Wednesday, July 1, 2015

Waislam Wauliza Wakristo

Swali la 1: Kwa nini mnaliamini Agano la Kale?
Jibu: Maandiko na elimukale (archaeology) vinaonyesha kuwa hakuna mabadiliko makubwa kwenye nakala za sasa kwa sababu angalau tano:
1. Mungu aliahidi kulinda neno lake katika Isaya 55:10-11; 59:21; 1 Petro 1:24-25, Mathayo 24:35. Hatima ya yote tunapaswa kuamini kuwa ama Mungu anaaminika au haaminiki. Lakini kama Muislam anaamini kuwa Mungu hakulinda neno lake katika Agano la Kale, na kwamba hakulinda neno lake katika Agano Jipya, ni kwa nini abadilishe na kulinda neno lake kwenye Kurani?
2. Yesu na Agano Jipya limethibitisha maandiko ya Agano la Kale katika Mathayo 19:4; 22:32,37; 39; 23:35; Marko 10:3-6; Luka 2:23-24; 4:4; 11:51; 20:37; 24:27,44
3. Ushahidi wa Elimukale: Kwenye Septuagint, Torati ilitafsiriwa kwenye Kiyunani/Kigiriki karibu mwaka 400 K.K. Hati toka Bahari ya Chumvi (Dead Sea Scrolls) yaliandikwa kuanzia karibu mwaka 100 K.K hadi baada ya Kristo, na tunaweza kuyalinganisha na Biblia zetu za leo. Tafsiri za Kiaremi (Aramaic Targums) zilitolewa karibu na muda Yesu alipokuwepo duniani. Maandiko toka Bahari ya Chumvi yana vipande karibu 95,000 kutoka kwenye nyaraka 867 zilizoandikwa kwa mkono za Agano la Kale na maandiko mengine. Karibu 1/3 ya nyaraka zilizoandikwa kwa mkono za Hati toka Bahari ya Chumvi ni nyaraka za Agano la Kale kwa mujibu wa NIV Study Bible uk.1432. Elimukale inaonyesha kuwa Biblia ambayo Yesu aliijua ilikuwa imehifadhiwa. Nahal Hever ni pango karibu na Engedi, ambalo lina kipande kilichoandikwa kati ya mwaka 50 K.K. na 50 B.K. cha Manabii Wadogo katika lugha ya Kiyunani. Huko Masada, kulikuwa na nakala ya kitabu cha Yoshua iliyoandikwa mwaka 169-93 K.K. Mafunjo ya Nash (Nash Papyrus), yaliyoandikwa mwaka 150 K.K., yana amri kumi. Hati ya wadi Muraba’at ya Manabii Wadogo iliandikwa karibu mwaka 132 B.K.
4. Waandishi wa kanisa la awali, kuanzia kama mwaka 97/98 B.K, walilitumia Agano la Kale mara nyingi sana. 

Angalia kwa orodha ya angalau waandishi 15 wakristo hadi mwaka 258 B.K waliotumia Agano la Kale.

5. Waandishi wa Kiyahudi, ingawa walikuwa maadui wa ukristo, walilihifadhi Agano la Kale lile lile lililomo kwenye Biblia za kiprotestant za leo. Kipekee, waandishi wa kiyahudi Philo na Josephus walitumia Agano la Kale mara nyingi sana.
Kwa muhtasari, Mungu ni Mwenye enzi, ajuaye yote, na asiye na uzembe wa aina yoyote ile. Tunaweza kuamini kuwa ameweka muelekeo sahihi kwa wote wanaotafuta kumfuata kokote anakowaongoza.

Swali la 2: Je tunaweza kuliamini Agano Jipya?
Jibu: Ndiyo, kuna sababu tano zinazofanana na zile zilizotangulia, kuanzia na tumaini kuwa Mungu hataruhusu watoto wake wadanganywe kabisa, hadi kwenye ushahidi mkubwa wa nyaraka zilizoandikwa kwa mkono.
1. Mungu ameahidi kulinda neno lake katika Isaya 55:10-11; 59:21; 1 Petro 1:24-25, Mathayo 24:35. Tunaweza kumwamini Mungu.
2. Nyaraka za zamani zaidi zilizoandikwa kwa mkono zilizolindwa ni pamoja na:
100 B.K. uk.6 (kipande cha Luka)
117-138 B.K. John Rylands (Yohana 18:31-33,37-38)
100-150 B.K. Chester Beatty II (uk.45)
125-175 B.K. - Bodmer II (uk.66)
125-175 B.K. uk.104 (kipande cha Mathayo)
Zaidi ya nyaraka 30 zilizoandikwa kwa mkono zilizoandikwa kabla ya mwaka 300 B.K.

A’isha: Mke wa Muhammad Mwenye Miaka Tisa

Watu wengi wamesema kuwa Muhammad alifanya tendo la ndoa na mke wake mwenye umri mdogo zaidi, A’isha, binti wa Abu Bakr, alipokuwa na miaka karibu 53 na [A’isha] alikuwa na miaka tisa. Baadhi ya Waislam wanakataa maneno haya. Kama mtu atadai kuwa Muhammad na A’isha walijamiiana wakati A’isha alipokuwa na umri wa miaka tisa, na walifanya makosa, jambo hili litakuwa ni kashfa kubwa sana kwa Muhammad. Kwa upande mwingine, kama ilikuwa kweli, jambo hili litaonyesha sura tofauti kabisa ya Muhammad itakayo washtua watu wengi. Kwa hiyo basi, madai haya dhidi ya Muhammad ni ya kweli au uongo? 
 
Andiko hili litaanza kwa kutoa ushahidi wa A’isha kuwa na miaka tisa wakati ndoa yake ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba, kisha litatoa vipingamizi 11 dhidi ya jambo hili, na mwishoni, litauliza itakuwa vipi endapo kila wazo lilikuwa sahihi.
 
Jambo hili ni la muhimu kwa desturi iliyotumika sehemu nyingi sana lakini ambayo imepuuzwa sana siku za leo: mabibi arusi watoto kwenye nchi za Kiislam waliotokana na mfano wa Muhammad.
Huko Iran, hadi kufikia Juni 2002 iliruhusiwa kisheria kwa msichana wa miaka 9 kuolewa kwa ruhusa ya wazazi. Voices Behind the Veil (Sauti Ttokea Nyuma ya Mtando) uk.136-137.
Huko Ivory Coast kitabu hiki pia kinatuambia kuhusu msichana wa miaka 12 ambaye alikuwa anaondoka nyumbani asubuhi kwa masaa mengi kabla ya kurudi nyumbani. Baada ya baba yake kumfunga, alimuunguza kwa kipande cha chuma, alimfungia kwa muda wa siku tatu bila chakula, hatimaye almwoza kwa mwanaume wa miaka 40. Hakuwahi kumpeleka shule kwa sababu alisema kuwa jambo hilo litawaondoa kwenye desturi zao, (mabinti) wataanza kuuliza maswali, na kutokupenda kuolewa mpaka wafikishe umri wa maka 19 au 20. 
Wataliban
 walizishawishi familia zao kuoza mabinti wao wakiwa na umri mdogo hata miaka nane. Voices Behind the Veil uk.110.
Gazeti la Dallas Morning News 9/28/03 uk.1,10S lilikuwa na habari ya kusikitisha kuhusu tabu ya wasichana wa Kiislam wa Nigeria ambao waliolewa wakiwa na umri mdogo sana, walipata ujauzito na walipopata uchungu wa uzazi miili yao midogo ilikuwa bado haijawa tayari. Kwa kiasi kikubwa habari hii ilikuwa mbaya, kimsingi wengi wa wasichana hao walihitaji kuzaa kwa upasuaji (C-section) lakini hawakuweza kupata huduma hiyo. Wengi wao walinusurika, lakini hawakuweza kupata watoto tena kwa sababu ya kuharibiwa kwa miji ya mimba.
 
Ili kuelewa asili ya mamlaka ya mfano wa Muhammad, ni muhimu tufahamu jambo moja kuhusu Hadithi za Kiislam. Hadithi zina nafasi ya juu sana katika madhehebu ya Suni kuliko mapokeo yalivyo na nafasi kwenye makanisa ya Katoliki na Orthodox. Waislam wa madhehebu ya Suni wanaamini kuwa mikusanyiko sita ya Hadithi ndiyo yenye mamlaka kubwa zaidi kwenye Uislam baada ya Kurani. Sehemu iliyobaki ya andiko hili inaonyesha kuwa dai hili ni la kweli kabisa, kwa mujibu wa vyanzo vingi vya awali vya Kiislam vyenye kuunga mkono. Pamoja na nukuu hizi toka kwenye Hadithi sita zinazoaminika ni nukuu toka kwa wana historia wa zamani wa Kiislam wanaoheshimika sana ibn Ishaq na al-Tabari.
 
1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH
1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa ‘Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati ‘Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
  

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.
  

1c. "Alisimulia ‘Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na ‘Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na ‘Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.
  

