Thursday, July 27, 2017

UKRISTO WASHAMIRI SAUDI ARABIA

Image may contain: outdoor


Gazeti la Christians times limeripoti kuwa, maelfu ya Waarabu wanampokea Yesu na kuukacha Uislam ambao wanasema umekosa upendo.
Saudi Arabia nchi ya Kiislam sasa ina asilimia 4.4 ambayo ni Wakristo. Ingawa bado Wakristo wanapigwa vita na unaweza kukatwa kichwa chako ukingundulika wewe umeuacha Uislam, vitisho hivyo vimesaliti amri mbele ya damu yaa Yesu Kristo na watu takribani Milioni 1. 2 wamesha mpokea Yesu na kuwa Wakristo.

No comments:

Mountain as pegs, Islamic fake science

MOUNTAINS AS PEGS: A Scientific and Theological Challenge to the Quranic Cosmology By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute Introd...

TRENDING NOW