Thursday, July 27, 2017

YESU KRISTO AMEKUPA UTAJIRI

Image may contain: one or more people


Watu wengu wanafikiri kuwa, Mungu aliwaumba ili wawe watu wa kawaida tu, la hasha, Mungu amekuumba wewe ukiwa Tajiri. Ukisoma kuhusu Adam katika Kitabu cha Mwanzo, utaona kuwa, Mungu alimuumba Adam na Eva baada ya kuumba dunia na kila kitu. Baada ya Adam na Eva kuubwa, walikabidhiwa kila kitu kilichopo hapa duniani.
Huo ni Utajiri mkubwa sana. Soma. Mwanzo 1: 28 Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.” 29 Kisha Mungu akasema, “Tazama, nawapeni kila mmea duniani uzaao mbegu, na kila mti uzaao matunda yenye mbegu; mbegu zao au matunda yao yatakuwa chakula chenu. 30 Nao wanyama wote duniani, ndege wote wa angani, viumbe vyote vitambaavyo, naam, kila kiumbe chenye uhai, chakula chao kitakuwa majani yote ya mimea.” Ikawa hivyo.
UNAONA: Mungu alimpa kila kitu Adam na Mkewe Eva. KUMBE ADAMA NA EVA WALIKUWA MATAJIRI. Je, wewe unasubiri na kungoja nini? Muamuru Shetani akurudishie mali zako zote kwa Jina la Yesu.
Mithali 3:16; (Yesu kristo Mnazareti) ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na Heshima katika mkono wake wa kushoto.
MAANA YA TAJIRI:
Tajiri ni yule mtu mwenye mali nyingi na mwenye moyo wa kusaidia wenye uhitaji na anayefaidi mali zake kwa amani kuu na sio tu kumiliki na kutawala mali nyingi. Huyo ndiye Tajiri katika Bwana anayesomeka pajini mwa uso wake hata pasipo kujua utajiri anaomiliki. Lakini ile kuwa na roho mtakatifu ni utajiri unaothihirika hadi mwilini. Kama ilivyokuwa kwa Mfalme Sulemani (2 Mambo ya Nyakati 1:15) inasema; "Mfalme Sulemani alifanya fedha na dhahabu kuwa kama mawe ule wingi wake huko Yerusalemu na mierezi akafanya kuwa kama mikuyu iliyoko shefela kwa kuwa mingi". Hii yote inatokana na kuwa na Bwana Yesu wa Nazareti ya kwamba ni utajiri utajirishao wengi na sio tu muhusika yaani ni utajiri usio binafsi na ndiyo utajiri wa kweli unaomaanishwa.
Biblia katika Waefeso 3:8-11 pia inasema kwa habari ya Mtume Paulo; “Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nalipewa neema hii ya kuwahubiri Mataifa UTAJIRI WAKE KRISTO USIOPIMIKA; na kuwaangaza watu wote wajue habari za madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba vitu vyote, kusudi, sasa kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi. Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu."
“Na Mungu wangu atawajazeni KILA MNACHOHITAJI KWA KADIRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU, NDANI YA KRISTO YESU" (Wafilipi 4:9)
Biblia inasema Yesu wa Nazareti alifanyika maskini ili atufikie hata tulio maskini tupate kuwa matajiri na kumiliki pamoja nao. Neno kufanyika maskini haina maana alikuwa maskini, Yesu wa Nazareti ni tajiri kule kuja duniani ni kama alikuja katika umaskini kwani utajiri na ufahari wa mbinguni ukilinganisha na dunia, dunia inahesabiwa ni kama maskini, hakuna kitu huku utajiri wa kweli katika vyote u mbinguni na unapatikana tu kupitia Yesu Kristo wa Nazareti.
Biblia katika Yohana 12:6 inasema; Yuda alisema hivyo si kwa kuwa aliwajali sana maskini bali kwa kuwa alikuwa mwizi. Kama mtunza fedha, alikuwa mara kwa mara anaiba kutoka katika fedha alizokabidhiwa. – INA MAANA HUDUMA YA YESU WA NAZARETI WALIKUWA MATAJIRI KIASI AMBACHO HATA YUDA PAMOJA NA KUIBA KWAKE HAWAKUPUNGUKIWA KITU YAANI NI KAMA VILE KUCHOTA MAJI BAHARINI YATAISHAJE?.
Luka 5:29-30; Baadaye Lawi mwana wa Alfayo akafanya karamu kubwa kumkaribisha Yesu wa Nazareti nyumbani kwake. Watoza kodi wengi walikuwa miongoni mwa watu wal ioalikwa, 30 Basi baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria ambao walikuwa kundi moja wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu wa Nazareti wakisema, “Mbona mnakula na kunywa na wenye dhambi?” – LAWI MWENYEWE ALIKUWA TAJIRI LAKINI AKATAJIRISHWA ZAIDI KATIKA KUMTUMIKIA YESU WA NAZARETI.
Matendo 28:30; Kwa muda wa miaka miwili Paulo aliishi katika nyumba ya kupangisha akiwakaribisha wote waliokuja kumwona.- MTUME PAULO ANATHIBITISHA PIA KWAMBA KUMHUBIRI YESU WA NAZARETI NI UTAJIRI KATIKA KILA IDARA.
Marko 10: 23-25; Yesu akatazama pande zote, akawaambia wanafunzi wake, “Itakuwa vigumu sana kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!”. Wanafunzi wake wakashtushwa sana na maneno hayo. Lakini Yesu akasema tena, “Wanangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu. Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”- KAMA WASINGEKUWA MATAJIRI WANAFUNZI WA YESU WASINGESHITUSHWA NA KAULI YAKE HIYO.
Luka 5:3-7; Akaingia katika mashua moja, akamwomba mwenye mashua, ambaye jina lake lilikuwa Simoni, aisogeze zaidi katika maji. Kisha akakaa kwenye mashua akaanza kuwafundisha, alipokwisha zungumza na watu akamwambia Simoni, “Sasa ipe leke mashua hadi mahali penye kina kirefu, kisha mshushe nyavu zenu nanyi mtapata samaki.” Simoni akamjibu, “Bwana, tumekesha usiku kucha tukivua na hatukuambulia kitu cho chote, Lakini, kwa kuwa wewe umesema, tutazishusha nyavu,” Nao walipofanya kama Yesu wa Nazareti alivyowaagiza, nyavu zao zikajaa samaki, zikaanza kuchanika! Wakawaashiria wavuvi wa ile mashua nyingine waje kuwasaidia, Mashua zote mbili zikajaa samaki hata karibu kuzama. WALIPOKUBALI KWA MALI ZAO KUTUMIKA NA YESU WA NAZARETI KWENYE HUDUMA WALIPATA FAIDA ZAIDI NA KUTAJIRIKA ZAIDI.
Mathayo 4: 18-22; Yesu alipokuwa akitembea kando kando ya ziwa la Galilaya aliwaona ndugu wawili, Simoni ambaye aliitwa Petro na Andrea ndugu yake. Walikuwa katika mashua wakitupa nyavu zao baharini kwa maana wao walikuwa wavuvi. Yesu akawaambia,“Nifuateni, nami nitawafanya muwe wavuvi wa watu,” Wakaziacha nyavu zao mara moja, wakamfuata. Alipoendelea mbele kidogo, aliwakuta ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakishona nyavu zao; akawaita, Wakaacha nyavu zao mara moja, wakamfuata. WALIKUWA WANAFANYA KAZI NA WAVUVI HIVYO WALIKUWA MATAJIRI LAKINI WALIONGEZWA ZAIDI WALIPOKUBALI KUMTUMIKIA YESU WA NAZARETI.
Mathayo 8:13-14; Yesu alipoingia nyumbani kwa Petro, alimkuta mama mkwe wake amelala akiwa ana homa. –WANAFUNZI WAKE WALIKUWA MATAJIRI WANAMILIKI NYUMBA NA MALI ZINGINE.
Mathayo 10:8-10; Waponyeni wagonjwa, wafufueni wafu, watakaseni wenye ukoma, wafukuzeni pepo. Mmepokea bure, toeni bure, Msichukue dhahabu, wala fedha wala sarafu za shaba katika mikanda yenu. Msichukue mikoba ya safari, wala koti la pili, wala viatu, wala fimbo: kwa maana mfanyakazi anastahili riziki yake. INA MAANA WANAFUNZI WA YESU WA NAZARETI WALIKUWA MATAJIRI KULE KUWA NAYE, YESU WA NAZARETI HAKUTAKA KATIKA KAZI YAKE WABEBE WALIVYONAVYO KWENDA NAVYO KAZINI BALI KATIKA HUDUMA YAKE RIZIKI ZILIPATIKANA KULE KULE WALIKOKWENDA KUHUDUMIA.
Luka 6:12; Siku moja Yesu alikwenda milimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu. – USIKU KUCHA MASAA KUMI NA MBILI YESU ALIOMBA ILI MUNGU AMUCHAGULIE WANAFUNZI 12 INA MAANA KILA MMOJA ALIMUOMBEA KWA SAA MOJA, AKACHAGUA, YUDA - MHASIBU, PETRO, ANDREA, YAKOBO NA YOHANA WAFANYA BIASHARA YA SAMAKI, Mungu alijua kuna suala la uchumi katika huduma ili iwafikie wengi hivyo alimwekea msingi katika uchaguzi wa wanafunzi ili kuwe na mpango bora kiuchumi pia.
Waebrania 6:1; Basi sasa tutoke katika yale mafundisho ya msingi kuhusu Kristo, tupige hatua kufikia ukamilifu katika kuelewa kwetu. Hatupaswi tena kuwaeleza ninyi yale mafundisho ya msingi kuhusu kutubu na kuacha matendo yaletayo kifo, na kuhusu kumwamini Mungu – INA MAANA UKISHAKUMJUA NA KUFUATA MAFUNDISHO YAKE NA KUMWAMINI KUNA HATUA ZAIDI KUFIKIA UKAMILIFU ILI KUONYESHA TUNAELEWA NI PAMOJA NA KUJUA HAKI ZETU ZILETWAZO NA MAFUNDISHO NA IMANI KATIKA KRISTO AMBAPO NI PAMOJA NA MAFANIKIO NA UTAJIRI AMBAVYO HATA KWA WASIOAMINI VITASHUHUDIA KWAMBA KUNA HABARI NJEMA PIA UTAJIRI NA MAFANIKIO NDANI YA YESU WA NAZARETI.
Marko 10:29; Yesu mwenyewe anathibitisha suala la utajiri ndani yake kwa kusema, "Kweli nawaambieni, hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au mama, au baba, au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, hata hivyo atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele - UTAJIRI, MAFANIKIO NA BARAKA ZINGINE NI GUARANTII 100% UKIWA NA YESU WA NAZARETI.
Yohana 21:3; Simoni Petro aliwaambia,"Nakwenda kuvua samaki" Nao wakamwambia, "Nasi tutafuatana nawe" Basi, wakaenda, wakapanda mashua, lakini usiku huo hawakupata chochote – BAADA YA YESU WA NAZARETI KUFUFUKA WALIPOENDA KUVUA SAMAKI HAWAKUPATA CHOCHOTE (UKAME) JAPOKUWA WALIKUWA NA YESU WA NAZARETI MIAKA MITATU YA HUDUMA, NA HII NI KWA KUWA WALIKAA PASIPO UWEPO WAKE WALA ROHO MTAKATIFU ALIKUWA HAJAACHIWA BADO KWAO MPAKA ILIPOFIKA SIKU YA PENTEKOSTE.
Yohana 21:5-6; Basi, Yesu akawauliza; "Vijana, hamjapata samaki wowote sio?" Wao wakamjibu, "La Hatujapata kitu." 6 Yesu akawaambia, "Tupeni wavu upande wa kulia wa mashua nanyi mtapata samaki" Basi, wakatupa wavu lakini sasa hawakuweza kuuvuta tena kwa wingi wa samaki. – NDIPO WAKAPATA SAMAKI WENGI, UWEPO WA YESU WA NAZARETI KUPITIA ROHO MTAKATIFU KATIKA MAISHA NI BARAKA NA SIO UHABA, HUWEZI KUWA NAYE USIFANIKIWE, USIONGEZWE NA KUTAJIRIKA.
Yohana 1:38-39; Basi, Yesu aligeuka, na alipowaona hao wanafunzi wanamfuata, akawauliza, "Mnatafuta nini?" Nao wakamjibu "Rabi (yaani Mwalimu), unakaa wapi?", Yesu akawaambia, "Njoni, nanyi mtaona" Hao wanafunzi wakamfuata, wakaona mahali alipokuwa anakaa, wakashinda naye siku hiyo.Ilikuwa yapata saa kumi jioni.-YESU WA NAZARETI ALIKUWA NA MAKAO WAKATI AKIFANYA HUDUMA, NYUMBA TENA SIO SEHEMU MOJA NA HATA WANAFUNZI WAKE WALIKUWA NA NYUMBA ZAO NA MATAJIRI.
Luka 8:2-3; Pia wanawake kadhaa ambao Yesu alikuwa amewatoa pepo wabaya na kuwaponya magonjwa, waliandamana naye. Hao ndio akina Maria (aitwaye Magdalene), ambaye alitolewa pepo wabaya saba; Yoana, mke wa Kuza, mfanyakazi mkuu wa Herode; Susana na wengine kadhaa. Hao wanawake walikuwa wakiwatumikia kwa mali zao wenyewe. – HATA WANAWAKE WALIKUWA WAKIWAHUDUMIA KWA MALI ZAO WENYEWE INA MAANA KULIKUWA KUNA UTAJIRI KATIKA KUWA NA YESU WA NAZARETI NA KUMTUMKIA.
Yohana 12:3; Basi, Maria alichukua chupa ya marashi ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marashi.- MARASHI HAYO YALIKUWA NA THAMANI YA DINARI 300 NA DINARI 300 NI KAMA MSHAHARA WA SIKU 300 KWA MTU MMOJA ENZI HIZO KATIKA SERIKALI YA KIRUMI, HIVYO MARASHI YALIKUWA YA THAMANI NA INAONYESHA JINSI YESU WA NAZARETI ALIKUWA WA THAMANI YA JUU AKIISHI KAMA TAJIRI MKUBWA HAPA DUNIANI NA NDIO MAANA HABARI ZAKE ZILIWAFIKIA HATA WAFALME.
Yohana 19:23-24; Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono. Basi, hao askari wakashauriana: "Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani." Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: "Waligawana mavazi yangu, na nguo yangu wakaipigia kura." Basi,ndivyo walivyofanya hao askari. – HATA MAVAZI YA YESU WA NAZARETI YALIKUWA NA THAMANI, HAIWEZEKANI ASKARI KUIKATA NGUO KATIKA VIPISI NA KISHA KUGAWANA NA KILA MMOJA KURITHIKA NA ILIYOBORA ZAIDI WAKAIPIGIA KURA PASIPO KUIHARIBU, HII INATOKANA NATHAMANI YAKE.
Marko 6:37; Yesu akajibu akawaambia wapeni ninyi chakula (walikuwa wapata wanaume 5,000) wakamwambia, Je’twende tukanunue mikate ya dinari 200 ili tuwape kula? –HIVYO WALIKUWA TAYARI NA UWEZO ULIKUWEPO WA KUWALISHA WANAUME 5,000 KUTOKA KATIKA MFUKO WA HUDUMA, YESU WA NAZARETI NI TAJIRI NA HAKUISHI KWA SHIDA NA KATIKA UMASKINI KAMA WENGI WANAVYODHANI ILA KULE KUKAA DUNIANI UKILINGANISHA NA MBINGUNI UTAJIRI WA DUNIA NI KAMA HAKUNA KITU.
Mathayo 17:27; Lakini tusije tukawakwaza, enenda baharini ukatupe ndoano ukatwae samaki yule wa azukaye kwanza na ukifumbua mdomo wake utaona shekeli ichukue hiyo ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako. – KWA YESU WA NAZARETI UHITAJI WA PESA HAIKUWA KITU CHA KUFIKIRIA ALIKUWA TAJIRI KIASI AMBACHO CHOCHOTE ALICHOTAKA ALIKIPATA KWA KUCHUKUA PESA HATA MDOMONI MWA SAMAKI.
Hivyo nimeyathibitisha hayo kutoka katika Biblia ili tupate kujua ya kwamba wewe si maskini bali ni tajiri kwatika Yesu.
JE, UPO TAYARI KUWA TAJIRI?
Mwaka huu ni mwaka wa baraka kwako. Pokea sasa utajiri katika Jina la Yesu.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE’ BWANA YESU ANAPATAJE KUWA MUNGU? SEHEMU YA KWANZA

Image may contain: one or more people, ocean and text

Baada ya kujipatia maarifa makini juu ya nafsi tatu Mungu mmoja;
Ni vyema sasa tukapiga hatua nyingine ya ufahamu kwa kuangalia swali hili makini ambalo kwa kiasi kikubwa pia huchanganya hisia za watu wengi katika ulimwengu wa imani, ambapo kile kinachoonekana kuwachanganya watu wengi hapa ni uelewa juu ya ukweli kuhusu chimbuko la Uungu wa Bwana Yesu na hivyo watu wengi kuhoji kuwa Yesu anapataje sasa kuwa Mungu?.
Ni wazi kuwa swali hili hasa hulenga kutafut kujua asili au chimbuko la mamlaka ya Kiuungu ya Yesu anayotajwa kuwa nayo hasa kutokana na kile kinachoonekana kuwa Bwana Yesu alikuwa na mwonekano unaoonyesha kuwa huenda naye alikuwa na asili au chimbuko la dunia hii.
Hivyo ili kupata majibu ya msingi ya hili ni vyema kwanza tuanze na hoja juu ya asili ya Yesu na ndipo tunaweza kufunguka zaidi kiufahamu na kuelewa mengi zaidi juu ukweli kuhusu Uungu wa Yesu.
Ufahamu juu ya asili ya Yesu
Kile kilichoongeza upinzani mkubwa wa Mafarisayo na baadhi ya Wayahudi juu ya Uungu wa Yesu ni uelewa usiyo sahihi juu ya asili ya Yesu.
Ufahamu wa wengi kati ya Wayahudi uligotea katika dhana ya mwonekano wa ubinadamu wa Yesu na historia yake ya uzazi wa kidunia toka katika tumbo la Mariam, ambapo kama matokeo ya hili Wayahudi walisikika wakati fulani wakitamka:-
Yahana 6:42
Wakasema, Je! Huyu siye Yesu, mwana wa Yusufu, ambaye twamjua babaye na mamaye? Sasa asemaje huyu, Nimeshuka kutoka mbinguni?
Unaweza sasa kupata pichani juu ya mzizi wa hoja hii, na ni kama tunavyoona katika nukuu hiyo ya kitabu cha Yohana kuwa hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni kile walichoona kuwa haikuwa sahihi kwa Yesu kusema ameshuka toka mbinguni maana kile wao wanachojua ni kuwa alizaliwa na bi’Mariam na baba yake ni Yusufu kwahivyo asili yake ni duniani tu.
Hivyo kwa hali hiyo iliwapa ugumu kukubali pale Yesu alipojitaja kuwa na asili ya mbinguni na kimsingi ndicho kilichokuwa chanzo kikubwa cha upinzani wao dhidi ya matamko ya Yesu.
Habu ona tena hoja ya Wayahudi pale Yesu alipoeleza uwepo wake wa milele’
Yohana 8: 56-58
Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.57 Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu? 58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Katika andiko hilo tena Wayahudi walipingana na Yesu kutokana na tamko lake lililoonyesha uhusiano wake na ukaribu na mzee Ibrahimu, kitendo ambacho kilifanya Wayahudi hao kumhoji kwa madai kuwa yeye ni kijana mdogo hasiyepata hata miaka hamsini anawezaje kuwa amemwona Ibrahimu?, na ndipo Yesu anajibu na kuwaambia bayana kuwa uwepo wake ni wa kabla ya Ibrahimu’ 58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Hivyo kwa mtazamo wangu binafsi ninaona kuwa tatizo la Wayahudi au wale wanaopinga Uungu wa Yesu kwasababu ya ubinadamu alokuwa nao au sababu ya kuzaliwa na Mariam tatizo lao kuu si hilo bali zaidi ni kutolewa kabisa msingi mzima wa asili ya Yesu kabla ya kuzaliwa kwake na Mariam.
Je’ Asili ya Yesu ni wapi?
Katika kujibu swali hili Bwana Yesu mwenyewe mara kadhaa aliwaelimisha Wayahudi juu ya ukweli kuhusu asili yake ili kuwasaidia kuondokana na dhana au mtazamo wa kumchukulia kama mtu mwenye asili ya kidunia na badala yake alitaka waone kuwa yeye alikuwako kabla ya kuja duniani kama mwanadamu kwa kusudi la ukombozi wa watu. Soma kwa makini maandiko haya:-
Yohana 8:23
Akawaambia, Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu
Yahana 6:62
Itakuwaje basi, mmwonapo Mwana wa Adamu akipaa huko alikokuwako kwanza?
Katika maandiko hayo yote mawili, Bwana Yesu kwa uwazi kabisa anaweka bayana juu ya asili yake ya mbinguni kabla ya kufanyika mwanadamu na kuzaliwa na bi’ Mariam, katika andiko lile la kwanza Bwana Yesu anaweka utaofauti wa wazi baina yake na wanadamu wa kawaida kwa kusema ‘Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
Na katika tamko jingine Yesu anawauliza Wayahudi kuwa Itakuwaje basi, mmwonapo Mwana wa Adamu akipaa huko alikokuwako kwanza?, kwahivyo Yesu anaonyesha kuwa kabla ya ujio wake duniani kuna mahali (mbinguni) alikokuwako kwanza.
Asili ya Yesu na msingi wa mamlaka yake ya Uungu
Uelewa juu ya asili ya Yesu linakuwa ni jambo rahisi tu sasa kadri ya msingi mzuri tuloujenga tangu mwanzo wa uchanbuzi wa mada hii na hususani kupitia matamko mbalimbali hata yale ya Yesu mwenyewe yanayotoa picha ya wazi kuwa Yesu hakuwa kamwe na asili ya dunia hii ya ubinadamu licha ya kwamba alizaliwa na Mariam kwakuwa pale alipozaliwa na Mariam haukua ndiyo mwanzo wa kuwepo kwakwe, bali kupitia kuzaliwa na Mariam alikuwa tu akitengenezewa njia ya kufunika mamlaka yake ya kuu ili aweze kumfikia mwanadamu kama tutakavyoona katika kipengele kinachofuata.
Hatahivyo kanuni za msingi zinazofanya Yesu kuwa mwanadamu wa asili ya kawaida hazikufikiwa katika mchakato wa kuzaliwa kwake, hebu tusome kidogo andiko hili’
Mathayo 1:18
Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Hivyo kuzaliwa kwa Yesu kunatofautiana kabisa na kanuni ya kawaida ya uzazi wa wanadamu wengine ambapo kadri ya andiko hilo Biblia inaweka bayana kuwa Mariam alipata mimba ya kumzaa Yesu kabla hajakaribiana na mwanamume na yakuwa mimba hiyo ni kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Kwa hali hiyo katika uzazi wa Yesu hapakuwepo kamwe na mfumo wa kawaida wa kibaolojia unaohusisha hatua mbalimbali za Kisayansi za uzazi kama ambavyo hata maandiko ya Qur an yanavyoainisha katika sura mojawapo ya kitabu cha msaafu wa Qur an kama tunavyosoma hapo chini:-
Qur an 22:5
Enyi watu! Kama mumo katika shaka juu ya ufufuo; (mnaona haimkiniki kufufuliwa), basi (tazameni namna Tulivyokuumbeni); kwa hakika Tulikuumbeni kwa udongo. (Mzee wenu Nabii Adamu),kisha (Tukawa Tunakuumbeni ninyi) kwa manii, (mbegu ya uhai)
Msahafu wa Quran hapo unaweka bayana hatua hizo za uumbaji na inazitaja kama kanuni zilizo na zinazotumika kuibua mwanadamu na kuendeleza kizazi cha wanadamu huyo, ambapo njia hizo mbili yaani ile awali ya kuumbwa kwa udongo (Nabii Adam na Hawa) na ile ya mbegu ya uzazi (Viumbe wengine).
USIKOSE SEHEMU YA PILI
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE’ BWANA YESU ANAPATAJE KUWA MUNGU? SEHEMU YA PILI



Hivyo Yesu alizaliwa kipindi ambacho mfumo wa kupatikana kwa mwanadamu au kiumbe cha kawaida unapaswa kuhusisha jinsia mbili za wanadamu ambao hujamiiana na hatimaye mama hutunga mimba na kuzaa binadamu mwingine wa kawaida baada ya miezi tisa ya kubeta ujauzito kama sayansi inavyoeleza kwa upana zaidi:-
‘Sexual reproduction is a process that creates a new organism by combining the genetic material of two organisms; and this is followed by exchange of genetic information (a process called genetic recombination). After the new recombinant chromosome is formed it is passed on to progeny.’
Uzazi wa kujamiiana ni hatua inayoumba kiumbe kipya kwa njia ya kukutanisha viini vya uzazi vya pande mbili za viumbe hai; na hili linafuata baada ya mbadilishano wa taarifa baina ya viini vya uzazi (mchakato huu hutambulika kama muunganiko wa kiuzazi). Baada ya muunganiko mpya nyuzi zenye jeni za urithi wa tabia za maumbile katika kiini cha seli hutengenezwa na kupita katika homoni za kike ambazo huwezesha hali ya uzazi katika uterasi na kukuza kiini tete.(na hatua mbalimbali huendelea hadi kuzaliwa kiumbe).’
Hivyo kwajumla kiumbe kingine hutokea kwa kanuni hiyo tu ya mmunganiko wa seli za uzazi toka pande zote mbili za jinsia yaani toka kwa baba na kwa mama tendo ambalo kamwe halikufanyika katika hatua za kuzaliwa kwa Bwana Yesu na hivyo kuibua tafakari kubwa juu ya asili yake na mamlaka yake hasa.
Na hivyo katika sehemu hii tutakwenda moja kwa moja katika maandiko ya msingi ili kupata ufumbuzi kamili juu ya mamlaka hasa ya asili ya Bwana Yesu na kwa hali hiyo basi nivyema kwanza kujenga msingi wa hili kupitia maelezo ya ya mtume Yohana:-
Yohana 1:1
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu 2’ Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Ni wazi msomaji wangu kuwa’ sasa unaweza kuanza kupata nuru baada ya kusoma andiko hilo la Injili ya Yohana ambapo kwa uwazi kabisa mtume Yohana kwa msaada wa Roho Mtakatifu anabainisha msingi wa asili ya Yesu na kumtaja dhahiri Bwana Yesu kuwa ndiye ‘Neno’ aliyekuwako mbinguni ,na kimsingi ndiye mhusika wa kazi nzima ya uumbaji.
Na kama utakumbuka vizuri ndugu msomaji wangu hapo nyuma nilishazungumzia kwa upana kabisa juu ya utendaji wa Mungu katika nafsi tatu za milele Mungu mmoja, ambapo Neno (Mwana)’ni miongoni mwa nafsi hizo:-
Hivyo kwa hali hiyo mtume Yohana anaweka bayana na kumtambulisha Neno huyo kwamba alikuwa ni Bwana Yesu mwenyewe kabla hajafanyika mwanadamu. Rejea maelezo ya aya ya 14’ ya Injili ya Yohana sura ya 1’. 14’Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Aya hiyo ya 14’ inataja wazi kuwa Neno huyo ni Yesu ambaye hatimaye alifanyika mwili na kukaa kwetu ndipo kwa kuonekana katika utukufu ikaonekana kuwa ni mwana pekee atokaye kwa Baba. (Tutaliona hilo mbele).
Na kwa msingi huo basi Biblia inaweka bayana kuwa Bwana Yesu yeye alikuwako kabla ya Ulimwengu huu kuwako na kama ni msomaji mzuri wa Biblia utagundua kwamba hata Yesu mwenyewe katika matamko yake mbalimbali ameweka bayana swala hili la kuwepo kwake mbinguni katika umoja wa Mungu naye akiwa ni nafsi ile ya Neno. Hebu tusome wote aya hii:
Yohana 17:5
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
Hapo Bwana Yesu mwenyewe anatamka wazi kuwa alikuwako kabla ya ulimwengu kuwako na zaidi ya yote anaonyesha kuwa alikuwa katika umoja wa utendaji na umiliki na nafsi ya Baba na hivyo utagundua kwamba maelezo hayo yanawiyana sawia na yale aliyowahi kuyatoa mbele ya Wayahudi na kupelekea Wayahudi hao kuadhimu kumpiga kwa mawe kwakuwa waligundua kuwa kwa kutamka hivyo alikuwa akijitambulisha kuwa yeye kiasili ana mamlaka ya Kiuungu kiasili. Reje aya hiyo hapo chini:-
Yohana 10:30-33
Mimi na Baba tu umoja.31 Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.32 Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?33 Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.
Pamoja na hayo kipengele muhimu sana katika aya ile ya Yohana 1:1, ni kile kinachotaja bayana juu ya mamlaka aliyokuwa nayo Bwana Yesu akiwa mbinguni kwa kusema:- (rejea sehemu ya mwisho ya aya ya kwanza’)
Yohana 1:1……naye Neno alikuwa Mungu.
Hapa mtume Yohana anataja wazi kabisa juu ya nafasi hasa ya kimamlaka aliyokuwa nayo Bwana Yesu akiwa mbinguni kwamba alikuwa katika mamlaka kamili ya Uungu.
Kimsingi hiyo ndiyo mamlaka halisi ya Bwana Yesu kama inavyowekwa bayana katika mafungu lukuki ndani ya Biblia kama tulivyoanza kuona katika maandiko hayo ya awali na yale tutakayoendelea kuyapitia katika vipengele mbalimbali vya uchambuzi wa mada hii.
Vinginevyo katika andiko hilo la Yohana 1;1-3 huwa ninasikia hoja fulani ikijengwa ambayo ninatamani kuiweka wazi pamoja na kuipatia majibu mafupi ili kuondoa chachu inayojaribu kuwekwa na baadhi ya walimu wenye lengo la kuhafifisha maana ya msingi ya andiko hilo ili kupingana na ukweli huu.
Hoja inayaojengwa hapo ni ile yenye lengo la kupingana maelezo ya andiko hilo juu ya kuwepo kwa Neno aliyekuwako kwa Mungu naye kuwa Mungu, na katika kupingana na maelezo hayo ya wazi ya andiko wamekuwa wakiweka mfano kwa kudai kuwa kuyakubali maelezo hayo ya andiko la Yohana ni sawa na kusema:- (Yohana 1:1-3)
“Hapo mwanzo kulikuwa na kistuli, nacho kistuli kilikuwa kwa fundi, nacho kistuli kilikuwa fundi’“
Hivyo kwa mfano huo unaowekwa na baadhi ya walimu katika ulimwengu wa imani zetu ndipo wafuasi na baadhi ya waamini wa dini hizo hujikuta wakitiwa moyo na kupinga kwa nguvu zote juu ya ukweli huu wa mamlaka ya Yesu ya Uungu.
Jibu la msingi la hoja hii’
USIKOSE SEHEMU YA TATU
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UKRISTO WASHAMIRI SAUDI ARABIA

Image may contain: outdoor


Gazeti la Christians times limeripoti kuwa, maelfu ya Waarabu wanampokea Yesu na kuukacha Uislam ambao wanasema umekosa upendo.
Saudi Arabia nchi ya Kiislam sasa ina asilimia 4.4 ambayo ni Wakristo. Ingawa bado Wakristo wanapigwa vita na unaweza kukatwa kichwa chako ukingundulika wewe umeuacha Uislam, vitisho hivyo vimesaliti amri mbele ya damu yaa Yesu Kristo na watu takribani Milioni 1. 2 wamesha mpokea Yesu na kuwa Wakristo.

Yesu ni MUNGU

Image may contain: 1 person, text

Yesu ni BWANA, Yesu ni MUNGU, na kila goti litapigwa kwake, na kila ulimi utakiri kuwa YESU NI MUNGU
Shalom,

ALLAH AMETEREMSHA AYA NA KUSEMA KUWA UISLAM NI DINI CHAFU

Image may contain: 3 people


ALLAH ANAMUOMBA MUHAMMAD AMSAFISHIE DINI. KUMBE DINI YA ALLAH INATAKIWA KUSAFISHWA
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall http://www.quranitukufu.net/039.html
Huu ni msiba mwingine kwa Allah, sasa kwenye Surah ya 39 aya 11-12 Allah anamwomba Muhammad amsafishie dini ya Uislam, sasa tuwaulize Waislam.
KWANI UISLAM ULICHAFUKA LINI MPAKA ALLAH AMUOMBE MUHAMMAD KUMSAFISHIA DINI?
Waislam, tuleteeni aya ambayo inathibitisha kuwa Muhammad aliisafisha dini ya Allah?
Waislam, kwanini Allah alimuomba Muhammad kuisafisha dini?
Kwanini Allah alishindwa kuisafisha dini yake?

YESU NDIE ATAKAYE MHUKUMU MUHAMMAD (SAW) SIKU YA KIYAMA

Image may contain: 1 person, text

HAKIKA YESU NI MUNGU
Ndugu msomaji:
Jambo hili si mzaha wala uzushi bali ni kweli; Yesu Kristo anakuja kuhukumu ulimwengu wote. Yesu Kristo ametutamkia kwa kiywa Chake kwa kusema kwamba;
“Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote; ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba.” (Yohana 5:22,23)
Katika hukumu siku ya kiyama hatutegemei kumwona YEHOVA akija kuhukumu ulimwengu, bali, Yesu Kristo ndiye ajaye kuhukumu ulimwengu. Hii itakuwa hivyo ili WATU WOTE WAMHESHIMU Yesu sawa sawa na jinsi ambavyo wanamheshimu YEHOVA. Hapo ndipo viumbe vyote watathibitisha kuwa Yesu ni Mungu. Biblia Takatifu inasema kwamba:
“...kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA...” (Wafilipi 2:10,11)
Hakika Yesu ni Mungu. Najua hapa huwachanganya baadhi ya watu hata wanaweza kuhoji;
Je! Wapo Miungu wangapi? Kwa maana tunasikia habari za Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu? Inawezekanaje tuseme Yupo Mungu mmoja wakati hapo tunaona wapo watatu?
Ni kweli Utatu Mtakatifu wa Mungu umekuwa mgumu sana kueleweka kwa watu wengi kutokana na mafundisho dhaifu waliyoyapokea kutoka kwa viongozi wao wa madhehebu yao na imani zao. Je! Utatu Mtakatifu wa Mungu ni uzushi uliotungwa na wanadamu kwa lengo la kupotosha watu au Biblia Takatifu inatuthibitishia wazi wazi kuhusu Utatu Mtakatifu wa Mungu? Hebu twende katika neno la Mungu tuone jinsi lisemavyo.
Biblia Takatifu inatuambia kwamba:
“Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni: Baba, Neno, na Roho Mtakatifu; na watatu hawa ni umoja.” (1 Yohana 5:8 / 1 John 5:7)
Andiko hilo katika Biblia ya New King James Version inasema “...these three are one.” (1 John 5:7) kwa maana ya kwamba “...WATATU HAWA NI MMOJA.” Hebu tujiulize; je! Huo umoja wao unaowafanya watatu hao (YEHOVA, Yesu, na Roho Mtakatifu) hata wote wawe MMOJA ni upi?
Umoja wao upo katika Uungu. Wote watatu wanaungana kuwa Mungu mmoja kwa maana ya kwamba uumbaji wa vitu vyote umefanywa kwa pamoja na hawa watatu (yaani; YEHOVA, Yesu, pamoja na Roho Mtakatifu).
Tukirejea katika uumbaji; Neno la Mungu linasema kwamba:
“Mungu akasema, Na Tumfanye mtu kwa mfano Wetu, kwa sura Yetu...” (Mwanzo 1:26)
Pindi niliposoma andiko hilo kwa umakini nilijiuliza; Mbona Mungu hakusema;
"...Nimfanye mtu kwa mfano Wangu, kwa sura Yangu..."? Kwa nini Mungu ametumia maneno "...kwa mfano WETU, kwa sura YETU..."? Maneno hayo "...WETU..." na "...YETU..." yanadhihirisha hapo kuna zaidi ya mmoja. Je, ni nani mwingine aliye muumba mwanadamu zaidi ya Mungu?
Wakati nikiwa ninajiuliza maswali mengi, ndipo Roho Mtakatifu akanifundisha kwamba neno "Mungu" ni cheo, na sifa zake ndizo tulizojifunza hapo awali. Mungu hufanya kazi katika ushirika ambao katika Umoja huo ndipo aliumba vitu vyote.
Yesu anakupenda, mpe maisha yako sasa ili akuokoe. Ni jambo la imani tu, ukiamini ndani ya roho yako na kumkiri Yesu kwa dhati kwa kinywa chako; hakika hapo hapo unakuwa umeokoka.
Kumpokea Yesu maishani mwako maana yake ni kukiri kwamba Yesu ni Bwana, Yesu ni Mungu, pamoja na KUKIRI kwamba Yesu pekee ndiye uzima wa milele wala hakuna kiumbe ye yote yule awezaye kuokoa isipokuwa Yesu pekee ambaye ni Mungu wetu.
Inawezekana kabisa ya kuwa wewe unayesoma ujumbe huu hujaokoka - yaani hujampokea Yesu Kristo ndani ya roho yako kuwa Bwana na Mwokozi wako; Lakini sasa umeona umuhimu wa kumpokea Yesu Kristo katika maisha yako.
Naamini Roho Mtakatifu ameweka fursa hii mikononi mwako kwa mpango maalumu wa Mungu ili ufike mahali pa kutubu na kuokoka. Wokovu ni kwa ajili ya uponyaji wako ili uwe na uzima wa milele; kamwe usimtazame huyo aliye pembeni mwako kwamba akisikia umeokoka atachukia; wala usiisikilize hiyo sauti ikwambiayo ndani ya akili zako kwamba "subiri" Hiyo ni sauti itokayo kwa yule mwovu Shetani ambaye anataka wewe ufe katika dhambi zako. Fahamu kwamba uzima wako wa milele unauandaa sasa; pia Biblia inasema hakuna neema baada ya kifo; kwa maana imeandikwa:
“Na kama vile watu walivyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.” (Waebrania 9:27)
Mtu akifa kinachofuata ni hukumu. Asije akatokea mtu akakudanganya kwamba yapo maombi yanayoweza kuwaombea wafu nao wakasamehewa dhambi zao (mwulize mtu huyo akwambiae hivyo; mwambie akuonyeshe andiko ndani ya Biblia Takatifu linalosema unaweza kumwombea mfu.) Huo ni uongo tena utokao kwa Shetani. Neno la Mungu linasema kwamba:
“Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.” (Marko 12:27)
Nakushauri usiiache neema hii ya wokovu iliyopo mbele yako sasa ikipite. Wakati huu ni wa thamani sana kwako kwa maana huijui kesho wala badae ikoje. Tafakari kwa kina kati yako wewe na Mungu ni nani anahitaji msaada wa mwenzake. Tubu sasa. Sikulazimishi ila fanya sawa na kile Mungu anachoshuhudia ndani ya roho yako. Fahamu kuwa; haiwezekani kuona baraka za Damu ya Yesu bila ya wewe kuokoka.
Kama unataka kuokoka sasa hivi; Tafuta mahali palipo na utulivu, na usome kwa kutamka kwa kinywa chako sala ifuatayo: (ukiweza unaweza kupiga magoti unapoomba sala hii)
“Ee Mungu wangu ulie Mtakatifu. Ninakuja mbele zako. Mimi ni mwenye dhambi. Naomba unisamehe dhambi zangu zote nilizokukosea katika maisha yangu yote. Ninatubu kwa dhati ya kweli kutoka rohoni mwangu. Naomba damu ya Yesu Kristo iliyomwagika msalabani kwa ajili yangu initakase sasa katika roho yangu na nafsi yangu na mwili wangu. Nimefungua moyo wangu. Bwana Yesu Kristo nakukaribisha ndani yangu. Ingia kwa uwezo wa Roho Wako – Uwe Bwana na Mwokozi wangu kuanzia sasa na siku zote. Nakuomba unifanye niwe vile utakavyo mimi niwe. Ahsante kwa kunisamehe na kwa kuniokoa. Nimejitoa kwako nikutumikie katika siku zote za maisha yangu. Shetani hana mamlaka tena juu yangu katika jina la Yesu Kristo. Amina."
Ikiwa umesoma sala hii kwa kukusudia kabisa na kwa imani, basi wewe umeokoka na dhambi zako zote zimesamehewa kabisa. Damu ya Yesu iko juu yako sasa.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

TRUMP BANS TRANSGENDERS IN THE MILITARY…military leaders and troops breathe a sigh of relief


THAT WAS THEN…

THIS IS NOW.

What do people in and out the military think about it?

Twitchy  President Trump announcing a ban on transgender people serving in the military has brought criticism from the likes of the pardoned-by-Obama former soldier turned traitor Chelsea Manning and flaming Trump-hater George Takei, but veteran and Wounded Warrior J.R. Salzman has a few things to add:

RAHEEL KASSAM, Ex-Muslim & Editor-in-Chief of Breitbart London has visited ‘NO GO ZONES’ all around Europe


Will the mainstream media (including FOX News) ever stop denying the existence of these Muslim-only enclaves where even police and fire fighters are afraid to go? First Europe, next North America.

UK: Muslims rampage through Liverpool attacking only non-Muslims who are white


A gang of Muslim savages rampaged through Liverpool City Centre attacking strangers because they were white and non-Muslim. One witness feared that the three thugs, Amin Mohmed, Mohammed Patel and Faruq Patel, were ISIS terrorists.

Liverpool Echo  They targeted three unknown men before Mohmed, 24, and Mohammed, 20, set upon Gary Bohanna when he revealed he was Christian. Laughing Faruq, 19, who was not convicted of a racial or religious motive, then filmed Mohmed punching St Helens councillor Paul Lynch to the ground, as his terrified girlfriend tried to protect him.

Attacks like these are becoming common in the UK, especially with a Muslim mayor in London who says you have to expect terror attacks when there are so many Muslims one place.

Liverpool Crown Court heard counter-terrorism officers raided the three men’s homes in Bolton after the shocking incident on March 20 last year. The judge, Recorder Louise Brandon, said: “This was a disgraceful and sustained campaign of violence carried out on the streets of this city.”

Paul Treble, prosecuting, said fellow-Muslim Edris Nosrati spotted two of the gang attacking a man in Bold Street at around 3.30am. He said: “He was concerned because one of them seemed to be using racist language, talking about Muslims and Christians.

Muslim attacks on whites in Britain are no longer unusual

“One of them came up to Mr Nosrati and said ‘are you a Muslim?’ Mr Nosrati said he was, but the man said ‘well, what’s the Muslim word?’” He said Mr Nosrati replied with a “well-known” Arabic phrase: “There is only one God, and Muhammad is a messenger.” Mr Treble said: “He said it’s a phrase often linked with ISIS.

“He was concerned as to their exact intent and that they might be associated in some way to a Muslim extremist organization.” Mr Nosrati was told “you can go”, but when he tried to stop them punching another man, one replied: “It’s none of your business.”

He followed the gang to Renshaw Street, where Mr Bohanna was asked: “What are you?” The victim was confused but when one of them said “I’m a Muslim, what are you?” he answered “I’m a Christian”. The attacker shouted “Why aren’t you a Muslim?” before punching him twice, breaking his glasses and causing a 2cm cut above his left eye.

The gang then encountered Mr Lynch, Labour councillor for Moss Bank, and his girlfriend Jill Newton. Footage taken by Faruq captured Mohmed punch Mr Lynch with a “sickening blow” that could be “seen and heard”.

Mr Nosrati called police but Faruq fled, so the witness chased and caught him. The teenager punched Mr Nosrati and struck him in the eye with his phone, but the hero held on. Mr Bohanna and Mr Lynch – who suffered bruising and bleeding to his eyes – were taken to hospital.

Mohmed, of Perendale Rise, Bolton, and Mohammed, of Eastbank Street, Bolton, admitted racially or religiously aggravated assault causing actual bodily harm. The pair, along with Faruq, of Crumpsall Street, Bolton, also admitted assault causing actual bodily harm and affray.


Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW