Saturday, April 8, 2017

MALAIKA WANAMWABUDU YESU: KUMBE YESU NI MUNGU.

Image may contain: text
Katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana, Malaika alimwamuru Mtume Yohana kumuabudu Mungu tu (Ufunuo wa Yohana 19: 10).
Mara nyingi Yesu katika maandiko aabudiwa (Mathayo 2;11; 14:33; 28:9,17; Luka 24:52; Yohana 9:38). Hakemei watu kwa kumuabudu. Kama Yesu hakuwa Mungu, angewaambia watu wasimuabudu, kama vile Malaika alivyofanya. Kuna aya nyingi za maandiko zinazoshuhudia ya kwamba Yesu ni Mungu.
Shalom
YESU NI MUNGU.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

John chapter 10 that clearly highlight Jesus’ divinity, His unity with the Father, and His sovereign authority

Suggested Captions from John 10 “I am the Good Shepherd” — a divine title Yahweh reserved for Himself (John 10:11; cf. Psalm 23). Jesus does...

TRENDING NOW