Wednesday, May 18, 2016

MASHOGA WA KIISLAMU WAMEFUNGA NDOA NCHINI UINGEREZA


Wanawake wawili raia wa Pakistan Waislamu wa jinsia moja wamefunga ndoa nchini Uingereza.
Rehana Kausar, miaka 34, na Sobia Kamar, miaka 29,wameweka historia pale walipofunga pingu za maisha katika sherehe iliyofanyika kwenye ofisi ya msajili, kisha haraka wakaomba hifadhi ya kisiasa baada ya kuwa wamefunga ndoa, wakidai kwamba maisha yao yatakuwa hatarini kama wakirejea kwenye nchi yao ya asili.
Wakishuhudiwa na wasimamizi wao na marafiki wawili, wanandoa hao walivalia mavazi meupe asilia ya ndoa pale walipofunga ndoa mjini Leeds, West Yorkshire.
Wawili hao, kutoka mikoa ya Lahore na Mirpur ya Pakistan, walisema walipokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapinzani nchini Pakistan - ambako mahusiano ya jinsia moja ni kinyume cha sheria na kuchukuliwa ni kusaliti Uislamu.
Na tangu habari za ndoa yao mapema mwezi huu kuzagaa, wanandoa hao walidai kupokea vitisho vya kuuawa hata kutoka nchini Uingereza
Kabla ya zoezi hilo, hata msajili aliwashauri wawili hao kufikiria kwa makini kuhusu uamuzi wao wa kufunga ndoa sababu ya mtazamo wa baadhi ya Waislamu kuhusu mahusiano ya jinsia moja.
Kausar alisema: "Nchi hii inatupatia uhuru wa kuamua na ni uamuzi binafsi mno ambao tumeuchukua.
"Halimuhusu mtu mwingine yeyote kwa hili tunalofanya katika maisha yetu binafsi.
"Tatizo lililopo Pakistan ni kwamba kila mmoja anaamini ni nyapara wa maisha ya watu wengine na anaweza kuamua vema kuhusu imani za watu wengine lakini huo si mtazamo sahihi na tupo katika taifa hili sababu ya makasisi wetu ambao wameteka nyara jamii yetu ambayo ni jamii vumilivu na inayoheshimu uhuru wa watu binafsi."
Kamar, alimwelezea mpenzi wake kama 'mwenza wa kiroho' na alisema wanawake hao wawili walizama kwenye mapenzi.
Sheria za Pakistan hazitambui ndoa za jinsia moja na hakuna sheria kukomesha ubaguzi.
Wanawake wote walikutana mjini Birmingham kama wanafunzi ndipo wakahamia nchini Pakistan kutoka Uingereza.
Baadaye walianza kuishi pamoja kama wapenzi huko South Yorkshire, ambako walikaa mwaka mmoja kabla ya kuamua kufunga ndoa.
Jamaa mmoja alisema: "Wapenzi hao hawakuwa na ndoa ya Kiislamu, inayofahamika kama 'nikah', kutokana na kushindwa kumpata Imamu wa kuendesha kile kinachoonekana kama ndoa yenye utata.
"Wamekuwa majasiri wakati wote kutokana na dini yetu kukataza mahusiano ya jinsia moja.
"Wanandoa hao wamekuwa wakitishiwa maisha kote hapa na Pakistan na hakuna namna yeyote wanayoweza kurejea kule."
Wanafunzi wengi wa Sharia - Sheria ya Kiislamu wanatazama mahusiano ya jinsia moja kama ni dhambi inayostahili adhabu kali.
Hakuna adhabu maalumu iliyotajwa lakini katika kesi nyingi za watu mashoga wanaopatikana na hatia huweza kuhukumiwa kifo.

MASHOGA WA KIISLAM WAFUNGUA MSIKITI WAO KANADA, MAIMAMU WA KIKE KURUHUSIWA KUONGOZA IBADA.


Kundi la mashoga nchini Canada limetangaza mpango wa kufungua umoja na kujenga msikiti katika mji wa Halifax ulioko mashariki ya nchi hiyo jimbo la Nova Scotia ambapo jamii ya mashoga, waliobadili jinsia na maimamu wanawake wataruhusiwa.
Kwa mujibu wa Syed Adnan Hussein mwanachama wa 'mambo ya kipuuzi' alisema wanampango wa kufungua msikiti huo kwa kuwa wamekuwa wakitengwa na kubaguliwa.
Aidha ameongeza kuwa msikiti huo utaruhusu maimamu wa kike katika ibada ya swala. Pamoja na kwamba hakuna takwimu sahihi ya mashoga katika Nova Scotia, Hussien amedai ni muhimu kupata sehemu ya ibada kwa ajili ya watu wa aina yao.
Mwanazuoni wa kiislamu aliyeko huko Halifax profesa Jamal Badawi anayefundisha chuo kikuu cha Saint Mary amesema kwanza kwa kufanya hivyo ni kupingana na mafundisho ya uislamu.
Amesema uislamu umeharamisha ndoa za jinsia moja, ushoga na kubadilisha jinsia. "Qurani imesema wazi ushoga haukubaliki, hivyo hawatengwi wala hawabaguliwi wanaambiwa mnachofanya ni haramu acheni", alisema profesa Badawi.
Aidha aliongeza kuwa, "Kila mtu ana haki ya kukubaliana au kutokubaliana na mawazo ya mtu yeyote. Lakini ubaguzi umekatazwa katika uislamu, kwamba sisi sote tunapaswa kuwa dhidi ya ushoga".
"Misikiti yote, kila mtu anakaribisha kufanya ibada bila kujali rangi wala jinsia", alisema Imam Ibrahim Alshanti.
Novemba mwaka jana, mashoga nchini Ufaransa katika mji wa Paris walifungua msikiti unaoruhusu wanawake kuingia bila ya hijabu.

KUMBE QURAN INARUHUSU KUNYWA POMBE


1. KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI WA MVINYO?
2. KWANINI MASWAHIBA WA MUHAMMAD WALILEWA KAMA WENDAWAZIMU?
Je Muhammad hakunywa pombe au Quran imekataza pombe hilo ndo swali la kujiuliza. Ukipitia aya za Quran na hadithi za Muhammad utakuta mtume saw alikunywa pombe na pia Quran inaunga mkono na kuruhusu jambo hilo. Bila shaka kuna baadhi ya watu watapinga na kutoa maneno ya kashfa pamoja na matusi lakini lazima ukweli uwekwe wazi.
Kabla ya yote ebu tutazame aya zinazokataza pombe katika Quran
Quran 2:219. Wanakuuliza juu ya ULEVI na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa namanufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Nawanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri.
Hilo neno dhambi katika baadhi ya tafasiri za kiingereza limetumika Harm kama ifuatavyo na katika tafasiri ya kiarabu hamna neno dhambi ktk aya hiyo …….
Qur’an 2:219 ''They ask you concerning alcoholic drinks and Games of Chance, Say: In them are harm and goods for men, but their harm exceeds their good effects.'
[219] They ask you about drinking and gambling. Say, "There is great harm in both, though there is some benefit also for the people. But the harm of the sin thereof is far greater than their benefit . by Sayyid Abul Ala Maududi - Tafhim al-Qur'an - The Meaning of the Qur'an
Kwahiyo ktk aya hii hakuna amri ya kukataza pombe moja kwa moja, huko mbele tutaona zaidi, ingawa hiyo aya ilikuwepa waislam na Muhammad bado waliendelae kunywa pombe.
Quran 4 :43. Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali MMELEWA,………
Hii aya haikatazi pombe bali inatoa ushauri juu ya waislam ambao walikuwa wana Sali huku wamelewa. Aya inasema msikaribie sala huku mmelewa, KUMBE BASI WANALEWA WAKIWA MAJUMBANI MWAO NA KABLA YA SALA.
Qur’an 5: 90. Enyi mlio amini! Bila ya shaka ULEVI, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa
Aya zinazoruhusu pombe ktk Quran
Quran 16: 67. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ULEVI na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili
Quran 47:15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ULEVI yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Je hadithi za mtume Muhammad zinasemaje kuhusu pombe?
Hadithi au Sunnah ni maneno na vitendo ambavyo Mtume Muhammad alikuwa akisema au akifanya katika kipindi chake cha utume. Hadithi hizi ni moja ya miongozo ya imani kwa Waislamu. Hadithi hizi zinajumuisha pia mambo aliyoyaona, kuyasikia au kuyatenda katika muda wa utume. Na hadithi zilikamilika chini ya usimamizi wa Makhalifa wa Abbasid miaka 200 baada ya muhamad kufa.
MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI WA MVINYO:
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA"
Biblia ishaonya vileo kabla ya Muhammad, na Muhammad anadai anasadikisha ya manabii waliopita, swali halishindwa kusadikisha ayah ii ifuatayo mpaka akanywa mvinyo mkali? Tazama…
Isaya 5:22 Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu kuchanganya vileo;
Muslim-3721 Mtume wa Allah alikuwa anatumia chombo(bakuli) cha jiwe kunywea mvinyo mkali.
Mithali 23:31,32 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu.Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.
(Muslim-AlHayd-451). Aisha alikuwa anammiminia mvinyo mtume wa Allah asubuhi na usiku na pia alikuwa anampelekea ndani ya msikiti.
ETI MALAIKA WA ALLAH NAO WANAKUNYWA POMBE:
Kuna habari ya Malaika walikuwa wanamuliza mwanamke maswali lakini Yule mwanamke hakuwajibu maswali yao mpaka wanywe pombe, nao wakanywa pombee wakalewa na kuua mtoto. (Musnad Ahmad- Musnad almukathareen-5902)
MASWAHIBA WA MUHAMMAD WALIKUWA WALEVI:
Hamza alikunywa mpaka Muhammad akaogopa maana alilewa mpaka akawa kama mwendawazimu. (Bukhari-V,4-B,53-324)
Anas Bin Malek alikuwa akitumika kuwahudumia watu mvinyo (Muslim: 23.4884, 4886)
Mujahedeen walikunywa pombe na kulewa ktk vita vya Uhud. (Bukhari-V4, B52, Nr 70)
Makhalifa (warithi) wa muhamad wanywa pombe (the protectors of Islam)
Yazid I (680-683): alikuwa mtoto wa Muawiyah. Alilewa kila siku mpaka akapata jina la Yazid al-Khumur, Yazid mlevi.
Abd al-Malik (685-705): Alikuwa anakunywa pombe mara moja kwa mwezi; alikuwa anakunywa san asana mpaka inambidi atumie dawa za kuzuia kutapika ili aendelee kuitunza pombe yake aliokunywa.
Al-Walid I (705-715): Alikunywa na kulewa kila siku.
Hisham ((724-743): Alikunywa mvinyo kila ijumaa baada ya swala..
Al-Walid II (743-744): Mtoto wa Yazid ’. Aliogelea kabisa ktk ziwa la pombe mpaka akashindwa kujitambua kabisa mpaka alikuwa aki shuti vipande vya Quran kwa kutumia upinde na mshale.
Pia Khalifa wa Abbasid al-Mamun aliyetawala mwaka 813-833 baada ya Muhammad alikuwa mlevi wa mvinyo kila siku.(Hitti, p.306). Na Makhalifa wa Abbasid ndo waliokusanya hadithi nyingi za muhamad, na pmj na hadithi mashuuri sana ya sahih Bukhar ilikamilika mwaka wa 830-840, miaka 200 baada ya muhamad. Na pia ndio dola ya kwanza ya kiislam(makhalifa) baada ya Rashidun na Ummayed kaliphate kupiga marufuku pombe. Kwaiyo kuanzia Muhamad mpaka ukhalifa wa Abbasid bado waislam walikuwa wanakunywa pombe.
Rejea: ( Mishkah, vol. ii, pp.172-3;; Sahih Bukhari, ibn Hanbal, Musnad (Cairo, 1313), vol.i, pp. 240,287, 320 vol. vi, p.232 (History of the Arabs; Philip K. Hitti, ch. xxvi, p.337)
HITIMISHO
Tumeona jinsi Quran inavyojipinga yenyewe kuhusu pombe, mara inakataza mara inaruhusu, pamoja na kutoa ahadi za ulevi kwa watakao fika katika pepo ya Allah.
Kwaiyo Quran haina jibu la moja kwa moja juu ya pombe. Pia tumeona jinsi mtume wa Allah Muhammad alivyokunywa pombe pamoja na wafuasi wake. Tumeona jinsi malaika wa Allah walivyo kunywa pombe. Na pia tumeona waislam waliendelea kunywa pombe baada ya Muhammad mpaka ilivyokatazwa na makhalifa wa Abbasid miaka 200 baada ya Muhammad. Kwaiyo nawaonya waislam wote kabla hamjawakosoa wakristo kwa jambo lolote mvichunguze vitabu vyenu kwanza. Maana huko vitabuni mwenu kuna viroja vya kutosha ambavyo mamuma wa kiislam hawavijui. Neno la Bwana linasema ktk Mika 2:11 Mtu akienda kwa roho ya uongo, akinena maneno ya uongo, akisema, Nitakutabiria habari ya mvinyo na kileo; mtu huyu atakuwa nabii wao watu hawa.
Bwana Yesu anasema Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.(Marko 1:15) na Mtume Petro anakazia hapo kwa kusema
Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Matendo ya Mitume 2:38
Karibuni Kwa Yesu waislam
Bwana Yesu apewe sifa

