Tuesday, November 5, 2013

UTATA NDANI YA KORAN: NANI ALIKUWA MTEREMSHAJI WA KWANZA WA QURAN KWA MTUME MUHAMMAD?

Adui wa Jibril au Roho Takatifu?

Somo letu la leo tutazungumzia utata ulio jaa ndani ya Koran. Leo hii tutajinfunza kuhusu nani alikuwa wa kwanza kuteremsha Koran kwa Mtume wa Allah. 

Katika Qura 2:97 tunasoma kuwa, Jibril ndie aliye kuwa wa kwanza kushusha aya za Quran kwa Mtume wa Allah. Soma kifungu hiki hapa:

Quran 2:97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Hiyo aya hapo juu ipo wazi kabisa kuwa, aliye kuwa adui wa Jibril ndie aliye kuwa mshushaji wa Quran kwa Mtume wa Allah ajulikanaye kwa jina la Muham'mad. Hebu tuendelee kusoma Quran hiyo hiyo na tuone kama ni kweli adui wa Jibril alikuwa wa kwanza kufanya hiyo kazi au kulikuwa na mtu mwingine aliye kuwa anafanya kazi hiyo hiyo ya kushusha Quran kwa Mtume wa Allah.

Rejea hapa:

Quran 16:102. Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu.

103. Na Sisi hakika tunajua kwamba wanasema: Yuko mtu anaye mfundisha. Lugha ya huyo wanaye muelekezea ni ya kigeni, na hii ni lugha ya Kiarabu mbayana.

Katika aya tulizo zisoma hapo juu, tunagundua kuwa Allah alimtumia Roho Takatifu kushusha Aya kwa Mtume wake na si Jibril kama wanavyo dai Waislam na tulivyo soma kwenye Surah 2 aya 97 ni Adui wa Jibril ndie aliye shusha Quran.

Katika Surah 2:97 tunasoma kuwa Mteremshaji wa Quran ni adui wa Jibril.

Katika Surah 16:102-103 tunasoma kuwa Roho Takatifi ndie anateremsha Quran.

Ndugu zanguni. Hivi kwanini Koran inamakosa namna hii? Nani alikuwa mteremshaji wa Koran? Ni Adui wa Jibril au Roho Takatifu?

Nimategemeo yangu kuwa, hili soma litawafungua macho na kufahamu ukweli kuhusu Quran. Kama kweli Allah ni Mungu na yeye ndie aliye kuwa anaishusha Quran kupita Jibril, basi asinge fanya kosa la kumsingizia Roho Takatifu kuwa na yeye alikuwa anashusha Quran au Adui wa Jibril.

Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini afanye makosa makubwa namna hii?

Je, Roho Takatifu ni adui wa Jibril?

Mungu awabariki sana,

Katika Huduma Yake,

Max Shimba

For Max Shimba Ministries

Copyright © Max Shimba Ministries 2013

5 comments:

Unknown said...

UFUATAO NI UFAFANUZI KUHUSU TAFSIRI AU MAANA ILIYOKUSUDIWA KATIKA AYA HIYO TUKUFU:

AYA INASEMA HIVI:
قُلْ مَنْ كانَ عَدُوًّا لِجِبْريلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلى قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقاً لِما بَيْنَ يَدَيْهِ وَ هُدىً وَ بُشْرى لِلْمُؤْمِنين

MAANA YAKE AU TARJUMA SAHIHI NA ILIYOBAYANA ZAIDI NI HII: “Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Aya hii Tukufu imeshuka ikiwa ni jibu kwa kauli iliyosemwa na MAYAHUDI na kwamba wametubu na kujiepusha au kujizuia na suala la kuyaamini yale yaliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Na wakatoa sababu inayowafanya wasiamini yanayoteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w) kuwa ni kwa kuwa wao ni Maadui wa Malaika Jibrail (a.s) anayeteremka na Wahyi(UFUNUO) kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Hivyo katika Aya hiyo ya 97 na Aya ya 98 inayofuatia ndani ya Suratul-Baqarah Mwenyeezi Mungu (s.w) akawajibu MAYAHUDI hao kuwa wanajisumbua bure maana Jibrail (a.s) ameiteremsha Qur’an katika Moyo wa Mtume (s.a.w.w) kwa Idhni ya Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo akawatanabahisha ya kwamba ikiwa mnasema hamuiamini Qur’an Tukufu na yaliyoteremshwa kwa Muhammad (s.a.w.w) kutokana na uadui wenu mlionao kwa Jibrail (a.s),basi tambueni ya kuwa Jibrail (a.s) hajateremsha Qur’an Tukufu yeye kama yeye bali ameiteremsha katika moyo wa Muhammad (s.a.w.w) kwa idhni yake Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo uadui wao walio nao kwa Jibrail (a.s) hautakiwi kuwazuia kuyaamini maneno ya Mwenyeezi Mungu (s.w) yaliyoteremka kwa Idhni yake (s.w).

Unknown said...

UFUATAO NI UFAFANUZI KUHUSU TAFSIRI AU MAANA ILIYOKUSUDIWA KATIKA AYA HIYO TUKUFU:

AYA INASEMA HIVI:
قُلْ مَنْ كانَ عَدُوًّا لِجِبْريلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلى قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقاً لِما بَيْنَ يَدَيْهِ وَ هُدىً وَ بُشْرى لِلْمُؤْمِنين

MAANA YAKE AU TARJUMA SAHIHI NA ILIYOBAYANA ZAIDI NI HII: “Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Aya hii Tukufu imeshuka ikiwa ni jibu kwa kauli iliyosemwa na MAYAHUDI na kwamba wametubu na kujiepusha au kujizuia na suala la kuyaamini yale yaliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Na wakatoa sababu inayowafanya wasiamini yanayoteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w) kuwa ni kwa kuwa wao ni Maadui wa Malaika Jibrail (a.s) anayeteremka na Wahyi(UFUNUO) kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Hivyo katika Aya hiyo ya 97 na Aya ya 98 inayofuatia ndani ya Suratul-Baqarah Mwenyeezi Mungu (s.w) akawajibu MAYAHUDI hao kuwa wanajisumbua bure maana Jibrail (a.s) ameiteremsha Qur’an katika Moyo wa Mtume (s.a.w.w) kwa Idhni ya Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo akawatanabahisha ya kwamba ikiwa mnasema hamuiamini Qur’an Tukufu na yaliyoteremshwa kwa Muhammad (s.a.w.w) kutokana na uadui wenu mlionao kwa Jibrail (a.s),basi tambueni ya kuwa Jibrail (a.s) hajateremsha Qur’an Tukufu yeye kama yeye bali ameiteremsha katika moyo wa Muhammad (s.a.w.w) kwa idhni yake Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo uadui wao walio nao kwa Jibrail (a.s) hautakiwi kuwazuia kuyaamini maneno ya Mwenyeezi Mungu (s.w) yaliyoteremka kwa Idhni yake (s.w).

Anonymous said...

UFUATAO NI UFAFANUZI KUHUSU TAFSIRI AU MAANA ILIYOKUSUDIWA KATIKA AYA HIYO TUKUFU:

AYA INASEMA HIVI:
قُلْ مَنْ كانَ عَدُوًّا لِجِبْريلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلى قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقاً لِما بَيْنَ يَدَيْهِ وَ هُدىً وَ بُشْرى لِلْمُؤْمِنين

MAANA YAKE AU TARJUMA SAHIHI NA ILIYOBAYANA ZAIDI NI HII: “Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Aya hii Tukufu imeshuka ikiwa ni jibu kwa kauli iliyosemwa na MAYAHUDI na kwamba wametubu na kujiepusha au kujizuia na suala la kuyaamini yale yaliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Na wakatoa sababu inayowafanya wasiamini yanayoteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w) kuwa ni kwa kuwa wao ni Maadui wa Malaika Jibrail (a.s) anayeteremka na Wahyi(UFUNUO) kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Hivyo katika Aya hiyo ya 97 na Aya ya 98 inayofuatia ndani ya Suratul-Baqarah Mwenyeezi Mungu (s.w) akawajibu MAYAHUDI hao kuwa wanajisumbua bure maana Jibrail (a.s) ameiteremsha Qur’an katika Moyo wa Mtume (s.a.w.w) kwa Idhni ya Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo akawatanabahisha ya kwamba ikiwa mnasema hamuiamini Qur’an Tukufu na yaliyoteremshwa kwa Muhammad (s.a.w.w) kutokana na uadui wenu mlionao kwa Jibrail (a.s),basi tambueni ya kuwa Jibrail (a.s) hajateremsha Qur’an Tukufu yeye kama yeye bali ameiteremsha katika moyo wa Muhammad (s.a.w.w) kwa idhni yake Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo uadui wao walio nao kwa Jibrail (a.s) hautakiwi kuwazuia kuyaamini maneno ya Mwenyeezi Mungu (s.w) yaliyoteremka kwa Idhni yake (s.w).

Anonymous said...

UFUATAO NI UFAFANUZI KUHUSU TAFSIRI AU MAANA ILIYOKUSUDIWA KATIKA AYA HIYO TUKUFU:

AYA INASEMA HIVI:
قُلْ مَنْ كانَ عَدُوًّا لِجِبْريلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلى قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقاً لِما بَيْنَ يَدَيْهِ وَ هُدىً وَ بُشْرى لِلْمُؤْمِنين

MAANA YAKE AU TARJUMA SAHIHI NA ILIYOBAYANA ZAIDI NI HII: “Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Aya hii Tukufu imeshuka ikiwa ni jibu kwa kauli iliyosemwa na MAYAHUDI na kwamba wametubu na kujiepusha au kujizuia na suala la kuyaamini yale yaliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Na wakatoa sababu inayowafanya wasiamini yanayoteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w) kuwa ni kwa kuwa wao ni Maadui wa Malaika Jibrail (a.s) anayeteremka na Wahyi(UFUNUO) kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Hivyo katika Aya hiyo ya 97 na Aya ya 98 inayofuatia ndani ya Suratul-Baqarah Mwenyeezi Mungu (s.w) akawajibu MAYAHUDI hao kuwa wanajisumbua bure maana Jibrail (a.s) ameiteremsha Qur’an katika Moyo wa Mtume (s.a.w.w) kwa Idhni ya Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo akawatanabahisha ya kwamba ikiwa mnasema hamuiamini Qur’an Tukufu na yaliyoteremshwa kwa Muhammad (s.a.w.w) kutokana na uadui wenu mlionao kwa Jibrail (a.s),basi tambueni ya kuwa Jibrail (a.s) hajateremsha Qur’an Tukufu yeye kama yeye bali ameiteremsha katika moyo wa Muhammad (s.a.w.w) kwa idhni yake Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo uadui wao walio nao kwa Jibrail (a.s) hautakiwi kuwazuia kuyaamini maneno ya Mwenyeezi Mungu (s.w) yaliyoteremka kwa Idhni yake (s.w).

Unknown said...

UFUATAO NI UFAFANUZI KUHUSU TAFSIRI AU MAANA ILIYOKUSUDIWA KATIKA AYA HIYO TUKUFU:

AYA INASEMA HIVI:
قُلْ مَنْ كانَ عَدُوًّا لِجِبْريلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلى قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقاً لِما بَيْنَ يَدَيْهِ وَ هُدىً وَ بُشْرى لِلْمُؤْمِنين

MAANA YAKE AU TARJUMA SAHIHI NA ILIYOBAYANA ZAIDI NI HII: “Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
Aya hii Tukufu imeshuka ikiwa ni jibu kwa kauli iliyosemwa na MAYAHUDI na kwamba wametubu na kujiepusha au kujizuia na suala la kuyaamini yale yaliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Na wakatoa sababu inayowafanya wasiamini yanayoteremshwa kwa Mtume (s.a.w.w) kuwa ni kwa kuwa wao ni Maadui wa Malaika Jibrail (a.s) anayeteremka na Wahyi(UFUNUO) kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Hivyo katika Aya hiyo ya 97 na Aya ya 98 inayofuatia ndani ya Suratul-Baqarah Mwenyeezi Mungu (s.w) akawajibu MAYAHUDI hao kuwa wanajisumbua bure maana Jibrail (a.s) ameiteremsha Qur’an katika Moyo wa Mtume (s.a.w.w) kwa Idhni ya Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo akawatanabahisha ya kwamba ikiwa mnasema hamuiamini Qur’an Tukufu na yaliyoteremshwa kwa Muhammad (s.a.w.w) kutokana na uadui wenu mlionao kwa Jibrail (a.s),basi tambueni ya kuwa Jibrail (a.s) hajateremsha Qur’an Tukufu yeye kama yeye bali ameiteremsha katika moyo wa Muhammad (s.a.w.w) kwa idhni yake Mwenyeezi Mungu (s.w).Hivyo uadui wao walio nao kwa Jibrail (a.s) hautakiwi kuwazuia kuyaamini maneno ya Mwenyeezi Mungu (s.w) yaliyoteremka kwa Idhni yake (s.w).

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW