Tuesday, August 1, 2017

KWANINI ALLAH WA WAISLAM SIO MUNGU (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: one or more people and text

ALLAH JINA LAKE SIO NIKO AMBAYE NIKO:
Waislam wanadai kuwa Musa aka Moses ni Mtume wa Allah, lakini hawakubali na au Quran haisemi jina maalum la "MIMI NIKO AMBAYE NIKO" ambalo Musa alipewa na Mungu.
Katika Kitabu cha Kutoka "Moses' Pentateuch" kilicho kuwepo miaka 1312 KK - kabla ya kuzaliwa Yesu. Tunasoma.
Kutoka 3: 14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu. 15 Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.
Musa alipo kutana na mti ulio kuwa unawaka bila ya kuteketea. Musa alikuwa akilichunga kundi la Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani; akaliongoza kundi nyuma ya jangwa, akafika mpaka mlima wa Mungu, hata Horebu. --- > Soma Kutoka Mlango wa 3. Mungu alijitabulisha kwa jina la MIMI NIKO AMBAYE NIKO kama tulivyo soma hapo juu.
LAKINI ALLAH AMEGOMA NA AU KATAA KUTUMIA HILI JINA LA KIPEKEE LA "MIMI NIKO AMBAYE NIKO".
Katika Quran, hakuna aya hata moja ambayo Allah amejitambulisha kwa jina hili la NIKO AMBAYE NIKO, zaidi ya hapo, hakuna Sahih Hadith hata moja inayo kiri kuwa Allah jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO na au katika yale majina 99 ya Allah hili jina la NIKO AMBAYE NIKO HALIPO
Jina hili la Allah lina maana "miungu". Huu ni umoja wa miungu 360 ya kipagani iliyo kuwa inaabudiwa huko Kaaba wakati wa Muhammad na kabla ya Muhammad. Hivyo basi, Allah hawezi kuwa NIKO AMBAYE NIKO au YEHOVA bali ni mungu wa kipagani tu. Soma (Who Is This Allah?, G. J. O. Moshay, 1994, p 138) na au soma (The Moslem Doctrine of God, Samuel M. Zwemer 1905, p 24-25)
Kaa kweli Musa alikuwa Muislam, kwanini kwenye Quran hakuna JINA HILI LA NIKO AMBAYE NIKO?
HAKIKA ALLAH SIO MUNGU WA MUSA NA MUSA HAKUWA MUISLAM.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU ALISEMA: KABLA YA IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NI MUNGU

Image may contain: crowd and text
Msipaniki Waislam. Kaa chonjo na fungua macho yako ya rohoni.
Kwa maneno rahisi, katika Yohana 8:58 Yesu alikuwa anasema “Kabla Ibrahimu asijakuwako mimi ni Mungu”
Yohana 8:58 Yesu aliposema;
“….Amin, Amin, nawambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko” Wayahudi kwanini waliokota mawe? Soma Walawi 24:16. “Na yeye atakayelikufuru jina la BWANA hakika atauawa; mkutano wote watamuua kwa kumpiga kwa mawe;..”
Je Yesu alimaanisha nini aliposema mimi niko hata wakaona amekufuru? Hebu tuone niko ni jina la nani?
Kutoka 3:13-14; “….Tazama, nitakapofika kwa wana wa Waisraeli na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wataniuliza, Jina lake n’nani? Niwambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO…MIMI NIKO amenituma kwenu.”
Kumbe "MIMI NIKO" ni jina la Mungu.
YESU NI MUNGU
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

76 Year Old Saudi Man Marries Pre-teen Girl and Prepares to Have Sex wit...

MUNGU AMEFANANA NA NINI?

Image may contain: text


Habari njema ni kwamba kuna mengi dhahiri juu ya Mungu! Wenye kukagua maelezo haya watatambua ya kwamba ni muhimu kwanza kusoma maelezo yote kwa jumla kabla kusoma vifungu husika vya biblia kwa ufafanuzi zaidi. Vifungu vya kukariri vya bibilia ni muhimu maana bila mamlaka kutoka kwa biblia maneno haya yangekuwa hayana tofauti na maoni ya kawaida ya wanadamu ambayo kila mara huwa na upungufu katika kumuelewa mungu (Ayubu 42:7). Kusema ya kwamba tunahitajika kujua mungu ni mfano wa nini ni jambo la hatari. Kuna hatari ya kutusukuma katika kukimbilia kuiabudu miungu ya uongo kinyume cha mapenzi yake (Kutoka 20:3-5).
Kile tu Mungu ametaka kifahamike juu ya yeye mwenyewe ndicho kinaweza kufahamika. Kitu kimoja ambacho Mungu amejitambulisha nacho ni “nuru”, kumaanisha ya kuwa yeye ni mwenye kujieleza mwenyewe juu ya hali zake (Isaya 60:19, Yakobo 1:17). Ukweli wa kwamba Mungu ametupatia ufahamu juu ya yeye mwenyewe usipuuzwe isije mmoja wetu akakosa kuingia kwenye pumziko lake (Waebrania 4:1). Uumbaji, biblia na Neno lililofanyika mwili (Yesu kristo) ni msaada kwetu katika kufahamu Mungu yu hali gani.
Natuanze kwa kufahamu ya kuwa Mungu ni muumba wetu na sisi ni sehemu ya uumbaji wake (Mwanzo 1:1, Zaburi 24:1). Mungu alisema kuwa mwanadamu ameumbwa kwa mfano wake. Mwanadamu yu juu ya viumbe vyote na alipatiwa mamlaka juu ya viumbe vyote (Mwanzo 1:26-28). Uumbaji umeathiriwa na “anguko” lakini baado umehifadhi baadhi ya kazi zake Mungu (Mwanzo 3:17-18; Warumi 1:19-20). Kwa kutafakari ukuu wa uumbaji na mapana yake uzuri wake na mpangilio, tunaweza kupata hisia za utisho wa Mungu.
Kusoma juu ya majina tofauti tofauti ya Mungu kunaweza kutusaidia katika kutambua jinsi Mungu alivyo. Majina yenyewe ni kama yafuatayo:
Elohim – Mwenye nguvu, mtakatifu (Mwanzo 1:1)
Adonai – Bwana, ikiashiria uhusiano wa mtumishi na bwana wake (Kutoka 4: 10, 13)
El Elyon – Aliyetukuka, mwenye nguvu kupita wote (Mwanzo 14:20)
El Roi – Mwenye nguvu kupita wote na aonaye (Mwanzo 16:13)
El Shaddai – Mwenyezi Mungu (Mwanzo 17: 1)
El Olam – Mungu wa milele (Isaya 40:28)
Yahweh – BWANA “NDIMI”, yenye maana ya Mungu wa milele adumuye kwa uwezo wake mwenyewe (Kutoka 3:13, 14).
Tunaendelea kutasmini hali za Mungu. Mungu ni wa milele, kumaanisha hakuwa na mwanzo na kuweko kwake hakutakoma. Hafi na hamaliziki (Kumbukumbu la torati 33:27, Zaburi 90:2; Timotheo wa kwanza 1:17). Mungu hanyamazishwi na habadiliki na ina maana ya kwamba ni wa kutegemea na kuaminiwa (Malaki 3:6; Hesabu 23:19; Zaburi 102: 26, 27). Mungu hafananishwi na yeyote wala chochote katika uweza wake, matendo na jinsi alivyo mtimilifu (Samueli wa pili 7: 22; Zaburi 86:8; Isaya40:25; Mathayo 5: 48). Mungu hachunguziki, haeleweki kwa kina, amepita uwezo wetu wa kiutafiti (Isaya 40:28; Zaburi 145: 3; Warumi 11: 33, 34).
Mungu ni wa haki, wala hapendelei mtu (Kumbukumbu la torati 32:4; Zaburi 18:30). Mungu ni muweza yote. Ana nguvu na anatenda kila kinachompendeza bila kutoka nje ya hali zake timilifu (Ufunuo wa Yohana 19:6; Yeremia 32:17, 27). Mungu yu kila pahali (Zaburi 139:7 -13; Yeremia 23:23). Mungu ni mwenye kufahamu yote. Anajua yaliyokuwepo, yaliyopo na yatakayokuwepo pamoja nay ale tuyawazayo kila wakati. Ni kwa sababu ya kufahamu kila kitu ndiyo hukumu yake ni ya haki (Zaburi 139:1-5; Methali 5:21).
Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine na yeye pekee anaweza kuhudumia mahitaji ya mioyo yetu sote. Yeye pekee ndiye anayepaswa kuabudiwa (Kumbukumbu la torati 6:4). Mungu ni mwenye haki. Hafanyi makosa yoyote. Ni kwa sababu ya kuwa mwenye haki ndiyo iligharimu Yesu kupitia hukumu kwa ajili ya dhambi zetu zipate kuondolewa (Kutoka 9:27; Mathayo 27: 45-46; Warumi 3: 21-26).
Mungu yu juu ya yote. Ni mkuu wa uumbaji wake wote wala hawezi kubadilika katika mipango yake mwenyewe (Zaburi 93:1; 95:3; Yeremia 23:20). Mungu ni roho. Haonekani na macho ya kawaida (Yohana 1:18; 4:24). Mungu ni wa utatu. Yeye ni sehemu tatu ndani ya mmoja, zenye nguvu sawa na utukufu. Jina lake hutajwa kwa umoja hata japoelezwa katika utatu –“ Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu’ (Mathayo 28:19; Marko 1: 9-11). Mungu ni kweli. Anakubaliana na hali hiyo tu ya ukweli, si mfisadi wala mwongo (Zaburi 117:2; Samueli wa kwanza 15:29).
Mungu ni mtakatifu. Amejitenganisha na kila hali ya unajisi na hataki unajisi wa kila aina karibu naye. Mungu huona uovu wote na humkera. Moto kila mara hutajwa pamoja na utakatifu. Mungu hutajwa kama Moto ulao (Isaya 6:3; Habakkuk 1: 13; Kutoka 3;2, 4.5; Waebrania 12:29). Mungu ni wa neema. Ni mwema mwenye rehema, mkarimu, na mwenye upendo. Kama haingekuwa neema ya Mungu hali zake zote nyengine zingetuacha mbali naye. Mungu anahitaji kutujua kila mmoja wetu kibinafsi (Kutoka 34:6; Zaburi 31:19; Petero wa kwanza 1;3; Yohana 3:16; Yohana 17:3).
Hii ilikuwa ni mojawapo ya jinsi ya kujibu swali linalopaswa kujibiwa na Mungu mwenyewe. Hata hivyo endelea kuwa na ujasiri wa kumtafuta Yeye (Yeremia 29:13).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU ANAITWA MUNGU NA KUSUJUDIWA

Image may contain: one or more people and text


Katika Waebrania 1:8 twasoma, “Lakini kwa habari za Mwana, asema, kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili”
Ukianza mstari wa tano utaona kuwa anayeongea ni Mungu Baba. Anapofika mstari wa 8 anamtaja Mwana kuwa Mungu! Ni nani na asimame anayeweza kukanusha na kusema Yesu siyo Mungu?
Yesu ni Mungu!!! Isitoshe, tazama katika Ufunuo 19:10 ambapo malaika anamwelekeza Yohana kuwa anayestahili kusujudiwa ni Mungu lakini twaona ya kuwa Yesu alisujudiwa na hajawahi
kukataa!
Mathayo 2:11 “Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia;”
Mathayo 14:33 Nao walipokuwa ndani ya chombo Wakamsujudia”
Mathayo 28:9 “Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia, wakamshika miguu, wakamsujudia;”
Luka 24:52 “ Wakamwabudu; Kisha wakarudi Yerusalemu wenye furaha kuu”
Yohana 9:38 “Akasema, Naamini, Bwana, Akamsujudia”
Yesu hajawahi kuwakemea watu waliokuwa wanamsujudia au kumwabudu!!! Kama Yesu siyo Mungu, na angejua kuwa siyo Mungu, angewaambia watu wasimsujudie/kumwabudu kama
malaika katika ufunuo alivyomwambia Yohana.
YESU NI MUNGU.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

DHAMBI ZILIZOSABABISHA KIFO CHA MOHAMMAD (SEHEMU YA 5 NA YA MWISHO)

No automatic alt text available.


Huu ni muendelezo wa sehemu ya 1, 2, 3 na 4 unaohitimisha makala hii. Inahusu maswali yenye maantiki yatokanayo na tukio nzima linalozunguka kusumiwa, kuugua na kufa kwa Mohammad.
1. Ikiwa Mohammad alikuwa mtume wa kweli wa Mungu, kwanini hakutambua ile sumu kabla ya kuila?
2. Kama unaamini kuwa ilikuwa mapenzi ya Mungu Mohammad kula ile sumu, pamoja na Bishir, kwanini basi Mohammad alijaribu kujiponya? Hata malaika Jibril alimwombea apone, lakini Allah hakujibu yale maombi vilevile.
3. Kwanini Jibril hakujua mapenzi ya Allah? Kulikuwa na maana gani ya Jibril kumswalia Mohammad apone wakati Allah alishaamua afe?
4. Kwanini muda mchache kabla ya kifo chake, Mohammad alitamka laana juu ya Wayahudi na Wakristo? Je, haingekuwa bora kwa yeye kuwaombea mwongozo na msamaha kwa Allah? Hii pia inaashiria wivu, maombi ya uchungu kwa kutoponywa na Allah. Mohammad aliwaombea watu laana badala ya kuwaombea msamaha kwa Allah.
TATHMINI:
Mohammad hakuwa mtume wa kweli, alikuwa mtume wa uongo. Alikufa kwasababu ya kula sumu ambayo hakuwa na taarifa kuihusu. Nyama ya mbuzi iliyotiwa sumu ‘ilichelewa kuongea naye’ wakati akiwa ameshaila. Ni wakati tu alipogundua anakufa ndipo alitabiri kifo chake.
Musa wa Biblia alijua kuhusu kifo chake (Kumbukumbu La Torati 34:1-5). Yesu Kristo vilevile alitabiri kifo chake (Marko 8:32, 32). Ilhali, Mohammad aliachwa gizani kuhusu kifo chake hadi alipogundua dakika za mwisho kuwa alikuwa anakufa.
Mtume Paulo aliumwa na nyoka (Matendo 28:1-6), lakini hakuugua au kudhurika na hiyo sumu. Mkono wa Mungu ulimlinda mtume Paulo hadi alipomaliza kazi aliyoitiwa kuikamilisha. Mohammad alikufa ghafla kama kwamba kulikuwa na machafuko na mgogoro kuhusu nani atachukuwa nafasi ya Mohammad kama kiongozi wa Waislamu. Hadi leo, sehemu ya huo mgogoro umesalia. Dunia ya Waislamu imegawanyika (Shia na Sunni) kwasababu ya hili. Iweje Allah anayechukia mgawanyiko kwenye Ummah asingemnusuru Mohammad asife ilmuradi tu kuwe na umoja na amani huku mrithi wa Mohammad akiandaliwa?
Yesu Kristo alitabiri kuwa manabii wa uongo watakuja duniani na kuwapoteza wengi (Mathayo 24:24). Mohammad ni mojawapo ya hao manabii wa uongo. Yesu na Musa walimfahamu Mungu/Yahweh uso kwa uso, Mohammad alisikia tu ‘roho’ au ‘malaika’ aitwaye ‘Jibril’ akiongea naye. Hatimaye, hata haya maombi ya Jibril hayakujibiwa na Allah. Je, yawezekana kuwa huyu ‘Jibril’ alikuwa akihubiri dini ya uongo (Wagalatia 1:8) kwa Mohammad? Je, yawezekana Jibril alikuwa Shetani au Ibilisi akijifanya kuwa malaika?
***ALIYE NA MACHO NA AONE; ALIYE NA MASIKIO NA ASIKIE; ALIYE NA HEKIMA NA ABAINI HAYA***

KAMA MUHAMMAD ALIKUWA MTUME WA MUNGU, KWANINI HAKUWAI ONGEA NA MUNGU ALIYE MTUMA?

Image may contain: text and outdoor
Ndugu zanguni,
Hili swali limeenda shule.
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu. Mifano michache hapa chini.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9 Wagalatia 1:1 Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu
Biblia ipo wazi kabisaa, kuwa Paulo alitumwa na Mungu, wakati Muhammad alitumwa na Jibril ambaye si Mungu. Koran inakiri kuwa Muhammad alikutana na Jibril na hakuwai kukutana na au ongea na Mungu hata mara moja. Lakini tunasoma katika Biblia kuwa, Paulo alipewa utume na Mungu mwenyewee.
Warumi 1:1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, ALIYEITWA KUWA MTUME na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu.
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu aliye Mtuma? Maana ya neno Mtume kwa kifupi: Ni Mtu aliye tumwa.
Mimi nataka mniletee aya ambayo inaonyesha kuwa Muhammad aliongea na Mungu.
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga" (Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a, uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
KUFUATANA KITABU CHA MAISHA YA NABII MUHAMMAD, tunajifunza kuwa Muhammad kwa mara ya kwanza kabisa alipata utume wake pangoni baada ya NAFSI YAKE KUCHEZEWA NA MASHETANI.
MASWALI:
(i). Kama Jibril ndie alitumwa na Allah, na huyo Allah ni Mungu, kwanini Muhammad alisema kuwa nafsi yake imechezewa na MASHETANI baada ya kukutana na Jibril?
(ii). Kama Jibril alitoka kwa Allah, kwanini Muhammad alipo toka pangoni alisema kuwa Jibril AMEMZUGA AKILI YAKE?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Cleric: Girls' Clothing is a "Gateway to Rape"…

Yemeni women attend the showing of a film in Sanaa March 3, 2014 about "child brides", which are quite common in the poverty-striken and tribal country of Yemen, where barely pubescent adolescent girls are forced into marriage, often to older men. It is estimated that 14 % of girls in Yemen under the age of 15 are forced into early marriages and 52% of girls before they turn 18, and frequently to much older husbands according to rights organisations. Mohammed Huwais/AFP/Getty Images.
In a post on his Facebook page, Yemeni Sheikh Abdullah al-Adini of the Islah Party created a post titled “Girls’ Clothes are the Gateway to Rape.” Adini’s post comes shortly after the tragic murder and rape of three year old Rana Al Matri that shook the city of Sana’a, Saudi-owned Al Arabiya reports.
The Islah party combines tribal influences along with those of the Yemeni Muslim Brotherhood and more radical Wahhabi groups. Because of these conflicting ideologies, the party faces deep internal divisions on key issues such as what is considered appropriate garb for women and girls.
In 2004, the U.S. Treasury Department designated one of the party’s prominent leaders, Abdul Majeed al-Zindani as a terrorist. The department described him as a “loyalist” and “spiritual advisor” to Osama Bin Laden. In the past, Zindani has “praised Hamas suicide bombers and called on his followers to donate money to assist the Palestinian people.”
After justifying the rapist’s actions, Adini alleged that “a lot of girls have been raped due to these clothes that appeal to a man’s animal instincts and desires,” citing that there has been “noticeable leniency when it comes to young girls’ clothes.”

Somaliland: "Our Govt. Will Not Allow Any New Church to Be Built"

Image result for no new church in somaliland

A church that has been closed for three decades was on Friday reopened in Hargeisa.
A ceremony attended by Somaliland Ministers and mainly expats living in the breakaway region was organised at the new church in Shaab area of Hargeisa.
"Your government that is seeking recognition has seen the importance of exercising freedom of worship and the reopening of this church" Mary who oversaw the reopening told guests and journalists.
Radio Dalsan's Reporter in Hargeisa Jamal Ibrahim said security was beefed up in and around the church.
It is located in an area where mostly government offices are to be found.
Mary said there is a great need for a place of worship for Christians in this mainly Muslim country.\
Most of the Christians in Somaliland are foreigners mostly expats and a small population of Ethiopian immigrants
http://www.thenational-somaliland.com/2017/07/31/government-clarifies-stance-reopening-hargeisa-catholic-church/

Egypt: 65% of Families Have 9+ Children, Most Mothers Illiterate…

Cairo: About 65 per cent of Egyptian families have nine children, which can hinder the nation`s development, a minister said here.
"The population increase rate has reached 2.5 per cent, which requires raising the economic growth rate three times in no less than ten years, which is not happening for the time being," Egyptian Minister of Social Solidarity Ghada Wali said on Sunday.
The minister added that about 62 per cent of Egyptian mothers are illiterate.
Egypt`s population has exceeded 100 million, including 93.4 million citizens in addition to at least 8 million expatriates, according to the Central Agency for Public Mobilisation and Statistics.
According to President Abdel-Fattah al-Sisi, terrorism and growing population are the largest challenges that Egypt is currently facing. 

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW