Monday, September 12, 2016

ALLAH ATEREMSHA UCHAWI NA KUMROGA MTUME MUHAMMAD

Nimenukuu Quran aya ya 2:102 na maelezo/ufafanuzi wake hapo chini kutoka tafsiri mbili za quran (Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy na Tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani). Aya hii na maelezo/ufafanuzi wake inaonesha mambo yafuatayo: 
(1) Uchawi umeteremshwa na malaika wa Allah
(2) Kuna wachawi wa kiislam.
(3) Uchawi ni amali ya ukafiri
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi.
Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika Quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
MASWALI:
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, Kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka atelemshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi?
Quran 2:102 inasema:
Wa Attaba`ū Mā Tatlū Ash-Shayāţīnu `Alá Mulki Sulaymāna Wa Mā Kafara Sulaymānu Wa Lakinna Ash-Shayāţīna Kafarū Yu`allimūna An-Nāsa As-Siĥra Wa Mā 'Unzila `Alá Al-Malakayni Bibābila Hārūta Wa Mārūta Wa Mā Yu`allimāni Min 'Aĥadin Ĥattá Yaqūlā 'Innamā Naĥnu Fitnatun Falā Takfur Fayata`allamūna Minhumā Mā Yufarriqūna Bihi Bayna Al-Mar'i Wa Zawjihi Wa Mā Hum Biđārrīna Bihi Min 'Aĥadin 'Illā Bi'idhni Al-Lahi Wa Yata`allamūna Mā Yađurruhum Wa Lā Yanfa`uhum Wa Laqad `Alimū Lamani Ashtarāhu Mā Lahu Fī Al-'Ākhirati Min Khalāqin Wa Labi'sa Mā Sharaw Bihi 'Anfusahum Law Kānū Ya`lamūna

UISLAM NI DINI YA MAKAFIRI


1. Kumbe Makafir ni Waislam
2. Kumbe Allah ni Kafir
3. Kumbe Muhammad ni Kafir
Ndugu msomaji,
Hakuna ubishi katika hili, kuwa Dini inayo thibitisha kuwa wao ni Makafiri ni ya Uislam.
Nini Maana ya Kafiri?
Neno Kafir limetoka katika neno "Kafara" likiwa lina maanisha kupinga Mungu, kuficha , kukataa au kufuru . Kwa hiyo, kaafir ni Mtu au Kiumbe au Roho au Malaika au miungu anaye kufuru, anakataa au anakanusha.
ALLAH KAANDIKWA KAFIR KATI YA MACHO YAKE
Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
Teyari Waislam wanapata mshtuko baada ya kusoma kuwa, Kumbe Allah ana MHURI kati ya macho yake unao sema yeye ni KAFIR.
USHAHIDI WAKUPINGA MUNGU KATIKA UISLAM
Shahada: LA ILAHA ILLALLAH Muhammadur Rasulullah, Quran 3:18 na soma hapa pia (Sahih Al-Bukhari, Volume 4, Book 56, Number 725)

MAGUGU "WAISLAMU" WATATUPWA KWENYE TANURI LA MOTO




Kwenye somo letu, tutajifunza kuhusu Magugu "Wapinga Kristo = Waislamu" ambayo yanaota kwenye shamba la Ngano. Huu ni mfano ambao utawafungua macho watu wengi.
Basi Mungu akubariki na kukufungua macho na kuyafahamu na au fahamu sifa za Magugu.
Mfano mmoja aliotumia Yesu kueleza kuhusu Ufalme ni wa mkulima anayepanda mbegu nzuri ya ngano na adui "Shetani" anayepanda magugu katikati ya mbegu hiyo nzuri. Magugu "Waislamu" yanakua ndani ya ngano, lakini mkulima anawaamuru watumwa wake ‘waache magugu na ngano zikue pamoja mpaka wakati wa mavuno.’ Katika majira ya mavuno, magugu yanaharibiwa na ngano inakusanywa. Yesu mwenyewe alieleza maana ya mfano huo. (Soma Mathayo 13:24-30, 37-43.) Mfano huo unafunua nini?
Haya Magugu baada ya mavuno, mkulima, huyakata na kuyafunga vifurushi furushi na kutupwa kwenye moto. Huo ndio mwisho wa magugu.
Akiongea kuhusu ngano na magugu hayo, Yesu alisema hivi: “Acheni zikue pamoja mpaka wakati wa mavuno.” Amri hiyo inaonyesha kwamba tangu karne ya kwanza hadi leo, sikuzote kumekuwa na Wakristo "ngano" na Magugu yanayo kuwa ndani ya Ngano. Mkataa huo unathibitishwa na jambo hili ambalo Yesu aliwaambia wanafunzi wake baadaye: “Mimi nipo pamoja nanyi siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.” (Mathayo 28:20) Kwa hiyo, Yesu angewalinda Wakristo ambao ndio ngano safi mpaka mwisho ufike.
Hata hivyo, kwa kuwa Wapinga Wakristo "Waislamu" walio kama magugu wangeongezeka ndani ya shamba la ngano "Wakristo" mwisho wao ni kutupwa kwenye moto.
Karne nyingi kabla Yesu hajatoa mfano wa ngano na magugu, Yehova alitumia Roho Mtakatifu kumwongoza Malaki, nabii wake kutabiri matukio yanayotajwa katika mfano wa Yesu. (Soma Malaki 3:1-4.) Yohana Mbatizaji ndiye ‘mjumbe aliyefungua njia.’ (Mathayo 11:10, 11) Alipokuja katika mwaka wa 29 W.K.. Yesu alikuwa mjumbe wa pili. Alilitakasa hekalu la Yerusalemu mara mbili—mara ya kwanza mwanzoni mwa huduma yake na mara ya pili karibu mwisho wa huduma yake. (Mathayo 21:12, 13; Yohana 2:14-17) Kwa hiyo, Yesu alitumia kipindi fulani cha wakati kufanya kazi ya kulitakasa hekalu.

YESU AMEKUBALI KUITWA MUNGU


“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia wanakwambia, “Lete andiko.” Maandiko yapo mengi sana ndani ya Biblia juu ya ukweli kwamba Yesu ni Mungu. Ni mengi mno!
Ukishawapa andiko, wanabadilika na kusema, “Nataka maneno aliyoongea Yesu mwenyewe.”
Hiki ni kigezo POTOFU na si cha kibiblia hata kidogo. Ukweli ni kwamba, Biblia YOTE ni Neno la Mungu. Haijalishi amezungumza Musa, Isaya, Yohana, Petro au Yesu mwenyewe. Imeandikwa:
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2Petro 1:21).
Hivyo, kudai kwao eti, “Nataka maneno aliyosema Yesu mwenyewe,” ni kigezo batili na kisicho na mantiki hata kidogo.

Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO ni Mungu.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.
NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).
Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.
Yohana 10:30
Mimi na Baba tu umoja.
Waislamu wana msemo wao kwamba eti, Yesu na Mungu ni wamoja katika malengo, si katika asili yao. Basi huwa nawauliza swali kuhusu aya ifuatayo ya Isaya, nao wanazimika na kukosa jibu:
Isaya 9:6

KWANINI WAISLAM WAKIWA MAKKA KUHIJJ HAWAVAI CHUPI?


HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.

Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)


UISLAMU NI UPAGANI ULIOBORESHWA


Waisalmu wamekuwa ni watu wa kujivuna kujingamba kuwa wao ndiyo wenye Dini ya kweli, Ibada ya kweli na Mungu wa kweli, na kuwaona wengine kuwa ni wapagani na ni watu wasiojielewa, Kumbe wao waislamu hawajui kuwa Ibada yao hiyo na huyo mungu wao Allah wamerithi kutoka kwa wapagani wa Makka, ambapo walikuwa wakifanya baadhi ya Ibada kama ambazo leo waislamu wanazifanya na pia wakimwabudu mungu wao wa kipagani ambaye leo hii ndiye anaeitikadiwa na waislamu kuwa ndiye Muumba wa mbingu na Nchi.
Katika somo tutaangalia mambo ma 4
1) MUNGU ZAMA ZA UPAGANI
2) JENGO LA AL KAABA
3) IBADA YA KUHIJI WAPAGANI PAMOJA NA WAISLAMU
4) MIEZI YA KUHIJI YA WAPAGANI NA WAISLAMU
Hivyo ni vitu muhimu sana kwa waislamu AMBAPO katika nguzo za Uislamu Shahada ya kumkiri Allah kuwa ni mungu mmoja, ndiyo moyo wa Uislamu,
na Nguzo ya mwisho ya kwenda kuhiji Makka, ni nguzo muhimu sana kwa wale wenye uwezo kwani hupelekea wao kufutiwa madhambi yao yote, kwa mujibu wa Imani yao, kwa hivyo Matajiri na wale wenye uwezo, hufanya maovu sana huchangamkia fursa hiyo ya kwenda kuhiji Makka, ili maovu yao hayo yaweze kusameheka kupitia njia hiyo ya kuhiji
1)ALLAH MUNGU ANAEBUDIWA NA WAISLAMU ALIKUWA MUNGU WA WAPAGANI
Sasa tuanze kumuangalia huyu Allah mungu anaebudiwa na Waisalmu zama zile kabla ya Uisamu alikuwa akiabudiwa na wapagani, na ushahidi huu tunaupata kupiptia kitabu cha MAISHA YA NABII MUHAMMAD, KILICHOANDIKWA NA SHEIKH ABDULLAH SALEH FARSY, UK 57 PARAGRAPH YA 2. AMBAPO katika Paragaph ya 1 kuna habari ya Vita vikubwa ambavyo waislamu walizidiwa na Makureshi, ambao walimshambulia Muhammad kwa mawe na kumg’oa meno ya barazani, na kumzamishia misumari mashavuni, na kisha waislamu kumkimbizia kwenye Jibali ili asiuawe, kisa ikiwa ni Muhammad kutaka kuwabadili wapagani wawe waislamu, Paragraph ya 2 Nainukuu.
"Wakati huo wote walikuwa wamekwisha kupumzika, na makureshi wote wamejikusanya pamoja tayari kwa kuondoka. Mara Masahaba wakasikia sauti ya Abuu Sufyan Mkubwa wa Makureshi inanadi-inasema “Muhammad yu hai au amekufa? Muhammad yu hai au amekufa?? Mtume akawaambia masahaba zake wasimjibu. Mara ikanadi tena, “Abubakari yu hai au amekufa? Abubakar yu hai au amekufa” pakawa jii vile vile pasipatikane jawabu, Ikanadi tena kwa mara ya tatu Ikisema, “Umar yu hai au amekufa? Umar yu hai au amekufa?” Ilivyokuwa Jii Vile vile yule Abu Sufyan alisema, “Wallahi hawa wote wamekwisha kufa.” Sayyidna Umar alishindwa kustahimili kusikia haya alinyanyua sauti na kumijbu, “WOTE HAO UNAOWATAJA WA HAI, WAKO TAYARI KUKUTANA NA WEWE NA MAJESHI YAKO KILA WAKATI”
Abu Sufayan akasema, “Katukuka leo mungu mkubwa wetu-Hubal katukua leo mungu mkubwa wetu-Hubal Vita ni mapokezano siku ya hawa na siku ya wale na siku hii yetu leo ni kwa ile siku siku yenu ya Badr. Enyi Waislamu! Mtaona maiti wenu watu waliokatwa vipande vipande vipande. Mimi sikuamrisha watu wangu kufanya haya, wala sikuwakataza, wala hayakunifurahisa hayo, wala hayakunichukiza. Sasa tunakupeni habari ya kuwa tunakutakeni tena kwa mwaka wa pili mwezi wa shabani katika mtaa wa Badri” Mtume akamwamrisha Sayyidna Umar amjibu “Tayari tutakutana hapo” Tena akainuka Hind mkewe Abu Sufyan akaimba jimbo zake juu ya jabali hili, baada ya haya Abu Sufyan akamrisha watu wake washike njia kwenda zao Makka, baada ya kuwazika maiti wao 23" (MWISHO WA KUNUKUU)
Kwa mujibu wa melezo hayo tunashuhudia kuwa Huyo Abu Sufyan ambaye yeye alikuwa mpagani, aliapa baada ya kutambua kuwa Muhammad na masahaba zake wakubwa yaani Abubakar na Umar kuwa wamekwisha kufa, alisema, Wallahi, Neo HILI Wallahi linahusika leo na Mungu anaebudiwa na waislamu, na hata waislamu nao hauapa vile vile kwa kusema Wallahi kama alivyoapa Abu SUFYAN mpagani, na pia Isitoshe Abu SUFYAN ALISEMA, ametukuka Mungu mkubwa wetu, katika Lugha ya Kiarabu, ni Sub-haana Allahu Akbaru, na hata Leo waislamu pia hutumia kauli hiyo nao wakisema Sub-haaNA LLAHU, na pia husema Allahu akbaru, yaani ametukuka mwenyezi Mungu, Mungu mkubwa, kama alivyokuwa Mungu wa wapagani aliyenadiwa na mpagani ABU SUFYAN, kwa hivyo waislamu wamechukua utukufu wa mungu wa wapagani, na pia nyapo za wapagani juu ya mungu wao mkubwa. Ndiyo maana tunasema Uislamu ni upagani ulioboreshwa.
2) JENGO LA AL-KAABA
Jengo hili Waislamu hulitukuza sana kwa kudai kuwa ni jengo ambalo Ibrahimu wao feki, alilijenga yeye na mwanae Ismaili, miaka mingi. Kwa hivyo huiita nyumba Kongwe, na wakati jengo hilo lilikuwa likifanyiwa Ibada na wapagani ambao walikuwa wamejaza miungu yao nje na na ndani ya Al-kaaba; na hata Muhammad alipozaliwa babu yake alienda kumuombea kwenye hiyo miungu ya wapagani, ambapo palikuwa na miungu mingi midogo na mungu mkubwa alikuwa Hubal, ambapo Abu Sufyan alimsifu kwa kumuapia Wallahi, yaani akimaanisha huyo Hubal ndiye Allah, hebu ngoja tuangalie ushahidi huo wa kuonesha kuwa Al-kaaba lilikuwa ni Jengo la Wapagani kabla ya uislamu.
Katika Kitabu cha MAISHA YA NABII MUHAMMAD UK 3 PARAGRAPH YA 3-4 KINASEMA
A. WAZEE WAKE WANAUME

Friday, September 9, 2016

KWANINI MUHAMMAD HAKUPIGWA BAKORA MIA KWA KOSA LA UZINIFU?


Katika aya hapa chini tutasoma kuwa adhabu ya mzinifu katika Uislam ni kupigwa bakora mia. Hebu soma aya kwanza:
QURAN 24:2, SURAT, AN-NOOR
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume, mtandikeni kila mmoja wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwaajili yao katika huruma ya Mwenyezi Mungu. Ikiwa ninyi mnamwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la wauminh. ( mwisho wa kunukuu)
Sasa hebu endelea kusoma tabia ya Muhammad mtume wa allah hapa chini utagundua kuwa, kumbe Nabii wa Allah alikuwa mzinifu:
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako. (Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Muhammad mtume wa Allah kafumaniwa ugoni, lakini hatusomi kuwa alipigwa bakora mia yeye na kimada wake. Je, Muhammad yeye yupo juu ya sheria ya uzinifu?
HUDUD [1]. 604. Abu Ubayda, kutoka kwa Jaabir bin Zayd kasema, "Kupigwa mawe (kwa mwenye kuzini), na kutahariwa, na kustanji[2], na Sala ya Witri ni Sunna za lazima kutekelezwa (wajibu). Ama Sala ya witri imetokana na kauli ya Mtume (S.A.W.) alipowaambia Masahaba wake, “
Hakika wamekwisha pigwa muhuri wa Jehannam wale wote wanao zini kama Muhammad.
Kwanini Muhammad hakupigwa bakora mia kwa UZINIFU?
Kwanini Muhammad hakupigwa mawe kwa UZINIFU?
Hakika hii sio dini bali ni njia ya kwenda Jehannam.
Watakabahu
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA TANO)

ALLAH ANAAPA KWA YEHOVA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE
ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
(SEHEMU YA TANO)
Je Nani kaumba Kiume na Kike?
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….
Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.
Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?
Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …
Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.
Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.
Kumbe Allah sio Mwenyezi Mungu.
Mungu awabairiki sana
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

ALLAH NI KIUMBE DHAIFU, ASHINDWA KUMPONYA NABII WA UONGO MUHAMMAD




KUMBE JINA LA ALLAH HALINA MAMLAKA
Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona.
MAJIBU YA MUHAMMAD HAYA HAPA
Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.
Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
Hakika Allah si Mungu.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA. ALLAH NA YEYE AMEFIWA NA MTUME WAKE.

KUMBE QURAN ILITEREMSHWA NA ADUI WA JIBRIL?



HUU NI MSIBA MKUBWA SANA

Surat Al Baqara 97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini. 

Marehemu Muhammad anaambiwa kuwa, aliipokea Quran kutoka kwa adui wa Jibril. 
WAISLAM, KWANINI MNAFUATA MANENO YA ADUI WA JIBRIL?

TRENDING NOW