Monday, March 18, 2019

A devout Muslim woman who harbored a deep hatred of Christians converted to Christianity after Jesus.

Image may contain: 1 person, sitting, table and indoor
By LEAH MARIEANN KLETT ( news@gospelherald.com )
A devout Muslim woman who harbored a deep hatred of Christians converted to Christianity after Jesus appeared to her in a dream and told her to visit a local church.
An Assyrian woman attends a Mass on March 1, 2015, inside Ibrahim al-Khalil church in Jaramana, eastern Damascus, in solidarity with the Assyrians abducted by Islamic State fighters in Syria. Photo courtesy of REUTERS/Omar Sanadiki
A devout Muslim woman who harbored a deep hatred of Christians converted to Christianity after Jesus appeared to her in a dream and told her to visit a local church.
According to Christian Aid Mission, the young woman, whose name was not disclosed for security reasons, lived in Turkey's Black Sea coast along with her strict Muslim family. One Sunday, she showed up at the church of Pastor Matta, the leader of an indigenous ministry reaching Turkey's 96-percent Muslim population.
Through tears, she told the pastor she had seen him preach on weekly Web posts of the church's services.
"I did not know you, and I hated the Christians, and for this reason I was intending to make fun of you when I started watching your videos in the Internet," she said. "But the things I was hearing from you spoke to me of the love I was always looking for, and the words of faith and courage were doing away with my fears."
Her heart transformed by the truth of the Gospel, the young woman converted to Christianity. However, fearing for her life, she was hesitant to attend a worship service. That is, until Jesus appeared to her in a dream.
"In my dream, Jesus led me to the church, telling me, "What are you still waiting for? Follow my way,'" she told the pastor. "And I saw all of you in there waiting for me, smiling at me. Before I met you, I saw you in my dream. Thanks be to God."
Pastor Matta said he returned home after talking with her and looked up her Facebook page. He was stunned to find she frequently shared her newfound faith with her family and friends.
"I then told her to be careful in doing this because of the resentment she might cause," he said. "I am still worried because of the likely opposition of her family and of her surroundings, and I please ask you to pray for her so that she may grow in the faith, and may gain an entrance to a university of another city."
He added, "This is really a miracle. If these things happened 2,000 years ago, they are still happening today. This young girl still wearing her headscarf, having hundreds of friends in Facebook, does not stop spreading the gospel to others."
Turkey is ranked 37th on Open Door USA's World Watch List of countries where Christians face the most persecution, and has received the maximum score in the violence category.
CAM notes that Christians in Turkey face increasing hostility and discrimination from their Muslim counterparts. Pastor Matta shared the story of a Muslim man who recently put his faith in Christ and is now in serious trouble from his family.
"Since his family found out about his conversion, he is constantly threatened by them that he is to be disowned," he said. "He is very young and pure in heart and loves the Lord. Please pray for him, that he may feel the presence of God supporting him and that he may endure this time of trial. And pray also for wisdom for us to give him right counsel when he comes to us with his problems
He added, "These kinds of situations occur very often in our country, sometimes with wolves entering our church disguised as sheep and threatening the children of God, and at other times with family pressures," he said. "But nonetheless, the work of the Lord is not arrested."
Voice Of the Martyrs Canada, which supports Christian radio broadcasts in the region, told BosNewsLife that despite the large numbers of Christians fleeing the Middle East due to terrorism, persecution, and war, scores of Muslims are making the decision to embrace Christianity. The organization revealed that many Muslims hear the gospel through radio and online sermons.
"There are thousands upon thousands coming to Christ," VOMC revealed. "We are in regular contact with our FM stations in Iraq and have talked with many people who have family in the Middle East."
"Some of our Middle Eastern broadcasters have shared testimonies [about many turning to Christ] with us, which they hear directly from listeners when visiting there ..."

BIBLIA NI KITABU KILICHO TOKA KWA MUNGU


Biblia ni zawadi ya Mungu, na tunapaswa kumushukuru sana kwa zawadi hiyo. 

Biblia ni kitabu kilicho tofauti na vitabu vingine. Inatujulisha mambo ambayo hatungejua. Kwa mfano, inatuelezea namna dunia na mbingu zenye kujaa nyota viliumbwa, na namna mwanaume na mwanamuke wa kwanza waliumbwa. Kanuni za Biblia ni za kweli na zinaweza kumusaidia mutu ajue namna ya kushindana na magumu na mahangaiko ya maisha. Inatufasiria namna Mungu atatimiza kusudi lake na kufanya maisha yawe mazuri sana duniani. Kweli, Biblia ni zawadi yenye kufurahisha kabisa!

Biblia inapatikana katika luga zaidi ya 2 500, yote nzima ao kwa sehemu; kwa hiyo watu wengi duniani wanaweza kuipata (zaidi ya 90%). 

Biblia zaidi ya milioni moja zinagawanywa kila juma! Mamilioni na mamilioni ya Biblia zimekwisha kuchapishwa, iwe yote nzima ao kwa sehemu. Kwa kweli, hakuna kitabu kingine kinacholingana na Biblia.

Biblia ‘imeongozwa na Roho ya Mungu.’ (2 Timotheo 3:16) Maana yake nini? Biblia yenyewe inajibu hivi: “Wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa na Roho Mtakatifu.” (2 Petro 1:21) 

Kwa hiyo, Biblia yote nzima ni “neno la Mungu.”​—1 Wathesalonike 2:13.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUUJIZA WA BWANA YESU NDANI YA MSIKITI





Huu ni ushuhuda wa dada mmoja wa kutoka Indonesia ambaye, japokuwa zamani alikuwa Mwislamu (na sasa ni Mkristo), Bwana Yesu alimwokoa kimiujiza yeye pamoja na watu wengine kutoka kwenye janga na mauti ya sunami na tetemeko ambavyo vilisababisha vifo vya mamia kwa mamia ya watu
Je, ni nini kilisababisha hadi Bwana Yesu akaingilia kati wakati ule ambapo kifo kilikuwa hakikwepeki?
Fuatilia ushuhuda huu wa kushangaza, ambao kwa maneno yake mwenyewe, dada huyu anasimulia kile kilichotokea, hadi kufikia mahali ambapo yeye na watu hao wakamwamini Bwana Yesu bila hata mahubiri ya moja kwa moja ya Injili. Bwana alihubiri mwenyewe:
Usiku uliotangulia janga lile la sunami na tetemeko, dada huyu aliota ndoto ambayo ilimpa mawazo mengi sana lakini hakujua ina maana gani. Katika ndoto ile, alijiona kuwa anajenga nyumba yake mwenyewe. Kuta tayari zilishasimama lakini kulikuwa hakuna paa; ambalo kwa kawaida huwa ni ishara ya ulinzi. Na nje ya nyumba kulikuwa na umati mkubwa wa watu waliokuwa wamezunguka nyumba hiyo.
Kulipokucha, dada huyu aliamka na kuendelea na kazi za kawaida za nyumbani. Alikuwa akisafisha vyombo. Ghafla kulitokea tetemeko. Anasema kuwa, “Nilimweleza mume wangu asubuhi ile wakati wa tetemeko kuwa, labda hii ni ishara kuwa watu wengi watakufa. Niliota jambo hili usiku wa leo.
Anaendelea kusema, “Kisha dakika moja baadaye, tetemeko liliisha. Kwa hiyo tulitoka nje. Tutoke nje! Tutoke nje! Halafu maji ya bahari ambayo yalionekana yana kimo kirefu kama urefu wa minazi miwili yalikuwa yakija kuelekea ufukweni.
“‘Tutaenda wapi sasa? Tutaenda wapi sasa?’ kila mmoja aliniuliza. Nikachanganyikiwa kabisa! Nikasema, ‘Ile ni nyumba ya Mungu! Ile ni nyumba ya Mungu!” (yaani msikiti).
“Sote twendeni humo. Nilianza kuomba. Nilijisahau kuwa mimi ni Mwislamu. Nilianza kuomba kama Wakristo wanavyoomba. Nilisema, ‘Bwana Mungu, tulinde kwa wakati huu. Usituharibu Bwana. Usiwe na hasira nasi, Ee Mungu. Tusamehe. Tusamehe dhambi zetu. Bwana Yesu, usiniache.
“Kila mmoja wetu alikuwa akirukaruka, akisema, ‘Bwana Yesu! Bwana Yesu! Ghafla, maji yaliyokuwa yakija, yalikomea kama meta moja hivi kutokea tulikokuwa.”
ya kuona hivyo, dada huyu anaendelea kusema, “Sote tulikuwa tukilia, ‘Asante Bwana Yesu. Kila mmoja aliamini kuwa Bwana Yesu alituokoa wakati ule. Hakuna mwingine wa kumgeukia ila Yeye tu.”
Yanayofuata ni maelezo ya msimuliaji, Dr. Randy Richards, ambaye alikuwa mmoja wa watoa misaada wa kujitolea (Tsunami Relief Volunteer) kwenye eneo hilo:
“Mara maji ya bahari yalipokoma, walienda sehemu zenye mwinuko wa juu, kwenye milima. Na baadaye waliporudi, kila upande kuzunguka msikiti, kulijaa miili ya watu waliouawa na maji ya bahari.
“Akasema,” (yaani yule dada), ‘Hapo ndipo nilipotambua maana kamili ya ile ndoto yangu.’
“Nyumba ilikuwa haijakamilika. Haikuwa na paa. Haikuwa na ulinzi. Hawakuwa na Yesu. Na kama ilivyokuwa kwenye siku za Nuhu, kila mtu aliangamia. Kwa hiyo, watu wote hawa ambao walikuwa wamezunguka nyumba ambayo ilikuwa haijakamilika, waliangamia.
Randy anaendelea kusema, “Yesu aliamua kuwaokoa watu wale kwa ajili ya ushuhuda. Sijui anakusudia nini, lakini hakika ameyabadilisha kabisa maisha ya watu wale; na ushuhuda uko pale.”
INGIA HAPA NA ANGALIA VIDEO YA USHUHUDA https://www.youtube.com/watch?v=1yU87JMtzEo
Yanayofuata ni maneno yangu blogger:
Ndugu unayesoma ushuhuda huu, sijui wewe umo kwenye nyumba ya namna gani? Je, ni nyumba yenye paa au ni nyumba isiyo na paa?
Hebu sikia maneno ya Bwana Yesu mwenyewe:
Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, isianguke; kwa maana misingi yake imewekwa juu ya mwamba. Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa. (Mathayo 7:24-27).
Njoo kwa Yesu leo ili upone. Nje ya Yesu, hakika yake, kuna mauti, upotevu na uangamivu pekee. Hakuna uzima isipokuwa kwa Yesu peke yake!

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA WATAKAOINGIA PEPONI NI WATU WENYE CHUKI

Image may contain: 23 people
Sura Al-Nahl 16:28
[Kuhusu wale wanaoingia mbinguni] – Malaika watasema kwa wale ambao watawafanya wafe katika usafi (utakatifu), ‘Amani na iwe juu yenu. Ingieni paradiso kutokana na matendo yenu.’
LAKINI, QURAN HIYO HIYO INASEMA:
Sura Al-Hijr 15:45-47
Wenye haki (watakatifu) watakaa kwenye bustani na chemchemi za maji, kwa amani na usalama wataingia humo. Nasi tutaondoa chuki yote ndani ya mioyo yao.
Maswali:
1. Katika 16:28, inaonekana kwamba watakaiongia peponi ni watu walio safi kwa sababu malaika wamesababisha watu hao wafe wakiwa safi. Lakini 15:45-47 inaonyesha kuwa wataingia peponi wakiwa na chuki mioyoni mwao. Je, chuki ni sehemu ya usafi?
2. Je, aya hizi zimetoka kwa mtoaji yule yule?
3. Kama chuki ni mbaya kiasi cha kuhitajika kuondolewa mioyoni mwa Waislamu wanaoingia peponi, iweje wakiwa duniani wanaagizwa kuwachukia wale wasio Waislamu (kama tulivyoona kwenye 4:101)?
HITIMISHO
Hizi ni baadhi tu ya aya ambazo zinaonyesha kuwa quran au Allah anasema jambo moja hapa, kisha anajipinga mwenyewe katika sehemu nyingine.
Na ukweli huu, ninavyodhani,unamaanisha kuwa, ama:
1. Si kila aya iliyo kwenye quran ni maneno ya Mungu muumba vyote – maana Mungu huyo hawezi kufanya mambo kama hayo; au
2. Quran haitokani na Mungu bali imetokana na chanzo kingine, ndiyo maana inaonyesha tabia za viumbe za kujisahau au kutojua mambo yote, hususan yajayo.
Nadhani siku ya mwisho Muhammad atawakana watu wote wanaomwamini maana atakuja kusema kwamba, “Mimi niliwaambia kuwa wakitaka kujua kama quran inatoka kwa Allah waangalie kama quran inajikanganya. Sasa waliona kuwa inajikanganaya, lakini wao wakendelea tu kuiamini.
Pia Muhammad atawakana wale wote wanaomwamini na kumfuata kwa sababu yeye mwenyewe anasema wazi katika sura Al-Ahqaf 46:9,
... nor do I know what will be done with me or you. I follow only what is revealed to me.
Yaani,
... na wala mimi sifahamu kile nitakachotendewa wala kile ninyi mtakachotendewa. Mimi nafuata tu kile ninachofunuliwa.
Swali ni kwamba, je, kama mtu mwenyewe anakiri kuwa hajui hatima yake wala hatima ya wale wanaomfuata, je, kama ni kweli Mungu wa mbinguni ndiye aliyempatia quran, je, angekaa kimya kweli juu ya suala la HATIMA za wanadamu? Yaani jibu la mtu atakuwa wapi MILELE lingeachwa hewani tu hivihivi? Na kama Muhammad hajui hili na bado anataka watu wamfuate, je, ni hilohilo tu asilolijua au yapo na mengine asiyoyajua? Bila shaka hii inaashiria kuwa yako mengi asiyoyajua.
Sijui kwa kweli! Kama nilivyosema, mimi kwa mambo haya ni maamuma tu. Kwa hiyo, inawezekana niko nje kabisa ya kile kinachomaanishwa. Nitafurahi kama ndugu zangu Waislamu mtanisaidia kujua mambo haya.
Lakini kwa ule upande ambao mimi naufahamu zaidi, yaani Ukristo, Bwana Yesu anasema: Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. (Yohana 14:6). Yaani, hakuna namna ya kwenda mbinguni isipokuwa kwa kumwamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi. Hiyo ndiyo namna pekee ya kufika mbinguni. Tafakari!

YONA WA BIBLIA SIO YUNUS BANDIA WA QURAN


Image may contain: 2 people, text

Mungu anamwambia Yona: Simama, uende Ninawi ule mji mkubwa, ‘uutangazie kwamba ubaya wake umefika mbele zangu.’ (Yona 1:2)

Yona kwa Kiingereza ni Jonah

Yona kwa Kiarabu ni يونان yunan

Yona kwa Kituruki ni Jonah

Yona kwa Kichina ni 约拿 Yuē ná

Sasa hili jina la Yunus walilitowa wapi hawa Waislam

Kwenye Biblia ya Kiarabu kuna jina la يونان yunan na sio Yunus jina bandia la Waislam.

https://www.arabicbible.com/arabic-bible.html

HEBU TUANGALIE KUFANANAKWA NA KUTOFAUTIANA KWAO:

Similarities and Differences:

1. In both the Bible and the Qur’ān the nation (Nineveh) asked repentance and was spared by God.
The Bible, Jonah 3: 10.
The Qur’ān 10: 98.

Ina maana:
Zote Biblia na Quran zinakiri kuwa Mji wa ninawi unatakiwa kutubu.

2. In the Bible Prophet Jonah built himself a little shelter outside the town. He was so angry that he rather wanted death than life. The Qur’ān however says, he went away in
an angry mood.

Ina maana:
Katika Biblia Yona alijenga sehemu ya Kivuli nje ya mji wa Ninawi, LAKINI KWENYE Quran Yunus alikimbia huku akiwa na hasira.

3. In the Bible When the Nineveh was spared Jonah marched away from the situation, angry at God. Isamic traditions said, "Nobody has the right to say that I am better than Jonah bin Matta."

Ina maana:
Biblia inasema Nninawa ilipo samehewa Yona aliondoka akiwa na hasira, LAKINI KWENYE Quran inadai hakuna anaye takiwa kusema yeye ni bira kuliko Yunus Bin Matta

4. In the Bible Prophet Jonah flee first and then came to the Nineveh and warned them.

The Qur’ān, 21: 87.
The Bible, 4: 1-2.

= Yona alikimbia kwanza kabla ya kwenda Ninawai

While In the Qur’ān he fleed after preaching but without God’s permission.

= Yunus anakimbia baada ya kwenda Ninawi. Msiba huu.

5. In the Bible Prophet Jonah sat in the whale’s belly for three days and nights. He spends that time in prayer, thanking God for saving him. Jonah recognized the miracle that God saved him. He was truly grateful. Prophet Jonah was sincere in his prayer.

The Bible, Jonah 2 : 1-10
The Qur'ān 37: 144.
Exp. The Qur’ān 68: 49. (‘Usmānī, 2006)Vol 2.
Exp.The Qur’ān 37:145 (‘Usmānī, 2006)Vol 2.
Exp.The Qur’ān 37: 143- 144, (Al-Khālīl, 2003)pp 131 (‘Usmānī, 2006) Vol. 2.

Kwenye Biblia Yona alikaa ndani ya Samaki kwa siku 3,

In the Qur’ān, also he was sincere in his prayers. Thus God cast him in wilderness in a reproachable state

Yunus yeye alikuwa kwenye Smakai akifanya maombi.
.
In the Qur’ān Almighty God cast him (Prophet Yunus) ashore in the open while he was ill. He caused a tree to grow over him.

Allah alimtupa kwenye ufuko wa kwasababu Yunus alikuwa anaumwa.

In both the Bible and the Qur’ān after his (Prophet Yunus) prayers God responded to Jonah and rescued him from the distress.

6. In Bible Jonah 4 : 2-3, Jonah prayed to God, "Ah, Lord, was not this I said when I was still in my country? Therefore I fled previously to Tarshīsh; for I know that You are a gracious and merciful God, slow to anger and abundant in loving kindness, One who relents from doing harm. Therefore now, O Lord, please take my life from me, for it is better for me to die than to live, while In Qur’ān, when Dhunūn (Prophet Yunus) walked away in anger, he thought that God would never put him to trouble. Then (Yunus) prayed in the depth of darkness, there is no god but God. Pure are God. Indeed he (Yunus) himself was among the wrong doers.

Qur’ān 21: 87, (Al-Khālīl, 2003)pp 130, (‘Usmānī, 2006)Vol 1.

Kwenye Biblia Yona alikimbia kuelekea Tashishi lakini kwenye Quran hakuna uthibitosho huu zaidi ya Yunus kukimbia baada ya kwenda Ninawai.

Kama Allah ni Mungu, iweje afanye makosa makubwa kama haya?

Shalom.

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Saturday, March 2, 2019

Wild pig storms Mosque and attacks Muslims

Image may contain: one or more people and indoor



In Malaysia, there was an unusual incident on Wednesday in an Islamic Mosque. An aggressive boar, according to media reports, invaded a mosque near Kuala Lumpur during evening prayers and caused a stir throughout the house.

The animal had first invaded the area and then galloped into the Mosque. The incident happened when several believers spoke a few verses after the obligatory evening prayer, as Imam Ungku Ahmad Hazwan Ungku Kamarudin reports to The Star.

The boar allegedly made targeted hunt for visitors and children, the imam said. It should also have been a person injured by the animal's neck.

While many people have fled, some of those present still tried to scare the animal out of the mosque. When the bristle cattle finally disappeared from the mosque, it was struck down by a believer with a shotgun.

God's house almost completely desecrated
According to Ungku Ahmad Hazwan, two-thirds of the prayer hall was "polluted" by the boar. For this reason, a crisis meeting had to be convened by the denomination, to which even the supreme mufti of the state was called.

As The Star reports, all the rugs that came into contact with the animal's blood have been removed from the mosque. Several believers have already cleaned seven walls and floors seven times - including a mixture of earth and water to remove all supposed impurities.

The purges were personally supervised by two imams and finally the mosque was blessed again. Since the pig in Islam is considered "impure", this is an extreme case of the desecration of a mosque.

Source:https://www.unsertirol24.com/2018/03/08/wildschwein-stuermt-moschee-und-greift-moslems-an/?fbclid=IwAR09pfCaxO9zWxN4a0elIG5-kvJcrGx9xhTsfB2ByaBCbRxNaSH22THdXgk

JE, MUNGU ALIUMBA WATU WEUSI?

Image may contain: one or more people and text



Je, Biblia inafundisha kwamba watu weusi wamelaaniwa?

Mwanzo 5:1, 2; 1:28: “Siku ile Mungu alipomuumba Adamu alimfanya kwa mfano wa Mungu. Mwanamume na mwanamke aliwaumba. Baada ya hapo akawabariki, akawaita jina lao Mwanadamu siku ile walipoumbwa.” “Mungu akawabariki na Mungu akawaambia: ‘Zaeni, muwe wengi, mjaze dunia.’” (Kwa hiyo, wanadamu wote ni wazao wa watu hao wawili wa kwanza, Adamu na Hawa.)

Tunaweza kusema kwa kiwango cha uhakika ya kwamba, ndiyo, Biblia inataja watu weusi, ingawa Biblia haitambui wazi mtu yeyote kuwa mwenye ngozi nyeusi. Pia, Biblia haitambui mtu yeyote kama mwenye ngozi nyeupe. Rangi ya ngozi ya mtu haijatajwa sana katika Biblia; rangi ya ngozi ya mtu haina maana kwa ujumbe wa msingi wa Biblia.

Matendo 17:26: “[Mungu] alifanya kutoka kwa mtu mmoja [Adamu] kila taifa la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima.” (Kwa hiyo, watu wa mataifa yote ni wazao wa Adamu, hata wawe ni wa jamii gani.)

Hadithi nyingi za Biblia zinafanyika katika Mashariki ya Kati, ndani na karibu na Israeli. Watu "weusi" na "weupe" sio wengi katika mikoa hii. Watu wengi katika Biblia ni wa Kisemiti na wangekuwa rangi ya maji ya kunde. Hatimaye, haijalishi rangi ya ngozi watu wa Biblia walikuwa na nayo.

“Wanadamu wote wanaoishi leo ni wa aina moja, Homo sapiens, nao wote wametoka katika ukoo mmoja. . . . Tofauti za kimaumbile kati ya wanadamu husababishwa na tofauti katika urithi na athari za mazingira juu ya urithi huo. Mara nyingi, tofauti hizo husababishwa na mambo hayo mawili. . . . Mara nyingi tofauti kati ya watu mbalimbali katika jamii moja au katika kundi moja la watu ni kubwa kuliko tofauti za wastani kati ya jamii mbalimbali au makundi ya watu.”—Baraza la kimataifa la wanasayansi lililoitishwa na UNESCO, ambalo lilinukuliwa katika kichapo Statement on Race (New York, 1972, chapa ya tatu), Ashley Montagu, uku. 149, 150.

Mwanzo 9:18, 19: “Wana wa Noa waliotoka katika safina walikuwa Shemu na Hamu na Yafethi. . . . Hao watatu walikuwa wana wa Noa, na kutokana nao watu wote wa dunia walienea kotekote.” (Baada ya Mungu kuuharibu ulimwengu usiomwogopa yeye kwa kutumia gharika ya duniani kote katika siku za Noa, watu wapya duniani, kutia ndani jamii zote zinazojulikana leo, ni wazao wa wana watatu wa Noa na wake zao.)

Wasomi wengine wanadhani kwamba mke wa Musa, Zippora, alikuwa mweusi kwa sababu alikuwa Mkushi (Hesabu 12: 1). Kushi ni jina la kale la eneo la Afrika. Shulammite inawezakana alikuwa mweusi (Wimbo Ulio bora wa Sulemani 1: 5), ingawa muktahdha unaonyesha kwamba ngozi yake ilikuwa nyeusi kutokana na kufanya kazi kwenye jua. Wengine hupendekeza kwamba Bathsheba (2 Samweli 11: 3) alikuwa mwenye ngozi nyeusi. Wengine wanaamini kwamba Malkia wa Sheba aliyemtembelea Sulemani (1 Wafalme 10: 1) alikuwamwenye ngozi nyeusi. Simoni wa Kurene (Mathayo 27:32) inawezekana ali kuwa mwenye ngozi nyeusi, na pia "Simeoni aitwaye Nigeri" katika Matendo 13: 1. Mtumwa wa Ethiopia huko Matendo 8:37 alikuwa wa ngozi nyeusi. Waethiopia wanatajwa mara 40 katika Biblia, na tunaweza kudhani kwamba haya ni marejeleoo kwa watu weusi, kwa kuwa Waethiopia ni watu wa ngozi nyeusi. Nabii Yeremia aliuliza, "Je! Mtiopiya anaweza kubadili ngozi yake?" (Yeremia 13:23) — Dhana ya asili ni kwamba Yeremia anaelezea ngozi nyeusi.

Wengi wa walimu wa Biblia wanaamini kwamba watu wa rangi nyeusi ni wazao wa Nuhu, mwana wa Hamu (Mwanzo 10: 6-20), lakini hatuwezi kuwa na hakika kwa kuwa Biblia haswa haielezei, Biblia mara kwa mara iko kimya kwa mambo ya rangi ya ngozi. Rangi ya ngozi si muhimu kwa Mungu kama hali ya moyo. Injili ni habari njema ya ulimwengu wote. Watu wenye ngozi nyeusi, watu wenye ngozi nyeupe, na walio kati ya rangi hizi mbili wanaalikwa kuja kwa Kristo kwa ajili ya wokovu. Kwa neema ya Mungu tunaweza kuchukua macho yetu mbali na ngozi na kuzingatia roho.

Je, Biblia inafundisha kwamba watu weusi wamelaaniwa?

Wazo hilo linategemea kutoelewa vizuri andiko la Mwanzo 9:25, ambapo Noa ananukuliwa akisema hivi: “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumwa wa hali ya chini kabisa kwa ndugu zake.” Soma andiko hilo kwa uangalifu; halisemi lolote kuhusu rangi ya ngozi. Laana hiyo ilitolewa kwa sababu inaonekana Kanaani mwana wa Hamu alikuwa amefanya kitendo fulani kibaya kilichostahili laana. Lakini wazao wa Kanaani walikuwa nani? Hawakuwa watu weusi, bali watu wenye ngozi nyeupe walioishi upande wa mashariki wa Bahari ya Mediterania. Kwa sababu ya matendo yao mapotovu, desturi za kishetani, ibada ya sanamu, na kuwatoa watoto kuwa dhabihu, Mungu aliwahukumu, naye akawapa Waisraeli nchi iliyokaliwa na Wakanaani. (Mwanzo 10:15-19) Wakanaani hawakuharibiwa wote; wengine waliwekwa wafanye kazi ya kulazimishwa, kupatana na laana iliyokuwa imetolewa.—Yos. 17:13.

Kati ya watoto wa Noa, watu weusi walikuwa wazao wa nani? “Wana wa Kushi [mwana mwingine wa Hamu] walikuwa Seba na Havila na Sabta na Raama na Sabteka.” (Mwanzo 10:6, 7) Biblia inapotaja Kushi, mara nyingi humaanisha Ethiopia. Na baadaye jina Seba linatumiwa wakati wa kurejelea kundi lingine la watu walio upande wa mashariki ya Afrika na inaonekana eneo hilo liko karibu na Ethiopia.—Isaya 43:3.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MWANADAMU ALITOKEA WAPI?

Image may contain: 2 people, text




Asili ya Mwanadamu

Wazo la kumuumba mwanadamu lilitoka kwa Mungu. (Mwanzo 1:26.) Na wakati anamuumba, alitekeleza wazo lake kwa kuumba watu wawili, mtu mume na mtu mke, akawaita jina lao Adamu. (Mwanzo 1:27; 5:1, 2.)

Mwanadamu aliumbwa kwa udongo na pumzi (Mwanzo 2:7) Vitu viwili vilitengeneza mtu, udongo na pumzi ya uhai. Kilichopatikana kutokana na mwunganiko wa udongo na pumzi kimeitwa nafsi hai, yaani kama tungekuwa tunafanya hesabu, udongo + pumzi ya uhai = nafsi hai. Nafsi hai haiwezi kuwa nafsi hai ikiwa kimojawapo kati ya udongo au pumzi ya uhai kitaondolewa. Kwa hiyo, nafsi hai ni kitu kisichoweza kugawanyika ili kila kipande kibaki na maisha yake )yanayojitegemea peke yake. (cf. Mhu. 12:7)

Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu akasema, “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu” (Mwanzo 1:26). Na hivyo Akamaliza kazi yake kwa “uguzo wake mwenyewe.” Mungu alimuumba mwanadamu kutoka kwa udongo na akampa uhai kwa kumwekea pumzi yake (Mwanzo 2:27). Vilevile, mwanadamu ni kiumbe tofauti katika viumbe vyote alivyoviumba Mungu, vyote vikiwa na mwili wa nyama na wa ndani nafsi/roho.

Aliumbwa kwa sura ya Mungu (Mwanzo.1:26) Viumbe vingine vilikuwa kwa jinsi zake (Mwanzo.1:2, 24, 25). Lakini mwanadamu alikuwa kwa mfano wa Mungu. Na Luka anasema, Adamu ni mwana wa Mungu (Luk.3:38)

Mwanadamu ana hadhi ya juu. Aliumbwa akiwa na hadhi ndogo kuliko malaika lakini alipewa kusimamia uumbaji wa Mungu. (Mwanzo. 1:28; Zaburi. 8:4-9)

Kuwa na “sura” ya Mungu yamaanisha, kwa ufupi, kwamba tuliumbwa tumfanane Mungu. Adamu hakumfanana Mungu kwa kuwa na mwili wa nyama na damu. Bibilia inasema kwamba “Mungu ni roho” (Yohana 4:24) na kwa hivyo anaishi bila kuwa na mwili. Ingawaje, mwili wa Adamu ulidhihirisha maisha ya Mungu vile yalikuwa makamilifu kwa afya na haukutishika na kifo.

Sura ya Mungu yamaanisha mwili wa ndani wa mwanadamu. Unatofautisha mwanadamu kutoka ulimwengu wa wanyama, na kumweka mwanadamu kufaa mamlaka Mungu alimuumbia kuwa nayo katika nchi (Mwanzo 1:28), na kumwezesha kuwa na ushirika na muumba. Mwanadamu anamfanana Mungu, kimawazo, tabia na maisha ya furaha.

Kimawazo, mwanadamu aliumbwa kama kiumbe kiwezacho, kuwa na uwezo wa kuamua. Kwa njia nyingine, mwanadamu anaweza kuwaza na kuchagua. Hii ni taswira ya hekima na uhuru wa Mungu. Wakati wowote mtu anaweza vumbua/gundua chombo (mashine), aandike kitabu, airembeshe picha ya nchi aliyoichora, na afurahie kucheza ngoma, afanye hesabu, ama avipatie viumbe majina, na hivyo anatangaza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Kitabia, mwanadamu aliumbwa kwa utakatifu na ukamilifu ukiambatana na, taswira ya utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila kitu alichokifanya (mwanadamu akiwemo) na akakiita “chema sana” (Mwanzo 1:31). Fikra zetu au “dira ya tabia” ni dalili ya ile hali ya asili. Popote mtu anaandika sheria, na kugeuka kutoka dhambi, kuisifu tabia njema, au kujishuku na hatia, hii inadhibitisha dhana kwamba tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Udongo: Tafsiri ya udongo haina shida. Ni sehemu ya ardhi.

Pumzi ya Uhai. (Mwa.2:7). Wakati Mungu alipobadili maada ya dunia kuwa kiumbe hai, alipulizia pumzi ya uhai. Alipulizia pumzi ya uhai, pumzi za Mwenyezi (Ayu.33:4), cheche ya uhai.

Mwanadamu - Nafsi Hai . Hesabu ya Maandiko iko wazi. Udongo jumlisha pumzi ya Mungu ni sawa na nafsi hai. Siyo wanadamu pekee waliopewa pumzi ya uhai. Nafsi hai hujumuisha pia wanyama wa baharini, vitambaavyo, na wanyama (Mwa.1:20, 24; 2:19). Siyo kwamba mwanadamu akapokea roho, bali akawa nafsi (roho) hai.
Umoja usiogawanyika- Mwanadamu ni kiumbe kimoja kisichogawanyika. Je, kuna uhusiano gani baina ya nafsi na roho?

1. Maana ya Biblia ya Nafsi.

Katika Agano la Kale, neno la kiebrania lililotafsiriwa nafsi ni nephesh. Ndivyo Mw. 2:7 inavyosema mtu akawa nafsi hai. Kwa jinsi hiyo hiyo kila mtoto mchanga anapozaliwa, nafsi hai huongezeka. Kwa hiyo, nephesh siyo sehemu ya mwanadamu hai bali ni mwanadamu mzima. Anavyokufa binadamu vivyo hivyo na mnyama (Mwanzo.7:20–23) Wakati wa Nuhu vilikufa viumbe vyote isipokuwa Nuhu na waliobaki ndani ya safina. Kwa kuwa roho (nephesh)
ndiyo nafsi hai, roho nayo inakufa (Ezekiel.18: 4).

Katika Agano Jipya lililoandikwa Kigiriki, neno litumikalo kwa nafsi ni psuche. Hutumika kwa wanadamu na wanyama (Ufunuo 16:3) “Na huyo wa pili akakimimina kitasa chake juu ya bahari, ikawa damu, kama damu ya mfu, na vitu vyote vyenye roho ya uhai katika bahari vikafa.”
Kwingine roho ina maana ya uhai (Mat. 2:20, 6:25, 16:25). Kwingine roho inamaanisha watu (Mdo. 7:14, 27:37, Rum. 13:1 1Pet.3:20) Hutumika kwa nafsi (Mt. 12:17. 2 Kor.12:15) Na kwingine humaanisha hisia (Mk.14:34 Luk. 2:35) au akili (nia) (Mdo 14:2, Filipi 1:27) au moyo
(Ef. 6:6)

Katika yote haya, lengo ni kuhitimisha kwamba psuche (roho) haina hali ya kutokufa bali ina hali ya kufa. (Uf. 16:3)

Katika maisha ya ushirika, mwanadamu aliumbwa ili awe na ushirika. Hii inadhihirisha hali ya utatu wa Mungu na upendo wake. Katika Edeni, uhusiano wa mwanadamu ulikuwa na Mungu (Mwanzo 3:8 yamaanisha ushirika na Mungu), na Mungu akamuumba mwanamke wa kwanza kwa sababu “Si vyema huyo mtu awe pekee” (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapooa, anatengeza urafiki, kumpusu mototo, au kushiriki kanisa, ni kuonyesha kuwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.

2.
Maana ya Pumzi ya Uhai

Neno ruach lililotafsiriwa pumzi, hupatikana kwenye Agano la Kale mara 377. Kufuatana na Ayubu 33:4, ni pumzi ya Mungu inayotia uhai, Inaitwa upepo, roho au pumzi (Mw. 8:1) Na kila chenye uhai, Hutumika kuonyesha hali ya kuwa mzima wenye nguvu (Amu. 15:19). Hutumika
wakati mwingine kuonyesha ujasiri (Yosh. 2:11) hasira au kukosa uvumilivu (Amuz. 8:3).

Pia huonyesha hadhi (Isa. 54:6), tabia adilifu (Ez. 11:19) “Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, name nitawapa moyo wa nyama.”

Kwa maana ya upepo au pumzi, hakuna tofauti kati ya binadamu na mnyama kwenye kifo (Mh. 3:19 -21). Roho humtoka mwanadamu akifa Zab. 146:4 na humrudia Mungu Mh. 12:7 (Angalia pia Ay. 34:14). Ruach hutumika mara nyingi kumaanisha Roho ya Mungu (Isa. 63:10). Hakuna kwenye Agano la Kale ambako roho (ruach) imepata kuishi kwa kujitegemea nje ya mwili.

Katika Agano jipya, neno lililo na maana ya ruach (Kiebrania) ya agano la kale ni pneuma

(Kigiriki) – kupuliza, kupumua. Kama ilivyo kwa ruach, hakuna chochote ndani ya mwanadamu chenye kuweza kuishi nje ya mwili.

Roho/Moyo (pneuma) imetumika pia kuonyesha mtizamo – (Rum. 8:15, 1 Kor 4:21, 2 Rum. 1:7, 1Yoh.4:6) na hali mbali mbali za kibinadamu kama katika (Gal. 6:1, na Rum. 12:11).

Pneuma hutoka mtu anapokufa (Luk. 23:46, Mdo. 7:59). Kama ruach, pneuma pia inatumika tunaposema Roho ya Mungu (1Kor.2:11, 14, Ef.4:30, Ebr.2:4 1Pet.1:12, 2Pet. 1:21).

3.
Muungano wa mwili, moyo na roho
a) Muungano wa viwili. Biblia haisemi uhusiano uliopo baina ya mwili, moyo na roho.

Wakati mwingine nafsi na roho hutumika kwa kubadilishana “moyo wangu wamwadhimisha Bwana, roho yangu imemfurahia” (Luk. 1: 46, 47). Mara moja, Yesu
amemsema mwanadamu kuwa ni mwili na roho Mt.10:28). Mahali pengine, Paulo anamwona binadamu kuwa ni mwili na roho (1Kor.7:34)

b) Muungano wa vitatu. Paulo ambaye alipata umzungumza mwanadamu kuwa wa muungano wa viwili, amesema kwenye 1Thes.5:23 kuwa mwanadamu ana nafsi, roho na mwili. Hapa, roho yaweza kuwa kanuni ya juu ya akili inayowasiliana na Mungu (Rum. 8:16). Kufanywa upya nia, hutubadilisha (Rum.12:1, 2)

c) Muungano usiogawanyika. Mwili, moyo na roho hutenda kazi kwa kushirikiana ikionesha hali ya mtu kiroho, kiakili na kimwili.

Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adamu alikuwa na uwezo wa kufanya uamuzi. Ingawa alipewa hali takatifu, Adamu akafanya uamuzi wa dhambi na kuasi kinyume na muumba wake. Kwa kufanya hivyo, Adamu akaiaribu sura ya Mungu ndani yake na akaupitisha huo ubaya kwa kizazi chake chote (Warumi 5:12). Hata hii leo bado twaibeba hiyo sura ya Mungu (Yakobo 3:9), lakini bado twavibeba vidonda vya dhambi kimawazo, kitabia, kimaisha ya kawaida na hata kimwili twaonyesha madhara ya dhambi.

Habari njema ni kwamba Mungu anamwokoa mtu binafsi, anaanza kurejesha sura ya kiasili ya Mungu, kuumbwa “mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli” (Waefeso 4:24). Huo wokovu upo tu kwa neema ya Mungu kupitia kwa imani katika Kristo Yesu aliyetuokoa kutoka dhambi ambayo ilitutenganisha na Mungu (Waefeso 2:8-9). Kupitia Kristo tumefanywa viumbe vipya kwa mfano wa Mungu (2Wakorintho 5:17).

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUNGU NI NANI NA ALITOKEA WAPI?

Image may contain: one or more people and text




Hili ni swali nzuri sana. Kuna majibu mengi sana kwa hili swali. Watu wengine husema "Hakuna Mungu." Jibu lako kwa swali hili, litatambua jinsi unavyo wajali watu wengine. Tena jibu lako litaonyesha ni wapi utakapoishi baada ya hapa duniani. Jinsi tunavyo amini Mungu ni nani, hudhibitisha kama tunaabudu Mungu wa kweli au sisi wenyewe. Kama tunampenda Mungu, basi inatupasa tuwapende watu wengine. Kuna dini kubwa tatu hapa duniani. Sote hufundisha mafundisho tufauti. Kwa hivyo zote tatu haziwezi kuwa za ukweli.

Mungu wa kweli ndiye Muumba wa vitu vyote. Hana mwanzo wala mwisho. (Zaburi 90:2) Yeye ndiye Chanzo cha habari njema inayopatikana katika Biblia. (1 Timotheo 1:11) Kwa kuwa Mungu ndiye aliyetuumba, tunapaswa kumwabudu yeye peke yake.​—Soma Ufunuo 4:11.

Musa aliandika hivi: ‘Ee Mungu, kabla ya kuzaliwa kwa milima, ao kutokezwa kwa dunia na inchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa, tangu wakati usio na kipimo mupaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.’ (Zaburi 90:1, 2) Nabii Isaya naye alisema hivi: ‘Je, haujajua ao, je, haujasikia? Mungu, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mupaka wakati usio na kipimo’! (Isaya 40:28) Vilevile, barua ya Yuda inaeleza kwamba Mungu amekuwapo “kwa umilele wote uliopita.”—Yuda 25.

Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana (Yohana 4:24). Mungu ni Mmoja, lakini Yeye yupo kama watu watatu-Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu (Mathayo 3: 16-17). Mungu ni asiye na mwisho (1 Timotheo 1:17), hauwezi kulinganishwa (2 Samweli 7:22), na hawezi kubadilika (Malaki 3: 6). Mungu yupo kila mahali (Zaburi 139: 7-12), anajua kila kitu (Mathayo 11:21), na ana nguvu zote na mamlaka (Waefeso 1; Ufunuo 19: 6).

Mungu (Elohim) wa pekee Mmoja ndiye Mungu wa kweli. Kabla yake Mungu hakuumbwa awaye yote, wala baada yake hatakuwepo yeyote mwingine. (Isaya 43:10) masomo haya yanayolenga katika kutufundisha kumjua Mungu yakijikita zaidi katika kutufundisha jinsi tunavyoweza kumjua Mungu,na Kunyenyekea kwa Kicho Kwake na Kumwabudu yeye Mungu Mmoja wa Kweli wa pekee.

Mungu ni nani? — Tabia yake

Hapa ni baadhi ya sifa za Mungu kama ilivyofunuliwa katika Biblia: Mungu ni wa haki (Matendo 17:31), mwwenye upendo (Waefeso 2: 4-5), mwenye kweli (Yohana 14: 6), na mtakatifu (1 Yohana 1: 5). Mungu anaonyesha huruma (2 Wakorintho 1: 3), huruma (Warumi 9:15), na neema (Warumi 5:17). Mungu anahukumu dhambi (Zaburi 5: 5) lakini pia hutoa msamaha (Zaburi 130: 4).

Kulikuwa na wakati ambapo hakuna kitu cho chote kilicho ishi, yaani nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, ila Roho wa Mungu aliyekuwa Mmoja. Alikuwako tangu milele. Tangu mwanzo, alikuwako Yeye wa Pekee, hakuhitaji kitu cho chote ili kupata Nguvu au Uhai. Huyu ndiye Mungu Mmoja na wa Kweli. (Yohana. 17:3:1Yonana 5:20) Ni Mungu wa Milele (1 Timotheo 6:16). Hii ina maana ya kwamba ni Mungu asiyekufa. (Mungu asiyepatikana na mauti)

Mungu ni nani? — Kazi Yake

Hatuwezi kuelewa Mungu mbali na matendo Yake, kwa sababu kile Mungu anachotenda hutoka kwake. Hapa kuna orodha ya kazi za Mungu, zilizopita, zilizopo, na za baadaye: Mungu aliumba ulimwengu (Mwanzo 1: 1; Isaya 42: 5); Anashikiria kikamilifu ulimwengu (Wakolosai 1:17); Anafanya mpango wake wa milele (Waefeso 1:11) ambayo inahusisha ukombozi wa mwanadamu kutoka kwa laana ya dhambi na kifo (Wagalatia 3: 13-14); Anawavuta watu kwa Kristo (Yohana 6:44); Anawaadhibu watoto Wake (Waebrania 12: 6); Na atahukumu ulimwengu (Ufunuo 20: 11-15).

Hapo mwanzo Mungu (Elohim) alianza Uumbaji. Lakini kabla ya kuanza Uumbaji wa cho chote, Mungu alijua ni nini atakachokiumba na kwa namna gani atakavyoumba. Hakuna lisilowezekana kwa Mungu. Alijua hata mwisho wa uumbaji wake wa kila kitu. Kwa kila kitu ambacho kilitokea kuwepo, Mungu (Elohim) alijua jinsi ya utendaji wa kazi wa kila kiumbe katika uumbaji na uhusiano kati ya kila kimoja na kingine.

Mungu (Elohim) ni Alpha na yeye ni Omega (Ufunuo 1:8) Yeye ni wa Pekee alikuwako tangu Mwanzo na wa Milele, kwa hiyo ni Alpha, au Mwanzo. Yeye ni Omega kwa sababu yeye atakuwa wa mwisho katika vyote alivyo viumba. Uumbaji unaendelea kwa sababu ya Yeye. Uumbaji umejikita juu Yake na Yeye Ndiye yote katika wote.

Kabla ya kitu cho chote kuwepo, Mungu alijua atakacho kiumba na kwa namna gani. Alijua kila kitu kitakavyokuwa. Alijua kabla, matokeo na mwisho wa kila kitu. Hakuna cho chote kilichofichika au kilichofanyika kwa siri ambacho Mungu hakukijua kabla ya Uumbaji kuanza. Mungu alijua kila kitu (1Yoh. 3:20). Tendo hili la Mungu kujua kila kitu yaani kujua yote linaitwa hekima kuu ya Mungu (Omniscience). Mungu hakutaka msaada wa kitu cho chote, kutoka kwa ye yote kumsaidia yeye katika kufikiri, kufanya maandalio, au kufanya hesabu kabla ya uumbaji. Aliweza yeye mwenyewe kufikiri na kufanya hesabu ya kila umbo na aliweza kuona ni njia ipi ambayo kila chaguo lake lingeweza kutekelezwa.

Mungu ni Mweza wa yote Omnipotent. (Mwenye Nguvu na Mamlaka). Hakuna kitu ambacho hawezi kukifanya kikamilifu kutimiza mapenzi ya mpango wake. Yeye anajua yote yanawezekana kwake, na anajua njia sahihi ya kuumba vitu mbalimbali.Kila kitu kilichoumbwa kiliandaliwa na kuthibitishwa, kudhihirika tangu mwanzo. Huo ni pamoja na Uumbaji wetu sisi. Kila kitu kilionyesha maana katika kutenda kazi njema hata mwisho.

Mungu alijua ni jinsi gani vitu vingeweza kutengenezwa, na kwa namna gani na kwa idadi gani na kadhalika. Elimu hii ni kweli; Mungu ni Kweli (Kumbukumbu 32:4). Mungu aliweza kuumba ulimwengu na vitu vyote bila kubahatisha au kujutia matokeo yake. Kwa hiyo, mapenzi yae yalileta nuru ya utimilifu wake katika ukweli (Mungu ni Kweli) Kwa asili au kitabia Yeye hana makosa yo yote (Yaani ni Mkamilifu Mtakatifu na kazi yake haina makosa kiasili na kitabia) Mungu hawezi kutenda kosa kwa sababu ya uweza na uhodari wake mkubwa katika utendaji wake. Humuwezesha kuepukana na majuto katika hekima yake kuu ya kujua yote, inamfanya Mungu kuwa Mkamilifu (Mathayo. 5:48).

Kabla ya kuanza Uumbaji, Mungu alijua ya kwamba kazi yake yote itakuwa kamilifu na njema. Alijua ni nini kilichokuwa chema sana, kwa sababu Mungu alipenda Uumbaji uwe kama yeye Mwenyewe na kuwa Nuru kama yeye Mwenyewe alivyo nuru. Mapenzi ya mwisho ya Mungu ni wema (Zaburi 25:8) Chanzo cha wema wote hutoka kwake. Wema wote hutoka kwake. Mtu mmoja aliposema yakuwa Kristo ndiye Mwalimu Mwema, Yesu alijibu, “ kwa nini unaniita Mimi Mwema? Mungu tu ndiye Mwema” (Mathayo. 19:17; Marko. 10:18, Luka 18:19).

Maandiko hayo yanatuonyesha kwamba Mungu ni ‘Mfalme wa umilele,’ kama vile mtume Paulo anavyoeleza. (1 Timotheo 1:17) Hilo linaonyesha kwamba Mungu amekuwako siku zote, hata iwe tunafikiria miaka ngapi iliyopita. Na ataendelea kuwapo wakati unaokuja. (Ufunuo 1:8) Kwa hiyo, kwa kuwa amekuwapo milele hilo linahakikisha kwamba yeye ni Mweza-Yote.

Sababu gani tunaona kuwa ni vigumu kuelewa wazo hilo? Kwa sababu maisha yetu ni mafupi, tunaelewa wakati kwa njia tofauti kabisa na namna Mungu anavyouelewa. Kwa sababu Mungu ni wa milele, kwake miaka elfu ni kama siku moja. (2 Petro 3:8) Kwa mfano: Je, panzi anayeishi tu siku 50, anaweza kuelewa urefu wa maisha yetu wa miaka 70 ao 80? Hawezi kabisa kuelewa! Hata hivyo, Biblia inaeleza kwamba tuko kama panzi inapotulinganisha na Muumbaji wetu Mkubwa. Hata uwezo wetu wa kufikiri unaonekana kuwa kidogo sana unapolinganishwa na uwezo wake. (Isaya 40:22; 55:8, 9) Kwa hiyo, kuna utu ao namna ya kuwa ya Mungu ambayo wanadamu hawaelewe kabisa.

Hata ikiwa wazo la kwamba kuna Mungu wa milele linaweza kuwa gumu kuelewa, tunaona kwamba wazo hilo linapatana na akili. Ikiwa kuna mutu fulani aliyemuumba Mungu, mutu huyo anapaswa kuwa ndiye Muumba. Lakini, Biblia inasema kwamba ni Mungu tu ndiye ‘aliyeumba vitu vyote.’ (Ufunuo 4:11) Zaidi ya hilo, tunajua kwamba wakati fulani ulimwengu haukuwa. (Mwanzo 1:1, 2) Ulimwengu ulitoka wapi? Muumbaji wake alipaswa kuwa kwanza. Aliishi pia mbele ya kuumbwa kwa viumbe vyote vyenye akili, kama vile Mwana wake muzaliwa-pekee na malaika. (Ayubu 38:4, 7; Wakolosai 1:15) Kwa hiyo, ni wazi kwamba aliishi kwanza peke yake. Haiwezekane kwamba aliumbwa kwa sababu hakuna kitu kilikuwapo ambacho kingemuumba.

Mungu ni nani? — Uhusiano na Yeye

Katika Mtu wa Mwana, Mungu akawa mwili (Yohana 1:14). Mwana wa Mungu akawa Mwana wa Mtu na hivyo ni "daraja" kati ya Mungu na mwanadamu (Yohana 14: 6, 1 Timotheo 2: 5). Kwa njia ya Mwana tu tunaweza kuwa na msamaha wa dhambi (Waefeso 1: 7), upatanisho na Mungu (Yohana 15:15, Warumi 5:10), na wokovu wa milele (2 Timotheo 2:10). Katika Yesu Kristo "ukamilifu wote wa Uungu huishi katika hali ya mwili" (Wakolosai 2: 9). Hivyo, kwa kweli kujua Mungu ni nani, tunapaswa kufanya ni kuangalia Yesu.

Kuwapo kwetu na kuwapo kwa ulimwengu wote muzima kunahakikisha kwamba kuna Mungu wa milele. Yule aliyeumba ulimwengu wetu mukubwa, Yule aliyeweka sheria za kuuongoza, anapaswa kuwa alikuwapo sikuzote. Ni kwa sababu hiyo tu ndipo alipulizia vitu vingine vyote pumuzi ya uzima.—Ayubu 33:4.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

KWANINI HAKUNA GANO JIPYA KWENYE UISLAM?

No photo description available.
Agano ni nini?
Agano ni mapatano baina ya mtu na mtu ama baina ya pande mbili na ambalo linawafunga wote wawili . Agano huwa linaambatana na kanuni za Agano ambazo hazipaswi kuvunjwa na zinapaswa kushikwa kama kanuni ambazo zinaunda agano. Mifano ya Agano ni Agano baina ya Mungu na Nuhu [Mwanzo 9:9-17], Agano baina ya Mungu na Abrahamu [Mwanzo 17:1-21], Agano Baina ya Ibrahimu na Abimeleki [Mwanzo 21:27-32,], Agano baina ya Isaka na Abimeleki [Mwanzo 26:26-33], Agano baina ya Yakobo na Labani [Mwanzo 31:43-54].
Agano Jipya ni sehemu ya pili ya Biblia ya Kikristo, ikifuata Agano la Kale: Agano Jipya limefichika katika lile la Kale, na Agano la Kale limedhihirika katika lile Jipya.
Linakusanya vitabu ambavyo Wakristo wote wanaviheshimu kama vitakatifu na vilivyoandikwa baada ya ujio wa Yesu Kristo hadi mwisho wa wakati wa mitume wake.
Vitabu vyake 27 vinaleta habari zake, za mitume wake na za mwanzo wa Kanisa lake.
Agano la Pili ni Agano ambalo Mungu alifanya na watu wake kwa njia ya Yesu Kristo. Kuhusu Agano hili Unabii wa Biblia unasema kwamba Yesu angefanya Agano na watu wengi kwa Mda wa Juma moja. Biblia yasema hivi “Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu. [Daniel 9:27]. Yesu alipokufa pale msalabani mwaka 31AD[Nusu Juma ya unabii wa Daniel] Msalaba wa Kristo uliondoa Agano la kwanza na Sadaka zake za kuteketezwa na makafara yake yote na mifumo yote ya Patakatifu pa kidunia, Ukuhani wa kidunia, na sikukuu zote ambazo zilikuwa ni vivuli vinavyomwakilisha Kristo; na kulisimamisha Agano la pili, Na Kristo mwenyewe akawa Mjumbe wa Agano jipya na Damu yake mwenyewe ikawa damu ya utakaso ya Agano jipya. Mwaka 34 AD kulingana na Unabii wa Daniel[Nusu ya pili ya juma la unabii wa Daniel], Wana wa Israeli walitia Muhuri wa uasi wao, kwa Kumpiga Stefano mawe na kuliudhi kanisa. Ndipo mitume wakaachana na Wayahudi na kuzambaza injili kwa watu wa mataifa.
Kuhusu Agano Jipya Biblia yasema hivi: “Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora. [Waebr8:6]. Katika Agano jipya Watu wa Mungu wakatakaswa kwa damu ya Yesu mwenyewe. Biblia yasema hivi: “wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng'ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili; basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele. [Waebr9:12-15].
Agano jipya ndiyo jibu katika uasi wetu. Imeandikwa Yeremia 31:33 "Basi agano hili ndilonitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile asema Bwana nitatia sheria yangu ndani yao na katika ioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao nao watakua watu wangu."
Agano jipya laja kwa njia ya Yesu Kristo. Imeandikwa, Luka 22:20 "Kikombo nadho vivyo hivyo baada ya kula akisema; kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu."
Agano jipya yamaanisha twaweza kwende mbele za Mungu bila mpatanishi kupitia kwake Yesu Kristo. Imeandikwa, Waebrania 7:22 "Basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi."
Kuna ondoleo la dhambi katika agano jipya. Imeandikwa, Waebrania 9:14-15 "Basi si zaidi damu ya Yesu Kristo, ambaye kwa roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kua sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? na kwa sababu hi ni mjumbe wa agano jipya ili mauti ikisha kufanyika kwa kukomboa makosa ya liyokuwa chini ya agano la kwanza hao waliyo itwa waipokee ahadi ya uridhi wa milele."
Agano la Kale dhidi ya Agano Jipya – kuna tofauti gani?
JHuku Biblia ikiwa ni kitabu kimoja, kuna tofauti kati ya Agano la Kale na Agano Jipya. Kwa njia nyingi, zinakamilishana. Agano la Kale ni la msingi, na Agano Jipya lajijenga kwa huo msingi na ufunuo zaidi kutoka kwa Mungu. Agano la Kale laanzisha kanuni ambazo zinaonekana kuonyesha ukweli wa Agano Jipya. Agano la Kale lina unabii mwingi ambao unatimia katika Agano Jipya. Agano la kale linatoa historia ya watu ; Lengo la Agano Jipya ni juu ya Mtu . Agano la Kale linaonyesha ghadhabu ya Mungu dhidi ya dhambi (kwa kiza cha neema yake) na Agano Jipya linaonyesha neema ya Mungu kwa ajili ya wenye dhambi (kwa kiza cha ghadhabu yake).
Agano la Kale linatabiria Masihi (ona Isaya 53), na Agano Jipya linamdhihirisha masih kuwa yupo ( Yohana 4:25-26). Agano la Kale lakumbukumbu utoaji wa Sheria ya Mungu, na Agano Jipya laonyesha jinsi Yesu Masiya alivyotimiza sheria (Mathayo 5:17, Waebrania 10:9). Katika Agano la Kale, adhabu ya Mungu hasa ni kwa watu wake wateule, Wayahudi; katika Agano Jipya, adhabu ya Mungu hasa ni kwa kanisa lake (Mathayo 16:18). Baraka za kimwili zilizo ahidiwa katika Agano la Kale (Kumbukumbu 29:9) linatoa njia ya baraka za kiroho chini ya Mkataba ya Agano Jipya (Waefeso 1:3).
Unabii wa Agano la Kale kuhusiana na kuja kwa Kristo, ingawa ni wa kina, una kiasi fulani cha utata ambao umerekebishwa katika Agano Jipya. Kwa mfano, Nabii Isaya alisema ya kifo cha Masihi (Isaya 53) na kuanzishwa kwa ufalme wa Masihi (Isaya 26) huku hakuna dalili ya mwenendo wa matukio mawili - hakuna mwanga kwamba mateso na ujenzi wa ufalme utatenganishwa na milenia. Katika Agano Jipya, inakuwa wazi kuwa Masiya ako na ujio aina mbili : katika ule wa kwanza aliteseka na akafa (na kufufuka tena), na katika wa pili Yeye ataimarisha ufalme wake.
Kwa sababu ya ufunuo wa Mungu katika maandiko ni endelefu, Agano Jipya huleta katika lengo kali la kanuni kwamba walikuwa kuletwa katika Agano la Kale. Kitabu cha Waebrania kinaeleza jinsi Yesu kweli ni Kuhani Mkuu na jinsi kafara yake moja kuu ni nafasi ya sadaka zote za awali, ambayo ilikuwa kivuli cha yatakayo kuja. Pasaka ya Agano la Kale (Ezra 6:20) inakuwa Mwana-kondoo wa Mungu katika Agano Jipya (Yohana 1:29). Agano la Kale inatupa sheria. Agano Jipya linafafanua kwamba sheria ilikuwa na maana ya kuonyesha watu mahitaji yao ya wokovu na haikukusudiwa kuwa njia ya wokovu (Warumi 3:19).
Agano la Kale liliona Adamu amepotelewa na peponi na Agano Jipya linaonyesha jinsi peponi inapatikana kupitia Adamu wa pili (Kristo). Agano la Kale lasema kwamba mwanadamu alikuwa ametengwa na Mungu kwa njia ya dhambi (Mwanzo 3), na Agano Jipya linasema kuwa mwanadamu anaweza kurejeshwa katika uhusiano wake na Mungu (Warumi 3-6). Agano la Kale lilitabiri maisha Masihi. Injili imerekodi maisha ya Yesu, na Nyaraka hutafsiri maisha yake na jinsi sisi huitikia yote ambayo amefanya.
Kwa muhtasari, Agano la Kale huweka msingi wa kuja kwa Masihi ambaye atatoa nafsi yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi za ulimwengu (1 Yohana 2:2). Agano Jipya limenakili kumbukumbu ya huduma ya Yesu Kristo na kisha inaonekana kutizama nyuma juu ya kile alichofanya na jinsi sisi tunastahili kuhitikia. Agano zote mbili zatangaza huyo Mungu mtakatifu, na wa huruma, na hakia ambaye Analaani dhambi bali atamani kuwaokoa wenye dhambi kwa njia ya sadaka ya upatanisho. Katika Maagano yote mawili, Mungu hujifunua kwetu na inatuonyesha jinsi sisi tunastahili kuja kwake kwa njia ya imani (Mwanzo 15:6; Waefeso 2:8).
Katika agano la kale watu wasaki kufanya nini?
Imeandikwa Kutoka 24:3 "Musa akaenda akawaambia watu maneno yote ya Bwana na hukumbu zake zote watu wote wakajibu kwa sauti moja wakasema maneno yote aliyoyanena Bwana Mungu tutayatenda.
Mungu ameagiza kufanya nini katika agano jipya?
Imeandikwa, Waebrania 8:10 "Maana hili ndilo agano nitakalo agana na nyumba ya Israeli baada ya siku zile asema Bwana nitawapa sheria zangu katika nia zao na katika mioyo yao nitaziandika nani nitakuwa Mungu kwao."
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ

Neuroplasticity, Spiritual Formation, and Holistic Redemption in Christ By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction ...

TRENDING NOW