Wednesday, January 31, 2018

JINA LA YESU NI UFUNGUO WA MAISHA YAKO




Mungu ametupa jina lenye nguvu na mamlaka ya kutawala. Imeandikwa ‘Yo yote mtakayo yafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote mtakayo yafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni’ #MATHAYO18:18.
Jina la Yesu ni ufunguo wa kufunga na kufungua kitu chochote katika ulimwengu huu kwa ajili ya kuujenga ufalme wa Mungu na kuuharibu ufalme wa giza.
Ikiwa ni kwa kutenda ishara, miujiza na maajabu jina hili waweza kulitumia kufanya hayo. Ikiwa ni kufunguliwa kutoka kwenye nguvu za giza jina hili laweza kabisa pasipo shaka kumfungua mtu kutoka kwenye mateso ya nguvu za giza.
TUMIA JINA LA YESU KRISTO NA UTAKUWA HURU.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW