Wednesday, June 17, 2015

WAISLAM WAMELAZIMISHWA KUFUNGA SWAUMU

Quran 2:183 Enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga saumu kama walivyolazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu.

Aya hapo juu inatuambia kuwa, kumbe kufunga kwa ndugu zetu hawa ni kwa kulazimishwa na sio hiyari yao.

1. Wapi tunasoma katika Taurat kuwa Adam alifunga Ramadhani?
2. Wapi tunasoma katika Taurat kuwa Musa alifunga Ramadani?
3. Wapi tunasoma katika Taurat kuwa Ibrahim alifunga Ramadhani?

Ndugu zanguni, hii dini ni ya kujitungia na si kama wanavyo dai kuwa eti iliteremshwa na Allah. Kama kweli Allah ndie aliye iteremsha hii dini kwa Adam, sasa kwanini Adam hakufunga Ramadhani/Swaumu?

Zaidi ya hapo, kwanini katika mfungo hawa ndugu zetu wanakula Usiku kucha/daku? Wapi katika Taurat panasema kuwa watu wale Daku?

Waislam huwa wanatumia aya ambayo inasema kuwa Yesu alifunga, lakini hawasemi kuwa Yesu alifunga kwa siku ngapi na wala hakuna aya ambazo zinasema kuwa Yesu alikula Daku saa nane/kumi za usiku.

Zaidi ya hapo, hatusomi kuwa Yesu alianza kufunga pale alipo uona Mwezi umeandama, la hasha. Wala hatusomi kuwa Yesu alifungulia/maliza kufunga pale Mwezi ulipo andama, la hasha.

Hii tabia ya kuabudu Mwezi ipo kwenye Uislam peke yake.
Maswali kuhusu Mwezi:
1. Hivi kati ya Allah na Mwezi ni nani mwenye Mamlaka ya kuongoza Waislamu?
2. Hivi kwanini Waislam wafuate maamrisho ya Mwezi?

KUMBE MWEZI NDIYE MOLA MLEZI ANAYEABUDIWA NA WAISLAMU!
Q6:77 SURAT AL - AN-A'AM
Alipo uona mwezi unachomoza alisema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Ulipotua asema:Kama Mola Mlezi wangu hakuniongoa, nitakuwa katika kaumu walio potea.
HII NDIYO SIRI YA ILE NYOTA NA MWEZI ILIYO JUU YA KILA MSIKITI!

KULA DAKU ASUBUHI:
Kula Daku saa alfajiri ni jibu tosha kuwa, Waislam wamebalisha masaa ya kula na kuamua kula usiku kucha na kukaa na njaa mchana kutwa.
Kumbe basi, hata Wakristo wanao lala usiku na kula asubuhi wao vile vile wanafuga.

Kumbe basi, ndio maana Wazungu wanaita chakula cha asubuhi "BREAKFAST"
Waislam kwanini kula usiku mnaita kufunga?

Wapi Yesu kasema kwenye Injir kuwa watu wafunge Ramadani?

Hakika Ukristo ndio Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.

Max Shimba

Max Shimba Ministries Org @2015.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW