Saturday, July 7, 2018

Syrian Pastor Says 'Hundreds of Thousands of Muslims' Coming to Christ: 'God is Moving'

June 7, 2017: A Syrian pastor who has shared the gospel in the war-torn country over the past six years despite continued dangers has said he's witnessed a staggering number of Muslims, disillusioned by the atrocities committed in the name of Islam, come to Christ

A Syrian pastor who has shared the gospel in the war-torn country over the past six years despite continued dangers has said he's witnessed a staggering number of Muslims, disillusioned by the atrocities committed in the name of Islam, come to Christ.
"God is moving and doing great things around us," Pastor Simon, who ministers in war-torn regions of Syria, shared with persecution watchdog Open Doors USA. "What the Lord did in the past six years, he saved hundreds of thousands of Muslims in different countries. Before the war, we only saw some believers from a Muslim background. God is moving and doing great things around us, many are being saved."
The pastor revealed that that since the start of the Syrian civil war in 2011, hundreds of thousands of Christians have fled the country. In the city where he ministers, there were some 900 Christian families in the city when the crisis began. Now, only 310 Christian families stayed, including three evangelical families.
Pastor Simon said: "In the places where I work as a pastor, we don't have young ministers anymore, the last one left us eight months ago and relocated to another country."
But while Christians continue to flee the country, more and more Muslims are coming to Christ, the pastor revealed. He shared that in the past years, he has baptized many people from both Druze and Muslim backgrounds. Such conversions come with a cost, however.
"I visited a family," the pastor recalled. "The brother of the wife had tried to run her over with his car because she was baptized, but the Lord saved her. Her 8-year-old son was with her. "Next time I'll kill you," the brother said afterward. I prayed with them and now search for a safer place for the family."
Despite fearing for the safety of his wife and three daughters, the pastor feels called to stay in Syria and share the gospel -- for now.
"When I see the number of people coming to know the Lord, this puts a pressure on me," he admitted. "I know that if I were to leave, no one would stay to serve these people. I pray to God: 'If we leave, Lord, send someone else.' Some time ago a pastor came to advise me to leave. The pastor never arrived at my place, he was kidnapped, and only after one a half years was he released."
He added, "I feel great pressure to stay, we're going through pain, but we still have hope there will be a solution. But I can't guarantee I will still be in Syria six months from now."
The pastor said the support he receives from Open Doors helps him: "The Lord has not yet told me to leave," he said. "When I meet with people in their pain, I see that my presence makes a big difference. They say, 'Don't leave us here'...I encourage people to stay, I speak from my own experience. When I say that God saves, I have the same experience as the people in the church."
A new report from Open Doors, Served and Middle East Concern estimates that 50-80% of the Christian populations of Iraq and Syria have emigrated since the start of the Syrian civil war. In Syria alone, the charities estimate that the Christian population of around 2 million in 2011 has "roughly halved"
According to the report, by the time ISIS infiltrated many parts of the country, Christians had already experienced an "overall loss of hope for a safe and secure future" stemming from the ongoing civil war.
The report also notes that for the Christians who have settled elsewhere, there is "little incentive" to return, with several interviewees saying "the Middle East is no longer a home for Christians".
Nevertheless, the charities note that "many" of those who remain "want to play their part in rebuilding the shattered societies of Iraq and Syria. They want to be seen as Iraqi or Syrian citizens, enjoying the full rights of citizenship, such as equality before the law and full protection of their right to freedom of religion or belief, including the ability for everyone to freely worship,practice, teach, choose and change their religion. They are not calling for special privileges as a religious minority."

http://www.gospelherald.com/articles/70852/20170607/syrian-pastor-hundreds-thousands-muslims-coming-christ-god-moving.htm

Madrasa Education: Inhumane machinery to produce Brutal Jihadists.

Would you like to send your wards to any Madrasa (Quran School)?

Juvenile beaten up and forced to learn Arabic, kept in chains at madrasa, flees madrasa, lands in judge’s house…


Related image

Sangareddy (Andhra Pradesh – India) |  :: IF YOU DON’T LEARN ALLAH’S LANGUAGE (ARABIC) PROPERLY, YOU BE PUT IN CHAIN. ALLAH IS GREAT AND MERCIFUL. In an inhuman incident that has come to light, a boy was kept chained in a madrasa (Islamic seminary) in Medak town for 15 days and was forced to learn Arabic.
A 12-year-old boy was allegedly chained by authorities of a local madrasa to prevent him from escaping from the school, following which a case was registered against its management, police said on Sunday. According to Medak town police, the boy has been studying in ‘Minhaj-ul-uloom’ religious school for the past three years and had earlier made several attempts to run away from the madrasa, as he was not a quick learner and had a stammering problem.
However, he escaped with the locked chains on and knocked on the doors of a judge in the early hours of Saturday.