KUMBE ALIYEANDIKA QURAN ALIKUWA NA SHETANI?



Mtu wa Awali, aliyejifundisha kusoma na kuandika katika Mji wa Makka alikuwa Bwana Harb bin Umayya-babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa Yaman, na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa Makka.
Wakati Mtume alipopata utume walikuwako watu 6 tu katika Makka waliokuwa wakijiua kuandika. Wa 4 katika yao waliingia katika Uislamu, wakawa ndiyo waandikaji "Wahyi" (aya za Qur'an), watu hao walikuwa ni Sayyidna Abubakar. Sayydna Umar, Sayyidna Uthman na Sayyidna Ali.
(Kitabu cha Maisha ya Nabii Muhammad uk. 8,na Sheiky A.Falsy)
SAYYIDNA ABUBAKAR,
Abubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)
SASA KAMA KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWA NINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI?

KUMBE ALLAH NI MUISLAM NA YEYE ANASWALI NA KUTAWAZA KAMA VIUMBE

Jamani eeeh, huu ni MSIBA kwa ALLAH:::::
Ndugu zetu wa kambo wanasema kuwa eti Allah ni Muislam. Basi leo hii mimi nimekubali kuwa Allah ni Muislam, lakini kuna mambo machache ningependa tuyaangalie:
ALLAH ANASWALI:
Quran 33: 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu
Hapo Allah na Malaika wake wanamswalia Mtume Muhammad. Kumbe Allah na yeye anaswali kama viumbe. Hebu endelea kupata darsa
KABLA YA SWALA WAISLAM WOTE LAZIMA WATAWAZE
Kumbe Allah na yeye kabla ya swala lazima afanye "Taharah" ILI ATOWE "Najas".
KUMBE BASI NDIO MAANA ALLAH ANAOMBA KUTAKASWA JIONI NA ASUBUHI KABLA YA KUMSWALIA MAREHEMU MUHAMMAD.
ALLAH ANAOMBA MUMTAKASE ASUBUHI NA JIONI. JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI MPAKA AOMBE KUTAKAWASA?
((Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa wingi wa kumdhukuru)) ((Na mtakaseni asubuhi na jioni)) ((Yeye na Malaika Wake ndio Wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini)) ((Maamkiano yao siku ya kukutana Naye yatakuwa: Salama! Na Amewaandalia malipo ya ukarimu)) [Al-Ahzaab: 42-44]
Al-Ahzaab 33: 41-42,
41. Enyi mlio amini! Mdhukuruni Mwenyezi Mungu kwa wingi wa kumdhukuru.
42. Na mtakaseni asubuhi na jioni. http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Kufuatana na Surah Al Baqara, Allah anapenda watu ambao wanajisafisha. Lakini kama kukiwa hakuna maji basi Muislam anarughusiwa kufanya Tayammum ambayo ni "wudu" na au "ghusl". Si mnajua tena kule kwa Allah hakuna maji....
MASWALI:
1. Kwanini Allah aswali kama viumbe?
2. Kwanini Allah afanye "tahara" ili kutoa Najis?
3. Ni uchafu gani huo allah huwa anatoa/usafisha?
MaSwali haya yameenda shule. Nategemea wafuasi wa allah wataleta ayat kusaidia majibu zao bila ya Matusi.
Watakabahu

KUMBE QURAN IMECHAKACHULIWA NA IMEJAA SHAKA

Ndugu msomaji,
Bila ya kupoteza muda taunaanza na aya kutoka Quran inayosema kuwa, Allah alikuwa anafuta aya zake mwentewee. Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Quran 2:106
Aya yoyote TUNAYOIFUTA AU KUISAHAULIZA tunaleta iliyo bora kuliko hiyo au iliyo mfano wake. Hujui kuwa Mwenyezi Mungu anao uwezo juu ya kila kitu?
Kwanini Allah alikuwa anafuta aya zake? Je, tutawezaje iamini Quran iliyi futwa futwa?
Mwandishi maarufu wa Kiislamu-Caliph Uthman aliandika Quran na kuchoma aya ambazo hakupendezwa nazo! (Sahih Bukhari 6:61:510)
Hakuchoma tu aya za kuran bali Sura nzima ya kuran ilipotea na kusahaulika. (Sahih Muslim 5:2286)
Vile vile, aya zingine zilifutwa kwa maksudi. (Bukhari 6:61:527).
Mohammad aliwaagiza waislamu kujifunza uislamu kutoka kwa kuran ya Ubai na wala sio ambayo Zayd Ibn Thabit aliandika (ambayo ni ya kisasa) tazama (Bukhari 6:61:521).
Ibn Sad (Kitab al-Tabaqat al-Kabir vol.2 p.444 ) inasema kuwa maandiko ya kuran ya Zayd Ibn Thabit ni tofauti na ya Muhammad. Kwa hivyo waumini wamepotoshwa kwa kukariri kuran hiyo ya kisasa.
Jami At-Tirmidhi 3104 vile vile anasema kuran iliyopo sasa ni feki-ya Zayd Ibn Thabit.
Katika kufanya marekebisho mengi kwenye kuran watu walikuja na nakala tofautitofauti za kuran (Jami at-Tirmidhi 3104) hivyo kulikuwa na mtafaruku miongoni mwa wafuasi wa mohammad kwa sababu zilikuwa tofauti.
Kuran ya Ibn Masood ilikuwa na sura 111, ya Ubay ilikuwa na sura 116 na kuran ya Zayd (ambayo ndio inatumika sasa hivi) ina sura 114. Tazama (Ibn Daud , Kitab al-Masahif).
Hata zile zilizotajwa kuwa feki hazikuhifadhiwa kwa sababu mbuzi alikula sehemu ya aya zake (Sunan Ibn Majah 1934/1944).
Hivyo hamna aliyeandika kuran hadi baadhi ya waliokuwa wanakariri mafunzo ya Mohammad kufa na kulikuwa na hofu kuwa aya zilizosalia zingepotea kabisa (Bukhari z6:61:509).
Hivi ndivyo Zayd Ibn Thabit alipata kuandika kuran ambayo tunayo leo hii kutoka kwa shuhuda za wakariri waliobaki (kurasa chache tu kutokana na miaka 23 ya ufunuo).
MASWALI NYETI YAIBUKA HAPA;
1. Kwanini Allah alikuwa anafuta aya za Quran?
2. Kwanini Caliph Uthman alichoma aya za Quran?
3. Kwanini waislamu wanaficha ukweli kuhusu dini yao?
TAFAKARI HAYO NA UCHUKUWE HATUA!
Max Shimba Ministries Org

YESU ATABIRI KUWA MTU MWENYE SIFA KAMA "MUHAMMAD SAW" NI MTUME NA NABII WA UONGO


Ndugu msomaji,
Mara nyingi Waislam wamekuwa wakisema kuwa, eti, Yesu alitabiri kuja kwa Muhammad, pale alipo sema kuhusu Roho wa Kweli, la hasha.
Nabii ni mtu gani?
Nabii ni mtu aliyeteuliwa rasmi kwa vigezo vya Kiungu ili kuleta ujumbe wa Mungu kwa wanadamu, kwa maneno mengine nabii ni msemaji wa siri za Mungu.
Nabii: Ni mtu ambaye ni msemaji wa Mungu (a mouthpiece of God) .Husimama kati ya Mungu na binadamu, mwenye jukumu la kupeleka ujumbe wa Mungu kwa watu. Nabii anapokuwa msemaji wa Mungu, huvuviwa na Roho wa Mungu, bila ujumbe wake kuwa na makosa. Nabii hujizuia kabisa utashi wake, nafsi yake, na mawazo yake, anapokuwa anatoa ujumbe wa Kinabii toka kwa Mungu. Wakati mwingine Mungu mwenyewe hutia maneno yake vinywani mwao (Kum 18:18, Yer 1:9). Nabii ni mtumishi wa Mungu (Zekaria 1:6) na mjumbe wa Mungu 2 Nyak 36:15).
Ni kweli kuwa Yesu alitabiri kuja kwa manabii, lakini kamwe hakusema lolote kuhusu utume wa Muhammad zaidi ya kukiri kuwa watu wenye sifa kama za Muhammad ni Mitume na Manabii wa Uongo.
Miongoni mwa wanadamu wanaoitwa nabii na mtume, ni mtu aitwaye Muhammad s.a.w ibn Abdullah, ibn Abdu Mutallib, ambaye ni mtume na nabii katika dini ya Kiislamu.
Pengine wewe msomaji wa somo hili unaweza kushangaa ni kwa vipi sisi ambao si Waislamu bali Wakristo tuanze kuhoji habari za Muhammad s.a.w mtume wa Waislamu? Jibu lake ni kwamba kitabu cha Qur’an kinachotumiwa na Waislamu kimetutaja sisi Wakristo mara 62 kikitutaka kuupokea, kuuamini na hatimaye kuufuata ujumbe wa Muhammad s.a.w kwa madai ya kuwa yeye ni nabii na mtume wa mwisho hata kwetu Wakristo, aliyetumwa na Mungu.
YESU ATABIRI KUHUSU MTUME WA UONGO AMBAYE NI MUHAMMAD
Tahadhari ya Bwana Yesu: Bwana Yesu alipokuwa hapa duniani alituonya kuhusu kuwatambua manabii na mitume wa uongo kabla Muhammad hajazaliwa (amezaliwa 570 B.K), wala kabla Uislamu haujaanzishwa na Muhammad mwaka 610 B.K, wala kabla ya kuwepo kitabu kinachoitwa Qur’an. Tunayasoma maonyo hayo ya Bwana Yesu katika

JESUS WAS RICH

JESUS WAS GIVEN GIFTS AS A CHILD AGED APPROXIMATELY 2 YEARS OLD

Jesus was given gifts of gold, frankincense, and myrrh as a 2 year old child. The frankincense and myrrh were worth more than the gold!
Matthew 2: 11, "And when they had come into the house, they saw the young Child with Mary His mother, and fell down and worshiped Him. And when they had opened their treasures, they presented gifts to Him: gold, frankincense, and myrrh."
JESUS HAD A HOME AND A FAMILY BUSINESS
Jesus inherited His earthly father Joseph's home, and also Joseph's family business, according to the culture of His day, since He was the eldest Son
Jesus was not just carpenter. His business was a family business, probably called "Joseph and sons." Jesus was actually a builder of houses, as well as the tables and chairs in them! He built houses, complete with the roof, walls, doors, windows, tables, chairs and beds. In Israel today can be seen replica New Testament villages.
The two main businesses in Israel during the lifetime of Jesus were the building of homes, and fishing. Fishing was the high tech industry of the day, feeding thousands of people every day on the Via Maris, as well as the entire population of Israel. Jesus' disciples were the New Testament equivalent of today's City Traders!

JESUS CHRIST HAS ALWAYS BEEN A MASTER OF MASTER BUILDERS, AND IS NOW THE MASTER BUILDER OF OUR LIVES
Jesus Christ created the entire universe
Jesus Christ created the entire universe, in six days (please see our teaching on Creation: The Genesis Account on this web site). The Bible records:
- John 1:1-3, "In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was in the beginning with God. All things were made through Him, and without Him nothing was made that was made".
- Colossians 1:15-17,"He is the image of the invisible God, the firstborn over all creation. For by Him all things were created that are in heaven and that are on earth, visible and invisible, whether thrones or dominions or principalities or powers. All things were created through Him and for Him".
Jesus Christ's occupation was Master Builder
Jesus Christ's occupation was a master builder before His Earthly ministry.
Jesus Christ is now the Master Builder of our lives
Jesus Christ is still the Master Builder, transforming us, little by little, into His Likeness. According to 1 Corinthians 6:19, "Your body is the temple of the Holy Spirit who is in you".
Jesus Christ builds our lives, as recorded in 2 Corinthians 3:18-4:1, "But we Christians have no veil over our faces; we can be mirrors that brightly reflect the glory of the Lord. And as the Spirit of the Lord works within us, we become more and more like him" TLB.
Jesus Christ is the best possible foundation on which to build our lives
Jesus said, in Luke 6:47-49, "Whoever comes to Me, and hears My sayings and does them, I will show you whom he is like. He is like a man building a house, who dug deep and laid the foundation on the rock. And when the flood arose, the stream beat vehemently against that house, and could not shake it, for it was founded on the rock. But he who heard and did nothing is like a man who built a house on the earth without a foundation, against which the stream beat vehemently; and immediately it fell. And the ruin of that house was great."
Jesus is now the Master Builder of our lives.
JESUS CHRIST WORE EXPENSIVE CLOTHING

Friday, May 13, 2016

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI? (SEHEMU YA TATU)

Rafiki zetu wameanza kuweka majibu yao kwa kujaribu kutoa maelezo kuhusu swala la Allah kumtaka Muhammad asilimu kwa kusema kuwa sio kila unapotamka shahada maana yake unasilimu kwa maana ya kufanyika Muislamu, lakini pia wanasisitisa kuwa Muhammad mwana wa Abdallah na Amina ni muislamu tangu kuzaliwa kwa mujibu wa aya ya 30:30.
Lakini tukimakinika vyema utagundua hakuna jipya analotuelezea rafiki yetu, kwani kwa Mujibu wa aya nilizotangulia kuzitoa na naomba kurejea aya ya 6:14
" 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. "
http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/without/6.htm
Katika aya hii Muhammad hajapewa amri ya kutamka shahada , la, bali ametakiwa asilimu na katu asiwe miongoni mwa WASHIRIKINA; Hapa pia inabidi kuwakumbusheni swali nililotangulia kuuliza; Hivi je kabla ya amri hii alikuwa Muhammad miongoni mwa MAKAFIRI, WASHIRIKINA? Lakini pia aya hii ni Amri wala kamwe hatujaonyeshwa wapi alipotii amri hii mwana wa Amina.
Tukumbuke pia mazingira alolelewa ndani, yalikuwa mazingira ya kishirikina, kwa maana nimetoa ushahidi kuwa Babu yale, na hata Ami yake walikuwa Makafiri , washirikina na ndio waliomlea. hawa walezi wake walikufa katika hali hii ya ujahiliya.
Sitashaangaa endapo baadhi ya Waislamu kama Ibrahimu, watasema kuwa baba wa Muhammad alikuwa mwislamu. Hata hivyo, huyu mtu alikufa kabla hata ya Muhammad kuzaliwa. Na je, Muhammad mwenyewe anasema nini kuhusiana na baba yake?
Tunasoma hivi:
Anas reported: Verily, a person said: Messenger of Allah, where is my father? He said: (He) is in the Fire. When he turned away, he (the Holy Prophet) called him and said:Verily my father and your father are in the Fire. (Sahih Muslim, Book 001, Number 0398).
عَنْ أَنَسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَجُلا قَالَ : يَا رَسُولَ اللَّهِ ، أَيْنَ أَبِي ؟ قَالَ: ((فِي النَّارِ)) فَلَمَّا قَفَّى دَعَاهُ ، فَقَالَ: ((إِنَّ أَبِي وَأَبَاكَ فِي النَّار)) مسلم
Yaani:
Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeka kuondoka, (Mtume mtakatifu) akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.

TRENDING NOW