Monday, April 24, 2017

CANADIAN DOG JIHAD?


Dog owners are being warned to keep a close eye on their pets after a disturbing discovery at a popular Vancouver park. Dogs have found and eaten abandoned pieces of pizza stuffed with sewing needles in an off-leash area of Strathcona Park twice in the past few weeks.

Pakistan

CTV News  (h/t Richard S) In one case, an owner noticed her dog had a piece of food in his mouth, and saw a string hanging out of his mouth as he was about to swallow.

“I pulled it out and it was a bundled up piece of pizza that had been sewn together,” DJ Larkin told CTV News.

She threw it out, thinking it was strange but hoping it was an isolated incident, but when she heard another dog was injured in a similar incident, she felt compelled to come forward.

The other dog swallowed the ball of pizza, which had several needles in it, and needed surgery to remove one from its throat.

The incidents have been reported to the City of Vancouver, and officials say they’re investigating. Larkin said she’s also been in touch with the BC SPCA.

“It’s so upsetting because it’s a really popular park for East Van dog owners, and I can’t imagine any reason to do that except to intentionally injure an animal,” she said.

Pascal the puppy was left for dead after cruel Muslim children covered him in industrial glue and dragged him through mud in Istanbul

Larkin said she’s never had any other experiences with strange things found in the park, but said she’d heard reports of people finding rat poison left out in the area.

The dog owner says she no longer feels comfortable bringing her dog to the park, and others who were at the grounds on Friday said they’re keeping a close eye on their animals.

UK: Muslim woman ordered by husband to mow the lawn


Husband apparently never told her that the electric lawn mower had to be plugged in.

If video won’t play, click the time/date at the bottom to view on Twitter.

PARIS: Muslims protest first round of elections by doing what they do best…


Setting cars on fire.

FINALLY! It took them 2 weeks, but finally, charges have been filed against South Dakota Muslim at Christian conference, brandishing several weapons and warning on Facebook Live: “Be scared, be f***king terrified”


On April 21 South Dakota State Attorney General Marty Jackley announced charges of terrorism threats against Ehab Jaber. The Capital Journal reports that the charges represent “a Class 5 felony with a maximum sentence of five years.”

22-8-13. Terrorist threat–FelonyAny person who threatens to commit a crime of violence, as defined by subdivision 22-1-2(9), (includes use of a gun) or an act dangerous to human life involving any use of chemical, biological, or radioactive material, or any explosive or destructive device, with the intent to: (1) Intimidate or coerce a civilian population; (2) Influence the policy or conduct of any government or nation; (3) Affect the conduct of any government or nation; or (4) Substantially impair or interrupt public communications, public transportation, common carriers, public utilities, or other public services; is guilty of making a terrorist threat. A violation of this section is a Class 5 felony. Source: SL 2005, ch 120, § 189.

Breitbart  (h/t Calpax) In a Facebook Live video allegedly filmed in a car outside a Christian conference in Sioux Falls, South Dakota, the Muslim man identified as Ehab Jaber brandishes numerous guns and warns people to “be scared.”

The Blaze Ehab Jaber is a South Dakota resident who is self-described as being formerly from  Saudi Arabia. According to World Net Daily, Jaber infiltrated the Christian Worldview Weekend conference on April 9 at the Hilton Garden Inn in Sioux Falls, as they were discussing the Islamic persecution of Christians around the world. The event was being attended by around 500 men, women, and children.

Jaber, wearing a shirt that read “I’m American, I’m a Muslim, I open carry, I conceal carry, and I’m dangerous only if you’re stupid,” and carrying a Koran reportedly began disrupting the proceedings and live streaming the conference on his phone.

A retired police officer who was working security for the event confronted Jaber, who told him he was “the Muslim John Smith.” The officer promptly escorted Jaber out of the building.

Jaber went to his car, and still sitting in the parking lot, once more took to Facebook Live where he began complaining about how many people were in attendance. It was then that Jaber asked “ya know, if you want to be really scared?”

Jaber then reached behind him and began displaying various handguns and an AK-47, each time saying “be scared.” Pulling out an extended magazine and an AR-15 he added “be f***ing terrified.”

PIG HEAVEN? Three Islamic State jihadists killed by wild pigs in Iraq


Rampaging wild boars in southern Kirkuk leave three Muslim savages dead.

IraqiNews  (h/t Susan K) The animals went on a rampage near a farmland in al-Rashad region, an Islamic State pocket 53 kilometers south of Kirkuk. They attacked the militants and left three killed, according to the source.

Since emerging in 2014 to proclaim a self-styled “Islamic Caliphate”, IS members have held areas in southwestern Kirkuk, where thousands of civilians had to flee the group’s rule to refugee camps in the province and neighboring cities.

Islamic State militants have regularly executed civilians in Kirkuk over accusations of collaboration with security forces or attempting to flee the province to refugee camps.

Alsumaria News quoted the source saying that “Islamic State militants took revenge at the pigs that attacked the farmland,” but did not clarify the method.

FOUR wounded in stabbing attack by teenage Muslim savage in Tel Aviv hotel


The 18-year-old Muslim terrorist from Shechem who stabbed 4 people in and around the Leonardo hotel in Tel Aviv had received a special one-day permit as part of a “peace” program that takes Palestinian Authority Muslims to Tel Aviv in order to reduce tensions between Arab Muslims and Jews. (HAH!)

Times of Israel  The attack began in the lobby of the Leonardo Beach Hotel, where he stabbed three people with wire cutters. He then fled outside and attacked one more person, a man in his 70s, before he was captured by police.

According to Channel 2 news, the assailant first attempted to enter the smaller Leonardo Art Hotel on Hayarkon Street, but was turned away by a security guard. He then traveled down the street to the Leonardo Beach Hotel, where he carried out his attack.

All four victims were lightly wounded and treated at the scene by medics before being taken to Ichilov Hospital, according to the Magen David Adom ambulance service.

Attacker being apprehended below:

The Palestinian, identified as an 18-year-old from the Nablus area of the West Bank, was apprehended by police (below). After initially saying the motivation of the attack was unclear, police later determined that it appeared to be a terror attack.

In addition to the man in his 70s, two men and a woman in their 50s were identified as the victims of the attack by medics. Surveillance footage from the hotel shows the stabbing attack as it unfolded.

The Palestinian teenager, wearing jeans and a black T-shirt, first stabbed a man and a woman inside an office in the Leonardo Hotel.

He then ran out of the office and into the lobby where a man tried to block his escape, grabbing a pillow from one of the lobby’s couches to protect himself. The terrorist attacked the man, tackling him to the floor and stabbing him repeatedly in the shoulders, neck and head.

The spate of Palestinian attacks that began in October 2015 was dubbed the “lone wolf” intifada, as many of the attacks were carried out by individuals who were not connected to any terror group.

UNAFAHAMU KUWA, KULIAMINI JINA LA YESU KRISTO NI AMRI NA SIO OMBI?

Image may contain: one or more people, twilight, sky, cloud and outdoor
Najua wengi wenu hamlifahamu hili na labda mnasoma hii aya kwa jujuu tu na au teyari umesha nihukumu ndani ya moyo wako.
Ni amri kuliamini Jina la Yesu Kristo – sio ombi.
“Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.” (1 Yohana 3:23)
Naam, kuliami Jina la Yesu Kristo ni AMRI na sio tafadhari.
Nini maana ya Amri?
Amri hutolewa na Mtu mwenye Mamlaka na inaweza kuwa juu ya Sheria wakati inapo tolewa.
Nini maana ya Sheria?
Sheria ni mfumo wa kanuni, ambazo kwa kawaida hutekelezwa kupitia seti ya taasisi. Inaunda siasa, uchumi na jamii kwa njia mbalimbali na huratibu mahusiano baina ya watu.
Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu. (Yohana 3:18)
SASA, ZISOME FAIDA UNAZO PATA UNAPO LIAMINI JINA LA YESU KRISTO:
Mtume Petro alipomwona hakumwomba Mungu amponye bali alimwamuru asimame na kutembea kwa Jina la Yesu Kristo!
Alisema hivi, “kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende”. Halafu; “akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu: (Yule aliyekuwa kilema). Akaondoka upesi akasimama, akaanza kwenda, akaingia ndani ya hekalupamoja nao, akienda, akirukaruka, na kumsifu Mungu.” (Matendo ya Mitume 3:6-8)
Kile alichoamuru Mtume Petro kitokee kwa Jina la Yesu Kristo kilitokea. Aliamuru Yule kilema asimame na kutembea kwa jina la Yesu Kristo na ikawa hivyo!
Na wewe unaweza kufanya hivyo ikatokea! Kwa nini? Kwa sababu na wewe pia umepewa jina la Yesu Kristo lenye uwezo usiobadilika! Kumbuka Yesu Kristo alisema hivi,
“Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
KUNA UPONYAJI KATIKA JINA LA YESU KRISTO:
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
Watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya. (Marko 16:17-18)
“Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakayeliita jina la Bwana ataponywa” (Yoeli 2:32)
KUNA WAKOVU KATIKA JINA LA YESU KRISTO:
“Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.” (Matendo ya Mitume 4:12)
“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.” (Mathayo 1:21)
“bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.” (Yohana 1:12-13)
“Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao;
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.” (warumi 10:12-13)
KULIAMINI JINA LA YESU KRISTO NI AMRI NA SIO OMBI.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

NABII ALIYE KAMA MUSA NI NANI?


▲ Musa na Yesu waliokoka mauaji ya watoto wavulana yaliyoamriwa na watawala wa wakati wao.—Kutoka 1:22; 2:1-10; Mathayo 2:13-18.
▲ Musa aliitwa kutoka Misri pamoja na ‘mzaliwa wa kwanza’ wa Yehova, taifa la Israeli. Yesu aliitwa kutoka Misri akiwa Mwana mzaliwa wa kwanza wa Mungu.—Kutoka 4:22, 23; Hosea 11:1; Mathayo 2:15, 19-21.
▲ Musa na Yesu walifunga kula kwa siku 40 nyikani.—Kutoka 34:28; Mathayo 4:1, 2.
▲ Musa na Yesu walikuwa watu wapole na wanyenyekevu zaidi.—Hesabu 12:3; Mathayo 11:28-30.
▲ Musa na Yesu walifanya miujiza. —Kutoka 14:21-31; Zaburi 78:12-54; Mathayo 11:5; Marko 5:38-43; Luka 7:11-15, 18-23.
▲ Musa na Yesu walikuwa wapatanishi wa maagano kati ya Mungu na watu Wake.—Kutoka 24:3-8; 1 Timotheo 2:5, 6; Waebrania 8:10-13; 12:24.
Tunaishi nyakati za taabu. Wanadamu wanahitaji kiongozi aliye kama Musa—mtu aliye na uwezo na mamlaka na anayeshikamana na kanuni za maadili, kiongozi jasiri, mwenye huruma, na anayependa sana haki. Musa alipokufa, huenda Waisraeli walijiuliza, ‘Je, ulimwengu utamwona mtu kama yeye tena?’ Musa mwenyewe alijibu swali hilo.
Maandishi ya Musa yanaeleza jinsi magonjwa na kifo yalivyotokea na kwa nini Mungu ameruhusu uovu. (Mwanzo 3:1-19; Ayubu, sura ya 1, 2) Unabii wa kwanza wa Mungu unaopatikana katika Mwanzo 3:15, unaahidi kwamba uovu utakomeshwa hatimaye! Jinsi gani? Unabii huo ulionyesha kwamba mtu fulani angezaliwa ambaye angeleta wokovu. Ahadi hiyo iliwafanya watu wawe na tumaini kwamba Masihi angetokea na kuwakomboa wanadamu. Lakini Masihi huyo angekuwa nani? Musa anatusaidia kumtambua waziwazi.
Alipokaribia kufa, Musa aliandika maneno haya ya kinabii: “Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye.” (Kumbukumbu la Torati 18:15) Baadaye mtume Petro alionyesha waziwazi kwamba maneno hayo yanamhusu Yesu.—Matendo 3:20-26.
Wasomi wengi Wayahudi wanapinga vikali uhusiano kati ya Musa na Yesu. Wanadai kwamba maneno hayo yanamhusu nabii yeyote wa kweli aliyetokea baada ya Musa. Hata hivyo, kulingana na Tanakh—The Holy Scriptures cha Jewish Publication Society, andiko la Kumbukumbu la Torati 34:10 linasema: “Hapakuinuka tena kamwe katika Israeli nabii kama Musa—ambaye BWANA aliteua, uso kwa uso.”
Naam, manabii wengi waaminifu kama vile Isaya na Yeremia, walitokea baada ya Musa. Lakini hakuna yeyote kati yao aliyekuwa na uhusiano wa pekee pamoja na Mungu kama vile Musa, yaani kuzungumza naye “uso kwa uso.” Kwa hiyo ahadi ya Musa kuhusu nabii aliye ‘kama yeye’ ilimhusu mtu mmoja, yaani, Masihi! Inapendeza kwamba kabla ya Ukristo kuanzishwa na kabla ya mnyanyaso wa kidini kutoka kwa Wakristo wa uwongo, wasomi Wayahudi walikuwa na maoni hayohayo. Uthibitisho wa hilo unapatikana katika maandishi ya Kiyahudi kama vile kitabu Midrash Rabbah, kinachomtaja Musa kuwa mtangulizi wa “Mkombozi wa baadaye,” au Masihi.
Uhakika wa kwamba Yesu alikuwa kama Musa hauwezi kukanushwa. (Ona sanduku “Yesu Alikuwa Nabii Kama Musa.”) Yesu ana nguvu na mamlaka. (Mathayo 28:19) Yesu ni “mwenye tabia-pole na mnyenyekevu moyoni.” (Mathayo 11:29) Yesu anachukia uasi-sheria na ukosefu wa haki. (Waebrania 1:9) Basi anaweza kutuongoza vizuri sana! Yeye ndiye atakayekomesha uovu hivi karibuni na kufanya dunia iwe Paradiso ambayo Biblia inazungumzia.*
USIKOSE MADA YA "NABII YULE NI NANI?"
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Sunday, April 23, 2017

KAINI ALIPATA WAPI MKE WAKE?

Image may contain: text
HOJA YA MSINGI:
“Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa na wana wawili, Kaini na Abeli, na baadae Seth, Je, mke wa Kaini alitoka wapi?”
Biblia ina habari za kutosha kujibu swali hilo kwa njia inayofaa, na kwenye hii mada tutajibu hili swali linalo wachanga sana watu.
MUKTASARI:
Katika Mwanzo sura ya 3 na ya 4 tunapata habari zifuatazo:
(1) Hawa alikuwa “mama ya kila mtu anayeishi.”
(2) Muda fulani ulipita kuanzia wakati Kaini alipozaliwa mpaka wakati alipotoa dhabihu ambayo ilikataliwa na Mungu.
(3) Baada ya kufukuzwa na kuwa “mwenye kutanga-tanga na mkimbizi,” Kaini alikuwa na wasiwasi kwamba huenda ‘mtu yeyote akakutana naye’ na kujaribu kumuua. [Angalia hoja hapa "Kaini anaogopa kuuwawa na watu wengine"] Hapa panaonyesha kuwa Kaini alikuwa na ndugu wengine.
(4) Mungu aliweka ishara ya kumlinda Kaini, jambo lililoonyesha kwamba ndugu au dada zake, au watu wengine wa ukoo wangejaribu kumuua. Kumbe basi Kaini alikuwa na ndugu wengine zaidi ya Abel na Seth.
(5) “Baadaye” Kaini alilala na mke wake “katika nchi ya Ukimbizi.”—Mwanzo 3:20; 4:3, 12, 14-17.
UTHIBITISHO:
Kutokana na habari hizo za kwenye Kitabu cha Mwanzo hapo juu, tunaweza kusema kwamba mke wa Kaini, ambaye haijulikani alizaliwa wakati gani, alikuwa mzao wa Hawa.
Andiko la Mwanzo 5:4 linasema kwamba katika miaka 930 ambayo Adamu aliishi, ‘alizaa wana na mabinti.’
Hivyo basi, kwa kuwa mke wa Kaini anatajwa baada ya Kaini kufukuzwa, jambo hilo linaonyesha kwamba wakati wa kutosha ulikuwa umepita na angeweza kuwa mmoja wa watoto au wajukuu wa Adamu na Hawa. Kwa hiyo, tafsiri ya Biblia The Amplified Old Testament inasema tu kwamba mke wa Kaini alikuwa “mmoja wa watoto wa Adamu.”
Wazo la kwamba Kaini alimwoa dada yake au uzao wa baadaye wa Adamu kupitia mmoja wa wana au mabinti zake, ni jambo lisilokubalika katika jamii fulani/mbalimbali leo. Sababu ni kuwa jamii hizo huliona hilo kuwa jambo lisilokubalika au huogopa kwamba litasababisha kasoro za kimaumbile kwa mtu kuoa dada yako au ndugu yako.
Hata hivyo, inaelekea kwamba ndugu na dada (Kaini na Mkewe) walioana ingawa ndoa kama hiyo ingeonekana kuwa jambo lisilofaa katika vizazi vya baadaye.” Inafaa kuzingatia kwamba ngono kati ya watu wa ukoo haikukatazwa waziwazi mpaka Musa alipopokea sheria za Mungu kwa ajili ya taifa la Israeli mwaka wa 1513 K.W.K.—Mambo ya Walawi 18:9, 17, 24.
Hivyo leo kwa kifupi tumejaribu kujibu hili swali kuhusu wapi Kaini alipata mke wake.
SWALI: Baada ya mafuriko ya NOA, ambayo yalisamilisha familia moja tu ya Noa. Je, watoto na wajukuu wa Noa walio nani?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KAMA YESU NI MUNGU, KWANINI AZALIWE NA KUVAA MWILI WA KIBIDANAMU?

Image may contain: 2 people, text and indoor
Ndugu msomaji,
Baada ya hoja na maswali mengi tuliyokwisha yapitia juu ya uhalali wa Uungu wa Yesu ndipo swali hili hufuatia ambapo hoja ya msingi hapa ni juu ya kile kinachoonekana kama kitu kisichowezekana kwa Yesu kuwa na asili ya Uungu na huku akiwa na umbile la kibinadamu umbile ambalo alilipata kwa njia ya kuzaliwa na Mariam, na kimsingi hapa ndipo mahali maswali mengi zaidi hujitokeza.
Kwanini kama ni Mungu avae ubinadamu?
Tendo la dhambi ya Adamu na Hawa lilimuingiza mwanadamu katika deni kubwa lisiloweza kulipwa na mwanadamu mwenyewe hebu tusome:-
Mwanzo 3:17
Walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Kwa kadri ya Andiko hilo tunasoma kuwa Mungu alipomuweka Adamu na Hawa katika bustani ya edeni aliwapa masharti yahusuyo ulaji ambapo wanadamu hao walikatazwa kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, lakini mbali na kukatazwa huko pia walionyeshwa hasara ambayo wangeipata kama matokeo ya kukaidi agizo hilo la kula matunda hayo ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
Kwa uwazi kabisa Mungu aliwaambia juu ya hatari hiyo ambayo wangejiingiza kwayo kuwa ilikuwa ni kifo’ (siku utakapokula utakufa hakika) kwahivyo kimsingi tendo la wazazi hao kujiingiza katika tendo hilo la dhambi ilikuwa ni sawa na kujiingiza katika deni la dhambi ambalo malipo yake ni mauti (kifo).
Na kwa hali hiyo basi mwanadamu huyu alihitaji msaada wa kunasuliwa toka katika deni hilo la dhambi, hivyo ilipasa upande wa pili unaoweza kukabili deni hilo kujitokeza ili kumsaidia mwanadamu kwakuwa kimsingi hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kukabili deni la kifo maana liko nje ya uwezo wa mwanadamu kama Daudi anavyoeleza:-
Zaburi 49:7-8
Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake, Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,8 (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama, Wala hana budi kuiacha hata milele;)
Hilo ni tamko la wazi la Biblia likibainisha kuwa kamwe mwanadamu hawezi kujiokoa au kumwokoa jirani yake kwakuwa nafsi ya mwanadamu inagharama ambayo haiwezi kulipwa na mwanadamu mwenyewe.
Hivyo kwa hali hiyo swali la msingi hapa linaloibuka ni kuwa sasa ni mamlaka gani yenye uwezo huo wa kulipa deni hilo la mauti na hivyo kumnusuru mwanadamu?. Ili kupata urahisi katika kujibu swali hili jambo la msingi hapa ni kuangalia sifa za msingi za mamlaka inayoweza kufanya kazi hiyo ambapo kimsingi sifa hizo ni lazima zihusiane na:-
- Uwezo wa kuasisi uhai (kuumba).
- Mamlaka dhidi ya kifo (mauti).
Kadiri ya sifa hizi ninaamini haitakuwa jambo la kufikiri kwa muda mrefu kuwa jukumu hili la ukombozi linaangukia kwa nani hasa kutokana na ukweli kuwa sifa hizo zote zinaonekana kwa Bwana Yesu na jambo jema ni kuwa vitabu vyote vya dini vinathibitisha ukweli huo hebu tuchunguze.
Uwezo wa kuasisi uhai (kuumba).
kwa upande wa Biblia tulishaona kupitia kitabu cha Mtume Yohana akiweka wazi kuwa Yesu (Neno) ni muumbaji wa vitu vyote…rejea Yohana 1:3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
Katika vitabu vingine vya kidini dhana ya uumbaji wa Yesu au uwezo wa kuasisi uhai huwekwa wazi ingawa kwa upande mwingine huelezwa kuwa Yesu naye aliwezeshwa na mamlaka nyingine kuwa na uwezo huo wa kuumba, hebu tulione hilo kwa upana wake katika Qur an tukufu:-
Qur-an 3:49
na atamfanya mtume kwa wana wa Israel awaambie nimekujieni na hoja kutoka kwa mola wenu ya kuwa “ninakuumbieni”katika udongo kama sura ya ndege kisha “nampulizia” mara anakuwa ndege kwa “Idhini” ya Mwenyezi Mungu …
Andiko hilo la msahafu kwanza linaweka wazi ukweli huo kuwa Bwana Yesu katika maisha yake ya utumishi aliwahi kufanya tendo hilo la kuasisi uhai kwa kuumba ndege kwa udongo na hatimaye kumpulizia pumzi ya uhai na mara ndege huyo akawa hai ambapo Qur an humalizia kwa kuonyesha kuwa alifanya hayo kwa idhini ya Mwenyezi Mungu tamko ambalo bado haliondoi uzito wa kuhusika kwa Bwana Yesu katika jukumu hilo la kuasisi viumbe linalomhusu Mwenyezi Mungu peke yake.
Tukiacha kujadili hoja hiyo inayojitokeza hapo bado wazo la msingi la Bwana Yesu kuhusika na uumbaji ndilo linalobeba msingi mzima wa aya hiyo ya Qur an kwa kuweka wazi ushiriki wake katika kazi hiyo mahsusi ya uumbaji na kwa hivyo anaingia katika sifa ya kuhusika kuasisi viumbe.
Katika hili kile kinachofanya uzito zaidi ni umaalumu wa tendo lenyewe la uumbaji ambalo kamwe Mungu hawezi kulifanya kwa kuhusisha mamlaka nyingine katika hatua nyeti za uumbaji kama tunavyosoma katika maandiko kadhaa toka vitabu vyote vya dini;-
Isaya 44:24
BWANA, Mkombozi wako, yeye aliye kuumba tumboni asema hivi, mimi ni Bwana, nifanyaye vitu vyote: nizitandazaye mbingu peke yangu: niienezaye nchi ni nani aliye pamoja nami?
Hapo Mungu mwenyewe anaonyesha jinsi tendo hilo la uumbaji lilivyo rasmi sana na yakuwa si tendo tu analoweza kuhusishwa kiumbe tu wa kawaida kushiriki mamlaka hiyo ya uasisi wa viumbe kwa kuwa kimsingi muasisi wa viumbe huwa juu ya viumbe hivyo.
Na katika kuonyesha uzito wa hilo maandiko ya msahafu tena huonyesha kuwa uumbaji ni mojawapo ya sifa muhimu inayompa Mungu vigezo na haki ya kuombwa na wanadamu katika mahitaji yao ya kilasiku, hivyo uumbaji ni ishara ya uwezo na haki ya kimamlaka ya Mungu.
Qur-an surat Al-hajj 22:73
Enyi watu! Unapigwa mfano, basi usikilizeni, hakika wale mnaowaomba badala ya Mwenyezi Mungu hawawezi kuumba (hata) nzi …
Hivyo kwa muktaza huu tutakubaliana kuwa tendo hilo la Yesu kutajwa kuhusika na mamlaka ya uumbaji linampa Bwana Yesu haki ya msingi ya kustahili kuhusika na jukumu la ukombozi wa mwanadamu kwakuwa uwezo huo wa Yesu wa uumbaji unatoa picha juu ya uwezo wake hata katika jukumu la kukomboa.
Mamlaka dhidi ya Kifo (mauti).
Jambo jingine la msingi juu ya sifa za yule anayeweza kuvaa jukumu hilo la kumkomboa mwanadamu ni hili la uwezo dhidi ya nguvu ya mauti na kifo, katika hili pia tunaona jinsi Bwana Yesu anavyohusika moja kwa moja kwa kile kinachoonekana katika maandiko ya vitabu vyote yakimtaja Bwana Yesu kuwa na uwezo wa kufufua watu waliokufa ikiwa ni pamoja na yeye mwenyewe kushinda mauti na kufufuka:-
Qur-an 3:49
…Na ninawaponyesha vipofu na wenyewe mabalanga, na ninawafufua (baadhi ya) waliokufa, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu…….
Katika andiko hilo la Qur an zinatajwa sifa nyingine za Bwana Yesu kuwa pamoja na mambo sifa nyingine aliki pia alikuwa na uwezo wa kuponya vipofu na wakoma lakini zaidi sana Qur an inaweka wapi pia kuwa Bwana Yesu (Isa) alikuwa na uwezo wa kufufua watu waliokufa.
Sifa hii ya kufufua hubeba dhana nzima ya ushiriki wa Bwana Yesu katika jukumu la kubatilisha matokeo ya dhambi yanayozaa kifo na hivyo kuwa na sauti dhidi ya nguvu ya mauti kwa kuamuru kurejea kwa uhai kwa mtu aliyepoteza uhai huo.
Mkazo zaidi juu ya hili katika maandiko ya Biblia:-
Yahana 11:25
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;
Hilo ni mojawapo kati ya matamko aliyowahi kuyatoa Bwana Yesu akionyesha mamlaka aliyonayo juu ya mauti na kwajumla Bwana Yesu anaonyesha hapo kuwa yeye ndiye mwenye dhamana na jukumu zima la kuwafufua wanadamu katika siku ya mwisho.
Kumbuka pia maandiko ya Biblia yanaweka bayana kuwa ukombozi dhidi ya hukumu ya mauti hauwezi kutolewa na mamlaka yeyote ile isipokuwa Mungu mwenyewe ndiye mwenye njia za kumnusuru mwanadamu dhidi ya mauti, tunaweza kuyasoma maneno hayo katika maandiko ya Biblia toka katika kitabu cha nabii Daudi:-
Zaburi 68:20
Mungu kwetu sisi ni Mungu wa kuokoa; Na njia za kutoka mautini zina YEHOVA Bwana.
Hivyo wajibu wa kukomboa wanadamu kwa mujibu wa Biblia unatajwa kuwa ni wa kimbingu na hivyo kuhusika na Mwenyezi Mungu mwenyewe tendo ambalo linakaza wazo la ujio wa Yesu kwaajili ya ukombozi
Yesu alishuka kama mwanadamu toka asili ya Uungu ili kutukomboa’
Ninaamini kwa msingi huo wa maandiko tumepata ushahidi wa kutosha jinsi Bwana Yesu anavyostahili kuhusika na jukumu hili la ukombozi wa mwanadamu kwa kuwa kimsingi jukumu hilo la ukombozi wa mwanadamu lazima lifanywe na mtu mwenye sifa hizo mbili muhimu yaani ile ya uwezo wa kuasisi uhai pamoja na kurejesha uhai uliotoka.
Na kama hatua ya utekelezaji wa jukumu hilo ndipo ilimladhimu Bwana Yesu kufunika utukufu wa mamlaka yake ya kiungu ili kushuka na kutukomboa tendo ambalo ndilo linaibua hoja hii ya kudai kuwa Mungu hawezi kuzaliwa na kuonekana katika umbile la kibinadamu.
Lakini Katika kujibu swali hili ni vyema kwanza tujenge msingi kwa kusoma maandiko kadhaa katika mafunuo ya Biblia na hatimaye tupate maoni ya vitabu vingine ili kukaza uelewa wa mada hii nyeti.
Hebu tupitie maandiko haya yafuatayo:-
Kutoka 33:20
Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.
Katika andiko hilo la kwanza tunapata msingi wa uchambuzi wa mada hii kwa tamko hilo la Mungu akimweleza nabii Musa kuwa kamwe mwanadamu hawezi kumwona Mungu bayana akaishi.
Hivyo andiko hilo linazalisha madai muhimu kwa Mwenyezi Mungu katika jukumu lake la kushuka ili kumkomboa mwanadamu, madai ambayo yanaitaka mbingu kubuni kanuni ya kumfikia mwanadamu huyu kwa namna ambayo haitomwangamiza na badala yake kumwokoa.
Na kwa hali hiyo swali la msingi linalojitokeza hapa ni kuwa sasa’ ni kwa namna gani basi Mungu anaweza kumfikia mwanadamu huyu pasina mwanadamu huyo kuangamia kama matokeo ya kukabili uwepo wa Mungu wa ana kwa ana? Ili kujibu swali hilo nikuombe tusome maandiko haya yafuatayo:-
Ebrania 2:16-17
Maana ni hakika, hatwai asili ya malaika, ila atwaa asili ya mzao wa Ibrahimu.17Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.
Biblia hapo inatoa majibu ya swali hilo la msingi kwa kutajwa dhahili kuwa asili au hali ambayo Mungu angeitwaa katika kutekeleza jukumu hilo ni asili ya ubinadamu na pia inaeleza kuwa katika utekelezaji wa jukumu hilo ilikuwa ni lazima Yesu kuchukua hali ya mfanano na wanadamu nadipo hatimaye aweze kufanikisha jukumu hilo la kuleta suluhu ya dhambi kwa watu wake.
Kisa cha mama msamaria’
Kulikuwa na mama mmoja msamaria, mama huyu alikuwa akiishi eneo la baridi kali..siku moja alipokuwa akiota moto ndani katika nyumba yake ya vioo ndipo akaona ndege kwa nje’,ndege huyu alikuwa katika hali ya kuelekea kufa kutokana na baridi ingawa hatimaye ndege huyo alitimiza hatua ya kwanza ya furaha ya mama huyo kwa kutua kwenye mti mkubwa ulioota nje ya dirisha dogo la nyumba yake, na ndipo mama huyu akachukua mti mwingine mrefu anaoutumia kuchochea moto ndani na kuupitisha kwenye dirisha hilo ili ukaungane na ule wa nje na kutengeneza daraja na hatimaye kumwezesha ndege huyo kupita na kuingia ndani ili kujinusuru’…lakini ndege huyo alipoona mti huo ukichomoza toka kwenye dirisha hilo alihofu kwa kufikiri kuwa huenda ni mtu anayetaka kumpiga ili hatimaye kumfanya kitoweo na kwasababu hiyo ndege huyo aliruka na kutokomea kwenye baridi zaidi na hatimaye akafa huko’
Tamko la mama msamaria, alibaki kusema:- Laiti kama ningelikuwa na uwezo wa kujimithilisha’ nikawa mfano wa yule ndege’ ningelimsogelea na kumwambia’ ndege wenzangu eeeeh twende mule ndani tujinusuru na baridi!!!!!!
Kisa hicho kinaweka mkazo na kutoa mwangaza juu umuhimu wa tendo hilo la Bwana Yesu kuvaa umbile la kibinadamu katika harakati za kumfikia na kumwokoa mwanadamu, ambapo tunaona jinsi ambavyo haikuwa rahisi kwa mama msamaria kufanikisha dhamili yake ya kumwokoa yule ndege kwa njia ya kutumia mti ambao kimsingi kwa ndege huyo ulikuwa ni kitisho.
Kumbuka kuwa endapo Bwana Yesu angelikuja katika halihalisi ya utumkufu wake wa Kimungu wanadamu wangelihofu na kuangamia kama ambavyo tunaweza kuliona hilo katika mifano kadhaa ya matukio katika Biblia, soma historia hii ya kipindi cha wana wa Israel kwa utulivu:-
Kutoka 19:11-12
wawe tayari kwa siku ya tatu; maana siku ya tatu Bwana atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote17 Musa akawatoa hao watu katika kituo, akawaleta ili waonane na Mungu; wakasimama pande za chini za kile kilima. 18 Mlima wa Sinai wote pia ukatoa moshi, kwa sababu Bwana alishuka katika moto; na ule moshi wake ukapanda juu kama moshi wa tanuu, mlima wote ukatetemeka sana.19 Na hapo sauti ya baragumu ilipozidi kulia sana, Musa akanena, naye Mungu akamwitikia kwa sauti.20 Bwana akaushukia mlima, juu ya kilele cha mlima; Bwana akamwita Musa aende hata kilele cha mlima; Musa akapanda juu. 21 Ndipo Bwana akamwambia Musa, Shuka chini, uwaonye watu wasije wakapasua njia waje kwa Bwana kutazama,kisha wengi miongoni mwao wakaangamia.
Katika andiko hilo tunaona historia hiyo ya kile kilichowapata wana wa Israel ambao kimsingi walitoa madai ya kutaka kuonana na Mungu, na katika tukio hilo la kushuka kwa Mwenyezi Mungu ili kujifunua kwao wa Israel wengi walikufa kutokana na Mungu huyo kuja katika hali ambayo hawakuweza kuikabili.
Swali! Je’ Mungu aje katika hali gani ili mwadamu aweze kuikabili?
- Aje katika hali ya ng’ombe!
- Au aje katika hali ya simba! Au hali gani?
Biblia inataja namna Mungu alivyojidhihirisha kwa Kristo katika hali ambayo mwanadamu aliweza kuikabili.
1Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
Hivyo maandiko hayo ya Biblia yantaja njia hiyo ambayo Mungu aliitumia kujidhihirisha kwa wanadamu yaani kwa kutwaa mwili wa kibinadamu ingawa haki yake ilijulikana katika ulimwengu wa roho.
Maelezo ya vitabu vingine, je’ Mungu anaweza kuja katika maumbile tofauti?
Kabla ya kuhitimisha kipengele hiki ni vyema tukapata kwanza maoni toka katika vitabu vingine vya kidini ili kukaza uelewa wa uchambuzi huu na pengine kufungua zaidi ufahamu wa masomaji wangu ikiwa huenda si Mkristo.
Katika hatua ya awali maandiko ya msahafu wa Qur an yanataja sifa za Mwenyezi ambazo zitaanza kutujengea msingi wa uchambuzi katika kipengele hiki:-
Qur an 57:3
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, Naye ndiye wa Dhahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kilakitu.
Andiko hilo linataja sifa hizo za msingi za Mungu ambapo moja ya sifa hizo ni ile Dhahiri na Siri, kupitia sifa hizi tunapata uthibitisho wa dhana nzima ya utendaji wa Mwenyezi Mungu katika hali mbalimbali yaani kwanza katika hali yake ya kutoonekana (Siri) na ile ya kujifunua Dhahiri na jambo la kufurahisha zaidi ni kuwa maandiko ya Qur an tukufu yameweka mifano muhimu juu ya aina zote hizi za mifumo ya utendaji wa Mwenyezi Mungu ambapo kwa mfano ile hali ya dhahiri inaonekana katika kisa cha nabii Musa kama tunavyosoma:-
Qur an 20:9-12
Na je imekujia hadithi ya Musa? 10’alipouona moto, akawaambia watu wake (aliokuwa nao) “Ngojeni, hakika nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga katika huo (moto)au nitapata mwongozaji katika moto huo (wakutuonyesha njia).11’ Basi alipofika akaitwa “Ewe Musa! 12’”Bilashaka Mimi ndiye Mola wako.Basi vua viatu vyako.hakika wewe uko katika bonde takatifu la Tuwa.
Hapo tunaona katika kisa hicho cha Nabii Musa kutokewa Mungu anajifunua kwa Musa kupitia kichaka cha moto ambapo Musa kwa kutojua anadhani hicho ni kichaka cha moto wa kawaidia tu na kumbe kichaka hicho kilikuja na uwepo wa Mungu, hivyo Musa kwa kukiona kichaka hicho alipaswa kukubali kuwa hapo alikutana na Mungu bayana. Rejea tamko la Mungu mwenyewe’ “Bilashaka mimi ndiye Mola wako”.
Shalom.

The Myth of Muhammad’s Fragrant Sweat: A Scientific and Theological Critique

  The Myth of Muhammad’s Fragrant Sweat: A Scientific and Theological Critique By Dr. Maxwell Shimba — Shimba Theological Institute Abstract...

TRENDING NOW