Thursday, July 27, 2017

UKRISTO WASHAMIRI SAUDI ARABIA

Image may contain: outdoor


Gazeti la Christians times limeripoti kuwa, maelfu ya Waarabu wanampokea Yesu na kuukacha Uislam ambao wanasema umekosa upendo.
Saudi Arabia nchi ya Kiislam sasa ina asilimia 4.4 ambayo ni Wakristo. Ingawa bado Wakristo wanapigwa vita na unaweza kukatwa kichwa chako ukingundulika wewe umeuacha Uislam, vitisho hivyo vimesaliti amri mbele ya damu yaa Yesu Kristo na watu takribani Milioni 1. 2 wamesha mpokea Yesu na kuwa Wakristo.

No comments:

WAS MUHAMMAD PROPHESIED IN THE BIBLE?

SURAH 61:6 Muslims believe that the coming of Muhammad was foretold in the Bible. For centuries, Muslims have tried to find predictions of t...

TRENDING NOW