Wednesday, April 26, 2017

MUSA NA HARUNI MBELE YA FARAO

Image may contain: one or more people and people on stage
Tujikumbushe kidogo kuhusu Musa na Haruni na jinsi walivyo kutana na Farao. Nini kilitokea?
MUSA aliporudi Misri, akamwambia Haruni ndugu yake habari ya miujiza yote. Musa na Haruni walipowaonyesha Waisraeli miujiza hiyo, watu wote wakaamini kwamba Yehova alikuwa nao.
Kisha Musa na Haruni wakaenda kumwona Farao. Wakamwambia: ‘Mungu wa Israeli anasema, “Waruhusu watu wangu waende mwendo wa siku tatu, wakaniabudu jangwani.” ’ Lakini Farao akajibu hivi: ‘Mimi simwamini Mungu. Na sitawaruhusu Waisraeli waende.’
Farao alikasirika, kwa sababu watu walitaka wapewe ruhusa ya kwenda kumwabudu Yehova. Basi akawalazimisha wafanye kazi ngumu hata zaidi. Waisraeli wakamlaumu Musa kwa sababu waliteswa vibaya sana, naye Musa akahuzunika. Lakini Mungu akamwambia asisumbuke. ‘Nitamfanya Farao aruhusu watu wangu waende,’ Yehova akasema.
Musa na Haruni wakaenda kumwona Farao tena. Wakati huu walifanya mwujiza. Haruni akaitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka mkubwa. Lakini watu wenye akili wa Farao pia wakazitupa fimbo zao chini, nyoka wakatokea. Lakini, ebu tazama! Nyoka wa Haruni anakula wale nyoka wa watu wenye akili. Hata hivyo Farao hataki kuwaruhusu Waisraeli waende.
Basi wakati wa Mungu ukafika wa kuonyesha yeye ana uwezo kuliko Farao. Unajua alivyofanya? Ni kwa kuleta mapigo 10 au taabu kubwa, juu ya Misri.
Baada ya mapigo mengi kidogo, Farao akaagiza Musa itwe, na kusema: ‘Lizuie pigo, nami nitawapa ruhusa Waisraeli waende.’ Lakini pigo hilo lilipozuiwa, Farao aligeuza nia yake.
Hakuwaruhusu watu waende. Lakini, mwishowe, baada ya pigo la 10, Farao alifukuza Waisraeli.
Je! Unajua mapigo hayo 10 yalikuwa gani?
Kutoka 4:27-31; 5:1-23; 6:1-13, 26-30; 7:1-13.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

TOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO, KISHA UTATOA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZAKO

Image may contain: text


KAMA UNA MASHAKA NA HUAMINI HUDUMA YA MTUMISHI FULANI, USIFUNGUE MDOMO KUMSEMA AU KUWASHAWISHI NA WENGINE WAWE NA CHUKI NAYE; KWA KUFANYA VILE, HATA KAMA UNACHOKISEMA NI SAHIHI, LAKINI TAYARI HAUJAKIFANYA KWA KANUNI ZA KIMUNGU, CHUKI YAKO NI SAWA NA UUAJI!
Mathayo 7: 5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.
Wakristo watajifunza kutokana na ukosoaji ujengao. Imeandikwa katika Mithali 9:8-9 " Usimkaripie mwenye dharau, asije akakuchukia; mkaripie mwenye hekima naye atakupenda. mwelimishe mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima; mfundishe mwenye haki naye atazidi kuwa na elimu."
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU ANASEMA MPENDE JIRANI YAKO

Image may contain: 2 people, text and outdoor
“[Amri] ya pili ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’”—Mathayo 22:39.
PINDI moja, Farisayo alimjaribu Yesu kwa kumuuliza hivi: “Mwalimu, amri iliyo kuu katika ile Sheria ni gani?” Kama ilivyotajwa katika makala iliyotangulia, Yesu alijibu kwamba “amri iliyo kuu na ya kwanza” ni hii: “Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote.” Yesu akaongezea hivi: “Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’”—Mathayo 22:34-39.
Yesu alisema kwamba ni lazima tumpende jirani yetu kama tunavyojipenda wenyewe. Hivyo, tunapaswa kujiuliza hivi: Ni nani kwa kweli aliye jirani yetu? Tunawezaje kuonyesha kwamba tunampenda jirani?
Huenda tukafikiri kwamba jirani ni mtu anayeishi karibu nasi ambaye ni rafiki wa karibu anayetusaidia. (Met. 27:10) Hata hivyo, ona alivyosema Yesu alipoulizwa hivi na mtu aliyejiona kuwa mwadilifu: “Ni nani kwa kweli aliye jirani yangu?” Yesu alimjibu kwa kusimulia mfano wa Msamaria mwema. (Soma Luka 10:29-37) Tungetarajia kwamba kuhani Mwisraeli na Mlawi wangetenda kama majirani wema walipomwona mtu aliyekuwa ameibiwa, akapigwa, na kuachwa karibu kufa. Hata hivyo, walipita bila kumsaidia kwa njia yoyote. Mtu huyo alisaidiwa na Msamaria—na Wasamaria waliheshimu Sheria ya Musa lakini walidharauliwa na Wayahudi.—Yohana 4:9.
Ili kumsaidia mtu huyo apone, Msamaria huyo alimwaga mafuta na divai juu ya majeraha yake. Alimpa mtunza-nyumba ya wageni dinari mbili ambazo ni sawa na mshahara wa siku mbili hivi ili amtunze mtu huyo. (Mathayo 20:2) Hivyo, ni rahisi kuona ni nani aliyethibitika kuwa jirani wa kweli wa mtu huyo aliyejeruhiwa. Kwa kweli, mfano wa Yesu unatufundisha kwamba tunapaswa kumpenda na kumhurumia jirani yetu.
Kwa nini tunapaswa kuwapenda adui zetu, na huenda matokeo yakawa nini?
Wapende adui zako. Yesu alisema hivi: “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Mpende jirani yako na kumchukia adui yako.’ Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi; ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni.” (Mathayo 5:43-45) Mtume Paulo alirudia jambo hilo alipoandika hivi: “Ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe.” (Roman- 12:20; Met. 25:21) Kulingana na Sheria ya Musa, mtu alipaswa kumsaidia adui kumfungua punda wake aliyeangushwa na mzigo. (Kutoka 23:5) Kwa kufanya kazi pamoja kwa njia hiyo, huenda wale waliokuwa maadui wakawa marafiki wakubwa. Kwa kuwa tunawapenda watu tukiwa Wakristo, adui zetu wengi wamebadili maoni yao kutuhusu. Tukiwapenda adui zetu, hata wale wanaotutesa vikali, tutapata shangwe kama nini kuona baadhi yao wakikubali Ukristo wa kweli!
NJIA YA PEKEE YA KUONYESHA UPENDO KWA JIRANI
Tunahubiri habari njema ya Ufalme kama Yesu alivyofanya. (Luka 8:1) Yesu aliwaagiza wafuasi wake ‘wafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote.’ (Mathayo 28:19, 20) Tunatimiza agizo hilo kwa kujitahidi kuwasaidia jirani zetu kutoka katika barabara pana na kubwa inayoongoza kwenye uharibifu na kutembea kwenye barabara yenye nafasi ndogo inayoongoza kwenye uzima. (Mathayo 7:13, 14) Bila shaka Yehova anabariki jitihada hizo.
Tunapofanya marudio na kuongoza mafunzo ya Biblia kwa ustadi, tunawasaidia watu kuishi kupatana na viwango vya uadilifu vya Mungu na hilo hutuletea uradhi. Kufanya hivyo kunaweza kumsaidia mwanafunzi wa Biblia afanye mabadiliko makubwa katika maisha yake. (1 Korintho 6:9-11) Kwa kweli, inatia moyo sana kuona jinsi Mungu anavyowasaidia watu wenye “mwelekeo unaofaa kwa ajili ya uzima wa milele” kufanya mabadiliko yanayohitajika na kuwa na uhusiano wa karibu pamoja naye. (Matendo. 13:48) Wengi waliokuwa wamekata tamaa hupata shangwe, na badala ya kuwa na mahangaiko yasiyo ya lazima, wanamtumaini Baba yetu wa mbinguni. Inapendeza kama nini kuona wapya wakifanya maendeleo ya kiroho! Je, si kweli kwamba ni baraka kuwaonyesha jirani zetu upendo kwa njia ya pekee tukiwa wahubiri wa Ufalme?
ENDELEA KUMPENDA JIRANI YAKO KAMA WEWE MWENYEWE
‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’ Upendo haumfanyii uovu jirani ya mtu; kwa hiyo upendo ndio utimizo wa sheria.” (Rom. 13:8-10) Hivyo, tunapaswa kuendelea kumpenda jirani yetu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Tuesday, April 25, 2017

NABII YULE NI NANI?


Kwanza tuanze kwa kutafuta maana ya neno Nabii.
Neno nabii (kwa Kiebrania נביא nevì, kwa wingi נְבִיאִים nevi'ìm, kwa Kiarabu نبي) linatumika kumtajia binadamu anayesema kwa niaba ya Mungu, hasa kwa kusudi la kuelekeza wenzake wafuate imani na maadili sahihi.
Katika lugha nyingi, mtu huyo anaitwa kwa jina linalotokana na neno la Kigiriki προφήτης [prophētēs], maana yake "anayesema mbele", yaani hadharani (mbele ya wasikilizaji), au kabla ya (jambo kutokea).
Katika matumizi ya kawaida, neno hilo linatumika hasa kwa mtu ambaye anatabiri jambo, bila ya kujali asili ya maarifa yake.
KATIKA UYAHUDI:
Katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania) tunakuta vitabu vingi vinavyojumlishwa katika jina "manabii", kuanzia Yoshua hadi Malaki. Katika Ukristo baadhi ya vitabu hivyo vinahesabiwa kuwa "vitabu vya historia", kumbe kile cha Danieli kinapangwa kati ya "manabii wakuu" pamoja na Isaya, Yeremia na Ezekieli, wakati Wayahudi wanacho kati ya "maandiko (mengine)".
KATIKA UKRISTO:
Ukristo unakubali manabii wote wa Agano la Kale, lakini upande wa Agano Jipya ni wachache wanaoitwa hivyo, kwa mfano Agabo anayetajwa katika Matendo ya Mitume.
Kwa jumla ni kwamba Wakristo wote wanahesabiwa kuwa manabii kutokana na wajibu wa kutangaza Neno la Mungu kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
KATIKA UISLAM:
Katika Islam mtume Muhammad anapewa nafasi ya pekee kati ya manabii wengi waliotumwa kwa binadamu wa nyakati na mahali tofauti. Ndiye anayesadikiwa na Waislamu wengi kuwa nabii wa mwisho na wa kudumu ("mhuri wa manabii" - khātim al-nabiyyīn (Kurani, XXXIII:40).
Uislamu unakubali manabii wa Biblia pamoja na wengine wasiotajwa katika kitabu hicho, kama vile Mwarabu Salih.
KATIKA DINI NYINGINE:
Dini nyingine zinatokana na mafundisho ya mtu anayehesabiwa nabii, kama vile:
Zarathustra (Uajemi, 628 KK - 551 KK).
Mahavira (Vardhamana) (India, 599 KK - 527 KK).
Mani (Manes) (Uajemi, (216 - 277).
Bab (Siyyid Mírzá 'Alí-Muhammad) (Uajemi, 1819 - 1850).
Bahaullah (Mirza Hosaynali Nuri) (Uajemi, 1817 - 1892).
SASA baada ya kujifunza maana ya neno nabii na jinsi imani na dini zinavyo lielewa hilo neno nabii. Turudi kwenye mada yetu ya Nabii Yule.
Yohana 1: 19 Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani? 20 Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo. 21 Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La. 22 Basi wakamwambia, U nani? Tuwape majibu wale waliotupeleka. Wanenaje juu ya nafsi yako? 23 Akasema, Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, Inyosheni njia ya Bwana! Kama vile alivyonena nabii Isaya.
Kumbe Yohana si Nabii yule maana amesha kataa kwenye aya hapo juu kuwa yeye sie. Basi, ni nani huyu ambaye ni Nabii yule?
SASA TUANZE KUANGALIA NA KUJIBU SIFA TATU ZILIZO NDANI YA YOHANA 1:19-23.
Kwenye aya hizo kumetaja watu watatu nao ni:
(1) KRISTO
(2) ELIYA
(3) NABII YULE
(1) KRISTO:
Yohana 4:25 Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote. 26 Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe, ndiye.
Kwenye Yohana 4:25 hapo juu tumesoma kuwa Yesu ndie Kristo. Hivyo basi, nnani ni Kristo kama alivyo ulizwa Yohana kwenye Yohana 1-19-23 tumesha mjua ni YESU KRISTO. Je, Nabii yule ni nani basi, Ni Eliya?
kabla hatujamwangalia na kumjua ni nani kwa mujibu wa maandiko, tuwatazame wale walioenda kumuuliza Yohana wao wenyewe Walitoka wapi?
Yohana 1:24 Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo. 25 Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?
26 Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi. 27 NDIYE YULE ajaye nyuma yangu, ambaye mimi sistahili kuilegeza gidamu ya kiatu chake.
Wale watu walikuwa wametoka kwa Mafarisayo, wakawa wanamshangaa Yohana ni vipi abatize wakati yeye siyo Kristo siyo Eliya wala Nabii yule? Kumbe Nabii yule atakuwa anabatiza watu.
Swali la hawa waliotumwa linatufungua macho na kutuonyesha yafuatayo:
1. Wao walijua atakaenza kubatiza ni Kristo na Nabii yule.
2. Yohana akawajibu amesimama yule wasiyemjua, huyo ambae atakuja nyuma yake ndiye Nabii yule ndiye Kristo.
SASA TUMSOME TENA, YOHANA, NI NANI ALIMAANISHA KUWA NI NABII YULE?
Yohana 1:29 Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu! 30 HUYU NDIE NILIYENENA HABARI ZAKE ya kwamba, Yuaja mtu nyuma yangu, ambaye amekuwa mbele yangu; kwa maana ALIKUWA KABLA YANGU.
Yohana anawafundisha waliotumwa kuwa, Yesu ndie aliye kuwa amaanisha na ndie YULE ajaye baada yake.
Yohana 7:25 Basi baadhi ya watu wa Yerusalemu wakasema, Je! Huyu siye wanayemtafuta ili wamwue? 26 Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Yamkini hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo? 27 Lakini huyu twamjua atokako; bali Kristo atakapokuja hakuna ajuaye atokako.
Hapo juu tunajifunza kuwa, walu hawakujua kuwa Kristo ndie yule yule Nabii YULE, wao walijua kuwa Nabii Yule na Kristo Yesu ni wawili tofauti.
Je, madai yao ni kweli, kuwa Nabii Yule na Yesu ni wawili tofauti?
Swali la Kujiuliza Je! ni kweli Yesu ndiye NABII yule?
BIBLIA INAKUJIBU KUWA YESU NI NABII YULE:
Yohana 6:11 Basi Yesu akaitwaa ile mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; na kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka. 12 Nao waliposhiba, aliwaambia wanafunzi wake, Kusanyeni vipande vilivyobaki, kisipotee cho chote. 13 Basi wakavikusanya, wakajaza vikapu kumi na viwili, vipande vya mikate mitano ya shayiri vilivyowabakia wale waliokula. 14 Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, HAKIKA HUYU NI NABII YULE ajaye ulimwenguni.
Naam, tumesha jibiwa kwa kutumia Biblia hiyohiyo kuwa Yesu ni Nabii yule. Maana sifa zote za Nabii Yule zinaonekana kwa Yesu.
Kumbukumbu la Torati 18:18 Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.
Ukisoma katika kijarida cha NABII ALIYE KUWA AKAMA MUSA http://www.maxshimbaministries.org/…/nabii-aliye-kama-musa-… utagundua kuwa, huyo Nabii ni Yesu.
Yohana 3:14 Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa;
15 ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.
Maandiko yanazidi kutuonyesha kuwa aliye mfano wa Musa ni YESU.
Waebrania 4:1 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, Yesu, 2 aliyekuwa mwaminifu kwake yeye aliyemweka, kama Musa naye alivyokuwa, katika nyumba yote ya Mungu.
NABII YULE NI YESU KRISTO:
Yohana 7:37 Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe. 38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake. 39 Na neno hilo alilisema katika habari ya Roho, ambaye wale wamwaminio watampokea baadaye; kwa maana Roho alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa. 40 Basi wengine katika mkutano walipoyasikia maneno hayo, walisema, HAKIKA HUYU NDIE NABII YULE.
Baada ya kumsikia katika huo mkutano, walizna kukiri wenye kuwa YESU NI NABII YULE.
Mathayo 21:10 Hata alipoingia Yerusalemu, mji wote ukataharuki, watu wakisema, Ni nani huyu? 11 Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.
Nimemaliza kwa aya kadhaa kusadia ujumbe huu kuwa, YESU NDIE NABII YULE.
Barikiwa sana na tuendelee kujifunza neno la Mungu.
Shalom,
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

Monday, April 24, 2017

CANADIAN DOG JIHAD?


Dog owners are being warned to keep a close eye on their pets after a disturbing discovery at a popular Vancouver park. Dogs have found and eaten abandoned pieces of pizza stuffed with sewing needles in an off-leash area of Strathcona Park twice in the past few weeks.

Pakistan

CTV News  (h/t Richard S) In one case, an owner noticed her dog had a piece of food in his mouth, and saw a string hanging out of his mouth as he was about to swallow.

“I pulled it out and it was a bundled up piece of pizza that had been sewn together,” DJ Larkin told CTV News.

She threw it out, thinking it was strange but hoping it was an isolated incident, but when she heard another dog was injured in a similar incident, she felt compelled to come forward.

The other dog swallowed the ball of pizza, which had several needles in it, and needed surgery to remove one from its throat.

The incidents have been reported to the City of Vancouver, and officials say they’re investigating. Larkin said she’s also been in touch with the BC SPCA.

“It’s so upsetting because it’s a really popular park for East Van dog owners, and I can’t imagine any reason to do that except to intentionally injure an animal,” she said.

Pascal the puppy was left for dead after cruel Muslim children covered him in industrial glue and dragged him through mud in Istanbul

Larkin said she’s never had any other experiences with strange things found in the park, but said she’d heard reports of people finding rat poison left out in the area.

The dog owner says she no longer feels comfortable bringing her dog to the park, and others who were at the grounds on Friday said they’re keeping a close eye on their animals.

UK: Muslim woman ordered by husband to mow the lawn


Husband apparently never told her that the electric lawn mower had to be plugged in.

If video won’t play, click the time/date at the bottom to view on Twitter.

PARIS: Muslims protest first round of elections by doing what they do best…


Setting cars on fire.

FINALLY! It took them 2 weeks, but finally, charges have been filed against South Dakota Muslim at Christian conference, brandishing several weapons and warning on Facebook Live: “Be scared, be f***king terrified”


On April 21 South Dakota State Attorney General Marty Jackley announced charges of terrorism threats against Ehab Jaber. The Capital Journal reports that the charges represent “a Class 5 felony with a maximum sentence of five years.”

22-8-13. Terrorist threat–FelonyAny person who threatens to commit a crime of violence, as defined by subdivision 22-1-2(9), (includes use of a gun) or an act dangerous to human life involving any use of chemical, biological, or radioactive material, or any explosive or destructive device, with the intent to: (1) Intimidate or coerce a civilian population; (2) Influence the policy or conduct of any government or nation; (3) Affect the conduct of any government or nation; or (4) Substantially impair or interrupt public communications, public transportation, common carriers, public utilities, or other public services; is guilty of making a terrorist threat. A violation of this section is a Class 5 felony. Source: SL 2005, ch 120, § 189.

Breitbart  (h/t Calpax) In a Facebook Live video allegedly filmed in a car outside a Christian conference in Sioux Falls, South Dakota, the Muslim man identified as Ehab Jaber brandishes numerous guns and warns people to “be scared.”

The Blaze Ehab Jaber is a South Dakota resident who is self-described as being formerly from  Saudi Arabia. According to World Net Daily, Jaber infiltrated the Christian Worldview Weekend conference on April 9 at the Hilton Garden Inn in Sioux Falls, as they were discussing the Islamic persecution of Christians around the world. The event was being attended by around 500 men, women, and children.

Jaber, wearing a shirt that read “I’m American, I’m a Muslim, I open carry, I conceal carry, and I’m dangerous only if you’re stupid,” and carrying a Koran reportedly began disrupting the proceedings and live streaming the conference on his phone.

A retired police officer who was working security for the event confronted Jaber, who told him he was “the Muslim John Smith.” The officer promptly escorted Jaber out of the building.

Jaber went to his car, and still sitting in the parking lot, once more took to Facebook Live where he began complaining about how many people were in attendance. It was then that Jaber asked “ya know, if you want to be really scared?”

Jaber then reached behind him and began displaying various handguns and an AK-47, each time saying “be scared.” Pulling out an extended magazine and an AR-15 he added “be f***ing terrified.”

PIG HEAVEN? Three Islamic State jihadists killed by wild pigs in Iraq


Rampaging wild boars in southern Kirkuk leave three Muslim savages dead.

IraqiNews  (h/t Susan K) The animals went on a rampage near a farmland in al-Rashad region, an Islamic State pocket 53 kilometers south of Kirkuk. They attacked the militants and left three killed, according to the source.

Since emerging in 2014 to proclaim a self-styled “Islamic Caliphate”, IS members have held areas in southwestern Kirkuk, where thousands of civilians had to flee the group’s rule to refugee camps in the province and neighboring cities.

Islamic State militants have regularly executed civilians in Kirkuk over accusations of collaboration with security forces or attempting to flee the province to refugee camps.

Alsumaria News quoted the source saying that “Islamic State militants took revenge at the pigs that attacked the farmland,” but did not clarify the method.

FOUR wounded in stabbing attack by teenage Muslim savage in Tel Aviv hotel


The 18-year-old Muslim terrorist from Shechem who stabbed 4 people in and around the Leonardo hotel in Tel Aviv had received a special one-day permit as part of a “peace” program that takes Palestinian Authority Muslims to Tel Aviv in order to reduce tensions between Arab Muslims and Jews. (HAH!)

Times of Israel  The attack began in the lobby of the Leonardo Beach Hotel, where he stabbed three people with wire cutters. He then fled outside and attacked one more person, a man in his 70s, before he was captured by police.

According to Channel 2 news, the assailant first attempted to enter the smaller Leonardo Art Hotel on Hayarkon Street, but was turned away by a security guard. He then traveled down the street to the Leonardo Beach Hotel, where he carried out his attack.

All four victims were lightly wounded and treated at the scene by medics before being taken to Ichilov Hospital, according to the Magen David Adom ambulance service.

Attacker being apprehended below:

The Palestinian, identified as an 18-year-old from the Nablus area of the West Bank, was apprehended by police (below). After initially saying the motivation of the attack was unclear, police later determined that it appeared to be a terror attack.

In addition to the man in his 70s, two men and a woman in their 50s were identified as the victims of the attack by medics. Surveillance footage from the hotel shows the stabbing attack as it unfolded.

The Palestinian teenager, wearing jeans and a black T-shirt, first stabbed a man and a woman inside an office in the Leonardo Hotel.

He then ran out of the office and into the lobby where a man tried to block his escape, grabbing a pillow from one of the lobby’s couches to protect himself. The terrorist attacked the man, tackling him to the floor and stabbing him repeatedly in the shoulders, neck and head.

The spate of Palestinian attacks that began in October 2015 was dubbed the “lone wolf” intifada, as many of the attacks were carried out by individuals who were not connected to any terror group.

The Myth of Muhammad’s Fragrant Sweat: A Scientific and Theological Critique

  The Myth of Muhammad’s Fragrant Sweat: A Scientific and Theological Critique By Dr. Maxwell Shimba — Shimba Theological Institute Abstract...

TRENDING NOW