Friday, May 27, 2016

SHEIKH AHMAD AL KATANI AKIRI KUWA; KILA SAA LIKIPITA WAISLAM 667 WANAMPOKEA YESU

Akitoa ushuda kupitika Televisheni ya Al Jazeerah, Sheik Ahmad Al Katan ambaye ni Rais wa Kitengo cha Sayansi na Sharia za Kiislam huko Libya amekiri kuwa, kila saa likipita, Waislam 667 wanampokea Yesu na kuukacha Uislam.
Akionyesha kupagawa na kuto jua nini afanye, Sheikh Ahmad Al Katani alisema, Mfano kule Misri, nchi ambayo Biblia zilikuwa hazinunuliwi, lakini kwa mwa mmoja tu, teyari Biblia LAKI SITA zimeuzwa nchini humo, na maelfu kwa maelfu wanaendelea kuingia Ukristo.
Alisema tena, kule Sudan zaidi ya watu MILIONI MOJA wameingia Ukristo kwa kipingi cha miaka miwili tu.

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW