Thursday, December 20, 2018

SHETANI NI NANI?


SHETANI NI NANI?
JE, SHETANI ALIUMBWA NA MWENYEZI MUNGU KAMA WANAVYO DAI WAISLAM?
Biblia humwita “mungu wa ulimwengu huu.” Lakini alitoka wapi? Je Mungu alimuumba kama alivyo? Je, yeye ni roho aliyeanguka? Haya hapa ni majibu kutoka katika Neno la Mungu!
Biblia inamfafanua Shetani kuwa kiumbe halisi ambaye yuko katika makao ya roho. (Ayubu 1:6) Inatueleza kuhusu sifa zake za ukatili kutia ndani matendo yake ya uovu. (Ayubu 1:13-19; 2:7, 8; 2 Timotheo 2:26)
Asili ya Shetani ni wapi au nini?
Tangu mwanzo Shetani hakuwa anaitwa Shetani, yaani hapakuapo na kiumbe kilichoumbwa na kuitwa Shetani. Alikuwa ni “mwana wa asubuhi” (Isa.14:12) yeye pamoja na jeshi lingine la mbinguni,waliumbwa wote wakiwa wakamilifu katika njia zao zote ( Ezekieli. 28:14-19). Kulikuwa na amani na umoja Mbinguni. Kisha mambo yakaharibika. Biblia haiko wazi sana juu ya swala hili ni nini hasa kulitokea na kwa namna gani, ila uovu au kutokumtii Mungu kulioneka kwa Lucifa. Mwishowe alifukuzwa kutoka Mbingini, pamoja na jeshi lake lote lililoasi, wakafukuziwa mbali kabisa kutoka mbinguni na kutupwa, na wanazunguka zunguka katika nchi (duniani).
(Wakolosai 1:15) Mungu aliumba malaika. (Ayubu 38:4-7) Wote walikuwa wakamilifu na waadilifu. Hata hivyo, mmoja kati ya malaika hao aliitwa Lusifa ndie akaja kuwa Shetani.
Malaika huyo hakuitwa Shetani alipoumbwa. Jina hilo ni la kumfafanua, na linamaanisha “Mpinzani; Adui; Mshtaki.” Alikuja kuitwa Shetani kwa sababu alichagua kumpinga Mungu. Ni sawa na kusema, Mungu hakuumba majambazi, bali Majambazi ni sifa ambayo mtu anaipata anapo fanya unyang'anyi kwa kutumia nguvu. Mungu wetu hakuumba uovu.
Kiumbe huyo wa roho akaanza kukuza hisia za kiburi na za kushindana na Mungu. Alitaka wengine wamwabudu yeye. Yesu alipokuwa hapa duniani, Shetani alimtaka Yesu ‘amfanyie tendo la ibada.’—Mathayo 4:9.
Shetani alitupwa na malaika wake?
Ufunuo 12: 7-21 Imeandikwa “Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; 8 nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye. 10 Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku. 11 Nao wakamshinda kwa damu ya MwanaKondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa. 12 Kwa hiyo shangilieni, enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu.
Ufunuo 12 husema juu ya Shetani na pepo wake wabaya “walitupwa katika nchi” (fu. 13). Kwa hakika sura hii imepachikwa katikati ya kitabu cha Ufunuo, na ni muhtasari mfupi wa historia ya Kanisa la Agano Jipya.
Fungu la 3 linamwelezea Shetani kama “joka” aliye “kokota theluthi ya nyota za mbinguni na kuziangusha katika nchi” (fu. 4). Kumbuka kwamba “nyota” hizi zilikuwa ni theluthi ya malaika wote waliokuwa chini ya Nyota ya alfajiri kabla hajaasi.
2 Petro 2:4 hutoa kiashiria kingine juu ya huku “kutupwa chini” kwa Shetani na malaika zake “aliowakokota pamoja” naye. Angalia: “Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa [Shetani hakuwa malaika pekee aliyeasi], bali aliwatupa shimoni.” (Neno la Kigiriki hapa ni tartaros na linamaanisha aidha “gerezani” ama “kizuizini”—hii ni dunia yenyewe.) Pepo hawa wabaya pamoja na Shetani “wanalindwa hata ije hukumu,” wakiisha “kutiwa…katika vifungo vya giza.” Hii inafunua kwamba Mungu aliwatia katika gereza hili la giza pepo wengine wengi walioanguka waungane na “mkuu wa giza.”
Ufunuo 12:7-9 hueleza, kwa undani, lini Shetani na pepo wake wabaya watatupwa hata nchi kwa mara ya mwisho wasipate tena kibali cha kuingia mbinguni. Mafungu ya 12-14 yanaonyesha kwamba mwitikio wa ibilisi ni hasira kuu. Wakati huu wa kutisha unakuja kwa ulimwengu mzima hapo mbeleni kidogo!
Shetani anatushawishi vipi?:
Asili ya shetani ni roho mchafu. sio kitu kinachoweza kuonekana, lakini ni kitu ambacho tunaweza kukifahamu kwa kusoma Biblia. Biblia ilitolewa kama Neno la Mungu. Yesu Kristo alikuja kwetu kama mfano hai wa Neno la Mungu. Ni katika kusoma Biblia tu, ndipo tunaweza kutambua mazuri na mabaya, kujua juu ya utauwa, au kutambua haki na imani ya kweli, na yapi yaliyo ya shetani. Na ni nini yaliyo Mapenzi ya Mungu. Sio jambo tunaloweza kulifahamu tangu kuzaliwa au ambalo tukiwa tunazaliwa tunakuwa tunalifahamu.Wengi kati yetu tunafanya uchaguzi mbaya kwa sababu hatusomi Biblia na kulifuata Neno la Mungu, sawa sawa na Mapenzi ya Mungu.
Shetani ni roho mchafu na anatushawishi kiroho, njia moja ya kumuona shetani ni katika mawazo yetu, akilini mwetu. Tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu. Shetani sio kitu kilichoandikwa, sio kitu tunachoweza kukiona kwa macho, kukisikia, kugusa, kuonja au kunusa. Mungu ni kama hivyo kwa namna fulani na malaika wote na hata shetani pia.
Waefeso. 2:2 Ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumufuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi.
Mwisho wa Shetani ni wapi?
Ufunuo 20:2 Akamshika yule joka, yule joka wa zamani, ambaye ni ibilisi na shetani, akamfunga miaka elfu.
Shetani atafungwa na hataweza kumshawishi mtu tena mwanadamu yeyote kwa muda miaka elfu moja kisha atafunguliwa tena (Ufunuo 20:7) mwisho wa hiyo miaka elfu moja. Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, shetani atafunguliwa, atoke kifungoni kwake; na kutambua ya kwamba ameshidwa; ni mnyonge hawezi kupata nguvu pasipo Mungu, na kuna vita vingine tena vitakavyotokea dhidi ya Mungu kama shetani atakavyowadanganya nakuwashawishi watu tena kama anavyofanya wakati huu wa sasa
Shetani anatupwa katika shimo (Isaya 14:15-17). Na wale wanaomwona washangaa na kustajabu ya kwamba huyu ndiye yule aliyeleta matatizo yote ya duniani na huzuni na masikitiko yote. Ghafla anabadilika na kutokuwa tena yule mnyama wa roho chafu ya kutisha na ya kuogofya ambaye hapo mwanzo alikuwa ni wa kuogofya na wa kutisha, aliyeweza kusababisha watu waamini ya kuwa ndivyo alivyo. Yeye ni mhongo aliyouadhibu uumbaji wa Mungu uliyofundishwa kumkili Mungu katika nguvu zake ambaye Yeye ni Mweza.
Ufunuo 20:10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.
Hata hivyo shetani atatambua ya kuwa Mungu alikuwa ni wa haki wakati wote. Hili neno “shetani” maana yake ni mshitaki. Shetani ataacha kuwa mshitaki, hatakuwa shetani tena. Hatawashitaki tena ndugu, kama alivyowashuhudia kwa uongo. Mashitaka yamekwisha lakini yatakuwepo daima kama kumbukumbu. Adhabu gaini kwa shetani ! Mashitaka yake hayatasahaulika. Yatakumbukwa daima kama aliyemvunjia Mungu heshima, na kwa kuudan ganya ulimwengu. Atapata mateso yake kwa sababu atatambua makosa yake. Msamaha wetu ni muhimu sana katika kurudisha utukufu na heshima yake na katika maisha mema.
Mwishowe, kila mtu atamtambua Kristo kuwa ni Mfalme na Kuhani Mkuu anayeunganisha dunia yote na kumwakilisha Mungu. Jambo hili litakapokamilika vita kati ya mema na mabaya vitakuwa vimekwisha. Ushawishi wa shetani utakuwa umekwisha. Mauti yamekwisha. Makanisa ya uongo na manabii wa uongo na unabii wa uongo utakuwa umekwisha. Yote yatakuwa yamekwisha; wote watatambua Mpango wa Mungu na watakuwa sehemu ya Familia ya Mungu. Wote watakiri ya kwamba Mungu alijua yote, na anajua yote, na daima atajua yote.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13
Image may contain: 1 person, text

Wednesday, December 19, 2018

SODOMA NA GOMORA

Image result for sodoma na gomora iko nchi gani
na Tony Alamo
Karibu na Yeriko katika Israeli ipo sehemu iitwayo Sodoma na Gomora.1 Kama unaweza kuiona, utafahamu bila shaka kwamba MUNGU ni MUNGU mwenye kuhukumu!2 Unaweza kuchukua vipande vya njano vya salfa, ambavyo huungua unapoviwasha. Ni mahali pa kutisha ambapo hujawahi kuona. Milima yaonekana kana kwamba MUNGU alivikata vilele vya milima katika vipande vikubwa-vikubwa, kisha, kwa ngumi YAKE kubwa, akaponda kila kitu na kusawazisha, akazika katika chumvi, salfa (kiberiti) na moto. Beba nyumbani kipande cha salfa (kiberiti) kama ukumbusho. Chukua kipande kingine ukiweke kwenye sanduku la kupigia kura wakati umma unaposema, “Hebu tupige kura tuone kama ndoa ya jinsia moja ni sawa.” Kamwe usithubutu kusema pamoja na halaiki ya watu kwamba NENO LA MUNGU si la kweli! Hatuwezi kujua sawa, baya, jema, au ovu bila NENO LA MUNGU!3

Eneo lote hili lina joto kuliko sehemu nyingine yoyote katika Nchi Takatifu. Pia ni sehemu ambayo haina uhai. Kuna milima mikubwa ya chumvi karibu yake.4 Haijalishi ni kiasi gani mto Yordani hutiririka na kumwaga maji yake baridi katika Bahari ya Chumvi, maji ya bahari ya Chumvi ni chumvi sana, na kamwe hayawezi kuendeleza uhai, wala kutoa samaki. Kuanguka kwa milima kumelifanya eneo hilo kuwa ukiwa sana, na kuna kreta kubwa katika ardhi karibu na hoteli. Eneo hili huitwa Engedi, likimaanisha “jicho la kondoo.” Zipo hoteli tatu kubwa huko, na nyingine ndogo kumi, zote zikiwa na mabwawa ya kuogelea. Kreta kubwa na maharibiko halisi vilikuwa kwenye barabara ya nyuma inayotoka Engedi kwenda Beer-sheba. Unaposimama juu kwenye pembe za kreta, unaweza kuona vizuri zaidi uharibifu, eneo la milima iliyoporomoka ya Sodoma na Gomora. Nyuma ya kreta, kuna milima iliyofunikwa na mawingu na ukungu juu yake. Ukimya na ukiwa humfanya mtu kuwa na hofu. Haiwezekani kabisa kuona chini kwenye kreta, ni pana sana.

Kuna kreta ngapi kubwa katika ardhi – ardhi iliyopasuka mashimo makubwa – ambayo imesababisha uharibifu na maziko ya Sodoma na Gomora? Yeriko ni lazima ihusishwe pia, kwa sababu Sodoma ni wilaya tu ndani ya Yeriko. Unaposhuka na barabara ya mlimani kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, masikio yako huzibuka, kama vile unatua na ndege. Yeriko ipo chini sana ya usawa wa bahari, sehemu iliyo chini kuliko sehemu zote za nchi. Ni kwa sababu MUNGU aliponda na kusawazisha eneo lote. Aliifanya sehemu hii kuwa chini kuliko sehemu zote za ardhi kwa sababu ya dhambi walizotenda.5

Yeriko, isipokuwa mji, karibia yote ni tupu, na isiyo na uhai, kwani ni nchi iliyolaaniwa. Inatia huzuni. Mazingira ni mabaya mno. Haijalishi ni mara ngapi watu wanajaribu kuiendeleza nchi, kwa namna fulani kuleta maisha na furaha ndani yake; lakini nchi hiyo inawashinda na haiendelei. Unaweza kuona mapango na nyumba ambazo zimeharibiwa. Watu waishio humo ni wachache, na wengi wao ni wachungaji. Mfumo wao wa maisha ni mbaya sana na wa kikatili, kama ardhi yao ilivyo katili, na nyuso zao huonekana ngumu kama mwamba.

Watu hadi leo hii, huchukua mawe ya salfa, kiberiti, ambavyo MUNGU alimwaga juu ya eneo hilo. Huchukua kumbukumbu na kuwasha mawe ya salfa kwa kiberiti. Wezi wa makaburi (Majambazi) na wanaakiolojia hutembelea maeneo haya mara kwa mara kuangalia makaburi na majeneza. Majambazi huchimba usiku, wakisaka miili, mitungi, vikombe, vito, na samani ambavyo wanaweza kuviuza kabla ya wanaakiolojia kuvipata. Wanajaribu pia kuchimba mapango yaliyoharibiwa na nyumba kutoka kwenye miamba, kiberiti na salfa.

Yeyote atakayetazama ukubwa wa uharibifu katika eneo hili hatakuwa na shaka kwamba ni uharibifu alioufanya MUNGU kulihadhibu eneo hili, kwani nchi yote ya Israeli ni ya kijani na iliyostawi, isipokuwa sehemu ya Sodoma na vijiji vinavyoizunguka. Hivi punde MUNGU ataleta uharibifu WAKE katika dunia hii tena na juu ya ulimwengu wote.6

Nchini Marekani, hatujawahi kuona tetemeko la ardhi kubwa zaidi ya 9.2 kwa kiwango cha skeli za Richter. Ni rahisi kuona kwamba, kama uharibifu alioufanya MUNGU katika Sodoma na Gomora ungepimwa leo kwa skeli ya Ritcher, ungesomeka 25.0 au zaidi. Hii ni bila hata ya kuzingatia mvua ya moto na kiberiti juu ya watu kwa sababu ya vitendo viovu vya ngono, kama ushoga na uzinzi.7

Eneo lote hili linastahili kuwa ushuhuda wa MUNGU kwa watu wote, hasa wale wapotovu wanaofanya ushoga na usagaji. Baada ya kuona yote haya, utatambua kwamba MUNGU hafanyi mzaha. Humaanisha kile Asemacho.8 Ni nyakati za mwisho, hivyo usifanye mzaha hali kadhalika unaposali sala hii kwa MUNGU:
Prayer
BWANA wangu na MUNGU wangu, ihurumie roho yangu, mimi mwenye dhambi.1 Ninaamini kwamba YESU KRISTO ni mwana wa MUNGU aliye hai. 2 Ninaamini kwamba alikufa msalabani na kumwaga damu yake ya thamani ili nisamehewe dhambi zangu zote nilizozifanya hapo awali.3 Ninaamini kwamba Mungu alimfufua YESU kutoka kwa wafu kupitia nguvu za ROHO MTAKATIFU4 na ya kuwa ameketi upande wa kuume wa MUNGU kwa wakati huu akisikiliza maungamo ya dhambi zangu na haya maombi yangu.5 Ninafungua mlango wa moyo wangu na kukukaribisha moyoni mwangu, BWANA YESU. 6 Nioshe dhambi zangu kwa damu uliyoimwaga kwa ajili ya nafsi yangu pale msalabani Kalivari,7 hutanikataa, BWANA YESU, utanisamehe dhambi zangu na kuiokoa roho yangu. Ninalijua hili kwa sababu NENO LAKO, yaani Biblia linasema hivyo.8 NENO LAKO linasema hutamkataa yeyote na mimi nikiwemo.9 Hivyo ninajua umenisikia na umenijibu; na ninafahamu kwamba nimeokoka.10 Ninakushukuru BWANA YESU kwa kuokoa roho yangu na nitaonesha shukrani zangu kwa kufanya yale unayoniamuru na kwa kutotenda dhambi tena.11

Baada ya kuokoka, YESU alisema kuwa ni lazima kubatizwa kwa kuzamishwa kabisa kwenye maji mengi kwa jina la BABA, MWANA na ROHO MTAKATIFU.12 Kwa makini, soma Biblia ya KJV, tafsiri ya Kiswahili ya The Bible League, Waenezaji wa Neno la Mungu tangu 1938 na ufanye inavyosema.13
BWANA anakutaka uwaambie wengine kuhusu wokovu wako. Unaweza kusambaza makala ya Injili ya mchungaji Tony Alamo. Tutakutumia makala hizi bila malipo. Tupigie simu ama ututumie barua pepe kwa habari zaidi. Mshirikishe mtu mwingine na ujumbe huu.
Iwapo unataka dunia yote, iokolewe kama YESU anavyoamuru, basi usimwibie MUNGU zaka na sadaka zake. MUNGU alisema, “Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu. Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote [na dunia hii yote]. Leteni zaka [zaka ni asilimia 10 ya mapato yako yote] kamili ghalani, ili kiwemo chakula [chakula cha kiroho] katika nyumba yangu [roho zilizookolewa], mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema Bwana wa majeshi” (Malaki 3:8-12).

Mahali ilipo Sodoma na Gomora
Mwanzo 19:27-28 inasema, “Ibrahimu akatoka asubuhi kwenda mahali aliposimama mbele za BWANA, naye akatazama upande wa Sodoma na Gomora na nchi yote ya hilo Bonde, akaona, na tazama, moshi wa nchi ukapanda, kama  moshi wa tanuru.”

Katika miaka ya 1980, mgunduzi wa kiakiolojia wa maeneo ya Kibiblia, Ron Wyatt, alibaini maono wa ajabu wa “maumbo” alipokuwa akipita katika pwani ya Bahari ya Chumvi. Kwake yalionekana kama kuta za mji na majengo, ila katika rangi nyeupe. Kwa miaka mingi hakufanya lolote kuhusu kile alichokiona, lakini mnamo 1989, Ron aligundua jambo ambalo lilimshawishi kwamba maumbo haya yenye rangi nyeupe hayakutokana na mabadiliko ya kijiolojia.

Zaidi ya Matabaka ya Kijiolojia
Ron aliona barabara ambayo vitu vyeupe vilikuwa vimekatiza na sehemu ya ndani ikiwa na vitu vilivyoonekana katika mpangilio wa tabaka ambazo zilionyesha dhahiri kwamba haya yalikuwa ni zaidi ya matabaka ya kijiolojia.

Katika kutafuta kwenye Biblia, dalili kulingana na maandiko yao, Ron na mkewe Mary Nell walipata marejeo andiko ambayo yanataja miji minne inayounda sehemu ya mipaka ya Wakanaani:
“Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha” (Mwanzo 10:19).

Itakuwa ni jambo la ajabu kwa Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu kila mmoja kuorodheshwa kama alama za mpaka kama yote ingekuwa katika eneo moja, upande wa kusini mwa Bahari ya Chumvi. Ni mantiki kwa miji iyo kuwa katika umbali kutoka mmoja hadi mwingine ili kujumuisha kila mmoja wa miji hiyo kama alama za mpaka.

Sehemu ya maeneo aliyoona Ron, kwa hakika, yalikuwa yametengana kwa umbali usiopungua maili hamsini au zaidi. Mji mmojawapo ulikuwa kaskazini mwa Yeriko, ambao kulingana na maandiko inaashiria Seboimu utakuwa kaskazini mwa Bahari ya Chumvi.

“Naye Sauli, na mwanawe Yonathani, na watu walikuwapo pamoja nao, wakakaa huko Geba ya Benyamini; lakini Wafilisti wakatua katika Mikmashi. Nao watekaji wa nyara wakatua katika marago ya hao Wafilisti, vikosi vitatu; kikosi kimoja kikageukia njia iendayo Ofra, mpaka nchi ya Shauli; na kikosi kingine kikageukia njia iendayo Beth-horoni; na kikosi kingine kikageukia njia ya mpakani ielekeayo bonde la Seboimu upande wa nyika” (1 Samweli 13:16-18).

Baadaye 1989, Ron na Mary Nell Wyatt walitembelea eneo hilo chini kidogo ya Masada na wakachukua sampuli ya vitu vyeupe ambavyo vilivunjika haraka mikononi mwao na kusambaratika katika chembe mithili ya poda ya talkum. Wakati huo, Mary Nell aliona moja ya kapsuli ya kiberiti ikiwa imegandamana na kipande cha majivu yaliyosindiliwa; hata hivyo, hakuna hitimisho lililopatikana wakati huo, kwamba kilikuwa ni kitu gani.

Mnamo Oktoba 1990, Ron Wyatt na Richard Rives walirudi katika eneo hilo. Walipokuwa wakilichunguza eneo hilo lililoko chini ya Masada, waligundua kwamba mvua ilikuwa imenyesha. Walipokuwa wakishangaa mahali hapo, Richard aliona kitu mfano wa chumba kilicho wazi au pango kwa mbali na walipokaribia pango walikutana na rundo kubwa la majivu ambalo lilikuwa limeanguka muda huo kutoka juu – labda kwa sababu ya mvua iliyokuwa imenyesha muda huo. Ron aliposimama kutazama, aliona gololi nyingi za njano ndani ya majivu yaliyosambaratika, zote zikiwa zimezungukwa na ukoko mwekundu-mweusi mithili ya pete. Alipojaribu kutoa moja, alitambua ilikuwa ni salfa. Kwa uchunguzi wa karibu, sasa akiwa anajua nini anatafuta, ilifahamika kwamba vyote vilivyokuwa ndani ya mabaki ya majivu vilikuwa ni vitu vya mviringo kama mpira vikiwa vimezungukwa na salfa (kiberiti).

Baada ya uvumbuzi wa kiberiti, utafiti wa kiakiolojia wa Wyatt ulianza kuchunguza kama kiberiti walichoona kilipatikana katika mfumo huu sehemu nyingine yoyote. Ron na Mary Nell Wyatt pamoja na Richard Rives walikwenda kwenye Taasisi ya Smithsonia, mjini Washington D.C. na kuchunguza salfa yao katika namna tofauti, hakuna iliyokuwa ya mviringo yenye poda za salfa. Na kuongeza, hakuna iliyokuwa imezungukwa na utando. Ombi liliidhinishwa na Taasisi ya Smithsonia kuchunguza salfa zilizokuwa na mwonekano tofauti. Salfa zilikusanywa kutoka sehemu mbalimbali duniani, zenye zaidi ya vielelezo hamsini. Hakuna hata moja kati ya hizo zilizoonyesha tabia sawa na salfa ya kiberiti iliyopatikana karibu na “miji ya Bonde.”
Ron Wyatt hakuwa mtu wa kwanza kugundua kiberiti karibu na Bahari ya Chumvi. Wakati William Albright na Melvin Kyle walipotoka kuiona miji ya Sodoma na Gomoara mnamo 1924, wao pia, waliona vipande vya kiberiti kusini mwa Bahari ya Chumvi.

“…sehemu ambayo kiberiti kilinyesha itaonyesha kiberiti. Naam, inaonyesha; tuliokota salfa halisi, katika vipande vikubwa kama ncha ya dole gumba langu. Imechanganyika na mchanga wa milima magharibi mwa bahari, na sasa imesambaa katika mwambao wa bahari hata upande wa mashariki wa bahari, kama maili nne au tano kutoka kwenye pembe yenye tabaka. Kwa kiasi Fulani imetawanyika mbali na kwa mapana juu ya bonde hili.” (Ugunduzi wa Sodoma na Dk. Melvin Kyle, 1928, uk. 52-53)

Wala Melvin Kyle hakuwa wa kwanza kuona mabaki ya majivu. Kumbukumbu nyingine ya miji hii inatoka kwa Josephus katika kitabu chake cha Nne, Wars of the Jews, (Vita ya Wayahudi), Sura ya VIII:
“Sasa nchi hii imeteketezwa kwa namna ya kuhuzunisha, na hakuna anayetamani kuikaa;…ilikuwa nchi ya kale yenye furaha sana, kwa matunda iliyozaa na utajiri wa miji yake, ingawa yote sasa imeteketezwa. Inatokana na ukengeufu wa wakaazi wake, ulichomwa kwa radi; Kutokana na madhara hayo bado yamo mabaki ya moto ule wa Mungu; na athari (au vivuli) vya miji mitano bado huonekana...”
Maelezo ya Josephus yanaeleza vizuri kabisa kile kinachoweza kuonekana katika sehemu hizi za majivu:
“...imeteketezwa yote.”

Maelezo ya uharibifu wa Sodoma, Gomora, na “Mabonde yote” havikuwa hadithi za kale. Lilikuwa tukio la kihistoria ambalo lilitokea hasa kama maelezo ya Kibiblia yalivyobainisha.
http://www.wyattmuseum.com/cities-of-the-plain.htm

Tafadhali wasiliana nasi kwa habari zaidi au kwa vitabu vyetu vyenye mada nyingine ambazo unaweza kuvutiwa nazo:
Tony Alamo, World Pastor, Tony Alamo Christian Ministries Worldwide 
P.O. Box 2948, Hollywood, CA 90078
Namba yetu ya simu kwa ajili ya maombi na habari iliyo wazi kwa saa ishirini na nne ni: (661) 252-5686  •  Faksi: (661) 252-4362
Huduma ya Tony Alamo Christian Ministries Worldwide hutoa mahali pa kuishi pamoja na vitu vyote muhimu kwa maisha kwa wale walio Marekani ambao wanataka kumtumikia BWANA kwa mioyo yao yote, roho zao zote na nguvu zao zote.
Huduma yetu hufanyika jijini New York kila Jumanne, saa mbili usiku na mahali pengine kila usiku.
Tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba (908) 937-5723 kwa habari zaidi. CHAKULA HUTOLEWA BAADA YA KILA IBADA.
Tuma maombi ujipatie kitabu cha Mchungaji Alamo kiitwacho, The Messiah, kinachomwonesha KRISTO alivyo katika Agano la Kale kwa jumbe za unabii zipatazo 333.
Kuwa mmoja wa watumishi katika kuvuna roho za watu kwa kuwa msambazaji wa makala na vitabu vya Mchungaji Alamo
Machapisho yetu na jumbe kwenye tepu za sauti hayalipishwi kitu ikiwemo gharama ya kusafirisha kupitia meli.
Iwapo kuna mtu atajaribu kukulipisha, tafadhali tupigie simu kwa namba: (661) 252-5686.
MAKALA HIZI ZIMEBEBA MPANGO WA KWELI WA UKOMBOZI (Matendo ya Mitume 4:12)
USIZITUPE: ZIFIKISHE KWA MTU MWINGINE.
Kwa wale ambao mko kwenye nchi nyingine, tunawashauri kutafsiri makala hizi kwa lugha zenu. Iwapo mtachapisha tena, tafadhali jumuisha haki hii na usajili:
© Hatimiliki Aprili 2015 Haki zote zimehifadhiwa, Mchungaji wa Ulimwengu Tony Alamo ® Imesajiliwa Aprili 2015
SWAHILI—VOLUME 21200—SODOM AND GOMORRAH

footnotes:
1. Mwa. 18:20-33, 19:1-29, Kum. 29:23 return
2. Mwa. sura. 6-7, Hes. 11:1, Kum. 4:24, 10:17, 32: 4, 15-16, 19-26, 35:43, Zab. 2:1-5, 12, 7:11-12, 11: 5-6, 21:8-9, Isa. 30:1-3, 30, 33, 66: 15-16, 24, Yer. 7:20, 10:10, 21:11-14, Omb. 4:11, Nah. 1:2-8, Mat. 25:31-46, 2 Kor. 5:10-11, Ebr. 10:30-31, 2 Pet. 2:4-9, Yud. 7, Ufu. 14:9-11, 20:11-15 return
3. Kut. 20:1-7, Kum. 5:1-21, Yos. 1:8, Zab. 119:9, 104-105, 130, Mit. 6:23, Mal. 4:4, Yoh. 5:24, 8:31-32, 12:48, 15:3, 2 Tim. 3:15-17, Yak. 1:21-25, 2 Pet. 1:19 return
4. Mwa. 19:24-26, Kum. 29:23, Isa. 13:19-22, Yer. 50:40, Omb. 4:6, Sef. 2:9 return
5. Mwa. 13:13, 18:20-21, 19:1-13, 24-25, Eze. 16:49-50, Yud. 7 return
6. Isa. 13:3-13, 24:1-21, 34:1-10, Eze. 22:25-31, 24:6-14, sura 38, Yoe. 1:13-15, Zef. 3:8, Mal. 4:1, Mat. 24:3-7, 21-22, 29-34, Lk. 17:24-30, 2 Thes. 1:7-10, 2 Pet. 3:3-12, Ufu. 6:15-17, 8:7-13, 9:1-19, 11:18, 16:1-11, 17-21, 19:11-21 return
7. Mwa. 19:4-13, Law. 18:20, 22, 20:13, Kum. 22:5, 23:17-18, Amu. 19:22-28, 1 Fal. 14:22-24, Rum. 1:18, 24-32, 1 Kor. 6:9-10, 18, 10:8, 2 Kor. 12:21, Gal. 5:19-21, Efe. 5:3-6, Kol. 3:5-7, 1 Thes. 4:3, 1 Tim. 1:9-10, Ebr. 13:4, Yud. 7, Ufu. 2:21, 9:21, 22:15return
8. Hes. 23:19, 1 Sam. 15:29, Zab. 119:89, Mit. 19:21, Muh. 3:14, Isa. 14:24, 40:8, Yer. 4:28, Eze. 24:14, Dan. 4:35, Mat. 5:17-18 return

Prayer footnotes:
1. Psa. 51:5, Rom. 3:10-12, 23 return
2. Matt. 26:63-64, 27:54, Luke 1:30-33, John 9:35-37, Rom. 1:3-4 return
3. Acts 4:12, 20:28, Rom. 3:25, I John 1:7, Rev. 5:9 return
4. Psa. 16:9-10, Matt. 28:5-7, Mark 16:9, 12, 14, John 2:19, 21, 10:17-18, 11:25, Acts 2:24, 3:15, Rom. 8:11, I Cor. 15:3-7 return
5. Luke 22:69, Acts 2:25-36, Heb. 10:12-13 return
6. I Cor. 3:16, Rev. 3:20 return
7. Eph. 2:13-22, Heb. 9:22, 13:12, 20-21, I John 1:7, Rev. 1:5, 7:14 return
8. Matt. 26:28, Acts 2:21, 4:12, Eph. 1:7, Col. 1:14 return
9. Matt. 21:22, John 6:35, 37-40, Rom. 10:13 return
10. Heb. 11:6 return
11. John 5:14, 8:11, Rom. 6:4, I Cor. 15:10, Rev. 7:14, 22:14 return
12. Matt. 28:18-20, John 3:5, Acts 2:38, 19:3-5 return
13. Deut. 4:29, 13:4, 26:16, Josh. 1:8, 22:5, 2 Tim. 2:15, 3:14-17, James 1:22-25, Rev. 3:18 return

Friday, December 7, 2018

WAPI YESU KASEMA WATU WAWE WAKRISTO?




WAPI YESU KASEMA WATU WAWE WAKRISTO?
Hili ndilo swali dhaifu linalo ulizwa na ndugu zetu kila kukicha. Leo nawajibu kwa aya ili wanyamaze milele yote.
Marko 9: 39 Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa hakuna mtu atakayefanya mwujiza kwa jina langu akaweza mara kuninenea mabaya;
40 kwa sababu asiye kinyume chetu, yu upande wetu.
41 Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.
Katika aya ya 41, Yesu anasema sisi ni watu wa Kristo. Je, mtu wa Kristo ni nani kama sio Mkristo?
Je, hawa watu waliomfuata Yesu waliitwa Wakristo?
Matendo 11: 26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.
Neno la Mungu linakujibu kuwa, wanafunzi wa Yesu ambao ni sisi tunaitwa Wakristo.
Je, dai la Ukristo ni dini linathibitishika kama wanavyo lazimisha Waislam?
3.Suurat Al 'Imran 99. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnamzuilia aliye amini NJIA ya Mwenyezi Mungu mkiitafutia kosa, na hali nyinyi mnashuhudia? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda.
Waislam wanakiri kuwa NJIA YA MWENYEZI MUNGU NI DINI. YAANI DINI NI NJIA. JE, NJIA HII YA MWENYEZI MUNGU NI IPI?
Soma: "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." Yohana 14:6
YESU ANASEMA YEYE NI NJIA. WAISLAM WANASEMA DINI NI NJIA, KUMBE BASI UKRISTO KWA TAFSIRI YA WAISLAM NI DINI.
1 Petro 4:16 Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.
KUMBE JINA LA UKRISTO NI LA KUMTUKUZA MUNGU KAMA ILIVYO THIBITISHWA KWENYE PETRO HAPO JUU.
Sasa tusome Tafsir ya Bharwani hapa chini: 1.Suurat An Nahl 125
Maelezo: Suuratun Nah'l * 125. Ewe Nabii! Lingania, uwite watu kwenye Njia ya Haki ambayo Mola wako Mlezi amewataka watu wako waifuate. Na katika huo Wito wako pita njia ambayo inamnasibu kila mmoja wao. Waite wenye vyeo vya juu katika wao kwa maneno ya hikima kwa mujibu wa akili zao. Na watu wa kawaida walio baki kati yao walinganie kwa kuwapa mawaidha yanao waelekea, na kuwapigia mifano ya mambo wanayo pambana nayo ya kuwapeleka kwenye Haki, na uwaongoze kwenye njia fupi inayo wanasibu. Na jadiliana na watu wa dini zilizo tangulia katika watu wa Biblia, yaani Mayahudi na Wakristo, kwa kutumia hoja za kiakili, Mant'iqi, na maneno laini, na majadiliano mazuri, si maneno ya ukali na matusi, ili uwakinaishe na uwavutie. Hii ndiyo njia ya Daa'wa (Wito), kuwaita watu kumwendea Mwenyezi Mungu -watu wa mila zote. Basi ifuate njia hii unapo waita, na baada ya hayo yaliyo baki mwachilie Mola wako Mlezi, ambaye anamjua aliye zama katika upotovu kati yao na akawa mbali na njia ya uwokovu, na nani ambaye aliye salimika, akaongoka, na akayaamini hayo uliyo waletea.
ALLAH ANASEMA UKRISTO NI DINI ILIYO TANGULIA. KUMBE UISLAM HAUKUWEPO KABLA YA UKRISTO. http://www.iium.edu.my/deed/quran/swahili/without/c16.htm…
JE , NIKWELI UKRISTO NA KANISA VILIKUWEPO KABLA YA UISLAM.
Tumsome Musa, Je aliingia KANISANI?
Matendo ya Mitume 7: 37 Musa huyo ndiye aliyewaambia Waisraeli, Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii, katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye.
38 Yeye ndiye aliyekuwa katika kanisa jangwani pamoja na yule malaika aliyesema naye katika mlima wa Sinai, tena pamoja na baba zetu; ndiye aliyepokea maneno ya uzima atupe sisi.
Musa anawajibu waislam kuwa yeye aliingia Kanisa alipo kuwa Jangwani. Kumbe Musa hakuwa Muislam wala hakuwai ingia Msikitini.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

UISLAMU SI MAHALI SALAMA PENYE UHURU NA USAWA

Image may contain: one or more people and textHata tukidhani kimakosa kuwa uislam ulianzia Afrika na kwamba Nabii wake alikuwa mweusi, hii pekee yake haitakuwa sababu nzuri kwa weusi kuasiri uislam.
Hata haitakuwa sababu nzuri kwa wazungu kuasiri uislamu kwasababu tu Muhammad alikuwa mweupe. Tunapaswa kuuangalia uislamu wenyewe.
Nisingependa niwe Muislam kwa sababu uislam hupingana na uhuru, kitu ambacho kipo karibu sana na mioyo na nia za Waamerika wenye asili ya Kiafrika, ukizingatia dhuluma waliyoipata hapo zamani.
Kitu kimoja ambacho uislam hauamini ni uhuru wa kidini. Ikiwa uislam utaichukua Amerika hapatakuwa na uhuru wa kidini. Koran inasema, "Ikiwa mtu yeyote ataka dini nyingine licha ya uislam, jambo hili halitakubaliwa kwake kamwe; na katika maisha yajayo mtu huyu atakuwa katika kundi la waliopotea (Sura 3:85).
Mafundisho mengi ya uislam hayaendani na na maendeleo na nyakati. Na pia hayaendani na haki za binadamu, haki za kiraia au haki za kikatiba.
Ifuatayo ni mifano michache ya uislam Wanaume ni bora kuliko wanawake (Sura 2:228) Wanawake wana haki nusu ya zile za wanaume:
haki za kutoa ushahidi mahakamani (Sura 2:282) haki za mirathi (Sura 4:11)
Mwanaume aweza kumpiga mkewe (Sura 4:34) Mwanaume aweza kuoa wake hadi wanne kwa wakati mmoja (Sura 4:3) Waislam lazima wapigane mpaka wapinzani wao wajisalimishe kwenye uislam (Sura 9:5) Muislam asiwe na rafiki Myahudi wala Mkristo (Sura 5:54) Mtu anayeasi uislamu lazima auawe (Sura 9:12) Wizi huadhibiwa kwa kukata mikono (Sura 5:41) Ugoni huadhibiwa kwa kupigwa mijeredi hadharani (Sura 24:2) Hakuna utengano kati ya kanisa [dini] na serikali. (Sura 2:193) Hakuna upinzani utakaoruhusiwa hata kidogo (Sura 4:59)
Mwamerika mwenzangu mwenye asili ya Kiafrika
Kwa kusema kuwa uislam ni dini ya mtu mweusi, wakereketwa wa uislam wanaonyesha tu chuki yao halisi na ubaguzi wa rangi. Usiliache hili likakurubuni.
Waislam hawajali rangi ya ngozi yako, wanatumia usemi huo tu ili wapate kukuteka. Maana kama Waislam wangelikuwa wanajali watu weusi, kwa nini Waislam weusi wanawateka ndugu zao Wakristo weusi huko Sudan siku hizi, wakiwachinja wanyonge na kuwauza wenye afya kama watumwa (angalia taarifa ya Idara ya Taifa [State Dept]: Habari za Mtandao wa Kimataifa; Mei 26, 1993).
Zingatia, upande mwingine, kuwa Yesu Kristo alikuja kutupa uzima wa milele, ambapo kila mmoja ni sawa mbele za Mungu.
"Hapana Myahudi wala Myunani. Hakuna mtumwa wala aliyehuru. Hakuna mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu" (Wagalatia 3:28).
Tofauti kati ya mafundisho ya kiislam na mafundisho ya Yesu Kristo ni kubwa. Uchaguzi uko wazi, na uchaguzi huu ni wako mwenyewe.
IJUE KWELI
IFUATE KWELI
ISAMBAZE KWELI

JE, MOHAMMAD ALITABIRIWA KWENYE AGANO JIPYA KAMA MSAIDIZI AU ROHO MTAKATIFU, KAMA AMBAVYO BAADHI YA WAISLAM WANADAI?

No automatic alt text available.Kwenye Yohana 14:16-26; 15:26; 16:5-15,
Je Muhammad alitabiriwa kwenye Agano Jipya kama Msaidizi au Roho Mtakatifu, kama ambavyo baadhi ya Waislam wanadai?
Jibu: Hapana. Kama jambo hili lingekuwa kweli, basi Waislam wangeamini mambo haya matano (ambayo hawayaamini)
1. Muhammad alimtukuza Yesu. (Yohana 16:14)
2. Mungu alimtuma Muhammad kwa jina la Yesu. (Yohana 14:26)
3. Muhammad alikuwa ametumwa na Yesu pia. (Yohana 16:7)
4. Muhammad alitwaa hekima ya Yesu na kuifanya ifahamike kwetu. (Yohana 16:15)
5. Muhammad alikuwa "ndani ya" mitume. (Yohana 16:17)
Kwa hiyo, hakuna Muislam mwenye ueleo wa mambo atakayeamini kuwa mistari hii inamuongelea Muhammad. Mistari hii lazima iwe inamwogelea mtu mwingine aliyetumwa na Mungu.
Kwa upande mwingine, pengine Waislam wanapaswa kumtukuza Yesu, kama wanadhani kuwa Muhammad alifanya hivyo, kulingana na mistari hii.
Kama wazo la kihistoria, kabla ya Nicea Archelaus (262-278 B.K.) naye alizungumzia jinsi ambavyo Msaidizi kwenye Yohana 14-16 ni Mungu Roho Mtakatifu kwenye Disputation with Manes sura ya 34-35 uk.208-209
Tazama When Cultists Ask uk.182-183 na When Critics Ask uk.419-420 kwa maelezo zaidi.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

NDOA YA WAKE WENGI NI HALALI?

Image may contain: text
NDOA YA WAKE WENGI NI HALALI?
Kwa muda fulani, Mungu aliruhusu mwanamume awe na wake wengi. (Mwanzo 4:19; 16:1-4; 29:18–29) Lakini Mungu hakuanzisha mpango wa mwanamume kuwa na wake wengi. Alimpa Adamu mke mmoja tu.
Yesu Kristo alikazia mpango aliokuwa ameanzisha awali wa mwanamume kuwa na mke mmoja. (Yohana 8:28) Yesu alipoulizwa kuhusu ndoa, alisema hivi: “Yeye aliyewaumba hao kutoka mwanzo aliwafanya mwanamume na mwanamke na kusema, ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”—Mathayo 19:4, 5.
Kwenye 1 Wafalme 11:1-3, kwa nini Suleiman alikuwa na wake 700 na Masuria 300, kinyume cha amri ya Mungu ya kwenye Kumbukumbu la Torati 17:17?
Kumbukumbu 17:17 inasema mfalme asiwe na wake wengi, na kwa kitendo hicho, Suleiman alifanya dhambi. Kuoa wake ilikuwa ni njia ya kuimarisha ushirikiano na falme nyingine, lakini pia ilikuwa ni makosa kutokumtii Mungu. 1 Wafalme 11:1-4 inasema kuwa Suleiman alifanya dhambi kwa kuoa hawa wake wageni, na kuugeuzia moyo wake kuwa mbali na Mungu.
Hard Sayings of the Bible uk.229 inalitumia jambo hili kwa njia ya kupendeza sana. Ingawa Suleiman angeweza kuweka viwango vya juu kama mfano, alianza kujiona kama hana haja ya kuzuiliwa na Mungu kwa njia hii. Leo hii kama kiongozi wa kikristo anajiona kuwa hayumo kwenye mipaka ambayo Mungu ameiweka kwa Wakristo wa kawaida, kiongozi huyu atakuwa kwenye shida kubwa sana ya kiroho. Kwenye Kurani, hakuna mwanaume anayeruhusiwa kuwa na zaidi ya wake wanne, isipokuwa Muhammad tu, ambaye alitokea kuwa na wake karibu 15 baada ya Khadija, na Masuria wawili.
Zaidi ya hayo, Muhammad na Waislam wengine walikuwa na wasichana mateka na watumwa, na Kurani inawaruhusu Waislam kufanya tendo la ndoa na wanawake ambao wanawamiliki kwa nguvu ya mikono yao. (Sura 4:24; 23:5-6; 70:29-30; 33:50,52 Abu Dawud juzuu ya 2 na.2150 uk.577)
Tabia hii ya Muhammad na Waislam kuoa wake wengi inavunja Amri ya kwenye Kumbukumbu la Torati 17 aya 17.
Katika Agano Jipya, 1 Timotheo 3:2, 12 na Tito 1:6 zinasungumzia "mume wa mke mmoja" katika orodha ya sifa za uongozi wa kiroho.
" Wakati sifa hizi ni mahsusi kwa ajili ya nafasi za uongozi wa kiroho, wanapaswa tumika sawia kwa Wakristo wote. Je, si Wakristo wote hawaswi kuwa "zaidi ya aibu ... kiasi, nidhamu, heshima, ukarimu, na uwezo wa kufundisha, si mlevi, wala mgomvi bali awe mpole, apendaye, si mpenda fedha" (1 Timotheo 3:2 -4)? Kama tumeitwa kuwa watakatifu (1 Petro 1:16), na kama viwango hivi ni vitakatifu kwa wazee na mashemasi, basi ni takatifu kwa wote.
Baadaye, mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu aliongozwa na Roho ya Mungu kuandika hivi: “Kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.” (1 Wakorintho 7:2) Pia, Biblia inasema kwamba katika kutaniko la Kikristo ni lazima mwanamume aliyefunga ndoa na ambaye ana majukumu ya pekee awe “mume wa mke mmoja.”—1 Timotheo 3:2, 12.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

JE, MLIMA SINAI UPO MAKKA KAMA WANAVYO DAI WAISLAM?

Image may contain: one or more people and textSwali la Waislam kwa Wakristo: Kwenye Kutoka 19:11, Mlima Sinai ulikuwa Makka, kwa sababu Wagalatia 4:25 inasema ilikuwa Arabuni?

Jibu: Mlima Sinai upo kwenye rasi ya Sinai; isipokuwa Musa angekuwa na magari makubwa au matreni, Makka pangekuwa mbali mno. Mambo manne ya kuzingatia katika jibu hili.

1. Haidhuru: Kama Mlima Sinai ungekuwa Makka, pasingekuwa na tofauti yoyote kwa Wakristo, isipokuwa hatua za safari za Waisraeli zisingeeleweka. Hata hivyo, inaonekana kuwa ingekuwa muhimu kwa baadhi ya Waislam kwani kungelifanya wazo la kuwa Maka ilishiriki kwenye kazi ya Mungu kabla ya Muhammad la kuaminika. Hata hivyo, Waislam wengine, kama rejeo chini ya ukurasa 2504 kwenye Kurani Takatifu: Toleo la Kiingereza la Maana na Ufafanuzi (Holy Quran: English Translation of the Meanings and Commentary) linalinganisha Mlima Sinai na Jabal Musa, sawa na wengi wa Wakristo.

2. Arabuni tofauti: Katika Wagalatia 4:25 "Arabuni" si nchi ya leo ya Kiislam ya Saudi Arabia, bali jimbo la Kirumi la Arabuni. Jimbo la Kirumi la Arabuni lilikuwa ni rasi ya Sinai, sehemu ya kaskazini magharibi ya Jordan ya leo, na sehemu ndogo ya Syria. Tazama ama The Roman World uk.107 au Encyclopedia Britannica sehemu ya Historia ya Rumi ili kuiona ramani inayoonyesha hili. Kama rejeo la pembeni, Warumi hawakuwahi kutwaa sehemu ya karibu na Maka , kwa hiyo jimbo la Kirumi la Arabuni halingeweza kuhusisha Maka.

3. Siyo Makka: Watu wenye kondoo na ng'ombe wangeweza kutembea maili 6 tu kwa siku; hata kama wangekuwa na ngamia tu kwa kawaida wangeweza kwenda maili 12 kwa siku. Safari ya siku 11 umbali wa karibu maili 800 kutoka Maka kwenda Kadesh Barnea kwa miguu, pamoja na ng'ombe na kondoo, na watoto wadogo, ingekuwa ya kasi kubwa sana, isipokuwa kama wangekuwa na magari wakati huo. Tazama ama The Roman World uk.107 au Encyclopedia Britannica sehemu ya Historia ya Rumi ili kuona ramani.

4. Kwenye Rasi ya Sinai: Rasi ya Sinai ni pembetatu inayotazama kusini yenye milima upande wa kusini ambayo Kutoka 19:2 na Hesabu 3:14; 9:1,5; 10:12 vinaiita Nyika ("Jangwa") la Sinai. Jangwa la Sin linaitenganisha Elim na Sinai. Hesabu 33:3-50 inataja kila sehemu walipopiga kambi Waisraeli. Kwa bahati mbaya hatujui maeneo ya sehemu hizi za kambi, lakini kwa kuziangalia, tunaweza kuona ipi ipo kati ya wapi.

Ndani ya nyika ya Sinai, kuna milima miwili iliyo karibu karibu, yenye kulingana na mlima Sinai.

Gebel Musa/Mousa (futi 7,363) Haya ni maoni yaliyotokea zamani, angalau kuanzia karibu mwaka 500 B.K. Ina miteremko mirefu sana. Nyumba kubwa ya utawa ya Mt. Catherine ipo sehemu ya chini ya mlima huu. Wengi wa Waislam, lakini siyo wote, wanaona kama huu ndio mlima Sinai pia. New International Dictionary of the Bible uk.674 ina picha ya Jebel Musa.

Ras es-safsafeh (futi 6,540 mita 1993) ipo maili mbili (km 3.2) kaskazini mwa Gebel Musa kwenye mgongo huo huo. Ina uwanda mpana chini.

Gebel Serbal (haielekei kuwa hivyo): Eusebius (mwaka 325 B.K.) alidhani hivi. Lakini New Bible Dictionary (1978) uk.1193-1194 inaeleza kuwa hakuna nyika karibu na sehemu yake ya chini.

Kwa muhtasari, wakati ambapo Wakristo na hata baadhi ya Waislam wanaafiki kuwa mlima Sinai upo Sinai, tunaweza kuwa karibu na Mungu sehemu yoyote ile, na hatuhitaji mahali maalumu, sanamu za vyuma, au hata mawe meusi ili kuweza kuwa karibu naye.

Source Muslim Hope

Shalom,

"The STONE in Mecca USED to SALUTE him Before he became a Prophet"

Image may contain: 1 person, closeup and text



In the past, we witnessed how Aisha and the Companions of Muhammad said "BEASTS AND TREES Prostrate before Muhammad... See Al-Tirmidhi Hadith 3270

Surprisingly today 🙃

Muhammad said

"The STONE in Mecca USED to SALUTE him Before he became a Prophet"

Muslim Book 030, Number 5654:
Jabir b. Samura reported Allah's Messenger as saying: 👉I recognise the stone in Mecca WHICH USED TO PAY ME salutations BEFORE my advent as a Prophet and I recognise that EVEN NOW👈

Muhammad said

1. I recognise the stone in Mecca WHICH USED TO PAY ME salutations BEFORE my advent as a Prophet

2. I recognise that EVEN NOW .. 

😮😮😮 Wow

Lol, this man is More than a Prophet... Eiiiiiiiiiiiiiiii 😜😝😛 — feeling funny.

Aisha EXPOSED her husband in this Hadith she related to the Muslims ??? 😯

Muhammad is Worshiped by Animals and trees ? 😨
Also, the Companions of Muhammad in that same Hadith stated that
"BEASTS and TREES prostrate themselves before their Master"😱
__
Al-Tirmidhi HadithHadith 3270 Narrated by Aisha
ONCE when Allah's Messenger (peace be upon him) was with a number of the Emigrants and Helpers, a CAMEL CAME AND PROSTRATED ITSELF BEFORE HIM. 👉Thereupon his COMPANIONS said, "Messenger of Allah (peace be upon him) beasts and trees prostrate themselves before you,👈but we have the GREATEST RIGHT TO DO SO." He replied, 👉"WORSHIP your Lord and honor your brother.👈
IF I were to order anyone to prostrate himself before another, I should order a woman to prostrate herself before her husband.
If he were to order her to convey stones from a yellow mountain to a black one, or from a black mountain to a white one, it would be incumbent on her to do so."
Ahmad transmitted it.
__
Listen up good people
According to Surah 21: 98-99
These BEASTS and TREES Committed SHIRK 😶
Therefore, 
The Beasts and the Trees altogether with Muhammad, will ENJOY HELL-FIRE - 
The beasts and the Trees are idolaters and Muhammad is their Lord 😜😝😛
___
But, on serious note
I am amazed!!!
... Because, I thought Muhammad was a MERE prophet!!! 😌
HA!!!
My Question is
Why did Allah permit the BEASTS and TREES to prostrate themselves before his Final prophet?🤔
Before you answer the question,
Please, bear in Mind that, It was Aisha who Narrated this Hadith..
My Next Question will be
Was Aisha and the companions Lying against their prophet?
Please answer

KANISA SIO JENGO








KANISA SIO JENGO
Watu wengi siku hizi wanaelewa Kanisa kumaanisha jengo. Huku si kuelewa kibibilia maana ya Kanisa. Neno “Kanisa” maana ya asili yatoka kwa neno la Kiyunani ekklesia lililo na maana ya “kusanyiko” au “walioitwa.” Maana ya asili ya “Kanisa” sio ile ya jengo, bali ni watu. Unapowauliza watu ni kanisa gani wanashiriki, mara nyingi huwa wanajihushisha na jengo. Warumi 6:5, yasema, “…salimia kanisa linalokutana kwa nyumba.” Paulo anaashiria kanisa lilo katika nyumba yao- si jengo la Kanisa bali mwili wa washiriki.
KANISA NI MWILI WA KRISTO
Kanisa ni Mwili wa Kristo, ambapo Yesu ndie kichwa. Waefeso 1:22-23 yasema, “Akivitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.” Mwili wa Kristo umejengwa na wanaoamini katika Yesu Kristo toka siku ya Pentekosti (Matendo Ya Mitume 2) hadi Kristo arudi. Mwili wa Kristo uko na sehemu mbili:
1) Kanisa lote kwa ujumula ambalo ni wale wote wako na uhusiano na Kristo. “Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni Upendo” (1 Wakorintho 12:13). Aya hii inasema yeyote atakaye amini in sehemu ya mwili wa Kristo na ameupokea Roho wa Kristo ni ushaidi. Kanisa la jumla la Mungu ni wale wote ambao wamepokea wokovu kwa imani katika Yesu
2) Lile Kanisa ya nyumbani vile imeelezwa katika Wagalatia 1:1-2: “Paulo, mtume, (si mtume wa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu), na ndugu wote walio pamoja name, kwa makanisa ya Galatia.” Hapa tunaona kwamba katika mkoa (mji) wa Galatia kulikuwa na makanisa mengi chenye tunaita makanisa ya nyumbani. Kanisa la Kibaptisiti, Kilutheri, Katholiki na mengine, si kanisa, vile iilvyo katika kanisa la ujumla, bali haya ni makanisa ya nyumbani (Mshambani/Mjini), ule mwili wa nyumbania wa waumini. Kanisa la jumla linajumlisha wale wote ni wa Kristo na wamemwamini kwa wokovu. Washirika wa kanisa la jumla lazima watafute kuwa na ushirika na kujengana wakiwa katika lile kanisa la nyumbani.
Kwa ufupi, Kanisa si jengo ama dini. Kulingana na Bibilia, kanisa ni mwili wa Krsito-wale wote wameweka imani yao kwa Yesu Kristo kwa wokovu (Yohana 3:16; 1 Wakorintho 12:13). Kanisa la nyumbani ni kusanyiko la Wakristo wa kanisa la jumla. Kanisa la nyumbani ni mahali ambapo washirika wa kanisa la jumla wanaweza kutumia nguzo ya “mwili” ya 1 Wakorintho 12: himizana, funzaneni, na kujengana ninyi kwa ninyi katika hekima na neema ya Bwana Yesu Kristo.
Barikiwa sana na Yesu, Mungu Mkuu

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW