Friday, October 7, 2016

SHETANI NI MUSLAMU


Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,

Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.

Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu,sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.

YESU KRISTO HAJAWAHI KUWA MUISLAMU NA KAMWE HATOKUJA KUWA MUISLAMU (SEHEMU YA TATU)


Na Abel Suleiman Shiliwa.
Baada ya kuangalia sehemu ya kwanza na ya pili ya somo la Yesu Kristo hakuwa muislamu, leo naendelea na sehemu ya tatu ya somo hili, ambapo nitagusia vipengele viwili.
(1) Kutawadha
(2) Kusujudu
Hivyo pia ni vipengele ambavyo waislamu hudai kuwa Yesu alikuwa muislamu, nikianza na Kutawadha, andiko ambalo wao hulitumia ni hili.
Yohana 13:5 Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwatawadha wanafunzi miguu, na kuifuta kwa kile kitambaa alichojifunga.
6 Hivyo yuaja kwa Simoni Petro. Huyo akamwambia, Bwana! Wewe wanitawadha miguu mimi?
7 Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.
8 Petro akamwambia, Wewe hutanitawadha miguu kamwe. Yesu akamwambia, Kama nisipokutawadha, huna shirika nami.
Andiko hilo waislamu hulitumia sana, kunasibisha kutawadha kwao, na kwa YESU, wakisema kwamba, Yesu alitawadha (japo andiko halisemi hivyo) pia hudai Yesu amesema, mtu ambae hatawadhi basi hana shirika na Yesu, wao ambao hutawadha, husema kwamba ndiyo wenye shirika na Yesu, Wakristo ambao ni wavivu wa kusoma maandiko, wakisomewa hivyo, basi huamua kusilimu, wakiamini kwamba, Wakienda kwenye Uislamu, basi watakuwa na shirika na Yesu, kwa kutawadha, kitendo ambacho siyo kweli.
NENO TAWADHA lina maana ya Nawa, au Oga! tendo hilo la kutawadha kwa waislamu hutafsirika kama kunawa mbele ya kusali, yaani kabla hawajasali, hutawadha kuchukua udhu! Lakini kwa Wayahudi ni tofauti kabisa, wakati wa Musa, walio tawadha alikuwa ni Haruni na Wanae.
Kutoka 30:17 Bwana akanena na Musa, na kumwambia
18 Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.
19 Na Haruni na wanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo;
20 hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania; watajiosha majini, ili wasife; au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike, kumteketezea Bwana sadaka ya moto;
21 basi wataosha mikono yao na miguu yao ili kwamba wasife; na neno hili litakuwa amri kwao milele, kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote.
Kwa hao waliokuwa na kazi ya Ukuhani, walitakiwa kuosha mikono na miguu tu, ili wasife, Musa yeye hakuambiwa afanye hivyo kwa sababu hakuwa Kuhani,
Tawadha ya Waislamu wao, huosha viungo vifuatavyo.

MUHAMMAD ALIKUWA HAPENDI WATOTO NA ALIRUHUSU KUUWAWA KWA WATOTO


Ndugu msomaji,
HUU NI MSIBA MBAYA SANA KWA WAISLAM.
Imesimuliwa na Sa'b b. Jaththama kwamba Nabii wa Allah (PBUH0, alipo ulizwa kuhusu Wanawake na Watoto wa Makafiri walio uwawa kwenye ujangili walio fanya usiku. Muhammad alisema, Watoto wao ni makafiri hivyo si sawa kuuwawa. (Sahih Muslim 4322, see also Bukhari 52:256)
Baada ya kuuteka mji wa Mecca, Nabii wa Allah alitoa amri ya kuuwawa wasichana wawili "waimbaji" ambao walimuimba Muhammad:
... Wasichana waimbaji wawili Fartana na rafiki yake walikuwa wakiimba "satirical songs" kuhusu Nabii wa Allah, Muhammad akaamuru kuuwawa kwa hao Wasichana mara moja kwa kukatwa vichwa vyao. (Ibn Ishaq/Hisham 819)
Zaidi ya hapo, Muhammad alichukua mtoto wa miaka sita aitwaye Aisha na kumuingili kimwili bila ya ruhusa yake.
Sahih Muslim 3310—Aisha alisema: Nabii wa Allah alinioa kwa nguvu nilipo kuwa na miaka Sita na akaniingilia kimwili nilipo fikisha miaka tisa bila ya ridhaa yangu.
Hii ndio tabia ya nabii wa Allah kuhusu watoto, aliruhusu kuuwa watoto na kuwaingilia kimwili.
Sunan Abu Dawud 2116—Aishah alisema: Nabii wa Allah alinioa nilipo fikisha miaka sita na kulala nami kingono nilipo fikisha miaka tisa.
LAKINI NILIPO SOMA KUHUSU YESU WA KWENYE BIBLIA NILIONA HAYA:
Nyakati nyingine pia, Yesu anaonyesha namna anavyopenda sana watoto wadogo. Miezi michache baadaye watu fulani wanaleta watoto wamwone Yesu. Mitume wanajaribu kuwazuia. Lakini Yesu anawaambia mitume wake hivi: ‘Acheni watoto waje kwangu, msiwazuie, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.’
Ndipo Yesu anachukua watoto mikononi mwake, anawabariki. Ni vizuri kujua kwamba Yesu anawapenda watoto wadogo.
Mathayo 18:1-4; 19:13-15; Marko 9:33-37; 10:13-16.
Yesu aliwapenda watoto na aliwabariki na kuwapa Ufalme wa Mungu jambo ambalo Muhammad wa kwenye Quran alifanya kinyume chake huku akiwaingilia kimwili.
Je, hivi kweli huyu Muhammad ni Mtume wa Mungu kwa tabaia hii mbaya sana ya kuuwa watoto na kuwaingilia kimwili?
Uchaguzi ni wako kumfuata Muhammad ambaye aliruhusu kuuwa watoto na kuwaingilia kimwili
AU
Kumfuata Yesu aliye wapenda watoto na kuwabariki na kuwapa ufalme wa Mbinguni.
Ni mimi, Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA KUMI)


KWENYE UISLAMU NI RUKSA KUOA VITOTO VYA MIAKA SITA NA KUVIINGILIA VIKIWA NA MIAKA TISA,
Hadithi ya Aisha (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amenioa nikiwa binti wa miaka sita, tukaja Madina tukafikia kwa Ban Al-Harith Khazraji nikapatwa na homa kali sana mpaka nywele zangu zikakatika katika baadae zikaja kuwa nyingi, Akanijia mama yangu Ummu Ruuman, akanikuta niko katika pembeya nikiwa na rafiki zangu, akaniita kwa sauti ya ukali, nikamwendea hata nisijue anachoniitia akanishika mkono mpaka akanifikisha mlangoni huku nina hema mpaka zilipotulia pumzi zangu akachukua maji akaanza kunifuta kwa maji hayo uso wangu na kichwa changu kisha akaniingiza ndani nikawakuta wanawake wa kiansari mle ndani wakasema, “uwe juu ya kheri na Baraka na uwe juu ya ndege bora, akanikabidhi kwao wakaniweka vizuri, sikustuka isipokuwa alipofika Mtume (s.a.w) asubuhi mama yangu akanikabidhi kwake, nami siku hiyo nilikuwa ni mschana wa miaka tisa” (BUKHARI, HADITHI NA. 234, Juzuu ya 5)
Sasa kama katika uislamu ufataki ni ruksa yaani mzee wa miaka 54 anaruhusiwa kuoa kitoto cha miaka sita, hivi kuna haja gani ya Mkristo kujiingiza kwenye Ufataki (UISLAMU) na kuanza kuharibu vitoto vya miaka sita? Yaani badala ya kufikiria Elimu kwa mtoto wako, huyo wa miaka sita, unafikiria kumuozesha kwa mzee wa Kiislam wa miaka 54, kwa stahili hiyo sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki uslamu.
Ndio maana nasema Allah sio Yehova na kamwe Waislam hawata ingie kwenye Ufalme wa Mungu.
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD HAJUI KAMA ATAINGIA PEPONI AU MOTONI


Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.
Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya
Hadithi ya Aisha kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Fanyeni yaliyo sahihi na yatekelezeni, na furahini kwa kuwa hakuna yeyote atakayeingiziwa peponi kwa amali (matendo) yake” Wakauliza ‘hata wewe mtume wa Allah?’ Mtume (s.a.w) akasema, ‘Hata mimi isipokuwa kama Allah atanifunika kwa rehema zake” (Bukhari Hadihthi Na. 474, Juzuu ya
Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitamua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata
Yohana 10;27-28
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele, wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Eti tuufuate Uislamu chini ya kiongozi Muhammad ambaye hajui hatima yake kama ataenda peponi, au ataenda motoni, bila shaka kwa Mkristo anayejitambua hawezi kuwa Muislamu.

KWANINI WAISLAM WANARUHUSIWA KUFANYA NGONO NA WANYAMA?


HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Mtu anaruhusiwa kufanya ngono na mnyama yeyote yule kama Kondoo, Ng'ombe, Ngamia nk. Lakini, atakapo maliza kufanya ngono lazima amuue huyo mnyama. Asiuze nyama yake kwa watu anao wafahamu wa kijijini kwake, lakini anaruhusiwa kuuza nyama yake kwa kijiji cha jirani yake: Imesemwa kwenye kitabu cha Khomeini, Tahrir al-Vasyleh, fourth volume, Darol Elm, Gom, Iran, 1990
Kwa Kiingereza:
“A man can have sex with animals such as sheep, cows, camels and so on. However he should kill the animal after he has his orgasm. He should not sell the meat to the people in his own village, however selling the meat to the next door village should be fine.” – From Khomeini’s book, Tahrir al-Vasyleh, fourth volume, Darol Elm, Gom, Iran, 1990
Endelea kusoma ushahidi zaidi:
Ahmad bin Yunus alituambia kuwa Sharik, Abu al-Ahwas na Abu Bakr bin ‘Ayyash walikuwa na undugu na ‘Asim (bin Bahdalah Abi al-Najud) kutoka Abu Razin kutoka Ibn ‘Abbas ambaye alisema: Hakuna kosa lolote lile mmoja wenu anapongonoka na mnyama kama Mbuzi au Ng'ombe au mnayma yeyote yule
MUISLAM AKAMATWA AKILA URODA MBUZI WA JIRANI YAKE BAADA YA KUPATA RUHUSU KUTOKA DINI YAKE.
Ndio maana mimi sili nyama ya HALAL, MAANA HAWA JAMAA WAMERUHUSIWA KUINGILIA HAO WANYAMA KIMWILI NA KUWAUZIA NYAMA WAKRISTO.
WEWE MKRISTO UNAYE JITAMBUA KAMWE USILE NYAMA YA HALAL KUTOKA KWA WAISLAM.

Thursday, October 6, 2016

YESU KRISTO HAJAWAHI KUWA MUISLAMU NA KAMWE HATOKUJA KUWA MUISLAMU (SEHEMU YA PILI)


Na Mtumishi Abel Suleiman Shiliwa.
Baada ya kuangalia sehemu ya kwanza ya somo hili, ambapo niligusia vipengele viwili,
(1) Unyenyekevu
(2) Sinagogi
Tukaona kuwa Yesu Kristo hawezi kuwa muislamu kwa vigezo hivyo, basi leo, nitaangazia Vipengele vingine viwili
(1) KUVAA KANZU.
(2) KUSEMA AMANI IWE KWENU
Waislamu wamekuwa wakidai kwamba, Yesu alikuwa muislamu, kwa sababu tu ametajwa kuwa alikuwa akivaa Kanzu.
Yohana 19:23 Nao askari walipomsulibisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake, wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake; na kanzu nayo. Basi kanzu ile haikushonwa, ilikuwa imefumwa yote pia tangu juu.
Andiko hilo Waislamu wanalitumia katika kusema kwao kwamba, Yesu alikuwa muislamu mwenzao, kwa sababu alivaa kanzu kama wao, ukitaka kujua kwamba, watu hao ni wababishaji, andiko limesema Kanzu ya Yesu, ilipigiwa kura, baada ya Kusulubiwa, kabla ya Kusulubiwa, kanzu yake haikupigiwa kura, sasa wewe Waulize, "Je! wanakubali kwamba Yesu Kristo alisulubiwa msalabani akafa?" Utawasikia, "Yesu hakusulubiwa, wala hakufa" Sasa kama hakusulubiwa, inakuwaje mlitumie andiko la kanzu kusema ni muislamu mwenzenu, wakati hamkubali kwamba amesulubiwa? Inamaana kama hakusulubiwa kwa mujibu wa imani yenu, basi hilo andiko lilipaswa kuwa la uongo kwenu:- Na kama la uongo kwenu, hakuna sababu ya kulitumia.
Sasa tuangalie hoja hiyo ya kusema kwamba, Kuvaa kanzu hata kama watakubali Yesu amesulubiwa, je! linaweza kumfanya Yesu awe muislamu?
Katika Quran nzima hakuna andiko linalotaja Kanzu kama vazi la Kiislamu, au ni vazi special kwa ajili ya kufanyia Ibada, kama Waislamu wafanyavyo leo, bali Quran ina kazi 2 tu kwa mujibu wa Quran.
Quran 16 SURATUL NAHL
ﻭَﺍﻟﻠّﻪُ ﺟَﻌَﻞَ ﻟَﻜُﻢ
ﻣِّﻤَّﺎ ﺧَﻠَﻖَ ﻇِﻼَﻻً ﻭَﺟَﻌَﻞَ
ﻟَﻜُﻢ ﻣِّﻦَ ﺍﻟْﺠِﺒَﺎﻝِ ﺃَﻛْﻨَﺎﻧًﺎ
ﻭَﺟَﻌَﻞَ ﻟَﻜُﻢْ ﺳَﺮَﺍﺑِﻴﻞَ
ﺗَﻘِﻴﻜُﻢُ ﺍﻟْﺤَﺮَّ ﻭَﺳَﺮَﺍﺑِﻴﻞَ
ﺗَﻘِﻴﻜُﻢ ﺑَﺄْﺳَﻜُﻢْ ﻛَﺬَﻟِﻚَ
ﻳُﺘِﻢُّ ﻧِﻌْﻤَﺘَﻪُ ﻋَﻠَﻴْﻜُﻢْ
ﻟَﻌَﻠَّﻜُﻢْ ﺗُﺴْﻠِﻤُﻮﻥَ
81. Na Mwenyeezi
Mungu katika vitu alivyo viumba
amekufanyieni vitu vitiavyo
vivuli, na amekufanyieni makazi
katika milima, na amekufanyieni
kanzu zinakukingeni na joto, na (baridi) na amekufanyieni
nguo za chuma ndivyo hivyo
anavyokutimizieni neema zake
ili mpate kutii.

MIJADALA YA DINI NI MUHIMU.

Watu wengi katika jamii yetu wanasema kuwa tusiendekeze mijadala ya dini. Wanasema kuwa ni tishio kwa amani na maelewano. Ninapenda kutafakari suala hilo.
Binafsi, naamini kuwa watu wenye akili timamu wanaweza kujadili mada yoyote bila matatizo. Watu wa aina hiyo wanajua kuwa katika mjadala wanachopaswa kufanya ni kutoa hoja, kusikiliza hoja, na kupinga hoja kwa hoja.
Watu wenye akili timamu wanafahamu kuwa, katika mjadala, kila mtu ana uhuru wa kuelezea fikra zake na mtazamo wake, na ana haki ya kusikilizwa. Na kila mtu ana wajibu wa kusikiliza hoja na mtazamo wa wengine.
Suala la mijadala, kwa watu wenye akili timamu, ni suala lililojengeka katika haki, uhuru, na wajibu, kama nilivyoelezea hapo juu. Wajibu huo ni pamoja na wajibu wa kuheshimiana katika hiyo mijadala. Kwa maana hiyo, mada yoyote inaweza kujadiliwa na watu wenye akili timamu, iwe ni siasa, uchumi, au dini.
Kuna pia wajibu wa kujielimisha. Mbali ya kwenda shule, au kusoma vitabu, mijadala ni njia mojawapo muhimu ya kuelimishana. Siamini kama dini zetu zinatutegemea tuwe waumini mbumbumbu. Naamini kuwa Muumba mwenyewe anatutegemea tuwe waumini tunaojibidisha kuzifahamu dini zetu. Kwa hivi, kusoma kuhusu dini na kushiriki mijadala kuhusu dini ni wajibu.
Sasa tatizo liko wapi, inapokuja kwenye dini, hadi watu waseme kuwa tusiendekeze mijadala ya dini? Tatizo si mada, bali vichwa vya wahusika. Labda ni wajinga au walevi. Hili ndilo tatizo. Wajinga au walevi wakipewa mada yoyote, uwezekano wa kushikana mashati ni mkubwa. Hata kama mada ni kuhusu umuhimu wa kujenga hospitali au kupeleka watoto shule, wajinga au walevi wanaweza kushikana mashati.
Suali ni je, kwa nini mada yoyote iwe ni hatari kujadiliwa? Na tukisema leo tusijadili dini, huenda kesho tutasema tusijadili siasa, na keshokutwa tusijadili elimu, na kadhalika. Kwa nini mada yoyote iwe ni hatari kujadiliwa? Inamaanisha kuwa wa-Tanzania ni wajinga au walevi?
Kama ni walevi, tupunguze ulabu. Kama ni wajinga, kinachopaswa kufanya ni juhudi za kufuta ujinga, ili tufikie mahali wa-Tanzania wawe na akili timamu kama nilivyoelezea hapo juu. Tunahitaji maandalizi ili mada kama dini ziweze kujadiliwa sawa na mada zingine, kuchangia elimu na maelewano.
Source: Mbele

DINI YA KIISLAM ILIANZISHWA SIKU YA JUMATATU MWEZI WA 17, SAWA SAWA NA TAREHE 27 DESEMBA MKWA 610 B.K.






KUMBE UISLAM NI DINI YA KUTENGEZA TU, TENA CHANGA SANA NA HAIKUWEPO KABLA YA MUHAMMAD
Muhammad aliambiwa na Allah asema: -
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi) "Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"
Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama) Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).
Katika ufafanuzi wa aya ya 19-20, katika Suratul Yusuf 12:20 kuna maneno haya--
Unaona kuuzana kulikuwako zaidi ya miaka 4000 kabla ya kuja dini ya kiislamu aliyokuja nayo nabii Muhammad. Kisha wakausingizia uislamu kuwa ndio uliokuja na kuuza watu.
Kadiri ya aya hizi zote tunaona ya kuwa dini ya kiislamu ilianzishwa rasmi hapa duniani Ramadhan siku ya Jumatatu mwezi 17 sawasawa na Tarehe 27 December mwaka 610 Baada ya Kristo (B.K), na mtu aitwae Muhammad Bin Abdalah Bin Abd-Muttalib Bin Hashim Bin Abd Manafu Bin Kusay. Mama yake aliitwa Amina Bint Wahab.
Ama baada ya kuona mwanzo wa Dini ya uislamu sasa tuanze kuangalia mbinu za waislamu.
Sahih Al-Bukhari Vol. 4 Hadith na 196, Ukurasa wa 124:
Imesimuliwa na Abu- Huraira: Mtume wa Allah akasema, Nimeamrishwa kupigana na watu hadi watakaposema hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah; Na yule atakayesema kwamba hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah, maisha yake na mali yake yataokolewa nami…
Hivi ndivyo alivyosema mtume wa waislamu Muhammad, aliye mfano mwema wa waislamu wote (Qurani 33:21 Suratul Al-Ahzab). Muislamu ni lazima atekeleze kama alivyoamurishwa Muhammad na Allah. Tena tunajua kwamba, watu wote hawawezi kusema "hakuna apasaye kuubudiwa ila Allah". Hao wasiosema hivyo, kadiri ya Hadith hii, wanatakiwa kupingwa na kuawawa mara moja. Kadiri ya Qurani, miongoni mwa watu wanaotakiwa kuangamizwa ni "Wayahudi na Wakristo" (Qurani 9:30 sSuratul At-tawba). Katika kufanikisha uendelezaji wa uislamu hivi sasa, waislamu wamebuni na kutumia mbinu mbalimbali.
Pia Sayyid Abul A’la Mawdudi, katika kitabu chake kingine kiitwacho, “Jihadi katika Uislamu” kilichofasiriwa na Hassan Athman Mnjeja, katika Uk.11-13 akielezea malengo ya Utawala wa dola ya Kiislamu, anasema: “Uhakika wa mambo ni kuwa Uislamu ni itikadi ya kimapinduzi na utaratibu unaokusudia kubadili mfumo wa jamii wa ulimwengu mzima na kuujenga upya ili ilingane na Imani na Itikadi zake. Waislamu ni jina la kile chama cha Kimapinduzi cha kimataifa chenymipango ya kimapinduzi. Uislamu unakusudia kuangamiza mataifa na Serikali zote hapa ulimwenguni ambazo ni dhidi ya itikadi na utaratibu wUislamu, bila kujal zinatawaliwa na nani. Lengo la Uislamu ni kuanzisha taifa kwa misingi ya itikadi yake na utaratibu bila kujali ni nchi gani itakuwa mstari wa mbele kusimamisha Uislamu au ni utawala wa taifa lipi

Wednesday, October 5, 2016

WAHUKUMIWA KUCHARAZWA VIBOKO 80 KWA KUTUMIA MVINYO KATIKA MEZA YA BWANA


Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu, tena nayatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake….(Wakolosai 1:24)

Na Joseph DeCaro, Tehran, Iran



Mwezi huu mahakama ya Iran mjini Rasht, imewahukumu Wakristo wanne kuchapwa viboko 80 kila mmoja.

“Kosa”  lao ni kukutwa wakitumia mvinyo kukomunika, kitendo ambacho huashiria kumwagika kwa damu ya Yesu msalabani aliposulubiwa.


Lakini  waendesha mashtaka wa Iran wamewatuhumhao Behzad Taalipasand, Mehdi Omidi, Mehdi Dadkhah na Amir Hatemi kuwa waliwakuta wakinywa pombe; Wakristo hao walipatikana na hatia hiyo Jumapili na sasa wana siku kumi tu za kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo, kwa mujibu wa Christian Solidarity Worldwide (CSW), ambayo ni taasisi ya Kikristo ya utetezi wa uhuru wa kuabudu.

"Hukumu iliyotolewa kwa waumini hao wa dini ya Kikristo inaingilia uhuru wao wa kuabudu. Inaingilia uhuru wa kutekeleza matakwa ya imani yao,” alisema Mervyn Thomas, Mtendaji Mkuu wa CSW.

Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa ya Oktoba, mwaka huu vitendo vya kuteswa Wakristo, hasa Waislamu wanaobadili dini na kuwa Wakristo, vinazidi kuongezeka.

"Mamlaka za serikali zimeendelea kuyanyanyasa makanisa hata ambayo yamesajiliwa. Makanisa mengi yamelazimishwa kufungwa…zaidi ya Wakristo 300 wamekamatwa tangu mwaka 2010 na viongozi mbalimbali wa makanisa na waumini wakereketwa wamekamatwa wakihusishwa na kufanya huduma kama vile kufanya maombi na kuhudhuria semina za kiroho nje ya nchi.”

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW