Monday, June 4, 2018
QURAN NA HADITH ZATHIBITISHA UTUME WA PAULO
1. UTUME WA PAULO KWA MUJIBU WA QURANI TUKUFU
Kwa kuanza naomba niwakumbushe Waislam kwambu uislamu una sifa zifuatazo. (swifat ul I’iman mufaswalu)
1. Imani juu ya Mungu.
2. Imani Juu ya Malaika wa Mwenyezi Mungu.
3. Imani juu ya Vitabu vya Mwenyezi Mungu
4. Imani juu ya Mitume wa Mwenyezi Mungu
5. Imani juu ya Kheri na Shari za Mwenyezi Mungu.
6. Imani juu ya Siku ya Mwisho.
Kwa mujibu wa Mada ya leo. Nitajikita juu ya Imani juu ya Mitume.
Waislamu wanaamini kwamba, wapo Mitume wapatao 124,000. Kati ya hao. ni 25 tu ndiyo ambao mtume Muhammad (S. A. W) aliweza kupewa habari zake. kama tunavyosoma.
[ AN-NISAAI – 164 ]
Na Mitume tulio kwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno.
Na Mitume tulio kwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno.
Hii inamaana kwamba Muhamad alifahamu kidogo sana kuhusu habari za mitume. yaani kama ni asilimia ni 0.0002 ya uelewa wake juu ya mitume. na huo ndio uelewa wa waislamu wote linapokuja swala la mitume. Hata hivyo. Allah s.w alikwisha kumwelekeza mtume mahala pa kupata nuru zaidi aliposema.
(YUNUS – 94)
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
Hivyo kwa habari za mitume, karibia mitume wote aliosimuliwa muhammad wamo kwenye Biblia. Basi kama tulivyoona sehemu ya kwanza ya mada yetu leo twawagabarisha waislamu juu ya utume wa Paulo.
Hata hivyo ukisoma Quran kwa uangalifu utagundua kuwa Habari za Paulo zimeelezwa vizuri humo.
Chunguza aya hii.
(YA-SIN – 13-14)
Na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.
Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwenu.
Na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.
Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwenu.
Aya hii inaeleza kisa cha WAJUMBE WA MWENYEZI MUNGU.
Wafasiri na wanazuoni mfano Shekhe Balwani, Yusufu Ali wamefasiri aya hii na kusema mji huo walikotumwa wajumbe ni ANTIOKIA.
Wafasiri na wanazuoni mfano Shekhe Balwani, Yusufu Ali wamefasiri aya hii na kusema mji huo walikotumwa wajumbe ni ANTIOKIA.
Ibin Kathir katika tafsir yake anasema wajumbe hao ni Yohana, Simoni na Paulo.
Na hapa namnukuru ibn Kathir.
Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i, “Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , as Allah has told us in the Ayah: That was because there came to them their Messengers with clear proofs, but they said: “Shall mere men guide us!” (64: 6) “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”
Hivyo twaona kuwa hoja ya kumkataa Paulo ni uzushi wa hivi karibuni. Waislamu, wasomi na Maulamaa wa kale hawakuwa na hoja hii ya kumkataa Paulo.
2. UTUME WA PAULO KWA MUJIBU WA HADITHI ZA MTUME.
Baada ya Kuona Ushahidi wa vitabu vitakatifu juu ya utume wa mtume Paulo. Sasa tugeukie hadith za mtume Muhammad. na kwa nini tugeukie hadithi? Ni kwa ushauri unaotolewa na Allah s.w ndani ya Quran yenyewe.
[ AN-NISAAI – 59 ]
Enyi mlio amini! Mt’iini Mwenyezi Mungu, na mt’iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.
Enyi mlio amini! Mt’iini Mwenyezi Mungu, na mt’iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.
Katika kitabu kiitwacho SIRAT NABAWIYA. Kilichoandikwa na Ibn Hisham, aliyekuwa mwanafunzi wa ibn Ishak. Katika juzu ya 4 ya kitabu hicho uk 140 tunakuta Muhammad anaorodhesha majina ya Wanafunzi wa Yesu. na anawagawa katika mafungu 2. la kwanza ni wale waliomfuata wakati wa uhai wake na wale waliomfuata baada yakuwa amepaa juu. Muhammad anaeleza kila mmoja wa wanafunzi hao na mahala walikotumwa, kuhusu Paulo anaeleza kuwa Yeye alitumwa Rumi.
Na hapa namnukuru ibn Hisham.
*أسماء رسل عيسى عليه السلام*
أسماء رسل عيسى عليه السلام
قال ابن إسحاق : وكان من بعث عيسى بن مريم عليه السلام من الحواريين والأتباع ، الذين كانوا بعدهم في الأرض : بطرس الحواري ، ومعه بولس ، وكان بولس من الأتباع ، ولم يكن من الحواريين ، إلى رومية ، وأندرائس ومنتا إلى الأرض التي يأكل أهلها الناس ، وتوماس ، إلى أرض بايل من أرض المشرق ، وفيلبس إلى أرض قرطاجنة ، وهي أفريقية ؛ ويحنس إلى أفسوس ، قرية الفتية أصحاب الكهف ؛ ويعقوبس إلى أوراشلم ، وهي إيلياء قرية بيت المقدس ، وابن ثلماء إلى الأعرابية ، وهي أرض الحجاز ؛ وسيمن إلى أرض البربر ، ويهوذا ، ولم يكن من الحواريين ، جعل مكان يودس .
قال ابن إسحاق : وكان من بعث عيسى بن مريم عليه السلام من الحواريين والأتباع ، الذين كانوا بعدهم في الأرض : بطرس الحواري ، ومعه بولس ، وكان بولس من الأتباع ، ولم يكن من الحواريين ، إلى رومية ، وأندرائس ومنتا إلى الأرض التي يأكل أهلها الناس ، وتوماس ، إلى أرض بايل من أرض المشرق ، وفيلبس إلى أرض قرطاجنة ، وهي أفريقية ؛ ويحنس إلى أفسوس ، قرية الفتية أصحاب الكهف ؛ ويعقوبس إلى أوراشلم ، وهي إيلياء قرية بيت المقدس ، وابن ثلماء إلى الأعرابية ، وهي أرض الحجاز ؛ وسيمن إلى أرض البربر ، ويهوذا ، ولم يكن من الحواريين ، جعل مكان يودس .
Majina ya Mitume wa Yesu Masihi:
“Amesema ibh Is-hak: walikuwa mionguni mwa wanafunzi wa Yesu (amani iwe juu yake) wale waliomfuata wale waliokuwa baada yake duniani: Petro Mwanafunzi wa Yesu, na pamoja naye alikuwepo Paulo miongoni mwa wafuasi, Paulo hakuwa miongoni mwa wale wanafunzi wa Yesu. Naye (Paulo) alitumwa Rumi. Na Andrea naye alitumwa katika nchi ambayo wakazi wake wanakula watu. Na Tomaso alitumwa katika nchi ya Babeli katika nchi za mashariki. Na Philipo alitumwa katika nchi pande za Afrika, na Yohana alitumwa Efeso na Yakobo alitumwa Yerusalemu na Batholomeo alitumwa Uarabuni katika nchi ya Hijaz. Na Simoni alitumwa Baribari.”
Yashangaza kuona kuwa licha ya ushahidi mkubwa namna hii waislamu wa leo (hasa wanaharakati) wameamua kufumbia macho ukweli huu na kuanza kudanganya watu. ama kwa maksudi ama kwakutokujua. SWALI NI HILI. wanafanya hivyo kwa faida ya nani?
Rafiki yangu mwislamu, napenda kukutahadharisha kwamba, shetani ni mjanja, siku zote atakuja kwa hila akiwatukia waalimu wa uongo, wengine watakuja kana kwamba ni watetezi wa dini kumbe ndiyo waharibifu wakubwa wa dini.
Allah s.w anasema ndani ya Quran kuwaambia waislamu
[ AL – BAQARA – 136 ]
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
Unaona kwamba Allah s.w amewaagiza waislam siyo tu kuamini wale kitume 25 waliotajwa ndani ya Quran lakini pia wanapaswa kuamini w aliyoteremshiwa wajukuu wa Yakobo, PAULO PIA NI MJUKUU WA manabii YAKOBO. Lakini siyo hivyo tu, Allah s.w amewataka manabii waislamu kuamini walioteremshiwa “manabii wengine”. PAULO PIA NI MIONGONI MWA MANABII WENGINE.
Hivyo kumpinga Paulo ni kuipinga imani, kupinga Quran na Mwinsho kumpinga Allah mwenyewe. NA HUU NDIO UKAFIRI ULIOKITHIRI.
Je kuha hadithi yoyote ya Mtume mahali ambapo, Mtume aliwatahadharisha masahaba zake au Waislamu kwa ujumla juu ya Mafundisho ya Paulo?
Hapana, badala yake tunaona Muhammad yeye mwnyewe alinukuru mafundisho ya Paulo na akiuita ni ujembe kutoka kwa Mwenyezi Mungu
“Imesimuliwa na Abu Huraira, Mjumbe wa Allah (s.a.w) alisema; Mwenyezi Mungu kasema, ‘Nimewaandalia waja wangu ambayo jicho halijawahi kuona wala sikio halijawahi kusikia wala moyo wa mwanadamu hauwezi kuyafikiri”
Hivyo twaona kuwa hoja ya kukataa utume wa Paulo hainamsingi wa mafundisho ya vitabu vitakatifu, ni upotoshaji wa waalimu wa dini wanaotafuta masilahi yao binafsi.
Shalom,
Loud Cry Ministries by Permission
Max Shimba Ministries Org
Christians in Pakistan Village Told They Can't Have a Church…

Christians in a village in Pakistan’s Punjab province have been told to remove every visible sign of Christianity from their church, six months after being forced to sign a form pledging they would no longer hold services.
The 40 Christian families in Nayya Sarabah (Chak 336) village, part of Toba Tek Singh district near Faisalabad, haven’t held a service since before Christmas.
Muslim resident Hajji Muhammad Siddique told World Watch Monitor that, as “Muslims are in the majority in the village, we can’t allow a church here”.
“Now we are working with the civil administration to give a piece of land to Christians outside the village,” said Siddique, 73, who runs a dispensary. “When it is done, we will make the Christians write an agreement that they will sell this current church building or at least dismantle the church structure and crosses.”
“Most of the Christians of the village work as brick-kiln labourers,” he added. “It is only Rafaqat Masih, who, being a retired army personnel, is trying to be a leader and has helped build a church in the village.”
The church is run by Pastor Samuel Masih, but it is Rafaqat Masih, a union councillor for minorities, who has been at the forefront of efforts to resolve the matter.
“Muslims are in the majority in the village, so we can’t allow a church here.”
Most of the Christians are poor labourers. The church belongs to Full Gospel Assemblies, an evangelical group working in Pakistan, and was built on land belonging to 70-year-old Christian named Rafiq Masih.
“Rafiq is childless, so he bequeathed this property for the construction of a church building,” Rafaqat Masih told World Watch Monitor. “The construction began in 2012 and we had been holding worship services since then. But in December 2016 the local Muslims objected over it and filed an application against us in the local police station. At that time, a compromise was reached and we again started holding services. But, again, in December 2017, they submitted an application in the police station, after which we were called in and were told to sign an agreement.”
The police station in the nearby town of Rajana brought together Muslims and Christians of the village on 14 December 2017, and had them sign an agreement according to which the Christians would “hold religious ceremonies in their houses. There will be no programme in the church. If anyone will violate this agreement, then legal action will be taken. [Christians] will not gather in any house for a religious programme. If there will be any violation of this, legal action will be taken”.
That same month, the Muslims submitted an application to close down the church, and the local police and civil administration told the Christians that, as their church was not included on the official list of churches that must be provided with security on Sundays, they could no longer hold services.
(Due to the rise of terrorism, all gatherings in Pakistan are provided police security. Churches are provided security on Sunday or any other given day that Christians request police protection. However, in this case, the police told them that the church is not part of the authorised list of churches, so they cannot be provided security. Now, because security cannot be provided, they cannot come together. So in the name of security, they stopped the Christians from gathering in the church, and also from worshipping in any house.)
The Christians in the village have therefore not held a service this year, but have made frequent visits to the civil administration to either permit them to hold services in their church or to provide them with an alternative venue.
‘We are being forced to demolish the church’

Christian and Muslim villagers were called together for another meeting on Saturday, 2 June, held in the presence of Deputy Superintendent of Police Muhammad Tahir.
After the meeting, Rafaqat Masih told World Watch Monitor: “We are being forced to demolish the existing church structure and, in lieu of this, they would let us build a church on a piece of government land outside the village which is already dedicated for a school.
“They haven’t even given any documentary proof that this piece of land would be transferred to Christians. Then another issue is that we worked for several years to construct this church building. Now who is going to pay for building from scratch?”
Masih, who runs a small shop in the village, told World Watch Monitor that he had submitted an application to the Toba Tek Singh Deputy Commissioner for including the name of the church in the list of the churches which are provided security.
“The civil administration tells us that they cannot provide us security, so it is in our benefit that they have stopped us from holding a church service,” he said.
On 22 February, the Toba Tek Singh Deputy Commissioner wrote a letter to the district police chief, a copy of which World Watch Monitor has seen, saying: “Priest (sic) Samual (sic) and others of Chak No. 336/GB (Nia Saraba) Tehsil and District Toba Tek Singh has informed the [respectable] Deputy Commissioner that they have established a church in said village and the police has not permitted them to offer their prayers… I have been directed by the [respectable] Deputy Commissioner to convey you that the tension between both the parties/communities may cause an untoward situation. In view of the sensitivity of the issue, you are requested to please look into the matter at personal level and resolve the issue, to avoid any law and order situation, which may result in disturbing the peace and tranquillity of society.”
Deputy Superintendent Muhammad Tahir told World Watch Monitor that the Christians being forced to pledge to end services was not legal. “We are trying to amicably resolve this matter,” he said.
Rasheed Jalal, a member of the district council belonging to the Pakistan Muslim League-Nawaz, said the Christians were “not being treated equally”.
He said he had met with several senior government figures, including the Provincial Minister for Human Rights and Minority Affairs, National Assembly members and Muslim clerics, but that “nothing worked”.
“Christians are peace-loving people,” said Full Gospel Assemblies Principal Dr. Liaquat M. Qaiser. “We don’t desire any conflict. If the local Muslims do not want Christians worshipping among them, then they should provide them an alternative place. They are poor people and do not have resources to buy another place and build a church once again.”
Switzerland: HIV Positive Troglodyte Muhammadan from Pakistani Rapes Six Local Women…

A Pakistani taxi driver in Switzerland accused of crimes including abduction has been given a short jail sentence for the rape and sexual assault of six passengers.
In addition to the sexual assaults and rape, alleged to have taken place between February 2010 and March 2016, the defendant faced charges of multiple counts of attempted grievous bodily harm (GBH) at the trial on Wednesday, as he could have infected other people with HIV.
The public prosecutor’s office said that on March 26th, 2016, the father-of-five picked up an 18-year-old Australian woman as a client in the early hours of the morning, the Luzerner Zeitung reports.
Instead of driving her to the address she requested, the Pakistani stopped next to a small alleyway in Kriens and raped the teenager on the back seat of his cab, according to the indictment.
“I did something that was sh**. But I did not use force, it just happened,” the 45-year-old said when questioned over the attack in court, where he spoke through an interpreter.
http://www.breitbart.com/london/2018/06/01/hiv-pakistani-taxi-driver-rape-passengers/
'Muhammadan Faith Healer' Accused of "Mass Sexual Abuse of Minors"…
After a 5-month delay, victim testifies against alleged paedophile ‘faith healer’ of Sopore

After allegedly committing mass sexual abuse of minor boys, Aijaz Sheikh, a ‘faith healer’ from Sopore’s Mundji village had been dodging the court hearings for one or the other reason. After a five month long wait, the victims took a sigh of relief when the hearing of the case took place on Thursday. One among the survivors of the abuse, Siraj (name changed), has testified against him.
After a long wait, Siraj says, “finally the court heard the case, despite Sheikh’s attempts to further delay it.”
Chief Judicial Magistrate, Sopore, Masarat Roohi heard the case and it was she, Siraj says, who pushed Sheikh’s lawyer to cross examine him.
“Today, his (Sheikh’s) lawyer was trying not to let the case proceed. But the judge told him she would cross verify me herself if he does not. After that Sheikh went to him and then he agreed upon questioning me. He was trying to test my memory. He was asking me about my Uncle’s marriage, name of the teacher, my home etc. He was trying to confuse me but I defended,” Siraj said.
For half an hour, Siraj was questioned. He had shared his ordeal before the court after which the announcement for the next hearing was made. It is to be held on June 27.
Aijaz Sheikh has maintained that he is innocent and that all allegations against him are baseless.
Pertinently, CJM Roohi had heard the case on September 16, 2017. In the hearing, the honourable court observed that the case has taken too much time and that there are numerous statements recorded against the accused.
On April 10, Sheikh was booked in another case under Section 13 of Unlawful Activities Act. He was not presented before the court after that as well. However, Siraj alleges that ‘Sheikh is a big fish and must have arranged his arrest so this case could not be heard.’
Hopeful that the testimony of other victims would be heard soon, Siraj says that he had tried to convince other victims (his classmates) to come forward and talk about the abuse.
“They say they are married now. There is a lot of social stigma attached to it. It is hard for anyone to speak up.”
Siraj says he might have let go as well, however, he did not because Sheikh allegedly continued his abuse.
“I would have forgiven him but he continued to do with others what he did with us,” says Siraj adding, “and he is not even sorry about it. He was smiling in the court. I was wondering why!”
https://freepresskashmir.com/2018/05/31/after-a-5-month-delay-victim-testifies-against-alleged-paedophile-faith-healer-of-sopore/amp/
Boxing Declared UnIslamic…

The top Islamic official in Tajikistan has declared boxing and fighting sports "without rules" to be "haram" -- forbidden under Islamic law.
Saidmukarram Abdulkodirzoda, the head of Tajikistan's Ulema Council, said during Friday Prayers in Dushanbe's central mosque on June 1 that such fighting sports were forbidden because they can "damage" a person's health.
"Especially boxing and fighting [sports] without rules are considered, from the religious point of view, haram, as they can damage health, disable someone," said Abdulkodirzoda, who is appointed to his post by the government.
He added: "All kinds of games and duels [done] for money are haram. [They are a waste of] time, without benefit to the mind and body. This is haram."
Abdulkodirzoda said he believed Tajik youth should engage in what he called "normal" sports, for example wrestling, to "develop physically and spiritually." Such sports require the "achievements of our youth, so that they proudly raise the flag of the country and enhance the image of the nation and state."
Nosir Azimov, a successful Tajik boxing trainer, said it was the first time he'd heard a religious official in Tajikistan call boxing "haram."
Azimov, who trained 2012 Olympic bronze medalist Mavzuna Chorieva, said that as far as he knows, all Muslim countries officially accepted boxing and do not consider it haram.
"I have been to Iran, Saudi Arabia, Pakistan, and Daghestan -- and they all have boxing," he said. "I had heard about MMA and that some consider it haram. That type of fighting doesn’t have rules. But boxing is based on rules."
Azimov said he feared that the statement by Abdulkodirzoda could affect boxing in Tajikistan.
In the autumn, Tajikistan's Youth and Sports Committee placed a ban on nine sports at publicly funded sports clubs and institutions. Among these were mixed-martial arts (MMA) and boxing. MMA is often criticized for its lack of restrictions on what a fighter can do to hurt his or her opponent.
https://www.rferl.org/a/tajikistan-muslim-leader-declares-boxing-other-fighting-sports-forbidden/29266320.html
Trump to Host Ramadan Dinner at White House…
(CNN)President Donald Trump will host a dinner at the White House this week celebrating the Muslim holy month of Ramadan.
The iftar is scheduled for Wednesday, according to Politico, which first reported Trump would host the dinner, and a guest list was not made available by the White House.
The event was not held last year, breaking nearly two decades of tradition by previous Presidents Bill Clinton, George W. Bush, and Barack Obama.
As he also did last year, Trump released a statement in mid-May celebrating the start of Ramadan.
During Ramadan, Muslims may not eat or drink from dawn to dusk, and the tradition of fasting is one of the five pillars of Islam. There are approximately 3.45 million Muslims in the United Statesas of 2017.
Tunisia Soccer Team Fakes Injury to Break Ramadan Fast…

Tunisia players have been playing their matches during the month of Ramadan this year without doing away with their fasting.
The holy month of Ramadan began on May 17 and since then the Tunisian national team have played two friendlies against Portugal and Turkey.
The players began the match while fasting and found a unique solution to breaking their fast in time during the course of the matches.
As soon as the time came to break the fast, their goalkeeper Mouez Hassen went down faking an injury so that everyone got a moment to drink water and eat something.

Tunisia keeper went down on the ground right at the time of breaking their Ramadan fast. (Photo: @SKhmira Twitter)
Muslims usually break their fast by eating dates because it gives a lot of power and helps one get a boost of energy.
In the pictures of the team that are circulating on social media, the players seem to be having dates and energy bars while drinking water and perhaps some energy drink to continue with their matches.

Tunisia players are eating in order to break their Ramadan fast in time. (Photo: @SKhmira Twitter)

Tunisia players broke their Ramadan fast in time during their 2018 FIFA World Cup friendlies against Turkey and Portugal. (Photo: @SKhmira Twitter)
Since the start of Ramadan, Tunisia played Portugal on May 29 and Turkey on June 1 and both games ended in a 2-2 draw.
While Anice Badri and Fakhereedine Ben Youssef scored for Tunisia against Portugal, Badri scored another against Turkey along with Ferjani Sassi.
Tunisia have one more friendly to play against Spain on June 10 before the 2018 FIFA World Cup in Russia.
Tunisia, who have qualified for the World Cup for the first time since 2006, are placed in Group G alongside Belgium, Panama and England.
They begin their World Cup campaign against England on June 18.
Tunisia are ranked 14 in the world according to the latest FIFA rankings. They have never gone beyong the group stages in the World Cup and they will be hoping for some miracle at the back of their star player Wahbi Khazri.
Nigerian Army Rescues 58 Islamic Sex Slaves…

The Nigerian army on Monday says it rescued 58 women used as sex slaves, by Boko Haram in Modu Kimeri, in Bama local government area of Borno state.
Also rescued were 75 children and 15 men. Col. Onyema Nwachukwu, Deputy Director Public Relations Theatre Command Operation Lafiya Dole, disclosed this in a statement released in Maiduguri. Nwachukwu said that the women were rescued by troops of 21 Brigade supported and members of the Civilian Joint Task Force deployed in Operation Lafiya Dole .
“The troops rescued the hostages during an extensive Clearance Operation on Sunday 3 June, 2018, to rid the general area of Bama, Modu Kimeri and Gulumba Gana of fleeing elements of Boko Haram terrorists who had escaped from the ongoing troops’ onslaught in the Lake Chad Islands and fringes of the northern borders of Borno State.
“The rescued hostages, comprising 15 men, 58 Women and 75 Children revealed during a joint profiling and interrogations by troops of Operation Lafiya Dole and other security agencies, that the Boko Haram terrorists had sexually violated the females and used them as sex slaves,”he said. He said that two pregnant teenage girls were among the rescued persons.
“The rescued persons further disclosed that the men were not spared, as they were regularly engaged in forced labour while in the captivity of the terrorists. “They will be promptly handed over to officials of Bama Internally Displaced Persons (IDP) Camp for welfare and administration,”he said. According to him, troops have also successfully cleared adjoining villages including China, Sabon Gari-1, Sabon Gari-2, Sabon Gari-3 and Sabon Gari-4 villages. Other areas cleared by troops along the axis of operation are Nguzoduwa, Falla, Bulangala, Botori and Bula Matawa villages. “Additionally, troops recovered 22 Dane Guns, one tool box used for fabricating local firearms, four Boko Haram flags, a motorcycle and one bow and 20 arrows.
Read more at: https://www.vanguardngr.com/2018/06/army-rescues-58-women-used-sex-slaves-boko-haram/
Friday, June 1, 2018
Saudi Arabia to Behead Hajj Pilgrim

Saudi Arabia arrested a Shiite pilgrim from Iraq during the Hajj and sentenced him to death by beheading, according the Ahlul Bayt News agency.
The agency reports that Salaam Kazim was arrested for crying in the Baqi Cemetery after being told to stop by Saudi security forces.
The cemetery is a point of contention between Sunni and Shiite Muslims after the King of Saudi Arabia demolished the mausoleums at the site in 1925. The destruction, which was decried internationally, included the mausoleum containing the remains of Mohammed’s grandson, the second in line of imams revered in Shiite Islam.
In the course of his arrest, Kazim objected to the presence of the Saudis (who adhere to the Wahhabischool of Sunni Islam) being in the cemetery and summarily cursed the forces and their teachings. Kazim was arrested immediately, taken to court and sentenced to be beheaded after the Hajj.
The incident comes on the heels of a statement released by Amnesty International about their latest report on Saudi Arabia’s dismal human rights record. Amnesty released the statement ahead of a UN Human Rights Council meeting in Geneva to discuss the Kingdom’s human rights record.
Amnesty’s latest report titled "Saudi Arabia: Unfulfilled Promises," criticizes the Kingdom for “ratchet[ing] up the repression" in the last four years. Since 2009, the Amnesty report says that Saudi Arabia has engaged in "an ongoing crackdown including arbitrary arrests and detention, unfair trials, torture and other ill-treatment.”
The UN meeting in Geneva, meanwhile, saw 80 of the 102 countries who spoke praising the Kingdom for its advancement of human rights and adherence to international standards.
Countries such as Egypt praised the Saudis saying, “We commend Saudi Arabia’s progress to protect and promote human rights, and welcome work done to strengthen role of women…"
Even France weighted in on the side of the Saudi’s saying, "We commend Saudi Arabia with its progress in the role of women in society…"
Ironically, Saudi Arabia is the only country in the world where women are forbidden to drive. In addition, their freedom is severely restricted by the legal requirement to be accompanied in public by a male guardian at all times. In the sharia-adherent Kingdom, women can be publicly whipped for the “crime” od being raped.
Denmark also lauded the Saudi’s human rights record, declaring, "We commend Saudi Arabia's progress in the promotion of rights for women in recent years…"
In contrast, the Amnesty report cites the imprisonment of well-known human rights activists, including the two co-founders of the Saudi Civil and Political Rights Association, each of whom were sentenced in March to a minimum of 10 years in prison for the “cybercrime” of using the social media forum Twitter to criticize the lack of political and social freedom in Saudi Arabia.
In addition, the report lists the Kingdom’s "systemic discrimination of women in both law and practice," as well as their discrimination of minority groups (including Shiite Muslims) and their abuse of migrant workers.
The report continues to shed light on Saudi Arabia’s record of "executions based on summary trials and 'confessions' extracted under torture." According to the AFP, the Saudis have executed 69 people this year alone. (Under sharia law practiced by the Kingdom, crimes such as apostasy, murder, rape and even armed robbery and drug trafficking are punishable by death.)
Moreover, "Saudi Arabia's previous promises to the UN have been proven to be nothing but hot air," said Amnesty's Middle East-North Africa director Philip Luther, accusing the kingdom of relying "on its political and economic clout to deter the international community from criticizing its dire human rights record."
Luther added, "For all the peaceful activists that have been arbitrary detained, tortured or imprisoned in Saudi Arabia since, the international community has a duty to hold the authorities to account."
https://clarionproject.org/saudi-arabia-behead-hajj-pilgrim-4/
Subscribe to:
Posts (Atom)
An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance
Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...