Monday, April 10, 2017

USIOGOPE KWA SABABU YESU YU PAMOJA NAWE

Image may contain: outdoor
Isaya 41:10-13
"usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu. Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia. Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako. Kwa maana mimi, Bwana, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia. "
Mpendwa USIOGOPE, YESU YU PAMOJA NAWE NA AMESHINDA VITA YOTE.
Barikiwa sana.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUSHINDA TAMAA NA FIKRA ZA NGONO KILA SAA?

Image may contain: one or more people and text
Je, Unatatizo la kupiga Punyeto?
Nifanye nini ili niweze kudhibiti fikira chafu za ngono?
Mpendwa:
Mungu alimuumba mwanamume na mwanamke wakiwa na uvutano wenye nguvu kati yao, na hakuna ubaya wa kutosheleza tamaa za ngono katika mpango wa ndoa. Kabla ya kufunga ndoa, huenda ukawa na tamaa kali za ngono. Hilo likitokea, usidhani kwamba wewe ni mtu mwovu au kwamba huwezi kuishi maisha safi. Unaweza kudumisha usafi wa kiadili ukiamua kufanya hivyo! Lakini ili ufanikiwe, utahitaji kudhibiti mawazo yako kuhusu watu wa jinsi tofauti. Unaweza kufanya hivyo jinsi gani?
Epuka kujifurahisha kwa mambo machafu. Bila shaka, haimaanishi kwamba sinema zote, au miziki yote ni mibaya. Hata hivyo, katika ulimwengu wa leo burudani nyingi zimekusudiwa kuamsha tamaa zisizofaa za ngono. Biblia inatoa shauri gani? “Acheni tujisafishe wenyewe kila unajisi wa mwili na roho, tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.” (2 Wakorintho 7:1) Epuka kabisa burudani zote zinazoweza kuchochea tamaa zisizofaa za ngono.
Je, unatatizo la kupiga Punyeto?
Vijana fulani hujaribu kupunguza tamaa ya ngono kwa kupiga punyeto. Lakini kufanya hivyo kunaweza kutokeza matatizo makubwa. Biblia inawahimiza Wakristo hivi: “Viueni viungo vya mwili wenu vilivyo duniani kwa habari ya uasherati, uchafu, hamu ya ngono, tamaa yenye madhara, na kutamani.” (Wakolosai 3:5) Kupiga punyeto ni kinyume kabisa cha ‘kuua hamu ya ngono.’ Kwa kweli, kupiga punyeto huchochea na kukuza hamu hiyo!
Kupiga punyeto kwaweza kukufanya kuwa mtumwa wa tamaa zako. (Tito 3:3) Hatua moja unayoweza kuchukua ili kushinda zoea hilo ni kuzungumza na mtu unayemtumaini. Mkristo aliyekuwa na tatizo la kupiga punyeto kwa miaka mingi anasema hivi: “Laiti ningeweza kupata ujasiri wa kuzungumza na mtu fulani kuhusu tatizo hilo nilipokuwa kijana! Kwa miaka mingi nilisumbuliwa na hisia za hatia, nazo ziliathiri sana uhusiano wangu na wengine, na zaidi ya yote, uhusiano wangu na Yehova.”
Ni nani unayeweza kuongea naye? Mara nyingi ingefaa kuzungumza na mzazi. Au huenda Mkristo mkomavu kutanikoni anaweza kukusaidia. Unaweza kuanza kwa kusema, “Ningependa kuzungumza nawe kuhusu tatizo linalonisumbua sana.”
Nifanye nini ili niweke kudhibiti fikira chafu za ngono?
Mtume Paulo alisema: “Naupigapiga mwili wangu na kuuongoza kama mtumwa.” (1 Wakorintho 9:27) Vivyo hivyo, huenda wewe pia ukahitaji kujitia nidhamu wakati mawazo yasiyofaa kuhusu watu wa jinsia tofauti yanapoingia katika akili yako. Mawazo hayo yakiendelea, jaribu kufanya mazoezi ya kimwili. Biblia inasema: “Mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo.” (1 Timotheo 4:8) Kutembea kasi kwa muda au kufanya mazoezi ya kimwili kwa dakika chache kwaweza kukusaidia kuondolea mbali mawazo hayo yasiyofaa.
Zaidi ya yote, usipuuze msaada kutoka kwa Baba yako wa mbinguni. Mkristo mmoja anasema hivi: “Tamaa za ngono zinapoanza kuamka najilazimisha kusali.” Si kwamba Mungu atakufanya uache kupendezwa na watu wa jinsia tofauti. Lakini anaweza kukusaidia kuona kwamba kuna mambo mengine mengi unayoweza kukazia fikira zako.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Saturday, April 8, 2017

Acid attacks, mainly on Muslim women

More than 1500 of them just since 2011. Shhh…don’t tell anyone.

In 2017, Muslims still believe that Allah turned Jews into pigs and apes as punishment for rejecting Islam


And how do they know this? Allah told them. That’s probably why in 2017, they still behave like barbarians and savages from the dark ages and should be banned from and driven out of the West.

BREAKING! Deadly terrorist truck attack into department store in Stockholm (See latest updates)


Subway closed. Shots reportedly fired in other areas. Sweden confirms it’s an act of terrorism. Waiting to confirm that it is ISLAMIC terrorism. Latest reports say 4 DEAD, 15 injured.

UPDATE 1: One Muslim man thought to be the driver in the terror attack has been arrested. Another man is being questioned.

The Sun  Local paper Aftonbladet reported that the injured man was a 39-year-old Muslim father-of-four from Uzbekistan and a supporter of the Islamic State (IS) terror group.

Some reports suggested he had posted jihadist propaganda on his Facebook page and had images of people injured in the Boston Marathon explosion in April 2013.

Police, who had released CCTV images of a suspect, have since revealed they believe the man arrested is the perpetrator of the crime with Stockholm police spokesman Lars Bystrom telling AFP: “We suspect that the man who was arrested is the perpetrator.”

CCTV Footage as people flee from speeding truck

UPDATE 2: Homemade BOMB found in hijacked beer truck that was ‘deliberately driven at young children.’

UK Daily Mail  Police suspect he was behind the wheel of the truck, although other security sources reported in Swedish media said the driver is still at large. He had posted Isis propaganda on Facebook and liked pictures of casualties after the terrorist attack on the Boston Marathon in 2013, Aftonblat reported.

Pictures show the second man, who looked younger, being handcuffed and taken away in a police car. According to Swedish television, the two arrested men are linked.

One witness said a pram was hurled into the air and desperate pedestrians ran for their lives as the lorry crushed everything in its path. Three men jumped out from inside the lorry and opened fire before trying to stab pedestrians, witnesses said. 

MUSLIM Terrorist ringleader who rammed a truck into shoppers in Stockholm killing four people and injuring 15 is ON THE LOOSE after fleeing chaotic scene during dramatic shootout.

UK Daily Mail  The hijacked vehicle crashed into a packed shopping centre and burst into flames. Three men jumped out from the lorry and opened fire before trying to stab pedestrians, witnesses said.

Two men were tackled to the ground and arrested – but a third suspect is on the loose, immediately making him Europe’s most wanted man. Police have released CCTV of the man wearing a green jacket, white shoes and a grey hoodie. 

Stockholm’s Central Station was shut down. The tube network was also closed amid fears the suspect was hiding underground but has now been cleared to open, according to Stockholm’s public transport authority. 

Officers said the vehicle crashed into a group of people on the street outside a shopping centre in Klarabergsgatan after racing down six streets at about 3pm local time.

The terrorist bastard must have thought he got a bonus when he killed a dog , as well

Hundreds of shoppers were seen fleeing for their lives after the articulated lorry rammed into the corner of the building. Horrifying images of the aftermath show blood smeared on the roads and bodies covered by blankets. Dozens more have been injured, some critically.

Armed terrorists were then seen running into Stockholm’s Central railway station and opening fire. Two people were also said to have been stabbed. Police have shut the station down, which is the main hub for communal transport in the city. 

Eyewitness Report

MPENDWA UWE MACHO—SHETANI ANATAKA KUKUMEZA




“Iweni wenye kulinda. Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama Simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.”—1 Petro 5:8.

Muwe macho masaa yote, maana Shetani anatafuta wa kummeza.

Hata hivyo, kiumbe huyu wa roho alianza kutamani wanadamu wamwabudu. Badala ya kuing’oa tamaa hiyo mbaya, aliisitawisha hivi kwamba ikakua na kuzaa dhambi. (Yakobo 1:14, 15) Kiumbe huyo ni Shetani, ambaye “hakusimama imara katika kweli.” Alimwasi Mungu na kuwa “baba ya uwongo.”—Yohana 8:44.

Mtume Petro alimfananisha Shetani na “simba anayenguruma.” Kitabu kimoja kinasema kwamba neno la Kigiriki linalotafsiriwa “anayenguruma” linamaanisha “sauti kubwa ya mnyama mwenye njaa kali sana.” Maana hiyo inafafanua vizuri sana ukatili wa Shetani! Ingawa tayari ulimwengu mzima unakaa katika nguvu zake, bado Shetani ana njaa ya kupata mawindo zaidi. (1 Yohana 5:19) Kulingana na Shetani, ulimwengu ni kama tu “kitu cha kuamsha hamu ya kula.” Kwa sababu hiyo, Shetani ameelekeza fikira zake kwenye “chakula chenyewe,” yaani, watiwa-mafuta walio duniani na waandamani wao, “kondoo wengine.” (Yohana 10:16; Ufunuo 12:17) Shetani ana lengo la kuwameza watu wa Mungu. Mateso mengi aliyowasababishia wafuasi wa Kristo kuanzia karne ya kwanza hadi leo yanafunua wazi ukatili wake.

Mpendwa, usilale wala usichoke kuomba, maaana Shetani anakuwinda ili akumeze.

Shalom,
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MALAIKA WANAMWABUDU YESU: KUMBE YESU NI MUNGU.

Image may contain: text
Katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru Mtume Yohana kumuabudu Mungu tu (Ufunuo wa Yohana 19: 10).
Mara nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile Malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.
Shalom
YESU NI MUNGU.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE! KUANGALIA PICHA ZA NGONO NI DHAMBI? (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: night
Neno la Msingi:
Zaburi 101:3
“Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.”
Watu wengi wameanguka katika mtego huu wa Ibilisi na kujikuta wakifanya mambo ya "AIBU" wanapokuwa sehemu zao za Siri iwe ni chumbani au bafuni. Wanaume wamejikuta wakipiga punyeto (Mastubation) na Wanawake wakijisaga ( wanatumia mikono yao na viungo vyao vingine kama njia ya kujikidhi hali zao za tamaa mbaya waliloziamsha wao wenyewe). Haipaswi kamwe kuwa hivyo. Biblia inasema tusiyachochee wala kuyaamsha "mapenzi" mpaka yatakavyoona yenyewe (Wimbo ulio bora 2:7, 3:5).
Naomba tufuatane pamoja kwenye somo hili muhimu sana ambalo litakuweka huru mbali na "utumwa wa fikra za kingono"
1. MAANA YA PICHA ZA NGONO
Neno PICHA ni kivuli cha mtu, watu, kitu n.k. PICHA si kitu halisi bali ni kivuli chake. Unaweza ukapewa PICHA ya mtu lakini usifahamu urefu wake au ni mfupi kiasi gani lakini sura yake ukawa umeiweka katika kumbukumbu yako. NGONO ni kitendo cha mtu, watu kufanya kitendo cha kujamiana (Tendo la Ndoa) na pia ni ile hali ya kuwa uchi wa mnyama. Kuangalia picha za ngono ni kitendo cha kuangalia watu wakifanya Matendo ya kujamiana iwe kwa njia ya asili, kinyume na maumbile au kufanya na wanayama. Kitendo hicho huleta kuchochea tamaa ya miili kiasi ambacho watu wengine hufanya mambo ya "AIBU" katika nyumba zao (Warumi 1:24-28). PICHA za NGONO zimeenea kila mahali kwa sasa, kwenye simu yako unaweza ukakutana na "uchafu" wa namna hiyo. Wahindi wao picha za ngono huziita "kachumbali" na unaweza ukamkuta Mhindi amekaa na familia yake anaangalia "kachumbali" wanadai inanogesha utamu wanapofika kitandani. Huko ni kujidanganya Mungu hakumletea Adamu PICHA ya NGONO bali alimletea mke ambaye watashirikiana naye kwenye Tendo Takatifu (Mwanzo 2:18, 21-25). Wakati mmoja Mfalme Daudi wakati watu wake wa vita wamekwenda vitani yeye akawa yuko ghorofani anaangalia "PICHA LIVE" ya NGONO mwanamke alikuwa akioga matokeo yake yakawa ni kufanya kitendo chenyewe na kuamua kumuua mume wa Bathsheba (2Samweli 11:2-27).
“Ikawa wakati wa jioni, Daudi akaondoka kitandani, akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme; na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga; naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana, wa kupendeza macho. Naye Daudi akapeleka, akauliza habari za yule mwanamke. Mtu mmoja akasema, Je! Huyu siye Bath-sheba, binti Eliamu, mkewe Uria, Mhiti?”………..
Kile kitendo cha Daudi "kuona" lilikuwa kosa kubwa la kiufundi katika akili yake likamchanganya. Ndivyo ilivyo kwa PICHA ZA NGONO lazima ukiangalia upate "UKICHAA" wa muda ukajikuta umeng'ang'ania sabuni au ndizi ukiwa unapiga punyeto. Ni aibu sana sana mtu mwenye heshima zako kama wewe labda wewe ni meneja, mkurugenzi, mtu mwenye Elimu yako ya maana unakutwa unaangaika sabuni, godoro au toy la jinsia ya kiume.
USIKOSE SEHEMU YA PILI
Shalom

MAMAJUSI WALIMWABUDU NA KUMSUJUDIA YESU. KUMBE YESU NI MUNGU

Image may contain: 1 person
Mathayo 2:
1 Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu, 2 wakauliza, "Yuko wapi mtoto, Mfalme wa Wayahudi, aliyezaliwa? Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
11 Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: dhahabu, ubani na manemane.
Mwenye haki ya kuabudiwa na kusujudiwa ni Mungu peke yake. Sasa iweje hawa wataalamu wa Nyota na wajuzi kutoka Mashariki ya Mbali wamwabudu na kumsujudia Yesu?
Kwanini mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye?
Ndio utafahamu kuwa YESU NI MUNGU.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KITABU CHA MWANZO (SEHEMU YA PILI)

No automatic alt text available.
S: Hoja kuwa "kushindwa kuelezeka kirahisi kwa ulimwengu kunaonyesha kuwa ni lazima kuwe na muumba" inaonekana nzuri, hadi inapochukuliwa kwenye hitimisho lake la kimantiki. Vipi kuhusu ugumu wa Mungu kueleweka? Kama kitu chenye utatanishi kinahitaji muumba basi Mungu lazima ahitaji muumba mkubwa zaidi, na kwa jinsi hiyohiyo na kuendelea. Je hoja hii inaishia wapi? Hoja hii inaishia na "kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo," na hakuna jibu kwa hili? Ama je lipo?
J: Kabla ya kuijibu hoja hii, hebu nilikuze "tatizo hili" kwanza. Licha ya ugumu wa kuelezeka, suala hil pia ni aina iliyopotoka ya hoja ya muundo na umbo la ulimwengu. Kama kila kitu kina chanzo, basi Mungu naye pia ana chanzo.
Kwa kuwa kila kitu ni lazima kiwe na mwisho, vinginevyo hakitakuwa na mwisho, kuna majibu mawili tu yanayoweza kutolewa:
hakuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo
hakuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho, chanzo ambacho hakijasababishwa na kitu kingine chochote.
Kama a), kusingekuwa na mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na ukomo, basi si kila kitu kingekuwa na chanzo kwa sababu kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho kwenyewe hakuna chanzo. Kwa hiyo, kwa vyovyote vile kuna mtu/kitu ambacho hakina chanzo.
Kama b), kuna mwisho wa kurudi nyuma kusikokuwa na mwisho, basi ni lazima kuwe na chanzo cha kwanza, cha ugumu fulani wa kufahamika. Kwa ajili hiyo, jambo hili linamaanisha kuwa Mungu si nafsi iliyotokana na kitu kingine, si matunda ya uumbaji.
Hata hivyo nashangaa, kama Mungu angeiona hoja hii yote kuwa nyepesi namna hii, kw asababu tunafikiri kuhusu vyanzo ndani ya muda. Kama mungu anaishi nje ya muda na pia ndani yake, na kama muda ni kitu kimojawapo kilichoumbwa na Mungu, basi kusema kuwa hali ilikuwaje kabla ya kuwepo kwa Mungu ni kujipinga.
S: Kwenye Mwanzo 1, Mungu anaweza kuwa aliumba viumbe wengine na ulimwengu mwingine?
J: Aliumba viumbe wengine: malaika na mapepo. Kuhusu kuumba ulimwengu mwingine wenye viumbe ndani yake, Biblia haituambii haya yote tunayotaka kujua — na tunapaswa kuhakikisha kuwa walau tunasoma jambo hilo. Mungu angeweza kuwa ameumba ulimwengu mwingine, na huenda hizo ndizo mbungu na kzimu.
S: Kwenye Mwanzo 1, kwa nini Mungu aliwaumba Adam na Hawa, kwa kuwa Munug alijua kabla kwamba hawatamtii?
J: Pamoja na Mungu kujua kuwa watafanya dhambi, anatuambia vitu kadhaa kutuonyesha kuwa kwa nini aliumba watu.
Kwa utukufu wake: Mungu aliumba watoto wake kwa utukfu wake. Isaya 43:7; 61:34.
Watu wa kuwapenda: Mungu anatupenda sana. Zaburi 145:9,17; 1 Yohana 3:1.
Kuwa watoto wake: 1 Yohana 3:1-2; Wagalatia 3:28, Warumi 8:15-17.
Kuishi ndani mwetu: 1 Yohana 4:12-16; Warumi 8:9-11.
Mungu hataki mtu yoyote apotee. Ezekiel 18:23, 32; 33:11; 2 Petro 3:9. Hata hivyo, Mungu hajuti kwa kuwaumba watu ambao walipopewa nafasi walichagua kwa hiari zao wenyewe kumkataa. Mungu aliishajua kabla kuwa watafanya dhambi, na bado hakupenda kuingilia uchaguzi wao au "kutokuwaumba."
Huenda moja ya sababu ya Mungu kuwaumba viumbe ambao watakuwa na sura yake inafanana na sababu ya wazazi kuwa na watoto. Ni kweli, watoto wana gharamua: nepi, chakula, na kweli wanasababisha maumivu ya kichwa tokana na kuugua, kuumia, na kutokutii lakini pamoja na hayo yote upendo unawafanya wastahili kuwepo.
S: Kwenye Mwa 1:1, Mungu aliumba kwa sababu alihitaji kuumba?
J: Biblia haiungi mkono hisia hizi. Mungu hana uhitaji wowote ule, kwa maana ya kwamba atadhulika au kukoma kuwepo kama hangeumba vitu vingine. Kwa upande mwingine, lengo la Mungu lilikuwa kuumba, na Mungu alitimiza lengo hilo kwa kiasi kikubwa kikubwa sana.
S: Kwenye Mwa 1:1, je kulikuwa na uumbaji zaidi ya Mwanzo?
J: Maandiko hayasemi chochote kuhusu jambo hili, na Mungu Mungu anao uhuru wa kufanya kama apendavyo. Kama Mungu angeumba viumbe wengine, wangekuwa kama malaika, mapepo, kama Adam na Hawa kabla ya anguko, kama sisi, kama mapepo, kama wanyama, au kitu tofauti kabisa.
S: Kwenye Mwa 1:2, kama Roho ya Mungu ilikuwa inatulia juu ya uso wa maji, jambo hili linamaanisha Roho wa Mungu si nafsi hai yenye akili bali nguvu itendayo kazi kama Mashahidi wa Yehova wanavyodai?
J: Hapana. Kwamba Roho Mtakatifu hana mwili na anaweza kutembea juu ya maji haipingani na ukweli kwamba Maandiko yanamwonyesha Roha Mtakatifu kuwa kiumbe kinachoishi na chenye nafsi.
Yafuatayo ni marudio ya maelezo ya 1 Yohana 5:6-8.
Shahidi anaweza kuwa ni nafsi hai au kitu kisichokuwa na uhai. Kosa la Mashahidi wa Yehova (Jehovah’s Witnesses) ni kwamba kwa kuwa Roho Mtakatifu ana sifa nyingi ambazo mwanadamu hana, basi (kwa kupanua hoja) Roho Mtakatifu hawezi kuwa na nafsi. Kwenye 1 Yohana 5:6-8 tunaona kuwa kuna mashahidi watatu wa ukweli kuwa Yesu alikuwa na mwili. Damu inayomaanisha kusulubiwa kwake, na Roho ni ushuhuda wa ndani kwa Wakristo. Maji yanamaanisha kubatizwa kwa Yesu na Yohana, au yawezekana maji yanayomzunguka mtoto wakati wa kuzaliwa.
Yafuatayo ni mambo mbalimbai ambayo Biblia inatufundisha kuhusu nafsi ya Roho Mtakatifu.
Parakletos (mfariji, yeye anayekuwa pamoja nasi - Yohana 14:16, 26; 15:26)
Hufahamu mawazo ya ndani ya Mungu (1 Korintho 2:10-11)
Huongea nasi (Mdo 13:2; Ebr 3:7)
Hutufundisha (Yohana 14:26)
Kama mzazi, ili kwamba tusiwe yatima (orphanos kwenye Kigiriki - Yohana 14:18)
Hutuongoza (Yohana 16:13)
Hutufundisha (Yohana 14:26; 1 Kor 2:13)
Huishi ndani yetu (1 Kor 3:16; 2 Tim 1:14; Rum 8:9, 11; Efe 2:22)
Mioyoni mwetu (2 Kor 1:22; Gal 4:6)
Hutuombea (vitu visivyo na uhai haviombi au kuombea - Rum 8:26-27)
Anaweza kufanyiwa jeuri (Ebr 10:29)
Humshuhudia Kristo (Yohana 15:26)
Anao ufahamu (Rum 8:27)
Anaweweza kuhuzunishwa (Isa 63:10; Efe 4:30)
Hufanya maamuzi (1 Kor 12:11)
Hupenda (Rum 15:30)
Anaweza kupendezwa na mambo (Mdo 15:28)
Huchunguza mambo ya ndani ya Mungu (1 Kor 2:9-10)
Huugua (na kwa ajili hiyo hutujali - Rum 8:26)
USIKOSE SEHEMU YA TATU
Kwenye Mwa 1:10, ilikuwaje Mung aumbe dunia wakati dunia ilikuwa tayari imeishaumbwa kwenye Mwa 1:1?
Shalom,
Max Shimba Ministries

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW