Friday, July 8, 2016

FAMILIA NZIMA YA SHEIKH NISSAR HUSSAIN YAMPOKEA YESU NA KUWA WAKRISTO


Bwana Nissar Hussan, mke wake Kubra na watoto wao SITA wameuacha Uislam na kuwa Wakristo.
Tukio hili limewachukiza sana Waislam na kuanza kuwafanyia vituko na vitimbi. Waislam wenye hasira kali wamevunja vunja gari lao na kuiba mali mbali mbali.
Bwana Nissar Hussan amesema kuwa Muhammad ni Mtume Bandia na mbaya sana na Waislam wote watakwenda Jehannam kama wakiendelea kuufuata Uislam. Zaidi ya hapo Bwana Nissar amekiri kuwa Yesu ni Mungu na amejaa upendo ambao hakuwai uona kwenye dini ya Uislam.

ALLAH AMEKIRI KUWA ISRAEL NI TAIFA BORA NA LA NEEMA KULIKO YOTE DUNIANI


1. Allah asema Israel ndio taifa la Mungu, Surat Al Baqara 47
2. Allah asema ardhi ya Israel ni ya Waisraeli, Soma Quran Surat Al Maida aya ya 21
3. Palestina yakatwa na haipo kwenye Quran.
Ndugu wasomaji,
Huu ni Msiba kwa Waislam wanao pigia debe Wapalestina. Hivi kwanini Allah hakuitaja Palestina kwenye Quran yake? Lakini ameitaja Israel na Wairaeli?
Surat Al Jaathiya 16. Na hakika tuliwapa Wana wa Israili Kitabu na hukumu na Unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote.
ALLAH ANASEMA KWA WAYAHUDI KUWA ARDHI YA ISRAEL IMETAKASWA NA IMEANDALIWA KWA AJILI YAO:
Allah (s.w.t.) amesema: Enyi watu wangu! Ingieni katika hiyo ardhi iliyotakaswa ambayo Allah amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika.(5:21)
Katika aya hapo juu, Allah anawaita Wayahudi kupitia Musa "WATU WANGU" zaidi ya hapo anawaambia kuwa Waende Israel kwenye ARDHI ILIYOTAKASWA, kumbe ata Allah anafahamu kuwa ardhi ya Israeli si ya Wapalestina. Ndugu msomaji, kwanini Allah anaiita ardhi ya Israel kuwa imetakaswa lakini hakuwai sema hivyo kwa Makka?
Ardhi hii imebarikiwa kiroho na kirutba. Ni jambo hili ndilo lililowafanya watu na staarabu tofauti kuigombania. Agano la Kale inatuhadithia ya kuwa ardhi hii ilibubujika asali na maziwa.(Hesabu, 13:27) Na katika kitabu cha Hesabu Sura ya 13 inatueleza kuwa WAISRAEL walipo kuwa wakitoka Misri walipata humo matunda ya makudhumani, tini na zaituni ambayo yalikuwa makubwa na kila tunda kubebwa na watu wawili.
Swali lamsingi: KWANINI ALLAH HAKUITAJA PALESTINA KWENYE QURAN YAKE?
Waislam, Allah kasema kwa Waisrel kuwa, WAINGIE KATIKA ARDHI ILIYOTAKASWA, sasa, kwanini nyie mnataka Wapalestina ambao hata Allah hawajui, wavamie ardhi ya Israeli?
Waislam wanawivu mkubwa sana kwa Israel kwasababu Allah amesema kuwa Israel ni ardhi iliyotakasika na hakusema kuwa Uarabuni kumetakasika. Huu ni MSIBA kwa Waislam.
ALLAH ANASEMA:
SURAT AL BAQARA 40. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi nitatimiza ahadi yenu, na niogopeni Mimi tu.
Allah anaendelea kusema kuwa Israel wana neema ya Mwenyezi Mungu, lakini hatusomi Palestina ikitajwa hata sekunde moja, wala hatusomi kuwa Waarabu wameneemika.
ALLAH ANASEMA KUWA ISRAEL NI ZAIDI YA WAARABU WOTE
Surat Al Baqara 47. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo.
ALLAH ANAKIRI KUWA AMEWATEUWA WAISRAELI KULIKO WATU WENGIENEO, IKIWEPO WAARABU, KUMBE NDIO MAANA WAARABU WANA CHUKI KUBWA KWA WAISRAELI KWASABABU WAO HAWAKUTEULIWA
Kama ulivyo soma hapo juu, Israel ina neema na ni zaidi ya wengine wote, pamoja na Palestina. Kumbe ndio maana Waarabu hawana ubavu kwa Israel.
Leo ningependa muelewe kuwa, Israel ni nchi iliyo barikiwa na hata Waarabu wafanye nini, hata Allah wao amekiri kuwa Waarabu wataendelea kufuata mkia kwa Israel mpaka Kiyama.
ALLAH KAWAPA ISRAEL KITABU, HUKUMU NA UNABII NA KUWAFADHILISHA KULIKO WALIMWENGU WOTE
Surat Al Jaathiya 16. Na hakika tuliwapa Wana wa Israili Kitabu na hukumu na Unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote.
Kumbe Israel wamepewa Unabii, Kitabu na Hukumu. Hii ndio sababu Waraabu wanaendelea kusaliti amri kwa Israel.
Kwanini Allah hakuitaja Palestina kwenye Quran?
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH NI MMOJA WA MIUNGU YA KIPAGANI

Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?
Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.
Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.
Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Nabii Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Mungu mbaye anaabudiwa na Waislamu.
Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri! 2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA:
Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?
(a) Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b) Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhammad alikuwa anaongelea ummah upi.
TATIZO LA PILI:
Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.
Surat Al Baqara 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.
2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu
Surah 3: 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.
KWENYE Surat Al Ankabut 46. Wala msijadiliane na Watu wa Kitabu ila kwa njia iliyo nzuri kabisa, isipo kuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tumeyaamini yaliyo teremshwa kwetu na yaliyo teremshwa kwenu. Na Mungu wetu na Mungu wenu ni Mmoja. Na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Muhammad anadai kuwa Mungu wa Wakristo, Wayahudi na Waislam ni mmoja.
Hivyo basi, kwenye ushahidi tulio sona unaonyesha kuwa kikundi cha (b) nacho kinaabud Mungu wa Waislam ingawa vilevile kinaabudu miungu mingine na mbalimbali.
Surah 29: 61. Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri yake? Bila ya shaka, watasema: Mwenyezi Mungu. Wapi basi wanako geuzwa? ***
62. Mwenyezi Mungu humkunjulia, na humdhikishia, riziki amtakaye katika waja wake. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu. ***
63. Na ukiwauliza: Ni nani anaye teremsha maji kutoka mbinguni, na akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake? Bila ya shaka watasema: Ni Mwenyezi Mungu. Sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Bali wengi katika wao hawafahamu. ***
Surat An Nahl 35. Na washirikina wanasema: Mwenyezi Mungu angeli taka tusingeli abudu chochote badala yake, sisi wala baba zetu, wala tusingeli harimisha chochote bila ya Yeye. Kama hivyo walifanya walio kuwa kabla yao. Basi lipo lolote juu ya Mitume isipo kuwa kubalighisha kwa uwazi? ***
Wapagani tulio wasoma hapo juu, walikuwa wanarudia na au sema maneno ambayo Allah aliyasema kwa Muhammad.
Surat Al Ana’am 107. Na lau Mwenyezi Mungu angeli penda, wasingeli shiriki. Na Sisi hatukukufanya wewe uwe mtunzaji wao. Wala wewe si mlinzi juu yao. ***
Mwisho basi:
Surat Azzumar 3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri. ***
Katika aya hapo juu, tumejifunza kuwa mungu wa Wapagani ni Allah, na hao miungu wao wengine walikuwa ni wasaidizi katika kumwabudu Allah. Hivyo basi, Allah, ndie aliye kuwa MUNGU WA MKUU WA KIPAGANI.
Kuna aya moja katika Quran ambayo inawasema watu ambao wanamwamini Allah kama muumba wa vitu vyote:
Surah Luqman (31:25). Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe sema: Alhamdulillahi! Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Lakini wengi wao hawajui kama hii aya inazungumzia kundi la A au B, au yote mawili, hii aya ipo wazi kuwa, Muhamamd alijua ni kuwa anamwamini Allah wa Magani wa Mekkah.
Ngoja niweke kwa kifupi hiyo aya:
1. Wakristo na Wayahudi wanadaiwa kumwabudu Allah.
2. Wapagani na waislam vilevile nao wanamwabudu Allah, ingawa walikuwa na miungu wengine.
Kama hii ndio dai letu, ni kivipi Surah 109 idai kuwa Makafiri hawamwabudu mungu wa Muhammad na hawaabudu anacho abudu Muhammad?
Kusema kuwa hii aya inahusu waabudu “idols” ni Wapagani peke yao, ni uongo kwasababu zifuatazo:
1. Waislam wanafahamuje kuwa hii aya iliteremshwa kwa ajili ya Wapagani peke yao?
2. Hata kama hii aya ilikuwa inawaongelea Wapagani peke yao, je, Quran si inasema kuwa Wapagani walijua kuwa wanamwabudu Allah, na hivyobasi walikuwa wanaabudu alicho kuwa anaabudu Muhammad.
Ni kweli kuwa Muhammad hakuabudu miungu wao wote, lakini ukweli unabakia palepale kuwa wote Muhammad na Wapagani waliabudu mungu wa Kipagani aitwaye Allah kama ilivyo semwa kwenye sura 109:3.
Kwa mfano, Quran inadai kuwa Muhammad aabudu ambacho Wapagani waliabudu isipokuwa Allah:
Surat Yunus (10: 104). Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.
Surat Ghafir (40:66). Sema: Mimi nimekatazwa kuwaabudu hao mnao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, zilipo nijia hoja zilizo dhaahiri kutokana na Mola wangu Mlezi. Na nimeamrishwa nisilimu kwa Mola wa walimwengu wote.
Hizo aya hapo juu zinasema kuwa, Wapagani walikuwa wanamwabudu Allah, pamoja na miungu wengine wa kipagani.
Hivyo basi, leo tumejifunza kwa undani kabisha kuwa Muhammad alikuwa anamwabudu Allah ambaye ni mungu wa kipagani. Jina la Baba yake Muhammad ni Abdallah, likimaanisha slave of allah. Inafahamika kuwa Muhammad ndie muislam wa kwanza, au sio. Kama hayo madai ni kweli, je, baba yake Muhammad alilipata wapi jina la Abdallah kama si yule Allah mungu wa kipagani?
Hakika Allah aabudiwe na Wapagani ni yule yule ambaye aliabudiwa na Muhammad.
Katika Hudma yake
Max Shimba Ministries
@February 9, 2016.

ADAM, MUSA, IBRAHIM, ISMAIL, NA DAUDI HAWAKUWA WAISLAM


Ndugu msomaji,
Waumini wa dini ya Kiislam wamekuwa na tabia ya kusema kuwa, eti, Adam, Musa, Ibrahim, Ismail, na Daudi walikuwa ni Waislam. Madai haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa na ushaidi yakinifu na wa aya ili kusaidia madai yao.
Leo nitajibu madai haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:
ADAM, MUSA, IBRAHIM DAUDI HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanye shahada. Adam, Musa, Ibrahim, Ismail na Daudi hawakusema SHAHADA (la ilaha illallah muhammadur rasulullah) na hakuna ushaidi wa Kibiblia, Historia au Koran unao sema kuwa Adam, Musa, Ibrahim, Ismail, na Daudi walisema SHAHADA. Hivyo basi, Adam, Musa, Ibrahim, Ismail, na Daudi hawakuwa Muislam.
SASA NITAANZA KUHOJI UISLAM KWA KUPITIA QURAN, KAMA KWELI ADAM, MUSA, IBRAHIM, ISMAIL, NA DAUDI WALIKUWA WAISLAM:
ALLAH ANASEMA KILA UMMA AMEUPA KITABU NA MTUME:
Soma;
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.
Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.
ALLAH ANASEMA KILA UMMA ALIUTUMIA MTUME:
Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.
NABII ADAM::::::::::::::::::::
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA ADAM NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:
Kama kweli Allah aliteremsha Kitabu kwa kila Umma, na Adam ni Nabii wa Allah, basi ningependa mnijibu maswali yafuatayo:
1. ADAM alipewa kitabu gani, naomba mtuwekee nakala yake hapa na mtuambie jina la hicho Kitabu.
2. ADAM alikuwa Nabii wa Umma gani, wakati yeye ndie alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa? [Naomba mtutajie jina la Umma wa Nabii Adam]
3. Tuleteeni ushahidi wa aya kwenye hicho kitabu cha ADAM kuwa ADAM alisema shahada.
NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya hakupewa Adam.
NABII MUSA:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA MUSA NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:
Allah anaendelea kusema kuwa aliteremsha Taurat kwa Nabii wake Musa.
Surat Al Baqara 136. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
Kama kweli Musa alipewa na au teremshiwa kitabu na Allah, basi naomba mnijibu maswali yafuatayo:
1. Kipo wapi na au ipo wapi NAKALA YA TAURAT ambayo Allah aliiteremsha kwa Musa kabla ya Quran?
2. MUSA alikuwa Nabii wa UMMAH gani? Naomba muutaje huo Ummah kwa jina.
3. Tuleteeni ushahidi wa aya kwenye hicho kitabu cha MUSA kuwa MUSA alisema shahada.
NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Taurat ya Musa iliyo teremshwa kabla ya Quran.
NABII IBRAHIM:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA IBRAHIM NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.
Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
S. 3:67 Shakir: Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Allah amesema kila Umma ulipewa Nabii na ujumbe "Kitabu" na Ibrahima alikuwa Muislam, SASA BASI.
1. Waislam, Nitajieni jina la kitabu ambacho Ibrahim alipewa na Allah?
2. Nileteeni ushahid wa aya kutoka hicho kitabu kuwa Ibrahim alisema Shahada.
3. Nitajieni jina la Ummah ambao Ibrahim alikuwa Nabii wake?
4. Allah anasema kuwa Ibrahim hakuwa Yahudi wa Mkristo, kama hayo madai ni kweli, KWANINI WAISLAM WANASEMA KUWA UKRISTO ULIANZISHWA NA PAULO, huku ALLAH ANAKIRI KUWA HATA WAKATI WA IBRAHIM KULIKUWA NA UKRISTO?
NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio Kitabu ambacho Ibrahim aliteremshiwa kabla ya Quran.
NABII DAUDI:
ALLAH NA WAISLAM WANASEMA KUWA DAUDI NI NABII NA ALIKUWA MUISLAM:
ALLAH ANASEMA "NA DAUDI TUKAMPA ZABURI :
Surat An Nissai aya 163, Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi. S. 4:163
Kama ni kweli Allah aliteremsha Zaburi kwa Daudi, basi maswali yafuatayo lazima yapewe majibu:
1. Daudi alikuwa Nabii wa Ummah upi, naomba Waislam muutaje huo ummah kwa jina.
2. Ipo wapi NAKALA YA ZABURI ambayo Allah aliiteremsha kwa Daudi kabla ya Quran?
3. Daudi alipokea hiyo Zaburi akiwa Mji gani?
4. Leteni aya kutoka Zaburi aliyo iteremsha Allah kabla ya Quran ambayo DAUDI anasema SHAHADA.
NOTE: Aya za Quran sina muda nazo maana hizo aya sio ZABURI ambay iliteremshiwa kabla ya Quran.
MKINILETEA UTHIBISHO WA MASWALI YANGU HAPO JUU,
BASI LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM
Katika huduma yake,
Max Shimba Ministries

BIBLIA TAKATIFU HAIKUCHOMEKA QURAN YACHOMEKA NA KUBAKIA MASIZI

Hii BIBLIA TAKATIFU ya Mwenyezi Mungu haikuchomeka kwenye moto ulioteketeza mabweni ya shule iv maajuzi Kisii. Kila kitu kitaisha lakini NENO LA MUNGU LITASIMAMA IMARA Glory be to GOD
LAKINI Quran ya Allah ilichomeka na kubakia masizi.

DHABIHU YA DAMU KATIKA JINA LA ALLAH




1. IBADA YA HALAL NI MBINU YA KUNYONYA DAMU
2. JIHAD/UGAIDI NI NJIA MOJAWAPO AMBAYO ALLAH ANATUMIA KUNYONYA DAMU
Ungana nami katika somo letu la leo na uone siri kubwa ambayo Allah ameifanya na kuificha kwa karne kadhaa.
Ndugu zanguni.
Leo ningependa tusome kuhusu Dhabihu ya Damu ambayo Waislam huwa wanaifanya kwa Mungu wao kwa kutumia mtego wa Halal wakati wakichinja Wanyama.
IBADA YA HALAL
Uchinjaji wa "Halal" ni ibada ambayo wanaifanya kila wachinjapo Mnyama huku wakimwomba "mungu" wao ajulikanaye kwa jina la Allah. Soma Alameye Tabataba i, p 177.
KUCHINJA WATU VICHWA
Allah anapenda kunywa damu za Watu na Wanyama. Soma "Blood of Allah Chapter 5". Ndio maana Allah anadai kuwa uchinjaji wa Wanyama ni kwa Waislam pekee, kumbe Allah anataka damu ya Mnyama ifanyiwe dhabihu ili aweze kuinywa. Zaidi ya hapo, Waislam ndio wenye tabia na utamaduni wa kuchinja watu kwa madai kuwa eti, umeikashif dini ya Allah na Mtume wake, kumbe huu ni mtego ule ule wa Allah wa kutaka kunywa damu za Watu na Wanyama; soma Shaykh al Kulayni, al-kafi v1 p 149.
NYAMA YA IBADA YA HALAL
Mkristo unapo nunua nyama kutoka maduka ya Kiislam ambayo ni halal, basi elewa kuwa unanunua nyama ambayo imefanyiwa ibada kwa Allah wao ambaye alikunywa damu ya huyo mnyama baada ya kuifanyia ibada ya kuchinja huyo mnyama kwa jina la Allah.
JIHAD NA UGAIDI NI UNYONYAJI WA DAMU
Allah ni mnyonya damu Soma Al Bahrani, Al Buhran Fi Tafsir- Al Quran v 3, p 528. Unaweza niuliza kivipi Allah ananyonya damu? Mtego ambao Allah anautumia mara nyingi ni ule wa Jihad kwa Waislam wote. Allah anasema kuwa, unapo jiua kwa sababu ya Allah "Mataya" basi wewe unakwenda moja kwa moja AKhera, lakini kinacho tokea hapo ni Allah anapata damu ya Binadamu na Nyama yake kama kitoweo.
Hadith ya Msema Kweli Bhukar V4, Kitabu 52, Namba 41 inasema kuwa jambo jema ambalo Muislam anawea kulifanya ni kupigana mpaka kufa kwa ajili ya Allah. Hii ndio mbinu ambayo Allah anaitumia kupata damu na nyama za watu. Ukienda kwenye Nchi za Mashariki ya Kati, hii tabia ya Kujilipua na kufa huku wakisema Allahu Akbar ni mbinu ya kumfanyia dhabihu ya damu kwa Allah ambaye maisha yake yanatemea damu za Watu na wanyama.
Ndugu zanguni, leo tumeoa jinsi Allah anavyo tega watu kwa kuwaambia wapigane mpaka kufa kwa ajili ya Allah. Kumbe Allah anatafuta damu za watu ili anywe.
Nafahamu Waislam wengi watapinga huu ukweli, lakini wenye macho na masikio wanaona na kusikia jinsi Waislam wanavyo jitoa mhanga na kufa kwa ajili ya Allah. Hakika hawa wamepotea na kufanya mauaji ya miili yao. Kujiua kwa ajili ya Allah ni kufanya Mauaji ya mwili wako. Hilo ni kosa na dhambi mbele ya Mungu. Biblia inasema katika Amri moja ya zile kumi za Mungu, kuwa Usi Uwe. Sasa Ndugu zetu wao wanauwa miili yao kwa Allah. Hiyo ni dhambi ya kwenda Jehannam.
Allah si Mungu na hana sifa za Mungu. Nawakaribisha kwa Mungu aliye hai na aliye kufa wa ajili ya dhambi zetu. Mpokeeni ili muwe na uzima wa Milele.
Katika Huduma yake,
Max Shimba
For Max Shimba Ministries 2013

ALLAH NA MUHAMMAD WAKIRI KUWA YESU NI MWOKOZI NA SHETANI NDIE KIONGOZI WA DINI YA UISLAMU



1. QURAN YAKIRI KUWA YESU NDIE MWOKOZI
2. QURAN YAKIRI KUWA WAISLAM WANABEBA MIZIGO MIBAYA SANA.
3. QURAN YAKIRI KUWA SHETANI ANAKAA KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA – UISLAMU.
4. MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI NA KUWA MUISLAMU.
Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.
Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA
Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani
SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;
Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.
Maandiko yanasema kuwa MUNGU NI ROHO, sasa aliye UWAWA NI MWILI TU BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA
1 Timotheo 6:15-16 15 ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; 16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina
Kumbe basi Yesu aliungama maungamo mazuri mazuri SOMA aya ya 13 katika 1 Timotheo 6: Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato, Ushaihid zaidi soma Luka 18: 31.
LAKINI ndugu zetu Waislam wanasema kuwa MSALABA NI ALAMA YA SHETANI, HEBU TUANZE NA QURAN 7:16 16. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
SHETANI ANAMWAMBIA ALLAH KUWA, Kwa kuwa umenihukumia upotofu, BASI NITAWAVIZIA KATIKA NJIA YAKO ILIYO NYOOKA.
SHETANI AMEAPA KUWA ATAKETI KATIKA NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA.
SASA HII NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA AMBAYO SHETANI ameapa atakaa kwenye hiyo njia, ni ipi?
QURAN 6: 126. Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi ILIYO NYOOKA. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
KUMBE SHETANI AMEKETI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA AMBAYO NI DINI YA UISLAMU, QURAN 7:16.
Kwasababu Shetani kaketi huko kwenye njia iliyo nyooka, ndio maana Shetani ana dini, au unabisha?
MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa Shetani anakaa kwenye Njia Iliyo nyooka na alisilimu na kuwa Muislam.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 9, 2016

UTHIBITISHO 12 KUWA ALLAH SIO MUNGU


Leo nitawapa Sababu 12 kwanini Allah sio Mwenyezi Mungu.
1. ALLAH HANA JINA KAMILI NA SIO YEHOVA
Quran. 17 au surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………
2. ALLAH ANAMAADUI AMBAO NI WAKRISTO NA WAYAHUDI
mungu wao ana maadui wake ambao ni Wakristo na Wayahudi.
Quran 4:51 na 57 (surat Al Maida)
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
3. ALLAH NA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAM
Wafuasi wote wa Allah wanangojea moto wa jehanam kisha waokolewe waislam baadaye kutoka motoni
Quran 19:70-72
Tena hakika sisi tunawajuwa vyema Zaidi wanaostahiki kuunguzwa humo Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia.
Hiyo ni hukumu ya Mola wako mlezi ambayo lazima itimizwe. Kisha tutawaokoa wale waliomcha Mungu; na tutawaacha madhalimu humo hali wamepiga magoti motoni.
4. ALLAH ANAINGIA JEHANNAM WAKATI MUNGU WA BIBLIA HATA INGIA JEHANNAM
Allah wao ataionja Jehanamu pia
Quran 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: Mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha
5. ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA WAKATI MUNGU WA BIBLIA ANAPONYA WAGONJWA!!
Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Cha kushangaza, Allah na Jibril pamoja walishindwa kumponya Muhammad, huu sasa ni Ushahid tosha kuwa Allah hana uwezo wa kuponya bali ndie anaye tupia watu Magonjwa.
6. ALLAH NDIE HUWAPA MAGONJWA WAUMINI WAKE
Kumbukumbu na Bukhari katika al-Adab ul-Mufrad (namba 493), kuthibitishwa halisi na al-Albani
"Usitarajie mazuri, kwa sababu Allah ndiye huwapa magonjwa waumini wake kama kafara (kwa ajili ya dhambi yake) ili kumpumzisha, na kwa Makafiri ni kama ugonjwa ni kama Ngamia aliye fungwa na Bwana wake, humuachia huru pale anapotaka, ni hawezi kuelewa ni kwa nini alikuwa amefungwa, wala kwa nini ni huru. "
Kitu cha kushangaza, hawa Waislam wanakwenda Hospitali kupata matibabu huku wakifahamu kuwa Allah ndie aliye watupia Magonjwa. Huu ni Msiba katikaa Uislam.
7. JAMANI KWANINI TUMFUATE ALLAH ANAYE TOA MAGONJWA?
ALLAH ALIUGUA MACHO:
Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Hapa inaonekana Allah alijisahau na akajitupia Ugonjwa wa Macho, RED EYES. Sasa Mungu gani huyu anaye Umwa kama Viumbe? Hakika Allah si Mungu bali ni kiumbe,
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
8. ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO
Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
9. ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.
10. ALLAH ANAKAA KWENYE KITI KAMA VIUMBE
Katika Sura 69:17 Surat al-Haaqqah tunasoma maneno haya:
“Na malaika watakuwa kandoni mwake na malaika wa namna nane watachukua kiti cha enzi cha Mola wako juu ya…”
Tena katika Sura 85:15 Syrat Buruj inamtaja Mungu wa Waislamu aitwaye Allah kuwa yeye ndiye mmiliki wa kiti cha enzi.
Swali ambalo napenda kuwauliza Waislamu wote Allah kumiliki kiti cha enzi. Je, kiti hicho anakifanyia nini? Huenda watu wakanishangaa. Nasema hivyo nikiwa na maana ya je, Allah naye anakaa katika kiti kama wakaavyo wanadamu? Je, ana miguu kama mwanadamu kama anakaa kama mwanadamu katika kiti cha enzi, basi haikosi hana tofauti na mwanadamu.
Angalia katika Sura ya 69: 44-45 Surat Al-haqqah twasoma.
“Na kama (mtume) angelizuia juu yetu baadhi ya maneno tu bila shaka tungalimshika kwa mkono wa kuume”.
Aya hii inaonesha kuwa Allah ana mkono wa kuume. Na kama Allah ana mkono wa kuume atakosaje mkono wa kushoto? Na kama Allah anasema atakosaje mdomo? Basi ondoeni dhana ya kwamba Allah hana mfano.
11. ALLAH ANA MIKONO KAMA VIUMBE
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)
12. ALLAH ANA MIGUU NA NYAYO KAMA VIUMBE
“Nyayo Za Mwenyezi Mungu” Na “Muundi Na Mguu” Wake!!”
Katika kitabu cha Tawhiid cha Ibn Khuzaimah, hadithi mbalimbali zinazohusiana na ‘mguu’ na ‘nyayo’ za Mwenyezi Mungu zimetajwa humo, aghalabu zikisimuliwa na Abu Huraira. Na zinaweza kupatikana vilevile katika Sahih Bukhari, Sahih Muslim, Sunan Tirmidhi, Musnad Ahmad Hanbal na Tafsiir za akina Tabari, Ibn Kathiir na Suyuti.
Abu Huraira anasimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):
“Pepo na Jahannam zilikuwa na mzozo, kila kimoja kikijaribu kuonyesha ule ubora wake juu ya kingine.” Basi Jahannam ikazungumza: “Mimi nimependelewa kwa kuwepo kwa wale watu wenye kiburi na nguvu ndani yangu.” Pepo ikajibu: “Mimi sijui ni kwa nini hakuna mtu isipokuwa wale dhaifu na wanyenyekevu ndio walioingizwa ndani yangu!”
Hivyo Mwenyezi Mungu akaiambia Pepo:
“Wewe ndiye Msamaha Wangu, na kupitia kwako ninatoa msamaha kwa yeyote kati ya waja Wangu.”
Halafu Yeye akazungumza na Jahannam:
“Wewe ndio ghadhabu Yangu, na kupitia kwako wewe ninamuadhibu yeyote nitakaye kumuadhibu. Kila mmoja wenu atajaa.”
“Bali Jahannam haitajaa, hivyo Mwenyezi Mungu ataingiza mguu Wake ndani yake.”
Kisha Jahannam itagutia:
“Tosha! Inatosha!”
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Miguu na nyayo. ALLAH SIO MUNGU.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed

WAZIRI MKUU WA ISRAEL BENJAMIN NETANYAHU ATEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI



Mungu ibariki Israel
Kwa habari kamili soma hapa chini:
Prime Minister Benjamin Netanyahu issued the following statement today at the African summit in Uganda:
"This meeting I think will be a milestone, the meeting of seven leaders from African countries with Israel. I think it underscores the fact that we are in a monumental change in the relations between Israel and Africa, beginning here. It is warranted by the great changes that are taking place in the world. We at once have an enormous boost and jump towards development, towards the possibilities of this new century, with all the promises of technology; but at the same time, we have a savage medievalism that seeks to take all our societies back, to destroy them, destroy our freedoms and destroy our hopes.
So we at once have to do two things: Develop our countries into the future, and fight back the forces that want to take us to a dark past. And we can do this. I believe Israel is the perfect partner for the countries of Africa. I want to thank deeply all the Excellencies, the leaders who came here, again on short notice, to attend this summit. From our conversations, I think we put flesh on this structure. We believe it. It's not something we say, lip service – we give lip service to. We believe it. We've begun to do it among our respective countries. But I believe that we see opportunities in expanding this to Africa as a whole.
Israel has fought terrorism and has developed, as you said Mr. President today, we've developed certain capacities, which I think are important for the defense of the world against this global onslaught of terrorism. But equally, we have tremendous opportunities. We've solved our water problem, even though we're a very dry land. We've solved our agricultural problem. We produce, with great productivity, vegetables, dairy. I'm always boasting which cow produces more milk per cow? In the world, you think it's a French cow or a Dutch cow. It's an Israeli cow. It's a computerized cow, every moo is monitored, you know?
But we are eager to share this technology in so many fields with our African friends. We think that Israel now is the best partner that the countries of Africa could have, and it's something that is dear to our hearts. The founder of modern Zionism, the national movement of the Jewish people, was Theodore Herzl, and he said, "After I liberate the Jewish people, I will go to Africa to help liberate the black people." We have our African brethren, the Ethiopian Jews, who are in our society, and I personally work every few weeks to help integrate more and more and incorporate in our society.
I believe this. I believe in Africa. I believe in your future and I believe in our partnership for this future. And I believe that this meeting will be seen as a turning point in Israel's ability to reach a broad number of African countries, which is our goal. We want a better future for you, a better future for all of us, and we think we can be your perfect partners.
So once again, I thank you for this extraordinary display of hospitality and warmth and friendship. Israel is coming back to Africa; Africa is coming back to Israel."
Photos: Kobi Gideon, GPO 👏👏👏👍🏻

WAISLAM WANAABUDU MWEZI


Hivi kati ya Allah na Mwezi ni nani mwenye MAMLAKA?
Ndugu zanguni
Leo ningependa kuwafahamisha kuwa, Allah na Waislam wote wanaabudu Mwezi! Unaweza kuniuliza kivipi hawa Waislam wanaabudu Mwezi.
KUMBE MWEZI NDIYE MOLA MLEZI ANAYEABUDIWA NA WAISLAMU!
Q6:77 SURAT AL - AN-A'AM
Alipo uona mwezi unachomoza alisema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Ulipotua asema:Kama Mola Mlezi wangu hakuniongoa, nitakuwa katika kaumu walio potea.
HII NDIYO SIRI YA ILE NYOTA NA MWEZI ILIYO JUU YA KILA MSIKITI!
"ALLAHU AKBAR
Ngoja nikujibu kwa fikra pevu.
Hivi kati ya Allah na Mwezi nani mwenye mamlaka? Nafahamu bado hujanipata kuwa nasema nini na ua nauliza nini. Hilo ni swali ambalo wengi wanaweza kukurupuka na kukosa kusema jibu sahihi. Jibu lake ni hili. MWEZI UNA MAMLAKA ZAIDI YA ALLAH.
Ngoja nikufungue macho.
Waislam wanapofunga Saumu/Ramadahani, kabla ya hiyo shughuli ya mfungo wanasubiri mwezi. Hilo ni la kwanza. Cha ajabu hata siku ya kufungua, dini hii ya Allah bado inategemea MWEZI, ni kimaanisha kuwa, ni MWEZI NDIO WENYE MAMLAKA YA MWISHO YA KUSEMA KUWA, HAWA WAISLAM WAFUNGUE MFUNGO. Kama bado hujanipata, basi ngoja nikufungue zaidi macho. Waislam wanafungua na kusherehekea Iddi baada ya MWEZI KUANDAMA.
Sasa kama kufunga ilikuwa ni kwa ajili ya ALLAH, kivipi ALLAH ashindwe kuwapa tarehe ya kufungua? Kwanini Mwezi ndio unakuwa na Mmlaka zaidi ya Allah? Kumbe basi, Mwezi ndio Allah mwenyewe. Wataalam wa dini wanasema kuwa Allah ni Mungu Mwezi (Allah is a God Moon).
Hakika leo tumejifunza kuwa kumbe Mwezi na Allah ni kitu mimoja na au Mwezi Unanguvu kuliko Allah.
Nategemea hili somo fupi limekufumbua macho kuhusu Uislam.
Allah si Mungu bali ni Mwezi.
Katika Huduma yake,
Max Shimba
Max Shimba Ministries 2013

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW