Sunday, December 1, 2013

WAISLAM LETENI AYA KUTOKA KORAN AU BIBLIA INAYOSEMA KUWA PAULO HAKUWA MTUME WA MUNGU.

Leo nimeamua kukata ngebe za Wafilisti kuhusu Mtume Paulo ambaye anawanyima usingizi kila siku Waislam na Allah wao. Paulo alikuwa Mtume wa Mungu, hebu tusome Biblia:

Wagalatia 1:1 Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu 

Biblia ipo wazi kabisaa, kuwa Paulo alitumwa na Mungu, wakati Muham-mad alitumwa na Jibril ambaye si Mungu. Koran inakiri kuwa Muham-mad alikutana na Jibril na hakuwai kukutana na au ongea na Mungu. Lakini tunasoma katika Biblia kuwa, Paulo alipewa utume na Mungu mwenyewee. 

Warumi 1:1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, ALIYEITWA KUWA MTUME na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu

Ningependa kuanzia leo, ieleweke kuwa Waislam wanafuata kanyaboya. Muham-mad hakuwai ongea na Mungu. Muham-mad hakutumwa na Mungu. Muham-mad ni Mtume Bandia asie na hili wale lile.

Mitume wote ambao tunawasoma katika Biblia, waliongea na Mungu moja kwa moja na bila ya kutumia msaada wa Malaika. Lakini Muham-mad anatumia msaada wa Jibril, kiumbe kinacho daiwa kuwa ni Malaika aliye tumwa na Allah. Kwanini Muham-mad ndie mtume pekee anayetumia c/o katika mawasiliano yake na mungu wa Islam? Je, Allah ni Mungu? Kama ni Mungu, mbona anatumia usaidizi katika kuongea na Muham-mad wa Islam? Mbona Mungu wa Biblia hakutumia usaidizi kuongea na Mitume wake? 

Mkishindwa kutuletea aya kutoka Koran au Biblia inayo sema Paulo si Mtume wa Mungu, basi kushindwa kwenu ndio ushaidi tosha kuwa Muham-mad alikuwa Mtume Bandia na Paulo ni Mtume wa Mungu.

Waislam, tuleteeni aya ambayo inasema kuwa Paulo hakuwa Mtume.

Swali limeenda shule hilo

Max Shimba Ministries

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW