Sunday, March 19, 2017

UTATU NI UPENDO

Image may contain: text


Yehova anaonyesha upendo wake kwa kutumia Utatu. Hebu ungana nani na uone jinsi upendo wa Mungu ulivyo kwa Mwanadamu.
(a) Baba – Yohana 3:16
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele”
(b) Mwana- Efeso 5:25
“Enyi waume wapendeni wake zenu kama Kristo naye alivyolipenda kanisa akajitoa kwa ajili yake.”
(C) Roho Mtakatifu – Rumi 15:30
“Ndugu zangu nawasihi kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho jitahidini pamoja nami katika maombi yenu kwa ajili yangu mbele za Mungu”
Hoja inayohusu Utatu Mtakatifu iko wazi sana unaposoma Maandiko Matakatifu na ukiyafanya ndiyo dira yako .
Yesu mwenyewe alipokuwa hapa duniani alisema
Yohana 15: 24 “ kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine wasingalikuwa na dhambi ,lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu na kutuchukia “
Swali la ufahamu : Hao watu pale walikuwa wanamuona nani? Baba au Yesu au walikuwa wana muona Yesu ambaye ni Baba? Tafakari.
Katika Yohana 16:13-16
“Lakini yeye atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie kwenye kweli yote kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe lakini yote atakayoyasikia atayanena na mambo yajayo atawapasha habari zake .Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari .Na yote aliyonayo Baba ni yangu kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu kuwapasheni habari .Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona”.
Swali la ufahamu: Yesu yuko mbinguni na bado tena yuko duniani pote akiwa nani?
Matendo 20:28
“ Jitunzeni nafsi zenu na lile kundi lote nalo ambalo Roho Mtakatifu amewaweka nyinyi kuwa waangalizi ndani yake mpate kulilisha Kanisa lake Mungu alilolinunua kwa damu yake mwenyewe”
Swali la ufahamu:
“Aliyesulubiwa msalabani ni Mungu,Yesu au Roho Mtakatifu? Bila shaka ni Yesu Kristo”
- Kwanini Kanisa lisiwe mikononi mwa Yesu aliyesulubiwa? Ni kwa sababu Mungu ,Baba,Mwana,na Roho Mtakatifu ni umoja (1 Yohana 5:6-7)
- Mwana amemtukuza Baba duniani (Yoh 17: 4)Baba amewaketisha mwana katika mkutano wake wa kuume wa kiti chake cha enzi mbinguni.
- (Ufunuo 22:1, Marko 16:19)
- Mwana amempa Roho Mtakatifu kazi ya kulitunza kanisa ambalo Mungu alilinunua kwa damu yake.
Ayubu 11:7-10
“ Je wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikiria upeo wa huyo mwenyenzi? Ni juu mno kama mbingu waweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kuliko kuzimuni kufanya nini wewe cheo chake ni kirefu kuliko dunia ni kipana zaidi ya bahari”.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UTATU NI MUNGU

Image may contain: text


Katika Utatu tunafunuliwa kuwa Yesu ni Mungu kama alivyo Baba yake na Roho Mtakatifu.
Ungana nami na tusome Biblia takatifu kwa pamoja.
1. Baba ni Mungu:
Filipo 1:2 “ Neema na iwe kwenu na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo”.
2. Mwana ni Mungu:
Yohana 1:1:14 Kolosai 2:9
• Hapo mwanzo kulikuwako Neno , naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu ------------, Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na kweli”.
• Kolosai 2: 9 “ Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu kwa jinsi ya kimwili”.
3. Roho Mtakatifu ni Mungu
Matendo 5:3-4 “ Petro akasema Anania kwa nini shetani amekujaza moyo wako kumwambia uwongo Roho Mtakatifu na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja? Kilipokuwa kwako hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwishauzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako?.Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu”.
Roho Mtakatifu ni, nafsi ya tatu ya Mungu yenye hisia “emotion”, huhuzunika (Efeso 4:30), hunena, (Ufunuo 2:7), anaweza kuzimishwa ((1Thesalonike 5:19), Hufurahi (Rumi 14:17) .Hivyo Roho Mtakatifu ni Mungu Mwenyewe na wala siyo kitu tu (impersonal) (Yohana 4:24) .
Pia katika kitabu cha Isaya 63:7-10 “ Nitautaja wema wa BWANA, Sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya Israel, aliyowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake. Maana alisema, hakika ndiyo watu wangu hawa, wana wasio na hila; akawa Mwokozi (Yehoshua) wao. Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale. Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia , akawa adui , akapigana nao”
Nategemea sasa umesha elewa kuwa, SOMO LA UTATU ni muhimu sana, maana linatufungua macho na kufahamu Uungu wa Yesu, Uungu wa Roho Mtakatifu na Uungu wa Yehova.
Shalom,
Max Shimna Mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU NI NURU YA ULIMWENGU

Image may contain: cloud, night and text
Yohana 8:12 Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.

Mpokee Yesu na upate Nuru maishani mwako. 

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

YESU NI MLANGO

Image may contain: cloud, sky and text


Yohana 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Hakuna Njia nyingine zaidi ya Yesu. Ukitaka uhakikisho wa maisha baada ya kifo, basi ni lazima upitie MLANGO WA YESU.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: text
Katika somo hili, tutajifunza kuhusu Malaika na kwanini Mungu aliwaumba. Ni somo gumu kwa wengi, lakini litakufungua macho na utafahamu kazi ya Malaika na kwanini waliumbwa.
Maana ya Malaika:
Malaika ni viumbe vya kiroho ambao wako na hekima, hisia, na nia. Hii ni kweli kwa Malaika wazuri na wabaya (mapepo-Malaika walio asi). Malaika wako na hekima (Mathayo 8:29; 2 Wakorintho 11:3; 1 Petero 1:12), inaonyesha hisia (Luka 2:13; Yakobo 2:19; Ufunuo 12:17), na kujaribu kufanya penzi lao (Luka 8:28-31; 2 Timotheo 2:26; Yuda 6). Malaika ni viumbe vya kiroho (Waebrania 1:14) bila na kuwa na mwili. Ingawa hawana mwili, bado wako na hali ya mwili.
Neno "Malaika Mkuu" hutokea katika mistari miwili ya Biblia. Wathesalonike wa kwanza 4:16 inashangaa, "Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya Malaika Mkuu na parapanda ya Mungu, nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza." Yuda mstari wa 9 inasema, " Lakini Mikaeli malaika mkuu aliposhindana na Ibilisi, na kuhojian naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee." Neno "malaika mkuu" linatokana na neno la Kigiriki lenye maana ya "malaika mkuu." Linahusu malaika ambao anayeonekana kuwa kiongozi wa malaika wengine.
Tutaanza kujifunza kuhusu Malaika wakuu Saba wa Mungu. Je umesha wai sikia majina yao?
Wengi wetu tumesikia baadhi tu. Lakini kwa kuanza, nitaweka majina yao yote kwa pamoja.
MALAIKA WAKUU:
1. Archangel Jegudiel au Yehudiel.
2. Archangel Gabriel.
3. Archangel Selaphiel.
4. Archangel Michael.
5. Archangel Uriel.
6. Archangel Raphael.
7. Archangel Barachiel.
Hawa Malaika wametajwa kwenye Biblia na kitabu cha Enoch. Kitabu cha Yuda/Jude kilinukuu aya kadhaa za Kitabu cha Enoch, aya ya 14 na 15.
Yuda mstari wa 9 inatumia kihuzishi dhahiri "malaika mkuu Mikaeli," ambayo inaweza kuonyesha kwamba Mikaeli ni malaika mkuu tu. Hata hivyo, Danieli 10:13 inaeleza Mikaeli kama "mmoja wa hao wakuu." Hii huenda inaonyesha kwamba kuna malaika mkuu zaidi ya moja, kwa sababu inamweka Mikaeli kuwa juu ya kiwango sawa kama wengine "wakuu." Hiku kuwa na uwezekano kwamba kuna Malaika wengi, ni bora tusipuuze neno la la Mungu kwa kutangaza malaika wengine kama Malaika. Danieli 10:21 inamweleza Mikaeli malaika kama "mkuu," na Danieli 12:1 inabainisha Mikaeli kama "mkuu ambaye analinda." Hata kama kuna Malaika wengi, inaonekana kwamba Mikaeli ni mkuu kati yao.
Neno la Kigiriki kwa "malaika" katika Agano Jipya, angelos, liko katika hali ya kiume. Kwa kweli, aina ya kike ya angelos haipo. Kuna jinsia tatu katika sarufi - uume (yeye, naye, yake), uuke (yeye, yake, kwake), na usawa (yake, wake). Malaika kamwe hawatajwi katika jinsia yoyote zaidi ya ile ya uume. Katika sehemu nyingi malaika wanazo onekana katika Biblia, kamwe malaika wanajulikana kama "yeye" au "yake." Aidha, wakati malaika wanafanya kuonekana, wao daima huonekana wakiwa wamevalia kama wanaume binadamu (Mwanzo 18:, 16; Ezekiel 9: 2).
Usikose "sehemu ya Pili" ambayo tutajifunza kuhusu Malaika Mkuu Jegudiel au Yehudiel na kazi zake.
Barikiwa sana.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

Saturday, March 18, 2017

PARIS: “Allahu Akbar” screaming Muslim murders his own father and brother in broad daylight by cutting their throats


A Muslim man was arrested in Paris on Friday suspected of slitting the throats of his father and brother at the entrance to a building in the capital’s trendy 11th district, police sources report. The sources, who asked not to be named because they were not authorized to speak publicly, said the motive for the attack was being investigated. (What, they’re not rushing out with the “mental issues” excuse?)

The Local  The two men died at the scene despite efforts by paramedics to save them. “I came down and saw one body in the hall and another in the courtyard. There was blood everywhere,” one resident told Le Parisien newspaper.

Some witnesses said the suspect made remarks “linked to radical Islam” but the police urged caution, saying the killer’s motives were unknown. 

Newspaper Le Figaro cited a police source who said the knifeman shouted “Allahu Akbar” (‘God is greatest’, in Arabic). The attacked happened outside a building on Rue de Montreuil in the east of the French capital near Place de la Nation (see map below).

CANADIAN BACKLASH against Trudeau’s anti-Islamophobia motion M-103 which will soon make criticism of Islam a crime


Even Muslim and Muslim apostate women in Canada are speaking out against the government’s efforts to ban free speech about the evils of Islam.

Is there a new ‘Black Plague’ that is threatening Europe again?


Certainly looks as if this infectious disease, also know as the ‘Black Death,’ has re-emerged in London…only this time, there is a cure. Remove all the carriers.

PAKISTAN is using Facebook to crack down on blasphemy against Islam, an “unpardonable offense”


Pakistani Prime Minister Nawaz Sharif voiced support for a widespread crackdown on anti-Islam blasphemous content on social media. Blasphemy charges in Pakistan can result in the death penalty, a law which especially targets Christians in the country.

SERIOUSLY? Pro-Muslim German propaganda shows a Muslim woman wearing a headbag and a nose ring


The point of this offensive Public Service Announcement is to make German people feel guilty about being suspicious of Muslims dressed in traditional attire. The nose ring is a nice touch but would never be allowed under Islam. The purpose is to show that Muslim women are smarter than white men.

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW