Friday, December 7, 2018

YEHOVA NI NANI?

Image may contain: night
Katika Biblia Takatifu, Mungu anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu.” (Isaya 42:8) Ingawa ana majina mengi ya cheo kama vile “Mungu Mweza-Yote,” “Bwana Mwenye Enzi Kuu,” na “Muumba,” anawaheshimu waabudu wake kwa kuwaalika wamwite kwa jina lake la kibinafsi.—Mwanzo 17:1; Matendo 4:24; 1 Petro 4:19.
Biblia inamtaja Yehova kuwa Mungu wa Kweli, Muumba wa kila kitu. (Ufunuo 4:11) Manabii kama Abrahamu na Musa walimtumikia. (Mwanzo 24:27; Kutoka 15:1, 2; Yohana 20:17) Yeye si Mungu wa watu fulani pekee, bali wa “dunia yote.”—Zaburi 47:2.
YHWH / YAHWEH / YEHOVA: "BWANA" (Kumbukumbu la Torati 6: 4; Danieli 9:14) — kwa kusema, jina pekee la Mungu. Ilitafsiriwa katika maandiko ya Kiingereza "BWANA" (miji yote) ili kuitenganisha kutoka Adonai, "Bwana." Ufunuo wa jina hulitolewa kwanza kwa Musa "MIMI NIKO AMBAYE NIKO" (Kutoka 3:14). Jina hili linafafanua haraka, uwepo. Yahweh yupo, anaweza kupatikana, karibu na wale wanaomwita kwa ajili ya ukombozi (Zaburi 107: 13), msamaha (Zaburi 25:11) na mwongozo (Zaburi 31: 3).
Kama inavyoonyeshwa katika Biblia, Yehova ni jina la pekee la Mungu. (Kutoka 3:15; Zaburi 83:18) Linatokana na kitenzi cha Kiebrania kinachomaanisha “kuwa,” na wasomi wengi wanaona kwamba jina hilo linamaanisha “Husababisha Iwe.” Maana hii inapatana kabisa na cheo chake akiwa Muumba na Mtimizaji wa makusudi. (Isaya 55:10, 11) Biblia inatusaidia pia kuelewa utu wa Yehova, hasa sifa yake kuu ya upendo.—Kutoka 34:5-7; Luka 6:35; 1 Yohana 4:8.
Jina Yehova limetafsiriwa kutoka kwa jina la Mungu katika lugha ya Kiebrania lenye herufi nne za Tetragramatoni יהוה (YHWH).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

KWA NINI TUNASHEREKEA EID YA KRISMASI?

Image may contain: text
Shalom Wapendwa,
Krismasi maana yake nini?
“Krismasi,” kinasema kitabu cha Encyclopedia of Religion, inamaanisha “‘Misa ya Kristo,’ yaani, misa ya kusherehekea kuzaliwa kwa Kristo.”
Tunasherekea sikukuu (IDI) ya Kristmasi kwa kukumbuka kuzaliwa Mwokozi, Masihi wetu yaani Yesu Kristo wa Nazareti. Zaidi ya hapo, sikukuu ya kuzaliwa husherekewa mtu anapo kuwa hai, kumbe basi tunasherekea Yesu Kristo aliye hai milele yote.
Hivyo basi naweza kusema kuwa tunasherekea kukumbuka ujio wa Wokovu kwa Mwanadamu. Sote twafahamu kwamba mwanadamu alipotea baada ya lile anguko la dhambi ya Adamu na Hawa pale bustani ya Eden.
Mwanadamu alikuwa amehesabiwa kutokuwa na maisha ya raha ya umilele. Lakini kwa kuwa Mungu aliupenda ulimwengu, yaani Bwana Mungu alikupenda wewe na mimi ndipo akamtuma mwanaye wa pekee Yesu Kristo ili kila amuaminie awe na uzima wa milele, tele (Yohana 3:16). Kwa lugha nyepesi ni kwamba tunasherekea siku hii kukumbuka WOKOVU aliouleta Bwana Yesu Mungu Mkuu na Mwokozi wetu; Soma Tito 2:13, maana ndani yake ndimo kuna maisha halisi ya umilele.
Nabii isaya alitabili kuzaliwa kwa Yesu (takribani miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwake Bwana Yesu Kristo) akisema;
"...bikira atachukua mimba,atazaa mtoto mwanamume,naye atamwita jina lake Imanueli." Isaya 7:14
Tabiri hii ya Nabii Isaya ni hakika na kweli. Zipo tabiri nyingi zilizowahi kutolewa, lakini tabiri ya Nabii Isaya imekamilika maana hakika Bwana amezaliwa. Kuzaliwa kwa Bwana Yesu ni muujiza ambao haukuwai kutokea wala haitegemewi kutokea, sababu kuzaliwa kwake kulitokana na uweza wa Roho Mtakatifu. Tena angali Bwana Yesu amezaliwa alikuwa tayari amekwisha vikwa uwezo, uweza na nguvu ndani yake.
Sasa waweza kufikiria kwamba ni mtoto gani anayezaliwa akiwa na utiisho wa ki-Mungu kama huo, kwa sababu Biblia inaanza kumuelezea kwamba alipozaliwa tu aliitwa mtoto MWANAMUME, yaani si mtoto wa kiume bali ni mwanamume ikionesha tayari alikuwa na nguvu za kipekee tena Yeye ni Imanueli Mungu pamoja nasi, soma Mathayo 1:23.
Biblia inasema;
"Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana." Wagalatia 4:4-5
Kumbe kabla ya ujio na kumpokea Bwana Yesu Kristo sisi tulikuwa chini ya sheria. Tukiitumikia miungu ya baba zetu, tulikuwa watu tusiokuwa na Mungu duniani. Hivyo basi hatukuweza kufanyika wana wa Mungu, bali ingawa tulikuwa ni watu wa Mungu tu.
Tunasherekea sikukuu hii kwa kukumbuka ujio wa injili duniani.
Yesu mwenyewe ndio injili.
Yeye alipozaliwa, Injili ndio ilizaliwa kwa mara ya kwanza chini ya jua.
Maana Yeye ni Neno, Injili ni habari njema ziletazo wokovu, hivyo ni neno la Mungu liletalo wokovu. Biblia imeeleza vizuri sana jambo hili, inasema;
" Malaika akawaambia, msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote;" Luka 2:10
Malaika wa Bwana anatambulisha kuwa ujio wa Yesu Kristo duniani ni ujio wa habari njema ya furaha. Yaani ni ujio wa injili, maana injili ina furaha ndani yake, hivyo siku ya leo tunaposherekea sikukuu hii, tunakumbuka ujio wa habari njema chini ya jua.
Kumbe basi, hakuna kosa lolote lile kusherekea na kukumbuka ujio wa WOKOVU NA HABARI NJEMA.
Je, upo tayari kusherekea na kufurai kuwa Wokovu na Habari njema umekuja kwa ajili yako?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13
Shalom Wapendwa,
Krismasi maana yake nini?
“Krismasi,” kinasema kitabu cha Encyclopedia of Religion, inamaanisha “‘Misa ya Kristo,’ yaani, misa ya kusherehekea kuzaliwa kwa Kristo.”
Tunasherekea sikukuu (IDI) ya Kristmasi kwa kukumbuka kuzaliwa Mwokozi, Masihi wetu yaani Yesu Kristo wa Nazareti. Zaidi ya hapo, sikukuu ya kuzaliwa husherekewa mtu anapo kuwa hai, kumbe basi tunasherekea Yesu Kristo aliye hai milele yote.
Hivyo basi naweza kusema kuwa tunasherekea kukumbuka ujio wa Wokovu kwa Mwanadamu. Sote twafahamu kwamba mwanadamu alipotea baada ya lile anguko la dhambi ya Adamu na Hawa pale bustani ya Eden.
Mwanadamu alikuwa amehesabiwa kutokuwa na maisha ya raha ya umilele. Lakini kwa kuwa Mungu aliupenda ulimwengu, yaani Bwana Mungu alikupenda wewe na mimi ndipo akamtuma mwanaye wa pekee Yesu Kristo ili kila amuaminie awe na uzima wa milele, tele (Yohana 3:16). Kwa lugha nyepesi ni kwamba tunasherekea siku hii kukumbuka WOKOVU aliouleta Bwana Yesu Mungu Mkuu na Mwokozi wetu; Soma Tito 2:13, maana ndani yake ndimo kuna maisha halisi ya umilele.
Nabii isaya alitabili kuzaliwa kwa Yesu (takribani miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwake Bwana Yesu Kristo) akisema;
"...bikira atachukua mimba,atazaa mtoto mwanamume,naye atamwita jina lake Imanueli." Isaya 7:14
Tabiri hii ya Nabii Isaya ni hakika na kweli. Zipo tabiri nyingi zilizowahi kutolewa, lakini tabiri ya Nabii Isaya imekamilika maana hakika Bwana amezaliwa. Kuzaliwa kwa Bwana Yesu ni muujiza ambao haukuwai kutokea wala haitegemewi kutokea, sababu kuzaliwa kwake kulitokana na uweza wa Roho Mtakatifu. Tena angali Bwana Yesu amezaliwa alikuwa tayari amekwisha vikwa uwezo, uweza na nguvu ndani yake.
Sasa waweza kufikiria kwamba ni mtoto gani anayezaliwa akiwa na utiisho wa ki-Mungu kama huo, kwa sababu Biblia inaanza kumuelezea kwamba alipozaliwa tu aliitwa mtoto MWANAMUME, yaani si mtoto wa kiume bali ni mwanamume ikionesha tayari alikuwa na nguvu za kipekee tena Yeye ni Imanueli Mungu pamoja nasi, soma Mathayo 1:23.
Biblia inasema;
"Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana." Wagalatia 4:4-5
Kumbe kabla ya ujio na kumpokea Bwana Yesu Kristo sisi tulikuwa chini ya sheria. Tukiitumikia miungu ya baba zetu, tulikuwa watu tusiokuwa na Mungu duniani. Hivyo basi hatukuweza kufanyika wana wa Mungu, bali ingawa tulikuwa ni watu wa Mungu tu.
Tunasherekea sikukuu hii kwa kukumbuka ujio wa injili duniani.
Yesu mwenyewe ndio injili.
Yeye alipozaliwa, Injili ndio ilizaliwa kwa mara ya kwanza chini ya jua.
Maana Yeye ni Neno, Injili ni habari njema ziletazo wokovu, hivyo ni neno la Mungu liletalo wokovu. Biblia imeeleza vizuri sana jambo hili, inasema;
" Malaika akawaambia, msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote;" Luka 2:10
Malaika wa Bwana anatambulisha kuwa ujio wa Yesu Kristo duniani ni ujio wa habari njema ya furaha. Yaani ni ujio wa injili, maana injili ina furaha ndani yake, hivyo siku ya leo tunaposherekea sikukuu hii, tunakumbuka ujio wa habari njema chini ya jua.
Kumbe basi, hakuna kosa lolote lile kusherekea na kukumbuka ujio wa WOKOVU NA HABARI NJEMA.
Je, upo tayari kusherekea na kufurai kuwa Wokovu na Habari njema umekuja kwa ajili yako?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

NENO IDI MAANA YAKE NINI?

Image may contain: 4 peopleWAISLAM WENGI HAWAJUI MAANA YA NENO IDI.
NENO IDI MAANA YAKE NINI?
“Wakristo wengi husilimishwa kwa sababu ya kutojua lugha ya kiarabu”
Najua pengine unaweza usinielewe, Ila huo ndiyo ukweli, na mimi mwenyewe kabla sijaachana na Uislamu, nilishawahi kushuhudia, mke wa mchungaji wa Kanisa la BAPTISTI, akisilimishwa katika viwanja vya Mkanyenye Mwanza, kwa sababu ya kukuta neno Eid (عيد) Ndani ya BIBLIA, katika Tafsiri ya kiswahili cha zamani, ambacho katika Kumbukumbu la torati, 16:14 Kiliandika Idi.
Kumbukumbu 16: 14 nawe utafurahi katika Idi yako, wewe, na mwanao, na binti yako, na mtumwa wako, na mjakazi wako, na Mlawi, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako.
👉Aliposomewa andiko hilo, akaulizwa kwamba, “Wanaosherehekea Sikukuu ya Idi ni watu wa dini gani?” akajibu “Waislamu” akaambiwa, Biblia inautambua Uislamu, akasilimu!
👉Siyo huyo tu Kuna mwingine, pia, alisilimishwa, kwa sababu ya neno Shehe ndani ya Biblia.
Nehemia 5:17 Pamoja na hayo wakawako mezani pangu, katika Wayahudi na mashehe, watu mia na hamsini, zaidi ya wale waliotujia kutoka kwa makafiri waliotuzunguka.
Mtu anaulizwa, Masheikh ni watu wa dini gani? Akijibu kwamba ni waislamu, basi hutakiwa kusilimu, ili aungane na Masheikh katika Uislamu.
👉Leo nataka nikifundishe, ili kukutoa kwenye huo utata! Ili hata kama watakakuja kukudanganya, basi uwaumbue, kwa sababu utakuwa umeshaelewa. nikianza na neno Idd.
👉Neno Iddi, ni neno la Lugha ya Kiarabu, kiswahili, kimechukua maneno mengi ya lugha ya Kiarabu, wakati wa kutafsiri, waliliweka kama lilivyo, yaani Iddi.
Katika kiswahili, Idi ni sikukuu, iliposemwa utafurahi katika Idi yako, maana yake utafurahi katika sikukuu yako.
Ukisoma katika Biblia ya Kiarabu, kila palipotajwa sikukuu kumeandikwa Iddi. Mfano Yohana 14:6
انجيل يو حنا
6: 4 وَكَانَ الْفِصْحُ عِيدُ الْيَهُودِ قَرِيباً.
Hapo nimenukuu Injili ya Yohana katika Lugha ya kiarabu, inasema:-
وَكَانَ الْفِصْحُ (Wakaana Al’fisuhu)
Nayo Pasaka 👆
عيد اليهود
Sikukuu ya Wayahudi (Eid al’yahuud)
قريبا
ilikuwa Karibu. (Qariiban)
Katika Kiarabu limetumika neno عيد (Idi) Likimaanisha sikukuu, kama katikaTafsiri ya kiswahili lingewekwa kama lilivyo, ingesomeka “Nayo Pasaka Iddi ya Wayahudi, Ilikuwa karibu,
Sikukuu yo yote kiarabu ni Idi, Sikukuu ya Muungano, ni Idi ya muungano, Unaweza kusema:-
👉Iddi ya Muungano
👉Iddi ya wapendao
👉Iddi ya Uhuru
👉Iddi ya Krismasi
Kwa sababu Neno Idi lina maana ya sikuu, na ndani ya Quran hakuna sehemu kumeandikwa, Sherehekeni Sikukuu ya Iddi, maana ni sawa na kusema, Sherehekeeni Sikukuu ya Sikukuu, hapo inakuwa haijakaa sawa, maana ni neno moja. Kwa hivyo usiyumbishwe, hakuna sikukuu ya Idmdi bali Idi ndo sikukuu.
Hata Waislamu wenyewe, Iddi (Sikukuu) Wamezipa majina yao.
👉Eid El fitry (Sikukuu baada ya mfungo wa mwezi ramadhani)
👉Eid El hajj (sikukuu ya kuchinja)
Tuje kwenye Neno Sheikh (Shehe) Neno hilo pia halina mahusiano kabisa na Dini, maana neno Sheikh, ni neno la Kiarabu, likiwa na maana ya mzee (شيخ)
Kwani hata ndani ya Quran neno hilo Sheikh (شيخ) Limetamkwa mara moja tu, na tena mtamkaji akiwa ni mwanamke, Sara akimsemea mumewe, katika.
Quran 11 SURATUL HUUD
ﻗَﺎﻟَﺖْ ﻳَﺎ ﻭَﻳْﻠَﺘَﻰ
ﺃَﺃَﻟِﺪُ ﻭَﺃَﻧَﺎْ ﻋَﺠُﻮﺯٌ ﻭَﻫَـﺬَﺍ
ﺑَﻌْﻠِﻲ ﺷَﻴْﺨًﺎ ﺇِﻥَّ ﻫَـﺬَﺍ
ﻟَﺸَﻲْﺀٌ ﻋَﺠِﻴﺐٌ
72. (Mkewe Ibrahim)
akasema; Ee mimi we! Je,
nitazaa na hali mimi ni
mkongwe na huyu rnume wangu
ni mzee sana hakika hili ni
jambo la ajabu.
Sara katika kiarabu amesema:-
ﻭَﻫَـﺬَﺍ
ﺑَﻌْﻠِﻲ ﺷَﻴْﺨًﺎ
Na Mume wangu ni mzee, neno Hilo mzee kiarabu limetamkwa ﺷَﻴْﺨًﺎ yaani Sheikh
Ndilo neno pekee la Sheikh ambalo linapatikana ndani ya Quran, likiwa na maana ya mzee na siyo kiongozi wa Msikiti, au Kiongozi wa Dini, Kwani hata katika Biblia, kila palipotajwa mzee, Kiarabu ni ﺷَﻴْﺨًﺎ (Sheikh) Ushahidi huu hapa:- 👇
Walawi 19:32 Mwondokeeni mtu mwenye mvi; heshimuni uso wa mtu mzee; nawe mche Mungu wako, Mimi ndimi Bwana.
Katika kiswahili limetumika neno mzee, Kiarabu 👇🏻
19: 32 من امام الاشيب تقوم و تحترم وجه الشيخ و تخشى الهك انا الرب
Hapo kumetajwa, وجه الشيخ Uso wa Sheikh (mzee) Sheikh inatafsiri ya Mzee, na pia katika ushahidi mwingine, ni kwa Nikodemo.👇
Yohana 3:4 Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?
Katika Kiswahili, Kumetajwa neno mzee, katika Kiarabu kumeandikwa hivi.👇
3: 4 قال له نيقوديموس كيف يمكن الانسان ان يولد و هو شيخ العله يقدر ان يدخل بطن امه ثانية و يولد
Hapo kumetajwa و هو شيخ Nae ni mzee yaani Sheikh, yaani Sheikh anawezaje kuingia tumboni kisha akazaliwa mara pili? Sheikh hiyo haina maana ya kiongozi wa dini, bali Sheikh kwa umri mkubwa. Mtu mzima asiweze kuingia tumboni.
Pia hata Wazee wa Kanisa, nao pia katika Kiarabu ni Masheikh.
Yakobo 5:14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
👆Hapo ni Kiswahili wametajwa wazee wa kanisa, Kiarabu 👇
5: 14 امريض احد بينكم فليدع شيوخ الكنيسة فيصلوا عليه و يدهنوه بزيت باسم الرب
Hapo kumesemwa, شيوخ الكنيسة
Masheikh wa Kanisa, Kumetumika uwingi, شيو خ Masheikh المكنسة wa makanisa.
Kwa hivyo usiyumbishwe na Lugha, kwa kusikia au kusoma neno liliotaja Neno Sheikh au shehe, ukadhani ni kiongozi wa kiislamu, hapana, bali limetumika kwa maana ya mzee. Nehemia kukaa na mashehe, inamaana ya Wazee, na siyo Waislamu.
BY USTADH MHUBIRI WA INJILI, ABEL SULEIMAN SHILIWA
Shalom

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA TANO)

Image may contain: 5 people, people standing and text
Bibilia katika kitabu cha Kutoka 20: “Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi uewayo na BWANA Mungu wako.” Amri hii kila mara inaamrisha kuwafanyia wazazi vyema kila wakati kwa heshima na nidhamu.
Ndugu msomaji,
Muhammad aliye kuwa bila ya Wazazi wake, ALIWALAANI WAZAZI WAKE NA KUWAITA MAKAFIRI.
KUMBE MAMA YAKE NABII MUHAMMAD ALIKUFA KAFIRI
Bi Amina mamake na Muhammad kafa kafiri. tunasoma
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ((اسْتَأْذَنْتُ رَبِّي أَنْ أَسْتَغْفِرَ لأُمِّي فَلَمْ يَأْذَنْ لِي ، وَاسْتَأْذَنْتُهُ أَنْ أَزُورَ قَبْرَهَا فَأَذِنَ لِي )) مسلم
Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) ambaye amesema: Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Niliomba ruhusa kutoka kwa Allaah kumuombea msamaha mamangu, lakini Hakunipa ruhusa. Nikamuomba idhini nilizuru kaburi lake (mamangu), Naye Akanipatia ruhusa)) [Muslim]
Inaelezwa katika Kitabu cha ‘Awn al-Ma’abuud:
“Kauli yake (Muhammad) ((lakini Hakunipa ruhusa)) ina maana kuwa (mama yake) alikuwa kafiri na hairuhusiwi kumuombea maghfirah kafiri.”
Huu ni msiba mwengine kwa Waislam. Wazazi wake Muhammad wote wamekufa na dhambi kubwa kubwa na huku wakiwa MAKAFIRI.
Hivi huyu Allah mbona aliwachukiwa sana wazazi wa Muhammad?
Je, unafahamu kuwa baba yake Muhammad na yeye alikufa akiwa KAFIRI na yupoe Jehannam?
Hakika kuna mambo ya ajabu ajabu kwenye uislamu.
LAKINI HATUSOMI KUWA MAMA YAKE YESU ALIKUFA NA DHAMBI.
MUHAMMAD AKIRI KUWA BABA YAKE YUPO JEHANNAM
Huu ni MSIBA MKUBWA sana kwa Waislam. Muhammad ambaye baba yake anaitwa Abdullah ikimaanisha "mtumwa wa Allah" imethibitshwa kuwa yupo Jehannam/motoni akichomeka.
Haya si maneno yangu na wala mimi simsingizii baba ya Muhammad, bali haya ni maneno ya Muhammad.
Soma uthibitisho hapa.
Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeuka kuondoka, akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni. (Sahih Muslim, Kitabu 001, Namba 0398).
Na swali ambalo tungependa wajiulize Waislam ni kuwa, kwa nini baba yake Muhammad, ambaye alikuwa mpagani aliitwa ‘Abdullah’?
Na kwa kuwa ‘Abdullah’ maana yake ni ‘mtumwa wa Allah’, hii ni ishara ya wazi kwamba wapagani wa kipindi cha jahiliyah walikuwa wakimwabudu Allah hadi kufikia kuwapa watoto wao majina kwa heshima ya Allah – kama ambavyo Wayahudi nao walikuwa wakiwapa watoto wao majina kwa heshima ya Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.
Kwa mfano:
Yoshua – Yahwe ni wokovu;
Yothamu – Yahwe ni mkamilifu;
Yehoahazi – Yahwe ameshikilia;
Hezekia – Yahwe ametia nguvu;
Elisha – Mungu ni wokovu, n.k.
Jibu liko wazi. Allah alikuwa ni mungu wa kipagani aliyeabudiwa kabla ya Uislamu kuja. Na mungu huyu alikuwa ni ‘mungu mwezi’, yaani ‘al-ilah’. Jina lake jingine aliitwa ‘hubal.’ Mungu huyu wa kipagani aliabudiwa kote mashariki ya kati; wala si kwa Waarabu peke yake.
ZAIDI YA HAPO,
1. Kwanini Muhammad anakiri kuwa baba yake yupo Motoni?
2. Je, huyu Abdullah/abdallah alipata wapi hili jina lenye Allah ndani yake?
3. Je, inamaanisha kuwa Allah ambaye ni mungu wa kipagani alikuwepo kabla ya Muhammad?
Na ndiyo maana baba yake Muhammad, yaani Abdullah, alikoswakoswa kuchinjwa na babu wa Muhammad, yaani Abdul Muttalib. Abdul Muttalib alitaka kumchinja mwanawe huyo kama sadaka kwa Allah. Lakini mjomba wake Abdullah akamwokoa na hatimaye walichinjwa ngamia 100 badala yake.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA NNE)

Image may contain: 1 person, text
Kitabu cha Kutoka 20:8. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

MUHAMMAD BIN AMINA ALIVUNJA AMRI KUU KUHUSU SABATO

WAISLAM WANAO VUNJA SABATO NI WADHALILIFU NA WATAGEUZWA MANYANI

Tusome aya ya Allah:

AL - BAQARA 65: Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato, (siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.

Kama Allah anajua kuwa Siku ya Jumamosi ni ya mapunziko, iweje Waislam wa leo hawapumziki siku ya Jumamosi?

Kwanini Waislam wamekataa kuitunza Jumamosi?

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

KWANINI WAISLAM WANATUMIA BIBLIA KUTHIBITISHA UTUME WA MUHAMMAD MWANA WA AMINA?





KWANINI WAISLAM WANATUMIA BIBLIA KUTHIBITISHA UTUME WA MUHAMMAD MWANA WA AMINA?
TUNAZIDI KUCHAMBUA HOJA ZA MIHADHARA YA KIISLAMU;
LEO TUANGALIE JUHUDI ZA WAHADHIRI KUTAFUTA UTABIRI WA MUHAMMAD MWANA WA ABDALAH KWENYE BIBLIA:
Nabii Isaya ameandika kwamba: Kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi (Isaya 29:12).
Waislamu walipoona andiko hili wakadhani kuwa tayari wameshapata ushahidi kuwa Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia kwa kuwa Muhammad alikuwa ni mtu ambaye hakuwa amesoma.
Ukifuatilia sura nzima ya 29 na mantiki iliyozaa mstari huu wa 12, unaweza kuishia kucheka tu, ingawaje hili si jambo la kucheka.
Wanachofanya Waislamu ni upotovu mkubwa ambao unaangamiza mamilioni ya watu wa Mungu milele katika jehanamu ya moto. Watu wanaaminishwa uongo na wao wanaukumbatia kana kwamba ni ukweli.
Kwa ujumla, ukisoma sura ya 29 ni sura ambayo inatamka hukumu juu ya Ariel (Yerusalemu) kutokana na uasi wao juu ya sheria na maagizo ya Mungu, Yehova. Hebu tusome sura hiyo kwa Taratibu:
1 Ole wa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi alifanya kituo chake ndani yake; ongezeni mwaka baada ya mwaka; sikukuu na zirudi wakati wake,
2 ndipo nitamwudhi Arieli; kutakuwapo maombolezo na kilio; naye atakuwa kwangu kama Arieli.
3 Nami nitapiga kimo juu yako pande zote, nitakuhusuru kwa ngome, nami nitajenga maboma yakuzunguke.
4 Nawe utashushwa, nawe utanena toka chini ya nchi, na maneno yako yatakuwa chini toka mavumbini; na sauti yako itakuwa kama sauti ya mtu mwenye pepo, ikitoka katika nchi, na matamko yako yatanong'ona toka mavumbini.
5 Lakini wingi wa adui zako utakuwa kama mavumbi membamba, na wingi wao watishao utakuwa kama makapi yapitayo; naam, itakuwa mara na kwa ghafula.
6 Naye atajiliwa na Bwana wa majeshi kwa ngurumo, na tetemeko la nchi, na sauti kuu, na chamchela, na tufani, na mwali wa moto uteketezao.
7 Na wingi wa mataifa wapiganao na Arieli, wote wapiganao naye na ngome yake, nao wamwudhio, watakuwa kama ndoto, na maono ya usiku.
8 Tena itakuwa kama mtu mwenye njaa aotapo, kumbe, anakula; lakini aamkapo, nafsi yake haina kitu; na kama mtu mwenye kiu aotapo, kumbe, anakunywa; lakini aamkapo, kumbe, anazimia, na nafsi yake inatamani; hivyo ndivyo utakavyokuwa huo wingi wa mataifa waletao vita juu ya mlima Sayuni.
9 Ngojeni mstaajabu; fanyeni anasa zenu na kuwa vipofu; wamelewa wala si kwa mvinyo; wamewaya-waya wala si kwa sababu ya kileo.
10 Kwa maana Bwana amewamwagieni roho ya usingizi, amefumba macho yenu, yaani, manabii; amefunika vichwa vyenu, yaani, waonaji.
Mbali na hukumu hizo hapo juu, Mungu bado akaendelea kusema kuwa, kutokana na uasi wao, hata neno lake hawatalielewa. Yaani hawataweza kusikia au kujua Mungu anasema nini hata kama watasoma au kusikia neno lake. Hii ni pamoja na wale ambao ndio wanatarajiwa kuwa wenye kuelewa neno hili – yaani manabii na waonaji – ukiachilia mbali wale wasio na maarifa juu ya neno la Mungu, yaani watu wa kawaida. Kwa hiyo, anaendelea kusema:
11 Na maono yote yamekuwa kwenu kama maneno ya chuo kilichotiwa muhuri, ambacho watu humpa mtu aliye na maarifa, wakisema, Tafadhali ukisome hiki; akasema, Siwezi, kwa kuwa kimetiwa muhuri;
12 kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi.
Sasa basi, kama kweli Muhammad ndiye anayetajwa kwenye Isaya 29:12, kimantiki ina maana kuwa yeye ni kati ya wasioelewa lolote kwa kuwa wako chini ya hukumu ya Mungu; maana kama tulivyoona, sura hii ni tamko la hukumu ya Mungu kutokana na uasi. Si vibaya hata hivyo! Ndiyo maana nikasema kwamba unaposoma hoja hii ya Waislamu unaweza kuishia kucheka tu.
Lakini ebu tazama CHUO hiki ni WATU humpa mtu asiye na maarifa? Sasa kama chuo hiki kinakusudiwa ni Qurani? Je, watu hawa waliompa Muhammad chuo hiki ni kina nani? hivi kumbe Quran imetoka kwa WATU wakumpa Muhammad?
Hata hivyo, kwa kuwa sasa Muhammad ni nabii asiyeelewa chochote kutokana na kuwa chini ya hukumu ya Mungu kulingana na mantiki ya andiko hili, maana yake ni kuwa ujumbe alioleta kwa wanadamu hautoki kwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi. Ndiyo! Labda kama, kwa makusudi tu, hutaki mantiki iliyopo. Kwa nini basi umfuate mtu wa namna hiyo?
Fanya maamuzi; nafsi yako ni ya gharama Mpendwa.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA TATU)

Image may contain: 1 person, beard and text
Kutoka 20:7 Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, maana Bwana hatamuhesabia kuwa hana hataia mtu alitajaye jina lake bure.
MUHAMMAD NA WAISLAM WANAVUNJA AMRI YA TATU
Muhammad bin Amina pamoja na Waislam wote wamekuwa na tabia ya kupiga makelele kwa kusema ALLAHU AKBAR pale jambo fulani baya linapo tokea.
Waislam wandai kuwa, Allah ni jina la Mwenyezi Mungu, kama hayo madai ni kweli, basi Waislam wote wanavunja amri ya tatu wanapo sema ALLAHU AKBAR pale majanga au ugaidi unapo fanywa na Waislam wa siasa kali.
KAMA ALLAH NI MWENYEZI MUNGU, KWANINI ANAIVUNJA AMRI YA TATU ALIYO PEWA MUSA KWA KUWARUHUSU WAISLAM WASEMA KILA SIKU ALLAHU AKBAR HATA KWENYE UGAIDI?
Matamshi: Allahu Akbar, Allahu Akbar. Ashahadu alla
ilaha Illallaah.
Tafsiri: Allah ni Mkuu kuliko kila kitu, Allah ni Mkuu kuliko
kila kitu.
Je Allah ni Jina la Mwenyezi Mungu kama wanavyo dai Waislam?
HAKIKA ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA MUSA AITWAYE YEHOVA
"Kutoka 20:7" “Usilitaje bure jina la BWANA , Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.” Hii ni amri kinyume na kulitumia neno la BWANA vibaya. Hatustahili kulichukuliwa neno la Mungu kimsaha. Tunastahili kuonyesha heshima kwake kwa kumtaja kwa heshima na njia inayompa utukufu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA PILI)

Image may contain: text
Sheria za Mungu ni pamoja na amri kumi. Imeandikwa, Kutoka 20:[2] Usijifanyie sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho majini chini ya dunia usivisujudie wa kuvitumikia kwa kua mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu wenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu.
MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUU YA PILI
“Na popote unapoanza (kwa Swalah), geuza uso wako kuelekea Masjidul-Haraam, na popote mutakapo kuwa elekezeni nyuso zenu huko (Makkah mutakapo kuwa mnaswali)… ” (2: 150).
“Bila shaka! Tumekuona ukielekeza uso wako mbinguni. Kwa hakika, Tutakubadilishia Qiblah ambacho kitakuridhisha, kwa hivyo geuza uso wako kuelekea Masjidul-Haraam (Msikiti Mtukufu wa Makkah). Na popote watu wako watakapokuwa, geuzeni nyuso zenu huko. Bila shaka, watu waliopewa Vitabu (Mayahudi na Manasara) wanajua vizuri kuwa huu ndio ukweli kutoka kwa Mola wao. Na Allaah hajaghafilika na wanayoyafanya” (2: 144).
Qurani 3:96 suratul Al-aal-imran (watu wa imran)
kwayakini nyumba ya kwanza iliyewekwa kwa ajili ya watu kufanya ibada ni iloe iliyoko makka, na yenye baraka na uongozi kwa ajili ya walimwengu wote.
Qurani 22:27-29 suratul Al-Hajj. (Hijja)
Na (tukamwambia “utangaze kwa watu habari ya Hijja, watakujia, (wengine) kwa miguu na (wengine) juu ya kila mnyama aliyekonda kwa machofu ya njiani wakija kutoka katika kila njia ua mbali; ili washuhudee manufaa yao na ili wakushirishe kulitaja jina la mwenyezi mungu katika diku zinazojulikana fadhila zake na juu ya yale aliyowaruzuku, nao mi wanyana wenye miguu mine. Na kuleni katika wanyama hao na mlisheni mwenye shida na fakiri. Kasha wajisafishe toka zao, na watimize hadhiri zao na waizunguke nyumba ya kale (nyumba kongwe Al-ka’ba.)
Tunaposoma ufafanuzi wa aya ya 29 ulio ndani ya Qurani katika juzuu ya 17 kuna maneno haya; “kabla ya uislamu waarabu walikuwa wakiitukuza Al-ka’ba. Na kwa ilivyokuwa ni jingo la zamani sana waliita Al-Baytul’Atiq yaani nyumba ya kale.”
Kama vile waarabu wapagani, makafiri na majahilia mji mkuu wa Hijja ni makka kule Saudi Arabia ndivyo ilivyo kwa waislamu nao mji wao mkuu ambao wanaenda kuhiji ni makka. Isitoshe Qurani inasimulia kuwa makka ni mama wa miji soma hayo katika Qurani 6:92 suratul Al- An-Am (wanyama) waislamu popote walipo duniani wanaambiwa wanaposali waelekeze nyuso zao mahali maalumu,
Qurani inasimulia hivi
Qurani 7:29Suratul Al- Araf
Sema: mola wangu ameamrisha uadilifu, na ameniambia nikuambieni elekezeni nyuso zenu kwake wakati wa kila sala…
Je mola huyo ambaye anasema kuwaambia wenye kufuata Qurani waelekeze nyuso alipo huko ni wapi?
Qurani 27:91 suratul An-Naml
Bila shaka nimeamrishwa nimwabudu mola wa nji huu wa makka ambaye akadiri ya aya hizi tunaona kuwa qurani inasimulia kuwa mola huyo ni wa mji wa makka ambaye…
Katika ibada zao waislamu huelekeza nyuso zao kibla nako ni katika msikiti wa Al' ka’ba iliyoko makka Qurani 2:144-150 mola wa mji wa makka ndiye Allah ambaye aliabudiwa na waarabu washirikina zama za ujahilia, na ndiye huyo huyo anoyeabudiwqa na waislamu.
(ix) kuzunguka Al- ka’ba wakiwa uchi wakati wa ibada.
Kabla ya dini ya uislamu makureshi na waarabu wenzao walikuwa wakiizunguka Al-ka’ba “bait ullah’ yaani nyumba ya Allah wakiwa uchi wake kwa waume walikuwa wakiitikadi nguo ni kitu kinachopata uchafu kwa hivyo hakistahiki kuvaliwa wakati wa ibada hayo tunayaona katika kitabu cha maisha ya Muhammad ukura wa 4 kilichotungwa na shikh Abdullah saleh Al Farsy ambaye alikuwa kadhi mkuu wa Zanzibar baadaye nchini Kenya. Siyo Farsy peke yake ambaye aliyeandika hayo bali na mwanachuoni maarufu aitwae Abul A’la maududi katika kitabu chake kiitwacho katika kuufahamu uislamu ukurasa wa 43 aliwaelezea waarabu hivi: maisha yao yalikuwa ya kishenzi. Mambo yao yalikuwa ya kishenzi na wakati wote walisherekea uzinzi kamari na ulevi. Kuteka nyara na kunyang’anya ulilokuwa useni wao, kuu na kutwaa wanawake kwa nguvu ndizo zilikuwa tabia zao halisi. Wakiweza kukao tupu uchi mbele za wenzao pasina haya wala hata kuona wamefanya jambo lolote la fedheha. Hata wake zao walikuwa wakiizunguka al-ka’ba uchi. Kwa ajili ya fikira za ujinga mtupu ati wa kuchunga heshima zao, waliwaua mabinti zao ili asije mtu akawa mkwa wao. Walikuwa wakiwaoa mama zao wa kambo baada ya kufa baba zao. Walikuwa wajinga hata wa mambo madogo ya kula, kuvaa na kunawa. Ama katika imani zao za kidini, walikuwa na ugonjwa ule ule uliotokana na uovu uliokuwa ukipoteza ulimwengu mzima.
Kumbuka Allah ndiye mungu waliomuabudu waarabu hao na nyumba yao ya ibada ni Al-ka’ba jambo la kushangaza maulamaa Abul A’la maududi ana sema kuwa waarabu hao walikuwa na uovu ulioupoteza ulimwengu mzima. Swalli je, kuzunguka Al-ka’ba na kumwabudu Allah ndio kuupoteza ulimwengu?
Je, waislamu wanapoenda Hijja wanaizunguka Al-ka’ba?
Kabla ya kujua mambo wanayoyafanya waislamu kule Al-ka’ba inafaa tujue jinsi Al- ka'ba ilivyo. Neno ka'aba ni la kiarabu lina maanisha kitu cha mirabo sita iliya sawa, ka’ba ni la kiarabu linamaanisha kitu cha miraba sita iliya sawa. Ka’aba ni jingo lenye ureru wa meta 12 upana meta 10 na urefu kwenda juu meta 15 jengo hilo lipo makka kule daudi Arabia. Jingo hilo limefunikwa na na mapazia meusi yaliyotariziwa aya za Qurani kwa herufi za kiarabu kwa kutumia uzi wa dhahabu halisi. Katika pembe ya mashariki ya ka’aba kuna jiwe jeusi katika kiarabu jiwe hili linaitwa “hajarul Aswad”.
Qurani inawaagiza waislamu wafanye ibada zao za Hija hivi…
(i) kuzunguka Al-ka’aba
qurani 22:29 suratul al-Hajj
“Na kasha wajisafishe taka zao na watimize nadhitri zao na waizunguke nyumba ya kale (nyumba kongwe ya Al-ka’ba)
kadiri ya aya hii tunaona kuwa Allah anawaagiza waislamu waizunguke Al- ka’ba huko nyumba tuliona kuwa waarabu wapagani waliizunguka Al-ka’ba wakiwa uchi bila nguo je waislamu wao wanaizunguka Al-ka’ba wakiwa vipi?
Tunaposoma kitabu kiitwacho vipi uhiji kilichoandikwa na mwanachuoni wa kiislamu aitwae A. sulemani ukurasa wa 16 kuna maneno hayo: “ni haramu kuvaa nguo zilizoshonwa kwa mwanamume muhrim anayekwenda kuhiji makka kwenye Al-ka’ba (msikiti). Kushona hapa ina maana kushona kwa ajili ya kuvaliwa siyo kama kiraka, vazi linalozunguka mwili kama shati, suruali na kadhalika anaruhusiwa kufunga kwa pini au mkanda nguo za hiramu ili zisivuke yaani nguo mbili kama mgolole.
Kadiri ya maneno haya waislamu katika hija yao kule ka’ba wazunguka ka’ba wakiwa wanavaa nguo sisizo shonwa zinaitwa “ihram” yaani mashuka mawili meupe.
(x) ibada ya kuomba kubusu na kuliheshimu jiwa jeusi “hajarul Aswad” katika Al-ka,aba msikiti wa makka.
Makureshi pamoja na waarabu wenzao kabla ya uislamu walikuwa wakiheshimu sana nyumba ya allah al-ka’ba pamoja na jiwe jeusi liitwalo kwa kiarabu “hajaral Aswad” wakati huo wakiendeleza ibada zao za kishiriki kipagani na zilizojaa ukafiri. Jambo linalotuthibitia kuwa makureshi waliheshimu al kaba na jiwa jeusi tulipata katika kitabu cha maisha ya Muhammad (s.a.w) kilitungwa na sheikh Abdullah saleh Al-Farsy ukurasa wa 15-16 kuna maneno haya: “kujengwa kwa Al- ka’ba mtume alipokuwa na miaka 35 Al-ka’ba mtume alipokuwa na miaka 35 Al-kaba ilifanya nyufa kubwa, na ikakaribia kuvunjika, makureshi wakafanya shauri ya kuivunja na kujenga yote upya, Al-ka’ba ilikuwa haina sakafu…lakini Hajarul Aswad lilipokuwa likitaka kuwekwa mahali pake baina ya ukuta wa kusini na mashariki. Hapo ndipo walipogombana kilaukoo ukitaka mkubwa wao aliweke. Ugomvi ukashika nguvu. Kazi ikazuilika kwa muda wa siku tano, panangojewa vita tu, tumbo litakalo shinda ndilo liweke jiwe la Hajarul Aswad…mara kwa bahati nzuri aliingia mtume, alikuwa hakupata utume bado. Na hapo wote wakasema kwa umoja wao: “Hadhal Amin huyu yule mwaminifu na sote tumekubali” mtume akalichukua lile jiwe akalitia katila shali yake, akamwita kila mkubwa na ukoo; kisha akawaamrisha walichukue kiti mpaka mahjali pake. Hapo mtume akapokea akaliweka yeye kwa mikono wake na kwa radhi yao wote.
Huu ni ushahidi kuwa makureshi na waarabu wenzao kabla ya dini ya uislamu kuja walikuwa wanaihwshimu sana Al-ka’aba na jiwe jeusi lililokuwa ndabi ya msikiti huoj wa la’aba. Ambamo ndiyo sehemu waliokuwe wakizunguka wakiwa uchi wake kea waume, na hata Muhammad tunaoma alishiriki katika Al-ka’ba hiyo kwani na yeye aliweka hilo jiwe keusi na makureshi wote walikubali afanye hivyo. Swali la muhimu la kujuuliza je waislamu hawakurithi ibads hizo za ujahilia? Endelea…
Je, waislamu wanafanya ibada ya kuomba, kugusa, kubusu na kuliheshimu jiwe jeusi “Hajarul aswad”
Tunaposoma vitabu mbalimbali vya kiislamu tunaona namna ambavyo waislamu wanavyo fanya ibada ya kuliheshimu jiwe jeusi lililo katika msikiti mkuu wa makka uitwao Al-ka’ba unaofahamikakuwa ni “bait ullah” yaani nyumba ya Allah. Baadhi ya vitabu hivyo ni hivi…
kitabu kiitwacho mkweli mwaminifu mtungaji sheikh said moosa muhamed al-kindy ya 3-4 chapa ya 14 ukurasa wa 75 kuna maneno haya; kasema mtume (S.a.W.) ya mwenyezi mungu katika Ardhi. Basi atakaye ligusa basi kafungamana na wenyezi.
katika kitabu cha hadithi za Muhammad cha sahih al-bukhari vol. Ii ukurasa wa 397 hadithi na 682. kastika hadithi hii tunaambiwa kwamba “kila wakati mtume saw alikuja kwenye jiwe jeusi akalielekezea kikdolw na kusema Takbirt maana yake Allah ni mkuu.
swahaba kwa mtume aliyeitwa umar bin khattab alilibusu jiwe jeusi al Al-ka’ba kasha akadema: “bila shaka nafahamu wewe ujiwe lisiloweza kumfaidia wala kumdhuru mtu yeyote. Kama nisingalikuwa nimemwons mtume )S>A.W.) akibusu mimi nisingalikubusuu” kiarabu chepesi cha maneno hayojni hivi; inna alamu annakha hajarul atadhura wala tanalwau. Walaula annahu tahiyyatu rasul Allah (S.A.W.) yakabalka makabul atukha.”
kitabu kiitwacho vipi uhiji kilichoandikdwa na A-sulelman ukurasa wa 29-30 kuna maneno haya: Hajar-al Aswad (jiwe jeusi) “kabla ya kuanza kuzu\nguka Al-ka’ba ni uzuri kwanza kuliendea hajar-Al Aswad lililoko Al-ka’aba hapo husogea karibi ikiea inayumkinika kikaribia bila ya kuumiza watu unalikabili Hajar-Al Aswad una lieekea mkona na bila ya kusema unalikabili Hajar-Al Aswad unaliweka mkono na bila ya kusema unalibusu mara tatu na kuligusisha kipaji chako cha uso mara tatu kwa wawake kufanya hivi ni suna ikiwa hapana zogo la dwaru, ikiwa hulifikiri liashire kea mkono. Tena mtu hurudi kwenye Hajar-al Aswad na kuligusa, kulibusu mara tatu na kugusisha kipaji cha uso mara tatu kama vile mwanzo tena utasema Allahu Akbaaar mara tatu (huku ukilashiria hajar kea mikono yote miwili ikisha utaongeza “Alla humma iimana bika wartaddika bikitabika wafaa biahdika wattibaa lisunnat nabiyyika salla ila hu Alayhi wassalim.” Kiwsaili. “ewe mola kwa imani yengu juu yako na kuthibitisha kitabu chako na kutekeliza ahadi yako uya kufuata mwendo wa mtume. Tena hapo utapita kulipita Hajar-Al Aswad ukilielikea huku ukiendelea kuzunguka Al-ka’aba yote nzima.
Kumbuka tendo la kuzunguka Al-ka’aba lilifanya washirikina na dwapagani wa kiarabu zama za ujahilia kabla ya dini ya uislamu kuanza. Na waislamu noo huizunguka Al-ka’aba swali je, waislamu hawakurithi eneo la ibada za ujahilia tafakari.
Mungu wetu yehova anavyotufundisha kuhusu ibada ya jiwe.
Mambo ya walawi 26:1
Msifanye sanamu yeyote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jifee lolote lililochorwa katika nchi yenu ili kilisujudia; kwa kuwa mimi ndimi Bwana mungu wenu.
Kadiri ya mafundisho ya mungu wet yehova ambaye wakristo tumuabudu ni kakosa makubwa kuchukua jiwe na kulisujudu. Tafakari kuhusu waislamu na matendo yao katika jiwe la jeusi “Hajarul Aswad.”
(xi) ibada ya kuzunguka majabali (vilimo) vya safaa na marwa huko makka kabla ya uislamu.
Qurani 2:158 suratul Al-Baaraqh (Ng’ombe jike) hakika safaa na marwa (majabali mawili yana yofanyiwa ibada ya kusai huko makka) ni katika alma za kuadhimisha dini ya mwenyezi mungu basi anayehiji kwenyu nyumba hiyo ar kufanya umra. Si kosa kwake kuvizunguka (vilima) hivyo viwili na anayefanya wema (atalipwa) kwani mwenyezi mungu ni mwenye shukrani na mjuzi wa kila jambo.
Ufafanuzi wa aya hiii ya 158 ulio katika qurani ni huu katika ibada ambazo hazisihi kufanywa ila makka ni hizi (a) Hijja na (b) umra. Na takriba zote mbili hizi ni sawa sawa ila zinakhitalifiana. Kidogo to. Moja katika hitilafu zao ni kuwa Hijja haifanyi ila miezi makhususi: na mwisho wa miezi ya Hijja ni kumi la mwanzo la mfungo tatu…ama mengine bi sawa. Nayo ni: (1) kuzunguka Al-ka’aba mara 7 (2) kwenda matiti mara 7 baina ya majabali hayo mawili ambalo moja linaitwa safaa na moja linaitwa marwa (3) kunyoa nywele au kuzikata. Majabali hayo kabla ya uislamu yalikuweka yamewekwa juu yake madanamu na makafiri wakiyaabudu. Basi ulipokuja uislamu. Waislamu wengine waliona labda si vizuri kufanya ibada haopo penye majabali hayo. Basi wakaambiwa kuwa si vibaya.
Maelezo ya aya hii yanafanana na yle yaiyo katika saqhih Al-Bukhari volii ukurasa wa 415-416 hadith no. 710 pale Asim alipomuuliza Anas bin maliki (A.S.) hivi: je, ulikuwa ukichukia kufanya tawaf (yaani kuzunguka) kati ya safaa na marwa? Akasema ndiyo kwaqsababu ni matendo ya kwaida (sherehe) iliyofanyofanyika wakati wa ujinga kutajua kabla ya uislamu kuja. Imesimuliwa pia kuwa Muhammad alifanjya tawwaf ya ka’aba na sa’I ya safa na marwa ili kuonyesha nguvu zake kwa safa na marwa. Hayo yamesimuliwa katika sahih Al Bukhari vol ii hadithi no.711. jambo linaloshangaza ni kuwa ibada hiyo ilifanywa na makafiri zama za ujahilia (ujinga) na waislamu nao wazunguka vilima hivyo isitoshe insshangaza kuona Allah mungu anayeabudiwa ba wislamu anayaita majabali hayo minshahilillah yaani alama za mungu au kwa kiingereza “symbols of Allah” hii ni ajabu kuona vilima vinaitwa hivyo.
Bwana Yesu anatufundisha nini kuhusu ibada ya milima? Yohana 4:19-22
Yule mwanamke akamwambia bwana naona ya kuwa unabii, baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko yerusalemu ni mahali patupa sapo kuabudjiwa. Yesu akamwambia mama, unisadiki saa ubajyha ambayi gamtamwabudu baba katika mlima huu, wala kule yersalemu, ninyi mnaabudu msichokijua sisu tunaabudu tukijuacho kwa kuwa wokovu watoka kwa wayahudi.
Katika aya hizi Bwana Yesu anatuambia kuwa wale wanaofanya ibada katika mlima hawajui wachokiabudu. Ndugu tafakqari ibada ya waislamu katika vilima je, wanajua wanachokiabudu?
(xii) mwezi wa ramadhani.
Tunaposoma katika kitabu cha maisha ya muhammaf ukurasa wa 32 kilichotungwa na sheikh Farsy tunaona kuwa miezi iliyotumiwa na waarabu kabla yo dini ya uislamu ndiyo inayotumiwa ba waislamu. Kitabu hicho kinasomeka hivi…”Makka tangu kabla ya uislamu, ilikuwa ni mahali patakatifu kwa waarabu wote. Kila mwaka walikuwa wakija kuhiji miezi hii hii wanayoitumia sasa waislamu katika kuhiju kwao.
Waarabu walikuwa washirikina na wapagani majahilia. Walikuwa na mwezi wa ramadhan nalo ndio mwezi ambao dwaislamu wana amini kuwa Muhammad alipata utume. Tazama kitabu cha maisha ya Muhammad ukurasa 16-17.
Ibada ya kufunga katika mwezi wa Ramadhan kwa waislamu
Qurani 2:183 suratul Al-Baarah (Ng’ombe jike)
Enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga (saumu) kama walivyoiazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu.
Imeelezwa katika sahih Bukhari volii Hadith 662 vol. Iii Hadith no. 219 na 220 pia vol vi Hadith no.31 ya kuwa Muhammad aliamuru waislamu wafunge siku ya Ashura siku ya 10 ya mwezi kwanza katika mwaka wa kiislamu yaani mweziuitwalo muharram) kufunga huko kaqbla ya uislamu ilikuwa ni desturi katika dini ya Hums na uislamu ukaichukua.
(xiii) kumpiga mawe shetani katika bonde la wadah muhassir.
Miongoni mwa tendo moja kubwa linalofanya na waislamu wanapofika hija huko makka ni kumpinga mawe shetani. Kitabu kiitwacho vipi uhiji ukurasa wa54,55,61 kuna maneno haya…”Mahujaji wanapofika bonde liitwalo wadi ah muhasisi karibu na mina ni suna kunyapuka hao huelikea jamrat al a quba (shetani mkubwa) na hupiga yale mawe saba waliyoyaokota muzdelifa baada ya kupiga mawe jamarati Al-Aqaba hufuatiwa na kuchinja.
Kwa sisi wakristo tunajua shetani ni roho ya uasi waefeso 2:1-5 na ni roho ya udanganyifu 1 Timotheo 4:1-2. Hivyo huwezi kumshinda shetani kwa kumpiga kwa mawe maana ni roho tu. Roho ni upepo au pumzi. Biblia inatufundisha kuwa tunamshinda shetani kwa njia ya imani sahihi ya mungu, kushika neon la mungu, dala, na maombi, hivyo tutamshinda shetani soma waefeso 6:11-18.
Wajibu wa Mkristo baada ya kuujua uislamu.
Ninaamini kuwa imejifunza mengi kuhusu dini ya uislamu, na umeona mambo mengi yuanayotendeka na waislamu kule makka wakati wa hija. Mambo hayo yalifanywa na makureshi na waarabu wenzao kabla ya dini ya uislamu kuja, na tena umeona kuwa mungu tunayemwabudu wakristo hataki ibada zinazoshirikisha mawe na milima. Basi wajibu wako mkristo kuwafikishia injili waislamu na watu wa dini nyingine zisizomuamini Bwana Yesu, ili wamdwamini na wapate kuokolewa. Kumbuka injili ndio uweza wa mungu uletao wokovu Warumi 1:16. na tena injili ndilo neon la kweli Wakolosai 1:5. bwana akubariki sana ni mimi katika utumishi wa Bwana Yesu Mwalimu;
Ndugu zanguni, Uislam ni dini ya kuabudu Sanamu na hakika hawata iona Mbingu maana kuabudu sanamu mwisho wake ni Jehannam.
Source: Injili Timilifu, Eleutary H. Kobelo.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MTUME PAULO ANAKIRI MUNGU NI MMOJA

Image may contain: one or more people, text and closeup
MTUME PAULO ANAKIRI MUNGU NI MMOJA
JE, MTUME PAULO ALIKUWA MUISLAM MAANA ALIKIRI MUNGU NI MMOJA?
1 Wakorintho Mlango 8: 6 lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.
HUWA KUNA HOJA YA WAISLAM KUWA, ETI YESU ALIKUWA MUISLAM KWASABABU ALISEMA MUNGU NI MMOJA.
JE, TUKITUMIA UTAALAMU NA AU MBINU HIYO HIYO NA TUWAULIZE WAISLAM. JE, MTUME PAULO ALIKUWA MUISLAM MAANA ALIKIRI MUNGU NI MMOJA?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW