Friday, June 9, 2017

VUNJA VUNJA MIKATABA YA KISHETANI MAISHANI MWAKO

Image may contain: text
Kutoka 23:32 ''Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.''
Agano ni kitu kikubwa sana, Agana la kipepo ni mapatano ya kishetani, ni mikataba ya kishetani na MUNGU hataki tuingie agano lolote na shetani wala mawakala wake.
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaidia familia yako.
Biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa Roho. Watu hawa wamefungwa kwenye magereza na Ibilisi.
Isaya 57:8 '' Na nyuma ya milango na miimo umeweka kumbukumbu lako; kwa maana umejifunua nafsi yako kwa ajili ya mwingine, si kwa ajili yangu, ukakwea juu; umekipanua kitanda chako, nawe umefanya maagano na hao; ulikipenda kitanda chao hapo ulipokiona. ''
-Maagano mabaya ni jambo baya sana ndugu. kama zamani uliwahi kuingia maagano ya kishetani basi kimbilia kanisani ukaombewe maana maagano ni mkataba na ukiingia mkataba na shetani mwishowe anaweza kukuangamiza tu na uzima wa milele ukaukosa.
Tutambue ya kuwa Yesu aliposema amekuja kutuokoa hii inamaanisha kwamba kuna mahali ambako tusingeweza kujikwamua wenyewe bila nguvu yake yeye mwenywe kuingia kati yetu.
Aliyahidhirisha haya kwenye kitabu cha nabii Isaya 61:1-2 Roho ya Bwana Mungu i juu yangu kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema, amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao”.
Vunja uhusiano wako na hiyo miungu pamoja na kazi zake na agano lililofanyika kati ya familia au ukoo wako na hiyo miungu. Kila unapotamka mwisho wake sema kwa sababu nimesamehewa. Ipo mistari mingi ya kuvunja maagano lakini mimi nitakupa kifungu hiki cha mstari katika kuvunja maagano na mapoozo ya aina yoyote. “Tena itakuwa katika siku hiyo mzigo wake utaondoka begani mwako na nira yake shingoni mwako, nayo nira itaharibiwa kwa sababu ya kutiwa mafuta” Isaya 10:27
Kifungu kingine ambacho waweza tumia ni kwa kutaja maneno haya wakati wa kuvunja vifungo ama laana “Bwana Yesu, nasimama mbele zako na katika ulimwengu wa roho, kujiachanisha nafsi yangu (Taja jina lako) na vifungo vya kuzimu kwa upande wa baba yangu na mama yangu kwa sababu nimesamehewa.” Endelea vivyo hivyo kwa kutaja, roho na mwili kwa kutumia maneno hayo hayo uponyaji hufanyika katika nafsi, mwili na roho.
Mtegemee Roho Mtakatifu kwa maana atakufundisha mengi ikiwemo kuomba na maagizo ya Yesu. Na kwa kufuata maagizo ya Yesu na kuenenda kwa roho hivyo vifungo vya nafsi vitakwisha. Soma Wagalatia 5:16-25, Luka 22:40-46. Kudumu katika maombi, kuenenda kiroho na kuepuka uovu ni muhimu kwa sababu kwa kufuata misingi hiyo ndipo unafunguliwa vifungo kwa kuombewa ama kwa nguvu inayotenda kazi ndani yako kupitioa roho mtakatifu. Lakini pia ni muhimu kujua ya kwamba sala ya toba pekee haitoshi kumfungua mtu kama ana vifungo na sio imani tu bali na juhudi binafsi ya mtu itasaidia katika kumuweka huru. Wapo watu wanaotaka kupokea miujiza bila ya kuwa na mabadiliko yoyote, ama bila kusoma neno la Mungu na kukua kiroho ama bila kuomba. Wao husubiria siku za maombi, ama mikesha ama makongamano ya maombi ili waombewe kisha baada ya hapo hawajishughulishi katika kukua kiimani.
Kuwa hodari katika Bwana ili upate ulinzi wa Mungu. Waefeso 6:10-11 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu mpate kuweza kuzipinga hila za shetani”
Maana ya kuwa hodari katika Bwana ni kukaa kwenye maombi, kusoma na kulishika neno lake liwe ndani yako, na kutaka kumjua yeye zaidi. Sikuzote Sali kwa bidii katika kupambana na muovu shetani ndo mana tunaambiwa vaeni silaha zote za Mungu ili kuweza kupingana na hila za muovu shetani.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

MPIGENI IBILISI NAE ATAWAKIMBIA

Image may contain: one or more people, people sitting and text
Ufunuo wa Yohana 20:1-3
“1 kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na shetani, akamfunga miaka elfu. 3 Akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache.”
“Yule nyoka wa zamani, yeye anayeitwa Ibilisi na Shetani, anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa.”—Ufunuo 12:9.
Shetani ni kiumbe halisi. Yeye ni malaika mwasi, kiumbe wa roho anayempinga Mungu. Biblia inamwita Shetani “mtawala wa ulimwengu huu.” (Yohana 12:31) Yeye hutumia “ishara za uwongo” na “udanganyifu” kutimiza makusudi yake.—2 Wathesalonike 2:9, 10.
Shetani anaishi wapi?
“Ole wa dunia . . . kwa sababu Ibilisi ameshuka kwenu.”—Ufunuo 12:12.
Je, hilo linamaanisha kwamba Shetani anakaa mahali fulani hususa duniani?
Kwa mfano, huenda umesoma kuhusu jiji la kale la Pergamamu ambalo lilisemekana kuwa mahali “anapokaa Shetani.” (Ufunuo 2:13) Kwa kweli, maneno hayo yalimaanisha kwamba ibada ya kishetani ilikuwa imekita mizizi mahali hapo. Shetani haishi mahali fulani hususa duniani, labda Makka. Kinyume cha hilo, Biblia inasema kwamba “falme zote za dunia inayokaliwa” ni mali yake.—Luka 4:5, 6.
BIBLIA INASEMA NINI?
Wanadamu wengi wamejiacha washindwe na uvutano wenye kupotosha wa Shetani na kwa hiyo wako chini ya nguvu zake. (2 Wakorintho 11:14) Jambo hilo linatusaidia kuelewa ni kwa nini wanadamu wameshindwa kuboresha hali ulimwenguni.
Biblia pia inataja visa ambapo Shetani na malaika wengine waasi wamewafanya watu kuwa chini ya uvutano wao na kuwadhuru kimwili.—Mathayo 12:22; 17:15-18; Marko 5:2-5.
UNAWEZA KUFANYA NINI?
Hupaswi kuogopa nguvu za Shetani. Ili uepuke kushindwa na uvutano wake, unahitaji kujua jinsi anavyowadanganya watu, ili ‘usikose kuzijua mbinu zake.’ (2 Wakorintho 2:11) Kwa kusoma Biblia, unaweza kupata ujuzi muhimu kuhusu mbinu za Shetani na hivyo uepuke kunaswa naye.
Tupilia mbali vitu vyovyote vinavyohusiana na utendaji wa roho waovu. (Matendo 19:19) Vitu hivyo vinatia ndani hirizi, vitabu, video, muziki, na programu za kompyuta ambazo zinaendeleza zoea la kuwasiliana na pepo au uaguzi.
“Mpingeni Ibilisi,” Biblia inasema, “naye atawakimbia ninyi.” (Yakobo 4:7) Ukitii shauri lenye hekima la Biblia, unaweza kujilinda dhidi ya hila za Shetani.—Waefeso 6:11-18.
MPIGENI IBILI KWA JINA LA YESU, NAE ATAWAKIMBIA.
Unao ushindi katika Yesu Kristo,Bwana wetu na Mungu wetu Mkuu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU NI NOUMAA! ALIVUNJA LAWS & PRINCIPLES ZA WANASAYANSI

No automatic alt text available.
(1) PHYSICS-LAW OF FLOTATION - Kwa kutembea juu ya maji, Matthayo 14:22-33
(2) GRAVITATION - Kwa kupaa mbinguni, Matendo 1:9-12
(3) CHEMISTRY - Kwa kubadilisha maji kuwa divai. Yohana 2:1-11
(4) ECONOMICS - Kwa kulisha maelfu ya watu kwa mikate 5 na samaki 2.Matthayo 14:13-21
(5) BIOLOGY - Alizaliwa bila mwanaume. (Matthayo 1:18-25)
(6) MICHEZO NA TUZO - Wakwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza. Matthayo 20:16
(7) MATHEMATICS NDIO KAFUNIKA - Mke+mme= mwili mmoja Ecclesiastes 4:9-12
(8) TIBA - Alitumia tope kumponya kipofu. Yohana 9:1-12.
(9) MAGICS - Alimfufua Lazaro!! DAH KWELI HAKUNA WA ZAIDI YA YESU!!! Yohana 11:38-44
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KWANINI MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI?

Image may contain: 4 people
Ndugu msomaji,
Je Muhammad hakunywa pombe au Quran imekataza pombe hilo ndo swali la kujiuliza. Ukipitia aya za Quran na hadithi za Muhammad utakuta Muhammad alikunywa pombe na pia Quran inaunga mkono na kuruhusu jambo hilo. Bila shaka kuna baadhi ya watu watapinga na kutoa maneno ya kashfa pamoja na matusi lakin lazima ukweli uwekwe wazi. Ingawa baadhi ya madhehebu ya kikristo yanaruhusu pombe lakini leo tutaangalia kuhusu ndugu zetu waislam ambao mda mwingi wanawalahumu Wakristo eti wanaruhusu pombe.
Kabla ya yote ebu tutazame aya zinazokataza pombe katika Quran
Quran 2:219. Wanakuuliza juu ya ULEVI na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa namanufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Nawanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri.
Hilo neno dhambi katika baadhi ya tafasiri za kiingereza limetumika Harm kama ifuatavyo na katika tafasiri ya kiarabu hamna neno dhambi ktk aya hiyo …….
Qur’an 2:219 ''They ask you concerning alcoholic drinks and Games of Chance, Say: In them are harm and goods for men, but their harm exceeds their good effects.'
[219] They ask you about drinking and gambling. Say, "There is great harm in both, though there is some benefit also for the people. But the harm of the sin thereof is far greater than their benefit . by Sayyid Abul Ala Maududi - Tafhim al-Qur'an - The Meaning of the Qur'an
Kwahiyo katika aya hii hakuna amri ya kukataza pombe moja kwa moja, huko mbele tutaona zaidi, ingawa hiyo aya ilikuwepa waislam na Muhammad bado waliendelae kunywa pombe.
Quran 4 :43. Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali MMELEWA,………
Hii aya haikatazi pombe bali inatoa ushauri juu ya waislam ambao walikuwa wana Sali huku wamelewa.
Qur’an 5: 90. Enyi mlio amini! Bila ya shaka ULEVI, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa
Aya zinazoruhusu pombe ktk Quran
Quran 16: 67. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ULEVI na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili
Quran 47:15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ULEVI yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Je hadithi za mtume Muhammad zinasemaje kuhusu pombe?
Hadithi au Sunnah ni maneno na vitendo ambavyo Mtume Muhammad alikuwa akisema au akifanya katika kipindi chake cha utume. Hadithi hizi ni moja ya miongozo ya imani kwa Waislamu. Hadithi hizi zinajumuisha pia mambo aliyoyaona, kuyasikia au kuyatenda katika muda wa utume. Na hadithi zilikamilika chini ya usimamizi wa Makhalifa wa Abbasid miaka 200 baada ya muhamad kufa.
Muhammad atumia mvinyo
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA"
Biblia ishaonya vileo kabla ya Muhammad, na Muhammad anadai anasadikisha ya manabii waliopita, swali halishindwa kusadikisha ayah ii ifuatayo mpaka akanywa mvinyo mkali? Tazama…
Isaya 5:22 Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu kuchanganya vileo;
Muslim-3721 Mtume wa Allah alikuwa anatumia chombo(bakuri) cha jiwe kunywea mvinyo.
Mithali 23:31,32 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu.Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.
(Muslim-AlHayd-451). Aisha alikuwa anammiminia mvinyo mtume wa Allah asubuhi na usiku na pia alikuwa anampelekea ndani ya msikiti.
Malaika nao wanakunywa mvinyo?
Kuna madai katika Uislam ya malaika walikuwa wanamuuliza mwanamke maswali lakini Yule mwanamke hakuwajibu maswali yao mpaka wanywe pombe, nao wakanywa pombe wakalewa na kuua mtoto. (Musnad Ahmad- Musnad almukathareen-5902)
Watu wa karibu wa muhamad wanywa pombe
Hamza alikunywa mpaka muhamad akaogopa maana alilewa mpaka akawa km mwendawazimu. (Bukhari-V,4-B,53-324)
Anas Bin Malek alikuwa akitumika kuwahudumia watu mvinyo (Muslim: 23.4884, 4886)
Mujahedeen walikunywa pombe na kulewa katika vita vya Uhud. (Bukhari-V4, B52, Nr 70)
Makhalifa (warithi) wa Muhammad wanywa pombe (the protectors of Islam)
Yazid I (680-683): alikuwa mtoto wa Muawiyah. Alilewa kila siku mpaka akapata jina la Yazid al-Khumur, Yazid mlevi.
Abd al-Malik (685-705): Alikuwa anakunywa pombe mara moja kwa mwezi; alikuwa anakunywa sana sana mpaka inambidi atumie dawa za kuzuia kutapika ili aendelee kuitunza pombe yake aliokunywa.
Al-Walid I (705-715): Alikunywa na kulewa kila siku.
Hisham ((724-743): Alikunywa mvinyo kila ijumaa baada ya swala..
Al-Walid II (743-744): Mtoto wa Yazid ’. Aliogelea kabisa katika ziwa la pombe mpaka akashindwa kujitambua kabisa mpaka alikuwa akirusha vipande vya Quran kwa kutumia upinde na mshale.
Pia Khalifa wa Abbasid al-Mamun aliyetawala mwaka 813-833 baada ya muhamad alikuwa mlevi wa mvinyo kila siku. (Hitti, p.306). Na Makhalifa wa Abbasid ndo waliokusanya hadithi nyingi za muhamad, na pamoja na hadithi mashuuri sana ya sahih Bukhar ilikamilika mwaka wa 830-840, miaka 200 baada ya Muhammad. Na pia ndio dola ya kwanza ya kiislam (makhalifa) baada ya Rashidun na Ummayed kaliphate kupiga marufuku pombe. Kwaiyo kuanzia Muhammad mpaka ukhalifa wa Abbasid bado waislam walikuwa wanakunywa pombe.
Rejea: ( Mishkah, vol. ii, pp.172-3;; Sahih Bukhari, ibn Hanbal, Musnad (Cairo, 1313), vol.i, pp. 240,287, 320 vol. vi, p.232 (History of the Arabs; Philip K. Hitti, ch. xxvi, p.337)
HITIMISHO
Tumeona jinsi Quran inavyojipinga yenyewe kuhusu pombe, mara inakataza mara inaruhusu, pamoja na kutoa ahadi za ulevi kwa watakao fika katika pepo ya Allah. Kwaiyo Quran haina jibu la moja kwa moja juu ya pombe. Pia tumeona jinsi mtume wa allah Muhammad alivyokunywa pombe pamoja na wafuasi wake.
Zaidi ya hapo, tumeona jinsi malaika wa Allah walivyo kunywa pombe. Na pia tumeona waislam waliendelea kunywa pombe baada ya Muhammad mpaka ilivyokatazwa na makhalifa wa Abbasid miaka 200 baada ya Muhammad. Kwaiyo nawaonya waislam wote kabla hamjawakosoa Wakristo kwa jambo lolote mvichunguze vitabu vyenu kwanza.
Maana huko vitabuni mwenu kuna viroja vya kutosha ambavyo mamuma wa kiislam hawavijui. Neno la Bwana linasema katika Mika 2:11 Mtu akienda kwa roho ya uongo, akinena maneno ya uongo, akisema, Nitakutabiria habari ya mvinyo na kileo; mtu huyu atakuwa nabii wao watu hawa.
Ndugu zanguni, huwa nashindwa kuelewa nini hasa ni tatizo la Allah??!! Hivi huyu Allah huwa ni Mungu au ni nani hasa? MBONA ANA KIGEUGEU Hivi?
QURAN SUURAT AN NAH'L (16:116).
Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa. ALLAH KASEMA UKISEMA HIKI SI HALAL(HARAM) Kumbe huko ni kumzulia Mwenyezi Mungu UONGO.
HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa unywaji Pombe ni Halal.
Bwana Yesu anasema Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.(Marko 1:15) na Mtume Petro anakazia hapo kwa kusema Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Matendo ya Mitume 2:38
Karibuni Kwa Yesu waislam
Bwana Yesu apewe sifa

JE! BIBLIA NI MANENO YA MUNGU?

Image may contain: one or more people
Hili ni swali ambalo huulizwa sana na marafiki zangu waislamu, wakitaka waoneshwe neno BIBLIA kwenye maandiko yaliyomo ndani ya BIBLIA, maana wamesoma Biblia ya Kiswahili, hawajaliona ndani, wakasoma Bible napo neno BIBLIA hawakuliona, kwa hivyo mashaka yakawaingia, wakaona BIBLIA ni Title tu ya nje ndani haimo.
roho hiyo ikawavaa Jamaa zangu wa Siloamu, bila kufanya utafiti wa kina wakakurupuka na kuchana ganda la juu lililoandikwa 'BIBLIA' Walileta madai hayo hayo ya Waislamu kwamba ndani ya maandiko neno BIBLIA hakuna.
Leo imempendeza Mungu niwaletee somo hili ili kuwafumbua macho watu wasiojua waweze kuelewa kuwa BIBLIA ni maneno hakika ya Mungu muumba wa mbingu na aridhi.
NENO BIBLIA: siyo neno la lugha ya kiswahili wala kingereza, ndiyo maana wanaosoma BIBLIA ya kiswahili, na BIBLE ya kingereza neno hilo hawalikuti ndani ya maandiko, kwa kuwa ni neno la lugha ya kiyunani Greak language...
Kama Waislamu na Wafuasi wa Siloamu wangesoma Biblia ya lugha ya kiyunani basi wasingepata tabu wala swali hilo wasingeuliza tena, maana humo limo kwani NENO BIBLIA kwa kiswahili ni mkusanyiko wa Vitabu, in English books.
Daniel 9: 2 In the first year of his reign I Daniel understood by books the number of the years, whereof the word of the LORD came to Jeremiah the prophet, that he would accomplish seventy years in the desolations of Jerusalem.
Hapo Daniel alisoma vitabu vya Mungu na kujua mwaka ambao neno la MUngu lilimjia Yeremia. hapo kumetajwa books (Vitabu vya MUNGU)
Ukisoma kwenye kiyunani unakutana na BIBLIA (βιβλία) kama kuna mwenye kujua kiyunani asome hapa.
Daniel 9: 2 κατά τον πρώτο χρόνο τής βασιλείας του, εγώ ο Δανιήλ εννόησα μέσα στα βιβλία τον αριθμό των χρόνων, για τους οποίους έγινε ο λόγος τού Κυρίου στον προφήτη Ιερεμία, ότι θα συμπληρώνονταν 70 χρόνια στις ε
Humo ukiingia neno BIBLIA unalikuta, kwa sababu wao wayunani Vitabu, wanaviita βιβλία, (BIBLIA)
Na kitabu kimoja wanakiita Biblos (βιβλιου)
Ukisoma kitabu cha ufunuo 22:18-19 Utakutana na onyo kwa watu wasiongoze wala kupunguza maneno yaliyomo kwenye kitabu hicho cha unabii, kwani atakaeongeza ataongezewa mapigo yaliyoandikwa kwenye kitabu hicho..... sasa hapo kwenye kiswahili kuna kitabu, kwenye Biblia ya Kiyunani utakuta neno BIBLOS.
Ufunuo 22: 18 συμμαρτυρουμαι γαρ παντι ακουοντι τους λογους της προφητειας του βιβλιου τουτου εαν τις επιτιθη προς ταυτα επιθησει ο θεος επ αυτον τας πληγας τας γεγραμμενας εν βιβλιω τουτω
19 και εαν τις αφαιρη απο των λογων βιβλου της προφητειας ταυτης αφαιρησει ο θεος το μερος αυτου απο βιβλου της ζωης και εκ της πολεως της αγιας και των γεγραμμενων εν βιβλιω τουτω.
Kingereza utakuta Book, swahili Kitabu, kwa kiyunani βιβλου, sasa ngoja tuiangazie BIBLE.
Revelation 22:18 For I testify unto every man that heareth the words of the prophecy of this book, If any man shall add unto these things, God shall add unto him the plagues that are written in this book:
19 And if any man shall take away from the words of the book of this prophecy, God shall take away his part out of the book of life, and out of the holy city, and from the things which are written in this book.
Tena hata vitabu vya Mungu ambavyo vinaandika matendo yote ya wanadamu ambayo siku ya mwisho Mungu atawahukumu kwayo wanadamu, Kiyunani ni BIBLIA, kingereza books.
Revelation 20:12 And I saw the dead, small and great, stand before God; and the books were opened: and another book was opened, which is the book of life: and the dead were judged out of those things which were written in the books, according to their works
KIYUNANI:-
Ufunuo 20:12 και ειδον τους νεκρους μικρους και μεγαλους εστωτας ενωπιον του θεου και βιβλια ηνεωχθησαν και βιβλιον αλλο ηνεωχθη ο εστιν της ζωης και εκριθησαν οι νεκροι εκ των γεγραμμενων εν τοις βιβλιοις κατα τα εργα αυτων.
Pia vitabu ambavyo viliandika habari za Yesu (INJILI)
Mathayo
Marko
Luka
Yohana.
Navyo pia Kiyunani vinaitwa BIBLIA.... Maana kiswahili ukisoma Yohana 21:25 inasema.
"Kuna mambo mengine mengi aliyoyafanya Yesu kama yangeandikwa moja moja, basi yasingetosha kwa vile Vitabu ambavyo vingeandikwa"
KIYUNANI INASOMEKA HIVI.
Yohana 21:25 εστιν δε και αλλα πολλα οσα εποιησεν ο ιησους ατινα εαν γραφηται καθ εν ουδε αυτον οιμαι τον κοσμον χωρησαι τα γραφομενα βιβλια αμην
Hapo mwishoni kuna maneno
βιβλια αμην (Biblia ingeandikwa, Kama mtu anahitaji kulipata neno BIBLIA, WINGI WA VITABU. basi azame ndani ya BIBLIA ya Kiyunani, kwenye hii ya KISWAHILI utakutana na neno VITABU, ambalo ukilihamishia kwenye KIYUNANI, unakutana na hilo neno BIBLIA (MKUSANYIKO WA VITABU) kwa lugha nyepesi, Wingi wa VITABU.
BIBLIA KATIKA AGANO LA KALE ILIANDIKWA KIEBRANIA, NA AGANO JIPYA ILIANDIKWA KIYUNANI.... pengine unaweza kujiuliza ni kwa nini iandikwe katika lugha ya Kiyunani wakati Yesu yeye alikuwa anaongea Kiaramu? (Aramic)?
Ni kwa sababu Kiyunani ilikuwa ni lugha kubwa na yenye kuongelewa sana, kama ilivyo LEO kwa Lugha ya kingereza, (international language)na hata Wayahudi kwa kipindi fulani walikuwa chini ya Utawala wa Kigiriki, kabla ya Warumi kuitawala Israeli.
Kwa hivyo mtu awaye yote asiulize neno BIBLIA kwenye Biblia iliyoandikwa katika lugha ya kiswahili au kingereza, bali atafute GREAK BIBLE, ataona kwa wingi.. kwani kuuliza kwenyE BIBLIA ya kiswahili ni sawa na kumuuliza mwarabu asiyejua kiswahili unamjua Mungu? atabaki anakushangaa maana ni neno geni, ukimtaja Ilahi au Allah hapo mtakuwa mmeelewana.
By ABEL SULEIMAN SHILIWA
WHATSAPP 0753229221
email Abelshiriwa@gmail.com.

ALLAH HAJUI SAYANSI YA DARASA LA TANO

Image may contain: 3 people, text
Ili kumpima Allah kama kweli aliumba kila kitu, leo tutamia Sayansi na tuone kama atapasi "Litmus Test". Maana ni rahisi sana kujua kama Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu au ulitengenezwa tu na Muhammad.
SOMA:
Surat Al Kahf 18:86 inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi ya maji yenye tope. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa kwenye surat Al Kahf ni maji gani? Unadhani ni Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?http://www.quranitukufu.net/018.html
SASA MUHAMMAD NA YEYE ANASEMA KUWA JUA LINAZAMA KWENYE CHEMCHEM YA MATOPE.
Dhu al-Qarnaiyn [Zul Qarnain] "alishuhudia kuzama kwa jua kwenye sehemu yake ya kupumzikia kwenye bwawa lenye ute mweusi na wenye harufu mbaya sana." al-Tabari juzuu ya 5 uk.173-174 (Tazama Sura 18:82-97).
Katika Al Tabari hapo juu tumesoma kuwa jua hupumzika kwenye bwawa lenye ute mweusi. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa na Muhamamd kwenye hadith hii ni maji gani? Unadhani ni Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?
MUHAMMAD ANASEMA KUWA ETI JUA LINAPOROMOKA TOKA KITI CHA ENZI MPAKA KWENYE BAHARI.
" [Muhammad] Aliendelea. Wakati jua linachomoza, linainuka juu ya kibandawazi (kinachokokotwa na farasi) toka kwenye moja ya chemchemi hizo likiwa pamoja na malaika 360 …. Wakati Mungu anataka kuvijaribu jua na mwezi, ili kuwaonyesha watumishi wake ishara na kwa njia hiyo kuwataka waache kutokumtii Yeye na kuanza kutii, jua huporomoka ghafla toka kwenye kibandawazi na kuanguka kwenye kina cha bahari, ambacho ni cha mduara.
Wakati Mungu anataka kuongeza umuhimu wa ishara kuwatisha zaidi watumishi wake, jua lote hunguka, na hapawi na sehemu yake yoyote inayobaki kwenye kibandawazi. Huko ndiko kupatwa kukamilifu kwa jua, wakati ambapo mchana hujiwa na giza na nyota hutokeza." al-Tabari juzuu ya1 uk.236.
Tunaendela na kumuumbua Allah na Muhammad: Kwenye hadith hapo juu, Muhammad anasema kuwa Jua linakokotwa na Farasi. (i) Jua lina kipenyo cha (radius of the sun is) 432,450 miles (696,000 kilometers) na ukubwa wa 1.4 x 1027 cubic meters. Ikimaanisha kuwa ni sawa na dunia milioni moja na nukta tatu (About 1.3 million Earths could fit inside the sun.). Uzito wa jua ni sawa 1.989 x 10 kipeo cha 30. [Nisawa na uzito wa dunia mara 333,000]
(ii)Lakini Allah anadai eti hilo Jua lenye huo uzito na huo ukubwa linabebwa na farasi. Zaidi ya hapo, joto la jua peke yake litawaunguza hao Farasi na kuwa masizi.
(iii) Allah anaendelea kudai kuwa Jua hilo lina anguka kwenye kina cha Bahari. Hivi jua lenye ukubwa mara milioni moja nukta tatu zaidi ya dunia, linawezaje kuingia kwenye kina cha bahari ambayo ni sehemu tu ya dunia?
Ndugu msomaji, je, wewe bado unaendelea kumfuata huyu Allah amabye hajui hata sayansi ya kawaida tu?
Muislam anasema eti, Allah kaumba kila kitu, huku akishindwa vibaya sana sayansi ya kawaida tu, tena ya darasa la Tano. HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAMU NA MUHAMMAD WAO.
ALLAH HAJUI SAYANSI NA HIVYO BASI HAWEZI KUWA MWENYEZI MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU.
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.

ALLAH HAJUI HISABATI NA AU HESABU

No automatic alt text available.
Jambo ambalo linathibitisha kuwa Allah sio Mwenyezi Mungu, ni makosa makubwa ya kimahesabu katika Quran yake anayo dai kuiteremsha kwa Muhammad kwa usaidizi wa Jibril.
Sheria zake za mirathi zimegawanywa katika sura kadhaa kama Al Bagarah, Al Maidah, na Al Anfah. Lakina kwa undani zaidi zimewekwa katia Surat Al Nisaai.
Surat An Nisaai 11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.
Surat An Nisaai 12. Na fungu lenu ni nusu walicho acha wake zenu ikiwa hawana mtoto. Wakiwa na mtoto basi fungu lenu ni robo ya walicho acha, baada ya wasia waliyo usia au kulipa deni. Na wake zenu watapata robo mlicho kiacha, ikiwa hamna mtoto. Mkiwa mna mtoto basi sehemu yao ni thumni ya mlicho kiacha, baada ya wasia mlio usia au kulipa deni. Na ikiwa mwanamume au mwanamke anaye rithiwa hana mtoto wala wazazi, lakini anaye ndugu mume au ndugu mke, basi kila mmoja katika hawa atapata sudusi. Na wakiwa zaidi kuliko hivyo basi watashirikiana katika thuluthi, baada ya wasia ulio usiwa au kulipa deni, pasio kuleta dhara. Huu ndio wasia ulio toka kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mpole.
Surat An Nisaai 176. Wanakuomba uhukumu, sema: Mwenyezi Mungu anakupeni hukumu juu ya mkiwa. Ikiwa mtu amekufa, naye hana mtoto, lakini anaye ndugu wa kike, basi huyo atapata nusu alicho acha maiti. Na mwanamume atamrithi ndugu wa kike ikiwa hana mwana. Na ikiwa wao ni ndugu wa kike wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho acha maiti. Na wakiwa ndugu wanaume na wanawake, basi mwanamume atapata sehemu iliyo sawa na ya wanawake wawili. Mwenyezi Mungu anakubainishieni ili msipotee; na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.
Ingawa Allah anasema kuwa, ameziweza hizo sheria kiuuwazi na bila ya shaka, lakini unapo zisoma hizo aya, zote zimejaa shaka na kuchakuana.
Quran 4:11 inasema kuwa akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Lakini aya hiyo hiyo inadai kuwa Kaka mtu atapata mara mbili ya mwanake, kimahesabu, Kaka mtu atachukua kila kitu. Huu ni msiba wa kimahesabu kwa Allah.
Zaidi ya hapo, unapowahusisha Wazazi wa kike katika hiyo mirathi, Allah anawaacha solemba, maana mahesabu yanakuwa magumu kwake.
Ndio maana nauliza, hivi, ni nani alimfundisha hesabu na au hisabati Allah?
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.

Wednesday, June 7, 2017

Muslim Persecution of Christians: ‘If You Love Jesus, Then Die Like Jesus!’


by 
Reports of Christian life under the Islamic State (ISIS) continued throughout November. Many of these came from the ancient Christian towns surrounding Mosul, such as Batnaya and Qaraqosh, conquered by ISIS in August, 2014, and liberated in late October, 2016.
One Christian man, Esam, from Qaraqosh, related what ISIS did after his sister’s husband refused to convert to Islam: “He was crucified and tortured in front of his wife and children, who were forced to watch. They [ISIS] told him that if he loved Jesus that much, he would die like Jesus.”  The Islamic militants tortured his brother-in-law from 6 in the evening until 11: “[T]hey cut his stomach open and shot him before leaving him hanging, crucified.”  Two other members of Esam’s family, a Christian couple, were abducted and separated by ISIS. To this day, the husband does not know where his wife is; he only knows that she was turned into a concubine, a sex-slave.
Karlus, a 29-year-old Christian, told how ISIS members broke into his elderly father’s home in Batnaya and began to destroy crosses and tear up a picture of Christ.  When Karlus tried to stop them, he was taken and tortured: they “hung him from the ceiling of the jail he was held in, by a rope attached to his left foot. As blood poured from his foot, they beat and kicked him, rubbing salt into his wounds. He was sexually abused in prison by three women wearing niqabs [black veils]. He was told he would be shot dead,” said the report.  Seven weeks later he was released.
Another handful of Christians told how they “were threatened, forced to spit on a crucifix or convert to Islam,” but they “miraculously survived more than two years under Islamic State group rule.”
Ismail, another young Christian from Qaraqosh told how he was forced at gunpoint to convert to Islam two years ago when he was 14: “They told me to say ‘there’s no God but Allah’ and you’ll become a Muslim. I said, ‘There’s no God but Jesus’ so he slapped me. I was still young.  He slapped me and pointed the gun at my head. He told my mum, ‘If you don’t convert to Islam we will kill your son.’”
Before being driven out of these now-liberated Christian towns around Mosul, ISIS planted explosive devices in teddy bears and toys that would be detonated when children picked them up, “killing unsuspecting families.”
Those who survived ISIS, accused former U.S. President Barack Hussein Obama of doing nothing when Iraq’s largest Christian city, Qaraqosh, fell to the Islamic terrorists more than two years ago, when its Christian population was over 50,000.  One man said, “Obama has never helped the Christians. In fact, he despises them. In the last 26 months, he has shown he despises all of them.  But we have hope in the new president, Trump.”  A Catholic priest said: “The US government led by President Obama could have protected us – or at least helped us to protect ourselves.  But unfortunately Obama abandoned us.”  A young girl wearing a cross added: “We hope this new guy called Trump will help us more than Obama did.”
The rest of the month of November’s worldwide Muslim persecution of Christians includes, but is not limited to, the following:
Muslim Attacks on (and because of) Christian Churches
Indonesia: While dressed in a T-shirt with the word “jihad” emblazoned on it, a man named Jo Bin Muhammad firebombed a church in Samarida.  As he walked by the church while in session, he hurled a Molotov cocktail at it, setting the building on fire.  A two-year-old girl died of her burns; three other children were injured.  A church member described the incident: “Suddenly, at about 10:00 in the morning, we heard [an] explosion from outside.  People were running out using the front and back door of the church. Women were crying and terrified. We saw four children were burned—injured badly—while one was only lightly injured.”
Philippines: An improvised bomb was remotely detonated outside a Catholic church in Mindanao as churchgoers were leaving after early morning mass on Sunday, November 27.  Although the bomb was designed for maximum damage, a car parked between the entrance of the church and the bomb deflected much of the explosion. Two people were injured.  According to the local archbishop, the incident is “an attack on freedom of religion and freedom to worship.” He added that the bombing of the Our Lady of Hope Church “at the end of our 5:30 a.m. 1st Sunday of Advent mass is pure terrorism, made worse because of the sacredness of the place, the sacredness of the day, and the sacredness of the event that had just taken place.”
Egypt: Soon after rumors began to circulate that the Christians of Sohag were attempting to build a church, leaflets were distributed calling on local Muslims to attack the “infidels.” Two days later, on November 25, after Muslim prayers, “a great deal of fanatic Muslim young men, some of them were carrying gas canisters and rocks while others came armed with automatic rifles, clubs, machetes and knives, they attacked Copts and Coptic-owned houses,” reported Samir Nashed, a Christian resident.  The Muslims burned and plundered 11 Christian homes, cut off water and power supplies to the village, and blockaded the roads so that fire trucks could not enter and the damage to Christian properties would be complete.  Four Christians were also beaten and injured.
Bangladesh: At least 20 men looted the Catholic church near Dhaka, in the Muslim-majority nation. On Saturday night, November 26, the knife-wielding invaders broke into the enclosure and tied up the guards and pastor, Fr. Vincent Bimal Rozario. “The thieves warned me to remain silent,” he said. “They wanted to kill me with sharp weapons. They asked me where the money and valuables were. I was forced to tell them.”  They then raided the church, seizing a camera, laptop, money dedicated to repairing tombs, and other goods valued at about $1,300.   The church enclosure has been attacked at least two times before, including in 2014 when two Christian nuns were raped and beaten.
A separate report published in November found that Christians and other religious minority groups in Bangladesh have been experiencing persecution “almost daily” at the hands of both professional Islamic terrorist groups and their own Muslim neighbors for the past three years.
Muslim Slaughter of Christians
Nigeria: Muslim herdsmen slaughtered 45 Christians in coordinated attacks targeting five Christian-majority villages.  “Most of the victims in the latest atrocities were women, children and elderly people, who could not escape the gunfire of the attackers.  More than 120 buildings, including eight churches, were also razed to the ground,” the report said.  Separately, a Christian pastor and eight others were killed in a suicide attack that targeted a refugee center. The female suicide attackers were sent by the Islamic group, Boko Haram; they may have been among the many Nigerian girls kidnapped, raped, and indoctrinated into believing that death in jihad is their only salvation.  Aid workers who visited these refugee camps described them: “Life has become hell for the more than 3,000 people living here… Already people are resorting to eating leaves. Children are dying of hunger. If nothing is done for these people, this will lead to a huge tragedy. People cannot go home because Boko Haram is constantly regrouping and continuing attacks.”
France: A masked man carrying a knife and sawed off gun invaded a missionary retirement home in Montpellier that houses 60 retired missionaries, as well as several nuns, and repeatedly stabbed an elderly French woman to death.  “The attack has echoes of the murder of Catholic priest Jacques Hamel, stabbed at the altar of his church in July. However, officials are keeping an open mind about the crime,” noted the report.  An older report from January 2015 describes the region around Montpellier, near where the attack occurred, as “a centre of jihadist recruitment.”
Egypt: After 54-year-old Magdy Makeen, a poor Christian villager who provided for his family by selling fish, accidentally hit a police car with his horse-drawn cart, angry officers arrested and took him to prison, where they tortured and eventually killed him.  As happens whenever authorities kill arrested Christians, they offered the slain man’s family an implausible story concerning how he died, in which police were exonerated of any wrongdoing.  But before authorities could bury the body, family members saw many bruises and other signs of violence on it.
Muslim Attacks on Christian Freedom: No to Apostasy, Blasphemy, and Evangelism
Liberia:  After converting from Islam to Christianity, 17 young people were persecuted by their Muslim families.  “They have been threatened, beaten and ordered to stop attending church and listening to Christian music, and many have fled to nearby villages for safety,” said the report. “The young believers placed their faith in Christ after hearing the Gospel from visiting Christian pastors, who also gave each of them a pocket-sized Bible. Although they were initially afraid to listen to the pastors for fear of persecution, they continued visiting with them and other believers at night. Eventually, the new Christians’ relatives noticed they had stopped attending the mosque and learned of their conversion to Christianity.”
Uganda: After two boys, aged 16 and 17,  converted from Islam to Christianity, their parents declared them apostates deserving of death.  When they ran for their lives, the home of a Christian man who gave them refuge was torched and gutted by Muslims. The man remains in fear for his life; the arsonists left leaflets promising more attacks: “Be informed that we are not yet finished with you. Expect more, worse things are on the way.”  Now he, too, and his family are on the run.
Europe: Christians, especially Muslim converts to Christianity, in refugee camps with Muslims throughout Europe continue to be persecuted.

Eleven Hindu families in remote village accept Christ—then denied access to local water by other villagers

Image result for Eleven Hindu families in remote village accept Christ—then denied access to local water by other villagers
“For the last three or four days I have been calling our Elijah Challenge Pastor Junul Putry to get the latest field reports, but he was out of range. Today I spoke to him and received the following report.
Junul Purty is one of our dedicated pastors, and he works in the very difficult, hardened region where Australian missionary Dr. Graham Staines and his two young sons were martyred in 1999.
This month he went to a remote Hindu village in a jungle area where he preached the gospel and ministered to the sick. Wonderfully, eleven families from a tribe called “HO” accepted the Christ. After a few days the other villagers started persecuting our new believers, not allowing them to withdraw water from the village well or a nearby stream. So our new believers are now suffering because of this. They must walk 3 kilometers to get water, and it is very difficult on them.
So they called Pastor Junul to help out. He went there and spoke with the village chief to help our believers get water for their essential daily needs. Please pray that the Lord will speak to the village chief and provide help to our believers.”
February 10: “Last night I got a phone call from our Elijah Challenge Pastor Junul Purty and received this especially good news. He thanked all of the Elijah Challenge intercessors for praying for the situation over there as our new believers were struggling for water. Dozens of police along with a IIC police officer went to the village yesterday and had a meeting with the people along with the village chief. The police spoke with the chief and warned the villagers that if they make more trouble for the believers, legal action will be taken by the police. And so they opened the way for our new believers to get water from the village well and stream. The new believers are so very glad for this outcome. Praise the Lord for His intervention on their behalf.”

February 4
“I am glad to write you that the Lord is doing great things through our Elijah Challenge Pastors in needy villages. Our brother Kilaka Muthamajhi arranged a small Feeding Event in a place called Sorada located in a remote hilly region. He went there by walking for one hour as there is no access road for vehicles. Sixty to seventy tribal people gathered who did not know anything about our Lord Jesus Christ. He preached the gospel to them. They spoke only their tribal language and do not understand any other language. Almost all of them drink locally-brewed alcohol every evening.
He preached the gospel and then asked people to come forward to experience the healing power of Jesus Christ. Many of them came to the front, raising their hands indicating that they needed healing. Afterwards they accepted Christ. Many testified that the Lord had healed them from various infirmities such as fever, joint pain, eye problems, headaches, and many others.
One interesting testimony involved an elderly woman who upon going outside to the field felt something enter into her lower leg. From that day onwards she would experience pain when walking. But she testified that she felt something come out from her leg when ministered to in Jesus’ name. She was totally well.
By seeing the miraculous healings the villagers accepted Jesus Christ as their personal Saviour. Praise God for this wonderful report from the field.
Our brother Jatin Nayak arranged another Feeding Event in a small village called Gumma, where a group of people called “Dangria Kandha” live. They are illiterate and appear uncivilized. Even their women drink wine and smoke cigarettes made locally. Jatin shared the gospel and told them about heaven and hell. They were amazed and told that they had never heard such things. They also said, “we are poor and illiterate people living in a remote area, so who will come and tell us such things?”
He ministered to many sick people, especially from jaundice. He saw many children also suffering from the same kind of diseases because their drinking water came from a nearby stream. The Lord healed many of them, and they testified that stomach problems, joint pain, hemorrhoids, and throat infection had disappeared in Jesus’ name.
A woman was possessed by a demon for many years. On some days it would torment her. As our evangelist Jatin was ministering to the sick, the demon caused her to scream loudly. But when our brother rebuked the demon and commanded it to leave in Jesus’ name, the demon left her. The villagers were surprised that Jesus Christ had such power. Our brother then asked them who would like to accept the Christ as Lord and Savior. Around ninety people raised their hands to believe in Jesus Christ. Praise the Lord for bringing such precious souls into His kingdom.
Our Elijah Challenge Pastor Philemon informed me last night about a nearby village where around fifteen families live. A woman was sick for a long time, and the family took her to several places for treatment but there was no change even after spending much money and time. She became very sick and was bedridden. Somehow after a few days she came to know about Christian prayer. She demanded that her family bring a pastor who could pray for her. And so our Pastor Philemon was summoned. It was an opportunity for him to share the gospel and minister to them. After the sharing the gospel he ministered to the woman, and the Lord healed her.
Wonderfully, the family accepted the Lord Jesus, and shared their testimony to the other villagers. Then the villagers called our brother back to pray for other sick people. In this way one after another called him to come pray over the sick in Jesus’ name. Praise God, the majority of the villagers accepted Jesus Christ after experiencing miraculous healings from the Lord.
Thank you so much for praying and supporting us to reach Hindus with the gospel. Please continue to pray for the continued spreading of the word of God.”
http://www.theelijahchallenge.org/eleven-families-remote-village-accept-christ-denied-access-water-villagers/

Israel is still occupying Saudi Arabian islands

Image result for Israel owns Arabia islands
It is a fairly well kept secret that Israel has been occupying parts of Saudi Arabia since 1967. Tiran and Sanafir are two islands with a combined area of 113 square kilometres, so they are small, and are in a very strategic location at the mouth of the Gulf of Aqaba, through which sea traffic to Israel’s southern port of Eilat must pass en route to and from the Red Sea. Israel maintains an early warning post on the islands.
Although the Saudi Arabian government might claim that the islands are small, unimportant coral reef islands, their position is such that whoever controls them controls the Gulf of Aqaba. They are as important as the Hanish archipelago at the other end of the Red Sea over which a conflict raged in 1995. International arbitration determined that Hanish belongs to Yemen. The Israeli occupation of Tiran and Sanafir determines that, if nothing else, the Israelis control the islands and don’t really care who they belong to. Saudi Arabia has fought for similar islands but seems to be reluctant to challenge the Israeli occupation. Is it because the islands have no material value?

The islands were occupied by Israel after the late King Faisal had given control of them to Egypt to prevent Israeli ships being able to get to Eilat during the Six-Day War. After the ceasefire, Saudi Arabia and Egypt each claimed that the islands belonged to the other, leaving them free for the Israeli occupation to begin. When Egypt made peace with Israel in 1978, President Anwar Sadat refused to include them in the peace agreement, arguing that they belong to Saudi Arabia. A computer search reveals that even Google labels them as “Saudi Arabia” and maps of the country in governmental offices show clearly that they are Saudi territory, so why the reluctance to challenge Israel, and why is there a media blackout?
It’s quite simple: Israel needs an outlet to the Red Sea for its shipping. The only Israeli presence on the islands is military to ensure that the shipping lanes are kept clear for its imports and exports, including military hardware to fight against Arab states. By international agreement, a multinational UN force is also stationed on the islands which “monitors the compliance of all parties” with this agreement. In reality, this means that American and Egyptian troops help to protect Israel’s shipping lanes through the Straits of Tiran, Saudi Arabia’s occupied sovereign territory. What would the people of Saudi Arabia say if they knew?
Source: MEMO

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW