Monday, December 2, 2013

MAAJABU BINTI ASHUHUDIA KUIANGUSHA MELI YA MV SPICE MKUTANO WA GWAJIMA TANGA




Soma habari hii kama ilivyoandikwa na mwandishi wa kanisa la Ufufuo aliyepo mkoani Tanga.
Ni binti aitwae Theresia (pichani akiwa amekumbatiana na mama yake) alichukuliwa na kuwekwa bahari ya Pacific. Pamoja na mambo yote jambo lililoshangaza watu ni kudai kuwa alihusika katika kuiangusha meli ya MV Spice.

akielezea jinsi alivyofanya binti huyo alisema kuwa walitumwa kutoka baharini na kufanya kazi hiyo. Akiwa na wenzake wanne kati yao yeye akiwa Master Mind, alisema kuwa aliishusha meli hadi kwenye kina kirefu na kukusanya damu za watu.

Binti huyo ambaye alikuwa anaongea lugha ya kingereza mara kwa mara, alisema kuwa pamoja na kuangusha meli hiyo alikuwa na uwezo wa ku control fahamu za watu jambo ambalo walilifanya kwa vijana wengi.

Kilio kilitanda katika familia yake baada ya Theresia kusema kuwa hajawahi kumuona mama yake tangu 2007. Na ya kwamba mama yake alikuwa akiishi kitu kingine na sio yeye. 

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW