Saturday, February 5, 2022

QUR'AN 15:15 ALLAH NA MUHAMMAD WAMEROGWA








Uthibitisho huu hapa unasema kuwa Mwenyezi Mungu au Mitume wake hawawezi kurogwa, lakini Allah na Mtume wake Muhammad wamerogwa. HUU NI MSIBA MKUBWA SANA
Quran inathibitisha kuwa Muhammad alirogwa kiasi cha kuto fahamu aya zipi zilitoka kwa Allah na zipi ni za Shetani kutoka Surah ya Kwanza mpaka ya Mia na Kumi na Nne.
Uthibitisho upo katika Kitabu cha Abdullah Saleh Al Farsy Ukurasa wa 977 Chapa ya Nane pamoja na Sahih hadith za Al Bukhari namba Juma Ally Mayunga
KWANZA ALLAH ALIDANGANYA KUWA MUHAMMAD HATAROGWA LAKINI MUHAMMAD ALIROGWA VIBAYA NA ALIATHIRIKA NA NGUVU ZA UCHAWI MPAKA KUFA KWAKE LAKINI PIA NAYE ALLAH KAKIRI KUWA ALIROGWA:
REJEA HII AYA
✔Quran 15:42(Allah akasema ) Hakika waja wangu, wewe shetani hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
➖➖➖➖😛
LAKINI TUKIJA HAPA TUNAONA ALLAH WA WAISLAMU NAYE ALIROGWA AKIWA NA WENZAKE WAKINA SISI
MUNGU WA KWELI HAWEZI KUROGWA LAKINI ALLAH ALIROGWA PAMOJA NA WENZAKE WAKINA SISI
✔️Qur'an 15:15. Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
MASWALI YAJIBIWE KWA AYA ZA QUR-AN NA HADITHI
✔ 1: JE ALLAH ALIKUWA WAPI MUHAMMAD ALIPOROGWA MPAKA AKAWA ANAITA OVYO OVYO NA AKAWA ANAONA YUPO KIFUANI KWA MWANAMKE KUMBE ANAJIFANYA TENDO LA NDOA PEKEE YAKE MPAKA ANATOA MBENGU ZA KIUME BILA MKE ?
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
✔ 2: QURAN INASURA 114 SWALI KATIKA HIZO SURA AYA NGAPI ZATOKA KWA ALLAH NA AYA NGAPI ZATOKA WA WACHAWI WA MAKKA NA MADINA?
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
✔ 3: AYA IPI INATHIBITISHA KUWA MUHAMMAD JIBRIL ALIPOENDA KWA MUHAMMAD KUMPA WAHYI ALIMKUTA UCHAWI UMESHAONDOKA ILI APOKEE HUO UFUNUO ?
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
USHAHIDI HUU HAPA KUWA. MUHAMMAD SWT ALIROGWA NA ALIATHIRIKA NA UCHAWI MPAKA KUFA KWAKE USHAHIDI HUU HAPA WA QURAN PAMOJA NA HADITHI QUR'AN TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY UKRASA 977 CHAPA YA NANE UNAFAFANUA JINSI MUHAMMAD SWT ALIVYOATHIRIKA NA KUROGWA .
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
JIBRIL WENU ANATHIBITISHA KUWA MUHAMMAD ALIROGWA USHAHIDI HUU HAPA
✔Quran 17:47 “ Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, na wanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu. Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
✔ Quran 25:8. Au akaangushiwa khazina juu yake, au akawa na bustani ale katika hiyo? Wakasema madhaalimu: Nyinyi hamumfuati ila mtu aliye rogwa.
✔️Qur'an 26:153
153. Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa
185. Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Ufafanuzi wa aya hizo juu zinasema TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY CHAPA YA NANE UKRASA 977 MUHAMMAD ALIROGWA AKATHIRIWA NA UCHAWI :
ATHARI YA KUROGWA KWA UCHAWI WA NGUVU NA MADHARA YA UCHAWI JUU YA MUHAMMAD SWT KATIKA MAISHA YAKE MPAKA KIFO
Jibril (a.s) alikuja na kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi. Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w) aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi, na katika mafundisho yake mambo mangapi yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake.
Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa (s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika. Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi:
Wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa kweli.
Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari, Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d, Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi. ‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.
Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi , Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
REJEA TENA HAPA NABII WA MUNGU HAWEZI KULOGWA ILA MUHAMMAD ALIROGWA AKAWA ANAITA OVYO NA AKAWA ANAONA ANAFANYA MAPENZI KUMBE ANAJIFANYA YEYE BILA KUWA NA MKEWE 😂😂
MUHAMMAD ALIROGWA USHAHIDI HUU HAPA HADITH YA SAHIH AL-BUKHARI 5765
Imesimuliwa na Aisha kuwa.
"Uchawi ulifanywa juu ya Mjumbe wa Allah (so) hivi kwamba alifikiri alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na wake zake ilhali hakuwa na hivyo (Sufyan alisema: Huo ni uchawi mgumu zaidi kwani una athari kama hiyo). Ndipo siku moja akasema, "Ewe Aisha unajua kwamba Allah amenielekeza juu ya jambo ambalo nilimuuliza? Wanaume wawili walinijia na mmoja wao alikaa karibu na kichwa changu na mwingine alikaa karibu na miguu yangu.
Yule aliye karibu na kichwa changu alimuuliza yule mwingine. Ana shida gani huyu mtu? ' Mwisho akajibu yuko chini ya athari ya uchawi yule wa kwanza aliuliza, Nani amemfanyia uchawi? Mwingine alijibu Labid bin Al-A'sam, mtu kutoka Bani Zuraiq ambaye alikuwa mshirika wa Wayahudi na alikuwa mnafiki. ' Wa kwanza aliuliza, Alitumia nyenzo gani)? ' Mwingine akajibu, 'sega na nywele imeshikamana nayo.' Wa kwanza akauliza, "Yuko wapi?" Mwingine akajibu
Katika ngozi ya chavua ya mtende wa kiume iliyowekwa chini ya jiwe kwenye kisima cha Dharwan '' Kwa hivyo Mtume (ﷺ) alikwenda kwenye kisima kile na kutoa vitu hivyo na akasema "Hicho ndicho kisima nilichoonyeshwa (katika ndoto) Maji yake yalionekana kama kuingizwa kwa majani ya Henna na mitende yake ya mitende ilionekana kama vichwa vya mashetani. " Mtume (ﷺ) akaongeza, "Kisha kitu hicho kilichukuliwa nje" nikasema (kwa Mtume (ﷺ)) "Kwa nini hujishughulishi na Nashra?" Alisema, "Allah ameniponya; Sipendi kuruhusu uovu uenee kati ya watu wangu. "
حَدَّثَنِي عَبْدُ اللَّهِ بْنُ مُحَمَّدٍ، قَالَ سَمِعْتُ ابْنَ عُيَيْنَةَ، يَقُولُ أَوَّلُ مَنْ حَدَّثَنَا بِهِ ابْنُ جُرَيْجٍ، يَقُولُ حَدَّثَنِي آلُ، عُرْوَةَ عَنْ عُرْوَةَ، فَسَأَلْتُ هِشَامًا عَنْهُ فَحَدَّثَنَا عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ ـ رضى الله عنها ـ قَالَتْ كَانَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم سُحِرَ حَتَّى كَانَ يَرَى أَنَّهُ يَأْتِي النِّسَاءَ وَلاَ يَأْتِيهِنَّ‏.‏ قَالَ سُفْيَانُ وَهَذَا أَشَدُّ مَا يَكُونُ مِنَ السِّحْرِ إِذَا كَانَ كَذَا‏.‏ فَقَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ أَعَلِمْتِ أَنَّ اللَّهَ قَدْ أَفْتَانِي فِيمَا اسْتَفْتَيْتُهُ فِيهِ، أَتَانِي رَجُلاَنِ فَقَعَدَ أَحَدُهُمَا عِنْدَ رَأْسِي، وَالآخَرُ عِنْدَ رِجْلَىَّ، فَقَالَ الَّذِي عِنْدَ رَأْسِي لِلآخَرِ مَا بَالُ الرَّجُلِ قَالَ مَطْبُوبٌ‏.‏ قَالَ وَمَنْ طَبَّهُ قَالَ لَبِيدُ بْنُ أَعْصَمَ، رَجُلٌ مِنْ بَنِي زُرَيْقٍ حَلِيفٌ لِيَهُودَ، كَانَ مُنَافِقًا‏.‏ قَالَ وَفِيمَ قَالَ فِي مُشْطٍ وَمُشَاقَةٍ‏.‏ قَالَ وَأَيْنَ قَالَ فِي جُفِّ طَلْعَةٍ ذَكَرٍ، تَحْتَ رَعُوفَةٍ، فِي بِئْرِ ذَرْوَانَ ‏"‏‏.‏ قَالَتْ فَأَتَى النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم الْبِئْرَ حَتَّى اسْتَخْرَجَهُ فَقَالَ ‏"‏ هَذِهِ الْبِئْرُ الَّتِي أُرِيتُهَا، وَكَأَنَّ مَاءَهَا نُقَاعَةُ الْحِنَّاءِ، وَكَأَنَّ نَخْلَهَا رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ ‏"‏‏.‏ قَالَ فَاسْتُخْرِجَ، قَالَتْ فَقُلْتُ أَفَلاَ أَىْ تَنَشَّرْتَ‏.‏ فَقَالَ ‏"‏ أَمَا وَاللَّهِ فَقَدْ شَفَانِي، وَأَكْرَهُ أَنْ أُثِيرَ عَلَى أَحَدٍ مِنَ النَّاسِ شَرًّا ‏"‏‏.‏
HADITHI : Sahih al-Bukhari 5765
KITABU CHA : KITABU CHA 76, HADITHI 79
TAZAMA TOLEO : LA. 7, KITABU CHA 71, HADITHI 660
REJEA TENA HAPA NABII WA MUNGU HAWEZI KULOGWA ILA MUHAMMAD ALIROGWA AKAWA ANAITA OVYO NA AKAWA ANAONA ANAFANYA MAPENZI KUMBE ANAJIFANYA YEYE BILA KUWA NA MKEWE 😂😂
Hadithi ya Aisha (r.a) amesema Mtume (s.a.w) alirogwa, mpaka akawa anaona kama anawaingilia wakeze na hali ya kuwa hawaingilii sufiyan mmoja wa wapokezi wa hadhithi hii amesema ndiyo uchawi mbaya mno unapokuwa namna hivi… (Alu-lu-lu wal-marjan, uk 822, hadithi na. 1412
➖➖➖➖➖➖➖➖
NJOO TENA HAPA MUHAMMAD SWT BAADA YA KUROGWA ALICHANGANYIKIWA AKAWA ANAITA OVYO OVYO
Anasema Mwana Aisha Mkewe Mtume (r.a) kuwa:"Yahudi mmoja aitwaye Labiid bin Al'aanswam alimroga Mtume (s.a.w) ikawa Mtume baadhi ya nyakati huchanganyikiwa akiita ovyo ovyo." (Sahih Muslim,Juzuu ya 4,uk.38-39)
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
REJEA TENA HAPA ALLAH ALIPOZIDIWA UJUZI NA HUYU MYAHUDI AKATAREMSHA AYA HII HAPA😂😂
✔Quran 5:51. Enyi mlio amini! Waislamu Msiwafanye #Mayahudi na #Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
REJEA TENA HAPA MUHAMMAD ALISEMA NIMEKUWA MWENDAWAZIMU
✔Quran 15: 6. Na walisema: Ewe Muhammad uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe Muhammad ni mwendawazimu.
REJEA HADITHI INASEMA HIVI
Muhammad akisema: O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu. "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Kitabu cha Madarasa Meja), na Ibn Sad, kutafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], ukurasa wa 225.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
REJEA HAPA NABII WA MUNGU HAWEZI KUROGWA WALA LAKINI MUHAMMAD ALIROGWA NA HAJUI AYA NGAPI NDANI YA QUR-AN YENU KUWA HIZI NI AYA ZA ALLAH NA HIZI NI ZA UCHAWI
✔(Hesabu 23:19-21,23, )
------------
19 Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza?
20 Tazama, nimepewa amri kubariki, Yeye amebariki, nami siwezi kulitangua.
21 Hakutazama uovu katika Yakobo, Wala hakuona ukaidi katika Israeli. Bwana, Mungu wake, yu pamoja naye, Na sauti kuu ya mfalme i katikati yao.
23 Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana #uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
Shalom

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW