea leo umefahamu kidogo maana ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni katika Roho na si Mwili au mwonekano wetu. Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Katika somo hili la uumbaji wa binadamu, nitajibu hoja na maswali mbali mbali ambayo yanaulizwa zaidi na waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini, kupitia wahadhiri wao wa Dini, Waislamu wamekuwa wakipinga kuwa Mungu hana Mfano kama ilivyo andikwa katika kitabu cha Mwanzo Sura ya Kwanza na aya ya 26.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu kuumbwa kwa Binadamu kwa Mfano wa Mungu na nini maana yake:
Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu alisema, "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu" (Mwanzo 1:26). Mungu alimuumba Mtu kutoka vumbi na akampa uhai kwa kumpulizia pumzi yake mwenyewe (Mwanzo 2:07). Binadamu ni kiumbe cha kipekee ambacho Mungu alikiumba na baada ya kukiumba, akatumia pumzi yake kukipa uhai, zaidi ya hapo, binadamu ni kiumbe pekee chenye Mwili, Roho na Nafsi.
Kuwa "mfano" wa Mungu maana yake, katika suala rahisi ni kwamba sisi hatufanani na Mungu katika maana ya mwili na sura na/au mwonekano wetu, bali sisi tunafanana na Mungu katika Roho. Maandiko yanasema kwamba "Mungu ni roho" (Yohana 4:24). Binadamu tuna Mwili, Roho, na Nafsi. Unaweza kuniuliza, ni kivipi ninaweza kuthibitisha hayo? Ngoja nikupe mfano mdogo. Mtu anapo kufa, huwa tunasema hivi: Huu ni Mwili wa Marehemu “Fulani”. Kwanini tunauita “MWILI WA MAREHEMU”…Fulani? Kwa kifupi ni kwamba, Yule ambaye alikuwa anaishi katika huo MWILI amesha ondoka na/au toka katika huo MWILI na kwenda sehemu nyingine. Kumbe basi Binadamu si Mwili, bali kuna zaidi ya MWILI.
Biblia inasema kuwa, Mungu alipo pulizia pumzi ya uhai ule udongo ambao aliuumba, huo udongo ukafanyika na ukawa kiumbe chenye uhai. Kumbe basi, kilicho fanya huo udongo kuwa kiumbe chenye uhai ni ile pumzi ambayo Mungu alipulizia ule udongo alio ufanya katika umbo la mtu. Hiyo pumzi ndio Roho ya Binadamu. Hiyo Roho ndio mfano halisi wa Mungu.
Sasa tuagalie zaidi maana ya Sura ya Mungu na inahusiana kivipi na sisi Wanadamu. Mtu ni tofauti na hafanani na Wanyama amboa hawana mamlaka juu ya vilivyo umbwa, nikimaanisha kuwa Binadamu alipewa Mamlaka katika kila kitu ambacho kipo hapa duniani (Mwanzo 1:28), na zaidi ya hapo, binadamu alikuwa na uwezo wa kuzungumza na Muumba wake, kitu ambacho Wanyama wote hawana.
Hebu, tumtazame Binadamu kiakili, kimaadili, na kijamii.
Kiakili, mtu ameumbwa kama wakala wa busara. Kwa maneno mengine, mtu anaweza kuchagua nini anataka kufanya kwa kutumia fikra yakinifu na/au pevu. Kwa kufanya hivyo, mtu ameonyesha uhuru wa akili ambayo Mungu anao. Mfano, mtu anapo tengeneza mashine, anapoandika kitabu, fanya mambo mbalimbali, huko ndiko kuna ashiria neno la kufanana na Mungu, maana Mungu aliumba vitu vyote na sasa binadamu anaonyesha ustadi wa akili pevu kwa kufanya mambo ya uvumbuzi katika sura ya Mungu.
Kimaadili, mtu aliumbwa kwa uadilifu na kutokuwa na hatia ya dhambi, huo ni mwaonekano wa utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila alichokifanya ( pamoja na uumbaji wa Mwanadamu) alikiita kuwa ni "kazi nzuri sana" (Mwanzo 1:31). Dhamiri zetu au "dira ya maadili yetu" ni alama ya awali ya hali tuliyo kuwa nayo. Binadamu tumetunga na kuandika sheria za kutuongoza na uovu, sifa na tabia nzuri , nk, hayo yote ni kuthibitisha ukweli kwamba sisi tulifanywa na/au umbwa katika mfano wa Mungu mwenyewe.
Kijamii, mtu aliumbwa kwa ajili ya ushirika na/au kushirikiana. Huu ni uthibitisho kuwa Mungu ni Utatu ambao ni asili ya upendo wake. Katika Bustani ya Edeni, Mtu alikuwa na uhusiano na Mungu (Mwanzo 3:08 ina maana ushirika na Mungu ), na Mungu alifanya mwanamke wa kwanza kwa sababu "si vema huyo mtu awe peke yake " (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapo oa, hufanya urafiki na huyo aliye muoa, huzaa watoto na kuwa na familia hayo yote ni kutuonyesha ukweli kwamba sisi ni tulifanywa katika mfano wa Mungu.
Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adam alikuwa na uwezo wa kufanya uchaguzi kwa huru. Adam alipewa haki ya kuchangua mema au mabaya, uhuru huo ni sehemu ya mfano wa Mungu.
Ndugu msomaji, nategemea leo umefahamu kidogo maana ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni katika Roho na si Mwili au mwonekano wetu. Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Monday, November 18, 2013
ALLAH NA MUHAM-MAD WARUHUSU UMALAYA KWA KUPITIA NDOA YA MUT’AH
Je,
umalaya umeruhusiwa katika Uislam?
Somo
la leo ni la Umalaya kama lilivyo pewa kipaumbele na mungu wa Uislam
ajulikanaye kwa jina la Allah. Uislam unaruhusu Umalaya kwa kutumia sheria ya
Mut'ah.
Mut'ah
ni ndoa AMBAYO inaweza kudumu kwa muda mfupi sana. Ndoa Hii haihitaji
mashahidi, na haina kipindi cha 'iddah. Fidia ya kima cha chini ambayo inaweza
kulipwa kwa mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya kingono ni dirham moja (yaani,
chini ya dola senti 25) ". 29 (Dr Ahmad 'Abdullah Salamah, Mashia Dhana ya
Ndoa Muda (Mut'ah)
Katika
Mut'ah, HAKUNA TALAKA ; Pale utakapo mlipa huyo hawara kiasi cha fedha na utakapo
maliza shida zako za kingono, unakuwa huru na hakuna wajibu, hakuna sheria ya
urithi, au mchakato wa talaka. Sheria inayo bakia ni moja tu ambayo inambana
mwanamke kwa siku 45 kabla ya kuingia kwenye ndoa nyingine ya Mut’ah, wakati
huohuo Mwanaume yeye anaweza kuingia Ndoa nyingine ya Mutah mara moja, hata
ikiwa bado ameoa katika Mut'a nyingine. Cha kushangaza, Waislam wanashabikia
hii Ndoa ya kimalaya huku Allah akiwaambia kuwa, kabla ya kuingia Ndoa nyingine
ya Mut’ah lazima watoe talaka, wao wamejipa haki ya kuendelea kutekeleza matakwa
yao ya kingono. Katika Surah 2 aya 228 Allah anasema, Wanawake wangoje peke yao
kwa vipindi vitatu kila mwezi na si halali kwao kuficha kile ambacho Allah
aliviumba katika matumbo yao . Katika Mut'a, mwanamke anaweza kuwa mjamzito na mtoto wa mume wake wa
kwanza wa Mut'a na kuolewa na mume wake wa pili wa Mut'a au kuingia ndoa ya
kudumu.
Ndugu
wasomaji, leo tumejifunza kuhusu umalaya ndani ya dini ya Kiislam. Uislam
umeruhusu Ndoa hii ili kukidhi matakwa ya Wanaume wa Kiislam na kuendelea
kuwashusha hadhi Wanawake wa kiislam ambao katika Uislam wao ni nusu ya Mtu.
Quran
4:11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni
kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata
thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja,
basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya
alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili
wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao
ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au
kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye
karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu.
Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa
ahadi ya Wake 72 kwa Wanaume wa Kiislam na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake
wa Kiislam.
Quran 2:228. Na wanaume wana daraja zaidi kuliko wao. Na Allah ni Mwenye
nguvu na Mwenye hikima
Allah anaendelea kusema kuwa Mwanaume wa Kiislam ni wathamani zaidi ya
Mwanamke wa Kiislam. Hapo ndipo tunaelewa kuwa, hata hii Sheria ya ndoa ya MUT’AH
iliwekwa ili kuwakidhi Wanaume ambao wapo juu ya Wanawake.
Ndugu wasomaji.
Mungu wa Biblia anakataza umalaya wa aina yeyote
ile.
Katika Injili kutokana na Mathayo Sura ya 5 aya ya 28 inasema kuwa: lakini mimi
nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye
moyoni mwake.
Neno la Mungu linatuonya kwamba, hata kumwangalia Mwanamke kwa
matamanio ni kutenda dhambi, lakini katika Uislam, unayo ruhusa ya kumtamani
Mwanamke na kuingia kwenye ndoa ya Mut’ah ili kukidhi shida zako za kimwili.
Hii ni tofauti ya Yehovah wa Biblia na Allah wa Koran ambaye anaruhusu umalaya
kupitia Mut’ah wakati Yehovah anasema kufanya hivyo ni kutenda dhambi.
Mungu atusaidia ili tuifahamu kweli iliyo katika Kristo Yesu.
Katika Huduma yake
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)
Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ
Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...



