Thursday, June 2, 2016

MTUME MUHAMMAD AMESEMA KUWA MWILI WA MWANAMKE NI UCHI

Anza kusoma visa mbali mbali vya Allah na Muhammad kwa wanawake.
Kwanini Allah na Muhammad hawapendi wanawake?
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“(MWILI WA) MWANAMKE NI UCHI, AKITOKA (NJE, BASI) SHETANI HUMKALIA MBELE YAKE, NA ANAKUWA KARIBU SANA NA (RADHI ZA) MWENYEZI MUNGU KILA ANAPOKUWA NYUMBANI KWAKE.”
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“MWANAMKE YEYOTE YULE AKIINGIA MSALANI (CHOONI) BILA YA SABABU (MUHIMU) WALA UGONJWA (LAKINI KWA AJILI YA) KUJITAZAMA WEUPE (WA PAMBO) LA USO WAKE, BASI MWENYEZI MUNGU ATAUFANYA USO WAKE KUWA MWEUSI SIKU (YA KIYAMA, AMBAYO SIKU HIYO NYUSO ZA WAISLAM) ZITAKAPOFANYWA KUWA NYEUPE.”
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“AKIMWITA MMOJA WENU MKEWE KITANDANI KWAKE (KUMUINGILIA), BASI AKIKATAA MKE KWENDA (KUTIMIZA HAJA YA MUMEWE), (BASI YULE MKE) ANALAANIWA NA MALAIKA MPAKA ASUBUHI.”
((Allah Amemlaani mwanamke anayefanya tatoo (chanjo za kujichora), na mwenye kuomba kufanyiwa, anaye paka hina, na anayetoa nyusi na mwenye kuomba kutolewa na anayechonga meno kuweka nafasi (mwanya), kubadilisha maumbile ya Allah kwa ajili ya kupata uzuri )) Al-Bukhaariy Imetoka kwa 'Abdullah Ibn Mas'uud (Radhiya Allaahu 'anhu) (BUKHARI ,HADITH NA.408 ,JUZUU YA 6)
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“MWANAMKE YEYOTE YULE KAJIPAKA MAFUTA MAZURI AKAPITA KARIBU NA WATU WAKAPATA (WALE WATU) KUNUSA HARUFU YAKEBASI YEYE MWANAMKE KAZINI.”
Vile vile Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“MWANAMKE AKIJIPAKA MAFUTA MAZURI BASI AKAPITA MAJLIS, BASI YEYE KAZINI.”
Na akasema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam):-
“MWANAMKE YEYOTE YULE KAJIPAKA MAFUTA MAZURI KWA AJILI YA (KWENDA) MSIKITINI (BASI) HAIKUBALI MWENYEZI MUNGU SALA YAKE MPAKA (KWANZA) AOGE UOGAJI WA JANABA.”
POLENI SANA WANAWAKE WA KIISLAM.
HIVI KUNA JEMA LOLOTE HUKO KWENU?

SHETANI ANAWAPENDA WAISLAM

Mfikirie Nabii Asiyekuwa na Dhambi
Tofauti na Muhammad, kuna mmoja ambaye alisema kuwa ni nabii wa Mungu
alitimiza mamia ya unabii na maana zake
hakuwahi kusamehewa, kwa sababu hakuwa na dhambi inayohitaji kusamehewa
Hakuwahi kuua, wala kutishia maisha ya msafiri yeyote yule
Alikuwa na kiwango cha juu sana cha uadilifu (hakuruhusu ufanyaji tendo la ndoa kwa kutumia nguvu)
aliahidi kulipa adhabu ya dhambi zetu
aliteseka na kufa kwa ajili yako, na
hana kaburi, kwani alifufuka kutoka katika wafu.
Mtu huyu ni Yesu Kristo. Wakristo hawasemi kuhusu Yesu kuwa: "amani ya Mungu na iwe juu yake", Yesu ndiye mfalme wa amani; amani ya Mungu ipo juu yake. Lakini, tumaini langu ni kuwa utaweza kujua namna ya kuona kuwa amani na upendo vya Yesu vinaishi moyoni mwako.
SASA TUMSOME NABII WA ALLAH
Muhammad Mwenye Mafanikio
Muhammad pamoja na watu wake waliteka nyara misafara ya wafanya biashara na wasafiri mbalimbali.
Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 37 sura ya 8 na.495 uk.280 inasema "wakati Allah alipomfanya mtume kuwa tajiri kutokanana na ushindi" 1/5 ya mateka ya vita iliwekwa katika hazina na Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 5 sura ya 401 na.2348 uk.519 inasema familia ya Muhammad ilikuwa na hisa ndani yake.
Utekaji nyara wa mali za watu wa kwanza kufanywa na Waislam ulijulikana kama Nakha la Raid. Wakati wa mwezi wa kusimamisha vita kwa muda, wafuasi wake waliushambulia msafara kwa kuuvamia na kuua mtu mmoja, na kuwafanya watu waliosalia kuwa watumwa, na kuchukua nyara.
Muhammad mwenyewe aliongoza uvamizi wa pili pale Badr. Muhammad aliongeza utajiri wake kwa kuyashambulia makazi ya Wayahudi ya Khaibr. Yeye na wafuasi waliokuwa waaminifu kwake walijitwalia nyara na wake (Je Muhammad alihitaji mke mwingine?) wa Wayahudi wanaume 700-1000 wa kabila la Banu Quraiza waliowakata vichwa baada ya kujisalimisha.
Ndio maana nasema Shetani anawapenda sana Waislam.
Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui.

Tuesday, May 31, 2016

Entire Mosques Coming to Christ in Sub-Saharan Africa

Miracles are happening in Africa. True to His Word, Jesus, who is not willing that any should perish, said "I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it.Matthew 16:18. Thousands upon thousands of muslims and entire mosques are coming to Christ in Africa. (We're talking about the real Jesus of the Holy Bible, not the false Jesus of muslim teachings)
In the new book Miraculous Movements, Jerry Trousdale, now director of International Ministries for CityTeam International, records amazing and inspiring stories of faith among Muslim communities in Africa. The author opens up a new world to Western readers, taking them into the heart of the "miraculous movement" of God in Africa that is transforming the hearts of Muslims.

Trousdale writes that "unprecedented" events are happening among the Muslim populations that his ministry and its affiliates are working among, including:

• Multiple cases of entire mosques coming to faith
• Thousands of ordinary men and women being used by God to achieve seemingly impossible outcomes
• Tens of thousands of Muslim background Christians becoming dedicated intercessors who fast and pray for the gospel to penetrate the next community
• Muslim people groups that never had even one church among them now have more than fifty church planted, and in some cases more than one hundred churches – within two years of engagement
• Former sheikhs, imams and militant Islamists making up 20 percent or more of the new Christian leaders in Muslim regions

Continue reading about this miracle here.

Monday, May 30, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA ANAPELEKA WAISLAMU JEHANNAM




KUMBE MUHAMMAD NA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM?
Mimi sina mengi ya kusema, zaidi ya kuanza na aya moja kwa moja.
Allah anateremsha aya na kusema haya kwa Waislam:
Quran Surah 19: 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi Waislam ila ni mwenye kuifikia hiyo Jehenamu. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 72. Kisha tutawaokoa wale walio mcha ALLAH; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti. ..................................DAAAH
ALLAH ANASEMA KUWA, AMESHA WAHUKUMU WAISLAM WOTE NA LAZIMA AITIMIZE HIYO HUKUMU YA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAM.
Jamani, hivi kuna ugumu gani au nini kigumu hapa. Mbona Allah amesha maliza kuwa Waislam wote wataingia Jehannam?
NAJUA WAISLAM wataanza kupinga ooh, wewe huijui Quran, ooh wewe umepindihsa aya, ngoja niongeze aya zingine kutoka Quran yao inayo wamaliza tena.
SURAT AT-TAKAATHUR, iliyo teremka Makka inawaambia Waislam:
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
ALLAH anawaambia Waislam sivyo hivyo, ikimaanisha kumbe Waislam wanacho kielewa sio sahihi.
Kumbukeni kuwa, hizi aya anaziteremsha Allah kwa Mtume wake Muhammad. ALLAH ANAMWAMBIA MUHAMMAD KUWA " aya ya 3 Sivyo hivyo! Mtakuja jua!"
SASA KWANINI ALLAH Hamwambii ukweli Muhammad moja kwa moja? Kwanini Allah asubiri mpaka Kiyama ndio Waislam watakuja jua kuwa Allah ni bandia na anawaingiza Jehannam?
Huu ni msiba mkubwa sana.

WAISLAM MILIONI MBILI (2000 000) WA KUTOKA URUSI WAMPOKEA YESU


Habari kutoka Moscow Urusi zinasema kuwa Waislam walio ingia Ukristo ni Milioni Mbili. Haya yamethibitishwa na Bwana Roman Silantyev ambaye ni Mkuu wa kitengo cha dini nchini Urusi.
Ndugu zanguni. Haya ni mavuno makubwa sana kwenye nchi ya Kisoshalisti na Uislam.
Hakika hakuna lisilo wezekana kwa Yesu.
Soma habari kamili hapa
Moscow, Interfax - The number of ethnic Muslims in Russia who adopted Christianity is 2 million, stated Roman Silantyev, executive secretary of the Inter-religious Council in Russia.

WAISLAM WA MISRI WAONGOZA KULA NYAMA YA NGURUWE


UFUGAJI WA NGURUWE WAONGEZA KASI NCHINI MISRI
Cairo Misri:
Biashara ya ufugaji wa Nguruwe nchini Misri inakuwa kwa kasi baada bidhaa hiyo kuwa muhimi na hadimu kama Almasi. Inafahamika kuwa Misri ni nchi ya Kiislam lakini wakati huo huo ufugaji wa Nguruwe ambaye ni haram kutoka na dini yao unakuwa kwa asilimia nyingi.
Mfanya biashara wa Nyama ya Nguruwe ajulikanaye kwa Jina la Samir amesema kuwa hivi sasa nyama ya Nguruwe imekuwa kama dhahabu. Kila siku wao wanachinja Nguruwe zaidi ya wa tatu na kuuza katika maduka yao ya Nyama hiyo. Samir alisema kuwa wafanya biashara ya Nyama ya Nguruwe sasa wameongeza kipato maana bidhaa hiyo sasa inanunuliwa kupita kiasi ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Hivi sasa Kilo Moja ya Nyama hiyo hadimu imepanda bei na kufikia (£4.30 za Uingereza) sawa na Shilingi Elfu Kumi na NNE (14000) za Tanzania.
Kwa habari zaidi kuhusu ufugaji wa Nguruwe Misri ingia hapa.

ALLAH SIO YEHOVA YAHUH ( يهوه ) NA HANA JINA MAALUM


Huu ni msiba mwengine kwa Waislam na kwa Muhammad.
Allah katika Surat Bani Israil anasema kuwa yeye anamajina mazuri mazuri na kasema kuwa Allah ni Jina na sio Wasifa. Nilipo chunguza kwa makini katika Majina yake 99, sikuliona jina la Allah katika hayo 99. Ingia hapa na thibitsiha mwenyewehttp://www.searchtruth.com/Allah/99Names.php
Lakini cha ajabu Allah anadai katika Surat Bani Israil 110 kuwa "ALLAH" ni jina lake angalia ushahid hapa chini.
Qr. 17 Surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………
Hivi huyu Allah anamatatizo gani? Maana ameshindwa kutupa jina lake. Sasa anasema kuwa Allah ni Jina lake, na nilipo angalia kwenye yale majina 99, ALLAH HALIPO. Na hata kama tukiliweka, basi ALLAH ATAKUWA NA MAJINA 100 na sio 99. Huu ni msiba mwengine kwa Waislam.
Allah ana majina mangapi, 99 au 100?
SASA TUMSOME MUNGU WA KWENYE BIBLIA:
Mungu anayejulikana
Kutoka 6:2-3,
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, mimi ni YEHOVA;
Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Unaona tofauti ya Allah na Yehova wa kwenye Biblia? Yehova hana kizungumkuti au longa longa kama Allah anaye sema yeye ana majina mazuri mazuri lakini ameshindwa kuthibitisha kuwa YEHOVA ni jina lake.
Mwenyezi Mungu kasema kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa yeye anaitwa YEHOVA, LAKINI ALLAH hakuwai sema kwenye Quran kuwa Yehova ni Jina lake. KUMBE BASI ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, NA YAKOBO.
Sasa, kati ya Mwenyezi Mungu aliye sema katika Taurat miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa Jina lake ni YEHOVA, NA Allah aliye shindwa kuthibitisha kuwa yeye ni Yehova zaidi ya kusema yeye ana majina mazurimazuri tumwanini nani?
Kumbuka kuwa, katika Agano la Kale peke yake, JINA Yehova limetajwa mara 6800, Huku katika Quran HAKUNA Jina la YEHOVA hata mara moja.
ALLAH ANADAI KUWA QURAN INATHIBITISHA TAURAT, INJIL NA ZABURI. AU SIO,
HEBU TUSOME KWANZA HIYO AYA.
Surat Al Baqara 89. Na kilipo wajia Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi Mungu kinacho thibitisha waliyo nayo - na wao walikuwa wakitafutia ushindi kuwashinda makafiri - yalipo wajia yale waliyo kuwa wakiyajua waliyakanusha. Basi laana ya Mwenyezi Mungu juu ya wakanushao!http://www.quranitukufu.net/002.html
Soma ushahid zaidi:
Surat Al Maida 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
SASA, KAMA NI KWELI QURAN INATHIBITISHA TAURAT, ZABURI NA INJIL,
1. Kwanini hakuna Jina la Yehova kwenye Quran?
2. Kwanini Allah hakusema yeye ni Yehova kwa Muhammad?
3. Kwanini Muhammad hakumuuliza Allah, kuhusu hili jina la Yehova lililo tajwa kwenye Taurat, Zaburi na Injili?
Ndugu msomaji, ni rahisi sana kumkama Allah kwa uongo wake, maana yeye kadai Quran inathibitisha Taurat, Zaburi, na Injil, HUKU AKISHINDWA kuthibitisha kuwa yeye ni YEHOVA.
Kumbe basi Allah sio Yehova na Quran haithibitishi Taurat, Zaburi na Injili.
Kwa ushahidi uliopo hapo juu, naweza kusema kuwa ALLAH SIO MUNGU, ALLAH SIO YEHOVA, MUHAMMAD NI MTUME BANDIA NA QURAN NI KITABU BANDIA NA KIMEJAA SHAKA.
Kama kuna Muislam anabisha basi thibitisha yafuatayo:
1. Nionyeshe Jina Yehova kwenye Quran.
2. Nionyeshe Jina Yahuh kwenye Quran.
3. Niletee aya ambayo Allah anathibistihsa kuwa yeye ni Yehova kama alivyo dai kuwa Quran inathibitisha Taurat, Zaburi na Injil Surat Al Maida 48?
4. Thibitisha kuwa Allah ni jina kwa ushaidi wa aya. Kumbe Allah anamajina 100 na sio 99.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo

Friday, May 27, 2016

WAISLAM WA WAPAKISTANI ELFU KUMI (10,000) WAMPOKEA YESU KWA USIKU MMOJA

Mchungaji ANWAR FAZAL wa Kanisa la Eternal Life Ministries huko Pakistani amefanya mkutano wa uponyaji katika Kitongoji cha Lahore na kuwaongoza WAISLAM ELFU KUMI KWA USIKU MMOJA.
Habari zinasema kuwa, baada ya Wiki moja ya huo Mkutano wa Uponyaji, WAISLAM LAKI MOJA NA NUSU (150,000) Walimpokea Yesu na kuachana na dini ya UISLAM. WAISLAM HAO WOTE WAMEMKIRI YESU NA KUSEMA HAKIKA Allah na Mtume wake Muhammad wote ni BANDIA.
HAYA NI MAVUNO MAKUBWA SANA KWENYE NCHI YA KIISLAM KAMA PAKISTANI.

SHEIKH AHMAD AL KATANI AKIRI KUWA; KILA SAA LIKIPITA WAISLAM 667 WANAMPOKEA YESU

Akitoa ushuda kupitika Televisheni ya Al Jazeerah, Sheik Ahmad Al Katan ambaye ni Rais wa Kitengo cha Sayansi na Sharia za Kiislam huko Libya amekiri kuwa, kila saa likipita, Waislam 667 wanampokea Yesu na kuukacha Uislam.
Akionyesha kupagawa na kuto jua nini afanye, Sheikh Ahmad Al Katani alisema, Mfano kule Misri, nchi ambayo Biblia zilikuwa hazinunuliwi, lakini kwa mwa mmoja tu, teyari Biblia LAKI SITA zimeuzwa nchini humo, na maelfu kwa maelfu wanaendelea kuingia Ukristo.
Alisema tena, kule Sudan zaidi ya watu MILIONI MOJA wameingia Ukristo kwa kipingi cha miaka miwili tu.

WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, NANI ALIKUWA MTUME WA UMMAA YA WAARABU?



WAISLAM WANATUMIA HII AYA NA KUDAI KUWA, YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAEL TU.
Imeandikwa:
Akajibu akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:26).
SASA TUWAULIZENI WAISLAM WOTE DUNIANI AMBAO WANATUMIA HIYO AYA HAPO JUU KAMA IFUATAVYO:
Waislam, kwa kuwa mnasema na kukiri kuwa: Yesu yeye alikuwa Mtume kwa wana wa Israeli tu; Naomba mtueleze kwa uthibitisho wa aya kutoka Quran, wakati huo wa Yesu, nani alikuwa MTUME wa Ummah wa Kiarabu? Kwa lugha rahisi, Mtume wa Waarabu wakati wa Yesu alikuwa ni nani?
Ndugu zetu katika Adam, naomba mtuletee ushahidi wa maandiko wala sio matusi.
Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao." Quran 35:24
Sasa, mnaweza tuambia, WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, Nani alikuwa Mtume wa Waarabu?
MKINILETEA AYA BILA YA MATUSI NA JAZBA, LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM?
******
SASA MSOME YESU ANAKUJIBU WEWE MUISLAM:
Bwana Yesu alipoongea na mwanamke Msamaria pale kisimani alimwambia hivi:
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. (Yohana 2:22).
Wokovu unatoka kwa Wayahudi kwa sababu hakuna taifa jingine lolote duniani ambalo lilimjua Mungu wa kweli – yote yalikuwa na dini za kipagani – iwe ni wazungu, Waafrika, Wahindi, Waarabu, n.k. Huo ndio ukweli.
Kumbe basi wakati wa Yesu, WAARABU WALIKUWA NA DINI ZA KIPAGANI KAMA ALIVYO SEMA YESU HAPO JUU KUWA "Wokovu unatoka kwa Wayahudi.
UTHIBITISHO KUHUSU UISLAMU NI DINI YA WAPAGANI
Haya maelezo yatakupa taswira kamili kuhusu chimbuko la Uislamu na kukupa majibu ya maswali ambayo Mohammad hakutaka wafuasi wake wajue, kama vile, kuwa Uislamu ni ibada za mwezi na nyota ambao ulivumbuliwa kwa minajili ya kueneza ugaidi kupitia vita.
1. Je, Hubal alichukuliwa kama mungu-mwezi? NDIYO.
2. Je, Kabah ilikuwa nyumba ya mungu-mwezi? NDIYO.
3. Je, jina la Allah hatimaye lilichukua nafasi ya lile la Hubal kama jina la mungu-mwezi? NDIYO.
4. Je, waliita Kabah kuwa ‘nyumba ya Allah’ ? NDIYO.
5. Je, wapagani walianzisha matambiko/ibada zilizoambatana na kuabudu miungu yao? NDIYO.
6. Je, wapagani walifanya hijj, Ramadan, kukimbia wakizunguka Kabah mara saba, kubusu jiwe jeusi, kunyoa upara, kutoa kafara za wanyama, kukimbia juu na chini kwenye milima miwili, kupiga shetani na mawe, kupuliza maji kutoka mapuani, kuabudu mara nyingi wakitazama Makka, kutoa misaada, kuswali ijumaa, n.k. NDIYO.
7. Je, mohammad aliamuru wafuasi wake kushiriki kwenye hizi sherehe za kipagani wakati wapagani walikuwa wakitawala Makka? NDIYO. (Yusuf Ali, fn. 214, pg. 78).
8. Je, Uislamu ulichukua na kufanya hizi ibada za kipagani kama sehemu ya ibada zao? NDIYO. (Yusuf Ali: fn. 223 pg. 80).
9. Je, waliitwa ‘mabinti zake Allah’? NDIYO.
10. Je, Kuran kwa wakati mmoja iliwaamuru Waislamu waabudu al-Lat, al-Uzza and Manat? NDIYO. In Surah 53:19-20.

Max Shimba Ministries Org
2016, May 27

TRENDING NOW