Friday, April 19, 2013

Je, u mungu wa kristo ni kibiblia?


Pamoja na mengine yote Yesu aliyoyasema juu yake mwenyewe, wanafunzi wake waliamini u mungu wake pia. Waliamini kuwa Yesu alikuwa na uwezo wa kusamehe dhambi jambo ambalo Mungu pekee ndiye mwenye uwezo nalo kwa kuwa ni Mungu anayechukizwa na dhambi (Matendo 5:31; Wakolosai 3:13; na kuendelea. Zaburi 130:4; Yeremia 31:34). Pamoja na haya Yesu ndiye atakayekuja, “kuhukumu wafu na walio hai” (Timotheo wa pili 4:1). Tomaso akamlilia Yesu Akisema, “Bwana wangu na Mungu wangu!” (Yohana 20:28). Paulo anamwita Yesu, “ Mungu Mkuu na Mwokozi” (Tito 2:13), na anaelezea ya kuwa Yesu, “alikuwa katika hali ya Mungu” (Wafilipi 2:5-8). Mwandishi wa kitabu cha waebrania asema juu ya Yesu kuwa, “ Kiti chako cha enzi wewe Mungu, kitadumu milele na milele” (Waebrania 1:8). Yohana aeleza kuwa, “Hapo mwanzo kulikuwako neno, naye neno alikuwako kwa Mungu, naye neno (Yesu) alikuwa Mungu” (Yohana 1:1). Mifano ya aya zinazofundisha juu ya u Mungu wa Yesu ni mingi (pia Ufunuo wa Yohana 1:17; 2:8; 22:13; Wakorintho wa kwanza 10:4; Petro wa kwanza 2:6-8; Zaburi 18:2; 95:1; Petro wa kwanza 5:4; Waebrania 13:20), kila mojawapo ya aya hizi inatosha kukujulisha ya kwamba wanafunzi wa Yesu walimwamini kuwa Yesu alikuwa Mungu.

Yesu pia apatiwa adhama ambazo zina Yahweh pekee (Jina maalum la Mungu) katika agano la kale. Adhama ya “Mkombozi” (Zaburi 130:7; Hosea 13:14) inatumika juu ya Yesu katika agano jipya. (Tito 2:13; Ufunuo wa Yohana 5:9). Yesu anaitwa Immanueli (“Mungu pamoja nasi” katika mathayo 1). Katika Zakaria 12:10, ni Yahweh anayesema, “watanitazama mimi waliyenipasua.” Lakini agano jipya haya yanatumika kwa kusulibiwa kwake Yesu (Yohana 19:37; ufunuo wa Yohana 1:7). Kama ni Yahweh mwenye kupasuliwa na mwenye kutazamwa, na Yesu ndiye aliyepasuliwa na kutazamwa basi Yahweh ni Yesu. Paulo anatafsiri Isaya 45:22-23 kama yale ya Yesu katika wafilipi 2:10-11. Pia Jina la Yesu linatumika pamoja na la Yahweh katika sala, “Neema na amani kutoka kwa Mungu baba na Bwana wetu Yesu kristo iwe kwenu” (Wagalatia 1:3; Waefeso 1:2). Hili lingekuwa kufuru kama Yesu hangekuwa Mungu. Jina la Yesu linapatikana tena na la Yahweh katika amrisho la ubatizo Yesu aliposema, “kwa Jina la Baba na la Mwana na Roho Mtakatifu” (Mathayo 28:19; pia tazama wakorintho wa pili 13:14.

Matendo ambayo yanaweza kufanywa na Mungu Pekee yanaonyeshwa yakifanywa na Yesu. Licha ya kuwa alifufua wafu (Yohana 5:21; 11:38-44), na kusamehe dhambi (Matendo 5:31; 13 38), aliumba ulimwengu (Yohana 1:2; Wakolosai 1: 16-17)! Jambo hili linatia msisitizo wakati tunapochukulia ya kwamba Yahweh aliumba akiwa peke yake. (Isaya 44:24). Hata hivyo, Yesu ana sifa sawa na Mungu, kama Umilele (Yohana 8:58), kuwa kila mahali (Mathayo 18:20, 28:20), kufahamu yote (Mathayo 16:21), muweza yote (Yohana 11:38-44).

Yesu ni Mungu


Je, Yesu Kristo ni Mungu?
Hebu tuanzie kutafiti ukweli wa hili swali, Je Yesu ni Mungu, kabla ya kuja kwake mara ya kwanza. Je, manabii walimwita nani na/au walitabiri nini juu ya ujio wake.

Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59). Je, wayahudi wangetaka kumpiga mawe yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?

YESU KABLA YA KUZALIWA ALITABIRIWA NA MANABII KUWA NI MUNGU: 
King James Bible Isaiah Chapter 9 Verse 6
For unto us a child is born, unto us a son is given: and the government shall be upon his shoulder: and his name shall be called Wonderful, Counsellor, The mighty God, The everlasting Father, The Prince of Peace.
Hii aya hapo juu inakiri kuwa hata kabla ya kuja kwake Mitume na Manabii walitabiri kuwa Yesu ni Mungu. 

YESU NI NENO, NENO ALIKUWA MUNGU:
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!

YESU ALIITWA MUNGU NA WAFUASI WAKE:
King James Bible John 20:28
And Thomas answered and said unto Jesus, My Lord and my God.
Hii aya inatuhakikishia kutoka wafuasi wake kuwa Yesu ni Mungu. Yesu hakupinga alipo itwa Mungu.


Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). Yesu hamsahihishi kwa kuyasema haya. Tito 2:13 inatuhimiza kusuburi kurudi kwa Mungu wetu na mwokozi – Yesu kristo (Pia tazama petro wa pili 1:1). Waebrania 1:8, Baba asema juu ya Yesu, “Lakini juu ya mwana asema haya, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”

MWENYEZI MUNGU ALIMWITA YESU MUNGU:
King James Bible Hebrew 1 Verse 8, 9
8. But unto the Son [he saith], Thy throne, O God, [is] for ever and ever: a sceptre of righteousness [is] the sceptre of thy kingdom. 
9. Thou hast loved righteousness, and hated iniquity; therefore God, [even] thy God, hath anointed thee with the oil of gladness above thy fellows.
Hata Mungu Baba alimwita mwanae Yesu Kristo Mungu. Hii aya hapo juu imethibitisha kuwa Yesu ni Mungu. 


YESU MWENYEWE ALIJIITA MUNGU:
King James Bible Matthew 4 Verse 7
Jesus said unto him, It is written again, Thou shalt not tempt the Lord thy God.
Katika hii aya Yesu Kristo anakiri kuwa yeye ni Mungu.

YESU ALIISHI KABLA YA KUUMBWA KWA DUNIA:
King James Bible John 17 Verse 5
And now, O Father, glorify thou me with thine own self with the glory which I had with thee before the world was.


Hii aya inatuhakikishia kuwa Yesu aliishi kabla ya kuumbwa dunia. Hayo maneno ni Yesu anasema kwa Baba yake.


Hivyo basi leo nimeamua kuweka ushaidi yakinifu kuwa Yesu Kristo ni Mungu.
Katika kitabu cha ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru mtume Yohana kumuabudu Mungu tu(ufunuo wa Yohana 19: 10). Mra nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.

Sababu muhimu ya kwamba Yesu sharti awe Mungu ni kwamba kama si Mungu, kufa kwake hakungetoshea kufidia dhambi za ulimwengu wote (Yohana wa kwanza 2:2). Mungu pekee ndiye angeweza kulipia adhabu kama hiyo. Mungu pekee ndiye angeweza kufidia dhambi za ulimwengu wote w (Wakorintho wa pili 5: 21), afe na afufuke kuthibitisha ushindi juu ya dhambi na mauti.

Mungu awabariki sana.
By Max Shimba, A Friend of God

What does it mean that Jesus died for our sins?


Simply put, without Jesus’ death on the cross for our sins, no one would have eternal life. Jesus Himself said: "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me” (John 14:6). In this statement, Jesus declares the reason for His birth, death and resurrection—to provide the way to heaven for sinful mankind, who could never get there on their own.

When God created Adam and Eve, they were perfect in every way and lived in a virtual paradise, the Garden of Eden (Genesis 2:15). God created man in His image, meaning they also had the freedom to make decisions and choices of their own free will. Genesis 3 goes on to describe how Adam and Eve succumbed to Satan’s temptations and lies. In doing so, they disobeyed the will of God by eating of the tree of knowledge from which they were forbidden: “And the LORD God commanded the man, ‘You are free to eat from any tree in the garden; but you must not eat from the tree of the knowledge of good and evil, for when you eat of it you will surely die’” (Genesis 2:16-17). This was the first sin committed by man and, as a result, all mankind is subject to both physical and eternal death by virtue of oursinful nature inheritedfrom Adam.

God declared that all who sin will die, both physically and spiritually. This is the fate of all mankind. But God, in His grace and mercy, provided a way out of this dilemma, the shed blood of His perfect Son on the cross. God declared that “without the shedding of blood, there is no forgiveness” (Hebrews 9:22), but through the shedding of blood, redemption is provided. The Law of Moses (Exodus 20:2-17) provided a way for the people to be considered “sinless” or “right” in God’s eyes—the offering of animals sacrificed for every sin they committed. These sacrifices were only temporary, though, and were really a foreshadowing of the perfect, once-for-all sacrifice of Christ on the cross (Hebrews 10:10).

This is why Jesus came and why He died, to become the ultimate and the final sacrifice, the perfect (without blemish) sacrifice for our sins (Colossians 1:22;1 Peter 1:19). Through Him, the promise of life eternal with God becomes effective through faith to those who believe in Jesus. “So that what was promised, being given through faith in Jesus Christ, might be given to those who believe” (Galatians 3:22). These two words “faith” and “believing” are critical to our salvation. It is through our believing in the shed blood of Christ for our sins that we receive eternal life. “For it is by grace you have been saved, through faith—and this not from yourselves, it is the gift of God—not by works, so that no one can boast” (Ephesians 2:8-9)
.


Why did Jesus have to die?


When we ask a question such as this, we must be careful that we are not calling God into question. To wonder why God couldn’t find “another way” to do something is to imply that the way He has chosen is not the best course of action and that some other method would be better. Usually what we perceive as a “better” method is one that seems right to us. Before we can come to grips with anything God does, we have to first acknowledge that His ways are not our ways, His thoughts are not our thoughts—they are higher than ours (Isaiah 55:8). In addition,Deuteronomy 32:4reminds us that “He is the Rock, his works are perfect, and all his ways are just. A faithful God who does no wrong, upright and just is he.” Therefore, the plan of salvation He has designed is perfect, just, and upright, and no one could have come up with anything better.

The Scripture says, “For I delivered to you as of first importance what I also received: that Christ died for our sins in accordance with the Scriptures, that he was buried, that he was raised on the third day in accordance with the Scriptures” (1 Corinthians 15:3-4). Evidence affirms that the sinless Jesus bled and died on a cross. Most importantly, the Bible explains why Jesus’ death and resurrection provide the only entrance to heaven.

The punishment for sin is death.

God created earth and man perfect. But when Adam and Eve disobeyed God’s commands, He had to punish them. A judge who pardons law-breakers isn’t a righteous judge. Likewise, overlooking sin would make the holy God unjust. Death is God’s just consequence for sin. “For the wages of sin is death” (Romans 6:23). Even good works cannot make up for wrongs against the holy God. Compared to His goodness, “All our righteousnesses are as filthy rags” (Isaiah 64:6b). Ever since Adam’s sin, every human has been guilty of disobeying God’s righteous laws. “For all have sinned and fall short of the glory of God” (Romans 3:23). Sin is not just big things like murder or blasphemy, but also includes love of money, hatred of enemies, and deceit of tongue and pride. Because of sin, everyone has deserved death – eternal separation from God in hell.

The promise required an innocent death.

Although God banished Adam and Eve from the garden, He didn’t leave them without hope of heaven. He promised He would send a sacrifice to take the punishment they deserved (Genesis 3:15). Until then, men would sacrifice innocent lambs, showing their repentance from sin and faith in the future Sacrifice from God who would bear their penalty. God reaffirmed His promise of the Sacrifice with men such as Abraham and Moses. Herein lies the beauty of God’s perfect plan: God Himself provided the only sacrifice (Jesus) who could atone for the sins of His people. God’s perfect Son fulfilled God’s perfect requirement of God’s perfect law. It is perfectly brilliant in its simplicity. “God made Him (Christ), who knew no sin, to be sin for us that we might become the righteousness of God in Him” (2 Corinthians 5:21).

Monday, April 1, 2013

Why did Jesus teach in parables?

It has been said that a parable is an earthly story with a heavenly meaning. The Lord Jesus frequently used parables as a means of illustrating profound, divine truths. Stories such as these are easily remembered, the characters bold, and the symbolism rich in meaning. Parables were a common form of teaching in Judaism. Before a certain point in His ministry, Jesus had employed many graphic analogies using common things that would be familiar to everyone (salt, bread, sheep, etc.) and their meaning was fairly clear in the context of His teaching. Parables required more explanation, and at one point in His ministry, Jesus began to teach using parables exclusively.

The question is why Jesus would let most people wonder about the meaning of His parables. The first instance of this is in His telling the parable of the seed and the soils. Before He interpreted this parable, He drew His disciples away from the crowd. They said to Him, "Why do You speak to them in parables?" Jesus answered them, "To you it has been granted to know the mysteries of the kingdom of heaven, but to them it has not been granted. For whoever has, to him more shall be given, and he will have an abundance; but whoever does not have, even what he has shall be taken away from him. Therefore I speak to them in parables; because while seeing they do not see, and while hearing they do not hear, nor do they understand. In their case the prophecy of Isaiah is being fulfilled, which says,

‘Hearing you will hear and shall not understand, And seeing you will see and not perceive; For the hearts of this people have grown dull. Their ears are hard of hearing, And their eyes they have closed, Lest they should see with their eyes and hear with their ears, Lest they should understand with their hearts and turn, So that I should heal them.’ But blessed are your eyes, because they see; and your ears, because they hear. For truly I say to you that many prophets and righteous men desired to see what you see, and did not see it, and to hear what you hear, and did not hear it" (Matthew 13:10-17).

Saturday, March 23, 2013

Imani na Tumaini



_________________________________________________________ 
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. 
Waebrania 11:1
Imani ni nini? 
1. Imanini ni kati ya mambo machache ambayo Bibilia inatuelezea sisi. Ni nini imani? 
 (Webranaia 11:1) 
_________________________________________________________________

_________________________________________________________________
2. Ni nini mambo unahakika lakini ujayaona? (hewa, kaskazini, Mungu) 
_________________________________________________________________

3. Imani inatujilia sisi kwa njia gani? (Warumi 10:17) 
_________________________________________________________________

4. Imani inajionyesha kwa njia gani? (Wagalatia 5:6) 
_________________________________________________________________

5. Mistari inayofwata inafunza nini juu ya imani? 
 Wagalatia 2:16 ______________________________________________________
 Wagalatia 3:11 ______________________________________________________
 Wagalatia 3:26 ______________________________________________________
 Warumi 14:23 ______________________________________________________

IMANI NA TUMANI 65
9
SEHEMU YA KWANZA (1)6. Nini kinachostahili kuwekwa katika msingi wa maisha ya yule anayeamini na 
anataka kuwa katika hali ya ukomavu? (Waebrania 6:1-2) 
_________________________________________________________________

7. Tunastahili kuweka imani yetu kwa nani? (Waebrania 6:1) 
_________________________________________________________________
Utekelezaji wa Kibinafsi 
Ulijifunza nini kutokana na somo hili na ni jinsi gani utakitumia katika maisha yako? 

Mambo Ya Msingi Kuhusu Imani


Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aaini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao (Waebrania 11:6).
Kama waaminio, imani yetu imejengwa kwenye msingi kwamba Mungu yupo, naye huwatendea watu wanaomtafuta kitofauti na wale wasiomtafuta. Tukiamini kweli kweli mambo hayo, tunaanza kumpendeza Mungu, kwa sababu mara moja tunaanza kumtafuta. Kumtafuta Mungu ni pamoja na (1) Kujifunza mapenzi Yake, (2) Kumtii, na (3) Kutumainia ahadi Zake. Hayo yote matatu yanapaswa kuwa sehemu ya mwenendo wetu wa kila siku.
Sura hii inatazama mwendo wetu wa imani. Ni bahati mbaya kwamba wengi wamekazia imani mpaka ikapita mipaka ya KiBiblia – hasa mkazo kuhusu mafanikio kimwili. Kwa sababu hiyo, kuna watu ambao wana hofu kulishughulikia swala hili kabisa. Lakini, kwa kuwa kuna watu wanaozama katika madimbwi yao ya kuogelea, si sababu kwetu kuacha kunywa maji. Tunaweza kuwa na msimamo na ukweli wa Maandiko. Biblia ina mengi sana inayofundisha kuhusu mada hiyo, na Mungu anataka tuitumie imani yetu kwa habari ya ahadi Zake nyingi sana.
Yesu aliweka mfano wa mwenye kuwa na imani katika Mungu, Naye anatazamia wanafunzi Wake kufuata mfano Wake. Vivyo hivyo, mtumishi anayefanya wengine kuwa wanafunzi hujitahidi kuweka mfano wa kumtumaini Mungu, naye huwafundisha wanafunzi wake kuziamini ahadi za Mungu. Hii ni muhimu sana sana. Sit u kwamba haiwezekani kumpendeza Mungu pasipo imani, ni kwamba haiwezekani kupokea majibu ya maombi yetu pasipo imani (ona Mathayo 21:22; Yakobo 1:5-8). Maandiko yanafundisha wazi wazi kabisa kwamba wenye mashaka wanakosa baraka ambazo waamini hupokea. Yesu alisema hivi: “Yote yanawezekana kwake yeye aaminiye” (Marko 9:23, TLR).

Maana Ya Imani

Tafsiri ya KiBiblia ya imani inapatikana katika Waebrania 11:1, kama ifuatavyo:
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyo-onekana.
Kutokana na tasiri hii, tunapata sifa kadhaa za imani. Kwanza – mtu mwenye imani ana uhakika. Hii ni tofauti na tumaini, kwa sababu imani ni “uhakika wa mambo yatarajiwayo.” Tumaini hutoa nafasi kwa mashaka. Tumaini kila wakati linasema, “labda”. Mfano: Ninaweza kusema hivi: “Natumaini leo mvua itanyesha ili shamba langu lipate maji.” Ni kwamba natamani mvua, lakini sina hakika kama itanyesha. Lakini imani ina uhakika wakati wote, “wa mambo yatarajiwayo.”
Kile ambacho watu wanaita imani mara nyingi si imani kwa tafsiri ya Biblia. Wanaweza kutazama mawingu meusi juu na kusema, “Naamini mvua itanyesha.” Ila, hawana hakika kwamba itanyesha – wao wanafikiri tu kwamba kuna uwezekano mkubwa kwamba pengine itanyesha. Hiyo si imani ya KiBiblia. Imani ya Biblia haina sehemu ya mashaka. Haitoi nafasi yoyote kwa chochote kingine isipokuwa kile ambacho Mungu ameahidi.

Imani Ni Uhakika Wa Mambo Yasiyo-onekana

Tuesday, March 12, 2013

Hebrew origins and what the word faith originally means

Hello, wrote and pasted some of this very fast. but, it is ground breaking knoweledge about the origins of the hebrew in the bible..

Sorry about the mess in the alphabet below, but its good to use when you are filled witht the holy spirit to guide you. I know some of the meanings are contradictiary, its because.. when they found the dead sea scrolls and so on.. there was no alphabet that explained the meaning.. so people disagree you know…


:1.  Aleph(first letter of hebrew alphabet)=ox- Bertie Brits: Leader, strength, Sacrifice (Frank T. Seekings: strength, leader, first)
:2.  Beth=house- Dwelling place, household, acceptance (in, into, family)
:3. Gimel=camel- Uplift, carry, exultation, ascend (pride, animal)
:4. Dalet=door- Way, passage, entrance/exit access (pathway, to enter)
:5. Hey=man with two hands stretched up- revelation, to reveal, grace (the, to reveal)
:6. VAV=nail- Join together, nailed (and, to add, to secure)
:7. Zayin=weapon- Sword, cut off, word, tounge (cut, to cut off)
:8. Chet=fence- Separate, private, fence, protect (private, to separate)
:9. Tet=snake- Twist, surround, snake (to surround)
:10. Yood=hand- Extended, giving/receiving, power, ruling (work, a deed, to make) 
:11. Kaf=palm of hand- Cover, protect, work, feed, power (to cover, to open, allow)
:12. Lamed=cattle goad-Teaching, correct, direct, authority (control, authority, tounge)
:13. Mem=water- Reflection, Spirit, fullness of life (liquid, massive, chaos)
:14. Noun=fish(seed darting trough the water)- activity, life, multi directional, man (activity, life)
:15. Samech=prop- support, fortress, uphold, spine (support, twist, slowly, turn) Other inter: =Thorn- Grab, Hate, Protect
:16. Ayin=eye- understand, to know, experience, to see (to see, know, experience)
:17. Pey=mouth- speak, eat, drink, a word, open (to speak, word, open)
:18. Tsdik=fish hook (host insect) – harvest, hooked, change (Metamorphosis)) (catch, desire, need)
:19. Koof=back of head(priest cast)- Kingdom, ruler, behind, last (behind, the last, the least) Other interp:=Sun on the Horizon- Condense, Circle, Time
:20. Resh=Head of man- To think, meditate, the head, the boss (a person, the head, the highest)
:21. Sheen=Teeth- Gods Glory, shining, radiance, pressure (to consume, to destroy)
:22. Tuv=Cross- Cross, sealing of a covenant (to seal, to covenant) 
:23. Rope- Rope of twisted fibers Crooked, dark, goat, silent

The interpretation of the ancient hebrew letters above are based on Frank T. Seekings book "Hebrew Word Pictures" and videos by Bertie Brits on Youtube and Godtube.

Hebrew origins and what the word faith originally means:
To actually read the old hebrew testament in its original form and interprent the meaning of the hebrew word pictures, download E-sword with the user-addon: "Ancient hebrew lexicon". Also you need blueletterbible.org with strongs to know the strong number of the word which you can find in the ancient hebrew lexicon. There is disagreement about what the meaning hebrew word pictures are.

Okay an example what the word faith actually means.. ¨
Two words of faith are used in new testamen:
Strong's G4102 - pistis 
πίστις

Transliteration
pistis
Pronunciation
pē'-stēs
Transliteration

Strong's G4100 - pisteuō 
πιστεύω
Transliteration
pisteuō
Pronunciation
pē-styü'-ō (Key)

pē-styü'-ō (Key)

I’m pleased to inform you that there are two instances where this word refers to the word faith in old testament, in other words the Hebrew.. They both refer to the same rooth word aman, and emuwnah (that is an extension from the word aman) Then we can conclude: They both mean the same, and we have two sources from TWO different languages..How cool… And I’m also very pleased that my research conclude that both languages means the same, but before I reveal the answer, here is the old testament word for faith: 


Strong's H539 - 'aman 
אָמַן
Transliteration
'aman
Pronunciation
ä·man'

Strong's H530 - 'emuwnah 
אֱמוּנָה
Transliteration
'emuwnah
Pronunciation
em·ü·nä' (Key)


Proof of what faith means from the new testament:

Example 1:

Jesus told Peter he did not have enough faith when he tried to walk on the water..
In south korea people tried the same thing to walk on the water, but they sunk and died.. When their pastor asked God why: God said that Jesus TOLD PETER to walk on the water.. In other words Jesus spoke first…
---

What was God doing before He created the universe?


Our finite minds find it hard to comprehend that before the universe was created, God existed alone. We know fromJohn 1:1that Jesus also existed: “In the beginning was the Word and the Word was with God, and the Word was God. The preincarnate Christ was intimately united with the Father, so as to partake of His glory and to be appropriately called God. He has Himself explained it inJohn 17:5: “And now Father, glorify Me with Yourself with the glory which I had with You before the world was.”


We also know that the Holy Spirit was present before we were created.Genesis 1:1describes the Spirit “hovering over the face” of the dark and formless earth. So, before time even existed, God existed in three Persons: Father, Son and Holy Spirit. The Trinity existed in perfect harmony and flawlessness, having all they needed in one another. David said inPsalms 16:11that "joy and pleasures forever more" are in the presence of God. That means to be in the presence of God carries with it an overwhelming sense of joy, fulfillment, and pleasure. Before creation, God felt complete joy and fulfillment as He perfectly beheld and communed with Himself. God has and always will experience complete joy because He has complete and perfect knowledge of Himself.

So before He created the universe, God experienced absolute satisfaction in Himself. God dwelt joyfully alone in eternity as the Trinity. These three were together in fellowship with one another from all eternity. They loved each other. We know at some point they discussed the redemption of mankind (Ephesians 1:4-5;2 Timothy 1:9;John 17:24), but everything else lies in mystery.


Sunday, March 10, 2013

When the Son of Man comes, will he find faith on the earth?

Luke 18:8b (NIV) When the Son of Man comes, will he find faith on the earth?

Believing The Truth

  • Faith is believing in what is true. Faith has two elements: 1) being convinced of the truth, being certain of reality, having evidence of unseen things, and 2) believing, hoping in, embracing, seizing the truth.
  • Heb 11:1 (KJV) Now faith is the substance of things hoped for, the evidence of things not seen.
    Heb 11:1 (NIV) Now faith is being sure of what we hope for and certain of what we do not see.
    Heb 11:1 (NEB) Faith... makes us certain of realities we do not see.
    Heb 11:1 (Mof) Now faith means that we are confident of what we hope for, convinced of what we do not see.
    Heb 11:1 (Wey) Now faith is a well-grounded assurance of that for which we hope, and a conviction of the reality of things which we do not see.
  • While faith requires being convinced that what we believe in is true, just knowing the truth is only half of faith. God's word must be hoped for, embraced, seized!
  • Luke 17:5 (NIV) The apostles said to the Lord, "Increase our faith!" He replied, "If you have faith as small as a mustard seed, you can say to this mulberry tree, 'Be uprooted and planted in the sea,' and it will obey you."
  • Believing is not exactly the same as faith. For belief to be faith, it must light on what is certainly true. Yet Scripture gives examples of situations where belief alone is required, even commanded. There's no time for evidence collection, to wait, to hear, for certainty. Just believe. Like Peter walking on the water--don't think, act! God even requires us to believe in him when, temporarily, the evidence looks bad: to trust. [We will study belief and trust separately.] God requires belief and trust in moments of human weakness, but faith is what makes us strong. Faith is the state of being convinced about what we hope for.
  • How To Get More Faith

    Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

    Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

    TRENDING NOW