80 Muslims at a refugee camp in Hamburg, Germany, have been baptized

http://darkroom.baltimoresun.com/wp-content/uploads/2013/10/AFPGetty-184766343.jpg

Close to 80 Muslims at a refugee camp in Hamburg, Germany, have been baptized into Christianity despite the ongoing physical and sexual abuse that Christian converts face at such camps in the Western country.
“While Christian converts suffer in great measures at the hands of their Muslim neighbors in Germany, around 80 refugees were recently baptized into Christianity,” International Christian Concern, a persecution watchdog group, noted on Tuesday.
Mohabat News reported that Pastor Albert Babajan conducted the mass baptism of refugees at the camp in Hamburg, revealing that one of the main motives for their conversion is disappointment with Islam.
Shima, one of the converts to Christianity, explained her decision, saying, “I’ve been looking all my life for peace and happiness, but in Islam, I have not found it. To be a Christian means happiness to me.”
 Babajan admitted that some of the refugees who choose to convert to Christianity might be doing so because they fear they might be killed if they are sent back home to their home countries, where they face terrorism from radical groups.
The pastor revealed, however, that he has a way of telling whether a person is genuine in their conviction.
“Because the Christian faith changed the way of thinking, the world view. If someone told me that at night he can sleep again or an old enemy could forgive, then I know that in his heart he is a Christian,” he said.
Although many refugees are seeking protection at German refugee camps, a major report by watchdog group Open Doors earlier in May found out that there have been over 300 incidents of Christians being physically or sexually assaulted by Muslims in refugee camps in the country.
A number of such incidents have been downplayed by German authorities who are fearful of growing anti-immigration sentiments in the country, the report alleged, however..
“Despite increased reports about this problem by the media, charities, human rights organizations, church leaders and Christian organizations, German authorities and politicians have hardly ever launched an investigation,” the watchdog group warned.
“Instead, we believe that incidents are deliberately downplayed and even covered up. During confidential discussions with researchers from Open Doors, it has become known that even in police stations, religiously motivated attacks on Christian refugees are not documented as such,” it added.

Twenty-Eight Muslims Become Christians in Malawi



We have just heard very encouraging news from FEBA Malawi. Last month, 28 Muslims of the Yao ethnicity were baptized and brought to Jesus Christ by FEBA Malawi staff.
This is a huge encouragement, as the Yao ethnicity is the main ethnic group that our broadcasts reach in this region.
Continue to pray for God to guide this ministry and protect our staff from persecution.

Tuesday, July 3, 2018

SHEREHE YA KULA NYAMA YA MBWA YAFANA



Sherehe ya kula nyama ya mbwa iliogubikwa na utata katika mji wa Madina imeanza licha ya ripoti za awali kwamba ilikuwa imepigwa marufuku mwaka huu.
Mapema mwaka huu ,wanaharakati walidai kwamba wafanyibiashara waliagizwa na mamlaka kutouza nyama ya mbwa.


    Lakini wamiliki wa vibanda vinavyouza nyama hiyo waliambia BBC hawajasikia lolote kuhusu hatua hiyo kutoka kwa maafisa.

    Katika sherehe za miaka ya nyuma kumekuwa na mzozo kati ya wauzaji nyama ya mbwa na wanaharakati waliojaribu kuwaokoa mbwa waliopangiwa kuchinjwa.

    Imam found Jesus by studying the Koran, paid a price for rejecting Islam


    During his mother’s pregnancy doctors wanted to abort him due to an infection in his mother’s womb, but as a devout Muslim she refused.
    “The doctors compelled my mother to kill the child (me), but she is a very good devotee of Allah, God. So she did not accept their advice,” Mario Joseph explained on HM Television.
    At the time of his mother’s pregnancy crisis she prayed: “Allah, life belongs to you so I know you can give life. If you give life to this baby I will surrender this baby to you.”
    Joseph was led to believe his birth was miraculous, but his mother’s vow of dedication to Islam carried unwanted consequences. “Because I had been dedicated to God, my parents did not send me to school. My childhood was very bad,” he recounted.
    At eight-years-old they sent him to a Muslim-Arabic college so he could prepare to become an imam. Remarkably, after 10 years of study, he completed the goal.
    Working as a parish priest, he preached that Jesus Christ is not God. “For me, God was only Allah and I believed that Allah never got married, so no sons for Allah. So I preached that Jesus is not God.”
    Then someone asked him one day, “Who is Jesus?”
    While he was certain Jesus was not God, he wasn’t quite sure how to answer the question.
    He studied the Koran exhaustively for an answer. “When I read it, the name of the Prophet Mohammad I found in the Koran in four places, but the name of Jesus I found in 25 places,” he told HM Television.
    He began to wonder, Why does the Koran give more preference to (the name of) Jesus?
    Even stranger, the only name of a woman he found in the Koran is Mariam, the mother of Jesus – no other woman’s name.
    In other places in the Koran he found Jesus referred to as the “Word of God” and the “Spirit of God.”
    Another pointed to his title: “Jesus Christ.”
    “The Koran says that Jesus cured a man born blind and a man with leprosy. Curiously, the Koran says that Jesus gave life to dead people, Jesus went to heaven, he is still alive and he will come again.”
    He realized that Mohammad never cured any sick people and never raised the dead. “He himself died. And according to Islam he is not alive and he will not come back.”
    Joseph discovered many differences between Jesus and Mohammad. As a result of his study, he was not ready to call Jesus God, but it slowly began to dawn on him that Jesus might be a prophet greater than Mohammad.
    A return to the college
    He went back to his professor at the Arabic college and asked him, “Teacher, how did God create the universe?”
    “God created the universe through the word,” the man replied.
    “Is the word the creator or the creation?” Joseph inquired. He thought, If my teacher says that the Word is the Creator, then Jesus is the Creator, and Muslims must become Christian. If he says the word is the creation, then how did God create the word?
    His instructor began to fume, realizing he was trapped by Joseph’s logic. “He was quite angry. He pushed me out of his room and said, ‘Word is not the Creator nor the creation, you get out of here.”
    They met later and the professor told him, “If there is a son of God I must show him the wife of God. Without a wife, there is no chance of having a son.”
    Then Joseph showed him a portion from the Koran. “The Koran says God can see without eyes, God can talk without a tongue, God can hear without ears. If that is the case, he can have a child without a wife.”
    After arguing with the man, Joseph left, went home and opened the Koran randomly. It fell open to Chapter 10, verse 94, which says: “If you have any doubt in this Koran which I give to you, go and read the Bible or ask those who read the Bible.”
    Joseph put the Koran on his chest and said, “Allah, tell me what I should do, because your Koran says Jesus is still alive and Mohammad is dead. Who should I believe?”
    Studying the Bible
    “I decided to study the Bible and I went to a retreat center called the Divine Retreat Center in India.” He read John chapter one: ‘In the beginning was the Word and the Word was with God and the Word was God…’
    “So my holy Koran says Jesus is the Word of God, now the Holy Bible also says Jesus is the Word of God.” He vacillated in his thoughts, thinking he was a Muslim one day and the next that he might be a Christian.
    John 1:12 had a big impact on him. “It was such a lovely word for me. It says that if anyone receives Jesus, he gives them the power to become children of God.”
    He was also struck by Jesus’ teaching about prayer, which begins with the word Abba. “I cannot express my joy whenever I call my God dad and whenever I think that the Creator of the universe is my dad I have a kind of joy which I cannot express…it’s beyond my experience…an experience I cannot explain.”
    The power of the Word and the Spirit touched his heart and he exclaimed: “I need Jesus because I want to be a child of God and call my God ‘Daddy.’
    He was born again!
    “I was gone a long time and I was missing from my home,” Joseph recounted. “My parents thought I was in the moscheet and the moscheet people thought I was in my house. Then they communicated and searched for me everywhere.”
    When his father learned he was at the retreat center, he erupted in fury. “My dad came there and beat me very badly. I was bleeding from my nose and I was unconscious. Then he took me home.”
    When Joseph regained consciousness, he found himself in a small room without any clothing. “I was completely naked and my hands and legs were chained very tightly and I could not even speak because there was chili powder in my mouth, nose, eyes and wherever the wound was they had placed some chili there also to burn me.”
    His father thought he was obeying the law of the Koran, which metes out harsh penalties for those who reject Islam.
    “They did not give me food or water. Within a few days I was dried up and my lip broke. I was trying to lick a little blood to wet my throat, then my brother came and passed urine in my mouth. He said that’s the punishment for you to believe in Christ.”
    After 20 days confined in the small room Joseph became like a dead man.
    “My dad came to the room and removed the chain and I was not awake. He choked my throat very deep to know if there was life in my body. When he choked very deep I couldn’t breathe. So I opened my eyes and I could see a big knife in his hand.”
    “It’s your last moment,” he said. “If you need Allah, I will allow you to live. If you need Jesus I will kill you.”
    Jospeh knew his father well enough to know he would carry out the threat. Then something strange and unexpected happened.
    “Suddenly a light fell on my forehead, like moonlight. Something fell on me and there was a kind of electric shock and something passed through my veins. From somewhere energy flowed through my body. I couldn’t control myself there was so much energy in my bones. I pulled my dad’s hand down and I cried out ‘Jesus!’
    When he cried ‘Jesus’ his father fell to the ground – on top of the knife. “There was a big wound on his chest and there was bleeding, and some kind of foam was coming from his mouth and he was screaming.”
    His mother, brothers, and sisters didn’t know what was happening. “They thought my dad was already dead so they took him and ran to the hospital. When they ran to the hospital they forgot to lock my room from the outside.”
    With a burst of supernatural energy supplied from above, he left the room, put on his father’s clothes, ran outside and hailed a taxi.
    The taxi driver who picked him up was a Christian! He bought Joseph some juice and food and took him to another city.
    “That day I understood Jesus is alive, even now. I know he is present everywhere,” he told HM Television.
    “After my conversion 18 years ago I never thought that the Muslims would allow me to live. I have preached in the Middle East. My Jesus is alive and he is protecting me.”
    Later, his parents conducted a mock funeral service for their son. “In my hometown I have my own grave,” he noted.
    “If you ask me who made me Christian it’s not any fathers; it’s not any sisters; it’s not any bishops; it’s not any cardinals; it’s not even the Pope; but the holy Koran converted me to Christianity.”

    If you want to know more about a personal relationship with God, go here

    WAPAGANI WA KALE WALISWALI HUKU WAKIANGALIA MNARA WA NEBUKADREZA

    Image may contain: one or more people, crowd and outdoor
    UNAJUA KWANINI WAISLAM WAKISWALI WANAAGALIA QIBLA?
    Huu utamaduni ulianzishwa na Mfalme Nebukadneza wa kusujudu sanamu, Muhammad na yeye akaendeleza utamaduni wa Wapagani wa Kikureshi wa kusujudu Jiwe la Aswad.
    Msingi wa hili somo ni Daniel 3:1-30.
    Siku Moja Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu kubwa sana ya dhahabu ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli. Kisha akatuma watu kuwakusanya maamiri, na manaibu, na maliwali, na makadhi, na watunza hazina, na mawaziri, na mawakili, na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, ambayo aliyoisimamisha.
    Akamwamuru mpiga mbiu kwamba awapigie kelee watu wa kabila zote na taifa na lugha kwamba wakati watakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, lazima kuanguka na kuiabudu sanamu ya dhahabu, ambayo mfalme Nebukadreza ameisimamisha. Ikatolewa tangazo kwamba kila mtu asiyeanguka na kuabudu atatupwa saa iyo hiyo katika tanuru ya moto uwakao. SOMA DANIEL 3: 4-7
    Hivyo Basi watu wote chini ya Mbingu walipoisikia sauti ya panda na filimbi, na kinubi na zeze na namna zote za ngoma wakaanguka kuisujudia ile sanamu ambayo Mfalme aliisimamisha. Lakini Marafiki zake Daniel ambao ni Shedrak na meshak na Abednego walikataa kuisujudia ile sanamu ya mfalme wakawa wakali wamesimama. Ndipo wakaldayo wakawashtaki hao wayahudi watatu kwamba wameikaidi amri ya Mfalme. https://www.facebook.com/MaxShimbaMini…/…/kitabu-cha-daniel-(sehemu-ya/696429353840003/
    ALLAH ANAWAAMRISHA WAISLAM WOTE WAANGALIE QIBLA KAMA AMBAVYO NEBUKADREZA ALIVYO FANYA KWA WABABILONI. ALLAH YEYE ANATUMIA ADHANA KUWAKUMBUSHA WAISLAM, KAMA AMBAVYO NEBUKADREZA ALITUMIA KENGERE NA TARUMBETA. HUU NI UPAGANI WA KISHETANI.
    Anasema tena Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala):
    “Na popote unapoanza (kwa Swalah), geuza uso wako kuelekea Masjidul-Haraam, na popote mutakapo kuwa elekezeni nyuso zenu huko (Makkah mutakapo kuwa mnaswali)… ” (2: 150).
    LAKINI WATU WENYE AKILI WALISEMA HIVI KWA MUHAMMAD:
    “Bila shaka, Swalah za Waislamu kwa miaka yote iliyopita zimepotea na hawatapata thawabu zozote, kwani hazikufanywa kwa kuelekea katika Qiblah kilicho sahihi”. Akajibu Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala): “Na Allaah hatazifanya imani zenu kupotea bure”. (2: 143)
    Waislam hawapati thawabu yeyote ile kusujudia Qibla kila siku, maana huo ni utamaduni wa WAPAGANI tokea wakati wa Nebukadreza Mflame wa Babiloni.
    Shadraka, na Meshaki, na Abednego walikataa kusujudia mnara wa dhahabu kama ambavyo Wakristo wa leo tumekataa kuswali huku tunaangali Qibla. Huu utamaduni ni wa Kipagani na kamwe hautoki kwa Mwenyezi Mungu.
    Hakika Uislam ni upagani ulio boreshwa na mwisho wake ni Jehannam.
    Mungu yupo kila mahali na kamwe haishi Makka. Daudi anamtaja Mungu na au anamwita Mungu kuwa ni Roho. Hii sifa ya kuwa kila mahali ni ya Mungu pekee, na katika Zaburi 139: 7-8, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu yupo kila mahali. Tuendele na ushahidi zaidi wa kuwa kila mahali; katika Wakorintho wa Kwanza, hapa Mtume Paulo anasema yafuatayo 1 Wakorintho 2 aya ya 10 Lakini Mungu ameyajulisha kwetu kupitia Roho wake mtakatifu.
    YESU YUPO KILA MAHALI ,KOTEKOTE DUNIANI
    MATHAYO 18:20 “Kwa kuwa walipo wawili watatu,wamekusanyika kwa jina langu,mimi nipo papo hapo katikati yao”. Mwenye uwezo wa kukaa mahali pote ni Mungu.
    NDIO MAANA UKRISTO NI ZAIDI YA UISLAM WENYE ALLAH ANAE ISHI QIBLA PEKE YAKE, LAKINI YESU MUNGU MKUU YUPO KILA MAHALI.
    Shalom,
    Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

    Je, Wanawake Wanapaswa Kuwa Wahudumu Kanisani?

    Image may contain: 5 people, people smiling, text


    Swala kubwa katika mabishano ya kitheolojia ni je Mwanamke anaweza kuwa Mchungaji? Au Mwanamke anaweza kuwa Kuhani kwa wayahudi, au mwanamke aweza kuwa Rabbi kwa wayahudi na je mwanamke aweza kuwa sheihk kwa waislam? Maswali hayo yote yakijibiwa kwa ufasaha yanaweza kuleta jibu muafaka kama wanawake wanaweza kuzishika nafasi hizo nyeti katika imani,licha ya kuwa Mungu anaweza kuwakarimia karama zilezile ambazo wanaume wanaweza kuwa nazo bila upendeleo.

    Biblia inasema nini kuhusu Mwanamke kuhudumu katika Kusanyiko?

    Tuanze kwa kuwaangaliwa Wahudumu wa Karne ya Kwanza katika Kusanyiko. Biblia inasema nini?

    Neno “mhudumu” maana yake nini? Watu wengi hufikiria kuhusu kiongozi wa kidini, awe mwanamume au mwanamke, anayeongoza kutaniko katika ibada. Lakini Biblia hutumia neno hilo katika maana pana. Mfikirie mwanamke Mkristo anayeitwa Fibi, ambaye mtume Paulo alimtaja kuwa “dada yetu, ambaye ni mhudumu wa kutaniko lililo katika Kenkrea.”—Waroma 16:1.

    Kuna upinzani mwingi juu ya wanawake kuhudumu katika uchungaji. La kwanza, Paulo awazuia wanawake wasifundishe kwa kuwa katika karne ya kwanza wanawake hawakusoma. Ijapokuwa katika Timotheo wa kwanza 2:11-14 hawakutaja swala la elimu. Kama kusoma kungekuwa kigezo cha mtu kuhudumu basi wanafunzi wengi wa Yesu hawangehudumu. La pili ni kwamba Paulo aliwakataza wanawake wa kiefeso wasifundishe (Timotheo wa kwanza ni waraka kwa ajili ya Timotheo aliyekuwa mchungaji wa kanisa la Efeso). Mji wa Efeso ulijulikana sana kwa hekalu lake la Artemi, Mungu bandia wa kiyunani na kirumi. Wanawake walikuwa ndio wenye mamlaka katika ibaada ya Artemi, ambayo ndiyo sababu ya kukatazwa huku katika Timotheo wa kwanza 2:11-12.

    Baada ya kupa mukhtasari huo, turudi na kumwangalia tena Fibi.

    Je, unaweza kumwazia Fibi akisimama mbele ya kutaniko huko Kenkrea, akiongoza ibada ya kidini? Fibi alihudumu kwa njia gani? Katika barua yake kwa Wafilipi, Paulo anaandika kwamba wanawake fulani “wamefanya kazi ya kueneza injili . . . pamoja nami.”—Italiki ni zetu; Wafilipi 4:2, 3.

    Njia ya msingi ambayo Wakristo katika karne ya kwanza walieneza injili ilikuwa “hadharani na nyumba kwa nyumba.” (Matendo 20:20) Wale walioshiriki katika kazi hiyo walikuwa wahudumu. Walitia ndani wanawake kama vile Prisila. Yeye pamoja na mume wake, ‘walimfafanulia kwa usahihi zaidi njia ya Mungu’ mwanamume fulani aliyemwogopa Mungu ambaye hakuwa amebatizwa kuwa Mkristo. (Matendo 18:25, 26) Kama tu Fibi—na wanawake wengine—Prisila pia alikuwa mhudumu mwenye matokeo.

    Paulo azungumzia juu ya wake na waume zao wala si wanawake kwa wanaume kwa jumla. Neno la kiyunani katika Timotheo wa kwanza 2:11-14 yaweza kumaanisha waume kwa wake zao. Katika aya za 8-10 pia neno hilo limetumika tena. 

    Katika kitabu cha Matendo ya Mitume 18, Prisila na Akwila wanatambulishwa kama watumishi wa Kristo waaminifu. Jina la Prisila linatajwa kwanza, kuashiria alikuwa maarufu zaidi katika huduma kuliko mumewe.

    Je, hawa Manabii/Mitume wa kike ni wa Kibiblia?

    Biblia inatujibu kuwa Manabii wa Kike ni wa Kibiblia na zipo aya zinawaruhusu wanawake kuwa Manabii. Soma:

    Yoeli 2: 28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

    Nukuu zaidi soma 1 Wakoritho 11:5, Matendo 2:17-18, Matendo 21:9, Phl 4:3,

    Baada ya kusoma hiyo aya, swali linafuata, nionyeshe Nabii wa Kike kwenye Biblia? Hili ni swali nililo ulizwa na Muislam. Bila ya kupoteza muda naweka uthibitisho wa aya.

    Kutoka 15: 20 Na Miriamu, nabii wa kike, ndugu yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.

    Miriam, Mtume wa Kike AU KWA KIINGEREZA TUNAMWITA "THE PROPHETESS" alikuwa dada ya Haruni "Aaron" Soma Kutoka 15:20, ni mwanamke wa kwanza kutajwa kwenye Biblia mwenye wadhifa huo wa Kitume. Hannah katika 1 Samuel 1:2 naye alifanya kazi kama Mtume na vile vile Huldah, ambaye alimtabiria Mfalme Josiah mara kadhaa. Debora katika Judges 4:5 alitajwa kama Mtume, 2 Wafalme 22:14

    Daraka Lenye Kuheshimika

    Je, kazi ya kuhubiri hadharani ilikuwa kazi ya hali ya chini ambayo ilipaswa kuachiwa wanawake huku wanaume wakifanya kazi ile muhimu ya kulisimamia kutaniko? La hasha, kwa sababu mbili zifuatazo. Kwanza, Biblia inaonyesha wazi kwamba Wakristo wote—kutia ndani wanaume wenye madaraka mazito kutanikoni—walipaswa kushiriki katika huduma ya hadharani. (Luka 9:1, 2) Pili, huduma ya hadharani ilikuwa, na bado ndiyo njia ya msingi ambayo Wakristo wote, iwe ni wanaume au wanawake, hutimiza amri ya Yesu ya ‘kufanya wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote na kuwafundisha.’—Mathayo 28:19, 20.

    Kuna daraka lingine muhimu ambalo wanawake fulani wanatimiza kutanikoni. Paulo aliandika hivi: “Wanawake wenye umri mkubwa wawe . . . walimu wa yaliyo mema; ili kuziamsha akili za wanawake vijana wawapende waume zao, wawapende watoto wao.” (Tito 2:3, 4) Hivyo, wanawake wakomavu walio na uzoefu katika maisha ya Kikristo wana pendeleo la kuwasaidia wanawake wachanga, wasio na uzoefu wakomae. Hilo pia ni daraka zito, lenye kuheshimika.

    Kufundisha Kutanikoni

    Hata hivyo, Biblia haisemi mahali popote kwamba wanawake wanapaswa kufundisha mbele ya kutaniko. Badala yake, mtume Paulo aliwaagiza “wakae kimya katika mikutano.” Kwa nini? Aliandika kwamba sababu moja ni ili mambo yafanyike “kwa heshima na kwa utaratibu.” (1 Wakorintho 14:34, 40, BHN) Ili mambo kutanikoni yaendeshwe kwa utaratibu, Mungu amegawia kikundi kimoja daraka la kufundisha. Hata hivyo, mtu hapewi pendeleo la kusimamia kutaniko kwa sababu tu yeye ni mwanamume; daraka hilo linapewa wanaume ambao kwa kweli wanastahili.*—1 Timotheo 3:1-7; Tito 1:5-9.

    Je, daraka ambalo Mungu amewapa wanawake linawavunjia heshima? La. Kumbuka kwamba Mungu amewaweka rasmi wafanye kazi muhimu, ile ya kutoa ushahidi hadharani kumhusu yeye. (Zaburi 68:11) Wanaume na Wanawake wanaohudumu hadharani wamewasaidia mamilioni ya watu watubu na kupata wokovu. (Matendo 2:21; 2 Petro 3:9) Hilo ni jambo muhimu sana!

    Utaratibu uliowekwa kwa ajili ya wanaume na wanawake unachangia amani na heshima kati yao. Kwa mfano: Macho na masikio hufanya kazi pamoja ili kumsaidia mtu avuke barabara yenye magari mengi. Vivyo hivyo, wanaume na wanawake wanapotimiza mapenzi ya Mungu kulingana na madaraka ambayo wamegawiwa, Mungu hulibariki kutaniko kwa amani.—1 Wakorintho 14:33; Wafilipi 4:9.*

    Ona pia kwamba mamlaka ya mwanamume kutanikoni ina mipaka. Anajitiisha kwa Kristo na lazima atende kupatana na kanuni za Biblia. (1 Wakorintho 11:3) Wale walio na madaraka kutanikoni wanapaswa pia ‘kujitiisha kwa mmoja na mwenzake,’ wakijinyenyekeza na kushirikiana.—Waefeso 5:21.

    Wanapoheshimu daraka ambalo Mungu amewapa wanaume kutanikoni, wanawake Wakristo huwawekea malaika mbinguni mfano mzuri.—1 Wakorintho 11:10.

    JE, UMEJIULIZA HIVI?

    ● Wanawake walifundisha kwa njia gani katika kutaniko la Kikristo la karne ya kwanza?—Matendo 18:26.

    ● Ni nani ambao wamewekwa rasmi kusimamia kutaniko?—1 Timotheo 3:1, 2.

    ● Mungu ana maoni gani kuhusu huduma ambayo wanawake Wakristo wanatimiza leo?—Zaburi 68:11.

    Je, Biblia inaruhusu kuwa na Manabii wa Kike?

    Nabii maana yake nini?

    Kwanza tuanze kwa kutafuta maana ya neno Nabii.
    Neno nabii (kwa Kiebrania נביא nevì, kwa wingi נְבִיאִים nevi'ìm, kwa Kiarabu نبي) linatumika kumtajia binadamu anayesema kwa niaba ya Mungu, hasa kwa kusudi la kuelekeza wenzake wafuate imani na maadili sahihi.

    Katika lugha nyingi, mtu huyo anaitwa kwa jina linalotokana na neno la Kigiriki προφήτης [prophētēs], maana yake "anayesema mbele", yaani hadharani (mbele ya wasikilizaji), au kabla ya (jambo kutokea).

    Katika matumizi ya kawaida, neno hilo linatumika hasa kwa mtu ambaye anatabiri jambo, bila ya kujali asili ya maarifa yake.

    Yoeli 2: 28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

    Nukuu zaidi soma 1 Wakoritho 11:5, Matendo 2:17-18, Matendo 21:9, Phl 4:3,

    Baada ya kusoma hiyo aya, swali linafuata, nionyeshe Nabii wa Kike kwenye Biblia? Hili ni swali nililo ulizwa na Muislam. Bila ya kupoteza muda naweka uthibitisho wa aya.

    NABII MIRIAM, DADA YA HARUNI NA MUSA:
    Miriam = Soma Kutoka 15 aya 20. Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni, akachukua tari mkononi mwake; na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi

    NABII DEBORA, MKE WA LAPIDOTHI:
    Debora = Soma Waamuzi 4:4-5 Basi Debora, nabii wa kike, mke wa Lapidothi, ndiye aliyekuwa akihukumu Israeli wakati huo.

    NABII HULDA, MKE WAS SHALUMU:
    Hulda = Soma 2 Wafalme 22 na 2 Mambo ya Nyakati 34:22 Kwa hiyo Hilkia pamoja na wale wengine mfalme aliowatuma 34:22 Kiebrania hakina aliowatuma. walimwendea nabii Hulda, mkewe Shalumu, mwana wa Tokathi, mwana wa Hasra, mtunza mavazi yaliyotumika hekaluni (alikuwa anaishi Yerusalemu katika mtaa wa pili); nao walizungumza naye juu ya mambo yaliyotokea.

    NABII ANNA BINTI YA FANUELI:
    Anna = Soma Luka 2: 36 Basi kulikuwako Nabii Anna, binti ya Fanueli, wa kabila la Asheri (mwanamke huyu alikuwa amesonga sana katika miaka, na alikuwa ameishi pamoja na mume kwa miaka saba kutoka ubikira wake,

    MKE WA NABII ISAYA:
    Mke wa Isaya soma Isaya 8:3. Ndipo nikamkaribia yule nabii wa kike, naye akapata mimba na baada ya muda akazaa mwana. Mungu sasa akaniambia: “Mwite jina lake Maher-shalal-hash-bazi,

    MABINTI WATATU WA FILIPO:
    Na Mabinti Watatu wa Filipo Soma Matendo 21.8 Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu. 9 Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.

    Biblia inatuthibitishia kuwa Wanawake wana haki sawa na Wanaume mble ya Mungu wetu na ndio maana sio kosa kwa Mwanamke kuhudumu.


    Shalom,

    Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

    Sunday, July 1, 2018

    JE QURANI INAAMURU WATU KUVUA VIATU WAKATI WA IBADA?


    Image result for Praying with shoes
    Mwadishi: Ustadh Chaka Ibn Moosa:
    Mhariri: Joseph Kimonyi
    Barua pepe:abdulhaq2099@yahoo.com

    Utangulizi
    Mara nyingi sisi wakristo tumeshutumiwa sana na waislamu kwa kutotoa viatu wakati wa ibada. Kuna vikundi vingi sana vya waislamu hasa waendeshaji mihadhara, vikundi hivi vinazunguka sehemu mbalimbali wakifundisha watu kuwa nilazima watu kutoa viatu wakati wa ibada, Kwani hata Manabii wa zamani walifanya hivyo. Na ukiwauliza ni wapi qurani inaamuru kutoa viatu wanakuwa wakali. Swali la kujiuluza, je ni kweli au ni uongo. Fuatilia somo hili ili upate kufahamu.

    Al'Hajj 22:67 (kuhiji)
    “Kila umma tumeujalia kawaida ya ibada wanayoishika. Basi wasishindane nawe katika jambo hili. Na walinganie watu kwendea (Dini ya) Mola wako. Bila shaka wewe uko juu ya uongozi uliosawa kabisa.”

    Kama waislamu wangalijua maana ya aya hii, wasingalipiga makelele. Kwani Mungu wao Allah anasema kuwa kila umma ameujalia kawaida ya lbada. Kwani kila umma una ibada tofauti umma mwingine.

    Sehemu kuu ya somo hili
    1. hoja za waislamu kuhusu kutoa viatu.
    2. Kwa nini musa na Yoshwa akatoa viatu.
    3. Je wakristo tuamurishwa kutoa viatu?
    4. Je kuvua viatu ni ibada?

    1. Hoja za waislamu kuhusu kutoa viatu.
    Waislamu hupenda kutumia hoja zifuatazo kwa kudai kuwa zinamurisha watu kuvua viatu wakati wa ibada.

    Kutoka 3:4-6
    “Bwana alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema Musa! Musa! Akasema mimi hapa. Naye akasema, usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali usimamapo ni nchi takatifu. Tena akasema mimi ni Mungu wa baba yako Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akaficha uso wake maana aliogopa kumwangalia Mungu.”

    Andiko lingine wanalolipotosha ni hili.
    Yoshwa 5:13-14
    “Ikawa hapo Yoshwa alipokuwa karibu na mji wa Yeriko, akavua macho na kuangalia, na tazama mtu mume akasimama akamkabili mbele yake, naye alikuwa na upanga wazi mkononi mwake; Yoshwa akamwendea, na kumwambia, je! wewe uko upande wetu au upande wa adui zetu? Akasema, la lakini nimekuja sasa, nili amiri wa jeshi la Bwana. Yoshwa akapomoka kiusouso hata nchi akasujudu, akamwuliza, Bwana wangu aniambia nini mimi mtumishi wake? Huyo amiri wa jeshi la Bwana akamwambia Yoshwa, vua viatu vyako miguuni mwako, kwa kuwa mahali hapo usimamapo ni patakatifu. Yoshwa akafanya vivyo.”
    Hapa tunaona Musa na Yoshwa waliambiwa watoe viatu vyao, swali kwako wewe mwislamu unaotoa viatu wakati wa ibada. Je ni aya gani katika Qurani au Biblia inayokupa wewe ruhusa ya kutoa viatu, na kama hakuna amri hiyo mnatowa wapi.?
    Wewe kama mwislamu tafakari aya zifwatazo kwa makini ili upate kuelewa.

    Zaburi 139:7-12
    “Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako? Kama ningepanda mbinguni, wewe uko; ningefanya kuzimu kitanda changu, wewe uko. Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari; huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kuume utanishika. Kama nikisema, hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo imekuwa usiku; giza nalo halikuchi kitu, Bali usiku huangaza kama mchana; Giza na mwanga kwako ni sawaswa.” (Pia tazama lsaya 6:3; Yeremia 23:23-24; Mithali 15:11)

    Kwa mjibu wa Biblia tunaona kuwa Mungu yuko kila mahali, kwani hatuwezi kujificha uso wa Mungu.Hebu tuangalie jinsi Qurani inavyofundisha.

    Al-an'am 6:3
    “Na yeye ndiye Mwenyezi Mungu katika mbingu na katika ardhi, na anaijua ndani yenu na nje yenu; anayajua (yote) mnayoyachuma.”

    Al Baqarah 2:115
    “Na mashariki na magharibi ni ya Mwenyezi Mungu. Basi popote mgeuliapo (alikokuamrisheni Mwenyezi Mungu mtazikuta) huko radhi za Mwenyezi Mungu. Bila shaka mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa (mkubwa kabisa) na mwenye kujua kukubwa (kabisa vile vile) (24:35)”

    Kwa kuwa Mungu yuko kila mahali, naomba majibu kwa maswali fwatayo.
    · Je Musa na Yoshwa waliweka wapi viatu vyao?
    · Na kama Musa na Yoshwa walivishika mkononi, hakuwa najisi?
    · Je pahali pale palikuwa mahali pa ibada kama msikitini?
    Kando na hawa kunaye mwingine aliyeamurishwa kuvua viatu?
    Kwa hivyo mwislamu kabla ya kuanza kuzungumza, ni lazima ujihoji kwa maswali hayo hapo juu, na utaona ya kuwa Mungu hakuwa na maana kama waislamu wanayoichukulia, kwani Mungu mwenyewe asema hivi.

    Isaya 55:8
    “Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.”

    2.kwa nini Musa naYoshwa wakatoa viatu.
    Biblia inatufundisha ya kuwa wamesimama katika ichi takatifu. Mungu alikuwa na maana ya kujitakasa nafsi zao. Kwa mfano,

    Walawi 11:44
    “Kwa kuwa mimi ni BWANA, Mungu wenu; takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu; wala msitie uchafu nafsi zenu kwa kitu kitambaacho cha aina yoyote, kiendacho juu ya nchi. Kwa kuwa mimi ni BWANA niliyewaleta kutoka katika nchi ya misri, ili kwamba niwe Mungu kwenu; mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

    Mungu wetu mara nyingi hunena maneno ambayo katika hali ya mafumbo, na mtu wa mwili hawezi kufahamu. Kama vile, Mungu ametuambia kuwa tuzitahiri nyama ya govi ya roho zetu wala tusiwe wenye shingo ngumu. Kumbukumbu la Torati 10:16; Walawi 26:4; Yeremia 4:4; Wakolosai 2:11.mfano mingine wa kuangalia ni Ufunuo 2:7. Na mwenye sikio na asikie….

    3. Je wakristo wameamriswa kutoa viatu?
    Swala la msingi la kuchunguza ni jinsi Biblia inavyofundisha kuhusu viatu.
    Kutoka 12:11
    “Tena mtamla hivi, mtakuwa mefunga viuno vyenu, mmevaa viatu miguuni na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka ni pasaka ya Bwana.”

    Kulingana na mafundisho ya Biblia hii ni ibada maluumu, na Mungu amesema kuwa watutakuwa wamevaa viatu. Fuatilia somo hili ili upate kujua ukweli wa mambo.

    Kumbukumbu la torati 29:5
    “Nami miaka arobaini nimewaongoza jangwani; nguo zenu hazikuchakaa juu yenu, wala kiatu chako hakikuchakaa katika mguu wako.”

    Mungu kwa miaka arobaini alikuwa akiwaongoza katika jangwa huku wamevaa viatu mguuni mwao. Kwa hivyo tunaona jinsi Mungu alivyo mwingi wa rehema, kwani katika mila na desturi za kiyahudi ni lazima kila mtu avae viatu. Na ndiposa nabii Yeremia ansema hivi.
    Yeremia 2:25
    “Zuia mguu wako usikose kiatu, na koo yako isiwe na kiu…
    Hata Yohana kwa ushuhuda wake anasema maneno haya.
    Mathayo 3:11
    “Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuniliko mimi, wala sisitahili hata kuvichukwa viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na moto.”

    Kwa wakristo Bwana Yesu ndiye mfano mwema, kwani yeye ndiye njia na kweli na uzima mtu hawezi kumfikia Mungu bila Bwana wetu Yesu kristo. Yohana 14:6.

    Je kunayo aya yoyote inayowaruhusu waislamu watoe viatu wakati wa ibada?.
    Al-Ahzab 33:21
    “Bila shaka mnao mfano mwema (ruwaza nzuri) kwa mtume wa Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho, na kutaja Mwenyezi Mungu sana.”

    Kwa waislamu mfano wao mzuri ni mtume Muhammad, kwani alichokitenda inawapasa wao kukitenda. Hebu tuangalie jinsi mtume alivyokuwa akiswali, tukichunguza na vitabu vingine. Kwa sababu Qurani inaruhusu kusoma hata hadithi za mtume.
    Ash-shura 42:10
    “Mkihitilafiana katika jambo lolote (rejeleeni kitabu cha Mwenyezi Mungu na hadithi za mtume kwani) hukumu yake iko kwa Mwenyezi Mungu. Huyo Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu ninaye mtegemea, na kwake ninarejea.”

    Hivyo kila mwislamu hata afanyenini ni lazima matamanio yake kama alivyotenda mtume. Na mojawapo ya yale alioyatenda ni kuswali huku amevaa viatu.

    MISHKAT AL MASABIH VOL 1 SURA (CHAPTER) 10 SEHEMU 3.
    Mtume alikuwa akisali huku amevaa viatu, Al Mughira alijaribu kumkumbusha Muhammad hasa pale alipomwona anatawadha juu ya viatu na kuingia navyo msikitini, hivyo Mughira akasema “Ewe Mtume wa Allah umesahau’’ Mtume akajibu kumwambia Al Mughira akisema “wewe ndiwe uliye sahau kwa maana hivi ndivyo alivyo niamuru Mungu.

    Kama mtume aliambiwa aswali na viatu, mbona wewe mwislamu unatoa viatu?. Je wewe unamfuata nabii yupi?. Mafundisho ya kutoa viatu umeyapata wapi?

    SAHIH MUSLIM VOL 1 HADITHI 1127. UK 277.
    Abdullah bin Shakhkhir kuwa alikuwa akiswali na mtume wa Allah, (katika msikitini) kisha akamwona akitema mate na kuyafuta kwa kiatu.

    Kunaruhusiwa kusali huku umevaa viatu.
    SAHIH MUSLIM VOL 1 HADITHI 1129
    Sa’d bin Yazid (Abu Mslama) akimliza mtume Anas bin Malik. Je mtume wa Allah alikuwa akisali na viatu vyake, Anas akajibu Ndio.

    The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

    The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

    TRENDING NOW