Friday, December 7, 2018

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA TATU)

Image may contain: 1 person, beard and text
Kutoka 20:7 Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, maana Bwana hatamuhesabia kuwa hana hataia mtu alitajaye jina lake bure.
MUHAMMAD NA WAISLAM WANAVUNJA AMRI YA TATU
Muhammad bin Amina pamoja na Waislam wote wamekuwa na tabia ya kupiga makelele kwa kusema ALLAHU AKBAR pale jambo fulani baya linapo tokea.
Waislam wandai kuwa, Allah ni jina la Mwenyezi Mungu, kama hayo madai ni kweli, basi Waislam wote wanavunja amri ya tatu wanapo sema ALLAHU AKBAR pale majanga au ugaidi unapo fanywa na Waislam wa siasa kali.
KAMA ALLAH NI MWENYEZI MUNGU, KWANINI ANAIVUNJA AMRI YA TATU ALIYO PEWA MUSA KWA KUWARUHUSU WAISLAM WASEMA KILA SIKU ALLAHU AKBAR HATA KWENYE UGAIDI?
Matamshi: Allahu Akbar, Allahu Akbar. Ashahadu alla
ilaha Illallaah.
Tafsiri: Allah ni Mkuu kuliko kila kitu, Allah ni Mkuu kuliko
kila kitu.
Je Allah ni Jina la Mwenyezi Mungu kama wanavyo dai Waislam?
HAKIKA ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA MUSA AITWAYE YEHOVA
"Kutoka 20:7" “Usilitaje bure jina la BWANA , Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.” Hii ni amri kinyume na kulitumia neno la BWANA vibaya. Hatustahili kulichukuliwa neno la Mungu kimsaha. Tunastahili kuonyesha heshima kwake kwa kumtaja kwa heshima na njia inayompa utukufu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW