Saturday, April 8, 2017

MALAIKA WANAMWABUDU YESU: KUMBE YESU NI MUNGU.

Image may contain: text
Katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru Mtume Yohana kumuabudu Mungu tu (Ufunuo wa Yohana 19: 10).
Mara nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile Malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.
Shalom
YESU NI MUNGU.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

The Meaning of John 17:3 in Christian Theology

The Meaning of John 17:3 in Christian Theology: A Response to Muslim Claims Regarding the Divinity of Jesus Christ By Dr. Maxwell Shimba ...

TRENDING NOW