Friday, July 29, 2016

Prayers for Success and Breakthroughs in Business


Confessions: Psalms 56:9; 32:8; 23:1,6 Exodus 23:20
Praise Worship
1. Let all my enemies turn back because God is for me.
2. As you are turning back, let the doors of business opportunities open for me; morning, afternoon and evening.
3. Let profitable business meet me on the way in Jesus’ name.
4. No devourer shall destroy the fruit of my labor in Jesus’ name.
5. You devourers and wasters of fortune, I command you to depart from my life in the name of Jesus.
6. I use the Blood of Jesus Christ to wash my hands and my entire body and make them clean today.
7. I retrieve my blessings from every evil attack in Jesus’ name.
8. I break every curse of failure in the name of Jesus.
9. Let the Lord reveal to me every secret behind the problem.
10. I command the devil to take off his legs from any money that belongs to me in the name of Jesus.
11. Let the ministering spirits (God’s Angels) go forth and bring in blessings unto me in the name of Jesus.
12. Let the rod of iron fall on any strange money passed to me in Jesus’ name.
Release of Prosperity on Business & Business Transactions
Confession: Deut. 3:19; 31:66, Psalm 46:1,5; 68:19; 35:27b; 24:1 Jer. 32:27, Phil. 4:19, 3John 2, 1Sam. 30:8, Job 22:28, Mat. 7:7

Praise Worship
Confess this modified version of Psalm 23:
The Lord is my banker ; I shall not owe. He maketh me to lie down in green pastures; He restoreth my loss: He leadeth me beside still waters. Yea though I walk in the valley of the shadow of debt, I will fear no evil, for thou art with me; thy silver and thy gold, they rescue me. Thou preparest a way for me in the presence of business competitors; Thou anointed my head with oil, my cup runneth over. Surely goodness and mercy shall follow me all the days of my life and I shall do business in the name of the Lord. Amen.

1. Let there be a breakthrough for me in my transaction in the name of Jesus.
2. Lord, let me have the spirit of favor in this business transaction. 3. I ask for the release of prosperity on my business in Jesus’ name.
3. Let all demonic hindrances to my finances be totally paralyzed.
4. I break every circle of failure in Jesus’ name.
5. Let my business be shielded away from all evil observers in the name of Jesus.
6. I claim all my blessings in the name of Jesus.
7. Let all business problems receive divine solution in Jesus’ name.
8. Let men go out of their ways to show favour unto me in the name of Jesus.
9. Lord, let not the lot of the wicked fall upon my business.
Release of Funds into Business
Praise Worship
Confession: Deut. 8:18, III John 2, Job 36:11, Col. 2:14,15, Psalm 84:11; 24, Phil. 4:13
1. Let the spirit of favour be opened upon me everywhere I go concerning my business.
2. Father, I ask You in the name of Jesus to send ministering spirits to bring in prosperity and funds into my business.
3. Let men bless me anywhere I go.
4. I release my business from the clutches of financial hunger in the name of Jesus.
5. I loose angels in the mighty name of Jesus to go and create favour for my company.
6. I bind the spirit in all of the staff members who will try to use evil weapons against me, including lying, gossip, slander and opinionated spirits.
7. Let all financial hindrances be removed in Jesus’ name.
8. I remove my name and those of my customers from the book of financial bankruptcy.
9. Holy Spirit, be the Senior Partner in my business.
10. Every good thing presently eluding my business should flow into it in the mighty name of Jesus.
11. I reject every spirit of financial embarrassment in the mighty name of Jesus.
12. Father, block every space causing unprofitable leakage to my company in the mighty name of Jesus.
13. Let my company become too hot to handle for dupes and demonic customers.
14. Let spiritual magnetic power that attracts wealth and keeps wealth be deposited in my company in the name of Jesus.
Destroying Anti-Prosperity Forces

Dealing With The Strongman Prayer



Isa 49:24 Shall the prey be taken from the mighty, or the lawful captive delivered? 25 But thus saith the Lord, Even the captives of the mighty shall be taken away, and the prey of the terrible shall be delivered: for I will contend with him that contendeth with thee, and I will save thy children. 26 And I will feed them that oppress thee with their own flesh; and they shall be drunken with their own blood, as with sweet wine: and all flesh shall know that I the Lord am thy Savior and thy Redeemer, the mighty One of Jacob.
Psm 124: 7 Our soul is escaped as a bird out of the snare of the fowlers: the snare is broken, and we are escaped.
Psm 56:9 When I cry unto thee, then shall mine enemies turn back: this I know; for God is for me.
Psm 91: 13 Thou shalt tread upon the lion and adder: the young lion and the dragon shalt thou trample under feet.
Psm 18: 37 I have pursued mine enemies, and overtaken them: neither did I turn again till they were consumed. 38 I have wounded them that they were not able to rise: they are fallen under my feet. 39 For thou hast girded me with strength unto the battle: thou hast subdued under me those that rose up against me. 40 Thou hast also given me the necks of mine enemies; that I might destroy them that hate me.
Psm 35:4 Let them be confounded and put to shame that seek after my soul: let them be turned back and brought to confusion that devise my hurt. 5 Let them be as chaff before the wind: and let the angel of the Lord chase them. 6 Let their way be dark and slippery: and let the angel of the Lord persecute them.
Psm 11: 6 Upon the wicked he shall rain snares, fire and brimstone, and an horrible tempest: this shall be the portion of their cup. 7 For the righteous Lord loveth righteousness; his countenance doth behold the upright.
Psm 129: 4 The Lord is righteous: he hath cut asunder the cords of the wicked. 5 Let them all be confounded and turned back that hate Zion.
Matt 28: 8 And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.
Lk 10: 18 And he said unto them, I beheld Satan as lightning fall from heaven. 19 Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you.
John 12: 31 Now is the judgment of this world: now shall the prince of this world be cast out.
Rm 16: 20 And the God of peace shall bruise Satan under your feet shortly. The grace of our Lord Jesus Christ be with you.
Col 2: 14 blotting out the handwriting of ordinances that was against us, which was contrary to us, and took it out of the way, nailing it to his cross; 15 and having spoiled principalities and powers, he made a show of them openly, triumphing over them in it.
1John 4: 4 Ye are of God, little children, and have overcome them: because greater is he that is in you, than he that is in the world.
Psm18:17 He delivered me from my strong enemy, and from them which hated me: for they were too strong for me.
1. I consume the shrine of the strongman in my family with the fire of God in the name of Jesus.
2. Let stones of fire pursue and dominate all the strongmen in my life, in the name of Jesus.
3. I smash the head of the strongman on the wall of fire, in Jesus’ name.

4. I cause open disgrace to all strongmen in my family, in Jesus’ name.
5. The strongman from my father’s side; the strongman from my mother’s side, begin to destroy yourselves in the name of Jesus.
6. I bind and I render to nothing all the strongmen that are currently troubling my life, in the name of Jesus.
7. You strongman of body destruction, loose your hold over my body, fall down and die, in the name of Jesus.
8. Every demon, strongman and associated spirits of financial collapse, receive the hailstones of fire and be roasted beyond remedy, in Jesus’ name.
9. Let the finger of God unseat my household strongman, in the name of Jesus.
10. I bind you the strongman in my life and I clear my goods from your possession, in the name of Jesus.
11. You strongman of mind destruction, be bound, in Jesus’ name.
12. You strongman of financial destruction, be bound, in Jesus’ name.
13. Every strongman of bad luck, attached to my life, fall down and die, in Jesus’ name.
14. I bind every strongman, militating against my home, in the name of Jesus.
15. I bind and paralyze every strongman of death and hell, in the name of Jesus.
16. You evil strongman, attached to my destiny, be bound, in Jesus’ name.
17. Every strongman of my father’s house, die, in the name of Jesus.
18. Every strongman, assigned by the evil powers of my father’s house against my life, die, in the name of Jesus.

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA YEYE NI MCHAFU NA HAJATAKASIKA

Ndugu msomaji.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA
Bila ya kupoteza muda tuanze kwa kusoma SURAT AL-AH'ZAB
(Imeteremka Madina). Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani , alie fanya tarjuma hii ni Mzalendo wa Zanzibar, aliezaliwa 13 January 1919, akapata mafunzo ya dini kwa baba yake Sheikh Muhsin bin Ali na kwa wanazuoni wengineo wa Afrika ya Mashariki. Pia Sheikh Ali amesoma ilimu ya zaraa katika Chuo Kikuu cha Makerere (Makerere University) huko Uganda.
MAANA YA KUJITAKASA
a. Ni kujiweka wakfu kwa ajili ya Mungu
b. Ni kuamua kwa dhati kabisa kuchukua hatua ya kuacha kutenda dhambi, kuishi katika dhambi na pia kuchukua hatua ya kuondoa kila aina ya dhambi uliyo nayo.
ALLAH ANAOMBA MUMTAKASE ASUBUHI NA JIONI. JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI MPAKA AOMBE KUTAKAWASA?
((Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa wingi wa kumdhukuru)) ((Na mtakaseni asubuhi na jioni)) ((Yeye na Malaika Wake ndio Wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini)) ((Maamkiano yao siku ya kukutana Naye yatakuwa: Salama! Na Amewaandalia malipo ya ukarimu)) [Al-Ahzaab: 42-44]
Al-Ahzaab 33: 41-42,
41. Enyi mlio amini! Mdhukuruni Mwenyezi Mungu kwa wingi wa kumdhukuru.
42. Na mtakaseni asubuhi na jioni. http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Ndugu Waislam, mnaweza tuambia ni uchafu gani mnao taka kuutakasa?
SWALI: ALLAH ALICHAFUKA LINI?

KUTOKANA NA QURAN, ALLAH NI SHETAN ANAYEJIFANYA MUNGU WA WAISLAM

Ndugu msomaji,
◆ Kusema kweli hiki ni kipimo kizuri cha kuonyesha iwapo jambo limetoka kwa Mungu wa kweli au la; maana Mungu wa kweli, kwa kuwa ni mkamilifu kwa asilimia mia moja, hawezi kusema hivi hapa, kisha aseme vingine kule – maana yeye hasahau kama mwanadamu. Hawezi kusema, “Nilikuwa na mambo mengi au mawazo mengi ndio maana nikasahau.”
ALLAH KAUMBA PEPO YENYE MITO YA POMBE NA ULEVI
◆Hoja yangu ni kwamba Allah si Mungu wa kweli bali ni Shetani kwamujibu wa Quran Surat Muhamad aya ya 15. inasema hivi “mfano wa pepo aliyowaandalia waja wake Mwenyezi Mungu iko hivi, ndani yake kuna mito ya maziwa na mito ya ulevi wenye ladha kwa wanywaji.
◆Humo watapata kuburudishwa kwa matunda ya kila namna na samahani kutoka kwa mola wao.”
MWENYEZI MUNGU ANASEMA, ULEVI NI KAZI YA SHETANI
Lakini ukisoma Qurani hiyo hiyo sura ya 5 aya ya 90, inasema hivi: “Enyi mlioamini bila shaka ulevi na kamari na kuombwa yeyote asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni uchafu na ni kazi ya Shetani.
MADA -ARGUMENT
◆”Sasa rafiki yangu kwa mujbu wa aya hizi aya ya kwanza imesema:
Allah katika pepo yake kuna mito ya ulevi, LAKINI Quran hiyo hiyo imesema ulevi ni kazi ya shetani, kama aya zenyewe ndizo hizi hoja yangu inakuja hapa:
HOJA:
Yeye Allah kama siye Shetani amepata wapi ulevi hali yakuwa ulevi ni wa shetani?
Lakini Biblia imesemaje kuhusu ulevi: Walevi na Wachawi na Wazinzi hawataurithi Ufalme wa Mbinguni. Mungu anasema katika Isaya Ole wao waamkao asubuhi na kufuata ulevi.
◆Hii SIFA YA ALLAH KUTENGENEZA MITO YA POMBE ni moja ya sifa ya Shetani wala si ya Mungu.
◆Lakini kwa ule upande ambao mimi naufahamu zaidi, yaani Ukristo, Bwana Yesu anasema:
◆Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila
kwa njia ya mimi. (Yohana 14:6). Yaani, hakuna namna ya
kwenda mbinguni isipokuwa kwa kumwamini Yesu Kristo
kama Bwana na Mwokozi. Hiyo ndiyo namna pekee ya kufika
mbinguni.
Tafakari!
Chukua Hatua
Na Shkhê Êdén Hãzãrd
For Max Shimba Ministries Org.

AISHA ANASEMA MUHAMMAD NABII WA ALLAH ALIKUWA AMEROGWA

Muhammad Aliwahi Kurogwa (Kwa Apizo, ‘Under a Spell’)
" ‘Aisha anasimulia: Nabii alifanyiwa uchawi hata akaanza kudhani kuwa anafanya kitu fulani wakati hakuwa anafanya. Siku moja alimwomba (Allah) kwa muda mrefu sana kisha akasema, ‘Naona kuwa Allah amenipa mwongozo wa namna ya kujitibu mwenyewe.’..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.490 uk.317.
Tazama pia juzuu ya 4 kitabu cha 53 (Wajibu wa Khumus) sura ya 34 na.400 uk.267, juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.56-57, juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266-267. Juzuu ya 7 na.658-660 uk.441-443.
Pia tazama Muislam Sahihi juzuu ya 2 kitabu cha 4 (Kitabu cha Sala) sura ya 309 na.1888 uk.411
Muhammad alilogwa. Alisimulia ‘Aisha: Nabii aliendelea kwa kipindi fulani akidhania kuwa anafanya tendo la ndoa na mke wake, lakini haikuwa hivyo. Siku moja alisema kwangu, "O ‘Aisha! Mungu ameniagiza kuhusiana na suala nililomuuliza. Watu wawili walikuja, mmoja alikaa karibu na miguu yangu na mwingine karibu na kichwa changu. Yule aliyekuwa karibu na miguu yangu alimuuliza yule wa karibu na kichwa changu (akininyooshea kidole), ‘Mtu huyu ana shida gani? Yule mwingine akamjibu, ‘Ameathirika na uchawi. Yule wa kwanza akauliza, ‘Ni nani aliyemfanyia uchawi?’ Yule mwingine akajibu, ‘Lubaid bin A’sam." Yule wa kwanza akauliza, ‘(Alitumia) nyenzo gani?.’ Yule mwingine alijibu ‘Ngozi ya chavua ya mtende wa kiume na chanio lililowekwa nywele, na kuwekwa chini ya jiwe kwenye bwawa la Dharwan.’" Kisha Nabii alikwenda kwenye bwawa lile na kusema, "Hili ndilo bwawa lilelile nililoonyeshwa kwenye ndoto. Ncha za mitende yake inaonekana kama vichwa vya mashetani, na maji yake yanaonekana kama mchanganyiko wa hina."… ‘Aisha aliongeza, "(Mchawi) Lubaid bin A’sam alikuwa anatokea Bani Zuraiq, mshirika wa Wayahudi." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.57. Tazama pia Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266
1. Kwanini tumfuate Muhammad aliye rogwa?
2. Hivi kuna Mtume au Nabii yeyote yule kwenye Biblia na yeye alirogwa?
3. Kwanini Allah alishindwa kumlinda Mtume wake kutoka nguvu za kurogwa?
4. Hivi wapi tunasoma kuwa Muhammad alifanyiwa maombi na urogi ukamtoka?
Hakuna ushahid wowote ule ambao unasema kuwa Muhammad aliombewa na kutokwa huo uchawi. Huu ni msiba kwa Nabii wa Allah kufa huku akiwa amefanyiwa urogi.
Ndugu msomaji,
Mtu yeyote yule akifa kwa kurogwa na huku akiwa amejaa Mashetani, basi huyo mtu yeye ataishia kwenye Jehannam ya moto. Kumbe basi Muhammad yupo Jehannam.
Karibuni kwa Yesu aliye hai.
Max Shimba Ministries Org.

ETI YESU NI MWISLAM KWASABABU ALISUJUDU?



Ndugu msomaji,
Kwanza tujifunze maana ya neno au asili ya neno kusujudu:
NINI MAANA YA KUSUJUDU?
Neno la Kiebrania "shachah" lina maana ya kuabudu, KUSUJUDIA, kuinama kwa kuonesha unyenyekevu, kuonesha heshima kubwa au kuanguka kifudifudi. Neno la Agano la Kale proskuneo halikadhalika lina maana ya kubusu mkono, au kupiga magoti na kugusa ardhi kwa paji la uso kwa unyenyekevu mkuu. Maneno mengine mawili ya kuabudu yana maana ya kutumika, kufanya ibada takatifu na kumtolea Mungu sadaka.
Hivyo kusujudu ipo ndani ya hili neno la "SHACHAH" ikimaanisha kuabudu.
ILI KUELEWA KAMA YESU ALIKUWA MUISLAM, ITABIDI TUANZIE NYUMA KIDOGO NA TUMSOME ISHMAEL AMBAYE WAISLAM WANASEMA ALIKUWA MUISLAM NA CHAGUO LA MUNGU.
Je Ishmael ni Agano la Mungu?
Kila mara nimekuwa nikisisitiza jambo hili ambalo namwomba Roho Mtakatifu aweze kuwafunulia ndugu zangu Waislamu ili muweze kutoka kwenye kifungo kilichowafunga.
◆Wapendwa wangu, mnajua kabisa kwamba Mungu ni roho, mbingu ni mahali pa kiroho, na hivyo hata ujumbe wa Mungu ni wa kiroho. Lakini mara zote Waislam wanaishia kuona mambo kimwili na sio kiroho.
Hapo ndipo Allah alipowapiga chenga kubwa sana inayowagharimu uzima wa milele.
◆Waislam hutumia aya ya 136 katika Surat Al Baqara kwa madai kuwa Yesu ni mwislam! Hakikaa huu ni msiba mkubwaa kwa ndugu zetu Waislam!
Surat Al Baqara 136: “Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yaletuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub na wajukuu zake, na waliyopewa Muusa na Yesu, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.” Qur-aan 2:136
Kiukweli sioni mantiki kutumia aya hii ili kuthibitisha Yesu ni mwislamu! Hii inanisikitishaa na kunihuzunishaaa...
Tukiwasoma Wapagani wa Makka katika Sahih al-Bukhari, Vol 5, #661 tunajifuza kuwa hawa Wapagani walikuwa WANASUJUDIA JIWE JEUSI. Kwasababu Waislam wameegemea KUSUJU NDIO UISLAM. BASI KUMBE HATA WAPAGANI WA MAKKA NI WAISLAM. KUMBE BASI, UISLAM NI UPAGANI.
HOJA KUU ZA WAISLAM NI HIZI HAPA:
◆Harakati za maombi mbalimbali katika Biblia kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:” (Biblia, Mathayo 26:39)
Ujinga sio lazima uokote makopo bali maneno na matendo unayotenda yatadhihirisha kuwa wewe ni mjingaa... Kwa Muislam, eti, kusali huku umesujudu ndio teyari umesha kuwa Muislam. Huu ni msiba kwa ndugu zetu. Inamaanisha kuwa hata Mbwa au Nguruwe akiweza kusujudu basi teyari huyo Nguruwe amekuwa Muislam.
◆ Lakini nimeona nifafanue vema aya hii pamoja na hoja zao ambazo hazina kichwa wala miguu kama makala kamili kwa ajili ya faida ya wengi, maana hoja hii inajirudiarudia tena na tena kutoka kwa ndugu zangu Waislamu walio wengi.
◆Kwanzaa napenda kuwajulisha kwambaa Sisi hatumuamini huyu mungu wenu mnayemwamini nyie ambaye ni mungu wa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub.
◆Biblia haijasema na au tupa aya inayo litataja na au sema Mungu wa Ismail ambaye aliabudu masanamu na mizimuuu na wala Biblia aitajee Mungu wa ishamael, huo ni uongo dhaihiri mnaojidanganya
◆Mungu kwenye Biblia amejitambulishaa hivi:
Naye akaendelea kusema “Mimi ni Mungu wa baba yako,
Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo. ”Kisha Musa akauficha uso wake,kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli(kutoka 3;6)
Umeona kwenye hiyo aya hapo juu? Hakuna jina la Ishmael/
Ismaili.
◆Matendo 3:13 Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa babu zetu amemtukuza mtumishi wake Yesu. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru.
Unaona tena kwenye hiyo aya hapo juu? Hakuna jina la Ismaili. Ikimaanisha Mungu aliye mtukuza Yesu si wa Ismaili.
◆ Matendo 7:32 ‘Mimi ni Mungu wa babu zako, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo!’ Musa akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu kutazama zaidi.
SWALI KWA NDUGU ZETU WAISLAMU:
◆Kama Mwenyenzi Mungu amewateremshia kwa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub na wajukuu zake ambaye mmesilimu kwake Je huyo ni munga gani?
◆ Kila anayekataa kuingia kwenye uzao wa Isaka, hana nafasi katika mbingu za Mungu aliyeumba mbingu na nchi.
Hana! Hana! Hana!
◆ Lakini Mungu akasema:
Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake. (Mwanzo 17:18-20).
Kwa hiyo, agano la milele kati ya Mungu na Ibrahimu halikumhusisha Ishmaeli hata kidogo japokuwa alikuwa naye
ni mwana wa Ibrahimu. Kwa maana hiyo, halimhusu Muhammad.
Agano linatoka kwa Mungu wa– Ibrahimu – Isaka – Yakobo – Yesu. NA SIO Ishmael wala Muhammad!
Maana yake ni nini?
◆Maana yake ni kuwa mwanadamu yeyote akitaka kuingia kwenye agano la kulindwa, kubarikiwa, kuponywa na kupata uzima wa
milele, ni lazima apitie upande wa Isaka na kamwe si upande
wa Ishmaeli.
◆waislam msipogeukaa mtaingiaa motoni.
Tukijaa hoja ya pili kwa madai wanaodai Yesu ni mwislam, hebu tuone madai yao.
◆Kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:” (Biblia, Mathayo 26:39) basi hapo wansema kuwa Yesu ni mwislam, kisa, eti kasujudu.
◆Kwa hoja napata hunzuni na majonzi makubwa sana kwa ndugu zangu waislam maana haiwezekani kuleta hojaa hii dhaifu kiasi hiki? Kwa mantiki hii basi kila kiumbe kinacho sujudu ni muislam!
Je, Tunafanyaje Ibada?

Wednesday, July 27, 2016

JE, UNAFAHAMU KWANINI MAANA YA ALLAH KWA KIEBRANIA NI LAANA “CURSE”?


Ndugu msomaji,
Je, hili limetokea kwa bahati mbaya?
Isaya 24: 6 Ndiyo sababu laana [“alah”] imeila dunia hii, na hao wanaoikaa wameonekana kuwa na hatia, ndiyo sababu watu wanaoikaa dunia wameteketea, watu waliosalia wakawa wachache tu.
Huu uvumbuzi ulieleweka baada ya kuangalia neno la Kiebrania la “LAANA –CURSE”- linatamkwa kwa Keibrania “alah” sawa sawa na Allah wa kwenye Quran. Nilifanya uchunguzi zaidi kuhusu na kulinganisha neno la Kiebrania “ALAH” na la Kiarabu Allah; yote yapo sawa, isipokuwa tofauti ndogo ya ongezeko la “L” kama ifuatavyo:
אלה , alah (“curse = laana” in Hebrew) na الله , Allah (“mungu katika Kiislamu”), wakati:
א = aleph (Heb) ni sawa sawa na ا = alif (Arab), au “A” katika Kiingereza
ל = lamed (Heb) ni sawa sawa na ل = lam (Kiarabu), au “L” katika Kiingereza; “Allah” ina “L” mbili katika Kiarabu na kiislamu
ה = heh (Heb) ni sawa na ه = ha (Kiarabu), au “H” katika Kiingereza
Inashangaza sana neno la Kiebrania la “laana” na neno la Kiarabu la “Allah” sio tu yanatamkwa vilevile bali yana maana ileile.
Kuna wazo linaitwa “the law of first occurrence” (labda lipo zaidi kama sharia Fulani) ambapo unapo weza kuona neno Fulani huwa linaweza kukusaidia katika na au kivipi neno la Mungu lina maanisha.
Katika kuchunguza “curse –laana” (אלה , alah), neno hilo limeonekana katika Hesabu 5 ya ‘the adultery test’, Njia ya Mosaiki ya kuangalia ukweli kuhusu mume au mke kama una kosa au la.
Kuna mwanzo wa neno “curse-laana” katika Kiebrania (arar); lilitumika kwa mara ya kwanza katika bustani ya Edeni Mwanzo Mlango wa 3 aya ya 14 na 15:
Mwanzo 3: 4 Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umeLAANIWA wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
KWA MARA YA KWANZA “laana” ilitumiwa kwa Nyoka ambaye ni Shetani; labda tuangalie kwa makini, kama ALLAH inamaanisha LAANA katika Kiebrania, naamini sio kosa tukiendelea kumhusisha Allah wa Waislam katika hili neno LAANA.
Strong’s Concordance namba 422 nayo inakiri kuwa neno la Kiebrania lenye maana ya laana ni ALAH. http://biblehub.com/hebrew/422.htm
Ndugu msomaji, je, unafikiri hili ni tukio la bahati mbaya tu kwa jina la Allah kuwa na maana ya LAANA katika Kiebrania lugha ambayo Adam na Hawa waliitumia?
Kwa mara nyingie tena, tunajifunza kuwa Allah maana yake ni Laana katika Kiebrania.
Je, wewe unaye soma hii mada, unafikiriaje kuhusu maana ya hili neno la Kiebrania “ALAH” LAANA kwa Allah wa Waislamu?
Hivi, Mungu gani angependa kuitwa/jiita laana kama ambavyo jina la Allah wa Waislam linavyo maanisha katika Kiebrania?
Uchaguzi ni wako, wa kumfuata Allah mwenye maana ya LAANA au Mungu Yehova wa Biblia ambaye ni upendo. Kumbuka kuwa Yesu anakupenda sana.
HATUUTAKI UISLAMU KWA KWA KUWA MUNGU ANAE ABUDIWA NA WAISLAMU ANAISHIA JAHANAMU
Hadithi ya Anas Ibni Malik (r.a) kuwa Mtume (s.a.w) amesema jahanamu itaendelea kusema, “Je, kuna nyongeza”? Mpaka Allah atakapoweka humo unyayo wake na hapo utasema, Qat Qat (inatosha inatosha) naapa kwa nguvu zako na zile sehemu zake nyingine zitakaribiana na kuwa pamoja” (Bukhari Hadithi Na. 654, Juzuu ya
SHETANI NI MUSLAMU
Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)
Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,
Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.
Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu, sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.
Ni mategemeo yangu kuwa, somo hili litakufungua macho na kuachana na Allah ambaye ni laana kwa Kiebrania. Zaidi ya hapo, kuachana na Uislam ambao hata Shetani amesilimishwa na Muhammad na kuwa wa hiyo dini. Sahih hadith kama ilivyo simuliwa na Bukhari Hadithi Na. 654 inakiri kuwa Allah ataingia Jehannam. Je, wewe unataka makao yako yawe na Allah anaye ingia Jehannam au Yesu ambaye ndie atakaye hukumu huyo Allah na wafuasi wake?
Nakusihi umchague Yesu anaye kupenda na anakutayarishia makao mema. Soma Yohana 14: 2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali. 3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
March 13, 2016

TUKIWA NA YESU TUNAYAWEZA YOTE

Bwana wetu Yesu Kristo anatuambia hivii,

Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa baba ila kwa njia ya mimi.

Pia Yesu anaendelea kusema hivii,

Amin, amin nawaambieni, Yeye aniaminie mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya, naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa baba. Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili baba atukuzwe ndani ya mwana.

Tutafakari mistari hii je Bwana Yesu alikuwa na maana gani alivyokuwa anasema maneno haya? Je unaamini kuwa bila Yesu hautaweza kuuona ufalme wa Mungu? Basi sasa kama bado haujampokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi ndani ya maisha yako tafakari kwa makini kuhusu mstari huu. Mpokee leo naye atabadili hali ya maisha unayoishi sasa na utapata burudiko la moyo na furaha ya kweli kwani yeye ndiye njia pekee ya wewe kuweza kumwona Bwana.

Je unajua kuwa ukimwamini Yesu na kazi alizozifanya angali hapa duniani na wewe waweza kufanya kama yeye na kubwa kuliko alizozifanya Yesu?  Cha msingi ni wewe tu kumwamini na kuamini kuwa Yesu ni Bwana, na ya kuwa miujiza aliyoitenda na wewe waweza kuifanya. Kwa maana aliyeko ndani yako baada ya kumpokee na kumwamini ana nguvu na ni mkubwa kuliko hayo mapepo, magonjwa nk. Yesu aliweza kumfufua Lazaro aliyekaa kaburini siku nne basi hakika na wewe waweza kufufua. Yesu aliponya vipofu, viziwi na wewe utaweza kuwaponya watu pia anasema na mengine makubwa zaidi yake utaweza kufanya, unachotakiwa ni kumwamini tuuuu.
Anaongeza kusema pia ukiomba lolote kwa jina lake atafanya? haijalishi ni kitu gani unachoomba mradi uombe kwa jina lake Yesu hakika atakutendea, iwe ni amani, furaha, ndoa, watoto, kazi, fedha, na mengineyo mengi atakupa bila hiyana. Tumwamini yeye na tuyashike maagizo yake basi naye atatutendea na pia kwa nguvu ya uweza wake tutafanya mambo makubwa hata yale ambayo kwa akili zetu za kibinadamu yasingewezekana kutendeka na kwa sababu ameahidi na hakika atatenda.

Roho Mtakatifu atuwezesha na atufafanulie kwa hekima yake maneno haya ya Bwana wetu Yesu Kristo na pia yawe ni chachu na nguzo ya kutusogeza karibu na baba na kutuwezesha kuamini.
Barikiwa mpendwa.

USE YOUR DOUBLE PORTION OF SPEAKING POWER

1 Peter 2:9

But you are a chosen generation, a royal priesthood, a holy nation, His own special people... 

God calls us “a royal priesthood”. This means that we are kings as well as priests under the king-priesthood of Jesus Christ. This has never happened before in the history of God’s people. In the Old Testament, kings and priests were two distinct groups of people. You were either a king or priest, but not both at the same time.

Today, because we are in Christ, we are king-priests — a royal priesthood. This means that we have a double portion of speaking power because as kings, “Where the word of a king is, there is power” (Ecclesiastes 8:4), and as priests, “by their word every controversy and every assault shall be settled”. (Deuteronomy 21:5)

So if you are a Christian businessman, you will have an edge over worldly businessmen. What you say about your business deals will come to pass. And if you are falsely accused, know that by your very word, every controversy and every assault will be settled!

And as a king-priest parent, when you bless your children, your words have the power to set in motion supernatural events which will bring them into God’s prosperous abundance and super abounding grace. And there will be such a courage and resilience about them that it will empower them to win the fights of life!

When the devil comes to you and says that you will die young because your father and grandfather died young, or that you will never be successful because you are not well-educated, you must remember that the devil is neither a king nor a priest. There is no power in his words. But there is power in yours because you are a king-priest in Christ!

So instead of agreeing with him, believe and declare, “I will not die young. With long life He will satisfy me and show me His salvation!” Say, “The Lord will make my way prosperous and give me good success!” Use your double portion of speaking power and see these blessings come to pass!

MUHAMMAD ALIKUWA NABII BANDIA, HAKUWA MUISLAM, HAKUFUATA MILA, DESTURI NA SHERIA ZA KIISLAM


Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine kwa Waislam. Hebu tuanze moja kwa moja kwa ushahidi kuhusu huyu Mtume wa Allah aliyeitwa Muhammad.
Ningependa mfahamu kuwa, Mohammad s.a.w hajawahi kuwa Muislamu japo aliwaongoza Waislamu.
Kwa sababu: alikuwa na wake wengi (Quran 33:50) huku Waislamu wakitakiwa kuwa na wake 4 tu (Quran 4:3).
Alipokufa hakukamuliwa Ngama (kinyesi), huku Waislamu leo wanapokufa hukamuliwa Ngama (kinyesi).
Alipokufa aliagwa siku tatu huku Waislamu leo wanafichwa kama madawa ya kulevya wala hakuna kuagwa.
Aliamuru watu wapigane ndani ya mfungo wa ramadhani huku Qurani ikikataza vita yoyote katika mwezi mtukufu (9:5).
Alikuwa hajui kuandika wala kusoma (7:157) huku Waislamu leo wakiwa wanajua kusoma na kuandika.
Je huyu bado ni Muislamu?
Poleni sana Waislamu kwa kufuata Nabii Bandia.
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu na hawakufanya huo uchawi wa Allah aka Jibril aka Muhammad incarnate.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21. Muhammad hakuwai ongea na aliye mtuma.
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote. Muhammad hakuwai ongea na aliye mtuma.
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9. Muhammad hakuwai ongea na aliye mtuma.
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia ina thibitisha sifa za kitume au Mtume.
MAANA YA NENO/JINA "MTUME"
Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa”
SASA BASI, hakuna aya hata Moja katika Quran inayosema kuwa Muhammad aliwai ongea na Allah aliye mmpa Utume. Hivyobasi, huu utume wa Muhammad alipewa na nani? Maana Allah hakuwai mpa utume.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Allah, kwanini hakufuata mila za Kiislamu?
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW