Tuesday, February 16, 2016

UTHIBITISHO WA MUHAMMAD KUMILIKI WATUMWA WA KIAFRIKA

Ndugu msomaji,
Leo nitwawapa uthibisho zaidi kuwa Muhammad alimiliki watumwa wa Kiafrika.
SOMA:
Mahusiano ya Kimbari (Race Relations) na Muhammud Kumiliki Watumwa Waafrika
"Anas alisimulia: Mtume alisema, ‘Msikilize na kumtii (chifu wako) hata kama ni Muethiopia ambaye kichwa chake ni kama zabibu kavu akifanywa kuwa chifu wako." Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 11 (Kitabu cha Wito wa Maombi) sura ya 54 na.662 uk.375 (pia Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 24 (Kitabu cha Jihad) sura ya 39 na. 2860 uk.196) Bukhari juzuu ya 1 kitabu cha 11 (Kitabu cha Wito wa Maombi) sura ya 55 na.664 uk.376 husema vivyo hivyo.
Kama ilivyosemwa mwanzoni, Muhammad alikuwa mmiliki wa watumwa aliyekuwa na mtumwa Mwafrika angalau mmoja. (Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 316 na.435 uk.407, juzuu ya 9 kitabu cha 91 (Kitabu cha Habari Zilizotolewa na Mtu Mkweli) sura ya 3 na.368 uk.275) Muhammad aliuza watumwa wake Waafriaka wawili ili aweze kumwacha huru mtumwa mwingine ambaye alibadilika kuwa Muislam Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 24 (Kitabu cha Jihad) sura ya 41 na.2869 uk.202. Zifuatazo ni dondoo.
"Kisha nilivaa nguo zangu na kwenda nyumbani kwa Mtume wa Mungu, na tazama, alikuwa anakaa kwenye chumba chake cha juu ambako mtumwa wake Mwafrika alikuwa (anakaa) kwenye kituo cha kwanza." (Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 316 na.435 uk.407)
"Umar alisimulia, "Nilikuja na tazama, Mtume wa Allah alikuwa anaishi kwenye Mashroba (chumba cha barazani) na mtumwa Mwafrika wa Mtume wa Allah alikuwa juu ya ngazi zake." (Bukhari juzuu ya 9 kitabu cha 91 sura ya 3 na.368 uk.275)
Jambo hili linafurahisha kwani Muhammad alimnunua mtumwa ambaye alikuwa amebadilika kuwa Muislam (labda kwa lengo la kumfanya kuwa huru.) Badala ya kumlipa mwenye kummiliki hela taslimu, Muhammad aliwauza watumwa wake wawili Waafrika. Mbari ya mtumwa wa kwanza haijaelezwa ila kwa sababu moja au nyingine ilionekana kuwa muhimu kuandika kuwa watumwa wawili ambao Muhammad aliwauza walikuwa Waafrika, na ilibidi wawe wawili ili aweze kumnunua mtumwa mmoja.
"Jabir (Allah apendezwe naye) aliripotiwa kusema kwamba kuna mtumwa aliyekuja na kutoa kiapo cha utii kwa Nabii Mtakatifu (amani na baraka za Mungu ziwe naye) kwani uhamaji (Hijra) na Nabii Mtakatifu (amani na baraka za Mungu ziwe juu yake) hakujua kwamba alikuwa mtumwa. Kisha mmiliki wake alikuja kumtafuta na Nabii Mtakatifu (amani na baraka za Mungu ziwe juu yake) alisema, ‘Muuze kwangu.’ Hivyo alimbadilisha na watumwa wawili Waafrika. Kisha Muhammad hakupokea kiapo cha utiifu toka kwa mtu yoyote baada ya hapo, mpaka hapo mtu atakapomuuliza: Je huyu ni mtumwa?" (Ibn-i-Majah juzuu ya 4 kitabu cha 24 (Kitabu cha Jihad) sura ya 41 na.2869 uk.202)
Hadithi za Bukhari zinapatikana kwenye mtandao wa kumpyuta katika tovuti:
Hii dini ya Uislam si ya Waafrika maana hata mtume wao alimiki Watumwa wa Kiafrika. Zaidi ya hapo ALIWATA MAJINA MABAYA WAFRIKA, eti wana PUA NENE, ETI WANA MACHOGO. Hakika hizi chuki kubwa kubwa hazipo kwenye Mitume wote wa Biblia bali kwa Mtume wa Allah aitwaye Muhammad.
Je, Muafrika ana haki ya kuwa Musialm?
Je, Allah anapenda Waafrika?
Kama kunauthibitisho wa Allah kusema anapenda Waafrika nileteeni hapa, leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Kwa mara nyingie tena tunajifunza kuwa Allah na Muhammad hakuwapendi Waafrika na hakuna aya hata moja kwenye Quran ambayo Allah anasema kuwa anawapenda Waafrika.
Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries Org.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW