Sunday, March 25, 2018

UISLAM NI DINI YA KULAZIMISHANA

Image may contain: one or more people and people sitting

HAWA WAISLAM WAMELAZIMISHWA KWENDA MSIKITINI KUMSALIA MAREHEMU MUHAMMAD, WAMEAMUA KUCHAT NA KUWA WHATSUPP.

MSIBA SASA UMEINGIA MSIKITINI

Kutoka na al Shafi : "The Ordinances of the Quran", Muhammad alilazimisha watu wajiunge nae au aliwauwa watu walio mkataa. Soma Bukhari 53:386.

Vinyo hivyo, Abu Kabkr, aliye chukua baada ya Muhammad, alifanya Jihad mbaya zaidi katika nchi za jirani kwa watu walio ukataa Uislam. Katika Barua iliyo tumwa kwa Persians, Abu Bakr alisema kuwa "Silimuni na muwe waislam hapo mtakuwa huru na kama mkikataa basi eleweni kuwa nimekuja kwenu na Jeshi la Kiislam ambalo linapenda kuuwa watu, kama jinsi ninyi mnavyo penda maisha/uhai"

Hizi sifa za Muhammad sasa zinaonekana kwa akina Boko Haram, Al Qaeda, Al Shabab. Ushahid wa huu utamaduni vile vile upo kwa ISIS ambao wameuwa mamilioni ya watu huko Syria. Hata kule Afrika katika nchi ya Naijeria, Boko Haram wamekuwa mstari wa mbele kutekeleza amri hii ya Muhammad ya kuuwa Wakristo. Waislam wao wanaamini kuwa kufanya hivi ni kutekeleza matakwa ya Allah na watapewa Akhera kwa kulazimisha watu wajiunge na Uislam. Bukharu 52: 254.

Muhammad vile vile alilazimisha Wayahudi walipe JIZYA. Eti, kwasababu wamekataa kujiunga na dini yake. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuwaumiza na kuwatesa Wayahudi, ili wajiunge na Uislam dini ya Muhammad. Bukhari na Ahmed (5114 au 4869, inategemea na tafsir)

Kitu kimoja inakubidi uelewe ni kuwa, katika Uislam, matendo ni zaidi ya kuamini katika Allah. Hata hivi leo, ukienda kwenye nchi zenye Waislam wengi, huwa hawapendi uwepo wa imani au dini nyingine. Mfano Saudi Arabia, kule Zanzibar, Somalia, nk.

Mwishoe, mtoto wa Abu Sufyani, Muawiyah, alifanikiwa kuuteka na kumshinda mtoto wa kufikia wa Muhammad, Ali. Vilevile alimlisha sumu Hassan, mmoja wa wajukuu walio pendwa na Muhammad. Mjukuu wa Abu Sufyan aitwaye Yazid, akawa Caliph na akawa mkuu wa mjukuu wa Muhammad, Hussein.

Huu ndi Uislam na jinsi unavyo lazimisha watu wajiunge nao, tofauti na Ukristo ambao wao hawalazimishi, bali wafundisha kuhusu Yesu. Katika Ukristo hakuna kulazimishana kama kwenye Uislam wa Muhammad.

Shalom

YESU NI KIBOKO YA WANASAYANSI NA WANA FIZIKIA


No automatic alt text available.
Do miracles violate the laws of physics?

Yesu ndiyo kiboko ya wana Sayansi wote mnao wajua kwa sababu alivunja sheria na kanuni zote za Sayansi.

Je unafahamu kwanini aliweza kuvunja sheria na kanuni za sayansi?

UTHIBITISHO:

KAMA FLOTATION "Archimedes' Principle with Newton's Second law applied to an object in equilibrium (floating)" kwa kutembea juu ya maji bila kuzama: Mathayo 14:23-34, Marko 6:45-52

GRAVITATION FORCE "Newton's law of universal gravitation" kwa kupaa juu bila palachuti wala ndege: 1 Wakorintho 15:3-8; Ufunuo 21:3, 4; Matendo 1:1-11.

MATHEMATICS LAWS "Factorial notation" kwa kulisha watu zaidi ya 5000 Samaki 2 na Mikate 5 na kusaza: Mathayo 14:14-22; Luka 9:10-17; Yohana 6:1-15

DEATH LAWS kwa kufa na kufufuka: Luka 24:6

MEDICAL CARE kuponya watu bila kutumia dawa: Mathayo 15:30, 31; Luka 13:10-17; Mathayo 20:29-34.

Yesu aliweza kuzivunja sheria za sayansi kwasabau ni yeye ndie alie ziumba hapo mwanzo. (Yohana 1:3,14 ) “vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakukufanyika chochote kilichofanyika. Naye Neno alifanyika mwili; nasi tukauona utukufu wake kama utukufu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli”.

Yesu aitwa Neno la Mungu (Ufunuo 19:13) “Kwahiyo Neno ni Mungu “(Yohana 1:1).. na huyo ndiye aliyevifanya kuwako vitu vyote.

Aliyeshuka kutoka juu na kufanyika mwili ni Yesu pekee aliyezaliwa na bikira Mariamu bila mbegu ya kiume kama inavyotokea kwa wanadamu wengine..

Nimewakea machache leo, ili mfahamu kuwa, Yesu ni zaidi ya Nabii na alivunja sheria za kisayansi na biologia kwa kufufua watu, kutemebea juu ya maji, kuponya wagonjwa, kupaa bila ya mabawa, nk.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

YESU MUNGU MKUU ANAPONYA WAGONJWA

Image may contain: text


YESU anaposafiri katika nchi yote, anaponya wagonjwa. Habari za miujiza hiyo zasimuliwa katika vijiji na miji yote. Watu wanamletea vilema na vipofu na viziwi, na wagonjwa wengine wengi. Yesu anaponya wote.
Zaidi ya miaka mitatu imepita sasa tangu Yesu abatizwe na Yohana. Yesu anawaambia mitume wake kwamba atakwenda Yerusalemu upesi, akauawe huko, kisha afufuliwe.
Siku moja Yesu anafundisha siku ya Sabato. Sabato ni siku ya Wayahudi kupumzika. Mwanamke amekuwa mgonjwa sana. Alikunjamana kwa miaka 18 bila kunyoka. Basi Yesu anamwekea mikono yake, naye anaanza kunyoka. Ameponywa! Luka 13:10-17
Kwa sababu hiyo, viongozi wa dini wanakasirika. Mmoja wao anapigia watu kelele akisema: ‘Kuna siku sita za kufanya kazi. Ndizo siku za kuponya wagonjwa, si siku ya Sabato!’
Lakini Yesu anajibu hivi: ‘Enyi watu wabaya. Ye yote kati yenu angemfungua punda wake amnyweshe maji siku ya Sabato. Je! mwanamke huyu maskini, mgonjwa wa miaka 18, asiponywe siku ya Sabato?’ Jibu la Yesu lawafanya watu hao wabaya waone haya.
Baadaye Yesu na mitume wake wanasafiri kuelekea Yerusalemu. Wakiwa nje ya mji wa Yeriko, vipofu wawili wenye kuombaomba wanajua kwamba Yesu anapita karibu nao. Basi wanapaza sauti hivi: ‘Yesu, tusaidie!’
Yesu anawaita kwake vipofu hao, na kuwauliza: ‘Mwataka niwafanyie nini?’ Wanasema: ‘Bwana, utufungue macho yetu.’ Yesu anagusa macho yao, mara hiyo wanaona! Unajua sababu Yesu anafanya miujiza yote hiyo? Kwa sababu anapenda watu na anataka wamwamini. Basi tunaweza kuwa na hakika kwamba atakapokuwa Mfalme juu ya dunia, hakuna atakayekuwa mgonjwa tena.
Mathayo 15:30, 31; Luka 13:10-17; Mathayo 20:29-34.
Shalom,

Friday, March 23, 2018

Unyegereshano (Kutiana Ashiki) katika Uislam

Related image
Halliyatul-Muttaqiin, Uk. 110
Imesimuliwa kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Usijishughulishe katika kujamiiana na mkeo kama kuku; bali kwanza kabisa jishughulisha katika kutiana ashiki kwa unyegereshano pamoja na mke wako na kuchezeana naye halafu ufanye mapenzi naye.”14

Wasa’ilush-Shi’a, Juz. 20, Uk.118, namba 25186
Imesimuliwa pia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Starehe na michezo yote haina maana isipokuwa kwa mitatu tu: Upanda farasi, kurusha mishale na unyegereshano na mke wako, na hii mitatu ni sahihi.”15

Halliyatul-Muttaqiin, Uk. 115
Imesimuliwa kutoka kwa Imam Ali (a.s.): “Yeyote anayetaka kuwa karibu na mke wake lazima asiwe na papara, kwa sababu wanawake kabla ya kuji- ingiza kwenye tendo la kufanya mapenzi lazima wajiingize kwenye unyegereshano ili kwamba wawe tayari kwa ajili ya kufanyiwa mapenzi.16

Ibid., Juz. 20, uk. 188, namba 25185
Imesimuliwa kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s.): “Malaika wa Mwenyezi Mungu na wale ambao ni mashahidi juu ya matendo yote ya wanadamu wanawaangalia katika kila hali isipokuwa wakati wa mashindano ya kupanda farasi na ule wakati ambapo mwanaume anajiingiza katika kujishughulisha na unyegereshano na mke wake kabla hawajajihusisha katika kujamiiana.” 17

Taratibu Za Kunyegereshana

Kuna vikwazo vichache sana kwenye taratibu zinazotumika katika unyegereshano; kupigana mabusu, kukumbatiana na kadhalika yote haya yanaruhusiwa. Hapa chini ni baadhi ya mbinu zinazofaa kwenye taratibu maalum:

A) Upapasaji Kwenye Matiti

 Mustadrak al-Wasaa’il, Juz. 2. Uk.545
Imesimuliwa kutoka kwa Imam ar-Ridhaa (a.s): “Usijiingize kwenye kujamiiana isipokuwa kwanza ujishughulishe katika unyegereshano, na ucheze naye mkeo sana na kumpapasa matiti yake, na kama ukifanya hivi atazidiwa na ashiki (na kusisimka kwa upeo kamilifu) na maji yake yat jikusanya. Hii ni ili ule utoaji wa majimaji uchomoze kutoka kwenye mati- ti na hisia zinakuwa dhahiri usoni mwake na kwenye macho yake na kwamba anakuhitaji kwa namna ileile kama wewe unavyomhitaji yeye.” 18

ETI, UKIJAAMIANA HUKU UNAELEKEA KIBLA NI LAANA

Related image
Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amekataza watu kujamiiana wakati wakiwa wameelekea Qiblah, au mtu mgongo wake kuelekea Qiblah, na amesema kwamba endapo kitendo kama hicho kikifanyika, kinaleta matokeo ya laana ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Malaika na wanadamu wote kuwa juu yako mwenye kufanya hivyo.

Ibid., Juz. 20, Uk. 138, namba 25240

NABII WA ALLAH AMERUHUSU MAPENZI YA MDOMO

Image result for mapenzi ya mdomo
Niyazha wa Rawabith Jinsii wa Zanashuii, Uk. 55: Imam al-Kadhim (a.s.) aliulizwa: “Kuna tatizo kama mtu atabusu sehemu za siri za mke wake?” Imam alijibu akasema: “Hakuna tatizo.”https://www.al-islam.org/node/25382#f_31b2e0bf_19

DOKEZO: Nabii wa Allah alisikika akisema katika suala la watu waliooana kupiga punyeto hakuna tatizo kama mke anasisimua tupu ya mume wake mpaka kutokwa na manii, au mume anasisimua tupu ya mke wake hadi anafikia kilele cha raha ya kujamiiana. Hili linaruhusiwa kwa sababu haliingii kwenye (kujisisimua mwenyewe;) ni kujisisimua kwa njia ya mwenza halali

Mnashangaa Wazungu, kumbe huu mcheza kaanzisha marehemu Muhammad.

MUHAMMAD AMESEMA NGONO NI SADAKA KWA ALLAH NA JAMBO LA KUBURUDISHA ZAIDI KWA WAISLAM

Image may contain: 1 person, standing
Kujamiiana na mahusiano ya kijinsia, pamoja na mwenza halali yanatawaliwa na maumbile asilia, na wakati huo huo ni sunnah ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul-Bayt wake (a.s.).

NGONO NI KIBURUDISHA CHA JUU KWA WAISLAM:

Yametajwa pia kwamba ngono ndio jambo la kuburudisha zaidi kwa Waislam. Kikundi cha marafiki wa Nabii wa Allah (s.a.w.) wanasimulia kwamba, Nabii wa Allah alituuliza sisi: “Ni nini kinachoburudisha zaidi?” Sisi tukasema: “Kuna vitu vingi vinavyoburudisha.” Nabii Muhammad akasema: “Kile kinachoburudisha zaidi hasa ni kufanya mapenzi na wake zenu.” Nukuu kutoka Ibn Hisham (Basra; Fustati c. 281 A.H.)

Imesimuliwa vilevile kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s.): “Ama katika dunia hii au katika akhera, mtu hajawahi, na wala hatawahi, kupata starehe yenye burudani zaidi kuliko mahusiano ya kijinsia na wanawake, na hakika haya ndio maelezo ya maneno ya Allah (s.w.t.). ndani ya Qur’an, katika Surat Aali Imran, aya ya 14 Yeye ambapo anasema: “Watu wamepambiwa kupenda matamanio pamoja na wanawake na watoto…..”

NGONO NI SADAKA KWA ALLAH:

Wasa’ilush-Shi’a; Juz. 20, Uk. 109, namba 25163: Imam as-Sadiq (a.s.) anasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alizungumza na mmoja wa masahaba zake katika siku moja ya Ijumaa na akamuuliza: “Je, umefunga leo?” Yule sahaba akajibu. “Hapana.” Mtume (s.a.w.w.) akamuuliza tena: “Je, umetoa chochote leo kama sadaka?” Akajibu, “Hapana.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: “Basi nenda kwa mke wako na hiyo ndio sadaka hasa kwake yeye. https://www.al-islam.org/node/25382#f_290d8136_4

Mtume (s.a.w.w.) akamuuliza: “Je, umekwenda kutembelea mgonjwa yoyote?” Akajibu, “Hapana.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamuuliza: “Je, umekwenda kusindikiza jeneza?” Akajibu, “Hapana.” Mtume (s.a.w.w.) akamuuliza: “Je, umetoa chakula kwa mtu masikini?” Akatoa majibu ya kinyume tena. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: “Nenda kwa mke wako, na kumwendea mke wako ni sadaka (Mwendee ili upate malipo kwa ajili ya matendo yote hayo).” https://www.al-islam.org/node/25382#f_835fe35a_5

HABARI NDIO HII, KWA WENZETU NGONO NI SADAKA NA IBADA KWA ALLAH NA NDIO BURUDISHO PEKEE KWA WAISLAM. NO WONDER WANAJILIPUA KWA KUTAFUTA WALE MABIKIRA 72.

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

Thursday, March 22, 2018

ALLAH ANAWEZAJE KUWA NA KIVULI BILA YA MWILI?



KIVULI CHA ALLAH
ALLAH ANAWEZAJE KUWA NA KIVULI BILA YA MWILI?
Nikisema Allah ni kiumbe Muhammadans mnapandisha majini. Sasa nimewawekea kitabu chenu.
Imesimuliwa na Abu Huraia: Mtume Muhammad alisema, "Watu Saba watafunikwa na Mwenyezi Mungu chini ya kivuli chake siku ambayo haita kuwa na kivuli ila yeye. (Abu Hurairah & collected in Saheeh al-Bukhari (English trans.) vol.1, p.356, no.629 & Saheeh Muslim (English trans.) vol.2, p.493, no.2248)) https://www.sunnah.com/bukhari/24/27

Ushihid zaidi:Jami' at-Tirmidhi, Book 14, Hadith 109: https://www.sunnah.com/tirmidhi/14/109
Bulugh al-Maram, Book 4, Hadith 632:https://www.sunnah.com/urn/2107660
More Reference :
Sahih al-Bukhari 1423
In-book reference : Book 24, Hadith 27
USC-MSA web (English) reference : Vol. 2, Book 24, Hadith 504
Msipaniki jibuni kwa aya. Kivipi Allah wenu awe na kivuli bila ya mwili?
Shalom.

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

KWANINI YESU ALIOMBA KWA BABA YAKE AOKOLEWE NA MAUTI?



Ufahamu kuhusu maombi ya Yesu kwa Baba aokolewe na mauti.

Baadhi ya Waislamu na hasa wa madhebu ya ahmadia huwa wanatumia baadhi ya mistari kama vile (Mathayo 26;39.Marko 14;35;Luka 22;42) kuhoji kuwa kama yalikuwa ni mapenzi ya Mungu afe msalabani kwanini aliomba “ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke” na wanatumia aya zifuatazo kujithibitishia kuwa Mungu alimsikia (Yohana 26;39 11;11-42 na Ebrania 5;7). Kabla ya kushughulikia mengineyo hebu tushughulikie hoja hii ya kusikiwa kwa maombi ya Yesu.

Waislamu wengi hawamjui Yesu kama jinsi ambavyo hawamjui Mungu, wale wakristo wanaomfahamu Kristo vizuri wanafahamu lile fundisho maarufu la unyenyekevu wa Yesu (The Doctrine of Kenosis), Fundisho hili lafundisha jinsi ambavyo kitu Fulani cha ulimwengu wa kiroho kinavyoweza kuvaa mwili wa kibinadamu (Incarnation) na kufanya shughuli za kibinadamu; (Kwa waislamu majini hufanya hivyo). Kristo kwa asili maisha yake hayakuanzia katika tumbo la Mariam yeye alikuwako tangu mwanzo. (Yohana 1;1-5,14).

Quran inasema “Yesu ni Roho” Hivyo alipotungwa mimba tumboni mwa Mariam alikuwa anachukua mwili wa kibinadamu (Filipi 2;5-8) na kwa tendo hili tunapata Mungu mwanadamu yaani Immanuel Mungu pamoja nasi (Mathayo 1;23) hata hivyo kwa unyenyekevu wake Yesu hakutumia uwezo wake wa Kiungu, bali aliishi kama mtu wa kawaida, angeweza kubadili mawe kuwa mkate lakini hakufanya hivyo na angeweza kuagiza majeshi kumi na mawili ya malaika lakini hakufanyahayo. Yesu mwenye asili ya kiungu wakati huohuo akiwa mwanadamu anayeishi bila kuutumia uwezo wa Kiungu kama mwanadamu alihisi njaa, alichoka, alikula na zaidi ya yoote aliogopa kifo na mauti kama binadamu yoyote.Yesu aliomba ikiwezekana kikombe hiki kimuepuke

Lakini si kwa mapenzi yake bali ya Baba yake hivyo kwa kuwa ilikuwa ni mpango wa Mungu Yesu kufa kwa ajili ya ulimwengu alitumwa malaika kumtia nguvu kukabiliana na kifo cha msalaba hivyo hatimaye alisulubiwa, alikufa na kufufuka kama majibu ya kuokolewa na mauti unaona!,Hii ni tofauti na mauti iliyomkuta Muhamadi ambaye alihaha na kuogopa kufa sana badala ya kumtumainia mungu,Muhamad alisema “Enyi watu! Hakika kukata roho kuna machungu makubwa” (Maisha ya nabii Muhamad uk 80 kifungu cha tatu)Hivyo Yesu asife bali kuokolewa na mauti baada ya kifo.

· Kwa mujibu wa IVP Bible background commentary (New Testament) inasema “Wayahudi wanaamini kuwa Mungu alisikia maombi ya Yesu na Mungu aliyajibu kwa kumfufua na sio kwa kuikwepa mauti yenyewe bali kwa kufufuka kutoka mautini”

· The applied New testament commentary by Thomas Hale inasema hivi “Yesu aliomba aokolewe na mauti ya msalaba (Marko 14;35-36) lakini Mungu hakuchukuliana na Maombi hayo,Mungu angeweza kumuokoa kutoka mautini lakini hakuchagua hivyo,ingawaje siku ya tatu alimfufua toka kwa wafu”Matendo 2;22-28.

Kwa kufundisha kinyume na ukweli huu Waislamu wanataka kutuambia kuwa Yesu ni Muongo, huku Quran inathibitisha kuwa hakuwa na dhambi. Yesu mwenyewe alisema anautoa uhai wake (Yohana 10;14-18) Yesu mwenyewe anawachanganya wislamu kwa kuwa yeye mwenyewe ni njia kweli na uzima hivyo aliutoa uhai wake yeye mwenyewe na kuutwaa tena.

Shalom,

KUMBE WAISLAM WANA SIFA ZA WAGALATIA


WASIO NA AKILI WOTE WANASEMA KUWA YESU HAKUSURUBIWA KAMA WAGALATIA.

Wagalatia 3:1 Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa?
2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani?
3 Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili?

JE, WAISLAM WANAKIRI KUWA YESU ALISURUBIWA AU WANA PINGA KAMA WAGALATIA?

QURAN INAKUJIBU KAMA WAGALATIA KUWA YESU HAKUSURUBIWA: SOMA:

"Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuua Masihi 'Iysa, mwana wa Maryam, Mtume wa Allaah - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika waliokhitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuua kwa yakini. Bali Allaah Alimnyanyua Kwake, na hakika Allaah ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima" (4: 157-158).


Aayah hizo mbili zilizo juu zinasema kuwa Nabii 'Iysa ('Alayhis Salaam) hakuuliwa bali walifananishiwa mtu mwingine kwa sura zake.

SASA KATI YA BIBLIA ILIYO KUJA KABLA YA QURAN NA KUTHIBITISHA KUWA YESU ALISURUBIWA, NI KITABU GANI TUKIFUATE?

Marko 15:33-45 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
::::Kifo Cha Yesu Msalabani:::::

33 Ilipofika saa sita, giza lilikumba nchi nzima kwa muda wa saa tatu. 34 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu “Eloi, Eloi lama Sabaktani?” Yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” 35 Baadhi ya watu waliokuwa wanasimama karibu waliposikia maneno hayo, walisema, “Mnamsikia? Anamwita

LEO TUMEJIFUZA SIFA ZA WAGALATIA AMBAZO NI ZA WAISLAM WA LEO.

NI NANI ALIYE WAROGA NYIE WAISLAM MAGALATIA MSIO NA AKILI?

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

TRENDING NOW