Tuesday, February 16, 2016

ALLAH NA MUHAMMAD WANASEMA KUWA NYOTA NI SILAHA ZA KUWAPIGA MASHETANI



Ndugu msomaji,
Tunaendela na hadith za msemakweli za Muhammad. Katika hadithi ya leo, tutajifunza kuhusu silaha anazo tumia Allah anapo pigana na mashetani.
Nyota Zinapaswa Kuyapiga Mashetani?
"Uumbaji wa nyota ulikuwa na malengo matatu, yaani kuwa mapambo ya mawingu, kupiga mashetani, na ishara za kuongozea wasafiri. Kwa hiyo, mtu yoyote anapojaribu kutafuta tafsiri tofauti, amekosea na anapoteza nguvu zake..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 3 maelezo ya mwenye kutafsiri kabla ya na. 421 uk.282.
Hebu tujifunze kwanza maana ya Nyota:
Kwa kutumia darubini na vifaa vya kisasayansi imegunduliwa ya kwamba ni magimba makubwa sana katika anga la nje yanayong'aa kwa sababu yanatoa mwanga, joto na aina mbalimbali za mnururisho kutokana na myeyungano ya kinyukilia ndani yao. Lakini ziko mbali sana na kwa hiyo tunaziona kama nukta ndogo za nuru. Kwa jumla nyota zinaonekana kwenye anga kwa mpangilio usiobadilika na kila nyota huwa na mahali pake pasipobadilika kati ya nyota nyingine hata kama nyota kwa jumla zinazunguka angani juu yetu kila siku.
Baada ya kusoma maana ya Nyota, mtu anaweza jiuliza, kivipi Allah anapigana na Mashetani kwa kutumia Nyota?
Mbona Allah hajawai tuletea aya ambayo inasema jinsi alivyo pigana na Mashetani kwa kutumia Nyota?
Ni vita zipi ambazo Allah anatumia Nyota kupigana na Mashetani?
Kama Allah ni AKBAR kama wanavyo dai, Waislam, kwanini anshindwa kutumia nguvu yake kuyapiga mshetani mpaka atumie Nyota?
JIFUNZE ZAIDI KUHUS NYOTA:
Fizikia na astronomia zimegundua ya kwamba nyota hazidumu milele bali zina mwanzo na pia mwisho. Kutokana na tabia hii wataalamu mara nyingi huongea juu ya "maisha", "kuzaliwa" na "kufa" kwa nyota ingawa si viumbehai.
Nyota zinaanzishwa katika nebula au katika mawingu makubwa ya gesi kwenye anga la ulimwengu. Kama wingu ambalo sehemu kuwa yake ni hidrojeni ni kubwa sana inaanza kujikaza kutokana na graviti yake. Katika muda wa miaka mioni 10-15 wingu linajikaza kuwa tufe kadhaa kubwa na ndani ya tufe hizi halijoto inazidi kupanda. Kadiri jinsi gesi inajikaza nguvu ya graviti ndani yake inaongezeka na atomi zake zinaanza kugusana. Halijoto inazidi hadi kufikia kiwango ambako mmenyuko mfululizo wa kinyuklia unaanza kutokea hadi kufikia mmeyungano nyuklia wa hidrojeni kugeukia heli.
Kipindi cha mmeyungano nyuklia wa hidrojeni kinaendelea kwa miaka mabilioni hadi sehemu kubwa ya hidrojeni imekwisha. Hapa sehemu za nje ya nyota hupoa na kupanuka; halii hii huitwa pandikizi nyekundu (red giant) kwa sababu ya ukubwa na rangi yake. Mapandikizi mekundu kadhaa huonekana kwa macho tu angani yaking'aa kwa nuru nyekundu. Kama masi ya nyota bado ni kubwa mmeyungano nyuklia unaendelea kuzaa elementi nzito zaidi kwa sababu sehemu ya heli inaendelea kujibadilisha kuwa elementi za juu zaidi. Inaaminmiwa ya kwamba elementi zote ulimwenguni zilianzishwa ndani ya nyota.
Mwishowe kama masi haitoshi tena kuendeleza mmeyungano masi inaweza kujikaza; kutegemeana na ukubwa wa masi nyota inaweza kupasuka. Mabaki ya mlipuko huu yanakaa angani tu na mara nyingi huingia tena katika mwendo wa kuzaa nyota mpya; sehemu ndogo za masi hii huwa sayari.
Kama masi imejikaza sana shimo nyeusi (Kiing.: black hole) inatokea. Katika hali hii nguvu ya graviti ni kubwa mno inashika hata nuru yenyewe ambayo haiwezi kuoka nje tena.
Nategemea leo umesha gundua kuwa Allah hakuumba Nyota na wala Allah hazielewi Nyota.
Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu.
Mungu awabariki sana,
Max Shimba Ministries Org.

UTHIBITISHO WA MUHAMMAD KUMILIKI WATUMWA WA KIAFRIKA

Ndugu msomaji,
Leo nitwawapa uthibisho zaidi kuwa Muhammad alimiliki watumwa wa Kiafrika.
SOMA:
Mahusiano ya Kimbari (Race Relations) na Muhammud Kumiliki Watumwa Waafrika
"Anas alisimulia: Mtume alisema, ‘Msikilize na kumtii (chifu wako) hata kama ni Muethiopia ambaye kichwa chake ni kama zabibu kavu akifanywa kuwa chifu wako." Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 11 (Kitabu cha Wito wa Maombi) sura ya 54 na.662 uk.375 (pia Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 24 (Kitabu cha Jihad) sura ya 39 na. 2860 uk.196) Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 11 (Kitabu cha Wito wa Maombi) sura ya 55 na.664 uk.376 husema vivyo hivyo.
Kama ilivyosemwa mwanzoni, Muhammad alikuwa mmiliki wa watumwa aliyekuwa na mtumwa Mwafrika angalau mmoja. (Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 316 na.435 uk.407, juzuu ya 9 kitabu cha 91 (Kitabu cha Habari Zilizotolewa na Mtu Mkweli) sura ya 3 na.368 uk.275) Muhammad aliuza watumwa wake Waafriaka wawili ili aweze kumwacha huru mtumwa mwingine ambaye alibadilika kuwa Muislam Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 24 (Kitabu cha Jihad) sura ya 41 na.2869 uk.202. Zifuatazo ni dondoo.
"Kisha nilivaa nguo zangu na kwenda nyumbani kwa Mtume wa Mungu, na tazama, alikuwa anakaa kwenye chumba chake cha juu ambako mtumwa wake Mwafrika alikuwa (anakaa) kwenye kituo cha kwanza." (Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 316 na.435 uk.407)
"Umar alisimulia, "Nilikuja na tazama, Mtume wa Allah alikuwa anaishi kwenye Mashroba (chumba cha barazani) na mtumwa Mwafrika wa Mtume wa Allah alikuwa juu ya ngazi zake." (Bukhari juzuu ya 9 kitabu cha 91 sura ya 3 na.368 uk.275)
Jambo hili linafurahisha kwani Muhammad alimnunua mtumwa ambaye alikuwa amebadilika kuwa Muislam (labda kwa lengo la kumfanya kuwa huru.) Badala ya kumlipa mwenye kummiliki hela taslimu, Muhammad aliwauza watumwa wake wawili Waafrika. Mbari ya mtumwa wa kwanza haijaelezwa ila kwa sababu moja au nyingine ilionekana kuwa muhimu kuandika kuwa watumwa wawili ambao Muhammad aliwauza walikuwa Waafrika, na ilibidi wawe wawili ili aweze kumnunua mtumwa mmoja.
"Jabir (Allah apendezwe naye) aliripotiwa kusema kwamba kuna mtumwa aliyekuja na kutoa kiapo cha utii kwa Nabii Mtakatifu (amani na baraka za Mungu ziwe naye) kwani uhamaji (Hijra) na Nabii Mtakatifu (amani na baraka za Mungu ziwe juu yake) hakujua kwamba alikuwa mtumwa. Kisha mmiliki wake alikuja kumtafuta na Nabii Mtakatifu (amani na baraka za Mungu ziwe juu yake) alisema, ‘Muuze kwangu.’ Hivyo alimbadilisha na watumwa wawili Waafrika. Kisha Muhammad hakupokea kiapo cha utiifu toka kwa mtu yoyote baada ya hapo, mpaka hapo mtu atakapomuuliza: Je huyu ni mtumwa?" (Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 24 (Kitabu cha Jihad) sura ya 41 na.2869 uk.202)
Hadithi za Bukhari zinapatikana kwenye mtandao wa kumpyuta katika tovuti:
Hii dini ya Uislam si ya Waafrika maana hata mtume wao alimiki Watumwa wa Kiafrika. Zaidi ya hapo ALIWATA MAJINA MABAYA WAFRIKA, eti wana PUA NENE, ETI WANA MACHOGO. Hakika hizi chuki kubwa kubwa hazipo kwenye Mitume wote wa Biblia bali kwa Mtume wa Allah aitwaye Muhammad.
Je, Muafrika ana haki ya kuwa Musialm?
Je, Allah anapenda Waafrika?
Kama kunauthibitisho wa Allah kusema anapenda Waafrika nileteeni hapa, leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Kwa mara nyingie tena tunajifunza kuwa Allah na Muhammad hakuwapendi Waafrika na hakuna aya hata moja kwenye Quran ambayo Allah anasema kuwa anawapenda Waafrika.
Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org.

Monday, February 15, 2016

UTHIBITISHO WA MISTARI ILIYO FUTWA KWENYE QURAN

Ndugu msomaji,
Kama Quran imekamilika kama jinsi Waislam wanavyo dai, kwanini Muhammad alifuta mistari kwenye kitabu cha Allah?
Kama Quran ni maneno ya Allah, je, nani alimpa mamlaka Muhammad kufuta aya za Allah?
Je, hii Quran imekamilka au haijtakamiliak, maana sasa tunafahamu kuwa kuna aya zilifutwa na Muhammad bila ya ruhusa ya Allah.
Huu ni Msiba. Soma ushahid hapa chini.
"Baada ya hapo, Mungu alitufunulia mstari uliokuwa miongoni mwa ile iliyofutwa baadaye." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 (Kitabu cha Safari za Kijeshi) sura ya 27 na.416 uk.288.
"Anas bin Malik alisimulia: ... Walifunuliwa wale waliouawa Bi’r-Ma’una, mstari wa Kurani tuliozoea kuukariri, lakini badaye ulifutwa. Mstari wenyewe ulikuwa: ‘Wafahamishe watu wetu kuwa tumekutana na Bwana wetu. Amefurahishwa nasi na ametufurahisha.’" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 (Kitabu cha Jihad) sura ya 19 na.69 uk.53. Tazama pia Historia ya al-Tabari juzuu ya 7 uk.156.
Kumbukumbu nyingine za mistari iliyofutwa ni Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 (Kitabu cha Jihad) sura ya 8 na.57 uk.45, Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 (Kitabu cha Jihad) sura ya 184 na.299 uk.191, na Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 (Kitabu cha Safari za Kijeshi) sura ya 27 na.421 uk.293 zote zinarudia kitu hicho hicho kuhusu mstari huo huo.
Wakati fulani Muhammad aliafikiana na kusema kuwa kuhusiana na mabinti wa Allah kwenye Sura 53:19 "sala ya ya kuombea ilipaswa kutumainiwa." Muhammad alisema tunapaswa kutegemea msaada wa sanamu hizi tatu.
Wafuasi wa Muhammad walishangazwa kuwa amesema hivi. Baadaye, Muhammad alibadilisha msimamo wake na kusema kuwa Shetani alimdanganya. Mistari hii ilibatilishwa au kutolewa. Wanazuoni wa Kiislam wanaiita mistari hii "aya za Shetani." Inafurahisha kusoma maelezo ya Waislam kuhusu namna ambayo nabii wa kweli angeweza kusema hivi.
MASWALI:
1. Kwanini Allah aliruhusu Shetani kumdanganya Nabii wake?
2. Kama Muhammad aliweza kudanganywa na Shetani, je, tutaiamini vipi Quran ambayo imejaa shaka?
3. Je, kuna aya ngapi ambazo ni za Shetani kwenye Quruan, ikiwa sasa tunafahamu kuwa, Shetani na yeye alikuwa anateremsha aya zake kwa kupitia Jibril huyo huyo?
4. Kwanini Waislam wanakataa ukweli wa Mabinti wa Allah ambao Muhammad aliuukubali?
5. Kwanini Muhammad alishindwa kutofautisha maneno ya Allah na Shetani na kudhani ni mtu huyo huyo anasema?
MABINTI WA ALLAH
Uarabuni kabla ya Muhammad, kabila la Muhammad, Quaraysh, lilimwamini Mungu aitwaye Allah (au Al’Ilah) aliyekuwa na mabinti watatu walioitwa Al-Lat, Al-Uzza, na Manat.
" ‘Urwa alisema, ... kuhusiana na Ansar aliyezoea kumdhania Ihram kuwa anaabudu sanamu anayeitwa ‘Manat’ ambaye walizoea kumwabudu kwenye sehemu iliyoitwa Al-Mushallal..." Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 26 (Hija) sura ya 78 na.706 uk.413.
"Mstari huu ulifunuliwa kwa kuhusiana na Ansar aliyekuwa anamdhania Ihram kuwa sanamu Manat ambaye aliwekwa karibu na sehemu iliyoitwa Qudaid..."Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 27 (‘Hija ya Umra) sura ya 10 na.18 uk.11. Al-Lat, Al-Uzza wameelezewa Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 74 (Kitabu cha Kuomba Ruhusa ya Kuingia) sura ya 52 na.314 uk.209; juzuu ya 5 na.375 uk.259
Hakika Quran sio kitabu cha Mungu na kimejaa shaka kubwa kubwa.
Leo tumejifunza tena kuwa Quran sio kitabu cha Mungu, na zaidi ya hapo, Allah alikuwa na Mabainti watatu.
Mungu awabariki sana,
Max Shimba
For Max Shimba Ministries

MUHAMMAD AWAAMRISHA WAISLAM KUNYWA MIKOJO YA NGAMIA

Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam na Mtume wa Muhammad. Leo, Muhamamd kawa Daktari na kudai kuwa eti, MKOJO WA NGAMIA NI DAWA.
Soma:
Kwa mujibu wa Muhammad, watu waliteswa kwenye makaburi yao kwa sababu ya kujichafua na mkojo [wao wenyewe]. Bukhari juzuu ya1 kitabu cha 4 sura ya57 na.215 uk.141; Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 4 sura ya 57 na.217 uk.142.
Hata hivyo Muhammad aliwaamuru baadhi ya watu kumfuata mchungaji wake na kunywa maziwa na mikojo ya ngamia. Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 6 na.589, 590 uk.398, 399 na juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 29 na.623 uk.418.
Muhammad pia alisema kuwa mkojo wa ngamia ni dawa nzuri. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 kitabu cha 31 na.3503 uk.38.
Baadhi ya Waislam waliambiwa kunywa mkojo wa ngamia, waliishia kuwa waasi na kumuua mchungaji. Muhammad aliamuru wakatwe miguu na mikono yao na macho yao yachomwe. Sunan Nasa’i juzuu ya 1 na.308-309 uk.255-256. Tazama pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 sura ya 152 na.261 uk.162.
Hivi huyu kweli alikuwa Mtume wa Mungu? Mbona hatusomi hata sehemu moja kuwa Muhamamd alitumia neno la Allah kutibu watu?
Mbona Allah anatumia Mikojo kutibu watu, kwani Allah hana uwezo wa kuponya kwa jina lake?
Mbona Muhammad na Allah hawakuponya watu kwa jina la ALLAH?
Kwanini Muhammad alipo kula nyama yenye sumu hakunywa MIKOJO ya Mgamia ili kujitibu?
Kumbe kunywa mikojo ya ngamia ilikuwa ni sehemu ya NDUMBA ya Muhammad.
Kumbe Mikojo ya Ngamia inawafanya watu wawe vichaa.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Soma kituko kingine cha Muhammad.
Muhammad na Maji Safi
Udhibiti wa afya kwa kuondoa maji machafu na takataka (Sanitation): Watu walipomuliza kuhusu kunywa maji ya kwenye kisima chenye nguo za hedhi, mbwa waliokufa, na vitu vyenye kunuka, Muhammad alisema kuwa maji ni safi kabisa na huwa hayachafuliwi na kitu chochote. Abu Dawud juzuu ya 1 sura ya 35 na.66-67 uk.16-17.
Muhammad alikuwa Nabii wa uongo na sio Mungu.
Waislam nawakaribisha kwa Yesu Mungu Mkuu.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries

Sunday, February 14, 2016

MUHAMAMD AMESEMA SHETANI ANAISHI KWENYE PUA ZA WAISLAM WOTE NA NZI WACHAFU NI DAWA.

1. ETI, SHETANI ANAISHI KWENYE PUA YAKO
2. ETI NZI WACHAFU NI DAWA

Ndugu msomaji,
Huu ni msiba:
1. ETI, SHETANI ANAISHI KWENYE PUA YAKO
Shetani Puani Mwako?
"Abu Huraira alisimulia: Nabii alisema, ‘Kama mtu yeyote kati yenu akiamka toka usingizini na kutawadha [kaida ya kujitakasa], anapaswa kuosha pua yake mara tatu kwa kuingiza maji na kuyatoa kwa kuhema kwa sababu Shetani alikuwa kwenye sehemu ya juu ya pua yake usiku mzima."(1) Maelezo ya mwenye kutafsiri (1) yanasema, "Tunapaswa kuamini kuwa ni kweli kwamba Shetani anakaa kwenye sehemu ya juu ya pua ya mtu hata kama hatuwezi kuelewa kwa sasa, kwani jambo hili linahusika na ulimwengu usioonekana ambao hatujui lolote kuhusiana nao isipokuwa yale ambayo Mwenyezi Mungu ametuambia kupitia Mtume wake." Bukhari sura ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.516 uk.328.
Huu nu uongo mkubwa sana ambao Muhammad amesema katika umma yake.
[Moja]: Shetani hana uwezo wa kuwa kila mahali kwa wakati mmoja [omnipresence]
[Mbili]: Shetani ni roho na hana geographical location katika mwili wa bindamu.
[Tatu]; Labda Shetani anaishi kwenye pua za Waislam pekee. Maana ukimpokea Yesu na kujazwa na Roho Mtakatifu, Shetani hawezi kuwa anaishi kwenye pua yako kama anavyo ishi kwenye pua za Waislam wote.
2. ETI NZI WACHAFU NI DAWA
Kumwamini Muhammad Wakati Nzi Wanakuwepo:
"Abu Huraira alisimulia: Nabii alisema, ‘Kama nzi ameangukia kwenye kinywaji cha mtu yoyote kati yenu, na amchovye (kwenye kinywaji), kwani bawa lake moja lina ugonjwa na lingine lina tiba ya huo ugonjwa." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 16 na.537 uk.338. Tazama pia Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 21 (Kitabu cha Vyakula) na.3835 uk.1080.
"Abu Huraira alisimulia: Mtume wa Mwenyezi Mungu alisema, ‘Kama nzi ameangukia kwenye chombo cha yoyote kati yenu, mtu huyo na amchovye huyo nzi (kwenye chombo) kisha amtupe, kwani kwenye bawa lake moja kuna ugonjwa na kwenye lingine kuna uponyaji (1) (kiuasumu), yaani tiba ya ule ugonjwa." Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 (Kitabu cha Dawa) sura ya 58 na.673 uk.452-453.
Maelezo ya mwenye kutafsiri 

(1) yanasema, "Katika taaluma ya uganga inafahamika sana siku hizi kwamba nzi hubeba vijidudu vinavyosababisha magonjwa [pathogens] kwenye baadhi ya sehemu za mwili wake kama alivyosema Nabii (karibu miaka 1400 iliyopita wakati ambapo binadamu walikuwa na ufahamu mdogo sana wa uganga wa kisasa.) Vivyo hivyo, Mungu aliumba vumbe na namna za utendaji vinavyoua hivi vijidudu vyenye kusababisha magonjwa mf. Kuvu ya penicillin (penicillin Fungus) huua vijidudu kama Staphalococci na vinginevyo. Hivi karibuni majaribio yaliyofanywa chini ya usimamizi yameonyesha kuwa nzi hubeba ugonjwa (pathagens) pamoja na viuasumu vya vijidudu hivyo. Kwa kawaida nzi anapogusa chakula kinachomiminika huathiri kimiminika kwa vijidudu vyake, hivyo ni lazima kumchovya ili aweze kutoa viuasumu vya vijidudu hivyo kwa lengo la kusawazisha vijidudu hivyo. Kuhusiana na somo hili pia niliandika kwa rafiki yangu kupitia kwa Dr. Muhammad M. El-SAMAHY, mkuu wa idara ya hadithi ya Chuo Kikuu cha Al-Azhar CAIRO (Misri) ambaye ameandika makala kuhusu Hadithi hii na kuhusiana na taaluma ya uganga amesema kuwa wataalamu wa vijidudu vidogo (microbiologists) wamethibitisha kuwa kuna chembe chachu zenye kukata kwa urefu zinazoishi kama vimelea ndani ya tumbo la nzi na chembe hizi chachu hujichomoza kupitia mishipa ya kupumulia ya nzi na kama mtu akimchovya nzi kwenye kimiminika, chembe hizi hupasuka kwenye kimiminika na vitu vilivyomo kwenye chembe hizi ni viuasumu vya vijidudu ambavyo nzi huvibeba."
Karibu madaktari wote, kama si Waislam, hudhihaki wakisika kuhusu kumchovya nzi kwa makusudi kwenye kinyaji chako.
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

UKWELI KUHUSU UUNGU WA YESU

JE’ BWANA YESU ANAPATAJE KUWA MUNGU?
Baada ya kujipatia maarifa makini juu ya nafsi tatu Mungu mmoja;

Ni vyema sasa tukapiga hatua nyingine ya ufahamu kwa kuangalia swali hili makini ambalo kwa kiasi kikubwa pia huchanganya hisia za watu wengi katika ulimwengu wa imani, ambapo kile kinachoonekana kuwachanganya watu wengi hapa ni uelewa juu ya ukweli kuhusu chimbuko la Uungu wa Bwana Yesu na hivyo watu wengi kuhoji kuwa Yesu anapataje sasa kuwa Mungu?.
Ni wazi kuwa swali hili hasa hulenga kutafut kujua asili au chimbuko la  mamlaka ya Kiuungu ya Yesu anayotajwa kuwa nayo hasa kutokana na kile kinachoonekana kuwa Bwana Yesu alikuwa na mwonekano unaoonyesha kuwa huenda naye alikuwa na asili au chimbuko la dunia hii.
Hivyo ili kupata majibu ya msingi ya hili ni vyema kwanza tuanze na hoja juu ya asili ya Yesu na ndipo tunaweza kufunguka zaidi kiufahamu na kuelewa mengi zaidi juu ukweli kuhusu Uungu wa Yesu.

Ufahamu juu ya asili ya Yesu
Kile kilichoongeza upinzani mkubwa wa Mafarisayo na baadhi ya Wayahudi juu ya Uungu wa Yesu ni uelewa usiyo sahihi juu ya asili ya Yesu.
Ufahamu wa wengi kati ya Wayahudi uligotea katika dhana ya mwonekano wa ubinadamu wa Yesu na historia yake ya uzazi wa kidunia toka katika tumbo la Mariam, ambapo kama matokeo ya hili Wayahudi walisikika wakati fulani wakitamka:-

Yahana 6:42
Wakasema, Je! Huyu siye Yesu, mwana wa Yusufu, ambaye twamjua babaye na mamaye? Sasa asemaje huyu, Nimeshuka kutoka mbinguni?

Unaweza sasa kupata pichani  juu ya mzizi wa hoja hii, na ni kama tunavyoona katika nukuu hiyo ya kitabu cha Yohana kuwa hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni kile walichoona kuwa haikuwa sahihi kwa Yesu kusema ameshuka toka mbinguni maana kile wao wanachojua ni kuwa alizaliwa na bi’Mariam na baba yake ni Yusufu kwahivyo asili yake ni duniani tu. 
Hivyo kwa hali hiyo iliwapa ugumu kukubali pale Yesu alipojitaja kuwa na asili ya mbinguni na kimsingi ndicho kilichokuwa chanzo kikubwa cha upinzani wao dhidi ya matamko ya Yesu.
Habu ona tena hoja ya Wayahudi pale Yesu alipoeleza uwepo wake wa milele’

Yohana 8: 56-58 

Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.57 Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.

Katika andiko hilo tena Wayahudi walipingana na Yesu kutokana na tamko lake lililoonyesha uhusiano wake na ukaribu na mzee Ibrahimu, kitendo ambacho kilifanya Wayahudi hao kumhoji kwa madai kuwa yeye ni kijana mdogo hasiyepata hata miaka hamsini anawezaje kuwa amemwona Ibrahimu?, na ndipo Yesu anajibu na kuwaambia bayana kuwa uwepo wake ni wa kabla ya Ibrahimu’ 58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Hivyo kwa mtazamo wangu binafsi ninaona kuwa tatizo la Wayahudi au wale wanaopinga Uungu wa Yesu kwasababu ya ubinadamu alokuwa nao au sababu ya kuzaliwa na Mariam tatizo lao kuu si hilo bali zaidi ni kutolewa kabisa msingi mzima wa asili ya Yesu kabla ya kuzaliwa kwake na Mariam.
Je’ Asili ya Yesu ni wapi?
Katika kujibu swali hili Bwana Yesu mwenyewe mara kadhaa aliwaelimisha Wayahudi juu ya ukweli kuhusu asili yake ili kuwasaidia kuondokana na dhana au mtazamo wa kumchukulia kama mtu mwenye asili ya kidunia na badala yake alitaka waone kuwa yeye alikuwako kabla ya kuja duniani kama mwanadamu kwa kusudi la ukombozi wa watu. Soma kwa makini maandiko haya:-

Yohana 8:23

Saturday, February 13, 2016

MUHAMMAD ALIKUWA ANAWAPIGA WAKE ZAKE - AISHA NA HAFSA

Ndugu msomaji,

Muhammad alikuwa na tabia ya kuwapiga wake zake, hususan Aisha na Hafsa.

SOMA KISA HIKI HAPA CHINI.

Sahih Muslim #2127:

Ilipokuwa zamu yangu kwa Nabii wa Allah kuwa nami usiku, aliingia na kugeuka, akavua joho lake na viatu vyake, na kuviweka karibu na miguu yake, na akajilaza kwenye kitanda mpaka alipo fikiria kuwa na mimi nimelala.

Basi akachukua joho lake taratiibu na kuvaa viatu vyake, na akafungua mlango na kutoka nje na kuufunga taratibu. Aisha akasema, na mimi nikajifunika kichwa changu, na kuvaa hijabu yangu na kujifunga nguo kiunoni mwangu, na baadae nikatoka nje na kumfuta Nabii wa Allah mpaka alipo fika Baqi.

Alisimama pale kwa muda mrefu. Na baadae akanyanyu mikono yake mara tatu, na baadae kurudi, na mimi vile vile nikarudi nyumbani. Alikuwa anatembea kwa haraka haraka, na mimi vile vile nilitembea kwa haraka haraka. Alikimbia, na mimi nikakimbia vile vile. Akaja nyumbani na mimi vile vile nilikwenda nyumbani, ingawa mimi nilkwenda kwa haraka kabla yake. Nilipo ingia tu na kujilaza kitandani, na Nabii wa Allah akaingia nyumbani, akasema: Hii ni nini, O' Aisha, mbona unahema sana? Nikamwambia, hakuna kitu. Akasema, Niambie au una mambo ya siri hautaki kuniambia.

Nikamwabia, Nabii wa Allah, baba na mama yangu wawe fidia kwako, halafu nikamwambia kila kitu bila kumficha kitu. Muhammad akasema, kumbe nilicho kuwa nakiona kwenye giza mbele yangu ilikuwa ni wewe? Nikamjibu, NDIO. Basi Nabii wa Allah, AKANIPIGA KWA NGUVU SANA KWENYE KIFUA CHANGU, na nilipatwa na maumivu makali sana. HALAFU AKASEMA, unafikiri Allah na Nabii wake wamekuonea?


Bukhari volume 8, #828

Amesema Aisha: Abu Bakr alikuja kwangu na akanipiga ngumi kwa nguvu sana na kusema, umewaweka watu kizuizini kwasababu ya mkufu wako. Lakini nilikuwa nimekaa kimya kama vile nimekufa, .......

Jamani, eti huyu ndie Nabii wa Allah. Hana jema zaidi ya kupiga wake zake, kisa, mke mtu kamfuata Baqi. Je, kama Muhmmad alicho kuwa anafanya ni jambo jema, kwanini aliondoka nyumbani kwake kimya kimya?

Kama kweli Muhammad hakwenda kufanya NDUMBA, kwanini alichukia pale alipo ambiwa kuwa Aisha na yeye alikuwa Baqi?

Hivi, kwanini MUHAMMAD ALIKUWA ANAPIGA WAKE ZAKE?

Hakika huyu hakuwa Nabii wa Mungu bali Allah mpinga Mungu.

Leo tumejifunza tena kuwa, kumbe katika Uislam, wanaruhusikwa kuwapiga wake zao. Huu ni MSIBA.

Max Shimba

For Max Shimba Ministries Org

Friday, February 12, 2016

QURAN INASEMA NINI KUHUSU YESU?



A. YAKIRI KUWA YESU NI MUNGU
B. YAKIRI KUWA YESU HANA DHAMBI
C. YAKIRI KUWA YESU ATAHUKUMU ULIMWENGU
D. YAKIRI KUWA YESU NI NENO LA MUNGU
Yafuatayo ni maswali amabyo Waislam wengi wamekuwa wakijiuliza, hivi Yesu ni nani kwenye Quran yao?
1. Yesu ni binadamu pekee aliye zaliwa kupitia Bikira na bila ya Baba wa kidunia. Hii ni sifa ya kipee ambayo hakuna Mtume au Nabii aliye nayo. 21. (Malaika) akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa. 22. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
2. Masia Yesu ni tofauti na binadamu wote kwasababu yeye anaitwa “Kalimatullah” (NENO LA ALLAH)
Masia, Isa mtoto wa Maryam, Nabii wa Allah na Neno lake” (Sura The Women 171; Sura al Imran 40).
3. Isa alizaliwa kutokana na Roho ya Allah; kwa sababu hii, hakuhitaji Baba wa kidunia.
Masia, Isa Mwana wa Maryam, Nabii wa Allah na Neno Lake ni Roho kutoka kwa Mungu..
(Sura The Women 169).
4. Isa ni motto pekee aliye weza kusema akiwa mchanga Only Isa spoke while in the cradle
30. (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.
(Sura Miriam 19:30)
Zaidi ya hapo, Isa hakuitaji mtu yeyote yule kumfudisha kusoma wala kuandika.
13Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya BWANA, au kumfundisha kama mshauri wake? 14Ni nani ambaye BWANA ametaka shauri kwake ili kumwelimisha, naye ni nani aliyemfundisha njia iliyo sawa? Ni nani aliyemfundisha maarifa au kumwonyesha mapito ya ufahamu?
(Isaiah 40:1,13-14)
5. Isa alikuwa ni Nabii thabiti na hakuwa na dhambi au kosa lolote lile. Mitume wote walitenda dhambi, na dhambi zao zimesemwa kwenye Quran na Taurat. Isa hakuwa na dhambi.
45. Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu). (Sura al Imran 45)
Vivle vile Al-Bukhari amefundisha kuwa Isa bin Maryam alikuwa ni mtu dhabiti na asiye an dhambi:
Shetani aligusa kila kiumbe wakati wa kuzaliwa kwake, ISIPOKUWA Yesu, Mtoto wa Maryam; Shetani alipo jaribu kumgusa alishindwa (Hadith of Sahih Bukhari Vol 4, Book 54)
6. Yesu hakuwa kama watu wengine, kwasababu Yesu aliweza kuumba Uhai kama Allah
49. Na ni Mtume kwa Wana wa Israili kuwaambia: Mimi nimekujieni na Ishara kutoka kwa Mola Mlezi wenu, ya kwamba nakuundieni kwa udongo kama sura ya ndege. Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa na wakoma, na ninawafufua maiti kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na ninakwambieni mnacho kila na mnacho weka akiba katika nyumba zenu. Hakika katika haya ipo Ishara kwenu ikiwi nyinyi ni wenye kuamini.
(Sura al Imran 49)
7. Isa ni nabii pekee aliye weza kujua siri iliyo ndani ya nyoyo za watu.
49. Na ni Mtume kwa Wana wa Israili kuwaambia: Mimi nimekujieni na Ishara kutoka kwa Mola Mlezi wenu, ya kwamba nakuundieni kwa udongo kama sura ya ndege. Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa na wakoma, na ninawafufua maiti kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na ninakwambieni mnacho kila na mnacho weka akiba katika nyumba zenu. Hakika katika haya ipo Ishara kwenu ikiwi nyinyi ni wenye kuamini.
. (Sura Al Imran 48)
8. Isa alifanya miujiza mikubwa mikubwa zaidi ya binadamu wote
Na ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa na wakoma …
(Sura Al Imran 48)
9. Isa alifufua watu kwa kutumia NENO
na ninawafufua maiti …
(Sura al Imran 48 & Sura The Table 110)
10. Isa ndie binadamu pekee aliye itwa Masiha “the Masih”
Masia, Isa Mwana wa Maryam, alikuwa Nabii wa Allah na Neno Litokalo kwake …
(Sura The Women 169)
Katika Taurat tunajifunza kuhusu asili hasili ya Masia:
5BWANA asema, “siku zinakuja, nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki, Mfalme atakayetawala kwa hekima na kutenda lililo haki na sawa katika nchi. 6Katika siku zake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa kwalo: BWANA Haki Yetu..
(Jeremiah 23:5-6)
11. Isa aligawana Mamlaka na Mungu
117. Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu
(Sura The Table 117)
12. Isa alikuwa ni Ishara ya Baraka kutoka kwa Allah
(Sura Miriam 20)
13. Isa alitoka ahadi ya maisha wakati wa siku ya ufufuo.
55. Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana
(Sura al Imran 55)
14. Isa atatoa hukumu kwa viumbe vyote;
El-Bukhari anasema kuwa:
Katika saa ya Mwisho, Isa Mwana wa Maryam atarudi na kuhukumu ulimwengu.
Leo nimekuonyesha kwa ushahid wa Quran na vitabu vya kiislam kuwa, hata Isa wao alifanya miujiza zaidi ya Allah na Mtume wake Muhammad.
Max Shimba Minsitries.

YESU ANAKIRI KWA MDOMO WAKE KUWA YEYE NI MUNGU. (SEHEMU YA PILI)

Ndugu Msomaji,
Leo nitaleta ushahidI zaidi wa Yesu akisema kwa mdomo wake kuwa yeye ni Mungu.
Waislam wamekuwa na tabia ya kusema na kuuliza, wapi Yesu kasema "Mimi Yesu ni Mungu" . Waislam wanasisitiza kuwa, lazima wapewe aya yenye maneno hayo. Leo kwa mara nyingine tena nitawapa aya ambayo Yesu anasema YEYE NI MUNGU.
YESU ANAJARIBIWA NA SHETANI.
Kwenye aya hapa chini, utasoma kuhusu Ibilisi alivyo mchukua Yesu na kwenda kumjaribu. SASA SOMA:
Mathayo 4: 5 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu, 6 akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
Kwenye hizo aya hapo juu, tumesoma kuwa Ibilisi anamjaribu Yesu, Ibilisi anasema kwa Yesu kuwa, ajitupe kutoka juu ya kinara, hilo lilikuwa ni jaribu la Ibilisi kwa Yesu. Ibilisi alitaka kuona kama Yesu atamsikiliza na kutenda hayo. Ingawa Yesu angewaza kujitupa kutoka huo mnara na kuwaamuru Malaika wake wangemchukua kutoka mikononi mwao, lakini KAMA ANGEFANYA HIVYO, basi angekuwa ametenda matakwa ya Shetani na kufuata maamrisho ya Shetani.
SASA SOMA NINI YESU ALIMJIBU SHETANI HAPA CHINI,
Mathayo 4: 7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
YESU ANATOA JIBU AMBALO WENGI WENU HAMKUWAI LIFIKIRIA.
1. Kumbuka Ibilisi alikuwa anamjaribu Yesu.
2. Kumbuka kuwa katika hayo majaribu, walio kuwepo ni (a) Mjaribu ambaye ni Ibilisi na (b) Mjaribiwa ambaye ni Yesu.
SASA BASI, MJARIBIWA AMBAYE NI YESU ANAMJIBU MJARIBU-SHETANI KUWA USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO.
Maswali ya kujiuliza:
1. Kwanini Yesu alisema usimjaribu Bwana Mungu wako, huku tukifahamu kuwa anaye Jaribiwa ni Yesu?
2. Kwanini Ibilisi hakupinga madai ya Yesu kujiita "BWANA MUNGU", huku Ibilisi akifahamu kuwa anaye mjaribu ni Yesu?
3. Kwanini Yesu hakukataa kuitwa Mwana wa Mungu katika aya ya 6?
4. Kwanini Ibilisi alimuita Yesu Mwana wa Mungu?
MJARIBIWA AMBAYE NI YESU, ANAMWAMBIA MJARIBU-SHETANI kuwa USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO?
Kwanini Yesu anaye jaribiwa na Shetani alisema umsimjaribu "BWANA MUNGU" na hakusema kuwa usinijaribu mimi Yesu?
Nivigumu sana kupinga Uungu wa Yesu, maana hata Shetani aliye kuwepo zama kwa zama, anakiri kuwa Yesu ni Mungu , na zaidi ya hapo, anamuita Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu "aya ya 6". Kwanini SHETANI HAKUMSHTAKI YESU kwa kujiita BWANA MUNGU?
Leo kwa mara nyingine tena nimejibu swali, wapi ilipo aya ambayo Yesu anasema yeye ni Mungu. Sasa swali langu kwa WAISLAM, je mpo teyari kumpokea Yesu aliye sema yeye ni Mungu?
SASA, nawakaribisha mje tujadili hii mada kwa utulivu na kwa kutumia aya za Biblia tu. Maana hicho ndicho kitabu pekee cha Mungu.
YESU KASEMA KUWA YEYE "BWANA MUNGU"
Mungu awabariki sana.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries

SIUTAKI UISLAM KWASABABU UNARUHUSU KULA FISI NA MIJUSI


==================================================
Sayyidina Ibn Ammar (RA) alisema kuwa, siku moja alimuuliza Jabir Jbn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji wa FISI. Alinijibu na kusema, inaruhusiwa kuwinda Fisi. Nilimuuliza, Je, tunaruhusiwa kula, na akanijibu kuwa Kula Fisi ni Halal (Inaruhusiwa kula Fisi).
Nikamuuliza tena, Je, Nabii wa Allah(SAW) aliruhusu kula Fisi? Jabir r alinijibu na kusema. NDIO, Nabii wa Allah aliruhusu kula Fisi.
[Abu Dawud 3801, T 1798, Ibn e Majah 3085, Ahmedl4456]
9- Kitabu cha HAJJ
MTUME MUHAMMAD ASEMA KULA NYAMA YA MIJUSI NI HALALSahih Muslim Kitabu 21, 4788 Idadi :
Ibn 'Umar taarifa kwamba kulikuwa na baadhi ya watu na Mtume wa Allah (amani iwe juu yake) miongoni mwa maswahaba wake alikuwepo Sad. Basi ililetwa nyama ya Mjusi na mwanamke miongoni mwa wake wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani iwe juu yake) alisema: Ni nyama ya mjusi. Hapo Nabii Muhammad alisema: Kuleni hiyo nyama ya Mjusi kwa kuwa ni halali…
Eti kula Nguruwe ni haram lakini wanakula Fisi na Mijusi
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction Muslims ...

TRENDING NOW