Tuesday, May 16, 2017

KWANINI YESU ALIKUBALI KUITWA MUNGU?

Image may contain: meme and text
Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yohana 20:29).
Je wewe unayo soma hapa unasadiki kama Thomaso?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

ISA WA QURAN ALIUMBWA LAKINI YESU ALIKUWEPO MILELE YOTE

Image may contain: text
YESU NI MUNGU:
ISA BIN MARYAM KAUMBWA
Quran. 3 au Surat Imran 59
“Bila shaka hali ya Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama hali ya Adam; alimwumba kwa udongo kisha akamwambia: “Kuwa”; basi akawa”
Quran inadai kuwa Isa Bin Maryam aliumbwa kwa udongo, na kisha Allah akasema kuwa, na Isa bin Maryam akawa.
YESU, YEYE HAKUUMBWA BALI NI NENO LA MUNGU
Yohana 1:1,14,
“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu……..Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu…….”
Mika 5:2
“Bali wewe, Bethlehem Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israel; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele”
Yohana: 8:58 “Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahim asijakuwako, mimi niko”.
Zaidi ya hayo Biblia inatujulisha kuwa yeye ndiye Muumbaji mwenyewe
Yohana 1:3 “Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika”
Kolosai 1:16-17
“Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake”
c) Baada ya kuishi na kufa kwa Isa bin Maryam wa waislamu, inadaiwa na uislam kama hajawahi kumtokea kimaono yeyote yule!
1. Baada ya panda mbinguni Yesu Kristo aliwatokea wengi na hasa Sauli kabla awe Paulo.
Matendo 9:4
“Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Saul, Saul, mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe”
d) Isa bin Maryam wao alitabiri kwamba baada yake atakuja nabii Muhammad
Quran 61 au Surat As-Saff 6
“Na (wakumbushe) aliposema (Nabii) Isa bin Maryamu (kuwaambia mayahudi) enyi wana wa Israili! Mimi ni mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu. Nisadikishaye yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati. Na kutoa habari njema ya mtume atakayewajia nyuma yangu ambaye jina lake litakuwa Ahmad (Muhammad). Na maana ya majina mawili yote haya ni moja. Maana yake Mwenye kushukuriwa kwa maneno yake mazuri na vitendo vyake vizuri na kila chake kwani vyake vyote ni vizuri). Lakini alipowajia kwa hoja zilizowazi walisema: “Huu ni udanganyifu uliyo dhahiri”.
e) Yesu Kristo aliahidi msaidizi akamtuma Roho Mtakatifu siku ya Pentekoste
Yohana 14:26
“Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia”
Katka Kiyunani anaitwa “Paracletos” yaani msaidizi au mfariji
Yohana 15:26
“Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia”
Yohana 16:7
“Lakini mimi ninawaambia iliyo kweli; yawafaa nyinyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu nitampeleka kwenu”.
umesoam mwenyewe kuwa Isa Bin Mrayma yeye aliumbwa kwa udongo, lakini Yesu yeye alikuwepo milele yote.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

USIOGOPE: YESU ANATULINDA

Image may contain: text
“Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu, mimi nitamwokoa pia. Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.”—Zaburi 91:14.
Baba mwenye upendo hawaandalii tu watoto wake mahitaji yao bali pia hujitahidi kuwalinda. Kwa kawaida, anajitahidi kuwaokoa wanapokabili hatari. Ndugu mmoja anakumbuka jambo fulani lililotukia alipokuwa mvulana mdogo. Alipokuwa akirudi nyumbani na baba yake baada ya kuhubiri, walifika mahali penye kijito. Kijito hicho kilikuwa kimefurika baada ya mvua kubwa kunyesha asubuhi. Ili kuvuka kijito hicho walihitaji kuruka kutoka jiwe moja kubwa hadi lingine. Akiwa mbele ya baba yake, mvulana huyo mdogo aliteleza na kutumbukia mara mbili ndani ya maji. Alishukuru sana wakati baba yake alipomshika kwa nguvu begani na kumwokoa asizame! Baba yetu wa mbinguni anatuokoa kutoka katika ulimwengu huu mwovu ulio kama mafuriko yenye nguvu na kutoka kwa mtawala wake, Shetani. Kwa kweli, Mungu ni Mlinzi bora zaidi unayeweza kupata.—Mathayo. 6:13; 1 Yohana 5:19.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Monday, May 15, 2017

YESU ALISEMA KUWA YEYE NI MUNGU

Image may contain: text

Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO ni Mungu.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.
NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).
Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE, MAMA WA ISA WA QURAN NA YESU WA BIBLIA NI YULE YULE?

Image may contain: text
Biblia inatufundisha hivi.
Yohana 19:25, Na penye Msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama, Mamaye, na umbu la mamaye Mariamu wa Klopa na Mariamu Magdalena.
Ili kutambua tofauti baina ya Mariamu mama wa Isa na mama wa Yesu, lazima tulinganishe ujumbe wa Qurani na Biblia. Qurani inasimulia kuhusu baba na kaka wa Mariamu mama wa Isa hivi.
Quran 66:12,
Na Maryamu mtoto wa Imrani aliyejihifadhi nafsi yake na tukampuliza humo roho yetu, (inayotokana na sisi) na akayasadikisha maneno ya mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyeke.
Quran 19:28,
Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya. Wala mama yako hakuwa hasharati.
Hapa tunaona kuwa Maryamu mama wa Isa, baba yake ni Imrani na kaka yake aliitwa Haruni.
Tusomapo Biblia inatueleza kuwa Amrani aliwazaa hawa:
Hesabu 26:59,
Na jina la mke wa Amramu aliitwa Yokebedi binti wa Lawi, ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amram Haruni, na Musa, na Miriamu umbu lao.
Pia soma 1Nyakati 6:1-3 na Kutoka 6:20.
Huyo Amrani aliishi miaka mingi kabla ya Yesu, tena ametokana na kizazi cha Lawi mtoto wa watu wa mzee Yakobo.
Mwanzo 29:34; Kutoka 2:1-10
Ukweli huu hapa,
Ikiwa Mariamu wa Qurani na waislamu baba yake ni Imrani basi atakuwa ameishi miaka 1 500 kabla mama yake Yesu hajazaliwa!
Je, Mariamu mama wa Yesu ametokana na kizazi gani?
Tunaposoma Biblia tunaona kwamba Yesu anaitwa mwana wa Daudi, Mathayo 1:1; Marko 10:47 na Luka 1:27,32, ndiyo maana pia Yesu anaitwa Simba wa Yuda Ufunuo 5:5. Hivyo basi ukoo aliyetoka Yusufu na Mariamu wa Yesu ni mmoja.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

This 10 years old Christian girl named Jennifer Joseph was raped, tortured and killed by Muslim men in Pakistan

Image may contain: 2 people
This 10 years old Christian girl named Jennifer Joseph was raped, tortured and killed by Muslim men in Pakistan. Muslims of Pakistan consider raping Christian girls as a sign of victory. If we look at the previous records, then we can say that the rapists won't be punished because the victim is a Christian girl. But if there is an international pressure, then corrupt police of Pakistan files a case against unknown people, just to show that they are doing something but the truth is, these unknown people are never arrested.

Muslim Father Rapes His Daughter As Punishment Because She Had Become ‘Too Westernised’




From the Daily Mail:
A Muslim man in Norway has been detained for raping his daughter as a punishment after she became ‘too Western’.
The man, in his 40s has been charged with rape and incest after he attacked his daughter in their family home in the city of Fredrikstad.
Police prosecutors have said the daughter told officers she was raped by her father as a punishment for living a Western lifestyle.
Both the father and daughter are of a non-European background.
Police lawyer Anette Sogn told Fredrikstad24: ‘They had been arguing prior to the rape.
‘The father has been angry because his daughter did not follow his (Islamic) way of life, she explained in questioning.’
Following the attack, the daughter, who is in her 20s, ran out of the house and told a passing postman what had happened, who then went to the police.
The father claims that he is shocked by the charges and does not understand the DNA results. In other words, he

http://www.jewsnews.co.il/2017/02/25/muslim-father-rapes-his-daughter-as-punishment-because-she-had-become-too-westernised.html

Karatu car crash survivors arrive in the US for treatment

The plane carrying the three children and their

The medical centre in the US that will be treating three children who survived the Karatu car crash on May 6, has promised to give quality care. The tree children are airlifted to the USA. 

Sunday, May 14, 2017

OH, BOO HOO…UK Muslim horrified that he was served pork in his chili fries at a pub


A MUSLIM diner, Naz Ali, says he felt “degraded” and “humiliated” after he was unknowingly served pulled pork on his side of chilli fries by staff at a Farmer John’s pub in Sutton Coldfield. Ali never told the waitress that he couldn’t eat pork.

The Sun  Speaking with the Birmingham Mail, the 39-year-old truck driver admits he never asked staff what kind of meat was used in the dish and assumed it was chicken. 

Mr Ali, who ordered a beef burger along with the side of fries, said he ate about a quarter of the dish before checking with the waitress. He says when he complained staff apologized and gave the children in his party free desserts. The pub’s management claim they also waived the entire bill after Mr Ali complained.

Ali claims he asked the waitress what kind of meat was in the fries only AFTER he had begun eating them. Says Ali, “when she came back and told me it was pork, I had food in my mouth and I spat it out and went to the toilet, where I was sick. I felt degraded.” 

“For religious purposes I don’t eat pork and restaurants should be aware of what people of different religions can and can’t eat. It was a shambles.” A spokesman for Marston’s Brewery, who owns the pub, said: “We are sorry for Mr Ali’s experience, we have apologised and all costs for his table were waived on the day.”

Pulled pork cheesy fries are a pub favorite in the UK:

Geert Wilders supporters said it best:

This is England, not Pakistan !

Go back to the sh*thole you came from and eat your dirty halal. We’ve had enough of your whining.

ISRAELI PM Benjamin Netanyahu tosses new Hamas policy paper into the garbage


Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu on Sunday symbolically tossed into a trash bin a Hamas policy paper published last week that set out an apparent but false softening of the Muslim terrorist group’s stance towards Israel.

In a document issued last Monday, Hamas said it was dropping its longstanding call for Israel’s destruction, but said it still rejected the Jewish state’s right to exist and continued to back “armed struggle” against it. The Israeli government says the document aims to deceive the world that Hamas has become more moderate.

Jesus is God and gives eternal life

 

TRENDING NOW