Tuesday, May 24, 2016

UISLAM NI DINI YA KIPAGANI

Urithi wa Uislamu kutoka kwenye dini za kipagani za Uarabuni - Sehemu ya 1
Allah alitokea wapi?
Uislamu unajinadi kwamba Allah ndiye Mungu yuleyule aliyejishughulisha ya Wayahudi tokea nyakati za Ibrahimu katika Agano la Kale. Je, jambo hilo ni kweli?
Uislamu ulianza na Muhammad kwenye miaka 600 baada Kristo. Je, kabla yake imani za Waarabu zilikuwaje? Je, yako mambo yoyote kutoka kwenye imani hizo ambayo yaliingia kwenye Uislamu? Kwa maneno mengine, je, Uislamu hauna upagani ndani yake?
Fuatana nami kwenye makala haya marefu yanayochambua chimbuko la Uislamu ili tuweze kuona iwapo upo uhusiano wowote kati ya Uislamu na upagani uliokuwa ukitawala miongoni mwa jamii za Waarabu kabla ya kutokea kwa Muhammad?
Asili Ya Allah
Jamii za wanadamu KOTE duniani zimekuwa na kawaida ya kujiuliza ni wapi ulimwengu huu umetokea, nini maana ya maisha na wapi watu huenda baada ya kufa. Matokeo yake, kila jamii ilifikia kuamini kuwa kuna aliye na nguvu (au walio na nguvu) kuliko wanadamu wote ambao ndio wanapaswa kuabudiwa na kuombwa msaada pale matatizo yanapotokea.
Hawa wenye nguvu wakajulikana kwa majina mbalimbali kwenye jamii tofauti. Vilevile, kila jamii ilianzisha utaratibu maalum wa kuwasiliana na hawa wenye nguvu, yaani miungu.
Lakini jambo moja ni dhahiri, kwamba UKIACHA JAMII YA WAYAHUDI PEKE YAO, jamii zote za wanadamu zilizobakia duniani – iwe ni Afrika, Ulaya, Asia, n.k. - zimeanzia kwenye ibada za kipagani. Jamii hizi ziliabudu miungu mbalimbali. Na miungu hii iliwakilishwa na vitu kama vile milima, miti mikubwa, jua, mwezi, majoka makubwa, sanamu, wafalme, n.k. Kwa mfano, Warumi walikuwa na miungu kama vile artemi, jupiter, minerva, atlas, n.k. Tazama hapa. Wagiriki walikuwa na miungu kama vile chronos, dionysus, eros, ares, appolo, hermes, poseidon, n.k. Tazama hapa. Wahindi wana miungu kama vile durga, ganesha, garusha, brahma, n.k. Tazama hapa. Imani hizi za kipagani ziliweza hata kukua sana na kuenea maeneo mengi. Kwa mfano, imani ya ubudha ni imani ya kipagani lakini iliweza kuenea sehemu kubwa sana ya Asia – India, Japan, Sri Lanka, Uchina, n.k.
Kwa hiyo, jamii za Kiarabu, kama ilivyo kwa wanadamu wengine, vilevile hazikuwa tofauti. Jamii hizi nazo zilikuwa zina ibada zao za kipagani.

UONGO NDANI YA QUR'AN



*NILIHAIDI KUUKOMESHA UONGO WA QURAN NA WAISLAMU*
Jana nilisema kwa habari za uongo katika Quran walakini kama ilivyo hada waislamu siasa wakaja na maneno lukuki sasa siku zote njia za muongo fupi leo kamba waliokuwa wameishikilia isikatike imekatika atamaye wameanguka
Quran 19:28 ilisema uongo kwa kumwita Mariamu mama yake Yesu kuwa ni dada wa Haruni jambo ambalo sio kweli tutathibitisha ili, Quran 66:12 ikaja kuthibitisha uongo huo pale ilipomwita Mariamu mama wa Yesu kuwa ni binti Amran/ Imran jambo ambalo sio kweli
Mariamu mama yake Yesu akutokea kwenye ukoo wa Lawi hivyo uenda Quran imechanganya Mariamu mama yake Yesu na Miriamu dada wa Haruni{Kuto 15:20}
Na pia Quran kumtambulisha kuwa Mariamu mama yake Yesu kuwa ni binti Amran itakuwa ilimchanganya na Miriamu binti Amran soma {Hesabu 26:59.........maana Miriamu pekee ndiye aliyekuwa binti Amran maana yake waislamu wanajua kuwa Quran imesema uongo ila wameamua kudanganyika wenyewe
Sura ambayo waislamu wamekubali itafsriwe kimatakwa yao ili iendane na matakwa yao na kuhalalisha juu ya uongo wao ni Luka 1:36 panapo mtaja mariamu kuwa alikuwa ni jamaa wa Elizabethi neno jamaa hapa lina maana ya watu waliokaribu sio maana ya ndugu yaani ya udada, na jambo ilo sio kweli kuwa watu hawa walikuwa ndugu kwa sababu jambo ilo alithibitishwi Kibiblia wala hata katika historia za kimwili za wayahudi
Maana inatambulika wazi kuwa watu hawa wawili yaani Elizabeth na Mariamu walikuwa ni jamaa walakini jamaa sio lazima awe ndugu, ujamaa uenda ni hali za watu kufahamiana hivyo basi hawa wawili walikuwa wakitokea katika makabila mawili tofauti kabisa
USHAIDI UNAOTHIBITISHA UONGO WA QURAN

KWANINI ALLAH ATAWAPELEKA WAISLAMU JEHANNAM? ENYI WENYE ILMU HEBU MTUSHAWISHI HAPA



Sahih Bukhari Volume 9, Book 93, Number 532
….. Allah atakapokuwa amemaliza hukumu miongoni mwa watu, atamtoa jehanamu yule amtakaye kwa rehema zake. Kisha atawaamuru malaika kuwatoa motoni wote ambao hawakumwabudu yeyote isipokuwa Allah miongoni mwa wale ambao Allah ametaka kuwarehemu na wale walioshuhudia (duniani) kwamba hakuna apasaye kuwabudiwa ila Allah. Malaika watawatambua motoni kutokana na sijda (nyusoni mwao), maana moto utakula mwili wote wa kibinadamu isipokuwa sijda maana Allah ameuzuia moto kuila sijda. Watatoka jehanamu wakiwa wameungua kabisa kisha watamwagiwa maji ya uzima nao watakua kama mbegu itokayo kwenye udongo …….
TAFSIRI YAKE:
Sahih Bukhari Volume 9, Book 93, Number 532 inasema:
........When Allah has finished His Judgments among the people, He will take whomever He will out of Hell through His Mercy. He will then order the angels to take out of the Fire all those who used to worship none but Allah from among those whom Allah wanted to be merciful to and those who testified (in the world) that none has the right to be worshipped but Allah. The angels will recognize them in the Fire by the marks of prostration (on their foreheads), for the Fire will eat up all the human body except the mark caused by prostration as Allah has forbidden the Fire to eat the mark of prostration. They will come out of the (Hell) Fire, completely burnt and then the water of life will be poured over them and they will grow under it as does a seed that comes in the mud of the torrent.....
MASWALI
1. Huko jehanamu mtakuwa mlienda kufanya nini?
2. Tangu lini wanadamu wakaenda jehanamu wakiwa na mwili wa kibinadamu?
3. Kuna haja gani ya kutekeleza amri za Mungu kama bado atakutoa jehanamu? Si tuendelee kufanya tu tupendavyo?
…………………
SIKIA INJILI YA KWELI KUHUSU WENYE DHAMBI
(Mat 25:46) Na hao watakwenda zao kuingia KATIKA ADHABU YA MILELE; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele………(umeona neno YA MILELE?)
Ufunuo 20:15 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, ALITUPWA KATIKA LILE ZIWA LA MOTO.
Ufunuo 14:11 Na moshi wa maumivu yao hupanda juu HATA MILELE NA MILELE, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake. (umeona maneno MILELE NA MILELE?)
…………………
Ukitupwa jehanamu ndio basi!
Hutoki humo milele na milele.
Umedanganywa kwamba eti utatolewa.
…………………….
NJOO KWA YESU UPONE WEWE!
(1Yohana 2:23) Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.

WAISLAM ZAIDI YA ELFU TATU (3000) WAMPOKEA YESU NCHINI FILIPIN NA KUACHANA NA ALLAH NA MUHAMMAD




Waislamu zaidi ya 3000 wampokea Yesu Kristo na kubatizwa. Haya mavuno ni makubwa sana, ingawa wavunaji ni wachache.
Over 3,000 precious souls accepted Jesus through baptism
“The harvest truly is plenteous, but the laborers are few…” Here are just a few of the reports that were received in the past few weeks. Again, I am appealing to you to please support the Lord’s work through the work of the adopted ministers.

SITAKI KUWA MUISLAM KWASABABU ALLAH ATAINGIA JEHANNAM KAMA VIUMBE VYENYE DHAMBI



Katika ulimwengu wa leo kuna njia nyingi za kutumaini. Furaha ya milele na Mbinguni vina hubiriwa kila mahali. Hata hivyo kuna dini nyingi tofauti, filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo (furaha ya milele) vinatofautiana. Na kila mmoja katika tofauti hizo za dini na filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo; anaamini ya kuwa amesimama katika ukweli.
Katika Surat Maryam, Kuruan inasema kuwa (19) 71.72. Inasema, wala hapana yoyote ila mwenye kuifikia jehanamu, maana ni wajibu wa Mola wako umekwisha kuhukumiwa, nasi tutawaokoa wale wamchao na kuwaacha madharimu hali wamepiga magoti.
ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA =>WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM
Kuruan inakiri kuwan kila bin-adam amekwisha hukumiwa kuingia Jehannam kwa maana huo ndio wajibu wa Allah kuwaingiza watu Jihannam. Allah anaendelea kusema kuwa, yeye atawaokoa Waislam baada kuingia Jehanam. Je, haya madai ni kweli?
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Katika Surat Ghaafir inakiri kuwa Allah anaendelea kusema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Mimi kama Mkristo siwezi kuipenda dini hii ambayo teyari mungu wake amesha toa hukumu ya kwenda Jehannam kwa wote wanao ufuata Uislam.
ALLAH KASEMA MGUU WAKE UTAISHI JEHANNAM MILELE YOTE

UKRISTO SIO DINI BALI NI IMANI YENYE USHIRIKA NA MWENYEZI MUNGU

Ndugu msomaji,
Mara nyingi katika mihadhara ya Waislam, kumekuwa na maneno ya kusengenya Ukristo, eti, Uislam ndio dini ya Allah na Ukristo sio dini. Maneno hayo yamekuwa yakiwaumiza sana Wakristo, hasa pale wanapoambiwa walete aya kutoka Biblia inayo sema kuwa Ukristo ni Dini.
Ndugu zanguni, leo ningependa kujibu hii shutuma ya kuusingizia Ukristo na kumsingizia Mwenyezi Mungu kuwa anayo dini.
ASILI YA NENO UKRISTO NI NINI?
Neno Ukristo ni tegemezi ya kutoka kwa Jina "KRISTO". Hivyobasi, Mkristo ni mfuasi wa Kristo. Ni kama unavyoweza sema Mtanzania anatoka Tanzania na/au neno Mtanzania ni tegemezi kutoka Tanzania au Utanzania litakoka kwenye muungano wa U na Tanzania.
Lengo la Mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya Mkristo ya Roho Mtakatifu.
Mungu Mtakatifu hana ushirika na dhambi. Kati yake na mwanadamu kuna ufa mkubwa wa dhambi. Mwanadamu hujaribu kumfikia Mungu kwa nija nyingi: DINI, matendo mema, sala, n.k., lakini hizi zote hazitoshi. Mwanadamu bado ni mwenye dhambi.
MAANA YA UKRISTO NI NINI?
Ukristo ni imani maalum kulinganisha na nyinginezo, Kwa sababu inasimamia zaidi ushirika na Mungu kuliko matendo ya kidini. Kinyume na kushikilia orodha ya masharti ya fanya haya na usifanye yale, Lengo la mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya mkristo ya Roho Mtakatifu.
Wakristo huamini ya kuwa biblia ni Neno la Mungu na mafundisho yake ndiyo mamlaka ya mwisho (Timotheo wa pili 3:16, Petro wa pili 1: 20-21). Wakristo huamini juu ya Mungu mmoja akaaye katika utatu, Baba na Mwana (Yesu kristo), na Roho Mtakatifu.

UTHIBITISHO: ALLAH NI KIUMBE NA SIO MWENYEZI MUNGU

1. Allah ana uso kama viumbe
2. Allah ana vaa Nguo kama viumbe
3. Allah ana kaa kwenye Kiti kama viumbe.
4. Allah ana mikono kama viumbe
5. Allah ana Miguu na nyayo kama viumbe
Ndugu zanguni,
Natanguliza kwa kusema huu ni Msiba Mkubwa sana kwa ndugu zetu kwa kupitia Adam wanao pinga kuwa Allah hana mfano.
Leo nitawawekea mifano kadhaa kama ushahid kuwa Allah ni kiumbe.
Haya, ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu huyu Allah kiumbe.
ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO
1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE

KWANINI KWENYE QURAN HAKUNA JINA LA YEHOVA?



Ndugu wasomaji,
Biblia ilikuwepo miaka 671 kabla ya Quran imetamka kuwa, Mwenyezi Mungu Jina lake ni Yehova [ يهوه yahuh]. Lakini cha ajabu, hakuna aya hata moja kwenye Quran inayo kiri kuwa Allah ni Yehova [ يهوه yahuh].
Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
Hebu tuanze kwa ushahidi wa aya kutoka Biblia takatifu:
Katika Biblia, Mungu anasema: “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu.” (Isaya 42:8) Ingawa ana majina mengi ya cheo kama vile “Mungu Mweza-Yote,” “Bwana Mwenye Enzi Kuu,” na “Muumba,” anawaheshimu waabudu wake kwa kuwaalika wamwite kwa jina lake la kibinafsi.—Mwanzo 17:1; Matendo 4:24; 1 Petro 4:19.
Yehova ni tafsiri ya jina la Mungu katika Kiswahili ambayo imekuwa ikitumiwa kwa miaka mingi. Ingawa wasomi wengi hupendelea kuliandika “Yahweh,” Yehova ndilo jina linalojulikana na watu wengi zaidi na lipo kwa lugha ya Kiswhaili.
Biblia inamtaja Yehova kuwa Mungu wa Kweli, Muumba wa kila kitu. (Ufunuo 4:11), lakini kwenye Quran Allah anaogopa kujiita Yehova. Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
SASA NAWAULIZA WAISLAM:
1. Ipo wapi aya kutoka Quran ambayo Allah anaitwa Yehova?
2. Ipo wapi aya kutoka Quran ambayo Allah anathibitisha Isaya 41:8?
3. Kama Allah ni Mungu wa Adam, Ibrahim, Musa, nk. Kwanini amekataa kujitambulisha kwa jina lake la Yehova? Zaburi 83: 18 Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote.
KAMA KUNA MUISLAM ATAKUJA NA AYA KUTOKA QURAN NA KUTHIBITISHA KUWA ALLAH NI YEHOVA. BASI LEO HII NITAUKANA UKRISTO WANGU NA KUWA MUISLAM. LEO MTANISILIMISHA HAPA HAPA.
Bila ya jazba wala nini, Waislam naombeni mnipe aya kutoka Quran. NATAKA KUSILIMU NA KUWA MUISLAM.
Max Shimba Ministries Org

Sunday, May 22, 2016

MWINJILISTI UMAR MULINDE ALIYEHARIBIWA KWA TINDIKALI BAADA YA KUHAMA UISLAMU, AMSHUKURU MUNGU KWA UPONYAJI -


Ikiwa takribani miaka mitano ipite tangu mwinjilisti Umar Mulinde kujeruhiwa vibaya kwa kuharibiwa mwili kwa tindikali aliyomwagiwa na watu wanaosadikiwa kuwa waumini wa dini ya kiislamu waliokuwa wakipinga hatua yake ya kubadili dini na kuwa Mkristo, hapo juzi mwinjilisti huyo alifanya ibada maalumu ya shukrani kukumbuka namna tukio hilo lilivyotokea na kumuharibu kabisa sura yake yenye mvuto. Katika jumble wake kupitia okras wake wa Facebook mwinjilisti huyo aliandika namna ambavyo kupitia nguvu ya maombi na neema ya Mungu ilivyomponya katika tukio hilo la kuogofya, bila kusahau kutaja madaktari waliomuhudumia huko nchini Israel ambako alihamishiwa kupata matibabu yaliyokwenda sambamba angalau kurudisha sura yake kwenye muonekano mzuri. Mwinjilisti Umar Mulinde raia wa Uganda ambaye baba yake ni imamu wa msikiti nchini humo, alikuwa mmoja wa vijana waliokuwa na imani kali ya uislamu na hata kufikia hatua ya kuwachukia kupita kiasi waumini wa dini ya Kikristo likiwemo taifa la Israel, hata hivyo mambo yalibadilika baada ya kukutana na Yesu ambaye alimbadilisha maisha yake ambapo aliapa kutorudi nyuma kamwe licha ya tukio hilo kubwa na vitisho anavyopata kutoka kwa waumini wa dini aliyokuwepo awali. Unaweza kutazama na kusoma zaidi habari za mwinjilisti huyu kuanzia alipomwagiwa tindikali mpaka hali aliyonayo sasa kwa Kubonyeza HAPA. https://www.facebook.com/mulinde.umar

ALLAH NA MUHAMMAD HAWAPENDI WANAWAKE WA KIAFRIKA WA KIISLAM

Leo nina maswali matatu tu kwa wanawake wa Kiislamu.
Kabla sijawauliza maswali kwanza niwashirikishe ahadi za Yesu ambaye amekuwepo zaidi ya miaka 570 Kabla ya Muhammad, yeye alisema:-
Luka 20:34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;
35 lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi;
36 wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
Yesu anasema kuwa katika ufalme wa Mungu, watu hawataoa wala kuolewa, watakuwa sawa na malaika kwa sababu Malaika hawaoi wala kuolewa, na pia katika kuurithi ufalme wa Mungu sawasawa na Ibrahimu, hakuna upendeleo wa mwanaume au mwanamke, maana wote ni sawa mbele za Mungu,
Wagalatia 3:27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Wanaume na wanawake ambao wamemwamini Yesu na kubatizwa kisha wakafanya mema, hao watakuwa warithi sawasawa bila kuwekwa daraja kwa wanaume kuwa juu kuliko wanawake au wanawake kuwa juu kuliko wanaume, katika ufalme ambao watu wa Kristo tutakuwa pamoja na Ibrahim na manabii wote wa kweli.
Mathayo 8:11 Nami nawaambieni, ya kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi pamoja na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo katika ufalme wa mbinguni;
Ufalme ambao wafanyao udhalimu watatupwa nje wakitaka kuingia, Yesu atawazuia kwa sababu hawakutaka kuwa Watakatifu,
Luka 13:27 Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.
29 Nao watakuja watu toka mashariki na magharibi, na toka kaskazini na kusini, nao wataketi chakulani katika ufalme wa Mungu.
Huo ndo ufalme wa Mungu wa kweli ambao watu waliomwamini Yesu wataingia, usio na Upendeleo.
Maswali yangu matatu yanatokana na aya za Quran ambazo zilisemwa na Muhamnad, kuhusu pepo, akitoa ahadi kwa wanaume, Ilisemwa, 👇🏻
Quran 52 SUURATUR RAHMAAN

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW