Tuesday, May 24, 2016

UTHIBITISHO: ALLAH NI KIUMBE NA SIO MWENYEZI MUNGU

1. Allah ana uso kama viumbe
2. Allah ana vaa Nguo kama viumbe
3. Allah ana kaa kwenye Kiti kama viumbe.
4. Allah ana mikono kama viumbe
5. Allah ana Miguu na nyayo kama viumbe
Ndugu zanguni,
Natanguliza kwa kusema huu ni Msiba Mkubwa sana kwa ndugu zetu kwa kupitia Adam wanao pinga kuwa Allah hana mfano.
Leo nitawawekea mifano kadhaa kama ushahid kuwa Allah ni kiumbe.
Haya, ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu huyu Allah kiumbe.
ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO
1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE

KWANINI KWENYE QURAN HAKUNA JINA LA YEHOVA?



Ndugu wasomaji,
Biblia ilikuwepo miaka 671 kabla ya Quran imetamka kuwa, Mwenyezi Mungu Jina lake ni Yehova [ يهوه yahuh]. Lakini cha ajabu, hakuna aya hata moja kwenye Quran inayo kiri kuwa Allah ni Yehova [ يهوه yahuh].
Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
Hebu tuanze kwa ushahidi wa aya kutoka Biblia takatifu:
Katika Biblia, Mungu anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu.” (Isaya 42:8) Ingawa ana majina mengi ya cheo kama vile “Mungu Mweza-Yote,” “Bwana Mwenye Enzi Kuu,” na “Muumba,” anawaheshimu waabudu wake kwa kuwaalika wamwite kwa jina lake la kibinafsi.—Mwanzo 17:1; Matendo 4:24; 1 Petro 4:19.
Yehova ni tafsiri ya jina la Mungu katika Kiswahili ambayo imekuwa ikitumiwa kwa miaka mingi. Ingawa wasomi wengi hupendelea kuliandika “Yahweh,” Yehova ndilo jina linalojulikana na watu wengi zaidi na lipo kwa lugha ya Kiswhaili.
Biblia inamtaja Yehova kuwa Mungu wa Kweli, Muumba wa kila kitu. (Ufunuo 4:11), lakini kwenye Quran Allah anaogopa kujiita Yehova. Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
SASA NAWAULIZA WAISLAM:
1. Ipo wapi aya kutoka Quran ambayo Allah anaitwa Yehova?
2. Ipo wapi aya kutoka Quran ambayo Allah anathibitisha Isaya 41:8?
3. Kama Allah ni Mungu wa Adam, Ibrahim, Musa, nk. Kwanini amekataa kujitambulisha kwa jina lake la Yehova? Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
KAMA KUNA MUISLAM ATAKUJA NA AYA KUTOKA QURAN NA KUTHIBITISHA KUWA ALLAH NI YEHOVA. BASI LEO HII NITAUKANA UKRISTO WANGU NA KUWA MUISLAM. LEO MTANISILIMISHA HAPA HAPA.
Bila ya jazba wala nini, Waislam naombeni mnipe aya kutoka Quran. NATAKA KUSILIMU NA KUWA MUISLAM.
Max Shimba Ministries Org

Sunday, May 22, 2016

MWINJILISTI UMAR MULINDE ALIYEHARIBIWA KWA TINDIKALI BAADA YA KUHAMA UISLAMU, AMSHUKURU MUNGU KWA UPONYAJI -


Ikiwa takribani miaka mitano ipite tangu mwinjilisti Umar Mulinde kujeruhiwa vibaya kwa kuharibiwa mwili kwa tindikali aliyomwagiwa na watu wanaosadikiwa kuwa waumini wa dini ya kiislamu waliokuwa wakipinga hatua yake ya kubadili dini na kuwa Mkristo, hapo juzi mwinjilisti huyo alifanya ibada maalumu ya shukrani kukumbuka namna tukio hilo lilivyotokea na kumuharibu kabisa sura yake yenye mvuto. Katika jumble wake kupitia okras wake wa Facebook mwinjilisti huyo aliandika namna ambavyo kupitia nguvu ya maombi na neema ya Mungu ilivyomponya katika tukio hilo la kuogofya, bila kusahau kutaja madaktari waliomuhudumia huko nchini Israel ambako alihamishiwa kupata matibabu yaliyokwenda sambamba angalau kurudisha sura yake kwenye muonekano mzuri. Mwinjilisti Umar Mulinde raia wa Uganda ambaye baba yake ni imamu wa msikiti nchini humo, alikuwa mmoja wa vijana waliokuwa na imani kali ya uislamu na hata kufikia hatua ya kuwachukia kupita kiasi waumini wa dini ya Kikristo likiwemo taifa la Israel, hata hivyo mambo yalibadilika baada ya kukutana na Yesu ambaye alimbadilisha maisha yake ambapo aliapa kutorudi nyuma kamwe licha ya tukio hilo kubwa na vitisho anavyopata kutoka kwa waumini wa dini aliyokuwepo awali. Unaweza kutazama na kusoma zaidi habari za mwinjilisti huyu kuanzia alipomwagiwa tindikali mpaka hali aliyonayo sasa kwa Kubonyeza HAPA. https://www.facebook.com/mulinde.umar

ALLAH NA MUHAMMAD HAWAPENDI WANAWAKE WA KIAFRIKA WA KIISLAM

Leo nina maswali matatu tu kwa wanawake wa Kiislamu.
Kabla sijawauliza maswali kwanza niwashirikishe ahadi za Yesu ambaye amekuwepo zaidi ya miaka 570 Kabla ya Muhammad, yeye alisema:-
Luka 20:34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;
35 lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi;
36 wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
Yesu anasema kuwa katika ufalme wa Mungu, watu hawataoa wala kuolewa, watakuwa sawa na malaika kwa sababu Malaika hawaoi wala kuolewa, na pia katika kuurithi ufalme wa Mungu sawasawa na Ibrahimu, hakuna upendeleo wa mwanaume au mwanamke, maana wote ni sawa mbele za Mungu,
Wagalatia 3:27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Wanaume na wanawake ambao wamemwamini Yesu na kubatizwa kisha wakafanya mema, hao watakuwa warithi sawasawa bila kuwekwa daraja kwa wanaume kuwa juu kuliko wanawake au wanawake kuwa juu kuliko wanaume, katika ufalme ambao watu wa Kristo tutakuwa pamoja na Ibrahim na manabii wote wa kweli.
Mathayo 8:11 Nami nawaambieni, ya kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi pamoja na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo katika ufalme wa mbinguni;
Ufalme ambao wafanyao udhalimu watatupwa nje wakitaka kuingia, Yesu atawazuia kwa sababu hawakutaka kuwa Watakatifu,
Luka 13:27 Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.
29 Nao watakuja watu toka mashariki na magharibi, na toka kaskazini na kusini, nao wataketi chakulani katika ufalme wa Mungu.
Huo ndo ufalme wa Mungu wa kweli ambao watu waliomwamini Yesu wataingia, usio na Upendeleo.
Maswali yangu matatu yanatokana na aya za Quran ambazo zilisemwa na Muhamnad, kuhusu pepo, akitoa ahadi kwa wanaume, Ilisemwa, 👇🏻
Quran 52 SUURATUR RAHMAAN

UTHIBITISHO: ALLAH NA MUHAMMAD WAMEMKOPIA MTUME PAULO




1. Quran imegezea Biblia kwa asilimia kubwa.
2. Allah hakuteremsha Wahyi kwa Muhammad.
3. Mtume Paulo ni akbar
Huu ni msiba Mkubwa sana.
Ila Biblia ni kitabu cha vitabu ambacho hakija copy wala hakitoi rejea ya vitabu, bali inajisimamia yenyewe.
Quran
Imebeba taarifa zilizo katika Biblia. Mfano
Habari za Yusufu ambaye Biblia inamwongelea miaka 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul Yusufu)
Habari za familia ya Imran baba yao Musa, Haruni na Miriam, ambayo biblia inawaongelea miaka 3000 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul imran)
Habari za Yona mwana wa Mittai(Yunus bin Matta), ktk quran ipo sura yake nzima.
Ibrahimu baba wa imani, ambaye biblia inamwongelea miaka zaidi ya 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura inayoitwa sulatul Ibrahimu.
Bikira Maria, mama yake Yesu, ktk quran ipo sura yake inayoitwa sulatul Maryam
Habari za Elisha, Eliya, Daudi, Seleman, Haruni, Musa, Isaac, Yakobo, Ishamael, Enock, Lutu, Nimrod, Yethro, Zakaria, Yohana mbatizaji na Bwana Yesu Kristo.
Wote hao visa vyao vinapatikana katika Quran ingawa havina habari za kina juu yao km ilivyo ktk Biblia.
Waislam wanasema na kudai kuwa habari hizo muhamad alipewa wahyi(ufunuo) ila quran inabainisha kuwa alisimuliwa, maana huwezi pewa ufunuo kwa hbr zilizo bayana.
Quran inasema hivi....
Quran 4:164 Tuliwapelekea wahyi mitume tuliokuhadithia hbr zao zamani na mitume ambao hatukukuhadithia hbr zao na mwenyezi Mungu alimsemeza Musa.
Quran 40:78 Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengine ktk wao tumekusimulia(majina yao na hbr zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yeyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya mwenyezi Mungu.

Wednesday, May 18, 2016

MASHOGA WA KIISLAMU WAMEFUNGA NDOA NCHINI UINGEREZA


Wanawake wawili raia wa Pakistan Waislamu wa jinsia moja wamefunga ndoa nchini Uingereza.
Rehana Kausar, miaka 34, na Sobia Kamar, miaka 29,wameweka historia pale walipofunga pingu za maisha katika sherehe iliyofanyika kwenye ofisi ya msajili, kisha haraka wakaomba hifadhi ya kisiasa baada ya kuwa wamefunga ndoa, wakidai kwamba maisha yao yatakuwa hatarini kama wakirejea kwenye nchi yao ya asili.
Wakishuhudiwa na wasimamizi wao na marafiki wawili, wanandoa hao walivalia mavazi meupe asilia ya ndoa pale walipofunga ndoa mjini Leeds, West Yorkshire.
Wawili hao, kutoka mikoa ya Lahore na Mirpur ya Pakistan, walisema walipokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapinzani nchini Pakistan - ambako mahusiano ya jinsia moja ni kinyume cha sheria na kuchukuliwa ni kusaliti Uislamu.
Na tangu habari za ndoa yao mapema mwezi huu kuzagaa, wanandoa hao walidai kupokea vitisho vya kuuawa hata kutoka nchini Uingereza
Kabla ya zoezi hilo, hata msajili aliwashauri wawili hao kufikiria kwa makini kuhusu uamuzi wao wa kufunga ndoa sababu ya mtazamo wa baadhi ya Waislamu kuhusu mahusiano ya jinsia moja.
Kausar alisema: "Nchi hii inatupatia uhuru wa kuamua na ni uamuzi binafsi mno ambao tumeuchukua.
"Halimuhusu mtu mwingine yeyote kwa hili tunalofanya katika maisha yetu binafsi.
"Tatizo lililopo Pakistan ni kwamba kila mmoja anaamini ni nyapara wa maisha ya watu wengine na anaweza kuamua vema kuhusu imani za watu wengine lakini huo si mtazamo sahihi na tupo katika taifa hili sababu ya makasisi wetu ambao wameteka nyara jamii yetu ambayo ni jamii vumilivu na inayoheshimu uhuru wa watu binafsi."
Kamar, alimwelezea mpenzi wake kama 'mwenza wa kiroho' na alisema wanawake hao wawili walizama kwenye mapenzi.
Sheria za Pakistan hazitambui ndoa za jinsia moja na hakuna sheria kukomesha ubaguzi.
Wanawake wote walikutana mjini Birmingham kama wanafunzi ndipo wakahamia nchini Pakistan kutoka Uingereza.
Baadaye walianza kuishi pamoja kama wapenzi huko South Yorkshire, ambako walikaa mwaka mmoja kabla ya kuamua kufunga ndoa.
Jamaa mmoja alisema: "Wapenzi hao hawakuwa na ndoa ya Kiislamu, inayofahamika kama 'nikah', kutokana na kushindwa kumpata Imamu wa kuendesha kile kinachoonekana kama ndoa yenye utata.
"Wamekuwa majasiri wakati wote kutokana na dini yetu kukataza mahusiano ya jinsia moja.
"Wanandoa hao wamekuwa wakitishiwa maisha kote hapa na Pakistan na hakuna namna yeyote wanayoweza kurejea kule."
Wanafunzi wengi wa Sharia - Sheria ya Kiislamu wanatazama mahusiano ya jinsia moja kama ni dhambi inayostahili adhabu kali.
Hakuna adhabu maalumu iliyotajwa lakini katika kesi nyingi za watu mashoga wanaopatikana na hatia huweza kuhukumiwa kifo.

MASHOGA WA KIISLAM WAFUNGUA MSIKITI WAO KANADA, MAIMAMU WA KIKE KURUHUSIWA KUONGOZA IBADA.


Kundi la mashoga nchini Canada limetangaza mpango wa kufungua umoja na kujenga msikiti katika mji wa Halifax ulioko mashariki ya nchi hiyo jimbo la Nova Scotia ambapo jamii ya mashoga, waliobadili jinsia na maimamu wanawake wataruhusiwa.
Kwa mujibu wa Syed Adnan Hussein mwanachama wa 'mambo ya kipuuzi' alisema wanampango wa kufungua msikiti huo kwa kuwa wamekuwa wakitengwa na kubaguliwa.
Aidha ameongeza kuwa msikiti huo utaruhusu maimamu wa kike katika ibada ya swala. Pamoja na kwamba hakuna takwimu sahihi ya mashoga katika Nova Scotia, Hussien amedai ni muhimu kupata sehemu ya ibada kwa ajili ya watu wa aina yao.
Mwanazuoni wa kiislamu aliyeko huko Halifax profesa Jamal Badawi anayefundisha chuo kikuu cha Saint Mary amesema kwanza kwa kufanya hivyo ni kupingana na mafundisho ya uislamu.
Amesema uislamu umeharamisha ndoa za jinsia moja, ushoga na kubadilisha jinsia. "Qurani imesema wazi ushoga haukubaliki, hivyo hawatengwi wala hawabaguliwi wanaambiwa mnachofanya ni haramu acheni", alisema profesa Badawi.
Aidha aliongeza kuwa, "Kila mtu ana haki ya kukubaliana au kutokubaliana na mawazo ya mtu yeyote. Lakini ubaguzi umekatazwa katika uislamu, kwamba sisi sote tunapaswa kuwa dhidi ya ushoga".
"Misikiti yote, kila mtu anakaribisha kufanya ibada bila kujali rangi wala jinsia", alisema Imam Ibrahim Alshanti.
Novemba mwaka jana, mashoga nchini Ufaransa katika mji wa Paris walifungua msikiti unaoruhusu wanawake kuingia bila ya hijabu.

KUMBE QURAN INARUHUSU KUNYWA POMBE


1. KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI WA MVINYO?
2. KWANINI MASWAHIBA WA MUHAMMAD WALILEWA KAMA WENDAWAZIMU?
Je Muhammad hakunywa pombe au Quran imekataza pombe hilo ndo swali la kujiuliza. Ukipitia aya za Quran na hadithi za Muhammad utakuta mtume saw alikunywa pombe na pia Quran inaunga mkono na kuruhusu jambo hilo. Bila shaka kuna baadhi ya watu watapinga na kutoa maneno ya kashfa pamoja na matusi lakini lazima ukweli uwekwe wazi.
Kabla ya yote ebu tutazame aya zinazokataza pombe katika Quran
Quran 2:219. Wanakuuliza juu ya ULEVI na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa namanufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Nawanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri.
Hilo neno dhambi katika baadhi ya tafasiri za kiingereza limetumika Harm kama ifuatavyo na katika tafasiri ya kiarabu hamna neno dhambi ktk aya hiyo …….
Qur’an 2:219 ''They ask you concerning alcoholic drinks and Games of Chance, Say: In them are harm and goods for men, but their harm exceeds their good effects.'
[219] They ask you about drinking and gambling. Say, "There is great harm in both, though there is some benefit also for the people. But the harm of the sin thereof is far greater than their benefit . by Sayyid Abul Ala Maududi - Tafhim al-Qur'an - The Meaning of the Qur'an
Kwahiyo ktk aya hii hakuna amri ya kukataza pombe moja kwa moja, huko mbele tutaona zaidi, ingawa hiyo aya ilikuwepa waislam na Muhammad bado waliendelae kunywa pombe.
Quran 4 :43. Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali MMELEWA,………
Hii aya haikatazi pombe bali inatoa ushauri juu ya waislam ambao walikuwa wana Sali huku wamelewa. Aya inasema msikaribie sala huku mmelewa, KUMBE BASI WANALEWA WAKIWA MAJUMBANI MWAO NA KABLA YA SALA.
Qur’an 5: 90. Enyi mlio amini! Bila ya shaka ULEVI, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa
Aya zinazoruhusu pombe ktk Quran
Quran 16: 67. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ULEVI na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili
Quran 47:15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ULEVI yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Je hadithi za mtume Muhammad zinasemaje kuhusu pombe?
Hadithi au Sunnah ni maneno na vitendo ambavyo Mtume Muhammad alikuwa akisema au akifanya katika kipindi chake cha utume. Hadithi hizi ni moja ya miongozo ya imani kwa Waislamu. Hadithi hizi zinajumuisha pia mambo aliyoyaona, kuyasikia au kuyatenda katika muda wa utume. Na hadithi zilikamilika chini ya usimamizi wa Makhalifa wa Abbasid miaka 200 baada ya muhamad kufa.
MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI WA MVINYO:
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA"
Biblia ishaonya vileo kabla ya Muhammad, na Muhammad anadai anasadikisha ya manabii waliopita, swali halishindwa kusadikisha ayah ii ifuatayo mpaka akanywa mvinyo mkali? Tazama…
Isaya 5:22 Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu kuchanganya vileo;
Muslim-3721 Mtume wa Allah alikuwa anatumia chombo(bakuli) cha jiwe kunywea mvinyo mkali.
Mithali 23:31,32 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu.Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.
(Muslim-AlHayd-451). Aisha alikuwa anammiminia mvinyo mtume wa Allah asubuhi na usiku na pia alikuwa anampelekea ndani ya msikiti.
ETI MALAIKA WA ALLAH NAO WANAKUNYWA POMBE:
Kuna habari ya Malaika walikuwa wanamuliza mwanamke maswali lakini Yule mwanamke hakuwajibu maswali yao mpaka wanywe pombe, nao wakanywa pombee wakalewa na kuua mtoto. (Musnad Ahmad- Musnad almukathareen-5902)
MASWAHIBA WA MUHAMMAD WALIKUWA WALEVI:
Hamza alikunywa mpaka Muhammad akaogopa maana alilewa mpaka akawa kama mwendawazimu. (Bukhari-V,4-B,53-324)
Anas Bin Malek alikuwa akitumika kuwahudumia watu mvinyo (Muslim: 23.4884, 4886)
Mujahedeen walikunywa pombe na kulewa ktk vita vya Uhud. (Bukhari-V4, B52, Nr 70)
Makhalifa (warithi) wa muhamad wanywa pombe (the protectors of Islam)
Yazid I (680-683): alikuwa mtoto wa Muawiyah. Alilewa kila siku mpaka akapata jina la Yazid al-Khumur, Yazid mlevi.
Abd al-Malik (685-705): Alikuwa anakunywa pombe mara moja kwa mwezi; alikuwa anakunywa san asana mpaka inambidi atumie dawa za kuzuia kutapika ili aendelee kuitunza pombe yake aliokunywa.
Al-Walid I (705-715): Alikunywa na kulewa kila siku.
Hisham ((724-743): Alikunywa mvinyo kila ijumaa baada ya swala..
Al-Walid II (743-744): Mtoto wa Yazid ’. Aliogelea kabisa ktk ziwa la pombe mpaka akashindwa kujitambua kabisa mpaka alikuwa aki shuti vipande vya Quran kwa kutumia upinde na mshale.
Pia Khalifa wa Abbasid al-Mamun aliyetawala mwaka 813-833 baada ya Muhammad alikuwa mlevi wa mvinyo kila siku.(Hitti, p.306). Na Makhalifa wa Abbasid ndo waliokusanya hadithi nyingi za muhamad, na pmj na hadithi mashuuri sana ya sahih Bukhar ilikamilika mwaka wa 830-840, miaka 200 baada ya muhamad. Na pia ndio dola ya kwanza ya kiislam(makhalifa) baada ya Rashidun na Ummayed kaliphate kupiga marufuku pombe. Kwaiyo kuanzia Muhamad mpaka ukhalifa wa Abbasid bado waislam walikuwa wanakunywa pombe.
Rejea: ( Mishkah, vol. ii, pp.172-3;; Sahih Bukhari, ibn Hanbal, Musnad (Cairo, 1313), vol.i, pp. 240,287, 320 vol. vi, p.232 (History of the Arabs; Philip K. Hitti, ch. xxvi, p.337)
HITIMISHO
Tumeona jinsi Quran inavyojipinga yenyewe kuhusu pombe, mara inakataza mara inaruhusu, pamoja na kutoa ahadi za ulevi kwa watakao fika katika pepo ya Allah.
Kwaiyo Quran haina jibu la moja kwa moja juu ya pombe. Pia tumeona jinsi mtume wa Allah Muhammad alivyokunywa pombe pamoja na wafuasi wake. Tumeona jinsi malaika wa Allah walivyo kunywa pombe. Na pia tumeona waislam waliendelea kunywa pombe baada ya Muhammad mpaka ilivyokatazwa na makhalifa wa Abbasid miaka 200 baada ya Muhammad. Kwaiyo nawaonya waislam wote kabla hamjawakosoa wakristo kwa jambo lolote mvichunguze vitabu vyenu kwanza. Maana huko vitabuni mwenu kuna viroja vya kutosha ambavyo mamuma wa kiislam hawavijui. Neno la Bwana linasema ktk Mika 2:11 Mtu akienda kwa roho ya uongo, akinena maneno ya uongo, akisema, Nitakutabiria habari ya mvinyo na kileo; mtu huyu atakuwa nabii wao watu hawa.
Bwana Yesu anasema Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.(Marko 1:15) na Mtume Petro anakazia hapo kwa kusema
Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Matendo ya Mitume 2:38
Karibuni Kwa Yesu waislam
Bwana Yesu apewe sifa

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW