Sunday, September 10, 2017

OMBA MAOMBI HAYA KILA SIKU ASUBUHI, MCHANA NA USIKU

Image may contain: 3 people, text
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kila kitu ambacho kinazuia kutimizwa kwa mipango yako kamili katika maisha yangu. Ninaamuru na kutangaza kwamba kila mnyororo, kamba, gereza, pingu kwamba zimefunguliwa, zimekatwa, na kuondolewa kutoka kwenye maisha yangu katika jina la Yesu.
Baba, Bwana Nakushukuru, kwamba wewe pekee ndiye hakimu wa maisha yetu, kwa mujibu wa Yeremia 17:9-10 Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? Mimi, Bwana, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.
Baba naomba katika jina la Yesu, kwa mujibu wa Zaburi 22:19 Nawe, Bwana, usiwe mbali, Ee Nguvu zangu, fanya haraka kunisaidia. Baba naomba kwamba utusaidie, na kutupa uvumilivu wa kusubiri mapenzi yako kutimizwa.
Baba katika jina la Yesu, neno lako liniasema katika Isa 41:10-12 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu. Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia. Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
Baba, ninakubaliana na neno lako lenye nguvu, uweza, uhakika, na la kujiamini, kwamba utawalinda watu wako dhidi ya maadui. Umetuambia kwamba kisasi ni chako asema Bwana, na utawalipa waovu. Bwana Ninakushukuru, kwa ajili ya ulinzi wako, na neno lako la nguvu na la ukombozi. Katika jina la Yesu.
Baba tunakushukuru kwa neno lako linalosema katika Ayubu 5:12 Yeye huyatangua mashauri ya wadanganyifu, Mikono yao isipate kuyatimiza makusudi yao. Baba wa Mbinguni, ninachukua mamlaka ya neno lako kufunga, kufuta na kung’oa mipango yote miovu ya adui, nakuifanya kuwa utupu, batili, na kuifuta kwa jina la Yesu.
Baba katika jina la Yesu, umesema katika Zaburi 27:2 "Watenda mabaya waliponikaribia, wanile nyama yangu, watesi wangu na adui zangu, walijikwaa wakaanguka." Asante Bwana kwa ulinzi wako. Asante Bwana, kwasababu unatalnda. Wakati maadui zetu wanakuja kula nyama yetu, tunakuwa dhaifu, tumelala kiroho, tumekata tamaa, lakini uwezo wako katika damu umeruhusu maadui kuanguka ndani ya shimo la kuzimu. Asante Mungu wa huruma na neema, kwa upendo wako wa milele kwa watu wako.
Baba neno lako linasema nami katika Luka 10:19 kwamba “Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.” Bwana natumia uwezo wako na mamlaka yako, ili kuvunja, kubamiza, kuponda, kung’oa, kutawanya vipande vipande, kila mipango ambayo shetani ameandaa dhidi ya maisha yangu, familia yangu, huduma yangu, nyumba yangu, uhusiano, fedha, na vitu vyote vilivyo vyangu. Nakushukuru Bwana, na ninadai ushindi kamili katika jina la Yesu.
Baba nasimama sawa sawa na neno lako katika Ayubu 6: 8 linalosema “Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!” Bwana Naomba katika jina la Yesu kwamba ombi letu utalijibu kulingana na mapenzi yako na kwa wakati, na utatupa vitu vilivyomo katika mapenzi yako kwa ajili yetu.
Baba katika jina la Yesu kulingana na Wafilipi 4:6 unatuambia “Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.” Bwana nakushukuru, kwamba tunaweza kuja kwako wakati wowote kwa maombi ili haja zetu zijulikane kwako.
Baba kama ulivyosema katika Zaburi 23:1 Wewe ni mchungaji wangu, sitapungukiwa au kukosa vitu vyovyote vizuri katika maisha yangu. Wewe ni Mungu ambaye unatupatia mahitaji yetu yote. Nakiri kama ulivyosema, kwamba huwezi kuzuia mambo yoyote mazuri kwa watoto wako. Baba nadai faida zako zote za kiroho, na za kimwili. Katika Jina la Yesu.
Baba umetuambia katika neno lako, katika Luka 17:6 kwamba “Bwana akasema, Kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, Ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” Baba nachukua mamlaka ya neno lako leo, na kung’oa madeni yote ya kifedha, kila mapambano, kila misiba, kila ukosefu, uhitaji, na roho zote zinazoshambulia fedha zetu, afya, ndoa, nyumba, watoto, huduma, kazi zetu, na yote yaliyo yetu. Nazifunga, nakuzing’oa toka kwenye maisha yetu, na kuzitupa katika bahari. Katika jina la Yesu.
Baba umeniambia katika 2 Tim. 4:18 kwamba “Bwana ataniokoa na kila neno baya, na kunihifadhi hata nifike ufalme wake wa mbinguni. Utukufu una Yeye milele na milele. Amina.” Baba nakushukuru kwa kuwa umeniokoa na kila matendo maovu ya adui, na kunihifadhi kwa ajili ya ufalme wako wa mbinguni. Baba ninasimama sawa sawa na neno lako na kuyafunga kila matendo maovu, yaliyofanywa maishani kwangu, watoto wangu, familia yangu, nyumbani kwangu, huduma yangu, afya yangu, fedha zangu, mustakabali wangu na vitu vyote tunavyomiliki. Ninayafunga toka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini, mbingu ya pili, katika maji, kwenye moto, katika hewa, katika ardhi, katika maeneo, katika mazingira, na kila maeneo chini ya jua, mwezi, nyota, na sehemu nyingine zote za siri yanakojificha. Ninaachilia neno lako, damu ya Yesu, na jina lako dhidi yao, katika maeneo hayo yote, kwamba yatakuwa yamefungwa milele na milele amina.
Baba natumia funguo muhimu katika Mathayo 18:18 kwamba “na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.” Ninajifungua, pamoja na kila kitu changu, toka kila mnyororo, vifungo, pingu, na kamba katika jina la Yesu.
Baba kama ulivyosema katika kitabu cha Hesabu 11:1. Nasimama kwenye mamlaka ya neno lako, na amrisha moto ushuke kutoka mbinguni na kuharibu kila roho ya kurudi nyuma ambayo imewekwa na adui katika maisha yetu. Katika jina la Yesu.
Baba, Bwana nasimama sawasawa na neno lako katika Joshua 1:8. Naomba maneno yako yasindoke vinywani mwetu wala mioyoni mwetu, bali tuyatafakari mchana na usiku, ndipo tutakapoifanikisha njia yetu.
Bwana ninaomba mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, niyatafakari hayo sawasawa na neno lako, katika Wafilipi 4: 8.
Baba umeniambia katika 2 Timotheo 1:7 kwamba Mungu hakunipa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi. Baba napinga roho ya woga, nakataa kuwa na wasiwasi, au kukatishwa tamaa. Nautumia nguvu yako na mamlaka juu ya kila mipango na miradi ya adui. Nadai ushindi kamili juu ya nguvu zote za giza, katika jina la Yesu.
Baba neno lako linasema katika Yer 23:29 " Je! Neno langu si kama moto? Asema Bwana; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande? Baba katika jina la Yesu, natumia moto wa Mungu kuteketeza kila uovu dhidi yangu, na wapendwa wangu, toka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini. Natumia nyundo ya neno la Mungu kuvunja kila uovu wa vifungo vya nafsi, uhusiano wa damu, uchawi na laana zote mababu, uliopitia kwa uzao wetu. Najifunika, pamoja na kizazi cha pili, cha tatu na cha nne, kwa damu ya Yesu. Naachilia baraka za Bwana juu yetu, baraka za kizazi hadi kizazi, baraka za Ibrahimu, na baraka zote. Katika jina la Yesu.
Baba katika jina la Yesu. Navaa silaha zote za Mungu, napokea chapeo ya wokovu, navaa dirii ya haki kifuani, natwaa ngao ya imani, najifunga kweli kiunoni, nafungiwa miguu yangu utayari niupatao kwa injili ya amani na upanga wa roho ambao ni neno la Mungu kwa sala zote na maombi nikisali kila wakati katika Roho kwa mujibu wa Efeso 6: 10-18
Baba kwa mujibu wa neno lako katika Yer 30:17 Ulisema “Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema Bwana.” Nakushukuru kwa kutuponya machungu yetu, majeraha, makovu, na maumivu. Nakushukuru kwa ajili ya kuturejesha tena. Katika Jina la Yesu.
Baba katika Isa 53: 4-5, Ulisema “Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona." Bwana nakushukuru kwa neno lako, lina nguvu, linatupatia nguvu, ujasiri, ulinzi, na uponyaji katika jina la Yesu.
Baba nakushukuru, kama ulivyosema katika Zaburi 46:1 kwamba wewe ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. Nakushukuru kwa kuwa tunaweza kukuita wakati wa shida.
Baba nasimama sawa sawa na neno lako katika Marko 3:27. Namfunga huyo mtu mwenye nguvu, nakuvunja kila vizuizi, kamba, vifungo, pingu, minyororo, minyororo ya utumwa, kutoka katika maisha yangu, wapendwa wangu, na yote yaliyo yangu. Ninaamrisha mali za mwenye nguvu kuharibiwa, sasa na hata milele. Katika jina la Yesu.
Baba nakushukuru kwa ulinzi wako, ulisema katika neno lako katika Kutoka 23:27 " Nitatuma utisho wangu utangulie mbele yako, nami nitawafadhaisha watu wote utakaowafikilia, nami nitawafanya hao adui zako wote wakuonyeshe maungo yao na kukimbia. Namshukuru wewe Bwana, kwa nguvu iliyopo katika neno lako ambayo husababisha maadui kuonyesha maungo yao na kukimbia. Katika jina la Yesu.
Baba katika jina la Yesu ninafungua machafuko na upofu wa mungu wa dunia hii, kutoka kwenye akili zetu, ambazo zinatuzuia kuona mwanga wa injili ya Kristo. Ninaita kila neno la Mungu linaloingia kwenye akili zetu, na moyo liinuke kwa nguvu ndani yetu.
Baba wa Mbinguni, asante ninakushukuru wewe, ninakutukuza wewe, ninakuabudu wewe, nakushukuru kwa neno lako katika Kumbukumbu 28:7 Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba. Asante kwa nguvu yako, ulinzi, na usalama ambao umetoa kwa watoto wako, tukitumia neno, maadui si tu watakimbia, bali watakimbia kwa njia saba kutoka kwetu, katika jina la Yesu.
Baba nakushukuru, kwa mikono yako imara, na mkono wako wa haki wa kulia. Umetuambia, katika 1 Petro 5: 7 Tumtwike yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu. Bwana nakushukuru kwa kujishughulisha na mambo yetu, nakushukuru kwa kuwa tayari kwa ajili yetu wakati tunakuhitaji.
Baba katika jina la Yesu ninaliadhimisha jina lako; nakupa heshima na utukufu wote unaotoka kwenye jina lako takatifu. Neno lako linaniambia katika Joshua 1:5 “Hapatakuwa mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako; kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe; sitakupungukia kamwe wala sitakuacha.” Asante Bwana kwa ulinzi wako, na baraka.
Baba nakushukuru kwa neno lako katika 3 Yohana 1:2 linasema kwamba mipango yako kwa ajili yetu ni ya kutufanikisha, na kuwa na afya njema kama vile roho zetu zifanikiwavyo. Natumia mamlaka ya neno lako, na kudai ustawi, afya, furaha, mafanikio, amani ya akili, baraka, na kila mambo mema ambayo umepanga tupate, juu ya maisha yangu, wapendwa wangu, mali na vitu vyote nilivyonavyo, katika jina la Yesu.
Baba wa mbinguni neno lako katika Luke 8:11 linatuambia kwamba neno lako ni mbegu, na mioyo yetu ni ardhi. Bwana ninakuomba utayarishe mioyo yetu kupokea neno lako na kulificha katika mioyo yetu, tusitende dhambi dhidi yako, kwa jina la Yesu.

WAISLAM WANAFANYA KAFARA YA DAMU YA WANYAMA WAKIWA HIJA MAKKA

Image may contain: one or more people
Ndugu yangu msomaji, Hija ni Ibada kubwa kabisa kwa Muislamu ambayo hutakiwa kuifanya angalu mara moja katika maisha yake kwa mwenye uwezo (fedha) na kwa kawaida Hija hii hufanywa katika nchi ya Saud Arabia katika mji wa Makka ambao waislamu wanaitikadi kuwa ndio mji wao mtakatifu. Mwislamu anapokuwa Hija kuna Ibada ya kutoa Kafara (kuchinja) wanyama k.m Ngamia, Kondoo, Mbuzi ili iwe kama fidia ( ransom) kwa dhambi alizofanya.
Katika kitabu kiitwacho “VIPI UHIJI” kilichoandikwa na A.Suleiman uk 22 kinaelezea kafara anayopaswa kuifanya Muhirim anayehiji kwa kufanya mapenzi akiwa Makka,
“Kafara ya Mhirim kwa kufanya Mapenzi ni kuchinja (bila kuchelewa katika siku za hija) Ngamia mwenye umri wa miaka mitano. Ikiwa hutapata Ngamia utachinja ng’ombe, ikiwa hatapata ng’ombe basi kondoo au mbuzi saba, ikiwa hawatapatikana basi atakisia dhamani ya ngamia na kwa dhamani hiyo atanunua ngano na kuwagawia maskini wa Maka. Ikiwa yote hayo hakuweza basi itampas afunge siku moja kwa kila lita 0.51 za ngano ambazo zingeweza kununuliwa katika dhamani ya ngamia”
Hivi ndivyo anavypaswa kutoa kafara Mwislamu akiwa Hija huku akiamini kuwa dhambi alizofanya kwa kufanya Mapenzi zitasamehewa kwa kutoa kafara ya wanyama au ngano (unga) lakini tusomapo Biblia katika
Amosi 5:21,26 Inasema
Mimi nazichukia sikukuu zenu, nazidharau, nami sitapendezwa na makutano yenu ya dini naam ijapokuwa mnanitolea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za unga, SITAZIKUBALI wala sitaziangalia sadaka zenu za amani na wanyama walionona. Naam mtamchukua Sikuthi mfalme wenu, na Kiuni sanamu zenu, nyota ya mungu wenu mliojifanyizia wenyewe.
Mwislamu huyu anapokuwa hija pamoja na kuiita kuwa ile ni ibada takatifu ,lakini maneno anayoyatamka siku hiyo ya mwisho wa hija ni maneno ya kukatisha tama sana , kwa sababu yanadhihirisha kuwa pamoja na mambo yote anayoyafanya huyu Mwislamu lakini bado hajapata uhakika wa msamaha wa dhambi zake.
Tunasoma katika kitabu kiitwacho VIPI UHIJI ule Uk.66-67
“Ee Mola nyumba ni yako, mja wako mwana wa waja wako wawili. Umenileta juu ya kiumbe uliyemfanya anitii, kunileta mji wako kunionyesha neema yako ili niweze kutimiza amal zako. Ikiwa umependezwa na mimi, basi zidi zaidi kupendezwa nami.
Ikiwa hujapendezwa nami nibariki hivi sasa kabla nyumbani kwangu na kwahala ninakokwenda hakujawa mbali na nyumba yako. Sasa hivi wakati wa kuondoka umewadia ukiniruhusu. Sitafuti chochote isipokuwa ridhaa yako na nyumba yako. Ewe Mola nipe afya ya kiwiliwili na unihifadhi katika dini yangu. Ifanye hali yangu kuwa bora na unidumishe katika utiifu kwako kwa muda wote utakao niweka hai. Nipe yaliyo bora katika huu ulimwengu na katika akhera kwani wewe ni muweza wa kila kitu”
Rafiki yangu mpendwa Mwislamu napenda nikujulishe kuwa Yesu kama kafara ya Mungu mwenye haki alalipia dhambi zako msalabani. Mkristo ameondolewa na kuwekwa huru katika Hukumu ya Mwisho.Yesu ametufanya tuhesabiwe haki kutoka na mashtaka na lawama aya shetani, Mkristo haishi tena chini ya sheria (sharia) bali anaishi katika neema ya Mungu.
Hawasumbuki kujiokoa wenyewe kwasababu wanae Mwokozi kwa bahati mbaya neno upatanisho (atonement) au wazo linalohusika na wokovu wa neema halimo katika Qur’an na Uislmau kwa ujumla.
Na Mwalimu Chaka wa Musa
For Max Shimba Ministries Org.

KWANINI ALLAH ALIUMBA UCHAWI?

Image may contain: 1 person
NINI MAANA YA UCHAWI?
"Uchawi ni makubaliano baina ya mchawi na Jinni akishurutishwa mchawi kufanya mambo ya haramu au ya shirki, na baada ya kufanya hayo, Jinni anashurutishwa kumsaidia na kumtii mchawi huyo kwa kila anachotaka."
Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “LisanulArab” amesema:
“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na Shaytwaan na kwa msaada wake (Shaytwaan)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.”
Ama Swahaba Ibni 'Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema.
"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki."
Hayo ni katika kamusi za lugha.
Huu ni Msiba Mkubwa sana katika taifa la Muhammad. Mara nyingi Wakristo wamekuwa wanajiuliza, hivi, uchawi ulitokea wapi na mwanzo wake ni nani?
Leo Quran inakujibu kuwa Uchawi ULIUMBWA NA Kuteremshwa na Allah, HIVYO BASI wachawi nambari moja ni Waislam.
Nafahamu unafikiri kuwa Max Shimba anawasingizia Waislam au sio?
Hapa inafaa tufahamishane kuwa ushirikina ni jambo ovu linamtia mtu motoni. Kwenda kwa wachawi, wapiga ramli ni katika ukafiri na ushirikina.
Hebu soma Ushahid huu wa Quran:
SURAT TAHA: 73. Hakika sisi tumemuamini Mola wetu Mlezi ili atusamehe makosa yetu na uchawi ulio tulazimisha kuufanya. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mbora na Mwenye kudumu zaidi.
Kwenye Surat Taha ayat 73 kama ilivyo teremshwa Makka kwa Muhammad na kutafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani inasema kuwa ALLAH ANAWALAZIMISHA WAISLAM KUUFANYA UCHAWI. Huu ni msiba ndugu zangu. Swali la kujiuliza, hivi, tokea lini Mungu akawa mchawi? Hivi huu uchawi ulio teremshwa na Allah unafaida gani kwa Wislamu?
Hebu tuingalie tafsir ya pili ya Surat Taha aya 73 kama ilivyo tafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin inasema: 73. Kwani hakika sisi ni wenye kusimama juu ya Imani kumuamini Mola wetu Mlezi wa Haki, ili atufutie madhambi yetu yaliyo pita, na atusamehe huku kushughulikia uchawi ulio tulazimisha tujifunze na tuufanye! Na Mola wetu Mlezi ni Mbora wa malipo kuliko wewe, akit'iiwa; na ufalme wake na uwezo wake kulipa unadumu zaidi kuliko wako.
1. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kujifunza Uchawi.
2. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kuufanya Uchawi.
Ndugu msomaji, leo sina mengi ya kusema maana umesoma Mwenyewe kutoka Quran kuwa Allah aliteremsha uchawi na kawalazimisha Waislam wajifunze na kuufanya uchawi.
Nawashauri Wakristo wenye marafiki wa Kiislam wawe makini, maana huyo rafiki yako anaweza kuwa ndiye anaye-kuroga kwasababu kalazimishwa na Allah kufanya hivyo.
Nimenukuu quran aya ya 2:102 na maelezo/ufafanuzi wake hapo chini kutoka tafsiri mbili za quran (Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy na Tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani). Aya hii na maelezo/ufafanuzi wake inaonesha mambo yafuatayo:
(a) Uchawi umeteremshwa na malaika wa Allah
(b) Kuna wachawi wa kiislam.
(c) Uchawi ni amali ya ukafiri
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi. Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
MASWALI
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, Kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka ateremshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi kama Muhammad?
Quran 2:102 inasema:
Wa Attaba`ū Mā Tatlū Ash-Shayāţīnu `Alá Mulki Sulaymāna Wa Mā Kafara Sulaymānu Wa Lakinna Ash-Shayāţīna Kafarū Yu`allimūna An-Nāsa As-Siĥra Wa Mā 'Unzila `Alá Al-Malakayni Bibābila Hārūta Wa Mārūta Wa Mā Yu`allimāni Min 'Aĥadin Ĥattá Yaqūlā 'Innamā Naĥnu Fitnatun Falā Takfur Fayata`allamūna Minhumā Mā Yufarriqūna Bihi Bayna Al-Mar'i Wa Zawjihi Wa Mā Hum Biđārrīna Bihi Min 'Aĥadin 'Illā Bi'idhni Al-Lahi Wa Yata`allamūna Mā Yađurruhum Wa Lā Yanfa`uhum Wa Laqad `Alimū Lamani Ashtarāhu Mā Lahu Fī Al-'Ākhirati Min Khalāqin Wa Labi'sa Mā Sharaw Bihi 'Anfusahum Law Kānū Ya`lamūna
Quran 2: 102(Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy) inasema: Wakafuata yale waliofuata mashetani wakadai kuwa yalikuwa katika ufalme wa (Nabii) Suleiman; na Suleiman hakukufuru, bali mashetani ndio waliokufuru, wakiwafundisha watu uchawi (waliokuwa wakiujua wenyewe tangu zamani na uchawi) ulioteremshwa kwa malaika wawili, Harut na Marut, katika (mji wa) Babil. Wala Malaika hao hawakumfundisha yoyote mpaka wamwambie: “ Hakika sisi ni mtihani (wa kutazamwa kutii kwenu); basi usikufuru.” Wakajifunza kwao ambayo kwa mambo hayo waweza kumfarikisha mtu na mkewe (na mengineyo). Wala hawakuwa wenye kumdhuru yeyote kwa mambo hayo ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza ambayo yatawazuru wala hayatawafaa Na kwa yakini wanajua kwamba aliyehiari haya hatakuwa na sehemu yoyote katika akhera. Na bila shaka ni kibaya kabisa walichouzia (starehe za) nafsi zao (za Akhera). Laiti wangalijua, (hakika wasingefanya hivi). (Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa 25-26)
Nanukuu Maelezo/ Ufafanuzi wa quran 2: 102
Suleiman aliyetajwa hapa ni nabii, Mayahudi wanamwita Nabii Suleiman kuwa ni mfalme aliyepata ufalme kwa uchawi, si Mtume. Basi na hawa wachawi wa kiislam humnasibishia Nabii Suleiman hizo ilimu zao za uchawi. Basi Mwenyezi Mungu anamkanushia haya. Na aya hii yaonesha wazi kuwa
(a) uchawi ni amali ya ukafiri na
(b) kuwa mchawi hawezi kumdhuru mtu ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na
(c) kuwa mchawi mwenyewe anadhurika kwa uchawi wake. Na anataja hapa Mwenyezi Mungu kuwa nyuma huko kabisa katika zama za mfalme
Qura 2:102.(Tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani) Inasema:
Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.
Mungu awarehemu na kuwasamehe ndugu zetu wote wanao fanya Uchawi. Maana Biblia inasema kuwa WACHAWI WOTE WATAINGIA JEHANNAM. 1 Samweli 15 : 23 .......... dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la Bwana, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.
Ndugu msomaji, mpokee Yesu aliye hai na upate uzima wa milele. Dini haita kusaidia kitu, maana sasa unaelewa kuwa, ni dini ambayo inakufanya uwe mchawi na kuachana na upendo wa Mungu.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Muslim Man Marries Young Bride And Proceeds To Slice Off Her Nose, Then The Abuse Gets Even Worse


AImage result for muslim man cuts wife's nosen unfortunate Muslim wife has almost literally loses her face after an inhumane torture acquired after requesting to her husband for one thing.
When a Muslim man married an 18-year-old girl, he believed he was acquiring a subservient wife who would fulfill his every desire. However, as soon as she stood up to him and made a very “dishonorable” request, that’s when she received the horrific punishment from her husband.
Over 1,400 years ago, the Islamic Prophet Muhammad told his followers that men are superior to women by right of Allah and that they must prove this to disobedient wives by physically beating them. The most devout Muslim men obey this scripture from Quran 4:34, although many get a little too creative with what Allah has commanded.
After Alamzeb Rehman married 18-year-old Gul Shifa in Karmang, Pakistan, he soon realized that his teen bride needed extra instruction on how to be a good Muslim wife. Faithfully adhering to Quranic scripture and Muhammad’s own demonstration of wife-beating, Alamzeb took to regularly beating his young wife for two years, hoping that she would learn to submit. Instead, she mustered up the courage to request something wholly un-Islamic — a divorce.
Gul Shifa said her husband Alamzeb subjected her to mistreatment because she was trying to walk out of a bad marriage.
In her complaint to the DPO, the 20-year-old from Ahal village said she was 18 when she was married off to Alamzeb, son of Abdul Rehman, from Karmang village.
Soon after their marriage in August 2014, Gul attempted to escape her new husband’s brutality by running back to her parents’ house. On two separate occasions, the battered and terrified woman was returned to Alamzeb, who had convinced her father that he would stop the abuse.
After a third instance, an assembly of religious leaders called a jirga came together to decide the couple’s fate. Adopted by many Muslims in Pakistan, the jirga concluded that Gul should not be granted separation from Alamzeb and that she should be returned to his house immediately.
The hapless woman saw no other route but to escape. Fearing she may be sent back into the abusive relationship, Gul Shifa chose not to go back to her parental home.
She reached Gandiyan Bridge, a few kilometres from her house, by foot.
“Tired of the constant walking, I decided to rest under a tree for a few minutes,” she said.
“That is when a police van stopped near me and the personnel took me back to my husband’s home after questioning.”
Gul Shifa said her husband severely beat her again when she returned home.
This was the final straw that prompted Alamzeb to accuse Gul of adultery, which subsequently increased the number and severity of her beatings. It was not long after her return that Alamzeb locked her in her room and invited over his brother to carry out his gruesome plans.
While there, the men attempted to force Gul under horrific torture to confess to having an affair. When she refused, they shaved her head, hacked off her nose with a kitchen knife, and began round two of their torture session.
“They also burnt my body parts repeatedly with a hot iron,” she said.
As Gul lie bleeding and near death, she cried for her husband to bring her to a local hospital. The brothers even denied her access to a medical facility as they feared legal action. Instead, the brothers offered their own inexperienced medical treatment, bandaging her various wounds to little avail.
The woman said both the brothers had gone out to a market in Karachi when she escaped and managed to reach her parents’ home back in Ahal village where they rushed her to receive the emergency medical attention that saved her life. When she spoke of her nightmare, her family took her to the police station, but officers refused to file a case as the offence was committed in Karachi.
Permanently disfigured and suffering from the trauma she endured, it’s recently come out that Gul’s horrific plight could’ve easily been prevented by authorities several times.
However, she then proceeded to the district police officer who ordered that an FIR should be registered, and arrest of the suspects.
The police sent her for a medical examination and said a case would be filed after the results are obtained.
Police are currently investigating Gul’s case. Fortunately, Rafique has been arrested, but Alamzeb is still on the run, believed to have fled back to his home village in Karachi.
This kind of abuse is not only prevalent in Islam, it is a fundamental of the violent ideology. From the moment Muhammad ordered men to beat their wives, and beat his own in the process, billions of Muslim men would be encouraged and justified in domestic abuse over the next millennium. Since their prophet’s tyrannical reign, Muslims have committed 91 percent of honor killings worldwide, and it is only increasing in brutality and number.
Sources:  MWN

JE UNAIJUA HOJA KUBWA NA PEKEE YA WASABATO "SDA" KUHUSU KUSHIKA SABATO? SEHEMU YA TATU

Image may contain: 1 person, standing and outdoor
3. MUNGU SI MTU HATA ASEME UONGO 
Wakinukuu andiko la Hesabu 23:19 kwa hiyo wanasema eti kwa kuwa Mungu alisema mtaishika Sabato (Kutoka31:16) basi ni lazima kuishika tu na kamwe Mungu hawezi kusema uongo akiagiza kuishika ni lazima iwe kushika, jibu la hoja hiyo ni hili. Ni kweli Mungu si mtu hata aseme uongo lakini ni lazima tuelewe Mungu ni mwamuzi wa yote,yeye ndiye mfanya sheria na pia ndiye muondoa sharia (Isaya 33:22) Mungu akiweka sheria halafu akaiondoa na kuiweka nyingine haimfanyi Mungu kuonekana muongo au haimaanishi kuwa Mungu kasema uongo.
Mungu aliye iweka sheria ya Sabato ya mwilini na ndiye mwamuzi wa kuiondoa na hakuna wa kumuuliza, vyote ni vyake yeye Mungu baada ya kuweka sheria ya Sabato ya mwilini au ya kupumzika Jumamosi akaahidi kuikomesha au kuisitisha au kuivunja (Hosea 2:11) na anatimiza kwa kuivunja (Yohana 5:2-9) kubeba mzigo siku ya sabato ilikuwa ni kuivunja Sabato (Yeremia 17:21) na huyu Yesu aliyevunja sabato ndiye aliye tuamuru watu wote duniani kumuiga Yesu katika yote ikiwemo na la kuvunja Sabato (Mathayo 11:29).
USIKOSE SEHEMU YA NNE
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

KWANINI WACHAWI WANAVAA MSAHAFU MGUUNI NA KUINGIA NAO CHOONI?

Image may contain: one or more people and text
NINI MAANA YA UCHAWI?
Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “LisanulArab” amesema:
“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na Shaytwaan na kwa msaada wake (Shaytwaan)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.”
Ama Swahaba Ibni 'Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema:
"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki."
Hayo ni katika kamusi za lugha.
Amma katika kamusi ya dini, maana ya neno Uchawi (As Sihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwa Fakhruddin Al Razi kuwa;
"Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)."
Amma Shaykh Wahiyd Abdulsalaam Bali, mwandishi wa kitabu maarufu kiitwacho 'Al Saarim Al Batar fiy muhaarabat Al Saharatul ashraar', na kitabu kiitwacho "Al wiqaya mina l jinni wa shaytan", ambaye pia ni mtaalamu maarufu katika elimu ya majini na Mashaytwaan na uchawi na ambaye pia ni katika maulamaa maarufu wanaotoa majini kwa njia ya kusoma Qur-aan, yeye anasema:
"Uchawi ni makubaliano baina ya mchawi na Jinni akishurutishwa mchawi kufanya mambo ya haramu au ya shirki, na baada ya kufanya hayo, Jinni anashurutishwa kumsaidia na kumtii mchawi huyo kwa kila anachotaka."
Baadhi ya yale ambayo mchawi anatakiwa na Shaytwaan ayatende ili ajikurubishe naye ni:
 Mchawi anatakiwa auvae msahafu miguuni na aingie nao chooni
 Aandike baadhi ya aya za Qur-aan kwa damu ya hedhi.
 Miongoni mwao wanashurutishwa kuandika aya za Qur-aan penye nyayo za miguu.
 Au aiandike suratul Fatiha kinyume nyume.
 Asali bila ya Udhuu.
 Wengine hutakiwa kuchinja mnyama na kulitaja jina la Allaah kisha amtupe mnyama huyo mahali maalum anapoamrishwa na Shaytwaan.
 Wamo miongoni mwao wanaozungumza na nyota au kuzisujudia.
 Au hutakiwa kuandika herizi kwa maneno yenye kufru ndani yake
USILIKOSE SEHEMU YA PILI == VIPI TUNAWEZA KUMJUA MCHAW

MAANDIKO YA MAOMBI YA UPONYAJI

Image may contain: text
1. Zaburi 91:16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
2. Zaburi 103:3 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, Wala usizisahau fadhili zake zote.
Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote
3. Yeremia 30:17 Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema Bwana, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, ambao hapana mtu autakaye.
4. Zaburi 118:17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.
5. Yohana 10:10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
6. Zaburi 107:20 Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

UNAFAHAMU KUWA NABII WA WASABATO ELLEN G. WHITE JUMLA YA GEMATRIA YAKE NI 666?

Image may contain: text
Nini maana ya 666?
Katika Ufunuo sura ya 13, namba 666 hubainisha mtu, si tarehe. Ufunuo 13:18 inatuambia, "Hapa ndipo penye hekima. Yeye mnyama huyo; maan ni hesabu ya sita, sitini na sita. Kwa karne silizopita watafsiri wa Biblia wamekuwa wakijaribu kutambua baadhi ya watu wenye 666. Hakuna kubaliano kamili. Hiyo ndio sababu Ufunuo 13:18 inasema namba hii inahitaji hekima.
Sasa tangia 666 ni namba la jina lake huyu mnyama aliye tajwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, hebu tuangalie kama jina la ELLEN G WHITE, nabii na mwanzilishi wa dhehebu la Wasabato anakidhi hii namba.
Sasa tuangalia GEMATRIA ya jina lake:
Ellen = L+L=100,
Gould = U+L+D = 555,
White = a double 'U' = 2 'V's +1 = 11.
Jumla ya hizo namba hapo juu tunapata 100 + 555 + 11 = 666
Hivyo basi, Ellen Gould White, mwanzilishi wa "Seventh Day Adventist" ana jumla ya namba 666. Mimi simuhukumu Ellen G White bali nawaonyesha tu wasomaji na mfanye maamuzi yenu wenyewe.
ELLEN GAULD WHITE.
L=50
L=50
E=
N=
G=
A=
U=5
L=50
D=500
W=10
H=
I=1
T=
E=
Jumla ni 666
Hebu sasa twende mbele zaidi na tuangalia kauli mbiu ya Wasabato, je, na yenyenewe inakidhi namba 666 kama ilivyo kwa Ellen G White?
CURE VITAL SEVENTH DAY.
C=100
U=5
R=
E=
V=5
I=1
T=
A=
L=50
S=
E=
V=5
E=
N=
T=
H=
D=500
A=
Y=
Jumla ni 666
Huyu ndie nabii mwanamke wa Wasabato na mmilki wa namba 666 aliyetabiriwa katika kitabu cha Daniel na Ufunuao Daniel 9:27 17:5, 13:18.
Huu ni mtindo wa manabii wa kiyahudi ujulikanao GEMATRIA yaani kukuokotia herufi kwenda namba.
Je, mnakata niweke na thibitisho la kujiita sauti ya Mungu alilo lidai Ellen G White kuwa ni 666?
USIKOSE "ELLEN G WHITE 666"
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Krito, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

JE UNAIJUA HOJA KUBWA NA PEKEE YA WASABATO "SDA" KUHUSU KUSHIKA SABATO? SEHEMU YA NNE

Image may contain: sky, cloud, text, nature and outdoor
4. WANASEMA MUNGU ALISEMA HAWEZI KULIVUNJA AGANO LAKE NA HAWEZI KUBADILI NENO LILILOTOKA KINYWANI MWAKE
Kwahiyo wanasema Mungu aliweka agano na mwanadamu na agano hilo ni agano la Sabato na kwa kuwa Mungu alisema watu waishike Sabato basi hawezi kamwe kulibadili neno lake.
Wakinukuu maandiko yafuatayo Zaburi 89:34 na Kutoka 20:8-11. Majibu ni haya, ni muhimu kujua andiko hili la Zaburi 89:34 linazungumzia agano gani, kwa kuwa katika Biblia kuna maagano mengi ambayo Mungu alifanya na wanadamu kwa mfano;
Mungu alifanya agano na Nuhu na kizazi chake (Mwanzo 6:18, 9:9,11-12) Mungu alifanya maagano kadhaa na Ibrahim (kama mawili) na maagano hayo alifanya na Ibrahim na vizazi vyake yaani Isaka, Yakobo na watakaofuata. Agano la kwanza ni la kupewa Nchi ya Kanaani ambayo ndiyo Israeli (Mwanzo 15:18, Kutoka 2:24, Zaburi 105:8-11)
Agano la pili ni la kutahiriwa (Mwanzo 17:9-14). Sasa, Mungu aliposema “sitalihalifu agano langu” na "sitalibadili neno lililotoka kinywani mwangu" alikuwa anazungumzia nini?
Hapa alikuwa anazungumzia agano la Daudi, sio agano la Sabato angalia Zaburi 89:3-4,9-34-35) katika agano hilo na Daudi, Mungu hatalihalifu, na hatalibadili neno lililotoka mdomoni mwake alilosema kuwa amefanya agano na mteule wake Daudi, amemwambia Daudi, kuwa wazao wake atawafanya imara milele, na maneno yote yanayosemwa katika Zaburi 89:3-4,19-35 yanazungumzia agano la Daudi sio agano la Sabato.
USIKOSE SEHEMU YA TANO.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

KIVIPI UTAWEZA KUMJUA MCHAWI?

No automatic alt text available.
Zifuatazo ni dalili zitazokuwezesha kutofautisha baina ya mganga na mchawi. Utakapoona mojawapo ya dalili zufuatazo utambuwe kuwa huyo ni mchawi bila shaka yeyote-
 Mchawi huuliza jina la mgonjwa na jina la mama yake
 Huchukua baadhi ya vitu vya mgonjwa kama vile nguo za nje au za ndani au kitambaa cha kufutia jasho n.k.
 Hutaka mnyama mwenye sifa maalum au rangi maalum ili achinjwe na anapigiwa BismiLLaahi anapochinjwa
 Huandika hirizi kwa aya za Quran na wino mwekundu.
 Husema maneno yasiyojulikana kwa lugha ya Kiarabu.
 Humtaka mgonjwa aepukane na watu muda maalum na akae katika chumba kisichofikiwa na juwa
 Mara nyengine humtaka mgonjwa asiguse maji muda wa siku arubaini hivi (anasema Shaykh Wahiyd Abdulsalaam Bali kwamba akikutaka ufanye hivyo ujue kwamba Jinni anayemtumikia mchawi huyo ni muislam)
 Humpa mgonjwa vitu ili avifukie ardhini
 Humpa mgonjwa karatasi aziunguze kisha ajifukize na moshi wake
 Mara nyengine humwambia mgonjwa jina lake na mji anaoishi
 Huandika maneno katika karatasi na kumwambia mgonjwa azichemshe na kunywa maji yake
UKIONA DALILI HIZI KWA MGANGA UMJUE HAPOHAPO KUWA NI MCHAWI NA UEPUKANE NAYE
Mungu awarehemu na kuwasamehe ndugu zetu wote wanao fanya Uchawi. Maana Biblia inasema kuwa WACHAWI WOTE WATAINGIA JEHANNAM.
1 Samweli 15 : 23 .......... dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la Bwana, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.
Ndugu msomaji, mpokee Yesu aliye hai na upate uzima wa milele. Dini haita kusaidia kitu, maana sasa unaelewa kuwa, ni dini ambayo inakufanya uwe mchawi na kuachana na upendo wa Mungu.
Katika huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

Where are the names of the Apostles of Jesus (ʿĪsā ibn Maryam) in the Qu...

Where are the names of the Apostles of Jesus (ʿĪsā ibn Maryam) in the Qur’an? If ʿĪsā was truly a Muslim—a servant of Allah preaching Islam—...

TRENDING NOW