Wednesday, August 10, 2016

ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA TANO)


KUMBE ALLAH ANA MIKONO NA MACHO KAMA VIUMBE
Ndugu msomaji,
Tunaendelea na mada kuhusu Allah ambaye ni kiumbe kama sisi. Leo ninawaletea ushahidi kuwa, Allah ana MIKONO kama binadamu. Haya ungana nami na tuanze kusoma ushahid kutoka vitabu vya Kiislam.
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”
KUMBE ALLAH ALIANDIKA TAURATI KWA MIKONO YAKE MWENYEWE.
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:

JE! NI KWELI KWAMBA TORATI YA MUSA IMEHARIBIWA?


👆 Kwa yule anaependa KUJIFUNZA basi atatumia muda mzuri kufuatilia SOMO hili, japo siyo fupi wala siyo refu!
Waislamu wamekuwa wakiamini kwamba, Torati ya Musa, imeharibiwa, imefanywa kuwa ni UONGO, wakiamini kabisa kuwa kwa sasa haipo, iliyopo siyo yenyewe japo ukijaribu kuwaomba wakuonyeshe Orijino yake, hawathubutu kukuonyesha, SWALI LA KUJIULIZA! "utakijuaje kitu hiki ni feki ikiwa Orijino yake huijui"? andiko ambalo linawafanya WAJAWE na UPOFU juu ya torati, ni hili hapa. 👇👇
Yeremia 8:7 Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.
8 Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya BWANA tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
👆 hiyo aya ya 8 ndiyo muhimili wao mkubwa kusema kwamba TORATI imekuwa uongo, imeharibiwa, na kwa sababu watu wengi ni WAVIVU wa kusoma vema maandiko, basi hata Mkristo anakuwa radhi kumwacha Yesu, kwa kudhani kuwa, ni kweli Torati haipo, MAANDIKO yanasema! imeharibiwa, imefanywa kuwa UONGO.
2 Petro 3:16 vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.
👆 Maandiko yalishasema, kwamba, kuna watu ambao kazi kubwa! ni kuyapotosha maandiko kwa sababu ni VIGUMU kuyelewa!
nikija katika habari hiyo ya YEREMIA 8:8 mungu aliposema Kalamu! hakuwa na maana ya Penseli, au Bic, kwamba, imetumika kuifanya Torati kuwa, UONGO! Bali alikusudua Mwenendo wa watu ambao wamepewa JUKUMU la kuisimamia TORATI, na kuwafunza watu, wanaenenda ndivyo SIVYO, kile ambacho wanawafundisha watu sicho ambacho wao wenyewe wanakiishi, ndiyo maana Mungu akaanza kwa kusema!
Yeremia 8:7 Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.
👆👆 Mungu anawashangaa watu wake kwamba wanazidiwa na ndege, ambao hutambua kile ambacho kinawahusu, lakini wao hawazijui Sheria za BWANA, yaani hawajishughulishi na kusoma wenyewe Torati ya MUNGU, kitendo cha wao kutozijua Sheria za BWANA, wanakuwa wanajidanganya kwamba wanazo akili, na Torati ya BWANA wanayo mikononi MWAO, huku Kalamu yenye UONGO inaifanya hiyo Torati ya ambayo wao wanayo ionekane kuwa ya Uongo pindi ambapo wanawaeleza watu! Unaweza KUJIULIZA, hao Waandishi wanaifanyaje kuwa UONGO! Yesu akaja kufafanua Zaidi na kutilia Mkazo kuwa, Torati ni sahihi ila Walio na JUKUMU la kuifundisha TORATI ndiyo ambao wanaifanya kuwa UONGO. YESU alisema! 👇👇
Mathayo 23:1 Kisha Yesu akawaambia makutano na wanafunzi wake, akasema,

UTATA NDANI YA KORAN JE, INJIL ILIKUWEPO WAKATI WA MUSA


Ndugu zanguni,
Leo nitazungumzia makosa na utata ndani ya Koran. Katika somo letu la leo, mtaona utata na makosa kutoka kwa Allah, alipo kuwa anamjibu Musa maombi yake. Allah anamjibu Musa na kumweleza kuwa eti Nabii asiye fahamu kusoma na kuandika yupo ndani ya Injili, huku ikifaamika kuwa Injili ilikuwa bado haikushushwa. Sasa Musa alijuaje Injil na huku ilikuwa bado haijateremshwa na Allah, kama ambavyo Quran inasema? Injili iliteremshwa miaka 1653 baada ya kuzaliwa Musa. Musa alizaliwa 1593 B.C na kufariki akiwa na miaka 120. Hivyo basi Musa alikufa 1473 B.C Soma Kumbukumbu ya Torati 34:5-7.
Aya nyingi katika Qur'ani zipo wazi kwamba Injil ilitolewa kwa Yesu ambaye alizaliwa miaka mia kadhaa [1473] baada ya Musa.
Lakini cha kushangza, eti Musa aliye ishi miaka 1473 kabla ya YESU kuzaliwa na yeye anajibiwa na Allah kuhusu Injili ya Yesu kama vile yeye Musa alizaliwa baada ya Yesu. Soma majibu ya Allah kwa Musa hapa chini.
Quran 7: 155. Na Musa akawateuwa watu sabiini katika kaumu yake kwa miadi yetu. Na ulipo fika mtetemeko mkubwa alisema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ungeli taka ungeli wahiliki wao na mimi zamani! Unatuhiliki kwa waliyo yafanya wajinga katika sisi? Haya si chochote ila ni mtihani wako, umpoteze umtakaye na umhidi umtakaye. Wewe ndiye Rafiki Mlinzi wetu. Basi tughufirie na uturehemu. Na Wewe ndiye mbora wa kughufiria. ***
156. Na utuandikie mema katika dunia hii na katika Akhera. Sisi tumerejea kwako. (Mwenyezi Mungu) akasema: Adhabu yangu nitamsibu nayo nimtakaye. Na rehema yangu imeenea kila kitu. Lakini nitawaandikia khasa wanao mchamngu, na wanao toa Zaka, na wale ambao wanaziamini Ishara zetu, ***
157. Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa. ***
Koran imejaa mashaka kila sehemu. Leo tunaona Allah anamjimu Musa kuhusu Injili ambayo ilishushwa miaka 1653 baada ya kifo cha Musa. Hivi huyu Allah alipitiwa na kuanza kuzumguzia Isa Bin Maryama kwa Musa au ni kufichuka kwa siri kwamba Quran si kitabu cha Mungu? Au labda Isa Bin Maryam alikuwa teyari anaishi sehemu fulani "pre existence"
Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini afanye makosa makubwa namna hii?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
For Max Shimba Ministries Org
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

KWANINI ALLAH HAWEZI KUWA NA MWANA BILA YA MKE?

Ndugu msomaji,
Leo nitawaeleza kwa kutumia aya kwanini Allah wa Waislam hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kufanya tendo la ndoa, nikimaanisha kuwa na mke.
Hebu kwanza tuanze kusoma aya yake kutoka Surat AL An A'am iliyo teremk Makka:
Surat Al An A'am ayat 101. Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
Allah anaye dai kuumba kila kitu na kudai kuwa ni mjuzi wa kila kitu anatutaarifu katika Surat Al An A'am kuwa hawezi kuwa na mwana bila ya kufanya tendo la ndao kwa Mkewe Allat. Huu ni msiba mkubwa sana, maana iweje Mungu mwenye uwezo wa kufanya atakalo sasa anashindwa kuwa na mwana mpaka afanye tendo la ndoa?
Kama kweli Allah aliumba kila kitu, mbona Miti inaweza kuongezeka bila ya tendo la ndoa? http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK9980/
Mbona Seli zako zinazaana au ongezeka bila ya kuwa na Seli Jike na Seli Dume. Wote tunafahamu hii "Mitosis" na stages zake Nne ambazo ni "Prophase" "Metaphase" "Anaphase" na "Telophase". Sasa Allah yeye anadai ndie aliye umba Seli za zetu tena zinazaliana bila ya kuwa an Seli Dume na Seli Jike, lakini cha kushangaza, Allah yeye hawezi kuwa na Mwana bila ya Mke, je, tunawezaje muamini huyu Allah mwenye udhaifu namna hii? https://ghr.nlm.nih.gov/primer/howgeneswork/cellsdivide
Sasa, tumsome Maryamu, je aliweza kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mume?
Maajabu ya dunia, Maryamu anauwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mume, lakini Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mke. Hakika haya ni maajabu makubwa sana, ingawa Allah atadai eti alimpa yeye huo uwezo.
Kama ni kweli, je , kwanini Allah alishindwa kujipa huo uwezo yeye mwenyewe na aweze kuwa na Mwana bila ya tendo la ndoa?

JE ALLAH WA WAISLAMU NA MUNGU WA WAKRISTO (YEHOVA) NI MMOJA? (SEHEMU YA KWANZA)


UTANGULIZI.
Imekuwa ni kawaida sasa kwa miaka zaidi ya ishirini hivi, kusikia katika mihadhara inayoendeshwa na wahadhiri wa dini ya Uislamu, ambayo imeenea sehemu mbalimbali Duniani na haswa katika nchi za Africa Mashariki na Kati,(East and Central Africa). Wahadhiri hao hufundisha jamii kupitia Qurani na Biblia kwa kusema kuwa Mungu ni Mmoja tu. Wasema Mungu kwa Kiebrania anaitwa Yehova , kwa Kiarabu Allah, kwa Kiingereza God na kwa Kiswahili ni Mungu. Kwa hivyo wasema Mungu Allah kama Qurani inavyofundisha, ndiye Yehova kama Biblia inavyofundisha. Mihadhara hiyo inayoendeshwa na Waislamu imeenea sana, mfano Nchini Tanzania kuna vikundi vingi na kimoja wapo kinaitwa Al-Marid International Propagation Center. Hawa wameandika katika bango lao kwa kunukuu katika Biblia maneno aliyoandika Mtume Paulo katika Waefeso 4:4-6. Maneno waliyoyanukuu yanasema hivi “Bwana mmoja , Imani moja ….., Mungu mmoja , naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote. Nilipotembelea mkoa wa Morogoro pale mjini, eneo la kiwanja cha ndege nikaona Msikiti mmoja umeandikwa maneno haya ya Waefeso 4:4-6. Na nilipotembelea mji wa Nairobi Nchini Kenya pia nikaona kuna vikundi vingi vinavyoendesha mihadhara na kikundi kimoja wapo kinaitwa Kibera Islamic Propagation Centre. Hawa nao katika bango lao wameandika ujumbe unaosema hivi “Acha Biblia Ijisemee na kunukuu injili aya hii” Yohana 8:32 Tena mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Kwa hivyo utaona kuwa wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Mungu Allah kama inavyotuhadithia Qurani ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli……
SEHEMU KUU ZA SOMO HILI NI HIZI……
1. Hoja za waislamu kusema Allah ndiye Yehova.
2. Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?
3. Je, Malaika mkuu wa Allah ndiye wa Yehova?
4. Je, ni nani muumba,Allah au Yehova?
5. Mji aliochagua Allah je, ni sawa na wa Yehova?
6. Allah anavyofundisha kuhusu kujitakasa nafsi je, ni sawa na Yehova?
7. Je, mbingu ya Yehova ni sawa na ya Allah?
8. Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?
:::::::::::::::::::::::SEHEMU YA KWANZA :::::::::::::::::::
1. HOJA ZA WAISLAM KUSEMA ALLAH NDIYE YEHOVA
Wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Mungu Allah ndiye Yehova kwa sababu Manabii wa Mungu kadiri ya Biblia na Qurani walifundisha kwa kusema Mungu ni mmoja tu. Na wanasoma aya hizi…
Nabii Musa alivyosema
Kumbukumbu la Torati 6:4
Sikiza ee Israeli; BWANA Mungu wetu BWANA ndiye mmoja.
Nabii Isaya alisema hivi
Isaya 45:18,21
Maana BWANA , aliyeumba mbingu, asema hivi, yeye ni Mungu ,ndiye aliyeumba Dunia na kuifanya ….. si mimi BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi. Mungu mwenye haki , mwokozi hapana mwingine zaidi ya mimi.
Nabii Daudi Alisema
Zaburi 86:10
Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza , ndiwe Mungu peke yako.
Yesu alisema hivi
Yohana 17:3
na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliye mtuma
Paulo naye Alisema hivi
1 Wakorintho 8:4
Basi kwa habari ya kuvila vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na yakuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.
Hapa wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Manabii wote kadiri ya Biblia wanafundisha kuwa Mungu ni mmoja tu. Je, Muhammad (s.a.w.) alifundisha nini kuhusu Mungu? Wanasoma aya hizi za Qurani……..
Qurani 41:6 Suratul Haa Mym Sajdah (Kusujudu)
Sema; bila shaka mimi ni mtu kama nyinyi. Nimeletewa Wahyi (inafunuliwa kwangu)ya kwamba Mungu wenu ni Mungu mmoja tu……
Hapa wahadhiri wanasema kama vile manabii wote walifundisha Mungu mmoja ndivyo ilivyo fundisha Muhammad.
Qurani 29:46-47 Suratul Al- Ankabuut (Buibui).
Wala mshibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri, isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao. Na semeni :tunaamini yaliyoteremshwa kwetu, na yaliyoteremshwa kwenu. Na mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja : nasi ni wenye kunyenyekea kwake. Na namna hivi tumekuteremshia kitabu (hiki cha Qurani) basi wale tuliowapa kitabu (kabla ya hiki kama taurati na injili) wanakiamini (hiki kitabu ulichoteremshiwa kwani hakipingani na hivyo walivyoteremshiwa). Na miongoni mwa hawa (Waarabu wasiokuwa na Kitabu chochote)wako wanaokiamini. Na hawazikatai aya zetu isipokuwa wale wanaotaka kuficha haki.
Hapa wahadhiri wa kiislamu wakisha soma aya hizi husema vitabu vya Torati na Injili havipingani na Qurani, na vitabu hivyo walipewa Wayahudi na Manasara(yaani Wakristo) na Mungu wa Waislamu na Wakristo ni mmoja tu.
Je, hoja hii ni kweli? Nitaijibu huko mbele.
Majibu kuhusu Mungu mmoja
Ukitazama kwa haraka haraka namna wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu wanavyolinganisha aya za Qurani na Biblia unaweza ukashawishika kuamini hicho wanachokifundisha, lakini ni vyema tukajifundisha kwa undani kadiri ya Qurani na Biblia na kisha tuone kama kuna ukweli juu ya hayo mafundisho yao, ya kusema Allah Sub-hana Wataala ndiye Yehova.tukumbuke kuwa Mungu tunayeabudu alitutahadhalisha sana Wakristo kwa kusema hivi…
Kutoka 20:1-3
Mungu akanena maneno haya yote akasema Mimi ni BWANA Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa usiwe na Miungu mingine ila mimi.
Tahadhari hii Ya Mungu wetu ya kusema usiwe na Miungu inamaanisha kuwa Miungu mingine yenye kuabundiwa na watu ipo. Kwa sababu katika Biblia neno Mungu Kiebrania“Elohim” Kiyunani "Theos" limetanjwa mara 3979 lakini pia miungu ya uongo imetanjwa mara 271. baadhi ya miungu hiyo ya uongo ni hii
mungu Dargoni Waamuzi16:23
mungu Baal Wafalme 18:21
mungu mke wa Waefeso aitwae Artemi Matendo 19:24-28.
Aidha tusomapo Qurani pia imetaja miungu mbalimbali iliyokuwa inaabundiwa kule Makka nayo ni hii;
Qurani 53:19-20,23 Suratul An- Najm (Nyota).
19. Je, mumewaona Lata na Uzza? 20. Na Manata (mungu wenu) mwingine wa tatu (kuwa ndio waungu hao badala ya mwenyenzi mungu)? 23. hayakuwa haya (majina ya Lata mungu mwanamke na Uzza mungu mwanamke mwenye enzi. Na Manata mungu mwanamke anayeneemesha ila ni majina tu mliowapa nyinyi na baba zenu…..
Hivyo basi tunaona kuwa miungu yenyewe kuabudiwa ni mingi na kila mwenye kuabudu humtegemea huyo mungu wake na kusema ni mmoja. Mfano waliyemuabudu Dagoni walisema ni mungu mmoja, waliyemwabudu Baali walisema ni mungu mmoja , waliyemwabudu Artemi walisema Artemi ndiye mungu mkuu.
Kadharika Manabii.
walimtumikia Mungu mmoja aitwaye Yehova, naye Muhammad alimwabudu "mungu" mmoja aitwaye Allah. Ninachotaka kukifundisha kwa jamii ijue je, huyo Allah ndiye Yehova?,
USIKOSE SEHEMU YA PILI YA SOMO "Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?"
BARIKIWA SANA

KUMBE ALLAH ANASWALI NA KUTAWAZA KAMA VIUMBE


Jamani eeeh, huu ni MSIBA kwa ALLAH:::::
Ndugu zetu wa kambo wanasema kuwa eti Allah ni Muislam. Basi leo hii mimi nimekubali kuwa Allah ni Muislam, lakini kuna mambo machache ningependa tuyaangalie:
ALLAH ANASWALI:
Quran 33: 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamuhttp://www.quranitukufu.net/033.html
Hapo Allah na Malaika wake wanamswalia Mtume Muhammad. Kumbe Allah na yeye anaswali kama viumbe.
Sasa tujiulize swali, hivi huyu Allah na Malaika wanaswali kwa Mungu yupi?
Hebu endelea kupata darsa
KABLA YA SWALA WAISLAM WOTE LAZIMA WATAWAZE
Kumbe Allah na yeye kabla ya swala lazima afanye "Taharah" ILI ATOWE "Najas".
Katika Surat Al-Ahzaab 33: aya ya 42. Na mtakaseni asubuhi na jioni.http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Kumbe ndio maana Allah na yeye kabla ya Kumswalia Muhammad lazima atawadhe kama viumbe.
KATIKA BIBLIA, HESABU 8 17-18 tunasoma kuwa Mungu ndie anaye watakasa watu kinyume na Allah wa Quran anaye omba kutakaswa na watu wenye dhambi. Ndugu msomaji, huu ni MSIBA MKUBWA SANA KWA DINI YA MUHAMMAD YENYE ALLAH ANAYE OMBA ATAKASWE NA WATENDA DHAMBI.
Je, WAISLAM, mnaweza tuambia njia ambayo mnatumia kumtakasa Allah?
Kufuatana na Surah Al Baqara, Allah anapenda watu ambao wanajisafisha. Lakini kama kukiwa hakuna maji basi Muislam anarughusiwa kufanya Tayammum ambayo ni "wudu" na au "ghusl". Si mnajua tena kule kwa Allah hakuna maji....
MASWALI:
1. Kwanini Allah aswali kama viumbe?
2. Kwanini Allah afanye "tahara" ili kutoa Najis?
3. Ni uchafu gani huo allah huwa anatoa/usafisha?
4. Allah na malaika wake wanaomba kwa Mungu yupi?
MaSwali haya yameenda shule. Nategemea wafuasi wa Allah wataleta ayat kusaidia majibu zao bila ya Matusi.
KUMBUKA MATUSI NI DHAMBI.

Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo 

Friday, August 5, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA QURAN IMECHAKACHULIWA


ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA QURAN IMECHAKACHULIWA NA IMEJAA SHAKA. KUMBE NDIO MAANA QURAN INAWAKAFIRISHA WAISLAM
NDIO MAANA NASEMA KUWA HII QURAN INAWAKAFIRISHA WAISLAM SIO KITABU CHA MWENYEZI MUNGU
Ndugu msomaji,
Bila ya kupoteza muda taunaanza na aya kutoka Quran inayosema kuwa, Allah alikuwa anafuta aya zake mwenyewee. Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Hii tabia ya kufuta futa aya na kubadilisha balisha aya ndio inaitwa UKAFIRI. Neno kafiri linamaanisha kubadilisha ukweli, au ficha ukweli au sema uongo, au msingizia Mwenyezi Mungu uongo, au kupinga maelekezo ya Mwenyezi Mungu yalio kuja kabla ya Quran na kabla ya kuzaliwa Muhammad.
SASA TUISOME HII TABIA YA KIKAFIRI KWA ALLAH WA WAISLAM.
Quran 2:106
Aya yoyote TUNAYOIFUTA AU KUISAHAULIZA tunaleta iliyo bora kuliko hiyo au iliyo mfano wake. Hujui kuwa Mwenyezi Mungu anao uwezo juu ya kila kitu?
Kwanini Allah alikuwa anafuta aya zake? Je, tutawezaje iamini Quran iliyi futwa futwa? Ndio maana nasema hii Quran iliyo chakachuliwa ndio inayo wakafirisha Waislam.
Mwandishi maarufu wa Kiislamu-Caliph Uthman aliandika Quran na kuchoma aya ambazo hakupendezwa nazo! (Sahih Bukhari 6:61:510)
Hakuchoma tu aya za Quran bali Sura nzima ya kuran ilipotea na kusahaulika. (Sahih Muslim 5:2286)
Vile vile, aya zingine zilifutwa kwa maksudi. (Bukhari 6:61:527).
Mohammad aliwaagiza waislamu kujifunza uislamu kutoka kwa Quran ya Ubai na wala sio ambayo Zayd Ibn Thabit aliandika (ambayo ni ya kisasa) tazama (Bukhari 6:61:521).
Ibn Sad (Kitab al-Tabaqat al-Kabir vol.2 p.444 ) inasema kuwa maandiko ya Quran ya Zayd Ibn Thabit ni tofauti na ya Muhammad. Kwa hivyo waumini wamepotoshwa kwa kukariri Quran hiyo ya kisasa na hii Quran ndio inayo WAKAFIRISHA WAISLAM.
Jami At-Tirmidhi 3104 vile vile anasema Quran iliyopo sasa ni feki-ya Zayd Ibn Thabit.
Katika kufanya marekebisho mengi kwenye kuran watu walikuja na nakala tofautitofauti za Quran (Jami at-Tirmidhi 3104) hivyo kulikuwa na mtafaruku miongoni mwa wafuasi wa mohammad kwa sababu zilikuwa tofauti.
Kuran ya Ibn Masood ilikuwa na sura 111, ya Ubay ilikuwa na sura 116 na Quran ya Zayd (ambayo ndio inatumika sasa hivi) ina sura 114. Tazama (Ibn Daud , Kitab al-Masahif).
Hata zile zilizotajwa kuwa feki hazikuhifadhiwa kwa sababu mbuzi alikula sehemu ya aya zake (Sunan Ibn Majah 1934/1944).
Hivyo hamna aliyeandika Quran hadi baadhi ya waliokuwa wanakariri mafunzo ya Mohammad kufa na kulikuwa na hofu kuwa aya zilizosalia zingepotea kabisa (Bukhari z6:61:509).
Hivi ndivyo Zayd Ibn Thabit alipata kuandika Quran ambayo tunayo leo hii kutoka kwa shuhuda za wakariri waliobaki (kurasa chache tu kutokana na miaka 23 ya ufunuo).
MASWALI NYETI YAIBUKA HAPA;
1. Kwanini Allah alikuwa anafuta aya za Quran?
2. Kwanini Caliph Uthman alichoma aya za Quran?
3. Kwanini waislamu wanaficha ukweli kuhusu dini yao?
TAFAKARI HAYO NA UCHUKUWE HATUA!
IKATAE QURAN AMBAYO INAKUFANYA UWE KAFIRI.
Max Shimba Ministries Org

HISTORIA FUPI YA BIBLIA NA UTHIBITISHO KUWA HAIJACHEZEWA WALA CHAKACHULIWA

Ndugu msomaji,
Katika nakala hii kuhusu Biblia, nitaanza kwa kujiuliza maswali:
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imechakachuliwa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imejaa shaka au imeharibika au ilibadilika au imechezewa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo, imetiwa mkono wa mtu?
Hayo ni maswali muhimu sana, maana waumini wa dini zingine ambazo hawatumii Biblia kama kitabu chao kikuu, huwa wanadai kuwa, eti Biblia imechakachuliwa na sio maneno ya Mungu.
Ikumbukwe kuwa vitabu vya Agano la Kale viliandikwa kutokea takribani 1400 BC (Kabla Yesu azaliwe) hadi 400 BC. Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa kutoka wastani wa AD 40 hadi AD 90. Hivyo, popote kati ya 3400-1900 miaka imepita tangu kitabu cha Biblia kilipoandikwa. Pia wakati huu, vitabu vya Biblia vilikuwa vimenakiliwa tena na tena. Nakala ya nakala ya nakala zimechapishwa. Kwa mtazamo huu, tunaweza bado kuiamini Biblia kuwa bado ni thabiti na imekamilika.
Awali, Mungu aliwaongoza watu kuliandika neno lake, ilikuwa ni pumzi ya Mungu na isiyo na makosa (2 Timotheo 3:16-17; Yohana 17:17). Hakuna mahali Biblia inatumika nakala hizi za kitabu cha kwanza. Kwa kina kama walimu wa Sheria waliokuwa pamoja wametoa nakala zingine za maandiko, hakuna mtu mkamilifu. Kwa matokeo, tofauti ndogo ndogo za kiuchapishaji "typo" katika nakala mbalimbali za maandiko, hili ni jambo la kawaida katika uchapishaji wa kitabu chechote kile. Yote ya maelfu ya Kigiriki na Kiebrania ambazo ziko hii leo kama ilivyo gunduliwa mwaka 1500 AD.
Hata hivyo, msomi asiye na ubaguzi wowote atakubaliana nami kwamba Biblia imehifadhiwa vizuri sana katika karne zilizopita. Nakala ya Biblia ya karne ya 14 AD ii karibu sana kwa maudhui ya nakala kutoka karne ya 3 AD. Wakati nakala za bahari ya Shamu ziligunduliwa, wasomi walishangaa kwa kuona jinsi zimekaribiana na nakala nyingine ya kale ya Agano la Kale, hata kama nakala za Bahari ya Shamu zilikua za miaka Zaidi ya kitu chochote awali kugunduliwa. Hata wengi wa wakosoaji wa Biblia hukubali kwamba Biblia imevukishwa zaidi ya karne mbali kwa usahihi zaidi kuliko hati nyingine yoyote ya kale.
Hakuna kabisa ushahidi kwamba Biblia imeandikwa upya, kudurusiwa, au kuchezewa kwa namna yoyote ya utaratibu. Kiasi kikubwa cha kupita Biblia inafanya kuwa rahisi kutambua majaribio yoyote ya kupotosha neno la Mungu. Hakuna mafundisho makuu ya Biblia ambayo yametiwa shaka kama matokeo ya tofauti ndogo ndogo ambazo zipo kati ya nakala za asili.
Tena, swali ni, tunaweza kuiamini Biblia? Kamwe! Mungu amehifadhi neno lake licha ya mapungufu yasiyo kusudiwa na mashambulizi ya kukusudia ya binadamu. Tunaweza kuwa na uhakika mkubwa kwamba Biblia tunayo hii leo ni Biblia hiyo hiyo iliandikwa. Biblia ni neno la Mungu, na tunaweza kuwa na imani nayo (2 Timotheo 3:16, Mathayo 5:18).
Hii basi ndio histori fupi kuhusu Biblia na uthibitisho wa Kihistoria kuwa Biblia imekamilika na ni NENO la Mungu.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
April 16, 2016

BIBLIA NDIO KITABU BORA NA KINACHO SOMWA SANA KULIKO VYOTE DUNIANI


Mtafiti aliyebobea James Chapman ameweka kumi bora ya vitabu vinavyo somwa sana duniani. Kwa taarifa yako, Biblia ndio kitabu kinacho ongoza kusomwa kuliko vitabu vyote hapa duniani. Quran HAIPO hata kwenye 20 bora. http://www.relevantmagazine.com/…/bible-tops-list-most-read…
Kwa upande mwingine, Biblia ndio kitabu kinacho somwa sana kuliko vyote duniani tokea dunia iumbwe. http://books.usatoday.com/…/the-bible-is-the-world…/690422/1
Huku Quran ikishika namba moja kwa kitabu chenye sifa na mafundisha mabaya kuliko vyote hapa duniani.http://www.danielpipes.org/comments/195861
Zaidi ya hapo, Biblia ndio kitabu kilicho chapishwa sana katika kipindi cha miaka 50 iliyo pita. Nakala zaidi ya BILIONI SITA zimesha chapishwa mpaka sasa.
Biblia inaongoza kwa kuwa na nakala zaidi ya Bilioni 4 zilizo chapishwa katika kipindi cha miaka 50.
Ikifuatiwa na kitabu cha "Works of Mao Tse-tung" chenye nakala Milioni 820. Kitabu cha Harry Potter nakala millioni 400, The lord of the Rings trilogy nakala milioni 103 na kitabu cha Paulo Coelho's the Alchemist chenye nakala millioni 65.
http://cdn1.relevantmediagroup.com/…/Screen%20Shot%202013-1

BIBLIA NDIO KITABU BORA NA KINACHO SOMWA SANA KULIKO VYOTE DUNIANI


Mtafiti aliyebobea James Chapman ameweka kumi bora ya vitabu vinavyo somwa sana duniani. Kwa taarifa yako, Biblia ndio kitabu kinacho ongoza kusomwa kuliko vitabu vyote hapa duniani. Quran HAIPO hata kwenye 20 bora. http://www.relevantmagazine.com/…/bible-tops-list-most-read…
Kwa upande mwingine, Biblia ndio kitabu kinacho somwa sana kuliko vyote duniani tokea dunia iumbwe. http://books.usatoday.com/…/the-bible-is-the-world…/690422/1
Huku Quran ikishika namba moja kwa kitabu chenye sifa na mafundisha mabaya kuliko vyote hapa duniani.http://www.danielpipes.org/comments/195861
Zaidi ya hapo, Biblia ndio kitabu kilicho chapishwa sana katika kipindi cha miaka 50 iliyo pita. Nakala zaidi ya BILIONI SITA zimesha chapishwa mpaka sasa.
Biblia inaongoza kwa kuwa na nakala zaidi ya Bilioni 4 zilizo chapishwa katika kipindi cha miaka 50.
Ikifuatiwa na kitabu cha "Works of Mao Tse-tung" chenye nakala Milioni 820. Kitabu cha Harry Potter nakala millioni 400, The lord of the Rings trilogy nakala milioni 103 na kitabu cha Paulo Coelho's the Alchemist chenye nakala millioni 65.
http://cdn1.relevantmediagroup.com/…/Screen%20Shot%202013-1

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW