Friday, May 27, 2016

WAISLAM WA WAPAKISTANI ELFU KUMI (10,000) WAMPOKEA YESU KWA USIKU MMOJA

Mchungaji ANWAR FAZAL wa Kanisa la Eternal Life Ministries huko Pakistani amefanya mkutano wa uponyaji katika Kitongoji cha Lahore na kuwaongoza WAISLAM ELFU KUMI KWA USIKU MMOJA.
Habari zinasema kuwa, baada ya Wiki moja ya huo Mkutano wa Uponyaji, WAISLAM LAKI MOJA NA NUSU (150,000) Walimpokea Yesu na kuachana na dini ya UISLAM. WAISLAM HAO WOTE WAMEMKIRI YESU NA KUSEMA HAKIKA Allah na Mtume wake Muhammad wote ni BANDIA.
HAYA NI MAVUNO MAKUBWA SANA KWENYE NCHI YA KIISLAM KAMA PAKISTANI.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW