Tuesday, January 10, 2017

WATOTO WA MUNGU NI NANI?

Image may contain: 12 people, people standing


Biblia ipo wazi kwamba watu wote ni viumbe wa Mungu (Wakolosai 1:16), na kwamba Mungu anaipenda dunia nzima (Yohana 3:16), lakini ni wale tu ambao wamezaliwa mara ya pili ndio watoto wa Mungu (Yohana 1:12; 11:52; Warumi 8:16, 1 Yohana 3:1-10).
Ninani mwana wa Mungu?
Kuzaliwa kwa kiroho hufanya mtu kuwa mwana wa Mungu. Imeandikwa Yohana 1:12-13 "bali waliompokea aliwapa uwezo wakufanyika watoto wa Mungu ndio wale waliaminio jina lake walio zaliwa sikwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili wala sikwa mapenzi ya mtu bali kwa Mungu."
Mungu amefungua njia yakuwa watoto wake. Imeandikwa 1Yahana 3:1 "Tazameni ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu na ndivyo tulivyo kwa sababu hii ulimwengu haututambui kwa kuwa aukutambua yeye."
Wakristo wamefanywa kuwa jamaa ya Mungu imeandikwa Warumi 8:16 "Roho mwenywe hushuudia pamoja na roho zetu ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu."
Tazama watoto washanga. imeandikwa Luka 18:16-17 "Bali Yesu akawaita waje kwake, akasema waasheni watoto wadogo waje kwangu wala msiwazuie kwa kuwa watu kama hao ufalme wa Mungu ni wao amininawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hauingii kamwe."
Katika maandiko, waliopotea kamwe hawajulikani kuwa watoto wa Mungu. Waefeso 2:3 inatuambia kwamba kabla ya sisi kuokolewa sisi tulikuwa "kiasili wana wa hasira" (Waefeso 2:1-3). Warumi 9:8 inasema kwamba "si watoto wa kawaida ambao ni watoto wa Mungu, lakini ni watoto wa ahadi ambao ni kuonekana kama uzao wa Ibrahimu." Badala ya kuzaliwa kama watoto wa Mungu, sisi tumezaliwa katika dhambi, ambayo hutenganisha sisi kutoka kwa Mungu na kutuweka sisi pamoja na Shetani kama adui wa Mungu (Yakobo 4:4, 1 Yohana 3:8). Yesu alisema, "Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, kwa maana nalitoka kwa Mungu na mimi nimekuja; wal sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma" (Yohana 8:42). Kisha mistari michache baadaye Yohana 8:44, Yesu aliwaambia Mafarisayo kwamba "nanyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda." Ukweli kwamba wale ambao hawajaokoka si watoto wa Mungu pia huonekana katika 1 Yohana 3:10: "Katika hili watot w Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake."
Sisi huwa wana wa Mungu wakati tumeokolewa kwa sababu tumetwaliwa katika familia ya Mungu kwa njia ya uhusiano wetu na Yesu Kristo (Wagalatia 4:5-6, Waefeso 1:5).
Shalom.

KUZALIWA MARA YA PILI MAANA YAKE NINI?

Image may contain: text
Wakati Yesu akizungumza na Nikodemo, alisema, Amin, Amin, nakuambia, mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu. Nikodemo akamwambia, “Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee?” “Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?” Yesu akajibu, “Amin, Amin, nakuambia, mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, hamna budi kuzaliwa mara ya pili…” (Yohana 3:3-7).
Msemo “kuzaliwa mara ya pili” unamaanisha “zaliwa toka juu” Nikodemo alikuwa na uhitaji wa kweli. Alihitaji mabadiliko ya moyo wake... Mabadiliko ya kirohoUzao mpya, kuzaliwa mara ya pili, ni kitendo au hatua ya Kiungu ambapo uzima wa milele hupewa mtu yule aaminiye (2Wakorintho 5:17; Tito 3:5; 1Petro 1:3; 1Yohana 2:29; 3:9; 4:7; 5:1-4, 18). Yohana1:12, 13 inasema ya kuwa”kuzaliwa mara ya pili” pia ina maana “kufanyika mtoto wa Mungu”kwa imani katika jina la Yesu Kristo.
Kuzaliwa mara ya pili ina maana kufa kwa matendo ya mwili ya kale. Imeandikwa, Warumi 7:4 "Kadhalika ndungu zangu ninyi pia mmeifia torati kwa njia ya mwili wa Kristo mpate kuwa mali ya mwingine yeye aliyefufuka katika wafu kusudi tuzalie Mungu matunda."
Swali hasa ni kuwa, “kwa nini mtu anahitaji kuzaliwa mara ya pili?” Mtume Paulo katika Waefeso 2:1 asema, “Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi …” Kwa Warumi katika Warumi3:23, Mtume aliandika, ”kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu. “Kwahivyo mtu anahitaji kuzaliwa mara ya pili ili asamehewe dhambi zake na awe na uhusiano na Mungu.
Je, hii hutokea vipi? Waefeso2:8, 9 yasema, kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yoyote asije akajisifu.” Mtu anapo “okolewa”, basi yeye amezaliwa mara ya pili, akijazwa upya kiroho, na sasa amefanyika kuwa mwana wa Mungu kwa haki ya uzao mpya. Kwa kumwamini Kristo Yesu, yeye aliye adhibiwa kwa ajili ya dhambi alipokufa msalabani, ndiyo maana ya “kuzaliwa mara ya pili” kiroho. “Hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya…” (2Wakorintho 5:17 a).
Kama bado hujaweza kumwamini Bwana Yesu Kristo kama mwokozi wa maisha yako, je utakuwa na utayari wa kupokea Roho mtakatifu wakati akizungumza na moyo wako? Unahitaji kuzaliwa mara ya pili. Je, utaomba maombi ya kutubu na ufanyike kuwa kiumbe kipya ndani ya Kristo hivi leo? “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndiyo wale waliaminio jina lake; waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu” (Yohana 1:12-13).
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Friday, January 6, 2017

FRANCE: Muslim workers’ religious demands for prayer-breaks, halal food, days off for Islamic holidays, and resulting loss of productivity caused car plant closure


Excessive and relentless religious demands of Muslim workers at a car factory in Paris contributed, in large part, to the plant’s closure, Drancy deputy-mayor Jean-Christophe Lagarde has disclosed.

Breitbart  Lagarde made the revelation during an appearance on public service broadcaster France Info on Tuesday, in which he was asked about “communitarian trends” in Islam, where communities are becoming more religious and more insular.

“Religion has nothing to do with work” began his response, but the Union of Democrats and Independents (UDI) president went on to admit that Islam has caused a number of problems related to employment in the state he represents.

“There were difficulties, including in my area, for example in Aulnay-sous-Bois. It was never said, but part of the PSA closure was down to the ubiquity of religion and the fact that there were religious demands at work, work stoppage, [and] loss of productivity,” he said.

RATP has also experienced difficulties with Muslim employees Lagarde noted, referring to known cases of radicalization in the Paris transport company, which is said to employ a large number of Muslims who are watched by French intelligence as known extremists.

The PSA Group, a French car manufacturer who makes Peugeot and Citroën vehicles, shut its factory in Aulnay-sous-Bois in 2013. The plant was known for employing a large number of practicing Muslims as workers.

In addition to having installed a prayer room in the 1980s, the factory’s menus and schedule, with regards to Ramadan, prayer breaks, and religious holidays, were all adapted for the convenience of Muslim staff members.

Drancy, where Lagarde is mayor, neighbours Aulnay-sous-Bois and is a commune in Paris’s northeastern suburbs in Seine-Saint-Denis, the most violent area in France. The area, where 36 per cent of residents were born abroad, has long been known as a trouble spot in Paris, with police regularly attacked and buses torched.

But a recent report, which revealed the suburb to be a “no-go zone” for women in which they are invisible in the streets and unwelcome in bars and cafes, caused a stir across the media, with politicians voicing their disgust.

Well, of course, the newly released German edition of Mein Kampf is flying off the shelves


With more than five million Muslim jihadists now wreaking havoc on the citizens of Germany, it’s no surprise that Hitler’s infamous Mein Kampf (‘My Struggle’ or as they call it in Arabic ‘My Jihad’) would become an instant best-seller. After all, it is widely known that Hitler based a lot of his ideas about Jews and the final solution on the teachings of the Quran.

MUST-SEE TV: ‘The Real Housewives of the Islamic State (ISIS)’


If only Muslims had a sense of gallows humor.

h/t Diane C

RIGHT ON SCHEDULE…Leftist and Muslim heads are exploding over this BBC comedy sketch depicting brides of ISIS terrorists in a reality show-style spoof.

The Telegraph (h/t Charlotte) Revolting’s Real Housewives of Isis skit, based on the popular US television model recently exported to Britain, features actors dressed as brides of Isil fighters taking selfies and showing off suicide belts.

“The humor is only funny if you look down on someone else and enjoy seeing them unhappy because they are not white and Christian,” wrote one critic on Facebook. Another Facebook user scolded: “I’m mortified that the BBC had produced such a programme. This is simply bad taste. The fact it is a comedy makes it even more worrying that humour should be associated with the actions of ISIS.”

Still another wrote: “You are utterly abhorrent BBC. You are going to joke about mass rape too or the use of children as suicide bombers or make light of your role in promoting extremism to deceived and abused women. Sick, you are truly sick in the head and morally bankrupt.”

You be the judge. Is the video “sick and morally bankrupt” or a hilarious example of gallows humor that you are going to want to share on Facebook and tweet to your friends as soon as you’re done laughing?



UP IN FLAMES! Netherlands property that Muslims purchased to use as a mosque and Islamic indoctrination center


Police do not yet know if it was arson as Muslims saw their future mosque burned to the ground. 

NOS.nl  The Association of Islamic community Culemborg said, “We wanted an Islamic center and mosque that would be a meeting place with a library and a variety of Islamic-oriented activities, not just a place of worship.” Several hours after the fire in the mosque six cars in the district Terweijde went up in flames. 

FEARLESS Egyptian Christian woman in Germany gets cursed out and spat on by Muslims for speaking out against Islam


As she warns about the threat that Islam poses to freedom of expression and liberty in Europe, furious Muslims in the crowd call her “slut,” “cunt,” spit on her, and tell her she’s lucky she’s in Germany

(implying that if she were in a Muslim country, she would have been gang-raped, then killed for insulting Islam).

BREAKING NEWS: Shooting at Ft. Lauderdale airport, 5 dead so far…


Allegedly, a shooting suspect is in custody. 

Washington Post  Police said five people were killed in a shooting Friday afternoon at the Fort Lauderdale international airport that also sent eight others to the hospital. The suspected shooter is in custody, according to a spokeswoman for the Broward County Sheriff’s Department, which was on scene at the airport.

Multiple news outlets are reporting five people have died, and the Broward Sheriffs office tweeted eight people are injured and have been transported to a hospital. Sen. Bill Nelson told ABC News the suspected shooter has been identified as Esteban Santiago, who had a military ID on him. Unclear if it belongs to him.

Second shooting at Fort Lauderdale airport confirmed by TSA

People are being told to take shelter after a second shooting reported at Ft. Lauderdale – this one at Terminal 1. The first was at Terminal 2.  Passengers are being evacuated from the first incident at Terminal 2 in an orderly fashion, after five people were killed and 13 injured. The situation is still fluid.


NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA PILI)

Image may contain: text and outdoor
Kwanini Bwana Yesu aliingia kwenye Sinagogi siku ya Jumamosi “SABATO”?
Kabla sijaanza kuelezea kwanini Yesu aliingia Sinagogi, ni vyema tukafahamu angalau kiufupi maana ya Sinagogi.
Sinagogi ni nyumba ya dini na ya jamii ya Wayahudi inayotumika hasa kusali. Jina hili Sinagogi linatokana na neno la Kigiriki συναγωγή sinagoge, likimaanisha "mkutano"; ni tafsiri ya neno la Kiebrania בית כנסת beit knesset, yaani "nyumba ya mkutano".
Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule) kutajia sinagogi.
Sasa basi, baada ya kulewa maana ya Sinagogi, huto shangaa kuwa Wayahudi ndio watumiaji wa hayo Masinagogi na waliingia siku ya Saba “Sabato” kusali au kusoma “Shule” kama ambavyo neno hili hutamkwa katika Kiyiddish.
Hivyo, basi, haikuwa jambo la ajabu au kustaabisha tunapo soma kuwa Bwana Yesu aliingia ndani ya Masinagogi ili awafundishe Wayahudi kuhusu Ufalme wa Mbinguni. "Luka 4:16. alipokwenda Hapo Alipozaliwa Nazaret alipozaliwa na Siku ya Sabato(jumamosi) alikwenda katk #Sinagogi kama Ilivyokuwa Desturi Yake. Akasimama ili asome 17. akapewa kitabu cha nabii isaya akafunua mahali palipo andikwa "#Roho_wa_Bwana yuu Juu Yangu. Amenipaka mafuta Kuhubiriia maskini Habari njema "
Basi Wasabato wanapo soma hiyo aya teyari wanasema kuwa Yesu aliitunza Sabato kwasababu aliingia Sinagogi siku ya Saba ya Juma = Jumamosi. Haya madai hayana nguvu yeyote ile bali ni madai dhaifu. Kuingia Sinagogi siku ya Jumamosi hakukufanyi na au hakumfanyi mtu kuwa Msabato.
HILI DAI LA KUINGIA SINAGOGI naweza kulifananisha na dai la Waislam kuwa, eti, Yesu aliingia Sinagogi na hivyo Yesu ni Muislam. Waislam wao wana hoja ya kuwa Sinagogi ni Msikiti, basi ukiingia kwenye Sinagogi basi wewe ni Muislam HUKU WASABATO wana hoja ya kuwa Yesu kaingia SINAGOGI SIKU YA JUMAMOSI, basi Yesu ni Msabato. HOJA ZOTE MBILI ZA WAISLAM NA WASABATO NI DHAIFU.
Wakristo wa mwanzo hawakutumia Sinagogi katika ibada zao ndio maana Bwana wetu Yesu Kristo alisema hivi: Kwa mfano, baada ya kumtakasa mtu yule aliyejaa ukoma, Yesu alimwambia, “Asimwambie mtu, ila, Nenda ukajionyeshe kwa kuhani; ukatoe kwa ajili ya kutakasika kwako kama Musa alivyoamuru, iwe ushuhuda kwao.” (Luka 5:14). Haya maneno yanaashiria kuwa Yesu alipo fanya huu muujiza hakuwa kwenye Sinagogi na ndio maana alimwambia Nenda ukajionyeshe kwa kuhani; ukatoe kwa ajili ya kutakasika kwako kama Musa alivyoamuru, iwe ushuhuda kwao.” (Luka 5:14).
Hiki ni kipindi ambacho ni cha kiimani zaidi. Kimsingi hiki ni kipindi ambacho kinaendelea hadi sasa. Huu ni wakati wa kupumzika kazi za mwili za uovu, yaani kuacha dhambi na kuishi kwa kumtegemea Kristo. Ni maisha ya imani.
Imeandikwa: Njoni kwangu ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. (Matayo 11.28), yaani, nitawapa ‘sabato’. Pia ndiyo maana ya andiko lisemalo: Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato. (Matayo 12:8). Sabato iko kwake, si kwenye siku.

Ni maisha ya kujiachia mikononi mwa Mungu ambaye yeye ndiye anayeshughulikia kila kitu katika maisha yetu. Kazi yetu ni kuamini tu kuwa atafanya; naye hakika anafanya. Hilo ndilo pumziko! Hiyo ndiyo raha! Hiyo ndiyo starehe! Hiyo ndiyo Sabato!
SABATO SI SIKU
Upo ushahidi wa kutosha katika Biblia unaoonyesha kwamba sabato si siku katika juma. Bwana anapoongelea kuhusu safari ya wana wa Israeli anasema:
Kwa hiyo nalichukizwa na kizazi hiki, nikasema, Siku zote ni watu waliopotoka mioyo hawa ... hawataingia rahani mwangu. (Ebr. 3:10-11).
Pia imeandikwa: Maana ameinena siku ya saba mahali fulani hivi, Mungu alistarehe siku ya saba, akaziacha kazi zake zote; na hapa napo, Hawataingia rahani mwangu. (Ebr. 4:4-5).
Katika maandiko haya Mungu anasema kwamba, kutokana na kukasirishwa na uasi wa wana wa Israeli kule jangwani, alimua kwambahawataingia kwenye raha aliyokuwa amewaandalia. Neno rahani hapa, au kwa Kiingereza rest, ndilo hilohilo sabato. Ndiyo maana hapo juu katika Waebrania 4:4-5, anahusisha siku ya saba na kuingia rahani.

Tuesday, January 3, 2017

GERMANY: 70-year-old woman brutally beaten by five young Muslim savages


THE REASON? Her refusal to sell them cigarettes where German law stipulates cigarettes may only be sold to people at least 18 years old, which none of them were.

When she refused to sell them cigarettes, they began screaming in her face and tried to grab the cigarettes by force. Then they attacked her with sticks and gave her a savage beating.
Click CC button for translation.

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW