Saturday, October 29, 2016

YESU ANAWEZA YOTE

OMBENI NANYI MTAPEWA
“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa” Mathayo7:7
“Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.” Waebrani 4:12
YESU NI MUNGU

Thursday, October 27, 2016

ALLAH HAJUI HISABATI NA AU HESABU


Jambo ambalo linathibitisha kuwa Allah sio Mwenyezi Mungu, ni makosa makubwa ya kimahesabu katika Quran yake anayo dai kuiteremsha kwa Muhammad kwa usaidizi wa Jibril.
Sheria zake za mirathi zimegawanywa katika sura kadhaa kama Al Bagarah, Al Maidah, na Al Anfah. Lakina kwa undani zaidi zimewekwa katia Surat Al Nisaai.
Surat An Nisaai 11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Surat An Nisaai 12. Na fungu lenu ni nusu walicho acha wake zenu ikiwa hawana mtoto. Wakiwa na mtoto basi fungu lenu ni robo ya walicho acha, baada ya wasia waliyo usia au kulipa deni. Na wake zenu watapata robo mlicho kiacha, ikiwa hamna mtoto. Mkiwa mna mtoto basi sehemu yao ni thumni ya mlicho kiacha, baada ya wasia mlio usia au kulipa deni. Na ikiwa mwanamume au mwanamke anaye rithiwa hana mtoto wala wazazi, lakini anaye ndugu mume au ndugu mke, basi kila mmoja katika hawa atapata sudusi. Na wakiwa zaidi kuliko hivyo basi watashirikiana katika thuluthi, baada ya wasia ulio usiwa au kulipa deni, pasio kuleta dhara. Huu ndio wasia ulio toka kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mpole.
Surat An Nisaai 176. Wanakuomba uhukumu, sema: Mwenyezi Mungu anakupeni hukumu juu ya mkiwa. Ikiwa mtu amekufa, naye hana mtoto, lakini anaye ndugu wa kike, basi huyo atapata nusu alicho acha maiti. Na mwanamume atamrithi ndugu wa kike ikiwa hana mwana. Na ikiwa wao ni ndugu wa kike wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho acha maiti. Na wakiwa ndugu wanaume na wanawake, basi mwanamume atapata sehemu iliyo sawa na ya wanawake wawili. Mwenyezi Mungu anakubainishieni ili msipotee; na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.
Ingawa Allah anasema kuwa, ameziweza hizo sheria kiuuwazi na bila ya shaka, lakini unapo zisoma hizo aya, zote zimejaa shaka na kuchakuana.
Quran 4:11 inasema kuwa akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Lakini aya hiyo hiyo inadai kuwa Kaka mtu atapata mara mbili ya mwanake, kimahesabu, Kaka mtu atachukua kila kitu. Huu ni msiba wa kimahesabu kwa Allah.
Zaidi ya hapo, unapowahusisha Wazazi wa kike katika hiyo mirathi, Allah anawaacha solemba, maana mahesabu yanakuwa magumu kwake.
Ndio maana nauliza, hivi, ni nani alimfundisha hesabu na au hisabati Allah?
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.

UISLAM NI DINI YA VITA NA KULAZIMISHANA




Uislam unafundisha nini kuhusu kulazimishana katika dini?
Ndugu msomaji,
Waislam wameembiwa wapigane na Makafiri au wawauwe au wakubali kujiunga na dini ya Muhammad. Uislam hauruhusu waumini wa imani zingine au dini zingine waabudu kwa uhuru. Ndio maana kwenye nchi za Kirabu kama Uarabuni kwenye Makkah, huko hakuna kanisa hata moja. Allah hapendi uhuru wa kuabudu.
Surat Tawba 29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii
Surat Al Anfaal 38. Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo yatenda.
Surat Tawba 5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Surat Al Baqaara 193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu
Surat Al Imran 84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Juhudi za Muhammad za kuutanganza Uislam bila ya chuki ziligonga mwamba. Kwa miaka 13 Muhamamd alikuwa na watu 100 tu ambao wengi wao walikuwa ni ndugu zake na jamaa zake. Baada ya kushindwa vibaya sana kuutangaza Uislam kwa kutumia amani, Muhammad akabadilisha mbinu ya kuutangaza Uislam na kuteremsha hizi aya hapo juu za kulazimisha watu wajiunge na dini yake, au lasivyo watakiona cha mtema kuni, kama sio kuuliwa kabisa. Aliwaambia wafuasi wake kuwa Allah amemuamrisha kuwalazima watu wajiunge katika dini yake ya Uislam.
Katika miaka yake ya mwishoni. kabla ya kifo chake, Muhammad hakujali tena kwamba watu wanajiunga au, la, bali alikuwa analazimisha kila mtu ajiunge na Uislam kwa kutishia kifo. Hii ni pamoja na adui yake mkubwa Abu Sufyan na mke wake Hind. Kutokana na wana historia wa Kiislam, Abu Sufyan alikwenda kwa Muhammad kutaka wawe na amani baada ya chuki kubwa ya Muhammad, lakini Muhammad alimlazimisha kujiunga na Uislam, la sivyo alimwambia atamuua. Maneno halisi ambayo Muhammad alimwambia ni haya "Nyenyekea na shahadia kuwa hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume wake au ukikataa utakatwa kichwa chako" Soma Ushahdi katika Ibn Ishaq/Hisham 814. Hivyo basi Abu Sufyan akakubali.
Mji mzima wa Mekkah ulisaliti amri, pale Muhammad alipo uvamia akiwa na kundi lake. Wengi walikataa lakini walilazimishwa kuingia Uislam na walio kataa walikatwa kichwa na Muhammad mwenyewe.
Wengine walifukuzwa kutoka Mekka baada ya hija ya mwisho Soma Quran 9:5. Wakristo na Wayahudi walio kuwa Urabuni wakati huo, nao walipatwa na hii shida/balaa ya Muhammad kulazimisha kujiunga na Uislam au unauwawa. Wengi walipewa chaguo moja wajiunge na Uislam au wafukuzwe kutoka kwenye ardhi zao. SOMA Sahihi Muslim 19:4366.
Kabla hajafa, Muhammad alituma majeshi yake kwenda kuwalazima Wapagani wa Kiarabu kujiunga nae, kabila la al Harith. Aliwaambia wamepewa chaguo moja tu kujiunga nae au atawauwa wote kwa upanga. Lakini hilo kabila la kipagani liliogopa na kiunga nae. Baadae Muhammad akawalaani Wakristo wote na Wayahudi. SOMA Sahihi Bukhari 8:427.

YESU NI MUNGU






“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia wanakwambia, “Lete andiko.”
Maandiko yapo mengi sana ndani ya Biblia juu ya ukweli kwamba Yesu ni Mungu. Ni mengi mno!
Ukishawapa andiko, wanabadilika na kusema, “Nataka maneno aliyoongea Yesu mwenyewe.” Kwa madai haya hata kwenye Qurana hawawezi thibitisha kuwa Allah Allah ni mungu, zaidi ya hapo, hata Utume wa Muhammad unakuwa kwenye njia panda, maana hakuna aya kwenye Quran Muhammad anasema mimi Muhammad ni mtume wa Mungu.
Hiki ni kigezo POTOFU na si cha kibiblia hata kidogo. Ukweli ni kwamba, Biblia YOTE ni Neno la Mungu. Haijalishi amezungumza Musa, Isaya, Yohana, Petro au Yesu mwenyewe. Imeandikwa:
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2Petro 1:21).
Hivyo, kudai kwao eti, “Nataka maneno aliyosema Yesu mwenyewe,” ni kigezo batili na kisicho na mantiki hata kidogo.
1. YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUZALIWA
Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO ni Mungu.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.
NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).
Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.
2. YESU NA BABA NI WAMOJA
Yohana 10:30
Mimi na Baba tu umoja.
Waislamu wana msemo wao kwamba eti, Yesu na Mungu ni wamoja katika malengo, si katika asili yao. Basi huwa nawauliza swali kuhusu aya ifuatayo ya Isaya, nao wanazimika na kukosa jibu:
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu MTOTO amezaliwa, Tumepewa MTOTO MWANAMUME; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, Mfalme wa amani.
Aya hii iko wazi kabisa. anayetajwa ni Yesu kwamba Yeye ni Mungu mwenye nguvu.
Yohana 14:9
Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? ALIYENIONA MIMI AMEMWONA BABA; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
Maneno haya Yesu aliyasema baada ya kuulizwa swali lililo wazi kabisa, ambalo lilikuwa na lengo la kumjua MUNGU BABA! Imeandikwa: Filipo akamwambia, Bwana, UTUONYESHE BABA, yatutosha. Ndipo Yesu akajibu waziwazi: ALIYENIONA MIMI AMEMWONA BABA. Maana yake ni kuwa, “Mimi ndio Baba mwenyewe.”
3. YESU NI MWANZO NA MWISHO
Ufunuo 1:17 na Ufunuo 22:13
Mimi ni wa kwanza na wa mwisho
Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
Ni Mungu TU ndiye mwenye uwezo wa kuwa wa kwanza na wa mwisho; Yesu ni Alfa na Omega. Kwa hiyo Yeye ni Mungu.
4. YESU NI NENO
Yohana 1:1
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye NENO ALIKUWA MUNGU.
Andiko hili Waislamu hawalipendi kabisa. ni kwa sababu liko wazi mno. Yesu ni Neno; na Neno ni Mungu; hivyo, Yesu ni Mungu!
5. THOMASO AKIRI KUWA YESU NI MUNGU, NA YESU HAKUKATAA KUITWA MUNGUYohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yoh 20:29).
Kama Thomaso alikuwa muongo, kwanini Yesu hakukataa kuitwa Mungu. Imani zote zinakiri kuwa Yesu hakufanya dhambi na hakuwa na dhambi.
6. DAMU YA YESU INAMAMLAKA
Matendo 20:28
Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake MUNGU, ALILOLINUNUA KWA DAMU YAKE MWENYEWE.
Ni Mungu gani mwenye damu huyu? Jibu liko wazi. Huyu ni Yesu Kristo. Huyu ndiye aliyetoa uhai wake na kumwaga damu yake msalabani; na hapo ndipo alipoanzisha Kanisa.
7. KATIKA YESU, KILA KITU KILIUMBWA
Wakolosai 1:16
Kwa kuwa KATIKA YEYE VITU VYOTE VILIUMBWA, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
Katika Yeye Yesu vitu vyote viliumbwa. Ina maana kuwa vitu vyote vilitokana na Yesu; maana Yesu ni Neno la Mungu. Na tunajua kuwa Muumba wa vitu vyote ni Mungu; hivyo, Yesu ni Muumba – Yeye ni Mungu!!
8. KATIKA YESU, UNAKAA UTIMILIFU WA MUNGU
Wakolosai 2:9
Maana KATIKA YEYE UNAKAA UTIMILIFU WOTE WA MUNGU, kwa jinsi ya kimwili.
Sisi sote ni watu wasio wakamilifu. Tunaanguka tena na tena kwenye dhambi. Kwa hiyo, hakuna mwanadamu wa kawaida ambaye anaweza kujigamba kwamba yeye ametimia kama alivyo Mungu. Lakini katika Yesu “utimilifu WOTE wa Mungu unakaa.” Kwa nini? Kwa sababu Yeye ndiye Mungu huyohuyo.
9. YESU NI MUNGU PAMOJA NASI "EMMANUEL
"1Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. MUNGU ALIDHIHIRISHWA KATIKA MWILI, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
Ni Mungu gani aliyedhihirishwa katika mwili? Jibu liko wazi. Ni Yesu Kristo peke yake.
10. YESU NI MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU
Tito 2:13
….tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa KRISTO YESU, MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU
Yesu Kristo ni Mungu Mkuu!!
Shida KUU ya Waislamu ni hii: Wanampima Mungu kwa vigezo vya kibinadamu. Mungu anasema: Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza? (Yer 32:27)
Jibu liko wazo. HAKUNA!
Lakini utakuta Waislamu wanauliza maswali ya ajabu sana. Eti, kama Yesu ni Mungu, wakati amekufa, nani alikuwa anaangalia dunia?
Hili ni swali linalofaa kuulizwa juu ya kiumbe. Kama tungesema kuwa mwanadamu fulani alikuwa amekufa, ndipo kuna mantiki kuuliza kwamba, wakati amekufa nani alikuwa anatunza familia yake? Maana hili ni swali linalohusu tabia za kibinadamu kwa kuwa mwanadamu hawezi kuwa mahali kuwili au zaidi kwa pamoja. MUNGU SI MWANADAMU! ANAWEZA YOTE – NA HASA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO!
YESU NI MUNGU MILELE NA MILELE!!
HALELUYA!!
Tafakari
Hoji mambo
Chukua hatua!
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA NANE)



JE, UNAZIFAHAMU SABABU ZILIZOMFANYA BWANA YESU KUINGIA HEKALUNI SIKU YA SABATO?
Wasabato wa karne hii, wanadai kuwa, kitendo cha Yesu kuingia Hekaluni/Sinagogi ni ushahidi tosha kuwa Yesu alikuwa Msabato na au alikuwa anatunza Sabato. Lakini wanashindwa kuelewa kuwa, Yesu aliingia Hekaluni siku ya Jumamosi KUHUBIRI HABARI NJEMA [kuvua Samaki] na sio kutunza siku, maana Yesu yeye ndie Bwana wa Sabato.
USHAHIDI KUHUSU SIKU YA SABATO:
Biblia inasema, Matendo 13:13-15 “Kisha Paulo na wenziwe wakang’oa nanga wakasafiri kutoka pafo, wakafika Perge katika Pamfilia. Yohana akawaacha akarejea Yerusalemu. Lakini wao wakatoka Perge, wakapita kati ya nchi, wakafika Antiokia mji wa Pisidia, wakaingia katika sinagogi siku ya sabato, wakaketi. Kisha baada ya kusomwa torati na chuo cha manabii, wakuu wa sinagogi wakatuma mtu kwao, na kuwaambia, NDUGU, KAMA MKIWA NA NENO LA KUWAFAA WATU HAWA, LISEMENI.”
SABABU YA YESU KUINGIA HEKALUNI:
Katika karne ya kwanza, kwenye Mahekalu/Masinagogi KULIKUWA NA UTARATIBU kwamba, baada ya kusoma torati na chuo cha manabii, wakuu wa Masinagogi, walikuwa wakikaribisha watu, waliokuwa na jambo jema la kuwaambia watu kwenye kusanyiko.
Ndio maana wahubiri kama Bwana Yesu na Paulo, hii kwao ilikuwa ni fursa na au nafasi ya pekee sana ya kuwahubiria Wayahudi habari njema za ufalme wa Mungu, kwani walikuwa wamepotea kwa kuendelea kushika sheria ya sabato na mapokeo mengine. Kwa hiyo, Bwana Yesu na Mhubiri kama Paulo walitumia nafasi hii, kuwafikishia Mafarisayo na Wayahudi wengine habari njema, kwa kuwa siku ya sabato, watu wengi walifika hekaluni.
Hivyo basi, Bwana Yesu na mitume kama Paulo, hawakwenda hekaluni kukusanyika kwa kusudi la kushika au kutunza sabato au kushiriki kusanyiko la Wasabato, bali waliwafuata Wayahudi waliokuwa bado wamefungwa na mzigo wa sabato “sheria” na mapokeo mengine. Na kwa kulithibitisha hilo, Bwana Yesu, alikuwa akienda hekaluni kila siku kufundisha, na siyo siku ya sabato tu.
YESU ANAFUNDISHA HABARI NJEMA KILA SIKU KWENYE HEKALU/SINAGOGI NA SIO JUMAMOSI PEKE YAKE KAMA WANAVYO DAI WASABATO
UTHIBITISHO:
Luka 19:47 tunasoma, “Naye akawa akifundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, na waandishi, na wakuu wa watu walikuwa wakitafuta njia ya kumwangamiza.”
Luka 21:37 tunasoma, “Basi kila mchana, alikuwa akifundisha hekaluni, na usiku huenda kulala katika mlima uitwao wa Mizeituni.”
Zaidi ya hapo, katika Yohana 18:20 tunasoma, “Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu wazi wazi; siku zote nalifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo wayahudi wote; wala kwa siri mimi sikusema neno lolote.”
Kwenye aya za hapo juu, tumemsoma Bwana Yesu na anathibitisha kuwa alikuwa akienda kwenye sinagogi na hekalu kila siku ili kufundisha watu, kwani ilikuwa ni sehemu ambayo angeweza kuwapata Wayahudi, hivyo kumpa nafasi ya kufundisha kweli ya neno la Mungu. Kwa lugha nyingine, Yesu alikuwa anavua Samaki.
WASABATO WANADAI KUWA SABATO NI YA MILELE, JE HAYA MADAI NI KWELI?
Wasabato hudai kwamba, sheria ya kushika sabato haijakomeshwa na inaendelea hata sasa kwani imeamriwa kuwa ni agano la milele kama Biblia inavyosema katika Kutoka 31:16, “Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato, katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele.”
NINI MAANA YA NENO MILELE KAMA LILIVYO TUMIWA KWENYE “KUTOKA 31:16”?
Kabla hatujaingia kwa undani zaidi katika kutafuta ukweli wa hoja hii, ni vizuri, watu wakielewa maana ya neno MILELE kwa msingi wa maisha ya duniani. Neno MILELE, likitumika kwa matumizi ya kidunia haimaanishi isiyo na mwisho, kwa kuwa hakuna umilele kwenye maisha ya hapa duniani, bali humaanisha muda mrefu. Lakini neno MILELE, likitumika nje ya matumizi ya kidunia, mfano maisha baada ya kufa, hapo ndipo milele humaanisha “isiyo na mwisho”. Kwa ujumla, siyo kila palipoandikwa kwenye Biblia MILELE, inamaanisha isiyo na mwisho.
UTHIBITISHO:
Kwa mfano, katika kitabu cha 1 Samweli 27:12 tunasoma, “Hivyo akishi akamsadiki Daudi, akasema, amewachukiza kabisa hao watu wake Israeli; kwa hiyo atakuwa mtumishi wangu hata MILELE”
Daudi anatangazwa kuwa ni mtumishi Akishi hata milele, lakini, ebu tujiulize, kama kila litumikapo neno milele, lina maana isiyo na mwisho, je Daudi aliendelea kuwa mtumishi wa Akishi? Je baadaye hakuwa Mfalme? Akishi hapa, alimaanisha kwamba, Daudi kuwa mtumishi wake kwa muda mrefu.

UTHIBITISHO:

Wednesday, October 26, 2016

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA SABA)


Msomaji wangu,

Tumesha zisoma aina tatu za Sabato katika Sehemu Ya Sita, sasa, tuangalie malengo ya Sabato.
Wanao jiita Wasabato wa karne hii, hawafamu lengo la kushika sabato kwa wana wa Israeli. Kwa kifupi, lengo la kushika Sabato kwa Wana wa Israeli lilikuwa ni kupumzika kazi na kustarehe tu na wala si vinginevyo.
Kitu cha kushanganza, wanaojiita Wasabato katika karne ya leo, wameigeuza sheria aliyo pewa Musa na wana Waisraeli ya kushika sabato kama ni siku ambayo Mungu ameamuru wafanye ibada, kinyume kabisa na kusudi zima na maana halisi ya neno sabato. Watu hawa wamekuwa na tabia ya kuwashutumu wakristo wengine na kusema kuwa, Jumamosi ndiyo siku halali ya kufanya ibada, lakini Jumapili, ni siku ambayo haikuamriwa na Mungu, watu kukusanyika kufanya ibada. Zaidi ya hapo, wanasema kuwa eti Jumapili ni siku ya kipagani. Wasabato hawa wanaihusisha siku ya Jumapili na waabudu JUA, kwa kufanya tafsiri ya neno la Kiingereza ‘Sunday’ – WANALIGAWA NENO “SUNDAY” KWA KUTENGANISHA SUN AND DAY, SUN = JUA NA DAY = SIKU Na kuja na jibu kuwa wale wote wanao abudu Jumapili basi wao wanamwabudu Mungu JUA, ingawa tuna uthibitisho tosha kuwa Wakristo wa kwanza walimwabudu Yesu ambaye alikufa kwa ajili ya dhambi zetu na SIO MUNGU JUA kama wanavyo dai. Ili kufahamu kwanini kuna siku hizi za wiki na maana yake, ni vyema kuangalia msingi wa hizi siku na jinsi walivyo ziweka. MFANO: Tuiangalie siku ya JUMAMOSI ambayo kwa Kiingereza ni SATURDAY, je, hili jina walilipataje? Kutokana na Warumi siku hii ya SATURDAY iliitwa kutokana na SAYARI YA ZOHALI yaani (dies Saturni) kwa sababu Warumi wa wakati huo waliheshimu sayari Zohali. SASA KAMA TUKITUMIA UTAALAMU HUO HUO WA KUHUSISHA SIKU NA IMANI AU DINI, JE, INAMAANISHA KUWA WASABATO “SDA” WAO WANAAMINI NA AU ABUDU SAYARI YA ZOHALI?
Kitu ambacho hawa Wasabato hawakifahamu ni hiki: Agizo la kushika sabato na siku ya kukusanyika ni vitu viwili tofauti na ni maagizo mawili tofauti ambayo wana wa Israeli walipewa kuyatekeleza.
AGIZO LA KUKUSANYIKA KUFANYA IBADA:
Katika agizo la kukusanyika kwa wana wa Israeli, Mungu alitoa siku mbili yaani Jumapili na Jumamosi, ingawa wasabato karibu wote hawalijui jambo hili, maana hao wamekaririshwa siku ya sabato tu yaani Jumamosi.

UTHIBITISHO:
Tunaweza kuthibitisha ukweli huu katika kitabu cha Kutoka 12:16 Biblia inasema, “SIKU YA KWANZA kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na SIKU YA SABA kutakuwa na kusanyiko takatifu, haitafanywa kazi yoyote katika SIKU HIZO, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.”

Mungu aliwaamuru wana wa Israeli wakusanyike siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili na siku ya saba yaani Jumamosi kwa kalenda ya kwetu. Pia Mungu hakuwaagiza kukusanyika tu, bali aliwaagiza wasifanye kazi pia. Lakini wanaojiita wasabato nyakati za leo, wanapinga kukusanyika Jumapili sawasawa na maagizo ya torati wanayodai kuifuata.
1. Swali ni kwamba, mafundisho yao ya kukusanyika siku ya sabato yametoka wapi?
2. Kama ni kwenye Biblia mbona siku moja hii wameiacha?
3. Je aliyetoa agizo la siku ya sabato ni Mungu mwingine na aliyetoa agizo katika kitabu cha Kutoka 12:16 (yaani kukusanyka siku ya Jumapili) ni Mungu mwingine?

AER LINGUS: One airline you shouldn’t expect to protect you from potential Muslim terrorists


luckofthemuslims-e1431497410316When a verbal altercation broke out between a non-Muslim and some Muslim passengers on flight EI0330 from Dublin to Berlin, Aer Lingus proceeded to kick the non-Muslim off the plane, based solely on the testimony of another Muslim passenger on the flight .

BEST U.S. AIRLINES to fly if you want to minimize the chances of finding yourself on a plane with potential Muslim terrorists

Independent  According to the other Muslim passenger Khalid Wafiq Kamel on the flight who observed the altercation writing on on Aer Lingus’s Facebook page (below):

14641915_10154482409520446_4353177471356214265_n
I was on Aer Lingus 0330 flight this morning from Dublin to Berlin. Before taking off, a passenger showed an abusive behaviour against two other Muslim passengers. The crew reacted promptly to stop him, and the offending passenger was removed from the flight. I would like to send a special Thank You to Captain O’Shea and the rest of the crew for making my day. As a Muslim, I felt safe and respected being in Ireland and on Aer Lingus. As one of the crew said ‘We are all equal’. Thank you Aer Lingus 

 Aer Lingus declined to comment specifically on the incident about what was said and who started it.

What you probably didn’t hear about in America but was reported in the UK Daily Mail: Fire spread across Aer Lingus passenger jet after ground equipment bursts into flame at Orlando airport leaving 200 passengers stranded.

UK Daily Mail  An Aer Lingus passenger jet  due to depart for Dublin, became engulfed in flames while it was refuelling at a Florida airport. Two baggage handlers were seriously injured in the fire and 193 passengers were left stranded after a large section of the plane burst into flames last week.

39561ce200000578-3834852-image-a-3_1476296115933

Baggage handlers Kevin Charles and Alexix Salgado were both seriously injured in the incident – after both being engulfed in flames while they worked near the cabin hold. They sustained life-changing first, second and third degree burns and one of them broke their leg while trying to jump to safety. 

A total of 193 passengers, who were either on the aircraft or in the process of boarding, escaped unharmed. However, they were left stranded as a result of the incident – with some describing their ordeal as the ‘trip from hell’.

Colin Boylan, County Monaghan, Ireland, was preparing to fly home when he was caught up in the chaos. ‘We were literally all about to board smiling and excited them panic of people running screaming and smoke from our plane. ‘I never want to experience drama like that in an airport again.

 Aer Lingus declined to comment specifically on the incident or what caused it.

islamic_eire

GERMANY: Syrian Muslim so-called ‘refugee’ with four wives and 23 children raking in $391,000 per year in welfare benefits for his harem and large litter


one-muslim-family-mooching-off-uThis Muslim serial freeloader known only as Ghazia A, fled  last year along with his sickeningly large immediate family. He has since resettled in Germany with his four wives and 23 of his children. One of his daughters has since moved to Saudi Arabia where she has married.

(While none of the photos here are of the family in question, they show the typical size of Muslim families that are being supported by hard-working European taxpayers)

84ceb1cebdceb1cf83cf84ceb5cf83-vi

UK Express (h/t Rob E)   The family is estimated to be receiving more than $391,000 a year in benefits according to a financial manager on the Employers’ Association website. There is no official confirmation on this figure.

Under Islamic tradition, the 49-year-old can have up to four wives – as long as he can support them financially (and he knew he’d be in for a lifetime windfall of free benefits for his wives and as many future freeloaders-in-training they can push out).

10001861_h11964295-600x399-2

Germany does not legally recognize polygamy, meaning that Ghazia A was forced to choose a “main wife” so the rest of the family could claim benefits. The other three wives are categorized as “friends” of the Syrian Muslim freeloader for life.

But a local official in the town of Montabaur described the situation as an “exemption” (only available to Muslim parasites)

family1-e1460094431346

Ghazia A now lives with his “main” wife Twasif and their five children in Montabaur, in the state of Rhineland-Palatinate – while the other three wives and children have been moved into neighbouring communities up to 31 miles away (where they also get free benefits for life).

The man used to work in a garage and car hire service in his homeland but has not worked since resettling in Germany. (Why should he when he can get what he needs without lifting a finger…except to cash the welfare checks)

comment_4btuchlqvrgkrsqgerktujketrzi3xs7

Mr Ghazia expressed an interest in working again but noted his commitments to his family made this difficult. He said: “In our religion it is my duty to visit every family and to be with them.” (“I’m much too busy to actually look for a job”)

One of Ghazia’s neighbours, Sergei Jaufmann, said: “The children play football in the street. The mother I often see, when it comes back from shopping (loaded with stuff other people have paid for in advance).”

Social media users vented their frustrations, with one claiming “the Syrian with 4 women and 23 children is now being sold to us as a new normality.”

muslim-welfare

ALLAH ANASEMA KUWA DUNIA NI KAMA ZULIA, KUMBE ALLAH HAKUUMBA DUNIA


Elewa kuwa namba za aya zinatofautiana kwenye matoleo tofauti ya Kurani. Namba hizi za aya zifuatazo zimetolewa kwenye (toleo lililorekebishwa la) Yusuf ‘Ali. Nimesahihisha matumizi ya herufi kubwa.

ETI DUNIA IPO KAMA ZULIA:
Sura 20:53 "Yeye aliyeiumba dunia kwa ajili yako kama zulia ameisambaza"
VIOJA VINAANZA, ALLAH KAUMBA DUNIA KAMA ZULIA 'CARPET'
Sura 50:7 "Na dunia – tumeisambaza 4946, na tumeweka milima juu yake …"
Rejeo la Yusuf ‘Ali la 4946 chini ya ukurasa linasema, "Linganisha xiii. 3; na xv. 19 na rejeo la 1955.

Sura 67:15 "Ni Yeye aliyeifanya dunia iweze kuthibitiwa 5571…" Tafsiri nyingine zinatumia neno "usawa." Rejeo la 5571 la Yusuf Ali chini ya ukurasa linasema, "Zalul inatumiwa kwenye ii.71 kwa mnyama aliyefunzwa na anayeweza kuthibitiwa: hapa linatumika kuielezea dunia, na nimelitafsiri kama ‘inayoweza kuthibitiwa’…."

ETI MWEZI UNATOA MWANGA
Sura 71:15 "‘Je hamuoni jinsi Allah alivyoumba mbingu saba moja juu ya nyingine ‘NA ALIUMBA MWEZI UWE MWANGA KATI YAO, na aliumba jua liwe taa ing’aayo?" Hata kama ikichuliwa kuwa hii ni lugha ya kufananisha, hakuna kitu chochote chenye kuashiria mafundisho ya kisasa ya unajimu.
ETI MWEZI UNATOA MWANGA KWENYE AYA HAPO JUU YA SURA 71 AYA 15. HUU NI MSIBA.
DUNIA NI ZULIA, ASTAGHAFURILLAH.
Sura 71:19 "‘Na Allah aliiumba dunia kwa ajili yako kama zulia (lililosambazwa),5718…" Rejeo la 5718 la Yusuf ‘Ali chini ya ukurasa linasema, "linganisha xx 53.

Sura 78:6-7 "Sisi [Allah] je hatujaumba dunia pana kama eneo kubwa wazi 5890, na milima kama vigingi?" Rejeo la 5890 la Yusuf ‘Ali chini ya ukurasa linasema, Tazama rejeo la 2038 hadi xvi. 15. Linganisha pia xiii. 3 na xv. 19. Eneo kubwa wazi lenye nafasi pana linaweza kulinganishwa na zulia, ambalo milima ni kama vigingi

ALLAH AMECHAKACHUWA KUHUSU SAYANSI NA UUMBAJI?


1. Kurani iliitarajia sayansi ya kisasa: Jua na mwezi ziko kwenye mkondo na huzunguka kwenye mhimili wao (Sura 21:33; 36:27-40). Kurani pia inafundusha nadharia ya mlipuko mkubwa uliosababisha kuumbwa kwa dunia (Sura 21:30; Sura 51:47,48). Neno la Kiarabu falak linamaanisha "mkondo." Wanajimu wanatuambia kuwa jua huzunguka kwenye kitovu cha kundi la nyota kila baada ya miaka karibu milioni 250. Neno la Kiarabu yasbahuna (linatokana na sabaha)linamaanisha kuzunguka mkondo wake.
1 Itikio: Jambo hili ni ndoto za mchana kwa sababu mbili.
1) Maneno hayako bayana: falak ni neno la Kiarabu lenye kumaanisha njia, kuendelea kwenye mkondo, na yasbahuna inaweza kumaanisha kuharakisha, ingawa maana yake ya moja kwa moja zaidi ni kuogelea.
2) Muhammad alituambia wazi kabisa maana yake, na inamaanisha kuwa jua na mwezi vinasafiri juu ya dunia, vikiwa vimepanda kibandawazi kwenye anga la dunia.
Tena, kuna vyanzo viwili vya maneno aliyosema Muhammad.
"Mungu aliumba bahari iliyo fasrakh tatu (kilomita 18) toka mbingni. Mawingu yamethibitiwa, inasimama angani kwa amri ya Mungu. Hakuna tone lake lolote linalomwagika. Bahari zote hazitembei, lakini bahari hutembea kwa mwendokasi wa mshale. Inao uhuru wa kutembea angani kwa uwiano sawa, kana kwamba ni kamba iliyovutwa kwenye eneo kati ya mashariki na magharibi. Jua, mwezi, na nyota zinazorudi nyuma [sayari 5] zinakimbia kwenye kilindi cha tumbo lake. Hivi ndivyo neno la Mungu (linavyomaanisha): ‘KIla kimojawapo huogelea angani.’ ‘Anga’ ni mzunguko wa magari yanayokokotwa na farasi kwenye kilindi cha tumbo la hiyo bahari." al-Tabari juzuu ya 1, uk.235.
Abu Dhar alisimulia: Nabii aliniuliza jioni moja, ‘Unajua mahali jua linakokwenda (wakati linapozama)?" Nilimjibu, "Allah na Mtume wake wanafahamu hilo vizuri zaidi." Aliniambia, "Linakwenda (yaani linasafiri) hadi linasujudu chini ya kiti cha enzi, na linapata ruhusa ya kuchomoza tena, na linaruhusiwa na kisha (muda utakuja wakati ambapo) litakuwa linataka kusujudu lakini kusujudu kwake hakutakubaliwa…" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 sura ya 4 na.441, uk.283. Sahih Muslim juzuu ya 1 kitabu cha 1 sura ya 73 na.297-300, uk.95-96 pia lina maelezo ya kina ya maongezi ya Muhammad na Abu Dharr.
2. Kurani inauelezea mhimili wa jua karibu na kitovu cha kundi letu la nyota
2 Itikio: Jua halina mhimili wake peke yake kwenye kundi letu la nyota. Kama Kurani ilikuwa inajaribu kufundisha sayansi ya kisasa, ingepaswa kusema kuwa jua, mwezi, dunia, na nyota zinazorudi nyuma (sayari) zinazunguka pamoja kwenye mhimili mmoja.

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW