![Image may contain: meme and text](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/v/t31.0-8/18489781_788643674618570_6698615570097378693_o.jpg?oh=2169557c9af237e32163b6ffa535f079&oe=59C105AE)
Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yohana 20:29).
Je wewe unayo soma hapa unasadiki kama Thomaso?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
No comments:
Post a Comment