1d. Alisimulia ‘Aisha: Nabii alikuwa akinisitiri kwa Rida (vazi lenye kukinga sehemu ya juu ya mwili) yake nilipokuwa nawaangalia Waethiopia waliokuwa wanacheza kwenye ua wa nyuma wa msikiti. (Niliendelea kuangalia) hadi nilipotosheka. Hivyo unaweza kuelewa ni jinsi gani binti mdogo (ambaye hajafikia umri wa kuvunja ungo) ambaye ana hamu ya kufurahia burudani alivyofanyiwa mambo ya namna hii. Bukhari juzuu ya7 kitabu cha 62 sura ya 115 na.163, uk.119.
  

1e. "Alisimulia ‘Aisha: (mke wa Nabii) sikumbuki kama wazazi wangu waliamini dini yoyote ile isipokuwa dini ya kweli (yaani Uislam), na (sikumbuki) siku yoyote iliyopita bila sisi kutembelewa na Mtume wa Allah asubuhi na jioni." Bukharijuzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 4 na.245, uk.158. Kwa hiyo, ‘Aisha ama hakuwa mkubwa ama hakuwa amezaliwa kabisa wakati wazazi wake walipo badili dini na kuwa Waislam. Jambo hili linaendana na yeye kuwa mtoto wakati ndoa yake na Muhammad ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba.
 
2. Sahih Muslim 817-875 BK, 261 BH
Mkusanyiko huu unachukuliwa kuwa wa pili wenye kuaminika zaidi miongoni mwa Hadithi.
  

UTATA NA SHAKA MBALI MBALI KATIKA HADITH ZA MUHAMMAD

Hadithi za Bukhari
Mamia ya maelfu ya hadithi (mapokeo) yanadai kuelezea mafundisho na matendo ya Muhammad na wafuasi wake wa karibu. Waislam wa kale walizichambua hadithi hizi ili kuona ni zipi kati yake ni za kweli. Kuna makundi sita ya hadithi zinazofikiriwa na Wasuni kuwa "sahihi" au halisi na zenye mamlaka ya kidini. Hadithi hizi huchukuliwa kuwa ni muhimu karibu sawa na Kurani yenyewe. Kundi refu zaidi ni Sahih al-Bukhari lenye juzuu tisa na hadithi 7,275. Mambo yafuatayo yana mvuto mkubwa kwa wasomaji wote Waislam na wasio Waislam toka kwenye hadithi za kundi la Bukhari. Dondoo hizi zimetolewa toka kwenye kitabu kiitwacho Tafsiri za Kiarabu na Kiingereza za Maana za Sahih Al-Bukhari kilichoandikwa na Dr. Muhammad Mushin Khan wa Chuo Kikuu cha Kiislam cha Medina Al-Munawwara, Saudi Arabia.

Muhammad Haabudiwi
"Baada ya hapo Abu Bakr alisema Tashah-hud (yaani hakuna mwenye haki ya kuabudiwa isipokuwa Mwenyezi Mungu na Muhammad ni Mtume wake)... Abu Bakr alisema, ‘Amma ba’du, yoyote miongoni mwenu aliyemwabudu Muhammad, basi Muhammad amekufa, lakini yoyote aliyemwabudu Mungu, Mungu yu hai na hatakufa kamwe. Mungu alisema: ‘Muhammad ni Mtume tu’" Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 (Kitabu cha Misiba) sura ya 3 na. 333 uk.188-189.
Hata hivyo Waislam wanamthamini sana Muhammad. "Kwa [msaada wa] Allah, Mtume wa Allah alipotema mate, mate yaliangukia kwenye mkono wa mmoja wa (yaani washiriki wa nabii) ambaye alifuta uso na ngozi vyake; alipowaamuru, washiriki wake walitimiza" maagizo yake mara moja; aliponawa walipigania kuchukua maji yaliyobakia; na walipoongea naye, walipunguza sauti zao na hawakumwangalia usoni mara kwa mara kwa ajili ya heshima." Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 50 (Masharti, ‘Conditions’) sura ya 13 na. 891 uk.564-565.

Marufuku Vinywaji Vikali
"‘Aisha [mke wa Muhammad] Nabii alisimulia akisema, ‘Vinywaji vyote vyenye kuleta ulevi ni Haram (vimezuiliwa) kunywa." Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 4 (Kitabu cha Kujitakasa) sura ya 75 na. 243 uk.153.
"Abu Huraira alisimulia: ‘Nabii alisema, ‘Mzinzi, wakati anafanya tendo la ndoa lisiloruhusiwa si muumini; na mtu yeyote, wakati anapokunywa kinywaji chenye kulevya, si muumini; na mwizi, wakati anapoiba si muumini" Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 69 (Kitabu cha Vinywaji) sura ya 1 na. 484 uk.339.

Waislam pia wamezuiliwa kuuza mvinyo, sanamu na nyama ya nguruwe. Muislam Sahih juzuu ya 3 kitabu cha 9 (Kitabu cha Biashara) sura ya 621-622 na.3835-3840 uk.828-830. Hawaruhusiwi kununua, kuuza au kubeba mvinyo. Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 30 (Kitabu cha Vinywaji) namba 3380-3381 uk.493-494; juzuu ya 4 kitabu cha 30 na.3382 uk.494. Kuuza pombe kumezuliwa kwenye Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 8 (Kitabu cha Maombi) sura ya 73 na. 449 uk.267.

Je Muhammad Aliona Mwezi Ukigawanyika Vipande Viwili?
"Ombi la wapagani kwa Nabii kuwa awaonyeshe muujiza. Nabii aliwaonyesha kugawanyika kwa mwezi. ‘Abdullah bin Massud alisimulia: Wakati wa uhai wa Nabii mwezi uligawanyika vipande viwili na Nabii alisema, ‘Shuhudia (jambo hili).’" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 (Wema na Uadilifu wa Nabii na Washiriki Wake) sura ya 26 na. 830 uk. 533.
"Anas alisimulia kuwa watu wa Maka walimwomba Mtume wa Mwenyezi Mungu awaonyeshe muujiza, na kwa ajili hiyo aliwaonyesha kugawanyika kwa mwezi." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 (Wema na Uadilifu wa Nabii na Washiriki Wake) sura ya 26 na. 831 uk.533.
"Ibn ‘Abbas alisimulia: Mwezi uligawanyika vipande viwili wakati wa uhai wa Nabii." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 56 (Wema na uadilifu wa Nabii na Washiriki Wake) sura ya 26 na. 832 uk.534.

Nyota Zinapaswa Kuyapiga Mashetani?
"Uumbaji wa nyota ulikuwa na malengo matatu, yaani kuwa mapambo ya mawingu, kupiga mashetani, na ishara za kuongozea wasafiri. Kwa hiyo, mtu yoyote anapojaribu kutafuta tafsiri tofauti, amekosea na anapoteza nguvu zake..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 3 maelezo ya mwenye kutafsiri kabla ya na. 421 uk.282.

UISLAM UNADHARAU WAAFRIKA

Si MWEUSI wala MWAFRIKA
Na Abdullah Al Araby
Rangi ya ngozi ya mtu mara imekuwa kigezo cha dini. Wakereketwa wa uislam wamekuwa wakijaribu kuwashawishi Waamerika wenye asili ya Kiafrika kuwa uislam ni dini ya mtu mweusi, kwamba uislam ni dini ya kiafrika na kwamba Muhammad alikuwa mweusi. Hatuhitaji kusema kwamba Waislam wamekuwa wakitoa madai haya kwa watu weusi tu; lakini kwa wazungu hutumia njia tofauti!
Kwa kujua kuwa haya ni mawazo potofu yaliyofikiriwa kwa umakini mkubwa sana, yaliyokusudiwa kuwavuta watu weusi kwenda kwenye uislam, nimejisikia kuuweka ukweli wazi. Hakuna kitu chochote kwenye makala hii kinachoafikiana na mtazamo huu wa ubaguzi wa rangi. Kama tukiupokea au kuukataa uislam, basi iwe ni kwa sababu za sifa halisi za uislam wenyewe na si rangi ya ngozi ya mtu au chimbuko lake.
Chanzo change kikuu cha taarifa za makala hii, licha ya Koran, ni Maandiko matakatifu ya Waislam "Hadithi", ambazo ni matendo na maneno ya Mtume Muhammad wa uislam kama yalivyonukuriwa na "Sahih al Bukhary" na "Sahih "Muislam."

AFRIKA HAIKUWA CHIMBUKO LA UISLAM
Uislamu ulizaliwa katika karne ya 7, katika rasi ya Arabia, ambayo ilikuwa sehemu ya bara la Asia. Asia ya njano na Afrika nyeusi vimetengwa na bahari ya Shamu [Red Sea]. Hapa tunazungumzia mabara mawili tofauti na rangi mbili tofuati.
Uislamu ulikwenda Afrika muda si mrefu sana uliopita, na hii si dini inayotawala Afrika. Kuna uwezekano mkubwa kuwa Waamerika wenye asili ya Kiafrika walikuwa ama Wakristo ama waumini wa dini za jadi wakati walipoletwa Amerika.
Ukristo umekuwapo Afrika tangu nusu ya kwanza ya karne ya kwanza. Mtakatifu Marko, mwandishi wa Injili ya Marko, alikuwa Myahudi wa Afrika kaskazini aliyeihubiri Injili kule Misri. Kutokea kule, ukristo ulisambaa Afrika ya kaskazini yote, na kusini mwa mipaka ya Misri. Kanisa la mashariki liliwapa weusi wengi hadhi ya utakatifu [sainthood]. Kwa mfano Mtakatifu Musa mweusi, Mtakatifu Tekla Himanote, mwethiopia na wengineo. Mmojawapo wa walimu na manabii katika kanisa la kwanza alikuwa "Simoni Niger", na Ninger inamaanisha mtu mweusi kwa Kilatini (Matendo 13:1). Upande wa mashariki mwa Afrika ulifanywa kuwa wa kikristo kutokana na huduma ya mjumbe wa bunge la Malkia Kandake wa Ethiopia aliyebatizwa na mwinjisti Filipo (Matendo 8:6-40).

Unajimu na Kurani

 Baadhi ya Waislam wanasema Kurani ina ukweli wa kisayansi kuhusu mizunguko ya jua, mwezi, (na nyakati nyingine sayari). Ninapenda kuchunguza jambo hili, na tutazunguka pande tofauti tofauti kabla ya kufikia uamuzi. Lakini jambo la msingi ni kuwa: isipokuwa Muislam awe ameziona hizi aya kama misemo ya kufananisha, aya hizi hazitakubali, hazithibitishi usahihi wa kisayansi wa Kurani. 
 
Sura 36:37-40 inasema, "Na ishara yao ni usiku: Tulijitoa pale toka mchana, na tazama wakazamishwa kwenye giza; 38 na jua linafuata mkondo wake wa kawaida kwa muda liliopangiwa; hii ni amri yake (yeye), aliyeinuliwa kwenye nguvu, yeye ajuaye vyote. 39 Na mwezi-tumeupimia majumba makubwa (kupita toka upande mmoja hadi mwingine) hadi unabadilika kuwa kama sehemu ya chini ya kikonyo cha mtende kilichozeeka (na kunyauka). 40 Jua haliruhusiwi kuukuta mwezi na usiku hauwezi kwenda haraka hata kuupita mchana: Kila kimoja huelea tu kwenye mkondo wake wenyewe (kwa mujibu wa sheria)." (Tafsiri ya Yusuf Ali, toleo la kwanza) [Maneno yaliyo kwenye mabano yamo katika mabano kwenye tafsiri.]
 
Baadhi ya Waislam wanasema kuwa "jua hufuata njia yake kwa muda ambao limepangiwa" na neno "mkondo" likiwa limewekwa mwishoni. Hata hivyo, hatuwezi kusema vitu vingi sana kuhusu "mkondo" wa jua kwa sababu tafsiri ya Yusuf Ali ina rejeo (la 17) chini ya ukurasa linalohusiana na neno hili likisema "mzunguko, njia." Pia, toleo la Yusuf Ali lililofanyiwa marekebisho linasema "mahali pa kupumzika" badala ya "kipindi."
 
Ni kwa Jinsi Gani Baadhi ya Waislam Huitafsiri Kurani kwa Uhuru?
Tovuti ya Wasufi http://www.sufi.co.za/modern_science_and_islam.htm hupita kiwango ikisema
"Vitu hivi vyote dunia, mwezi na sayari zote na wakati wote hutembea kwenye mikondo (au mihimili) yake ni matufe yaeleayo" (Ansari)
Inaongeza maneno "(vyote hivi ni sayari)" na "(au mihimili yake)" kwenye mabano, kwa sababu hayamo kabisa kwenye Kiarabu. Hebu tuliache hili kwa kuwa ni tafsiri isiyo sahihi, na tujiulize "Sura 36:37-40 inafundisha nini hasa?" Inaweza kuwa moja ya vitu hivi vitatu:
  
Mikondo ya jua na mwezi:
 Kurani inafundisha kuwa jua na mwezi vilienda bila kupumzika kwenye njia/mikondo vikiizunguka dunia kwa kipindi maalum kilichopangwa.
  
Kuogelea kuelekea sehemu linaposimama:
 Jua huogelea kwenye mawingu wakati wa mchana, na huelekea sehemu linapopumzika usiku, na kurudi mahali pake lilipokuwa asubuhi iliyotangulia. Vivyo hivyo mwezi huogelea kwenye njia yake.
  
Misemo ya kufananisha:
 Kama sehemu iliyotangulia, ila hili limekusudiwa kama maelezo ya jinsi vitu vinavyoonekana kuwa, si jinsi vilivyo hasa. 

MABINTI WATATU WA ALLAH


Mabinti wa Allah


Mara nyingi Waislam wamekuwa wepesi kuwaambia watu wengine kuwa Mungu ameruhusu Biblia kupotoshwa. Kitu wanachodokeza ni kuwa Kurani leo hii ni neno la Mungu lenye kuaminika wakati ambapo Biblia sivyo. Biblia ina maandiko yanayotofautiana mengi yenye tofauti ndogo, lakini ushahidi wa mabadiliko ya mafundisho hauna uzito. Kurani ina ushahidi mkubwa zaidi wa kupotoshwa kwa mujibu wa Ubai, aya zilizobatilishwa‘Uthman, na matatizo mengine ya Kurani. Hata hivyo, tofauti kubwa zaidi ya mafundisho ya Kurani, iliyoletwa na Waislam wenyewe, ni "mabinti wa Allah."

Muhtasari

Tovuti ya Kikristo http://answering-islam.org/Responses/Saifullah/sverses.htm inasema, "Moja ya matukio yenye kuaibisha zaidi kwenye maisha ya Muhammad lilitokea wakati Shetani alipoweka maneno yake kwenye mdomo wa Muhammad. Muhammad alisema maneno ya Shetani kama neno la Mungu. Tukio hili limethibitishwa kwa maandishi na waandishi kadhaa wa Kiislam wa kale na limeongelewa kwenye Hadithi na Kurani. Waislam wa miaka iliyofuata, kwa kujisikia aibu kuwa nabii wao aliyejitangaza mwenyewe amesema maneno ya Shetani, walikana kuwa tukio hili lilitokea. Visingizio na kukana kwingi vimekuwa vikitolewa na hawa Waislam wa miaka iliyofuata ili kulifunika kosa lenye kuhusisha dhambi la Muhammad.
Ni muhimu ikafahamika tena kuwa tukio la ‘Aya za Shetani’ si jambo ambalo limetungwa na watu wasiokuwa Waislam. Tukio hili limerekodiwa na vyazo vya kale zaidi vya Kiislam vilivyokuwepo wakati wa uhai wa Muhammad. Mtu yoyote asifikiri kuwa jambo hili ni hadithi iliyotungwa na watu wenye kuupinga Uislam. Ni kisa kinachopatikana moja kwa moja kwenye rekodi za kale za Kiislam.
Hili moja ya masomo yenye kubishaniwa zaidi kwenye Uislam. Shetani alimsababishia Muhammad kunena maneno yake (Shetani) kama maneno ya Mungu."

Je Kurani Ilisema Nini Mwanzoni?

Sura ya Nyota (Sura 53) mistari ya 19-20 inasema, "Je umemwona Lat, na ‘Uzza, Na mwingine, (mungu mke) wa tata, Manat?"

Allah alikuwa maarufu huko Arabia kabla ya kuja kwa uislam, kama mungu aliyekuwa na mabinti watatu: al-Lat, al-Uzza, na Manat. (Kumbuka kuwa al- inamaanisha ‘yule’, kwa Kiingereza "the".)

Waandishi wanne wa mwanzo wa maisha ya Muhammad waliandika kuwa awali aya hizi zilifuatwa na:

"Hawa ni mawinchi (wasuluhishi) ambao maombi yao yanapaswa kutumainiwa"

Tafsiri: Mabinti wa Allah walifikiriwa kuwa viumbe wa mbinguni wenye kuomba kwa ajili ya wengine. Mawinchi marefu ya Kinumidia ilikuwa ni sitiari yao. Maneno mbadala ya "inatakiwa kutumainiwa" (turtaja) ni "imekubaliwa kwa kuthibitishwa" (turtada). (Kutoka kwenye tafsiri ya Alfred Guillaume ya The Life of Mohammed, iliyoandikwa na Ibn Ishaq, uk.166.

Monday, June 29, 2015

MUHAMMAD NI MTUME BANDIA

1. Hakutumwa na Mungu
2. Alipewa Utume na Mkewe
3. Alichezewa na Mashetani tokea utoto wake
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine kwa Waislam. Hebu tuanze moja kwa moja kwa ushahidi kuhusu huyu Mtume wa Allah aliyeitwa Muhammad.

MAANA YA NENO/JINA "MTUME"Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa”
SASA BASI, hakuna aya hata Moja katika Quran inayosema kuwa Muhammad aliwai ongea na Allah aliye mmpa Utume. Sasa basi, huu utume wa Muhammad alipewa na nani? Maana Allah hakuwai mpa utume .

MUHAMMAD APEWA UTUME NA MKEWE ILI KUMFARIJI!Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
Endelea kusoma,
Je, Mungu alisha wai mmpa mtu Utume ambaye alipagawa na Mashetani?

MUHAMMAD ALIZALIWA NA KUCHEZEWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKEI!1.ALIZALIWA NA SHETANI,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389)
2.ALICHEZEWA NA MASHETANI,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga" (Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12).

HAKUTUMWA NA MUNGU ILA ALITUMWA NA MASHETANI KUJA KUWAPOTEZA WAISLAMU !
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Saturday, June 27, 2015

KUMBE ALLAH NDIE MWANZILISHI NA ANAYE TOA MAGONJWA KWA BINADAMU

1. Allah akiri kuwa yeye ndie anaye anzisha magonjwa.
2. Allah aliugua Macho.
3. Allah hana uwezo wa kuponya Magonjwa
4. Allah amtupia ugonjwa Mtume wake Muhammad.
Ndugu zanguni,
Leo ningependa tuongelee kuhusu Magonjwa kutokana na Allah na dini ya Uislam. Je, nini hasa ni asili ya Magonjwa?
Kama ulikuwa haufahamu, dini ya Uislam inakiri kuwa Allah ndie asili ya Magonjwa na magonjwa yote yaliumbwa na Allah? Naam, nafahamu unashangaa na kudhania ninawasingizia Waislam, la hasha, hebu ungana nami kwa ushahdi zaidi,

ALLAH NDIE HUWAPA WATU MAGONJWAKumbukumbu na Bukhari katika al-Adab ul-Mufrad (namba 493), kuthibitishwa halisi na al-Albani
"Usitarajie mazuri, kwa sababu Allah ndiye huwapa magonjwa waumini wake kama kafara (kwa ajili ya dhambi yake) ili kumpumzisha, na kwa Makafiri ni kama ugonjwa ni kama Ngamia aliye fungwa na Bwana wake, humuachia huru pale anapotaka, ni hawezi kuelewa ni kwa nini alikuwa amefungwa, wala kwa nini ni huru. "
Kitu cha kushangaza, hawa Waislam wanakwenda Hospitali kupata matibabu huku wakifahamu kuwa Allah ndie aliye watupia Magonjwa. Huu ni Msiba katikaa Uislam.

JAMANI KWANINI TUMFUATE ALLAH ANAYE TOA MAGONJWA?
ALLAH ALIUGUA MACHO:"Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Hapa inaonekana Allah alijisahau na akajitupia Ugonjwa wa Macho, RED EYES. Sasa Mungu gani huyu anaye Umwa kama Viumbe? Hakika Allah si Mungu bali ni kiumbe,

ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA!!Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?

Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Cha kushangaza, Allah na Jibril pamoja walishindwa kumponya Muhammad, huu sasa ni Ushahid tosha kuwa Allah hana uwezo wa kuponya bali ndie anaye tupia watu Magonjwa.

MAJIBU YA MUHAMMAD HAYA HAPABukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.
Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
Hakika Allah si Mungu.

HUU NI MSIBA MKUBWA SANA. ALLAH NA YEYE AMEFIWA NA MTUME WAKE.
Hebu tusome Biblia na tuone nani anaye toa magonjwa kwa Binadamu:

BIBLIA INASEMA SHETANI NDIE ANATOA MAGONJWA

Friday, June 26, 2015

HIVI KWELI HAPA KUNA FUNGA AU NI KUBADILISHA MASAA YA KULA?


1. Waislam wageuza masaa ya kula
2. Waislam sasa wanakula mpaka kuvimbiwa
3. Huku sasa sio kufunga bali ni uroho wa chakula
Hivi mtu anapokula usiku kucha na kuto kula mchana, je huko ndio kufunga?
أُحِلَّ لَكُمْ لَيْلَةَ الصِّيَامِ الرَّفَثُ إِلَى نِسَآئِكُمْ هُنَّ لِبَاسٌ لَّكُمْ وَأَنتُمْ لِبَاسٌ لَّهُنَّ عَلِمَ اللّهُ أَنَّكُمْ كُنتُمْ تَخْتانُونَ أَنفُسَكُمْ فَتَابَ عَلَيْكُمْ وَعَفَا عَنكُمْ فَالآنَ بَاشِرُوهُنَّ وَابْتَغُواْ مَا كَتَبَ اللّهُ لَكُمْ وَكُلُواْ وَاشْرَبُواْ حَتَّى يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ ثُمَّ أَتِمُّواْ الصِّيَامَ إِلَى الَّليْلِ وَلاَ تُبَاشِرُوهُنَّ وَأَنتُمْ عَاكِفُونَ فِي الْمَسَاجِدِ تِلْكَ حُدُودُ اللّهِ فَلاَ تَقْرَبُوهَا كَذَلِكَ يُبَيِّنُ اللّهُ آيَاتِهِ لِلنَّاسِ لَعَلَّهُمْ يَتَّقُون
َ
187. Mmehalalishiwa usiku wa kuamkia saumu kuingiliana na wake zenu. Wao ni nguo kwenu na nyinyi ni nguo kwao. Mwenyezi Mungu amekwisha jua ya kwamba mlikuwa mkijihini nafsi zenu, kwa hiyo amewakubalieni (toba yenu) na kuwasameheni. Basi sasa laleni nao na takeni aliyowaandikieni Mwenyeezi Mungu. Na kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu uzi mweupe katika uzi mweusi wa alfajiri, kisha timizeni saumu mpaka usiku. Wala msilale nao na hali mnakaa (itikafu) Misikitini, hiyo ndiyo mipaka ya Mwenyeezi Mungu, basi msiikaribie. Hivyo ndivyo Mwenyeezi Mungu anavyobainisha dalili zake kwa watu ili wapate kumcha.
Hapa kuna mambo ya kufurahisha katika hii aya, Usiku umekuwa mchana, na mchana umekuwa usiku... waislamu husema wanafunga siku 30 au 29, lakini hapa kuna siku 14-15 Maana funga yao inahesabiwa Alfajiri mpaka jioni, masaa 12 hayo ndo hawatikiwi kula cho chote, wala kufanya mapenzi na wake zao mchana wa saumu.
Lakini Usiku kucha ruksa kujiachia:- hapo kuna maanisha kwamba Usiku saumu hakuna... ndiyo maana harusi za kiislamu huwa nyingi sana ukaribiapo mwezi wa ramadhani, kwa sababu waislamu niwatumwa wa ngono, hawawezi kuvumilia kukaa mwezi mzima bila kufanya mapenzi... ndiyo maana wakapewa idhini ya kuoa wanawake wanne kwa sababu nyege zao zipo karibu (samahanini kwa neno hilo) kwa hivyo hawana uwezo wa kukaa muda mrefu bila kujamiiana.
Hata wakati wamepewa sheria ya kufunga, Mwanzoni hawakuruhusiwa kukutana kingono na wake zao, Wakawa wanazihini nafsi zao, Allah akawaonea huruma maana aliona hawa watu wake ni watumwa wa ngono
akaamua usiku washughulike ila kukipambazuka waache.. (Hapo hakuna kiasi) cheza uwezavyo fidia mpaka za mchana.
Kwenye KULA:- hapa sasa ndo kunafurahisha, Matajiri na wenye uwezo wa kati ambao wanajimudu, hawa hawawezi kulalamika saumu kali kwa sababu wana uwezo kuanzia muda ambao wanafuturu ni ruksa kula kadiri watakavyo mpaka uwabainikie uzi mweupe katika uzi mweusi wa Alfajiri. hebu fikiria mtu ameweka lundo la msosi.

MTUME MUHAMMAD KASEMA MADHEHEBU YOTE YA KIISLAM YATAINGIA MOTONI


1. Muhammad kashindwa kuwahakikishia Waislam Akhera
2. Muhammad akiri kuwa Uislam una Madhehebu
3. Muhammad ashindwa kutuambia ni dhehebu lipi ambalo Allah aliliteremsha.
4. Allah nayeye asema Waislam wote wataingia Jehannam.

Ndugu zanguni,

Leo ningependa kuwaambia kuwa, Muhammad ambaye ni Mtume wa Allah amekiri meble ya kadamnasi kuwa Madhehebu yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu. Muhammad hakusema kuwa Waislam hawataingia motoni, bali leo hii ameweka msumari wa mwisho katika jeneza kuwa Waislam wote wataingia Jehannam.

"Wamegawanyika Mayahudi katika mapote 71, wakagawanyika Wakristo
katika mapote 72 na Ummah wangu utagawanyika mapote 73. Yote hayo
yataingia motoni ila moja tu)) [Ahmad, Abu Daawuud, atTirmidhiy
na ad-Daarimiy]

Kama ushahid unavyo sema hapo juu kuwa Madhehebu yote yataingia Motoni, sasa, ni dhehebu lipi hilo ambalo halita ingia motoni?

Endele kusoma

MUHAMMAD(SAW) AKIRI KUWA YEYE NI MTUME BANDIA NA HAJUI ATAFANYWA NINI BAADA YA KIFO
Surat Al Ah'qaaf 9. Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.
Jamani leo tumepata ushaidi kutoka Muhammad kuwa Yeye sisi chochote na Uislam sio mali kitu.

Poleni sana wafuasi wa mtume kiroja kama alivyo dai mwenyewe na kukiri kuwa yeye hajui atafanywa nini baada ya kifo. Kumbe ndio maana kasema kwenye hadith hapo juu kuwa madheheb yote yataingia Motoni. Kumbe Muhammad ataingia Motoni. Kumbe Waislam wataingia Motoni.

Endelea kusoma

ALLAH ANASEMA KATIKA KORAN KUWA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM

TRENDING NOW