Saturday, August 13, 2016

MUHAMMAD ANADAI KUWA JUA LINATEMBEA NA LINASUJUDI KWA ALLAH ALIYEKAA KWENYE KITI CHA ENZI


1. Muhammad adai kuwa jua linamsujudia Allah.
2. Muhammad adai kuwa jua linatembea.
3. Muhammad adai kuwa jua linapumzika kwenye matope.
Ndugu zanguni,
Hakika hii ni dini iliyo jaa shaka na viroja. Bila ya kupoteza muda tuanze kusoma vitabu vya Wislam.
JUA LINAMSUJUDIA ALLAH:
"Abu Dhar alisimulia: Nabii aliniuliza wakati wa machweo ya jua, ‘Unafahamu mahali ambako jua linakwenda (wakati wa kuchwa)?’ Nilijibu, ‘Allah na Mtume wake wanafahamu vizuri zaidi.’ Alisema, ‘Linakwenda (yaani linasafiri) hadi linasujudu chini ya kiti cha enzi, na linapata kibali cha kusimama tena, na linaruhusiwa na kisha (muda utakuja ambapo) litakuwa linakaribia kusujudu lakini kusujudu kwake hakutakubaliwa …’" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 sura ya 4 na.441 uk.283.
JUA LINATEMBEA MBINGU HADI MBINGU:
al-Tabari juzuu ya 1 uk.231 inasema, "Nilimuuliza Mjumbe wa Mungu [Muhammad] ‘[Jua] linazama wapi?’ Alinijibu: ‘Linazama mbinguni na kisha linachomoza kutoka mbingu kwenda mbingu nyingine hadi linachomoza kwenye mbingu ya juu zaidi, mbingu ya saba. Hatimaye, linapokuwa chini ya kiti cha enzi, linaanguka chini na kusujudu, na malaika wanaolisimamia wanasujudu pamoja nalo. Kisha jua linasema, Bwana wangu, ni wapi unakoniamuru nichomozee, ni upande ule nilikozamia au nilikochomozea?’
Aliendelea. Jambo hili ndilo (linalokusudiwa na) neno la Mungu: ‘Na jua: Hukimbilia mahali linapotakiwa kuwepo (usiku)’
linaposhikiliwa chini ya kiti cha enzi – ‘Jambo hilo limeamriwa na Yeye Mwenye Nguvu na Mwenye Kujua’ Bwana kwa mamlaka yake ya kifalme, Bwana ambaye ‘anavijua’ viumbe vyake. Aliendelea, Gabriel alileta kwenye jua vazi lenye kung’aa tokana na mwanga utokao kwenye kiti cha enzi, kwa kufuata vipimo vya saa na siku. Ni refu zaidi wakati wa majira ya joto na fupi zaidi wakati wa majira ya baridi, na lenye urefu wa wastani wakati wa majira ya kupukutisha majani na wakati wa majira ya kuchipua majani. [Mitindo ya majira ya kuchipua majani, kupukutisha majani na majira ya baridi!] Aliendelea. Jua huvaa vazi hio, kama mmoja wenu anavyovaa zavi lake. Kisha, huwa huru kuzunguka kwenye anga la mbinguni mpaka linapochomoza kutokea upande linaochomozea. … Njia hiyo hiyo hufuatwa na mwezi wakati wa kuchomoza kwake … Lakini Gabriel huuletea vazi kutoka kwenye mwanga wa miguunil. Hivi ndivyo neno la Mungu (linavyomaanisha) ‘Amelifanya jua kuwa angavu na mwezi kuwa mwanga.’"
HUYU MUHAMMAD wanaye dai kuwa alipasua Mwezi, anaendelea kusema uongo kuwa eti Jua linazunguka na kufika kwa Allah ili kusujudu?
MASWALI:
1. Kama Muhammad alishindwa kujua historia rahisi ya Jua?

UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA, HAIKUWEPO WAKATI WA ADAM WALA MUSA WALA IBRAHIM

UISLAM NI FAKE [BANDIA]
Ndugu msomaji,
Uislam ni neno au jina linalo itambulisha dini ya Allah na yenye mtume aitwaye Muhammad. Hili neno "UISLAM" halikuwepo kabla ya kuzaliwa Muhammad. Zaidi ya hapo, hili neno Uislam lilianzishwa na Muhammad aliye muumba Allah. Ndio nasema Muhammad aliye muumba Allah.
Hakuna uthibitisho wa kihistoria ambao uliokuwepo kabla ya Quran kuwa hili neno UISLAM lilikuwepo.
Waislam, mimi SINA MUDA NA AYA ZA QURAN ZILIZO TUNGWA NA MUHAMMAD NA RAFIKI ZAKE. MNILETEE UTHIBITISHO WA VITABU KABLA YA QURAN KUWA HILI NENO UISLAM LILIKUWEPO.
Zaidi ya hapo, hakuna uthibitisho katika Taurat, au Zaburi, au Injili wenye hili neno UISLAM ndani yake. Ndio maana leo nasema kuwa UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA TU.
Sahih Bukhari, Volume 1, Book 2, Number 19: Narrated 'Aisha: Muhammad anasema katika hii hadithi kuwa yeye ndie anamfahamu Allah kuliko viumbe wote walio kuwepo duniani.
Muhammad teyari anaonyesha sifa zote za kumtengeneza Allah ambaye anamtengenezea Uislam na kudai ni dini ya Mwenyezi Mungu.
Swali la kujiuliza, wapi uthibitisho wa kuwepo hili neno UISLAM kwenye vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran au kuzaliwa kwa Muhammad?
Ili kusaidia huu ukweli angalia jinsi Allah aliye umbwa na Muhammad anavyo tengeneza mazingira ya kumlinda Muhammad. Soma katika Surat Al Fat-hi 13. Na asiye muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi kwa hakika Sisi tumewaandalia makafiri Moto mkali.
Kama huyu Muhammad aliye kiri kuwa hajui atafanywa nini na Allah baada ya kifo, iweje leo hii lazima afuatwe? Hivi utamfuata vipi mtu ambaye hajui nini atafanywa na Allah? Soma: Muhammad hajui atafanywa nini baada ya kiifo. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam wanao fuata unabii wa Muhammad asiye juwa wapi anaenda.
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.

KWANINI MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI?


Ndugu msomaji,
Je Muhammad hakunywa pombe au Quran imekataza pombe hilo ndo swali la kujiuliza. Ukipitia aya za Quran na hadithi za Muhammad utakuta Muhammad alikunywa pombe na pia Quran inaunga mkono na kuruhusu jambo hilo. Bila shaka kuna baadhi ya watu watapinga na kutoa maneno ya kashfa pamoja na matusi lakin lazima ukweli uwekwe wazi. Ingawa baadhi ya madhehebu ya kikristo yanaruhusu pombe lakini leo tutaangalia kuhusu ndugu zetu waislam ambao mda mwingi wanawalahumu Wakristo eti wanaruhusu pombe.
Kabla ya yote ebu tutazame aya zinazokataza pombe katika Quran
Quran 2:219. Wanakuuliza juu ya ULEVI na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa namanufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Nawanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri.
Hilo neno dhambi katika baadhi ya tafasiri za kiingereza limetumika Harm kama ifuatavyo na katika tafasiri ya kiarabu hamna neno dhambi ktk aya hiyo …….
Qur’an 2:219 ''They ask you concerning alcoholic drinks and Games of Chance, Say: In them are harm and goods for men, but their harm exceeds their good effects.'
[219] They ask you about drinking and gambling. Say, "There is great harm in both, though there is some benefit also for the people. But the harm of the sin thereof is far greater than their benefit . by Sayyid Abul Ala Maududi - Tafhim al-Qur'an - The Meaning of the Qur'an
Kwahiyo katika aya hii hakuna amri ya kukataza pombe moja kwa moja, huko mbele tutaona zaidi, ingawa hiyo aya ilikuwepa waislam na Muhammad bado waliendelae kunywa pombe.
Quran 4 :43. Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali MMELEWA,………
Hii aya haikatazi pombe bali inatoa ushauri juu ya waislam ambao walikuwa wana Sali huku wamelewa.
Qur’an 5: 90. Enyi mlio amini! Bila ya shaka ULEVI, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa
Aya zinazoruhusu pombe ktk Quran
Quran 16: 67. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ULEVI na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili
Quran 47:15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ULEVI yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Je hadithi za mtume Muhammad zinasemaje kuhusu pombe?

WAISLAM THIBITISHENI UWEPO WA ISA BIN MARYAM KWA VITABU VILIVYOKUWEPO KABLA YA QURAN NA KUZALIWA KWA MUHAMMAD

NDIO MAANA NAENDELEA KUSEMA KUWA, UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA, HAIKUWEPO WAKATI WA ADAM WALA MUSA WALA IBRAHIM
UISLAM NI FAKE [BANDIA]
Ndugu msomaji.
Tunaendelea kuufunua Uislam ambao ni dini ya kutengeneza na haikuwepo kabla ya kuzaliwa Muhammad.
Quran ambayo ilitengenezwa ili kuja kupinga Biblia ambayo ni Neno la Mungu, inadai kuwa eti, Isa bin Maryam ni Yesu. Nilipo fanya uchunguzi wa hali ya juu, nikagundua kuwa, jina la Isa halikuwepo kabla ya kuzaliwa Muhammad na kabla ya uwepo wa Allah aliyeumbwa na Muhammad.
Sasa basi, mimi nawaomba Waislam yafuatayo:
1. Mimi naomba mtuletee ushahidi unao weza kuthibitishika wa uwepo wa "Isa na jina la Isa bin Maryam" kwa kutumia vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran na kabla ya kuzaliwa kwa Muhammad aliye muumba Allah.
2. Sina muda na aya za Quran. Maana Waislam mnakiri kuwa Injil iliteremshwa na Allah, hivyo basi Injil mnaweza itumia na iwe na jina la Isa.
3. Quran iliyokuja baada ya Injil siitaki. Hadith zilizo kuja baada ya Injil sizitaki. Mimi nataka mtumie vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran na Muhammad kuzaliwa.
Sasa basi. Thibitisheni uwepo wa Isa kwa kutumia vitabu vilivyo kuwepo kabla ya (1) Quran (2) kabla ya Muhammad kuzaliwa (3) kabla ya Sahih Hadith za Muhammad.
Mkinipa huo uthibitisho basi leo nitasilimu na kuwa Muislam.
LAKINI NILIPO ANGALIA UWEPO WA YESU MUNGU MKUU AMBAO SIO WA KIDINI NILIPATA NAKALA NYINGI, ILA KUHUSU ISA BIN MARYAM ALIYE TUNGWA NA MUHAMMAD HAKUNA HATA NAKALA MOJA YA KIHISTORIA INAYO THIBITISHA UWEPO WAKE.
Huu ni uthibitisho wa Kihistoria wa uwepo wa Yesu Kristo ambaye ni Mungu Mkuu.
Tacitus (AD 55-120), mwana historia kutoka Roma aliandika kuhusu Yesu katika karne ya kwanza kwamba Yesu aliuwawa na Pontius Pilate. (Annals 15: 44).

Wednesday, August 10, 2016

QURAN YAKIRI KUWA SHETANI ANAKAA KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA – UISLAMU


1. QURAN YAKIRI KUWA YESU NDIE MWOKOZI
2. QURAN YAKIRI KUWA WAISLAM WANABEBA MIZIGO MIBAYA SANA.
3. QURAN YAKIRI KUWA SHETANI ANAKAA KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA – UISLAMU.
4. MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI NA KUWA MUISLAMU.
Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.

MUHAMMAD AKIRI KUWA BABA YAKE YUPO JEHANNAM


Ndugu msomaji,
Huu ni MSIBA MKUBWA sana kwa Waislam. Muhammad ambaye baba yake anaitwa Abdullah ikimaanisha "mtumwa wa Allah" imethibitshwa kuwa yupo Jehanna/motoni akichomeka.
Haya si maneno yangu na wala mimi simsingizii baba ya Muhammad, bali haya ni maneno ya Muhammad.
Soma uthibitisho hapa.
Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeuka kuondoka, akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni. (Sahih Muslim, Kitabu 001, Namba 0398).
Na swali ambalo tungependa wajiulize Waislam ni kuwa, kwa nini baba yake Muhammad, ambaye alikuwa mpagani aliitwa ‘Abdullah’?
Na kwa kuwa ‘Abdullah’ maana yake ni ‘mtumwa wa Allah’, hii ni ishara ya wazi kwamba wapagani wa kipindi cha jahiliyah walikuwa wakimwabudu Allah hadi kufikia kuwapa watoto wao majina kwa heshima ya Allah – kama ambavyo Wayahudi nao walikuwa wakiwapa watoto wao majina kwa heshima ya Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.
Kwa mfano:
Yoshua – Yahwe ni wokovu;
Yothamu – Yahwe ni mkamilifu;
Yehoahazi – Yahwe ameshikilia;
Hezekia – Yahwe ametia nguvu;
Elisha – Mungu ni wokovu, n.k.
Jibu liko wazi. Allah alikuwa ni mungu wa kipagani aliyeabudiwa kabla ya Uislamu kuja. Na mungu huyu alikuwa ni ‘mungu mwezi’, yaani ‘al-ilah’. Jina lake jingine aliitwa ‘hubal.’ Mungu huyu wa kipagani aliabudiwa kote mashariki ya kati; wala si kwa Waarabu peke yake.
ZAIDI YA HAPO,

UKRISTO MAANA YAKE NI USHIRIKA NA MUNGU NA SIO MATENDO NA MASHARTI YA KIDINI AU DINI


KUMBE MUNGU HANA DINI.
KUMBE UKRISTO SIO DINI.
Ndugu msomaji,
Kwenye hii mada nitajibu dai la Waislam kuhusu Ukristo na nini maana ya Ukristo.
Mara nyingi katika mihadhara ya Waislam, kumekuwa na maneno ya kusengenya Ukristo, eti, Uislam ndio dini ya Allah na Ukristo sio dini. Maneno hayo yamekuwa yakiwaumiza sana Wakristo, hasa pale wanapoambiwa walete aya kutoka Biblia inayo sema kuwa Ukristo ni Dini.
Ndugu zanguni, leo ningependa kujibu hii shutuma ya kuusingizia Ukristo na kumsingizia Mwenyezi Mungu kuwa anayo dini.
UKRISTO NI NINI?
Neno Ukristo ni tegemezi ya kutoka kwa Jina "KRISTO". Hivyobasi, Mkristo ni mfuasi wa Kristo. Ni kama unavyoweza sema Mtanzania anatoka Tanzania na/au neno Mtanzania ni tegemezi kutoka Tanzania au Utanzania litakoka kwenye muungano wa U na Tanzania.
Lengo la Mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya mkristo ya Roho Mtakatifu.
Mungu Mtakatifu hana ushirika na dhambi. Kati yake na mwanadamu kuna ufa mkubwa wa dhambi. Mwanadamu hujaribu kumfikia Mungu kwa nija nyingi: DINI, matendo mema, sala, n.k., lakini hizi zote hazitoshi. Mwanadamu bado ni mwenye dhambi.
MAANA YA UKRISTO:

WANAWAKE WA KIISLAM: KWANINI MNAMFUATA MUHAMMAD AKA ALLAH ANAYE WATUKANA NAMNA HII?



Ndugu zanguni,
leo ningependa tujifuze kidogo kuhusu mapenzi ya Allah kwa Wanawake alio waumba.
Hebu twende moja kwa moja kwenye Ushahidi:
ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!!!
Wanawake ni mashetani; wao ni kama uchafu wa sehemu za siri.
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43
HAKIKA CHUKI HII YA ALLAH WA WAISLAM IMEZIDI!!!
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU KIUMBE ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
LAANA NYINGINE KWA WANAWAKE WA KIISLAMU:
WANAWAKE NI WABAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH NA MTUME MUHAMMAD
=====================================================
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza
Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
ALLAH AMELAANI WANAWAKE WANAO KATA NYUSI. ALLAH ASEMA HUKO NI KUBADILISHA MAUMBILE ALIYO UMBA ALLAH
((Allah Amemlaani mwanamke anayefanya tatoo (chanjo za kujichora) Na mwenye kuomba kufanyiwa, na anayetoa nyusi na mwenye kuomba kutolewa na anayechonga meno kuweka nafasi (mwanya), kubadilisha maumbile ya Allah kwa ajili ya kupata uzuri)) Al-Bukhariy Imetoka kwa 'Abdullah Ibn Mas'uud (r.a.)
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA YEYE NI MCHAFU NA HAJATAKASIKA


Ndugu msomaji.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA
Bila ya kupoteza muda tuanze kwa kusoma SURAT AL-AH'ZAB
(Imeteremka Madina). Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani , alie fanya tarjuma hii ni Mzalendo wa Zanzibar, aliezaliwa 13 January 1919, akapata mafunzo ya dini kwa baba yake Sheikh Muhsin bin Ali na kwa wanazuoni wengineo wa Afrika ya Mashariki. Pia Sheikh Ali amesoma ilimu ya zaraa katika Chuo Kikuu cha Makerere (Makerere University) huko Uganda.
MAANA YA KUJITAKASA
a. Ni kujiweka wakfu kwa ajili ya Mungu
b. Ni kuamua kwa dhati kabisa kuchukua hatua ya kuacha kutenda dhambi, kuishi katika dhambi na pia kuchukua hatua ya kuondoa kila aina ya dhambi uliyo nayo.
ALLAH ANAOMBA MUMTAKASE ASUBUHI NA JIONI. JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI MPAKA AOMBE KUTAKAWASA?
((Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa wingi wa kumdhukuru)) ((Na mtakaseni asubuhi na jioni)) ((Yeye na Malaika Wake ndio Wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini)) ((Maamkiano yao siku ya kukutana Naye yatakuwa: Salama! Na Amewaandalia malipo ya ukarimu)) [Al-Ahzaab: 42-44]
Al-Ahzaab 33: 41-42,
41. Enyi mlio amini! Mdhukuruni Mwenyezi Mungu kwa wingi wa kumdhukuru.
42. Na mtakaseni asubuhi na jioni. http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Ndugu Waislam, mnaweza tuambia ni uchafu gani mnao taka kuutakasa?

YESU NI MUNGU



Uthibitisho wa aya tu.
1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Ufunuo 1:8 Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.
Wakolosai 1:16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Yohana 20:28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!
Wafilipi 2:6-7 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
Ufunuo 22:13 Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
Ufunuo 21:6 Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
7 Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Leo nimetoa aya tu. Sasa nakuomba uzisome na utafakari.
Barikiwa sa na Yesu aliye hai.

TRENDING NOW