Tuesday, August 2, 2016

JE, UNAFAHAMU KUWA WEWE UNAYE PINGA UUNGU WA YESU NI KAFIRI?

JE, UNAFAHAMU KUWA WANAO PINGA WOKOVU KUPITIA YESU KRISTO NI MAKAFIRI?
Ndugu msomaji,
Utawasikia wakisema, Uislam ndio dini ya haki na ya Mwenyezi Mungu. Wanaendelea kusema kuwa, hakuna kuokoka hapa dunia bali Akhera. Hii ndio sifa ya Kafiri, anapinga WOKOVU KUPITIA YESU KRISTO. ZAIDI YA HAPO WANAPINGA UUNGU WA YESU.
KAFIRI SIO TUSI BALI NI WASIFA WA MTU ANAYE PINGA UPENDO WA YEHOVA. KAFIRI NI MTU YEYOTE YULE, AU KIUMBE CHECHOTE KILE KINACHO PINGA UPENDO WA MUNGU KWA BINADAMU WA KUJA KUMUOKOA KATIKA DHAMBI.
NENO KAFIR LINAMAANISHA ASIYE AMINI. Waislamu hawaanini kuwa Yesu Kristo ni Mungu. Waislamu hawaamini kuwa Yesu Kristo anaweza kuponya dhambi za mwanadamu. Waislamu hawaamini kuwa Yesu Kristo yu hai. Hivyo waislamu ni makafiri.
NENO Kāfir INAMAANISHA MTU AMBAYE ANAJIFICHA AU ANAFICHA MABAYA. Waislamu wanaficha ajenda zao kutumia TAQIYYA NA KITMAN. Na kumbuka pia Quran inaruhusu waislamu kudanganya. Wanadanganya kuwa Yesu sio Mwokozi wa Ulimwengu.
UKIMSIKIA MTU ANASEMA MUNGU ATAWEZAJE KUJA DUNIANI KATIKA MWILI, BASI HUYO NI KAFIRI MAANA ANAFIKIRIA MUNGU HANA UWEZO WA KUFANYA ATAKALO NA ANAMLINGANISHA MUNGU NA BINADAMU.
JE, YESU NI NANI KWAKO?
Watu wengi humtambua Yesu Kristo kama mtu mzuri, Mwalimu Mkuu, au hata pia Nabii wa Mungu. Haya maelezo huenda yakawa ni kweli kabisa kuhusu Yesu, lakini hayaelezei vizuri yeye ni nani. Bibilia inatuambia yakwamba Yesu ni Mungu katika mwili, Mungu alifanyika kuwa mwanadamu (Tazama Yohana 1:1, 14). Mungu alikuja ulimwenguni kutufundisha, kutuponya, kuturekebisha, kutusamehe-na kufa kwa ajili yetu! Yesu Kristo ni Mungu, Muumbaji, Mungu Mkuu. Je umemkubali huyu Yesu?
Bibilia inatwambia yakwamba sote tumefanya dhambi, sote tumetenda maovu (Warumi 3:10-18). Kwa wajibu wa dhambi zetu, basi twastahili hasira za Mungu na pia hukumu. Adhabu ya pekee kwa kufanya dhambi kinyume chake asiye kuwa na mwisho na Mungu wa milele ni adhabu isiyokuwa na mwisho au mipaka (Warumi 6:23; Ufunuo wa Yohana 20:11-15). Hii ndio sababu tunahitaji Mkombozi!
Yesu Kristo, alikuja duniani na akatufia pahali petu. Kifo chake Yesu, kama Mungu katika mwili, ilikuwa ni malipo yasiyokuwa na mwisho kwa ajili ya dhambi zetu (2 Wakorintho 5:21). Yesu alikufa ili kutulipia mshahara wa dhambi zetu (Warumi 5:8). Yesu alitulipia deni ili tukaweze kuwa na uhuru. Kufufuka kwake Yesu katika wafu kulidhihirisha yakwamba kifo chake kilitosha kulipa mshahara wa dhambi zetu. Hii ndiyo sababu yakuwa Yesu Kristo ndiye Mkombozi tu wa pekee (Yohana14:6; Matendo 4:12)! Je, unamwamini Yesu kama mwokozi wako?
LAKINI NILIPO ISOMA QURAN NIKAGUNDUA KUWA ALLAH ANAMPINGA WOKOVU WA YESU KWASABABU YEYE ALLAH HANA UWEZO WA KUSAMEHE DHAMBI.
SASA, KWANINI WAISLAM WANAMSWALIA MUHAMMAD ALIYE KUFA NA DHAMBI?
Quran inaendelea kusema kuwa wale walio kuwa katika Umauti kamwe Allah hana uwezo wa kuwasamehe dhambi, ingawa WAISLAM bado wana utamaduni wa kuombea Maiti msamaha ili Allah aipokee roho ya marehemu.
Suratul Muuminum 101. Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana. ***102. Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa. ***103. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na katika Jahannamu watadumu. ***104. Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana. ***105. Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha? ***106. Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea. ***107. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni. Na tufanyapo tena basi kweli sisi ni wenye kudhulumu. 108. Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze. 109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu. ***110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka. ***111. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu. 112. Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka? 113. Watasema: Tulikaa siku moja au sehemu ya siku. Basi waulize wanao weka hisabu. ***114. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo, laiti ingeli kuwa mnajua. ***115. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?
Katika hii suratul Muuminum tunasoma kuwa hawa ni Waislam walio zidiwa na dhanb, Allah atawakana na hato wasamehe ingawa ndugu zao waliwafanyia maombi wakati wa umauti na kuwasafisha ngama. Allah yeye anasema hato wasamehe hawa Waislam. Ushaidi mwingine unaweza upata hapa S. 35:36-37, S. 40:10-12 , S. 43:74-77, S. 67:6-11, S. 4:93
SASA, KWANINI NYIE WAISLAM MNAPINGA WOKOVU KUPITIA YESU HUKU MKIFAHAMU KUWA ALLAH HANA UWEZO WA KUSAMEHE DHAMBI?
HII SIFA YA KUPINGA WOKOVU KUPITIA YESU INAITWA UKAFIRI.
NARUDIA TENA, KAFIRI SIO TUSI BALI NI SIFA AU JINA TUU LENYE MAANA YA MPINGA IMANI AU DINI AU KUMZULIA MWENYEZI MUNGU UONGO, AU ANAE ENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU ZILIZO KUWEPO KABLA YA QURAN.
NENO KAFIRI KULINGANA NA KURAN NI MWABUDU SANAMU AU MCHAWI. Chimbuko la allah linatokana na kuabudu sanamu ambalo ni jiwe jeusi linaloitwa Ka'bah aka: kabah. Vilevile Waarabu walikuwa wanaabudu nyota na mwezi (Sahih al-Bukhari, Vol 5, #661.) Waislamu vilevile wanaamini majini hivyo kutumia majini kufanyia uchawi wao.
Waislam wanapinga Wokovu kupitia Yesu na wanadai kuwa ETI Yesu alikuwa Mtume tu na si chochote kile. Hii tabia ya kupinga Injili iliyo kuwepo kabla ya Quran inaitwa UKAFIRI.
Watu wengi huchukulia yakwamba Ukristo ni kuhudhuria kanisa, Kutoa makafara, kutofanya dhambi Fulani. Hiyo siyo Ukristo. Ukristo wa kweli ni ule uhusiano wa kibinafsi na Yesu Kristo. Kumkubali Yesu kibinafsi kama mwokozi wako inamaanisha kuweka imani yako kibinafsi kwake na kumwamini yeye. Hakuna aokokaye kupitia imani ya wengine. Hakuna asamehewaye kwa kutenda matendo aina Fulani. Njia ya pekee ya wokovu ni kumkubali Yesu kibinafsi kama mwokozi wa maisha yako, kuamini kifo chake kama malipo ya dhambi zako, na kufufuka kwake kama hakikisho kwako la uzima wa milele (Yohana3:16). Je, Yesu kibinafsi ni Mwokozi wako?
KAMA UMECHOKA KUWA KAFIRI NA UNGETAKA KUMKUBALI YESU KRISTO BINAFSI KAMA MWOKOZI WAKO, HEBU YASEME MANENO HAYA KWA MUNGU:
“Mungu, najua yakwamba nimefanya dhambi kinyume chako na ninastahili adhabu. Lakini Yesu Kristo aliichukua adhabu niliyostahili ili kwa kumwamini yeye, nipate kusamehewa. Ninaziacha dhambi zangu kwa kumaanisha na ninaweka imani yangu kwako ili niokolewe. Ninamkubali Yesu kibinafsi kama Mwokozi wangu! Ahsante kwa neema yako ya ajabu na kwa msamaha-karama ya uzima wa milele!
Amina!’’
Je, umefanya uamuzi kwa Kristo kwa kile ulicho soma hapa?
YESU ANAKUPENDA SANA NA HATAKI WEWE UWE KAFIRI.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo

JE, UNAZIFAHAMU KAFARA ZA KIMASHETANI?



Utangulizi:
Kwa akili zawatu zilivyo, wakisikia neno kafala wanakimbilia kwenye waganga wa kienyeji, lakini neno hili kafara kwenye Biblia ndio linaitwa dhabihu kwenye Biblia, kuna maadiko kadhaa yanayo taja kafara kwenye Biblia kama ifuatavyo :- Mambo ya Walawi 2 :2, 9, 16; Mambo ya Walawi 10:13, 14, maandiko haya yanataja neno kafara kwenye Biblia na limeonekana mara nyingi, hii ni kukuonyesha kuwa neno kafala lipo kwenye Biblia na lina maana sahihi, kwahiyo Kafara ni Sadaka inayotolewa kwa ajili ya kupokea jambo fulani kutoka ulimwengu wa roho aidha kwa Mungu au kwa Shetani.
Maana ya Kafara:
KAFARA NI SADAKA INAYOTOLEWA KWA AJILI YA KUPOKEA JAMBO FULANI KUTOKA ULIMWENGU WA ROHO, AIDHA KWA MUNGU AU SHETANI.
KUWA MAKINI NA KAFARA ZILIZOTOLEWA KWA MASHETANI
Kumbe shetani anaweza kutolewa kafaraza aina mbalimbali inaweza kuwa ya vinywaji, uji, nafaka, harufu, watoto au watu wazima; na ni muhimu kuwa makini sana na kuhudhuria sherehe ambazo si za ki Mungu kwasababu waweza kujikuta unashiriki kwenye sadaka hiyo. Kuna watu ambao matatizo yao yamewaanza baada ya kushiriki chakula cha kafara jambo hili Biblia imekataza kwasababu ya madhara yake.
Ufunuo 5:8; 8:3 hapa Biblia inataja Sadaka ya harufu, na ndio maana ukienda kwenye maduka mengi utakuta wameweka vitu vinaitwa ubani; Hii ni Sadaka au Kafala ya kuteketezwa kwa majini, Isaya 43:23; Yeremia 6:20; 17:26, Ubani na Udi ni Sadaka ya kuteketezwa, kimsingi; ile harufu ndiyo inayoifanya iitwe Sadaka ya kuteketezwa, kwahiyo mtu unayemuona anachoma ubani ni anakuwa anatoa kafara ya ubani. Nehemia 13:9. Sadaka za unga na Sadaka za ubani. Kimsingi watu tuliookolewa hatutoi sadaka za ubani kwasababu Biblia inasema maombi ya watakatifu ndio sadaka ya harufu kwa Mungu, Yohana 19:39.
Kumbe unapoona mahali au duka ukakuta wanachoma udi kimsingi ni kwamba wanaita Mashetani ambayo yanawasaidia kuleta wateja. Na ndio maana maduka mengi yana kuwa na vitu hivi ambavyo ni kafara au sadaka ya harufu; ili majini yaite wateja. Na ndio maana watu wengi wenye majini wanapenda ubani kwasababu kile ndio chakula chao.
WATU WENYE WIVU WANAWEZA KUKUTOA KAFARA
Ndugu zangu kuna watu hata hawapendi kukuona unakula vizuri, au unapika vizuri au unasomesha.. na akiona huo wivu anaamua kwenda kukufanyizia kwa mganga wa kienyeji..ambapo ataambiwa atoe kafara kwa ajili ya kukuangamiza wewe..
1 Wakorintho 10:20 Sivyo, lakini vitu vile wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mashetani. 21 Hamwezi kushirikiana katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani. 22 Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?
Zaburi 126:38 kumbe kuna uwezekano wa watu kutoa kafara kwa mashetani. Na biblia inalikubali hili kupitia maandiko hayo tuliyoyaona hapo. unaweza kuwekewa pepo la udhaifu kupitia kafara.
Luka 13:10 Pepo wa udhaifu.. mtu anaweza kukutolea kafara ili ufe kifo cha Ghafla.
KWELI KUHUSU KAFARA:
Mtoto au mtu akitolewa kafara anakuwa ameuwawa Mwili na kupewa majini au mashetani, katika Biblia shetani anayehusika na mambo ya kafara, Mambo ya Walawi 18:21; ukisoma Biblia ya Kiswahili unaweza ukahisi moleki ni mtu lakini tuangalie kwenye Biblia ya kingereza “do not give out your children to be sacrifices..” Mambo ya Walawi 20:2 “who sacrifices.. kumbe inawezekana unaumwa na upo kwenye ugonjwa kumbe ndio unatolewa kafara hivyo..
Kumbe sasa waweza kumwona mtu amekufa na ugonjwa Fulani kumbe ni kafara, mwingine anatoa kafara kwa ajili ya utajiri. Mambo ya Walawi 20:3, pia tunaona kuwa kumbe wachawi hawa wanatoa ndugu na si mtu ambaye hamjui. Yaani kama una ndugu wa karibu au wa mbali ambaye ni mchawi, Yule ndiye anayeweza kukutoa kafara, na kwenye kitabu cha Mambo ya walawi shetani aliyekuwa anahusika na kafara aliitwa Moleki. Walawi 20:4,5 2Wafalme 20:10
Hayo maandiko ni ya agano la kale lakini pia katika agano jipya jambo hili limetajwa pia; 2 Wakorintho 10:20 “.”
NGUVU YA KAFARA:
Unaweza ukajiuliza kafara inafanyaje kazi; kimsingi; sadaka au kafara ya vinywaji, damu au vyote tulivyoona ni chakula cha Mashetani. Na kimsingi mashetani yapo katika ngazi mbalimbali kuanzia majoka mpaka kwenye majini majini madogo; kwahiyo wachawi au washirikina huita mashetani kulingana na ukubwa wa kafara kama ikitolewa kafara ya kuku anakuja shetani wa ngazi ndogo. Na ikitolewa kafara kubwa kama ya mtu inaliita shetani la ngazi ya juu sana. Hivyo kama mtu hajaokoka ni rahisi kutolewa kafara kwasababu anakuwa hana ulinzi wa Mungu.
Unapomkubali Yesu unakuwa umejiunganisha na mauti ya Yesu hivyo hakuna haja ya kutoa kafara tena. maana Yesu alifanyika kafara kwa ajili yetu na damu ya Yesu ilimwagika ili kutufungua wote na Yesu alipigwa na kufa ili sisi kutookoa kama kafara kwaajili yetu.. watu wa dunia wanaweza kwenda kwa waganga na kutoa kafara lakini sisi tuna Damu ya Yesu ambayo ni nguvu ya madhabahu yetu..
Hivyo sasa kwa kutumia damu ya Yesu unaweza sasa kuharibu kafara na madhabahu zao zote, ukishughulikia madhabahu na kafara unakuwa umeiangamiza nguvu ya madhabahu nza kishetani na tatizo ulilonalo litakwisha .. kwahiyo ni muhimu kuharibu makuhani wa madhabahu yaani wachawi na waganga, madhabahu yenyewe yaani wanapokusanyikia, inatubidi kubomoa kafara yao, nguvu yao na pia Mungu wa madhabahu zao ambazo ni shatani.. na hapo utapata ushindi mkamilifu..
Mathayo 17:14 utajiuliza inakuaje, Yesu anaamua kumtoa pepo wakati tatizo lake lilitajwa ni kifafa, hapo utagundua kuwa matatizo ya watu wengi yanatoka na mapepo au majini yanayo tumwa na kumfanya awe vile alivyo.. lakini unatakiwa ushughulikie madhabahu na mambo yanayofuatana nayo.
Barikiwa sana,

Monday, August 1, 2016

JE, UNAFAHAMU KUWA MAKAFIRI NDIO WANAOSEMA KUWA DINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU NI UISLAM?


LAANA MBAYA YA KAFIRI NI KUMZULIA UONGO MWENYEZI MUNGU KUWA ANAYO DINI
KAFIRI SIO TUSI BALI NI SIFA AU JINA TUU LENYE MAANA YA MPINGA IMANI AU DINI AU KUMZULIA MWENYEZI MUNGU UONGO, AU ANAE ENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU ZILIZO KUWEPO KABLA YA QURAN.
SHALOM SHALOM
Ndugu msomaji,
Hakuna siri katika hili jambo la kumzulia UONGO Mwenyezi Mungu kuwa anayo dini. Waislam wamekuwa mstari wa mbele kuuliza hivi:
NI IPI DINI YA KWELI YA MWENYEZI MUNGU? Mtafutaji ukweli mara nyingi anafikia mahali ambapo anatatizika pale anapotambua kuwa kila dini, Imani, dhehebu, ideolojia na falsafa yoyote inadai kuwa ndiyo njia ya pekee iliyo sahihi kwa mwanadamu. Kwa hakika, zote zinawahimiza watu kufanya mambo mema na mazuri. Hivyo, ipi ndiyo iliyo sahihi? Haiwezekani zote kuwa sahihi kwa vile kila moja inadai kwamba zile nyengine hazipo sawa. Kwa hivyo, vipi mtafutaji haki na ukweli ataweza kuchagua njia ya sawa.
Njia sahihi ya kumtafuta Mungu lazima itoke kwa Mungu. [[Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu. 1 Petro 3:18]] Na ndio maana Yesu alisema kuwa yeye ni Njia Kweli na Uzima. Mungu hana dini na hakuwai mwambia Adam awe na dini. Hakuna huu ushahid katika Taurat. Zaidi ya hapo hakuna ushahid wowote ule katika Zaburi au Injili kuwa Mungu aliwaamrisha watu wafuate dini yake, la hasha, ila tunasoma kuwa Yesu alikuja kutengeza njia ya kwenda kwa Baba yake. [[Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yohana 10:10]]
ALLAH ANASEMA DINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU NI UISLAM, AU SIO?
Allah anasema hivi: 3|19|Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
SASA TUMUULIZE ALLAH:
1. Upo wapi Ushahid wa aya kutoka Taurat kuwa Uislam ulikuwa dini ya Musa?
2. Upo wapi Ushahid wa aya kutoka Zaburi kuwa Uislam ulikuwa dini ya Daudi?
3. Upo wapi ushahid wa aya kutoka Injili kuwa Uislam ulikuwa dini ya Yesu?
KUMBE NDIO MAANA ALLAH KAANDIKWA KAFIR KATI YA MACHO YAKE KWASABAU ALLAH ANAMZULIA UONGO MWENYEZI MUNGU.
Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
Teyari Waislam wanapata mshtuko baada ya kusoma kuwa, Kumbe Allah ana MHURI kati ya macho yake unao sema yeye ni KAFIR. NDIO MAANA WAISLAM WANAKIRI KUWA DINI YA UISLAM NI YA ALLAH AMBAYE ANAPINGA MWENYEZI MUNGU ALIYE UMBA KILA KITI NA MWENYE MUHURI UNAO SEMA KAFIRI. MUNGU HANA DINI.
Hivyo basi, unapomsikia mtu anasema eti dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislam huko ni kumzulia uongo Mwenyezi Mungu na hiyo ni sifa nambari moja ya KAFIRI. Makafiri wote wanakiri kuwa Mwenyezi Mungu ana dini bila ya ushahid kutoka Taurat au Zaburi au Injilihttp://www.jewishvirtuallibrary.org/jsour…/Bible/jpstoc.html . Makafiri hawa Wakiislam wanasema kuwa eti, dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislam. Hivi, nyie Waislam mnafahamu maana ya dini na madhumuni yake?
Al Kashif Juzuu ya kumi aya ya 42-44: Ni nani dhalimu mkubwa zaidi kuliko yule amzuliaye Mwenyezi Mungu uongo.
Ikiwa kumzulia uongo kiumbe ni kauli mbaya, itakuwaje kwa muumba? Kumzulia uongo Mwenyezi Mungu kuko aina nyingi; kama vile kusema Mungu ana dini, kuhalalisha na kuharamisha bila ya hoja kutoka Taurat au Injil au Zaburi, wizi na unyang’anyi kwa kisingizio cha Jihad kwa Allah n.k.
Hivyo basi, Allah ni Kafir. Muhammad ni Kafir na Waislam wote ni Makafir maana wote wanakiri kuwa Mwenyezi Mungu anayo dini bila ya Ushahid kutoka kwenye Taurat au Zaburi au Injili. http://www.chabad.org/…/632…/jewish/The-Bible-with-Rashi.htm
Kama kuna Muislam anabisha kuwa yeye sio KAFIRI basi aniletee aya kutoka Taurat au Zaburi au Injili inayo sema kuwa Mwenyezi Mungu dini yake ni Uislam ili nisilimu sasa hivi.
TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi!
UISLAMU:
Amesema Muhamaad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
NAMALIZA KWA KUSEMA KUWA, KAFIRI ANASEMA KUWA DINI MBELE YA MWENYEZI MUNGU NI UISLAM.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo,

Sunday, July 31, 2016

JE, UNAFAHAMU KUWA UISLAM NDIO DINI YA MPINGA KRISTO?

1. Biblia inathibitisha kuwa ni Allah na Uislam ni Wapinga Kristo
2. Quran inakiri kuwa Yesu si Mwana wa Mungu
3. Kumbe Dini ya Uislam ni ya Mpinga Kristo
Ndugu Msomaji,
Leo nitawathibitishia kwa kutumia Biblia na Quran kuhusu nani ni Mpinga Kristo. Hebu tuanze kwa kusoam neno la Mungu.
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 4:1-6
Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa uongo wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu , kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya Mpinga Kristo, ambayo mmeisikia kwa yaja , na sasa imekwisha kuwako duniani, ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndanii yenu ni mkuu kuliko yeye aliyeko katika dunia.hao ni wa dunia , kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia. Sisi twatokana na Mungu . yeye amjua Mungu atusikia na yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Waisilamu ndiyo namba moja wa kukataa hilo, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si nyinyi waislamu? Isitoshe bado mnakazania kuwa YESU SIYE KRISTO Kwa madai kuwa eti huyo Kristo ni wa Paulo, na hapo pia Biblia inatuthibitishia kuwa nyinyi waislamu ndiyo haswa ni Wapinga Kristo…tazama na uthibitishe mwenyewe kwenye (1 Yohana 2:22).
Sisi Wakristo lazima tufahamu kuwa Mpinga Kristo kwa mujibu wa Biblia ni yule anayekataa kuwa YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYESHUKA KATIKA MWILI ILI KUTUOKOA SISI WANADAMU HAPA DUNIANI…Huu ndiyo msingi wetu sisi Wakristo ambao Waislamu wote duniani wamefundishwa na mungu wao Allah kuupinga kabisa kabisa msingi huu…Sasa lazima tujiulize Mpinga Kristo haswa ni nani? Jibu ni rahisi mno ‘ALLAH NA DINI YAKE YA UISILAMU’.
Pili: Mtu yeyote ambaye hamwamini Bwana Yesu ya kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake huyo tayari ni mpinga Kristo kwa sababu hana ushirika nayeye na wala hamuabudu yeye kabisa. Aliye hivyo huyo anaitwa Mpinga Kristo na ule mwisho Yesu akija kuhukumu ulimwengu hatawachukua hao wasiyo mwabudu yeye, na Nabii huyo Yesu wa Nazareti. Nabii huyu watu wanamjua ni nabii wa Mungu na ndiye atakayekuja kuhukumu ulimwengu siku ile ya kiama. Sasa kama hapa tu sasa hivi unampinga, je jiulize swali nayeye atakukubali uende naye uzimani alipo yeye? Jibu hatakuchukua na ameniambia niuambie ulimwengu wote atakaye sikia na asikie atakayekataa shauri lake. Wote wasiomwabudu yeye 100% ni wapingaji wa kumpinga Yesu Kristo na hao ni wapinga Kristo.
Tazama sasa shetani alivyoitumia Quruani kuwa Mpinga Kristo wa wazi wazi kabisa!! Kwa sababu alijua kabisa kuwa Mwana wa Mungu na damu yake ya wokovu pale Msalabani vingewaletea wanadamu wote neema ya Mungu na kuwatoa katika utumwa wa dhambi na hukumu dhidi ya sheria au haki ya Mungu, soma (Zaburi 85:13). Akaona azuie njia ile ya Mungu ili watu waangamie!!. Fahamu kuwa msamaha wa dhambi katika Torati ni damu ya wanyama, soma (Walawi 17:11) na msamaha wa dhambi katika njia ya Mungu (Injili) ni Yesu Kristo) soma (Isaya 53:4-12) linganisha na (Waefeso 1:7).
Sasa baada ya yote haya, namalizia na mpambano mkali kati ya MPINGA KRISTO (ALLAH NA KURUANI YAKE) DHIDI YA BIBILIA NENO LA KWELI LA MUNGU.
Ndugu msomaji utakaesoma mpambano huu sitanukuu moja kwa moja maandiko lakini nitakachokiandika, mashahidi mtakuwa wenyewe kuona kama ni kweli au uongo ya kuwa vitabu hivi vinapambana kiasi hicho..nami sitaandika uongo kamwe.
Hebu tuanze:
BIBLIA: ‘Yesu Kristo alisulubiwa. QURAN: hapana hapana walimsulubisha mwandaazimu mwingine wakizani ndiye!!.
BIBLIA: Yesu ni Mwana wa Mungu. QURAN: ni uongo kwa kuwa Mungu hana mwana wala hazai!!.
BIBLIA: ’tunapata msamaha wa dhambi kupitia damu ya Yesu. QURAN: sivyo kabisa…Mnyaai Mungu ndiye akusameheni madhambi yenu pale mtakapoenda Makka japo mara moja kuhiji. (kiswali chandu cha uzushi..wale masikini je?..Ndiyo kusema pepo ni ya matajiri tu?!!).
BIBLIA: Majini wana asili ya mashetani, ni kundi au jeshi la yule muovu, msishirikiane nayo katika ibada wala kuwatolea sadaka.QURAN: ALLAH asema: nimekuumbeni na majini ili mpate kuniabudu!! (swali la uzushi:Shetani na majini yake yanaabudu na waisilamu ili yaende wapi wakati wao walisha laaniwa na wanachosubiri ni jehanam tu!!).
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa ni ya Mpinga Kristo.
Nawakaribisha kwa Mungu Mkuu ambaye ni Yesu Kristo aliye hai.
Katika huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
For Max Shimba Ministries Org
July 2015
www.maxshimbaministries.org

SIFA KUBWA YA KAFIRI NI KUPINGA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU



KAFIRI SIO TUSI BALI NI JINA TUU LENYE MAANA YA MPINGA IMANI AU DINI AU ANAEENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU ZILIZO KUWEPO KABLA YA QURAN.
KUMBE WAISLAM NI MAKAFIRI MAANA WANAPINGA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU.
SHALOM TENA,
Kwa mara nyingine twamshukuru Yehova Mungu kwa kutupa neema hii tena ili tuweze kukufikishia ujumbe huu wa Biblia na kweli zake kuhusu sifa ya Makafir. Watu wengi hawajua Kafiri ni nani na au tabia za Makfiri ni zipi.
Watu wengi huchukia na wengine kupigana kisa kaitwa kafiri.
Wengi hufuata mkumbo tuu bila kujua maana halisi ya neno Kafiri. Baada ya kuangalia katika wikipedia utakuta neno Kaffir ni neno la kiarabu lenye maana “non believer” yaani asiye muumini/mpingaji au mpinzani (protestant) wa dini au imani flani. Zaidi ya hapo, iliisha fafanuliwa katika Qur'an kuwa Kafiri ni mtu anaye kufuru, na au pinga Maneno ya Mwenyezi Mungu.
Biblia iliyo kuwepo miaka 632 kabla ya kuandikwa kwa Quran na kabla ya kuzaliwa kwa Muhammad inatuambia kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. Hivyo basi, kufuatana na ushahi wa NENO KAFIRI la MPINGAJI WA IMANI AU DINI FULANI, yeyote yule atakae kuja baada ya Hizi aya za Luka 1-30-35 ZINAZOKIRI KUWA YESU NI MWANA WA MUNGUI LAZIMA AWE KAFIR. Maana anapinga maneno ya Yehova Mwenyezi Mungu aliye umba kila kitu aliyoyasema miaka 632 kabla ya Quran.
Allah analifahamu hilo kuwa Yesu aliitwa Mwana wa Mungu na hakusema chochote kile kwa miaka 632. Lakini baada ya kuzaliwa Muhammad Allah anapinga Maneno ya Yehova wa kwenye Biblia kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. HII TABIA YA KUPINGA KILICHO KUWEPO KABLA NDIO SIFA MOJA WAPO YA KAFIRI. ALLAH NA WAISLAM WAMEFANIKIWA KUINYAKUA HII SIFA YA KAFIRI.
Hebu tuisome kwanza hiyo aya ya Yesu kuitwa Mwana wa Mungu.
YESU KRISTO: YEYE NI MWANA WA MUNGU.
Luka 1:30-31,35
“Malaika akamwambia usiogope Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu Mwana wa Mungu.
Umesoma mwenye kuwa Mtoto aliye tabiriwa kuzaliwa ataitwa Mwana Wa Mungu. Cha ajabu Allah hakupinga hilo. I wonder why hawa Waislam wanadai Allah ni Yehova, huku ikifahamika kuwa Yehova anamwita Yesu Mwana wa Mungu.
Sasa baada ya kuisoma Biblia nikaamua kufungua Quran iliyo kuja baadae. Nikimaanisha, miaka karibia 632 baada ya kuwepo kwa Biblia. Hebu tuisome Quran:
Sasa basi Waislam wao wanasema kuwa Isa ndie Yesu na hakuwa Mwana wa Mungu:
ISSA A.S: YEYE SIYO MUNGU ALIYEFANYIKA MWILI.
Suratul Al- Maidah (meza) 5:72-73
Bila ya shaka wamekufuru wale waliosema, “Mwenyezi Mungu ni Masih (issa) bin Maryam”.(Na hali ya kuwa) Masihi alisema “Enyi wana wa Israel! Mwabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wenu. Kwani anayemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahali pake (patakuwa) ni Motoni. Na madhalimu hawatakuwa na wasaidizi (wa kuwasaidia siku ya Kiama) “Kwa hakika wamekufuru wale waliosema mwenyenzi Mungu ni mmoja katika (wale waungu) watatu (yeye ndiye watatu wao ) hali hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja ( tu peke yake) na kama hawataacha hayo wasemayo kwa yakini itawakamata wale wanaoendelea na ukafiri miongoni mwao adhabu iumizayo”.
Qur’an katika Suratul Al-Maidah, 5:75 “ Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa.http://www.quranitukufu.net/005.html
Eti, Isa Bin Maryam si chochote na anageuzwa. Hivi kuna aya gani zingine kwenye Quran zinaita mitume wengine si chochote na wanageuzwa? Zaidi ya hapo, KWANINI ALLAH AMEPINGA KUWA YESU SI MWANA WA MUNGU HUKU AKIFAHJAMU KUWA YEHOVA AMBAYE NDIE MWENYEZI MUNGU KESHA MUITA YESU NI MWANA WA MUNGU MIAKA 632 KABLA YA YEYE ALLAH KUTEREMSHA QURAN? HUYU ALLAH ALIKUWA WAPI MIAKA YOTE HII? Hakika Kafiri ni Kafiri tu.
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 4:1-6
Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa uongo wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu , kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya Mpinga Kristo, ambayo mmeisikia kwa yaja , na sasa imekwisha kuwako duniani, ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndanii yenu ni mkuu kuliko yeye aliyeko katika dunia.hao ni wa dunia , kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia. Sisi twatokana na Mungu . yeye amjua Mungu atusikia na yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Waisilamu ndiyo namba moja wa kukataa hilo, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si nyinyi waislamu? Isitoshe bado mnakazania kuwa YESU SIYE KRISTO Kwa madai kuwa eti huyo Kristo ni wa Paulo, na hapo pia Biblia inatuthibitishia kuwa nyinyi waislamu ndiyo haswa ni Wapinga Kristo…tazama na uthibitishe mwenyewe kwenye (1 Yohana 2:22).
NARUDIA TENA KUWA KAFIRI SIO TUSI BALI NI JINA TUU LENYE MAANA MPINGA IMANI AU DINI AU ANAEENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU ZILIZO KUWEPO KABLA YA QURAN.
NI KAMA VILE MTU AKUITE MCHAMUNGU, MZINZI AU MCHEZA MPIRA YAANI NI JINA LINALOELEZEA WASIFU FLANI. SASA WASIFU WA WAISLAM WANAO PINGA KUWA YESU SIO MWANA WA MUNGU NI MAKAFIRI.
Natanguliza pole zangu kwa wanao Pinga kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu maana hao sasa tunawatambua kuwa ni Makafiri.
Mungu aendelee kutufundisha kweli yake.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA ANAPELEKA WAISLAMU JEHANNAM

KUMBE MUHAMMAD NA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM?
Mimi sina mengi ya kusema, zaidi ya kuanza na aya moja kwa moja.
Allah anateremsha aya na kusema haya kwa Waislam:
Quran Surah 19: 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi Waislam ila ni mwenye kuifikia hiyo Jehenamu. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 72. Kisha tutawaokoa wale walio mcha ALLAH; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti. ..................................DAAAH
ALLAH ANASEMA KUWA, AMESHA WAHUKUMU WAISLAM WOTE NA LAZIMA AITIMIZE HIYO HUKUMU YA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAM.
Jamani, hivi kuna ugumu gani au nini kigumu hapa. Mbona Allah amesha maliza kuwa Waislam wote wataingia Jehannam?
NAJUA WAISLAM wataanza kupinga ooh, wewe huijui Quran, ooh wewe umepindihsa aya, ngoja niongeze aya zingine kutoka Quran yao inayo wamaliza tena.
SURAT AT-TAKAATHUR, iliyo teremka Makka inawaambia Waislam:
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
ALLAH anawaambia Waislam sivyo hivyo, ikimaanisha kumbe Waislam wanacho kielewa sio sahihi.
Kumbukeni kuwa, hizi aya anaziteremsha Allah kwa Mtume wake Muhammad. ALLAH ANAMWAMBIA MUHAMMAD KUWA " aya ya 3 Sivyo hivyo! Mtakuja jua!"
SASA KWANINI ALLAH Hamwambii ukweli Muhammad moja kwa moja? Kwanini Allah asubiri mpaka Kiyama ndio Waislam watakuja jua kuwa Allah ni bandia na anawaingiza Jehannam?
Huu ni msiba mkubwa sana.
WAISLAM WAMEINGIZWA MKENGE:
1. Waislam wanadai kuwa wataingia Akhera - ALLAH ANAWAJIBU Surat Al Takaathur aya ya 6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
2. Waislam wanadai kuwa Wanafuata dini ya Mwenyezi Mungu. ALLAH ANAWAJIBU Kupitia Surat Al Takaathur aya ya 3 Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
3. Waislam wanadai kuwa Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu. ALLAH ANAWAJIBU kupitia Surat Al Takaathur aya ya 4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4. Waislam wanasema kuwa eti Quran ni Kitabu cha mwenyezi Mungu, ALLAH ANAWAJIBU KWA KUSEMA Surat Al Takaathur aya ya 5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
Ndugu zanguni, hivi hizo aya zina ugumu gani? Mbona zipo wazi kabisa na teyari ALLAH amesha anza kuwakana kwa kusema SIVYO HIVYO.
ALLAH AMESHA SEMA KUWA, WANACHO KIJUA WAISLAM, SIVYO HIVYO.
ALLAH anasema kwa Waislam kuwa, Quran Surah 19: 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi Waislam ila ni mwenye kuifikia hiyo Jehenamu. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
MKRISTO MWENYE AKILI ZAKE HAWEZI KUKUBALI KUWA KATIKA HILI KUNDI LA JEHANNAM.
Waislam, nawakaribisha kwa Yesu ambaye yeye hapeleki watu Jehanna.
Njoo leo na upate uzima wa milele.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo

Saturday, July 30, 2016

JE, UNAFAHAMU KUWA ALLAH WA WAISLAM NA SHETANI NI YULE YULE MMOJA KUTOKANA NA QURAN YAO WENYEWE?



Katika ujumbe wa leo, nitaweka ushaidi wa Kibiblia na Koran ambao unatuambia kuwa, Allah ambaye ndie mungu wa dini ya Kiislamu anasifa zote za Shetani wa kwenye Biblia.
Biblia inasema kuwa MUONGO ni yeyote yule anaye sema Yesu si Kristo na anaye mkana Baba(Jehovah) na Mwana (Yesu).
Hebu tusome kwanza Biblia:
1 Yohana 2:22-26; Je, mwongo ni nani? Mwongo ni yule anayekana kwamba Yesu si Kristo. Mtu huyo ndiye mpinga-Kristo, anayemkana Baba na Mwana. 23 Mtu anayemkana Mwana hawezi kumjua Baba; mtu anayemkiri Mwana anamjua na Baba pia. 24 Hakikisheni kwamba ujumbe mliosikia tangu mwanzo unadumu mioyoni mwenu. Ujumbe huo ukikaa mioyoni mwenu, ninyi pia mtadumu ndani ya Mwana na ndani ya Baba. 25 Na yeye ametuahidi uzima wa milele. 26 Ninawaandikia mambo haya kuhusu wale wanaojaribu kuwapo tosha.
Biblia inatufundisha kuwa, mwongo ni mtu yeyote yule anaye pinga kuwa Yesu si Kristo, zaidi ya hapo, Biblia inaendelea kutufundisha kuwa mtu anaye mkana Yesu hawezi kumjua Baba yake. Kumbe ndio maana Waislam wanasema kuwa Mungu hawezi kuwa Baba na wala hana Mwana!
Allah wa Koran anamkata Yesu kama Mwana na anakana kuwa Jehovah si Baba wa Yesu. Soma Quran hapa chini.
Quran 19:35. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
Katika Surah Maryam hapo juu, Allah anasema kuwa Mwenyezi Mungu hana Mwana, jambo ambalo ni kinyume na aya tuliyo isoma kutoka Biblia kuwa, Muongo ni mtu na au kiumbe chechote kile kinacho pinga kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu na anaye mkana Baba yake (1Yohana 2: 22-26). Allah amesha mkana Baba, hivyo basi Allah teyari amenyakuwa sifa ya uongo.
Je, Allah ni Mungo? Hebu tuendelee kusoma Koran. Quran 1539. Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenipotosha na kunitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Katika aya hapo juu, Shetani anasema kuwa, Allah ndiye aliye mpotosha na kumfanya awe mbaya. Kumbe Allah ndie mwanzislishi wa upotoshaji/uongo? Ushaidi zaidi utaupata katia Surah na aya zifuatazo 3:54, 3:54, 7:123, 13:42, 14:46, 16:26, 16:45, 27:50, 40:45, 71:22 impf. act. 6:123, 6:123, 6:124, 8:30, 8:30, 8:30, 10:21, 12:102, 16:127, 27:70, 35:10 n.vb. 7:99, 7:99, 7:123, 10:21, 10:21, 12:31, 13:33, 13:42, 14:46, 14:46, 14:46, 27:50, 27:50, 27:51, 34:33, 35:10, 35:43, 35:43, 71:22 pcple. act. 3:54, 8:30
katika Surat-Nisai 171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu.
Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka.
Allah anasema kwamba watu wa Kitab ambao ni Wakristo wasisema mabaya kuhusu Allah ila, wakiri kuwa Yesu ni Mtume tu na wasiseme kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, wala wasiseme kuwa Kuna Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Allah anaendelea kuonyesha tabia yake ya uongo katika aya hapo juu.
Sasa endelea kusoma Biblia na ufahamu sifa zaidi za muongo.
Yohana 8:44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanga nya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
Katika aya hapo juu tunafundishwa kuwa, watoto wa Shetani wanapenda kufanya maovu kama baba yao. Ndio maana tunasoma kwenye Koran kuwa, Allah ametoa amri kwa wafuasi wake kuuwa mtu yeyote yule anayekataa kuwa Muislam. Kuuwa ni kufanya maovu, lakini kwa Allah kuuwa ni kufanya jambo jema Quran 2:244, 3:151, 4:74, 4:89, 4:95, 4:104, 5:33, 8:12.
Allah akatika Surat An Nisaai anatimiza yale yote yaliyo semwa katika Yohana 8:44, ambayo ni adhama zote za Shetani:
Quran 4 Surat An Nisaai Allah anasema 74. Basi nawapigane katika Njia ya Allah wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa Akhera. Na anaye pigana katika Njia ya Allah kisha akauliwa au akashinda basi tutakuja mpa ujira mkubwa.
Hii surah ambayo iliteremka Makkah inaonyesha dhahir tabia ya Allah ambayo haina tofauti na Shetani aliye semwa katika Biblia. Yesu anasema jinsi gani Shetani anafanya kazi, na nini hasa hufanya kwa binadamu. Soma Yohana 10:10 Mwivi huja ili aibe, kuua na kuangamiza. Mimi nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele.
Hiyo ndiyo kazi ya Shetani ambayo tunaiona katika Allah wa Koran. Shetani ni Baba wa Uongo, vivyo hivyo, Allah naye ni Baba wa Uongo katika Uislam. Shetani ni muuaji, vivyo hivyo, Allah nayeye anatoa amri ya kuuwa Makafir wote katika Koran 9:14, 9:20, 9:38-39. Suran 9:14. Piganeni nao, Allah awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini.
Ndugu wasomaji, Allah ameonyesha adhama zote za Shetani kuwa ni zake. Mungu huwa hasemi uongo wala achonganishi watu ili wapigane kwa ajili yake. Allah si Mungu.
Nimategemeo yangu kuwa, utafanya utafiti zaidi ili uweze kuona tofauti zilizopo kati ya Mungu wa Biblia na Allah wa Koran.
Katika huduma yake
Max Shimba Ministries Org
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

UDHAIFU WA ALLAH NA SABABU ZINAZO MFANYA ALLAH KUTO KUWA AKBAR

Katika somo letu la leo, ningependa tusome mambo kadhaa ambayo Allah wa Uislam hana uwezo na mamlaka juu yake.
Waislam wanatuambia kuwa Uislam ni dini ya Allah ambaye hana uwezo wa kufanya yafuatayo:
Anasema hakuna wa kumsaidia katika udhaifu wake!
Q17:111 Na sema: Alhamdulillah,Himdi zote ni za Allah ambaye hana mwana,wala hana mshirika katika ufalme,wala hana rafiki wa kumsaidia KWA SABABU YA UDHAIFU WAKE. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.

MASWALI!
1. Udhaifu wake ni upi?
2. Kwanini Waislam wanampigania huyu Allah dhaifu?

Allah hana uwezo wa kuishi ndani ya binadamu. [Allah is not omnipresent]
Allah hana uwezo wa kuzungumza na kusikia lugha yeyote ile zaidi ya Kiarabu. Majlisi, Bihar al-Anwar, vol. 11, pg. 56; vol. 8, pg. 218 and 286 and vol. 10, pg. 81, al-Wafa Institute, Beirut, 1404 ah. and Tabarsi, Aminuddin, Tafsir Majma’ul-Bayan, vol. 2, pg. 206, Beyrut, Dar al-Ihya’ al-Torath al-Arabi.
Allah hasikii na hajibu maombi ambayo hayakuombwa Kiarabu See: Tawfiqi, Husein, Arabi, Nemune’i az Zabane Moqaddas, the Haft Aseman Periodical, no. 27. and Ibid, vol. 12, pg. 87.
Allah hawezi kusikia maombi ambayo yanaombwa bila ya kuangalia Makkah. Quran 2:148-149
Allah hana uwezo wa kumzuia Shetani kuishi ndani ya Pua yako wakati umelala. (Sahih Muslim, Book 002, Number 0462)
Allah hana uwezo wa kumkataza Shetani asikojoe kwenye masikio yako unapo pitiwa na usingizi. The Hadith (Bukari vol. 2 no. 245)
Allah hana uwezo wa kutetea vitabu vyake, ingawa alidai anaweza. S. 15:90-93 Shakir
Allah hawezi kusikia maombi yako kama kuna Mwanamke au Mbwa au Punda karibu na sehemu unayo fanyia maombi. Sahih Bukhari 1:9:490, Sahih Bukhari 1:9:493
Allah hawezi kutetea dini yake ya Kiislam na anahitaji msaada wa Waislam kuua na kutesa wale wote ambao wanaukataa Uislam. Allah sio Akbar kama anavyo dai. Quran Surah 9:29, Al Bukhari vol 4:196., Al Bukhari vol 1:35
Allah hapendi watu isipokuwa wale ambao ni Watumwa wake.al-Tirmidhi, 2396; classed as saheeh by al-Albaani.
Allah hana uwezo wa kutetea Mitume wake kutoka kwa Wanawake Wajane wa Kiyahudi. [Aal ‘Imraan 3:31], al-Tirmidhi,
Allah hana uwezo wa kuwatetea na kuwalinda Waislam kutoka kwa Mtume mwenye Nguvu kama Paulo ambaye Waislam wanadai kuwa, Ndie Mwanzilishi wa Imani ya Kikristo ambayo ni kubwa kuliko Uislamu. Qur'an 9:88, Sahih Bukhari, Book 52: Fighting for the Cause of Allah (Jihaad) Volume 4, Book 52, Number 41:
Allah hana uwezo wa kuwaokoa wanawake kutoka Jehannam, kwasababu eti wao ni viumbe dhaifu.Sura (37:22-23) Hadith: Bukhari (2:28) (Sahih Bukhari: 2:18:161; 7:62:125, ).
Allah hana uwezo wa kufanya miujiza kupitia waonyaji kama Muhammad ambaye alidai katumwa na Mwenyezi Mungu, jambo ambalo lingesaidia kutupa uhakikisho kuwa Muhammad alitumwa na Allah, kwasababu ya maovu mengi aliyo fanya ambayo ni kinyume na mambo yaliyo fanywa na Mitume walio kuja kabla yake.
Ndugu zanguni, listi ya mambo ambayo Allah hana uwezo wa kufanya ni mengi sana kiasi cha kujaza karatasi nyingi, leo nimeona niweke haya machahe kuhusu huyu Allah wa Uislam.
Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mke.
Sasa ngoja niulize?
Kuna sababu gani hapa duniani Mtu amwamini huyu Allah aliyejaa mapungufu na udhaifu, chuki, na kuacha kumwamimi Yahaweh aliyejaa upendo, hekima na mamlaka yote?
Mimi nitamfuata Yesu, Mungu Mtukufu YHWH, kwasabau katika Yesu hakuna lisilo wezekana (Luka 1:37)
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Ten Reasons Why Allah Is Not God AND Why YHWH is GOD

For those people who study both Islam and the Bible, it is clearly obvious that Allah of Islam is not YHWH, the God of the Bible and the creator God.

We shall present just ten reasons which provide an elegant sufficiency to prove that Allah is not God.

1.The Name of God


Muslims say they believe in the prophet Moses (Musa) yet they do not recognize or acknowledge the unique name that God gave to Moses.

When Moses encountered the burning bush at Mount Horeb, he was told that the name of God was YHWH forever. [Exodus 3:14-15] Jesus used the first person of YHWH when he said “I AM”. [John 8:58] The Quran makes no mention of the special name for God and uses Allah which means “the God”. There were 360 idols in the Kaaba during Mohammed’s time called Allah. Allah is just a generic name for “the God”.

The names for God can’t be reconciled. Allah is not God.

2. God’s Laws for mankind

Friday, July 29, 2016

Prayers for Success and Breakthroughs in Business


Confessions: Psalms 56:9; 32:8; 23:1,6 Exodus 23:20
Praise Worship
1. Let all my enemies turn back because God is for me.
2. As you are turning back, let the doors of business opportunities open for me; morning, afternoon and evening.
3. Let profitable business meet me on the way in Jesus’ name.
4. No devourer shall destroy the fruit of my labor in Jesus’ name.
5. You devourers and wasters of fortune, I command you to depart from my life in the name of Jesus.
6. I use the Blood of Jesus Christ to wash my hands and my entire body and make them clean today.
7. I retrieve my blessings from every evil attack in Jesus’ name.
8. I break every curse of failure in the name of Jesus.
9. Let the Lord reveal to me every secret behind the problem.
10. I command the devil to take off his legs from any money that belongs to me in the name of Jesus.
11. Let the ministering spirits (God’s Angels) go forth and bring in blessings unto me in the name of Jesus.
12. Let the rod of iron fall on any strange money passed to me in Jesus’ name.
Release of Prosperity on Business & Business Transactions
Confession: Deut. 3:19; 31:66, Psalm 46:1,5; 68:19; 35:27b; 24:1 Jer. 32:27, Phil. 4:19, 3John 2, 1Sam. 30:8, Job 22:28, Mat. 7:7

Praise Worship
Confess this modified version of Psalm 23:
The Lord is my banker ; I shall not owe. He maketh me to lie down in green pastures; He restoreth my loss: He leadeth me beside still waters. Yea though I walk in the valley of the shadow of debt, I will fear no evil, for thou art with me; thy silver and thy gold, they rescue me. Thou preparest a way for me in the presence of business competitors; Thou anointed my head with oil, my cup runneth over. Surely goodness and mercy shall follow me all the days of my life and I shall do business in the name of the Lord. Amen.

1. Let there be a breakthrough for me in my transaction in the name of Jesus.
2. Lord, let me have the spirit of favor in this business transaction. 3. I ask for the release of prosperity on my business in Jesus’ name.
3. Let all demonic hindrances to my finances be totally paralyzed.
4. I break every circle of failure in Jesus’ name.
5. Let my business be shielded away from all evil observers in the name of Jesus.
6. I claim all my blessings in the name of Jesus.
7. Let all business problems receive divine solution in Jesus’ name.
8. Let men go out of their ways to show favour unto me in the name of Jesus.
9. Lord, let not the lot of the wicked fall upon my business.
Release of Funds into Business
Praise Worship
Confession: Deut. 8:18, III John 2, Job 36:11, Col. 2:14,15, Psalm 84:11; 24, Phil. 4:13
1. Let the spirit of favour be opened upon me everywhere I go concerning my business.
2. Father, I ask You in the name of Jesus to send ministering spirits to bring in prosperity and funds into my business.
3. Let men bless me anywhere I go.
4. I release my business from the clutches of financial hunger in the name of Jesus.
5. I loose angels in the mighty name of Jesus to go and create favour for my company.
6. I bind the spirit in all of the staff members who will try to use evil weapons against me, including lying, gossip, slander and opinionated spirits.
7. Let all financial hindrances be removed in Jesus’ name.
8. I remove my name and those of my customers from the book of financial bankruptcy.
9. Holy Spirit, be the Senior Partner in my business.
10. Every good thing presently eluding my business should flow into it in the mighty name of Jesus.
11. I reject every spirit of financial embarrassment in the mighty name of Jesus.
12. Father, block every space causing unprofitable leakage to my company in the mighty name of Jesus.
13. Let my company become too hot to handle for dupes and demonic customers.
14. Let spiritual magnetic power that attracts wealth and keeps wealth be deposited in my company in the name of Jesus.
Destroying Anti-Prosperity Forces

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW