Friday, September 9, 2016

Saudi Cleric: Iran's Leaders are 'Not Muslims'…

Saudi Arabia’s top cleric is revving up the kingdom’s rhetoric against Iran, saying in comments published today that Tehran’s leaders are “not Muslims,” in response to rancorous remarks from Iran’s supreme leader.
The remarks by Grand Mufti Abdulaziz Al Sheikh came a day after Iran’s Ayatollah Ali Khamenei accused Saudi authorities of killing Muslims injured during last year’s crush of crowds at the hajj pilgrimage.
Their confrontational comments mark a sharp escalation in the countries’ faceoff as their spat plays out across the region.
Saudi Arabia, mecca, medina, hajj, muslims, saudi cleric, saudi islam, iranian leader, ayatollah khameini, iran president, shia population, shiite population

Imam and Mistress Caught in the Act - Inside Mosque…


Rabat – A video shows an imam caught by the residents of a neighborhood in Fez, in the act of sexual intercourse.

The video, which was published on YouTube on September 4, has gone viral on social media. The tape shows the inhabitants of the Imam neighborhood where the mosque is located, with his fully covered mistress inside of the mosque.
The Imam who was allegedly caught profaning the sanctity of a mosque appears in the video arguing with the residents, seemingly trying to defend himself. This did not stop the angry crowd from bitterly denouncing his misdeed and cursing him and his partner for desecrating the holiness of their place of worship.
One of angry people around the Imam says in the video, “he was exposed by God.”

Tuesday, September 6, 2016

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA NNE)

Image result for MUSLIM KILLING CHRISTIANS
ALLAH AMEJAA VISASI WAKATI YEHOVA HANA VISASI NA AMEJAA UPENDO
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
(SEHEMU YA NNE)
Waislam wanasema kuwa, eti, Allah ni Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova wa kwenye Biblia, lakini nilipo soma Biblia na Quran kwa makini nikaona tofauti kubwa sana kati ya Allah na Yehova.
ALLAH ANAWAAMRISHA WAISLAM WALIPIZE VISASI:
{{Enyi mlioamini! Mmepewa RUHUSA YA KULIPIZA KISASI katika waliouawa – muungwana kwa muungwana, na mtumwa kwa mtumwa, na mwanamke kwa mwanamke. Na anayesamehewa na ndugu yake (yaani yule aliyeuliwa wake) basi ashikwe kulipa kwa wema, na yeye alipe (na kulipishwa) kwa ihsani. Hiyo ni tahfifu itokayo kwa Mola wenu na ni rehema. Na atakayeruka mipaka baada ya haya, basi yeye atapata adhabu iumizayo.}} [2:178]
{{Na malipo ya ubaya ni ubaya ulio sawa na (ubaya) huo; lakini anayesamehe na kusuluhisha ugomvi; ujira wake uko kwa Allaah; bila shaka Yeye hawapendi madhalimu. Na wale wanaolipiza kisasi baada ya kudhulumiwa, hao hakuna njia ya kulaumiwa. Bali lawama iko juu ya wale wanaodhulumu watu na wakawafanyia jeuri katika ardhi pasipo haki; hao ndio watakaopata adhabu iumizayo. Na anayesubiri na kusamehe (atalipwa wema wake). Bila shaka hilo ni katika mambo makubwa ya kuazimiwa kufanywa (na kila Muislamu).}} [42:40-43]
{{Mtakuwa nao uhai (mzuri) katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.}} [2:179]
YEHOVA ANASEMA KUWA USILIPIZE KISASI:
Walawi 19:15 Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.
16 Usiende huko na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usisimame kinyume cha damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.
17 Usimchukie ndugu yako moyoni mwako; ni lazima kumkemea jirani yako, wala usichukue dhambi kwa ajili yake.
18 Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi Bwana.
SASA BAADA YA KUSOMA USHAIDI ULIOTHIBITISHIKA HAPO JUU, JE WEWE MSOMAJI UTAMFUATA YEHOVA AMBAYE NI MWENYEZI MUNGU NA MWENYE UPENDO
AU
ALLAH ALIYEJAA CHUKI NA VISASI VIKUBWA VIKUBWA?
Allah anasema kuwa UA kama ni kwa ajili ya KISASI, SOMA HAPA CHINI:
{{Wala msiue nafsi ambayo Allaah amekataza (kuiua) isipokuwa kwa haki (Akahuhumu hakimu kuwa mtu huyo anastahiki kuuawa na akatoa amri ya kuuawa). Na mwenye kuuawa kwa kudhulumiwa, basi Tumempa nguvu mrithi wake (juu ya muuaji huyo, akitaka ataomba kwa hakimu kuwa amuuwe kama alivyomuuwa mtu wake na akitaka atamsamehe, na akitaka atamtoza kitu). Basi (huyo mrithi asifanye fujo katika kuua kwa ajili ya huyo mtu wake aliyeuliwa). Hakika yeye atasaidiwa (na Sharia maadamu anayo haki).}} [17:33]
Je, kuua si dhambi na kunapingana na amri kuu za Mungu ya USIUWE? Mbona Allah anaruhusu kuua? Je Allah anaye ruhusu kuua na Yehova anaye sema usiuwe ni yule yule?
Uchaguzi ni wako, kumfuata Allah anaye ruhusu wewe uwe muuwaji au Mwenyezi Mungu mwenye upendo na aliye kataza kuua.
Namaliza kwa kusema:
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo
Max Shimba Ministries Org.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA NNE)

Image result for MUSLIM KILLING CHRISTIANS
ALLAH AMEJAA VISASI WAKATI YEHOVA HANA VISASI NA AMEJAA UPENDO
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
(SEHEMU YA NNE)
Waislam wanasema kuwa, eti, Allah ni Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova wa kwenye Biblia, lakini nilipo soma Biblia na Quran kwa makini nikaona tofauti kubwa sana kati ya Allah na Yehova.
ALLAH ANAWAAMRISHA WAISLAM WALIPIZE VISASI:
{{Enyi mlioamini! Mmepewa RUHUSA YA KULIPIZA KISASI katika waliouawa – muungwana kwa muungwana, na mtumwa kwa mtumwa, na mwanamke kwa mwanamke. Na anayesamehewa na ndugu yake (yaani yule aliyeuliwa wake) basi ashikwe kulipa kwa wema, na yeye alipe (na kulipishwa) kwa ihsani. Hiyo ni tahfifu itokayo kwa Mola wenu na ni rehema. Na atakayeruka mipaka baada ya haya, basi yeye atapata adhabu iumizayo.}} [2:178]
{{Na malipo ya ubaya ni ubaya ulio sawa na (ubaya) huo; lakini anayesamehe na kusuluhisha ugomvi; ujira wake uko kwa Allaah; bila shaka Yeye hawapendi madhalimu. Na wale wanaolipiza kisasi baada ya kudhulumiwa, hao hakuna njia ya kulaumiwa. Bali lawama iko juu ya wale wanaodhulumu watu na wakawafanyia jeuri katika ardhi pasipo haki; hao ndio watakaopata adhabu iumizayo. Na anayesubiri na kusamehe (atalipwa wema wake). Bila shaka hilo ni katika mambo makubwa ya kuazimiwa kufanywa (na kila Muislamu).}} [42:40-43]
{{Mtakuwa nao uhai (mzuri) katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.}} [2:179]
YEHOVA ANASEMA KUWA USILIPIZE KISASI:
Walawi 19:15 Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.
16 Usiende huko na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usisimame kinyume cha damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.
17 Usimchukie ndugu yako moyoni mwako; ni lazima kumkemea jirani yako, wala usichukue dhambi kwa ajili yake.
18 Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi Bwana.
SASA BAADA YA KUSOMA USHAIDI ULIOTHIBITISHIKA HAPO JUU, JE WEWE MSOMAJI UTAMFUATA YEHOVA AMBAYE NI MWENYEZI MUNGU NA MWENYE UPENDO
AU
ALLAH ALIYEJAA CHUKI NA VISASI VIKUBWA VIKUBWA?
Allah anasema kuwa UA kama ni kwa ajili ya KISASI, SOMA HAPA CHINI:
{{Wala msiue nafsi ambayo Allaah amekataza (kuiua) isipokuwa kwa haki (Akahuhumu hakimu kuwa mtu huyo anastahiki kuuawa na akatoa amri ya kuuawa). Na mwenye kuuawa kwa kudhulumiwa, basi Tumempa nguvu mrithi wake (juu ya muuaji huyo, akitaka ataomba kwa hakimu kuwa amuuwe kama alivyomuuwa mtu wake na akitaka atamsamehe, na akitaka atamtoza kitu). Basi (huyo mrithi asifanye fujo katika kuua kwa ajili ya huyo mtu wake aliyeuliwa). Hakika yeye atasaidiwa (na Sharia maadamu anayo haki).}} [17:33]
Je, kuua si dhambi na kunapingana na amri kuu za Mungu ya USIUWE? Mbona Allah anaruhusu kuua? Je Allah anaye ruhusu kuua na Yehova anaye sema usiuwe ni yule yule?
Uchaguzi ni wako, kumfuata Allah anaye ruhusu wewe uwe muuwaji au Mwenyezi Mungu mwenye upendo na aliye kataza kuua.
Namaliza kwa kusema:
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo
Max Shimba Ministries Org.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA NNE)

Image result for MUSLIM KILLING CHRISTIANS
ALLAH AMEJAA VISASI WAKATI YEHOVA HANA VISASI NA AMEJAA UPENDO
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
(SEHEMU YA NNE)
Waislam wanasema kuwa, eti, Allah ni Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova wa kwenye Biblia, lakini nilipo soma Biblia na Quran kwa makini nikaona tofauti kubwa sana kati ya Allah na Yehova.
ALLAH ANAWAAMRISHA WAISLAM WALIPIZE VISASI:
{{Enyi mlioamini! Mmepewa RUHUSA YA KULIPIZA KISASI katika waliouawa – muungwana kwa muungwana, na mtumwa kwa mtumwa, na mwanamke kwa mwanamke. Na anayesamehewa na ndugu yake (yaani yule aliyeuliwa wake) basi ashikwe kulipa kwa wema, na yeye alipe (na kulipishwa) kwa ihsani. Hiyo ni tahfifu itokayo kwa Mola wenu na ni rehema. Na atakayeruka mipaka baada ya haya, basi yeye atapata adhabu iumizayo.}} [2:178]
{{Na malipo ya ubaya ni ubaya ulio sawa na (ubaya) huo; lakini anayesamehe na kusuluhisha ugomvi; ujira wake uko kwa Allaah; bila shaka Yeye hawapendi madhalimu. Na wale wanaolipiza kisasi baada ya kudhulumiwa, hao hakuna njia ya kulaumiwa. Bali lawama iko juu ya wale wanaodhulumu watu na wakawafanyia jeuri katika ardhi pasipo haki; hao ndio watakaopata adhabu iumizayo. Na anayesubiri na kusamehe (atalipwa wema wake). Bila shaka hilo ni katika mambo makubwa ya kuazimiwa kufanywa (na kila Muislamu).}} [42:40-43]
{{Mtakuwa nao uhai (mzuri) katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.}} [2:179]
YEHOVA ANASEMA KUWA USILIPIZE KISASI:
Walawi 19:15 Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.
16 Usiende huko na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usisimame kinyume cha damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.
17 Usimchukie ndugu yako moyoni mwako; ni lazima kumkemea jirani yako, wala usichukue dhambi kwa ajili yake.
18 Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi Bwana.
SASA BAADA YA KUSOMA USHAIDI ULIOTHIBITISHIKA HAPO JUU, JE WEWE MSOMAJI UTAMFUATA YEHOVA AMBAYE NI MWENYEZI MUNGU NA MWENYE UPENDO
AU
ALLAH ALIYEJAA CHUKI NA VISASI VIKUBWA VIKUBWA?
Allah anasema kuwa UA kama ni kwa ajili ya KISASI, SOMA HAPA CHINI:
{{Wala msiue nafsi ambayo Allaah amekataza (kuiua) isipokuwa kwa haki (Akahuhumu hakimu kuwa mtu huyo anastahiki kuuawa na akatoa amri ya kuuawa). Na mwenye kuuawa kwa kudhulumiwa, basi Tumempa nguvu mrithi wake (juu ya muuaji huyo, akitaka ataomba kwa hakimu kuwa amuuwe kama alivyomuuwa mtu wake na akitaka atamsamehe, na akitaka atamtoza kitu). Basi (huyo mrithi asifanye fujo katika kuua kwa ajili ya huyo mtu wake aliyeuliwa). Hakika yeye atasaidiwa (na Sharia maadamu anayo haki).}} [17:33]
Je, kuua si dhambi na kunapingana na amri kuu za Mungu ya USIUWE? Mbona Allah anaruhusu kuua? Je Allah anaye ruhusu kuua na Yehova anaye sema usiuwe ni yule yule?
Uchaguzi ni wako, kumfuata Allah anaye ruhusu wewe uwe muuwaji au Mwenyezi Mungu mwenye upendo na aliye kataza kuua.
Namaliza kwa kusema:
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo
Max Shimba Ministries Org.

MUHAMMAD AWARUHUSU WAISLAM KULA NYAMA ZA FISI NA MIJUSI KAFIRI


Waislam wapo mstari wa mbele na wanasema kuwa eti Nguruwe ni Haran, lakini wamesahau kuwa Torati inakataza kula Ngamia, Fisi, nk.
MUHAMMAD AWARUHUSU WAISLAM KULA NYAMA YA FISI:
Sayyidina Ibn Ammar (RA) alisema kuwa, siku moja alimuuliza Jabir Jbn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji wa FISI. Alinijibu na kusema, inaruhusiwa kuwinda Fisi. Nilimuuliza, Je, tunaruhusiwa kula, na akanijibu kuwa Kula Fisi ni Halal (Inaruhusiwa kula Fisi).
Nikamuuliza tena, Je, Nabii wa Allah(SAW) aliruhusu kula Fisi? Jabir r alinijibu na kusema. NDIO, Nabii wa Allah aliruhusu kula Fisi.
[Abu Dawud 3801, T 1798, Ibn e Majah 3085, Ahmedl4456]
9- Kitabu cha HAJJ


MTUME MUHAMMAD ASEMA KULA NYAMA YA MIJUSI/KENGE NI HALAL
Sahih Muslim Kitabu 21, 4788 Idadi :
Ibn 'Umar taarifa kwamba kulikuwa na baadhi ya watu na Mtume wa Allah (amani iwe juu yake) miongoni mwa maswahaba wake alikuwepo Sad. Basi ililetwa nyama ya Mjusi na mwanamke miongoni mwa wake wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani iwe juu yake) alisema: Ni nyama ya mjusi. Hapo Nabii Muhammad alisema: Kuleni hiyo nyama ya Mjusi kwa kuwa ni halali…
Eti kula Nguruwe ni haram lakini wanakula Fisi na Mijusi
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

MUHAMAMD NA ALLAH WAVUNJA TORATI KWA KURUHUSU KULA NYAMA YA NGAMIA NA KUNYWA MIKOJO NA MAZIWA YA NGAMIA


Eti kula Nguruwe ni haram lakini wanakula Fisi na Mijusi. Eti kula nguruwe ni haram lakini wanakula NGAMIA. Huu ni msiba.
Swali la kujiuliza, kama kweli Yehova Mungu wa Musa ndie huyo huyo Allah wa Waislam, kwanini WAISLAM wanapinga aya ya kula NGAMIA? Mambo ya Walawi 7: 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; NGAMIA, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Zaidi ya hapo, Waislam wanakunywa Mikojo ya Ngamia na maziwa ya Ngamia. Je, huko si kuvunja amri ambayo ilisemwa katika Mambo ya Walawi 7 aya ya 4?
Abdallah Ibn Umar anasema kuwa kula Nyama ya Ngamia, na kunywa Maziwa yake ni HARAM. Lakini waislam wao wanaendelea kula Nyama ya Ngamia na kunywa Maziwa na Mikojo ya NGAMIA. (‘Abdallah Ibn ‘Umar al-Baydawi, Tafsir al-baydawi)


MUHAMAMD AWARUHUSU WAISLAM KUNYWA MIKOJO NA MAZIWA YA NGAMIA AMBAYE NI HARAMU KATIKA [WALAWI 7: 4]

Hata hivyo Muhammad aliwaamuru baadhi ya watu kumfuata mchungaji wake na kunywa maziwa na mikojo ya ngamia.
Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 6 na.589, 590 uk.398, 399 na juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 29 na.623 uk.418.
Muhammad pia alisema kuwa mkojo wa ngamia ni dawa nzuri. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 kitabu cha 31 na.3503 uk.38.
Baadhi ya Waislam waliambiwa kunywa mkojo wa Ngamia, waliishia kuwa waasi na kumuua mchungaji. Muhammad aliamuru wakatwe miguu na mikono yao na macho yao yachomwe. Sunan Nasa’i juzuu ya 1 na.308-309 uk.255-256. Tazama pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 sura ya 152 na.261 uk.162.
Sasa, kama Ngamia ni haramu katika Mambo ya Walawi 7 aya ya 4, kwanini Muhammad aliruhusu Waisla wale Nyama yake na kunywa Mikojo na maziwa yake?
Mbona Muhammad na Allah wanaruhusu kula na kunywa mikojo na Maziwa ya Ngamia ambaye ni haramu kwenye Mambo ya Walawi?
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam na Mtume wa Muhammad kwa kuvunja sheria ya Mungu ya kuto kula nyama ya Ngamia.
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH AWARUHUSU WAISLAM KULA NYAMA YA NGURUWE

KUMBE NGURUWE NI HALAL
QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye HANA DHAMBI KULA NGURUWE. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Sasa kwenye Surat Al Baqara Allah anasema unaruhusiwa kula Nguruwe kwa dharura.
MASWALI YA KUJIULIZA, Hivi dhambi inakuwa sio DHAMBI wakati wa dharura?
Hivi Haram inakuwa sio HARAMU wakati wa dharura?
Hivi huyu ALLAH tutamwamini vipi? ETI KULA NGURUWE WAKATI WA DHARURA NI HALAL, SASA UNAJISI/HARAM WA NGURUWE UNAISHA WAKATI WA DHARURA AU UNABAKIA HAPO HAPO.
Ndio maana nasema Allah sio Yahawe wala sio Mwenyezi Mungu.
Ndio maana nasemaga, UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA TU.
Kula ni kula tu. HARAM NI HARAM TU. HAIJALISHI DHARURA.
Karibuni kwa Yesu.
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA KWANZA)


Huu ni msiba mwengine kwa Waislam na kwa Muhammad.
Allah katika Surat Bani Israil anasema kuwa yeye anamajina mazuri mazuri na kasema kuwa Allah ni Jina na sio Wasifa. Nilipo chunguza kwa makini katika Majina yake 99, sikuliona jina la Allah katika hayo 99. Ingia hapa na thibitsiha mwenyewehttp://www.searchtruth.com/Allah/99Names.php
Lakini cha ajabu Allah anadai katika Surat Bani Israil 110 kuwa "ALLAH" ni jina lake angalia ushahid hapa chini.
Qr. 17 Surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………
Hivi huyu Allah anamatatizo gani? Maana ameshindwa kutupa jina lake. Sasa anasema kuwa Allah ni Jina lake, na nilipo angalia kwenye yale majina 99, ALLAH HALIPO. Na hata kama tukiliweka, basi ALLAH ATAKUWA NA MAJINA 100 na sio 99. Huu ni msiba mwengine kwa Waislam.
Allah ana majina mangapi, 99 au 100?
SASA TUMSOME MUNGU WA KWENYE BIBLIA:
Mungu anayejulikana
Kutoka 6:2-3,
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, mimi ni YEHOVA;
Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Unaona tofauti ya Allah na Yehova wa kwenye Biblia? Yehova hana kizungumkuti au longa longa kama Allah anaye sema yeye ana majina mazuri mazuri lakini ameshindwa kuthibitisha kuwa YEHOVA ni jina lake.
Mwenyezi Mungu kasema kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa yeye anaitwa YEHOVA, LAKINI ALLAH hakuwai sema kwenye Quran kuwa Yehova ni Jina lake. KUMBE BASI ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, NA YAKOBO.
Sasa, kati ya Mwenyezi Mungu aliye sema katika Taurat miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa Jina lake ni YEHOVA, NA Allah aliye shindwa kuthibitisha kuwa yeye ni Yehova zaidi ya kusema yeye ana majina mazurimazuri tumwanini nani?

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAMU




1. ALLAH ASEMA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM
2. MUHAMMAD AKIRI KUWA YEYE NA BABA YAKE WATAINGIA JEHANNAM
3. ALLAH NA YEYE ATHIBITISHA KUINGIA JEHANNAM
Jamani huu ni Msiba katika taifa la Islam kwa kushindwa kusoma aya hii ambayo ipo wazi (Quran 40:60) http://www.quranitukufu.net/040.html .
Katika mada hii, nitawawekea aya kutoka Koran na simulizi za Muhammad ambazo zinatushuhudia kuwa, Waislam wote wataingia Jehanamu.
Hebu tumsome kwanza Allah katika aya aliyo iteremsha kwa Mtume wake Muhammad (Pbuh).
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
http://www.quranitukufu.net/040.html
Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa “wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni ili wadhalilike”
Ndugu zanguni, huu ni Msiba, tena msiba mkubwa sana katika dini na taifa la Kiislam. Allah amesha toa hukumu kwa wamfuatao na inafahamika fika kuwa, Wale wote waingiao Jehannam, hao walikuwa hawafanyi Mapenzi ya Mungu wa Biblia. Allah anasema kuwa, ukifanya mapenzi yake, basi wewe utaingia Jehannam. Huu ushaidi ndio tulio usoma katika Quran 40:60.http://www.quranitukufu.net/040.html
Sasa tuwasikilize na maswahiba wa Mtume Muhammad.
Simulizi:Pia imesimuliwa na Ibn Jarir, iliyosimuliwa na Abu Kurayb, imesimuliwa na Ibn Yaman, imesimuliwa na Ibn Malik Maghul, imesimuliwa na Ibn Ishaq ambaye alisema, "Kila mara Abu Maysarah anapo kwenda kulala na akiwa kitandani kwake yeye husema, 'Mimi nasikia Uchungu kuzaliwa na Mama yangu. 'na kisha anaanza kulia kwa Machozi. Alipoulizwa kwa nini alikuwa akilia, alijibu yafuatayo,' Tuliambiwa na Mtume wa Allah kwamba SISI WAISLAMU tutaingia Jehannamu, LAKINI HATUKUAMBIWA kwamba TUTATOLEWAJE HUKO JEHANNAMU NA HATUKUAMBIWA NI KIVIPI TUTATOKA HUKO'"

JESUS IS GOD MALIK AL AMLAK

TRENDING NOW