Adui wa Jibril au Roho Takatifu?
Somo letu la leo tutazungumzia utata ulio jaa ndani ya Koran. Leo hii tutajinfunza kuhusu nani alikuwa wa kwanza kuteremsha Koran kwa Mtume wa Allah.
Katika Qura 2:97 tunasoma kuwa, Jibril ndie aliye kuwa wa kwanza kushusha aya za Quran kwa Mtume wa Allah. Soma kifungu hiki hapa:
Quran 2:97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Hiyo aya hapo juu ipo wazi kabisa kuwa, aliye kuwa adui wa Jibril ndie aliye kuwa mshushaji wa Quran kwa Mtume wa Allah ajulikanaye kwa jina la Muham'mad. Hebu tuendelee kusoma Quran hiyo hiyo na tuone kama ni kweli adui wa Jibril alikuwa wa kwanza kufanya hiyo kazi au kulikuwa na mtu mwingine aliye kuwa anafanya kazi hiyo hiyo ya kushusha Quran kwa Mtume wa Allah.
Rejea hapa:
Quran 16:102. Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu.
103. Na Sisi hakika tunajua kwamba wanasema: Yuko mtu anaye mfundisha. Lugha ya huyo wanaye muelekezea ni ya kigeni, na hii ni lugha ya Kiarabu mbayana.
Katika aya tulizo zisoma hapo juu, tunagundua kuwa Allah alimtumia Roho Takatifu kushusha Aya kwa Mtume wake na si Jibril kama wanavyo dai Waislam na tulivyo soma kwenye Surah 2 aya 97 ni Adui wa Jibril ndie aliye shusha Quran.
Katika Surah 2:97 tunasoma kuwa Mteremshaji wa Quran ni adui wa Jibril.
Katika Surah 16:102-103 tunasoma kuwa Roho Takatifi ndie anateremsha Quran.
Ndugu zanguni. Hivi kwanini Koran inamakosa namna hii? Nani alikuwa mteremshaji wa Koran? Ni Adui wa Jibril au Roho Takatifu?
Nimategemeo yangu kuwa, hili soma litawafungua macho na kufahamu ukweli kuhusu Quran. Kama kweli Allah ni Mungu na yeye ndie aliye kuwa anaishusha Quran kupita Jibril, basi asinge fanya kosa la kumsingizia Roho Takatifu kuwa na yeye alikuwa anashusha Quran au Adui wa Jibril.
Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini afanye makosa makubwa namna hii?
Je, Roho Takatifu ni adui wa Jibril?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba
For Max Shimba Ministries
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Tuesday, November 5, 2013
UTATA NDANI YA KORAN: JE, INJIL ILIKUWEPO WAKATI WA MUSA
Ndugu zanguni,
Leo nitazungumzia makosa na utata ndani ya Koran. Katika somo letu la leo, mtaona utata na makosa kutoka kwa Allah, alipo kuwa anamjibu Musa maombi yake. Allah anamjibu Musa na kumweleza kuwa eti Nabii asiye fahamu kusoma na kuandika yupo ndani ya Injili, huku ikifaamika kuwa Injili ilikuwa bado haikushushwa.
Aya nyingi katika Qur'ani zipo wazi kwamba Injil ilitolewa kwa Yesu ambaye alizaliwa miaka mia kadhaa [1400 BC] baada ya Musa.
Lakini cha kushangza, eti Musa aliye ishi miaka 1400 kabla ya YESU kuzaliwa na yeye anajibiwa na Allah kuhusu Injili ya Yesu kama vile yeye Musa alizaliwa baada ya Yesu. Soma majibu ya Allah kwa Musa hapa chini.
Quran 7: 155. Na Musa akawateuwa watu sabiini katika kaumu yake kwa miadi yetu. Na ulipo fika mtetemeko mkubwa alisema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ungeli taka ungeli wahiliki wao na mimi zamani! Unatuhiliki kwa waliyo yafanya wajinga katika sisi? Haya si chochote ila ni mtihani wako, umpoteze umtakaye na umhidi umtakaye. Wewe ndiye Rafiki Mlinzi wetu. Basi tughufirie na uturehemu. Na Wewe ndiye mbora wa kughufiria. ***
156. Na utuandikie mema katika dunia hii na katika Akhera. Sisi tumerejea kwako. (Mwenyezi Mungu) akasema: Adhabu yangu nitamsibu nayo nimtakaye. Na rehema yangu imeenea kila kitu. Lakini nitawaandikia khasa wanao mchamngu, na wanao toa Zaka, na wale ambao wanaziamini Ishara zetu, ***
157. Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa. ***
Koran imejaa mashaka kila sehemu. Leo tunaona Allah anamjimu Musa kuhusu Injili ambayo ilishushwa mika 1400BC. Hivi huyu Allah alipitiwa na kuanza kuzumguzia Isa Bin Maryama kwa Musa au ni kufichuka kwa siri kwamba Quran si kitabu cha Mungu?
Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini afanye makosa makubwa namna hii?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba
For Max Shimba Ministries
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Monday, November 4, 2013
UISLAM NDIO DINI PEKEE YENYE MTUME MWENYE WAZIMU
Ndugu
zanguni.
Biblia
inasema kuwa, mtawafahamu kwa matunda yao, hayo yalikuwa maneno kutoka Injili
ya [Mathayo 7:16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika
miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda
mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya].
Mtume Muhammad
alishindwa kuonyesha uadilifu katika kazi yake. Kazi aliyo dai katumwa na
Mungu, ilijaa maswali mengi ambayo yaliwafanya watu wamuite yeye, Muhammad,
“Mwendawazimu”. Kitendo cha Mtume kuoa Mtoto wa miaka 6, kulileta kizungumkuti,
kwasabau kitendo hicho si cha kibinadamu na hakikufanywa na Mitume walio kuja
kabla yake. Hapa chini ni aya kutoka Koran iliyo teremshwa na mungu wa Islam
kupitia msaada wa Gibril.
Quran
15: 6. Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.
Muhammad
anaitwa mwendawazimu mbele ya kadamnasi. Hayo madai ya uwendawazimu
hayakukataliwa na mtume wa Allah. Alicho fanya Muhammad ni kukaa kimya, jambo
ambalo ni jibu tosha kuwa alikubali kuwa yeye ni Mwendawazimu. Uhakikisho wa
uwendawazimu wake upo kimaandishi.
Hebu
tusome Simulizi zake kidogo: "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Kitabu cha Madarasa Meja), na
Ibn Sad, kutafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], ukurasa wa 225; Muhammad akisema:
O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu.
O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu.
Kwenye hiyo simulizi yake, hapo juu, Mtume wa Allah anakiri
kuwa yeye ni mwendawazimu. Kukiri huko, kunatuletea maswali mengi, ambayo
nategemea mengi ya maswali hayo, yatakosa majibu. Lakini ni vyema tujiulize
maswali. Kwanini Allah aliteremsha aya inayo muita Mtume wake Mwendawazimu? Kwanini
Muhammad hakukataa kuitwa Mwendawazimu? Utume wa huyu Muhammad umejaa shaka,
pale alipo kubali kuwa yeye ni mwendawazimu. Rejea kwenye simulizi yake hapo
juu. Nita nukuu sehemu fupi ya kukubali kwake “O Khadija, …….nina
hofu kuwa mimi nina Wazimu”.
Hatujawai
soma kwenye vitabu vingine vitakatifu kuwa Mitume wa Mungu wa Biblia walikubali
kuwa wao ni Wendawazimu, lakini leo hii tumejifunza kuwa Muhammad mtume Allah,
anakubali kuwa yeye ni Mwendawazimu.
Hivi,
kwanini tufuate mtume aliye kubali kuwa yeye ni Mwendawazimu? Hilo ni swali la
msingi. Allah anasema kuwa watu wa Kitabu ambao ni Wayahudi na Wakristo ndio
wenye elimu na muwaulize wao, mtakapo kuwa na maswali.
Allah
amesha jibu. Wakristo ndio wenye majibu katika hii duni.
MUHAM-MAD ANASEMA:
"Nina hofu kuwa mimi nina Wazimu"
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Hell pictures_ A Trip To Hell (Full version) / 지옥그림_지옥을 견학하다 (Full version)
http://www.youtube.com/watch?v=dWXkBBIaiVc
http://www.youtube.com/v/dWXkBBIaiVc?version=3&autohide=1&feature=share&showinfo=1&autohide=1&attribution_tag=hY2elLNSMwttZSEiiRSDCA&autoplay=1
http://www.youtube.com/v/dWXkBBIaiVc?version=3&autohide=1&feature=share&showinfo=1&autohide=1&attribution_tag=hY2elLNSMwttZSEiiRSDCA&autoplay=1
ALLAH ANASEMA KATIKA KORAN KUWA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM
Jamani huu ni Msiba
katika taifa la Islam kwa kushindwa kusoma aya hii ambayo ipo wazi (Quran
40:60).
Katika mada hii,
nitawawekea aya kutoka Koran na simulizi za Muhammad ambazo zinatushuhudia
kuwa, Waislam wote wataingia Jehanamu.
Hebu tumsome kwanza Allah katika aya
aliyo iteremsha kwa Mtume wake Muhammad (Pbuh).
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa
Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa “wale wote ambao wanajivunia Uislam
na kumuabudu Allah wataingia Motoni”
Ndugu zanguni, huu ni Msiba, tena msiba mkubwa sana
katika dini na taifa la Kiislam. Allah amesha toa hukumu kwa wamfuatao na
inafahamika fika kuwa, Wale wote waingiao Jehannam, hao walikuwa hawafanyi
Mapenzi ya Mungu wa Biblia. Allah anasema kuwa, ukifanya
mapenzi yake, basi wewe utaingia Jehannam. Huu ushaidi ndio tulio usoma katika
Quran 40:60.
Sasa tuwasikilize
na maswahiba wa Mtume Muhammad.
Simulizi:
Pia imesimuliwa
na Ibn Jarir, iliyosimuliwa na Abu Kurayb, imesimuliwa na Ibn Yaman,
imesimuliwa na Ibn Malik Maghul, imesimuliwa na Ibn Ishaq ambaye alisema,
"Kila mara Abu Maysarah anapo kwenda kulala na akiwa kitandani kwake yeye
husema, 'Mimi nasikia Uchungu kuzaliwa na Mama yangu. 'na kisha anaanza kulia
kwa Machozi. Alipoulizwa kwa nini alikuwa akilia, alijibu ayafuatayo,'
Tuliambiwa kwamba SISI WAISLAMU tutaingia Jehannamu, LAKINI HATUKUAMBIWA kwamba
TUTATOLEWA HUKO JEHANNAMU NA HATUKUAMBIWA NI KIVIPI TUTATOKA HUKO'"
Mfuasi huyu wa
Muhammad anaoneka kupatwa na mshtuko mkubwa, pale alipo ambiwa kuwa, Waislam
wote wataingia Jehannam. Mshtuko huu umemfanya ailaani siku ambayo alizaliwa.
Kitu cha kujiuliza, kwanini Allah ambaye ni mungu wa Waislam anatoa ahadi ya Jehannam
na si Akhera kama wafundishavyo Waislam?
Ndugu zanguni, ningependa mfahamu kuwa, utakapo ingia Jehannam, kutakuwa
hakuna tena njia nyingine ya kutoka huko. Pale Jehannam ndio mwisho wa maisha
ya walio tenda dhanb. Allah anasema kuwa, ukifanya mapenzi yake, basi wewe utaingia Jehannam. Je,
kufanya mapenzi ya Allah ni sawa na kutenda dhanb? Je, Uislam ni dini ya haki,
kama wanavyo sema wafundishaji wa dini hiyo? Jiulize tena, kwanini Allah anatoa
ahadi ya Jehannam kwa wafuatayo mafundisho yake?
Lakini
Yesu anasema haya:
Yohana 14: 6 Yesu
akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa
njia ya mimi.
Ndugu
zanguni, mwamini Yesu ili uwe na uzima wa milele. Yesu anakupenda. Yesu Ndie
Njia Pekee. Yesu Ndie Uzima. Dini haita kupeleka kwa Baba aliye Mbingu, lakini
Yesu anasema Yeye NDIE NJIA.
Mungu
awabariki sana,
Katika
Huduma Yake,
Max
Shimba
For Max
Shimba Ministries
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Sunday, November 3, 2013
When was the Bible written and who wrote it?
The following dates are not always exact, but are very good estimates.
Old Testament
| Book | Author | Date Written |
| Genesis | Moses | ? - 1445 B.C. |
| Exodus | Moses | 1445 - 1405 B.C. |
| Leviticus | Moses | 1405 B.C. |
| Numbers | Moses | 1444 - 1405 B.C. |
| Deuteronomy | Moses | 1405 B.C. |
| Joshua | Joshua | 1404-1390 B.C. |
| Judges | Samuel | 1374-1129 B.C. |
| Ruth | Samuel | 1150? B.C. |
| First Samuel | Samuel | 1043-1011 B.C. |
| Second Samuel | Ezra? | 1011-1004 B.C. |
| First Kings | Jeremiah? | 971-852 B.C. |
| Second Kings | Jeremiah? | 852-587 B.C. |
| First Chronicles | Ezra? | 450 - 425 B.C. |
| Second Chronicles | Ezra? | 450 - 425 B.C. |
| Ezra | Ezra | 538-520 B.C. |
| Nehemiah | Nehemiah | 445 - 425 B.C. |
| Esther | Mordecai? | 465 B.C. |
| Job | Job? | ?? |
| Psalms | David | 1000? B.C. |
| Sons of Korah wrote Psalms 42, 44-49, 84-85, 87; Asaph wrote Psalms 50, 73-83; Heman wrote Psalm 88; Ethan wrote Psalm 89; Hezekiah wrote Psalms 120-123, 128-130, 132, 134-136; Solomon wrote Psalms 72, 127. | ||
| Proverbs | Solomon wrote 1-29 Agur wrote 30 Lemuel wrote 31 | 950 - 700 B.C. |
| Ecclesiastes | Solomon | 935 B.C. |
| Song of Solomon | Solomon | 965 B.C. |
| Isaiah | Isaiah | 740 - 680 B.C. |
| Jeremiah | Jeremiah | 627 - 585 B.C. |
| Lamentations | Jeremiah | 586 B.C. |
| Ezekiel | Ezekiel | 593-560 B.C. |
| Daniel | Daniel | 605-536 B.C. |
| Hosea | Hosea | 710 B.C. |
| Joel | Joel | 835 B.C. |
| Amos | Amos | 755 B.C. |
| Obadiah | Obadiah | 840 or 586 B.C. |
| Jonah | Jonah | 760 B.C. |
| Micah | Micah | 700 B.C. |
| Nahum | Nahum | 663 - 612 B.C. |
| Habakkuk | Habakkuk | 607 B.C. |
| Zephaniah | Zephaniah | 625 B.C. |
| Haggai | Haggai | 520 B.C. |
| Zechariah | Zechariah | 520 - 518 B.C. |
| Malachi | Malachi | 450 - 600 B.C. |
New Testament
| Book | Author | Date Written (A.D) |
| Matthew | Matthew | 60's |
| Mark | John Mark | late 50's early 60's |
| Luke | Luke | 60 |
| John | John | late 80's early 90's |
| Acts | Luke | 61 |
| Romans | Paul | 55 |
| 1 Corinthians | Paul | 54 |
| 2 Corinthians | Paul | 55 |
| Galatians | Paul | 49 |
| Ephesians | Paul | 60 |
| Philippians | Paul | 61 |
| Colossians | Paul | 60 |
| 1 Thessalonians | Paul | 50 - 51 |
| 2 Thessalonians | Paul | 50 - 51 |
| 1 Timothy | Paul | 62 |
| 2 Timothy | Paul | 63 |
| Titus | Paul | 62 |
| Philemon | Paul | 60 |
| Hebrews | (Paul, Apollos, Barnabas...?) | 60's |
| James | James, half brother of Jesus | 40's or 50's |
| 1 Peter | Peter | 63 |
| 2 Peter | Peter | 63 - 64 |
| 1 John | John | late 80's early 90's |
| 2 John | John | late 80's early 90's |
| 3 John | John | late 80's early 90's |
| Jude | Jude, half brother of Jesus | 60's or 70's |
| Revelation | John | late 80's early 90's |
Saturday, November 2, 2013
KORAN INAKIRI KUWA UISLAMU NI DINI YA WAARABU PEKEE
Katika
hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao.
Waislamu
bila kuchoka wamekuwa wakidai kuwa Uislamu utatawala dunia nzima. Katika
kufanya hivyo, wao watakuwa wamekwenda kinyume na maneno ya Allaha kama yarivyo
teremshwa kwenye Qur'an. Kwa hiyo, ni haki kwa kusema wao ni Makafiri.
Quran 10: 47. Na
kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu,
wala hawakudhulumiwa.
Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na
hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah
humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye
nguvu na Mwenye hikima.
Kama
aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya
Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu
katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini
Allah anasema.
Dhana
hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia
mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.
Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila
umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani.
Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio
wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa
wanao kanusha.
Quran 5: 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi
kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi
hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio
yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake
na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma
mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya
kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale
mliyo kuwa mkikhitalifiana.
Quran 36: 5. Uteremsho
wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. 6. Ili
uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa , basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
Hizi aya zimekamilka na kueleza kiuwazi kuhusu
kuja kwake kwa Waarabu pekee. Allah katika Koran anasema kwamba kila watu wamekuwa
na Mtume wao wenyewe ambao aliwaonya katika lugha zao wenyewe, na kwamba
amemtuma Muhammad kwa wale ambao bado hawajaanza mwongozo wowote, na ambao baba
zao hawakuonywa, yaani Waarabu. Kwa njia hii watakuwa hawana udhuru wowote na
hawezi kusema, lakini hatukuwai kupokea ujumbe wowote.
Endelea kusoma Koran hapa chini:
Quran 6: 156. Msije
mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi
tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma.
157. Au
mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko
wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na
rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara
za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu
adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao.
Quran
ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran,
hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza
kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na
haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu.
Uthibitisho
mwingine kuwa Qur'ani ilitumwa tu kwa ajili ya Waarabu ni katika mistari
ifuatayo hapo chini:
Quran 26:
198. Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu, 199. Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
Kama ambavyo Waarabu wana
haki ya kuto amini kitabu chechote kile kilichotumwa kwa lugha ambayo si
yakwao, ikimaanisha Kiarabu, vivyo hivyo, mashirika yasiyo ya Waarabu nao wana
haki ya kuto iamini Koran, kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Ndio
kwasababu Koran inasema Allah atatuma mjumbe kwa kila lugha ili wao wenyewe kwa
wenyewe waweze kuelewa.
Kuhakikisha hakuta kuwa na kutokuelewana, Allah anashusha hii aya
05:19 Quran: Enyi Watu wa
Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati
usio kuwa na Mitume, msije mkasema: Hakufika kwetu mbashiri wala mwonyaji. Basi
amekujieni mbashiri na mwonyaji. Na Mwenyezi Mungu anao uweza wa kila kitu.
Kwa mujibu wa Qur'an watu wote wamepokea ufunuo. Aya ya hapo juu inasema
Qur'ani ni kwa wale ambao kamwe hawakupokea ufunuo, iliwasije kusema, `kuwa sisi
hatuja wai kutumiwa mbashiri na hakuna mjuonyaji aliye tumwa kwetu'.
Jambo hili ni wazi, lakini Allah anataka liwe wazi hata na kwa asiye
na ufahamu wowote ule aelewe kuwa Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee kwa kuzitaja
sehemu halisi za kijiografia ambazo Muhammad alitumwa kama Mtume wa Allah.
Quran 6:92. Na hiki ni Kitabu
tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na
ili uuwonye Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na wenye kuamini Akhera
wanakiamini hichi, nao wanazihifadhi Sala zao.
Leo,
tumejifunza kuwa, Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee na si kwa Mataifa yote. Sasa,
nina uhakika baadhi ya Waislamu wanaweza kuleta aya nyingine zinazosema kwamba Uislamu
ni kwa wanadamu wote. Kama Waislam watafanya hivyo, basi waelekuwa kwa kufanya
hivyo ni kuthibitisha kwamba aya hapo juu ni za uongo.
Ama
Quran ni pakiti ya uongo na utata au ni tu kwa Waarabu wa Makkah na jirani yake
kama alivyo sema Allah ambaye ni mungu wa Waislamu.
Katika
huduma yake,
Max
Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Yesu ni Mungu Kutokana na Koran (Sehemu ya Kwanza)
Waumini wa dini ya Kiislam
katika Mihadhara mbalimbali ya kidini kupitia wahadhiri wao wa Dini wamekuwa wakipinga kuwa Yesu Kristo si Mungu kwa madai
kuwa, Mungu hawezi kuzaliwa.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie
somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu Umungu wa Yesu Kristo katika Koran:
Je Yesu anazo sifa za kipekee za Mungu
kutokana na Quran? Hebu tuanze utafiti wetu kwa kusoma Quran na tujionee
wenyewe kama kweli Yesu ni Mungu au la.
Adhama ya Kwanza kutokana na
Quran: Mungu ni Mfalme:
Koran inasema kuwa, sifa Moja ya Mungu ni “Mfalme”.
Je, Yesu anayo hii sifa ya “Mfalme”? Haya tusome Quran kwanza.
Quran 59: 23
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu
isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye
salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu,
Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo
mshirikisha nayo.
Sasa
tuangalie kama kweli Yesu anayo hii sifa ya Mfalme ambayo ni adhama ya Mungu pekee
kutokana na Koran.
Biblia
takatifi inasema yafuatayo kuhusu Yesu Kristo:
Ufunuo 17:14
Hawa
watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni
Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.
Katika
aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa “Mfalme wa Wafalme” ambayo ni adhama ya
Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi
, Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia
kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14.
Tuendelee
na ushaidi mwingine kutoka Koran ambao unatuhakikishia kuwa Yesu ni Mungu.
Adhama ya Pili kutokana na Quran:
Mungu ni Mtakatifu:
Je,
Yesu anayo hii sifa ya “Mtakatifu”? Tusome Quran kwanza:
Quran 59: 23 Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu
isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha
Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa,
Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.
Katika
Quran tumesoma kuwa, moja ya sifa za Mungu ni “Mtakatifu”, Je sifa hii ya
utakatifu Yesu anayo?
Nenda
kwenye hihiyo Kuran 19:19 Malaika akasema hakika mimi ni mjumbe ili nikupe Mwana
Mtakatifu -Isa Bin Maryam.
Koran
hiyo hiyo inatuhakikishia na kutujibu kuwa Yesu ambaye anajulikana kwa jina la
Isa Bin Maryam katika Quran ni Mwana Mtakatifu. Hivyobasi,
hii adhama ya Utakatifu ambayo ni ya Mungu pekee, tunasoma katika Quran
iliyoteremshwa an Allah kuwa Yesu ameinyakua. Yesu anaitwa Mwana Mtakatifu.
Adhama ya Tatu kutokana na Quran:
Bwana ni Mwenyezi Mungu
Hebu
tufungue Quran na tusome kuhusu Bwana:
Quran 3:39 Alipo kuwa kasimama chumbani akisali,
Malaika kamnadia: Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria Yahya, ataye kuwa mwenye
kusadikisha neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu, na ni Bwana na mt'awa na Nabii kwa watu wema naye ni Nabii Isa.
Quran 39: 29
Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mtu mwenye
mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine aliye khusika na Bwana Mmoja
tu. Je! Wako sawa katika hali zao? Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni za
Mwenyezi Mungu! Lakini wengi wao hawajui.
Quran 39:29
inasema kuwa Mwenyezi Mungu ni Bwana na hiyo ni sifa njema kwa Mwenyezi Mungu.
Zaidi ya hapo, Koran hiyo hiyo (Quran 3:39) inasema kuwa Isa Bin Maryam ni Neno
litokalo kwa Mwenyezi Mungu na ni Bwana. Koran imejibu kuwa, sifa ya Bwana
ambayo ni ya Mungu pekee ni ya Yesu. Sasa tusome na Biblia kwa ushaidi zaidi
kuhusu Yesu ni Bwana.
Ufunuo 17:14
Hawa
watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni
Bwana wa MaBwana na Mfalme wa Wafalme.
Katika
Ufunuo tunasoma kuwa Mwana Kondoo ambaye ni Yesu Kristo anaitwa Bwana wa
Mabwana. Hivyobasi, hii adhama ya “Bwana” ambayo ni ya Mungu pekee tunasoma
katika Quran iliyoteremshwa an Allah kuwa Yesu ni Bwana na ameinyakua,
vilevile, katika Biblia Takatifu tumesoma kuwa Yesu anaitwa Bwana, ambayo ni
Sifa ya Mungu Pekee kutokana na Quran.
Leo
nimejibu hoja ya Waislam kuwa, Je, Yesu ni Mungu? Koran pamoja na Allah wanasema
kuwa Yesu ni Mungu kwa kuwa Yesu anazo adhama zote na/au sifa zote za Mungu.
Katika
huduma yake,
Max
Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Friday, November 1, 2013
ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE
JE, NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3
QURAN 92 1-3
1.
Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na
kike..
Hivi
mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo.
Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah
hakuumba.
Je,
ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake?
Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….
Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii,
wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa
mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.
Sasa
tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila
kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo,
Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza
mwenyewe nani ni Mungu?
Je,
Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …
Waebrania
6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna
aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
Jehova
anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema
kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.
Hivyo
basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu
wa Biblia na Wakristo.
Mungu
awabairiki sana
Max
Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
Wednesday, October 30, 2013
ALLAH’S LOVE COMPARED TO GOD’S LOVE
Islam’s god demands power over others: Islam means "submission", i.e. submitting to its god and Muhammad’s rule. But the tender love of God, apart from this obedience, is not known in Islam.
Below are a number of verses I’ve found on Allah’s love. I list a few more at the end of this article.
2:222
They ask thee concerning women's courses (menses). Say: They are a hurt and a pollution; so keep away from women in their courses and do not approach them until they are clean. But when they have purified themselves ye may approach them in any manner time or place ordained for you by Allah. For Allah loves those who turn to Him constantly and He loves those who keep themselves pure and clean.
3:31
Say: "If ye do love Allah follow me: Allah will love you and forgive you your sins for Allah is Oft-Forgiving Most Merciful."
3:134
Those who spend (freely) whether in prosperity or in adversity; who restrain anger and pardon (all) men; for Allah loves those who do good.
3:146
How many of the Prophets fought (in Allah's way) and with them (fought) large bands of godly men? But they never lost heart if they met with disaster in Allah's way nor did they weaken (in will) nor give in. And Allah loves those who are firm and steadfast.
28:77
"But seek with the (wealth) which Allah has bestowed on thee the Home of the Hereafter nor forget thy portion in this world: but do thou good as Allah has been good to thee and seek not (occasions for) mischief in the land: for Allah loves not those who do mischief."
61:4
Truly Allah loves those who fight in His Cause in battle array as if they were a solid cemented structure.
You see in all of these verses that Allah’s love is predicated upon the Muslim’s performance. Muhammad’s depiction of and theology on Allah’s love contradict the depiction of God’s love in the Bible. Compare and contrast the following Biblical verses to the Quranic verses above.
(NOTE: Please take the time to read the passages. In doing so, you will taste a strong difference in the flavors of love between Islam’s Allah, and Christianity’s God. By comparing the Scriptures of each faith, you will discern the differences in their Gods’ natures. You will be able to see clearly and unequivocally, beyond any doubt, that Islam’s god is not Christianity’s God. Islam’s god is not capable of true love.)
Hosea 2:13-16
I will punish her for the days she burned incense to the Baals; she decked herself with rings and jewelry, and went after her lovers, but me she forgot," declares the LORD. Therefore I am now going to allure her; I will lead her into the desert and speak tenderly to her. There I will give her back her vineyards, and will make the Valley of Achor (trouble) a door of hope. There she will sing as in the days of her youth, as in the day she came up out of Egypt. "In that day," declares the LORD, "you will call me 'my husband'; you will no longer call me 'my master.'
Hosea 3:1
The LORD said to me, "Go, show your love to your wife again, though she is loved by another and is an adulteress. Love her as the LORD loves the Israelites, though they turn to other gods and love the sacred raisin cakes."
Isaiah 54:5-8
For your Maker is your husband, the LORD Almighty is his name, the Holy One of Israel is your Redeemer; he is called the God of all the earth. The LORD will call you back as if you were a wife deserted and distressed in spirit a wife who married young, only to be rejected," says your God. "For a brief moment I abandoned you, but with deep compassion I will bring you back. In a surge of anger I hid my face from you for a moment, but with everlasting kindness I will have compassion on you," says the LORD your Redeemer.
Jeremiah 31:3
The LORD appeared to us in the past, saying: "I have loved you with an everlasting love; I have drawn you with loving-kindness.
Jeremiah 31:9
They will come with weeping; they will pray as I bring them back. I will lead them beside streams of water on a level path where they will not stumble, because I am Israel's father, and Ephraim is my firstborn son.
Jeremiah 31:31-34
"The time is coming," declares the LORD, "when I will make a new covenant with the house of Israel and with the house of Judah. It will not be like the covenant I made with their forefathers when I took them by the hand to lead them out of Egypt, because they broke my covenant, though I was a husband to [a] them, " declares the LORD. "This is the covenant I will make with the house of Israel after that time," declares the LORD. "I will put my law in their minds and write it on their hearts. I will be their God, and they will be my people. No longer will a man teach his neighbor, or a man his brother, saying, 'Know the LORD,' because they will all know me, from the least of them to the greatest," declares the LORD. "For I will forgive their wickedness and will remember their sins no more."
John 3:16-21
"For God so loved the world that he gave his one and only Son, that whoever believes in him shall not perish but have eternal life. For God did not send his Son into the world to condemn the world, but to save the world through him. Whoever believes in him is not condemned, but whoever does not believe stands condemned already because he has not believed in the name of God's one and only Son…."
Romans 5:8
But God demonstrates his own love for us in this: While we were still sinners, Christ died for us.
1 John 4:9-12
This is how God showed his love among us: He sent his one and only Son into the world that we might live through him. This is love: not that we loved God, but that he loved us and sent his Son as an atoning sacrifice for our sins. Dear friends, since God so loved us, we also ought to love one another. No one has ever seen God; but if we love one another, God lives in us and his love is made complete in us.
Revelations 21:6, 7
He said to me: "It is done. I am the Alpha and the Omega, the Beginning and the End. To him who is thirsty I will give to drink without cost from the spring of the water of life. He who overcomes will inherit all this, and I will be his God and he will be my son.
I expect that you, the reader, have seen the difference between the quality of love between God and Allah. You can’t miss it. Muhammad’s god was incapable of great love. Its love was shallow. No wonder Muhammad believed that he would be tried in the grave and that he feared Allah’s wrath; the spiritual power that he interacted with was incapable of giving him the true love of God. The true love of God gives peace to the believer. No wonder the early Muslims quickly turned to murdering each other; the spiritual power that rules Islam could not motivate them towards a life of love. The true love of God motivates people to lend a helping hand to each other, not destroy each other. No wonder so many people left Islam after Muhammad died; they tasted Islam and spat it out. No wonder those that left Islam said about the other Muslims, "Their religion does not stop them from shedding blood, terrifying the roads, and seizing properties." [10] (Yes, many early Muslims were terrorists just like the Muslim terrorists of today). Because Islam lacks the true love of God, its followers can bomb children and believe they are doing Allah’s will.
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...